Mavoko please😢😢😢 come back we still love you❤❤❤❤❤❤❤
@ernestgeorge84127 ай бұрын
So sad rich Mungu akutie nguvu kunasiku utainuka Tena na chat yako kama Zaman ww ni mkali Sana... One love💥
@aminaomary55672 ай бұрын
Watu wabaya sana'lakini kuna siku mungu atakuludisha ktk mxiki tena.
@PrislyLigazzАй бұрын
Nakubali na mavoko kabisa mamuzi uliyoichukua ni sahihi
@zedzoomextra7 ай бұрын
Maisha ndivyo yalivyo kuna kupanda na kushuka Yote sawa Sote Tunapitiaga Chamsingi uzima tuu Mambo Yote Yanawezekana ❤❤❤❤@Mavoko Namukubli sanaa ❤❤❤
@mrishoshabani83907 ай бұрын
Dah life hii bwana noma sn broo nakupenda sn mavoko
@DavalsonMarlony7 ай бұрын
mavoko bd ypo good tuu
@RehemaSalum-vp6rf7 ай бұрын
Mavoko bado unapedwa sana toa ngoma sapot utaipata
@user-hf5sm4hv5h6 ай бұрын
Much love to you rich mavoko
@mikutho98204 ай бұрын
wow life changes
@lawlawisahadi92027 ай бұрын
Unyama mwingi ❤
@yasinapprosper71777 ай бұрын
Mwamba kama mwamba amini wew bado fundi mashabiki bado tunakuitaji kwenye gm unyama mwingi ❤
@elizabethnguma33797 ай бұрын
😢 Yani rizki ya mutu ni rizki tuh,,,mond ungu anakuona
@D-Man.B-Free7 ай бұрын
Daaah nimelia ni kama unaingia mjini kusaka pesa alfu umarudi kijijini bila pesa
@agnesjohn9382
7 ай бұрын
Ni life wala usishangae
@VashtChisongela7 ай бұрын
Usiku ukipiga simu huku unajiliza,even me mama aaaaa unaniumiza, rich is the best muziki halisia usobustiwa na mashetan
@Reyneville-7 ай бұрын
Yani mpaka huruma😢
@EliasJohn-lc8nu7 ай бұрын
Duh hapo hamna kt hatupo hapa kumtia mtu moyo afu mbn mashabiki hamuoneshi
@amedeuskimario88957 ай бұрын
Rich bado hujiamin fanya kazi seriously bro maisha yapo ivo ukiona aibu Leo ipo cku utajutia ata hizi chance
@SophlaJackson-nt1nc
7 ай бұрын
au sio😂
@Kuminamoja19957 ай бұрын
Bro ungana na mabro wako kafanye comedy 🤣
@agnesjohn9382
7 ай бұрын
😂😂 hilo nalo neno
@willywilly32386 ай бұрын
I love this guy, I like listening to his songs
@Kuminamoja19957 ай бұрын
Ni comedy au show
@shaqdizo76787 ай бұрын
Rich kaja ana anjaa😂 anakula sana Cake 🍰🎂😂
@neemanziku54037 ай бұрын
Jmn Richi mavoko kachakaa kama vile hajatoka kwa mondi du
@silageorge16387 ай бұрын
Naona comment eti diamond kakosea kwani Simba kafanyaje
@SophlaJackson-nt1nc
7 ай бұрын
Na mimi nashangaa
@MCNgakungaJunior
7 ай бұрын
Labda atakuwa alimpa mkono
@QueenJamila1
7 ай бұрын
Ala😂😂😂😂nimechekaaa
@user-ry2th6rf9d
3 ай бұрын
Simba took his stars⭐⭐ which is very bad👎
@alhajiFashions756312 күн бұрын
Waaaaah
@AbilahSalumu-qx1cb2 ай бұрын
Mavoko
@user-hj4bc5uh2x7 ай бұрын
Bola ugalidagaa kwenye amani kuliko muonekano wakiume kumbe ibada za mduara uchi
@nurunewz1036 ай бұрын
Mavoko kaja na njaa jukwaani jukwaani, amekonda sana kamanda.
@elizabethswai77777 ай бұрын
Mkojani anachezaje?mikono😂😂😂
@WycliffeAbdulLigare7 ай бұрын
Ww rich mavoko umefulia...kwa kweli laana ya baba ni mbaya...ungevumilia wcb utoke kwa utaratibu....sasahivi #ata dvoice amekupita
@user-gs1ef7rv6p
7 ай бұрын
We ndo una laana ya babako hivi alikua abaki Kwa u devil weeee Rizki anyopata ni ya halali
@WycliffeAbdulLigare
7 ай бұрын
@@user-gs1ef7rv6p akuna cha devil worshippers wasafi...simba anajituma tu kwa bidii...umewahi ona nani kwa familia yake akifa ama kutolewa kafara..ww endelea kufikiria ujinga na watu wanakesha wakifanya kazi ilihali ww na iyo akili yako mbovu unakesha ukila mkewo...fanya kazi na ujiamini kila kitu kitakuendea sawa....acha wivu kwa mafanikio ya watu wanaopeperesha bendera ya dunia mzima...ambia Richard ukweli..alikataa kulipa faini ya mukataba ndio maana account yke ilitolewa ikarudishwa wasafi...ata nyimbo mingi alitoa akiwa wasafi hapati hela....wasafi ndio wanapata hizo hela... so dnt judge someone who's overworking to make his family rich and happy ..
@Kuminamoja19957 ай бұрын
Aliemroga MVK kafatayari 😢
@AllysaidKarambo7 ай бұрын
Amini kaka mungu atakusimamia komaa
@perpetuamagesa23057 ай бұрын
😂😂😂😂 rich umekuwa kama kuni umechoka 😂😂 kofia za buku buku dah mondi amekumalia dunia aina uluma hahahahaha
@user-us4tg2it5q
7 ай бұрын
😅😅😅and
@joezeno87 ай бұрын
Jamaa afanye kilimo
@NossoBad12 күн бұрын
❤
@user-by3vo8wf7k7 ай бұрын
Yani Maisha Ya kupenda Ustar Some time Yani fraisha Sana🤣🤣🤣
@ramadanesaidesalimo55427 ай бұрын
Tudo bem i lo❤e you
@omaryrazalo43027 ай бұрын
Da mavoko umekonda sana nn shida kaka
@djhajiztz
7 ай бұрын
stress
@mariamshabani71077 ай бұрын
❤❤❤❤
@usindemdamo5299Ай бұрын
❤🎉🎉🎉
@user-gl7fu9lr5w7 ай бұрын
❤a
@faidhacute7 ай бұрын
Yan jamaa mpaka anatia huruma aisee rich mavoko unajipa furaha lakn moyon mwako una strees aisee pole sana mwenyezimungu akunyanyue😢
@djhajiztz
7 ай бұрын
dah😂
@yassinshaban2634
7 ай бұрын
Kidogo anachokipata anaridhika.
@stephenmasha86237 ай бұрын
Na amekonda kweli, kavaa basi ili tusione daaah 😢
@djhajiztz7 ай бұрын
mavoko kauze dagaa
@yonaroberth37456 ай бұрын
Ninaamini ipo siku tu aliyemshusha "mavoko" naye atashushwa, alafu usifurahi "richi" kuwa hvyo asume ungelikuwa ww..
@victorcephas36187 ай бұрын
Kaisha dah pambana utarudi tena
@hamisially20557 ай бұрын
Leo GOT MESS
@milliardere91777 ай бұрын
hamumsapoti kazi kuumusema
@rosemutaki97304 ай бұрын
Mbna rich kakonda ivo mgonjwa ama nn
@nabillkhamis81887 ай бұрын
Richi sio msaanii tena ni mchekeshaji kwa ss hiv
@ShomariShukuru-kh2uz7 ай бұрын
Mungu azidi kuku simamia
@user-ig8wc8ye3k7 ай бұрын
Nop mnamcingizia tuuh mond jmn hii Dunia tatizo wengi wetu elimu hatuna so tunaposign mikataba nawatu kidogo wenye upeo njaa huwa haitukumbushi kusoma vizur maelekezo namashart yake ukitaka kujitoa...
@neemanziku54037 ай бұрын
Mondi Mungu anakuona da!!
@agnesjohn9382
7 ай бұрын
😂😂 umejuaje kama ni Mond mbona mmakonde yuko vizuri
@islamsadiki47477 ай бұрын
Huyu kweli
@Maggie8247 ай бұрын
I love you ❤❤❤❤RealMavocals
@flova70227 ай бұрын
Tiny kituko
@erasmimasharecharlesimboya67627 ай бұрын
Dijy kazingua
@user-tw1ve1mf8l7 ай бұрын
Mondii ni shetani hatri sanaa ila rich utainuka tena
@Kuminamoja19957 ай бұрын
Mzee wa chaka tu chaka 😂
@faidhacute
7 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@user-pd6hg8pn1e5 ай бұрын
Kwishaaaa
@candidoderosa7 ай бұрын
Bahada ya chaka 2 chaka, lusha ngoma moja na kiba twangalie game itakuwaje...
@khadidjaabdi-hd8py7 ай бұрын
Mond kamlomga mwenzie asifanikiwe tenaa😂😂😂❤❤
@ChidiChidi-uh7ki
7 ай бұрын
Bado hamjasema,,
@khadidjaabdi-hd8py
7 ай бұрын
@@ChidiChidi-uh7ki natutasemaa tuuu
@ChidiChidi-uh7ki
7 ай бұрын
Simba lamasimba dangote,
@user-pd6hg8pn1e
5 ай бұрын
Kabisaaaaa😢😢😢
@user-ig8wc8ye3k7 ай бұрын
Kwahiyo hili nifunzo kwawengine jmn tukumbuke kusoma vizur mikataba tunapokuwa nanjaa tukishiba tutapike vizur sehemu Salam ndio ipo hivyo...
@jeofreymsomba72007 ай бұрын
Simba la masimba dangote ukishindana nae unachakaaa
@flova7022
7 ай бұрын
Acha kutaja huyo mjinga...kama ye mwamba mbna kamshindwa harmo na ali
Пікірлер: 117
Mavoko please😢😢😢 come back we still love you❤❤❤❤❤❤❤
So sad rich Mungu akutie nguvu kunasiku utainuka Tena na chat yako kama Zaman ww ni mkali Sana... One love💥
Watu wabaya sana'lakini kuna siku mungu atakuludisha ktk mxiki tena.
Nakubali na mavoko kabisa mamuzi uliyoichukua ni sahihi
Maisha ndivyo yalivyo kuna kupanda na kushuka Yote sawa Sote Tunapitiaga Chamsingi uzima tuu Mambo Yote Yanawezekana ❤❤❤❤@Mavoko Namukubli sanaa ❤❤❤
Dah life hii bwana noma sn broo nakupenda sn mavoko
mavoko bd ypo good tuu
Mavoko bado unapedwa sana toa ngoma sapot utaipata
Much love to you rich mavoko
wow life changes
Unyama mwingi ❤
Mwamba kama mwamba amini wew bado fundi mashabiki bado tunakuitaji kwenye gm unyama mwingi ❤
😢 Yani rizki ya mutu ni rizki tuh,,,mond ungu anakuona
Daaah nimelia ni kama unaingia mjini kusaka pesa alfu umarudi kijijini bila pesa
@agnesjohn9382
7 ай бұрын
Ni life wala usishangae
Usiku ukipiga simu huku unajiliza,even me mama aaaaa unaniumiza, rich is the best muziki halisia usobustiwa na mashetan
Yani mpaka huruma😢
Duh hapo hamna kt hatupo hapa kumtia mtu moyo afu mbn mashabiki hamuoneshi
Rich bado hujiamin fanya kazi seriously bro maisha yapo ivo ukiona aibu Leo ipo cku utajutia ata hizi chance
@SophlaJackson-nt1nc
7 ай бұрын
au sio😂
Bro ungana na mabro wako kafanye comedy 🤣
@agnesjohn9382
7 ай бұрын
😂😂 hilo nalo neno
I love this guy, I like listening to his songs
Ni comedy au show
Rich kaja ana anjaa😂 anakula sana Cake 🍰🎂😂
Jmn Richi mavoko kachakaa kama vile hajatoka kwa mondi du
Naona comment eti diamond kakosea kwani Simba kafanyaje
@SophlaJackson-nt1nc
7 ай бұрын
Na mimi nashangaa
@MCNgakungaJunior
7 ай бұрын
Labda atakuwa alimpa mkono
@QueenJamila1
7 ай бұрын
Ala😂😂😂😂nimechekaaa
@user-ry2th6rf9d
3 ай бұрын
Simba took his stars⭐⭐ which is very bad👎
Waaaaah
Mavoko
Bola ugalidagaa kwenye amani kuliko muonekano wakiume kumbe ibada za mduara uchi
Mavoko kaja na njaa jukwaani jukwaani, amekonda sana kamanda.
Mkojani anachezaje?mikono😂😂😂
Ww rich mavoko umefulia...kwa kweli laana ya baba ni mbaya...ungevumilia wcb utoke kwa utaratibu....sasahivi #ata dvoice amekupita
@user-gs1ef7rv6p
7 ай бұрын
We ndo una laana ya babako hivi alikua abaki Kwa u devil weeee Rizki anyopata ni ya halali
@WycliffeAbdulLigare
7 ай бұрын
@@user-gs1ef7rv6p akuna cha devil worshippers wasafi...simba anajituma tu kwa bidii...umewahi ona nani kwa familia yake akifa ama kutolewa kafara..ww endelea kufikiria ujinga na watu wanakesha wakifanya kazi ilihali ww na iyo akili yako mbovu unakesha ukila mkewo...fanya kazi na ujiamini kila kitu kitakuendea sawa....acha wivu kwa mafanikio ya watu wanaopeperesha bendera ya dunia mzima...ambia Richard ukweli..alikataa kulipa faini ya mukataba ndio maana account yke ilitolewa ikarudishwa wasafi...ata nyimbo mingi alitoa akiwa wasafi hapati hela....wasafi ndio wanapata hizo hela... so dnt judge someone who's overworking to make his family rich and happy ..
Aliemroga MVK kafatayari 😢
Amini kaka mungu atakusimamia komaa
😂😂😂😂 rich umekuwa kama kuni umechoka 😂😂 kofia za buku buku dah mondi amekumalia dunia aina uluma hahahahaha
@user-us4tg2it5q
7 ай бұрын
😅😅😅and
Jamaa afanye kilimo
❤
Yani Maisha Ya kupenda Ustar Some time Yani fraisha Sana🤣🤣🤣
Tudo bem i lo❤e you
Da mavoko umekonda sana nn shida kaka
@djhajiztz
7 ай бұрын
stress
❤❤❤❤
❤🎉🎉🎉
❤a
Yan jamaa mpaka anatia huruma aisee rich mavoko unajipa furaha lakn moyon mwako una strees aisee pole sana mwenyezimungu akunyanyue😢
@djhajiztz
7 ай бұрын
dah😂
@yassinshaban2634
7 ай бұрын
Kidogo anachokipata anaridhika.
Na amekonda kweli, kavaa basi ili tusione daaah 😢
mavoko kauze dagaa
Ninaamini ipo siku tu aliyemshusha "mavoko" naye atashushwa, alafu usifurahi "richi" kuwa hvyo asume ungelikuwa ww..
Kaisha dah pambana utarudi tena
Leo GOT MESS
hamumsapoti kazi kuumusema
Mbna rich kakonda ivo mgonjwa ama nn
Richi sio msaanii tena ni mchekeshaji kwa ss hiv
Mungu azidi kuku simamia
Nop mnamcingizia tuuh mond jmn hii Dunia tatizo wengi wetu elimu hatuna so tunaposign mikataba nawatu kidogo wenye upeo njaa huwa haitukumbushi kusoma vizur maelekezo namashart yake ukitaka kujitoa...
Mondi Mungu anakuona da!!
@agnesjohn9382
7 ай бұрын
😂😂 umejuaje kama ni Mond mbona mmakonde yuko vizuri
Huyu kweli
I love you ❤❤❤❤RealMavocals
Tiny kituko
Dijy kazingua
Mondii ni shetani hatri sanaa ila rich utainuka tena
Mzee wa chaka tu chaka 😂
@faidhacute
7 ай бұрын
😂😂😂😂😂
Kwishaaaa
Bahada ya chaka 2 chaka, lusha ngoma moja na kiba twangalie game itakuwaje...
Mond kamlomga mwenzie asifanikiwe tenaa😂😂😂❤❤
@ChidiChidi-uh7ki
7 ай бұрын
Bado hamjasema,,
@khadidjaabdi-hd8py
7 ай бұрын
@@ChidiChidi-uh7ki natutasemaa tuuu
@ChidiChidi-uh7ki
7 ай бұрын
Simba lamasimba dangote,
@user-pd6hg8pn1e
5 ай бұрын
Kabisaaaaa😢😢😢
Kwahiyo hili nifunzo kwawengine jmn tukumbuke kusoma vizur mikataba tunapokuwa nanjaa tukishiba tutapike vizur sehemu Salam ndio ipo hivyo...
Simba la masimba dangote ukishindana nae unachakaaa
@flova7022
7 ай бұрын
Acha kutaja huyo mjinga...kama ye mwamba mbna kamshindwa harmo na ali
Alikosea kutoka WCB.
Mavoko kachoka kweli kweli
Diamond anaroga wasani wakishatoka wasafi but hamo alishindikana chezea ww wakimakonde.
Ludieni na konde kitu kingine
Basi ndugu MVK,piga moyo monde,nime furahi kuona uko tena,diniya ni game.(yule utakaye muacha ju msubiri) natumaini utatoka
Mavoko badounaweza unyama mwingi
Huyo jamaa nilishaga wahi kusema ipo siku atakiua kipaji chake hasa alipojiunga na wasafi. Ila usikate tamaa muda bado unao pambana
Mi kama sielewi kwa nn mondi analaumiwa. Yeye anashika riziki ya mtu kwan?
Ududu mwingi
Mavoco wa wasafi alikuwa hatar tuache utani sema alienda kuua kipaj sahv hana mvuto kapooza mno
Daah Diamond mung anakuona lkn
@agnesjohn9382
7 ай бұрын
Mmakonde mbona yuko good
@LatifaLazaro
7 ай бұрын
@@agnesjohn9382tatizo alikubari mashart uyu alikataa ndo maana wakampotez pia aliumwa sana we ushawah mshuhudia kavaa mapete mawili vidoleni mavoco?
Hakuna msanii hapa
@servantofalmightygoddranth2511
7 ай бұрын
Huna unalojua Jamaa alikataa kuunganishwa ufrimasoni na illuminat na domo kubwa diamond
@nittyswagger9091
7 ай бұрын
Kuna nini😢
@lucasmhagama8166
7 ай бұрын
@@servantofalmightygoddranth2511una ushahidi? Ulikuwepo kwenye hicho kikao?
@DavalsonMarlony
7 ай бұрын
@@servantofalmightygoddranth2511kuwa na ww msanii
@faidhacute
7 ай бұрын
@@servantofalmightygoddranth2511acha uongo ww mamb hayo umetolea wap ww acha unafki
Mbona mavoko kakonda hivyo Kuna nini...jmn tujitunze vijna
@nurunewz103
6 ай бұрын
Alidanganywa kutoka WCB.
Yaan mond mtu mbaya xana dah! Ila pambana xana mwanangu omba colabo na harmo tena
@nabillkhamis8188
7 ай бұрын
Hana uwezo wa kuomba ata zaziba
@ramadhanbofu8262
7 ай бұрын
Sasa mondi kaingiaje hapo kamzuia kuimba au???
@eliuskamwelwe1018
7 ай бұрын
Mondi anahusika nn na mtu kuchoka🤣🤣 maisha yamemchapa apambane anisimame tena
Huku kuporomoka ki mziki 😂😂😂
Maisha yako ni jukumu lako usilaumu mtu
Pambana mavoko tupo tunakuiitaji, usitufelishe Moçambique MUEDA
❤❤❤❤