RICH MAVOKO ,KWA SASA NINAFURAHA NA MAISHA YANGU ,NIMEKUBALIANA NA HALI YANGU

Ойын-сауық

#bongo24 #richmavoko #wcb

Пікірлер: 117

  • @user-ry2th6rf9d
    @user-ry2th6rf9d3 ай бұрын

    Mavoko please😢😢😢 come back we still love you❤❤❤❤❤❤❤

  • @ernestgeorge8412
    @ernestgeorge84127 ай бұрын

    So sad rich Mungu akutie nguvu kunasiku utainuka Tena na chat yako kama Zaman ww ni mkali Sana... One love💥

  • @aminaomary5567
    @aminaomary55672 ай бұрын

    Watu wabaya sana'lakini kuna siku mungu atakuludisha ktk mxiki tena.

  • @PrislyLigazz
    @PrislyLigazzАй бұрын

    Nakubali na mavoko kabisa mamuzi uliyoichukua ni sahihi

  • @zedzoomextra
    @zedzoomextra7 ай бұрын

    Maisha ndivyo yalivyo kuna kupanda na kushuka Yote sawa Sote Tunapitiaga Chamsingi uzima tuu Mambo Yote Yanawezekana ❤❤❤❤@Mavoko Namukubli sanaa ❤❤❤

  • @mrishoshabani8390
    @mrishoshabani83907 ай бұрын

    Dah life hii bwana noma sn broo nakupenda sn mavoko

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony7 ай бұрын

    mavoko bd ypo good tuu

  • @RehemaSalum-vp6rf
    @RehemaSalum-vp6rf7 ай бұрын

    Mavoko bado unapedwa sana toa ngoma sapot utaipata

  • @user-hf5sm4hv5h
    @user-hf5sm4hv5h6 ай бұрын

    Much love to you rich mavoko

  • @mikutho9820
    @mikutho98204 ай бұрын

    wow life changes

  • @lawlawisahadi9202
    @lawlawisahadi92027 ай бұрын

    Unyama mwingi ❤

  • @yasinapprosper7177
    @yasinapprosper71777 ай бұрын

    Mwamba kama mwamba amini wew bado fundi mashabiki bado tunakuitaji kwenye gm unyama mwingi ❤

  • @elizabethnguma3379
    @elizabethnguma33797 ай бұрын

    😢 Yani rizki ya mutu ni rizki tuh,,,mond ungu anakuona

  • @D-Man.B-Free
    @D-Man.B-Free7 ай бұрын

    Daaah nimelia ni kama unaingia mjini kusaka pesa alfu umarudi kijijini bila pesa

  • @agnesjohn9382

    @agnesjohn9382

    7 ай бұрын

    Ni life wala usishangae

  • @VashtChisongela
    @VashtChisongela7 ай бұрын

    Usiku ukipiga simu huku unajiliza,even me mama aaaaa unaniumiza, rich is the best muziki halisia usobustiwa na mashetan

  • @Reyneville-
    @Reyneville-7 ай бұрын

    Yani mpaka huruma😢

  • @EliasJohn-lc8nu
    @EliasJohn-lc8nu7 ай бұрын

    Duh hapo hamna kt hatupo hapa kumtia mtu moyo afu mbn mashabiki hamuoneshi

  • @amedeuskimario8895
    @amedeuskimario88957 ай бұрын

    Rich bado hujiamin fanya kazi seriously bro maisha yapo ivo ukiona aibu Leo ipo cku utajutia ata hizi chance

  • @SophlaJackson-nt1nc

    @SophlaJackson-nt1nc

    7 ай бұрын

    au sio😂

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja19957 ай бұрын

    Bro ungana na mabro wako kafanye comedy 🤣

  • @agnesjohn9382

    @agnesjohn9382

    7 ай бұрын

    😂😂 hilo nalo neno

  • @willywilly3238
    @willywilly32386 ай бұрын

    I love this guy, I like listening to his songs

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja19957 ай бұрын

    Ni comedy au show

  • @shaqdizo7678
    @shaqdizo76787 ай бұрын

    Rich kaja ana anjaa😂 anakula sana Cake 🍰🎂😂

  • @neemanziku5403
    @neemanziku54037 ай бұрын

    Jmn Richi mavoko kachakaa kama vile hajatoka kwa mondi du

  • @silageorge1638
    @silageorge16387 ай бұрын

    Naona comment eti diamond kakosea kwani Simba kafanyaje

  • @SophlaJackson-nt1nc

    @SophlaJackson-nt1nc

    7 ай бұрын

    Na mimi nashangaa

  • @MCNgakungaJunior

    @MCNgakungaJunior

    7 ай бұрын

    Labda atakuwa alimpa mkono

  • @QueenJamila1

    @QueenJamila1

    7 ай бұрын

    Ala😂😂😂😂nimechekaaa

  • @user-ry2th6rf9d

    @user-ry2th6rf9d

    3 ай бұрын

    Simba took his stars⭐⭐ which is very bad👎

  • @alhajiFashions7563
    @alhajiFashions756312 күн бұрын

    Waaaaah

  • @AbilahSalumu-qx1cb
    @AbilahSalumu-qx1cb2 ай бұрын

    Mavoko

  • @user-hj4bc5uh2x
    @user-hj4bc5uh2x7 ай бұрын

    Bola ugalidagaa kwenye amani kuliko muonekano wakiume kumbe ibada za mduara uchi

  • @nurunewz103
    @nurunewz1036 ай бұрын

    Mavoko kaja na njaa jukwaani jukwaani, amekonda sana kamanda.

  • @elizabethswai7777
    @elizabethswai77777 ай бұрын

    Mkojani anachezaje?mikono😂😂😂

  • @WycliffeAbdulLigare
    @WycliffeAbdulLigare7 ай бұрын

    Ww rich mavoko umefulia...kwa kweli laana ya baba ni mbaya...ungevumilia wcb utoke kwa utaratibu....sasahivi #ata dvoice amekupita

  • @user-gs1ef7rv6p

    @user-gs1ef7rv6p

    7 ай бұрын

    We ndo una laana ya babako hivi alikua abaki Kwa u devil weeee Rizki anyopata ni ya halali

  • @WycliffeAbdulLigare

    @WycliffeAbdulLigare

    7 ай бұрын

    @@user-gs1ef7rv6p akuna cha devil worshippers wasafi...simba anajituma tu kwa bidii...umewahi ona nani kwa familia yake akifa ama kutolewa kafara..ww endelea kufikiria ujinga na watu wanakesha wakifanya kazi ilihali ww na iyo akili yako mbovu unakesha ukila mkewo...fanya kazi na ujiamini kila kitu kitakuendea sawa....acha wivu kwa mafanikio ya watu wanaopeperesha bendera ya dunia mzima...ambia Richard ukweli..alikataa kulipa faini ya mukataba ndio maana account yke ilitolewa ikarudishwa wasafi...ata nyimbo mingi alitoa akiwa wasafi hapati hela....wasafi ndio wanapata hizo hela... so dnt judge someone who's overworking to make his family rich and happy ..

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja19957 ай бұрын

    Aliemroga MVK kafatayari 😢

  • @AllysaidKarambo
    @AllysaidKarambo7 ай бұрын

    Amini kaka mungu atakusimamia komaa

  • @perpetuamagesa2305
    @perpetuamagesa23057 ай бұрын

    😂😂😂😂 rich umekuwa kama kuni umechoka 😂😂 kofia za buku buku dah mondi amekumalia dunia aina uluma hahahahaha

  • @user-us4tg2it5q

    @user-us4tg2it5q

    7 ай бұрын

    😅😅😅and

  • @joezeno8
    @joezeno87 ай бұрын

    Jamaa afanye kilimo

  • @NossoBad
    @NossoBad12 күн бұрын

  • @user-by3vo8wf7k
    @user-by3vo8wf7k7 ай бұрын

    Yani Maisha Ya kupenda Ustar Some time Yani fraisha Sana🤣🤣🤣

  • @ramadanesaidesalimo5542
    @ramadanesaidesalimo55427 ай бұрын

    Tudo bem i lo❤e you

  • @omaryrazalo4302
    @omaryrazalo43027 ай бұрын

    Da mavoko umekonda sana nn shida kaka

  • @djhajiztz

    @djhajiztz

    7 ай бұрын

    stress

  • @mariamshabani7107
    @mariamshabani71077 ай бұрын

    ❤❤❤❤

  • @usindemdamo5299
    @usindemdamo5299Ай бұрын

    ❤🎉🎉🎉

  • @user-gl7fu9lr5w
    @user-gl7fu9lr5w7 ай бұрын

    ❤a

  • @faidhacute
    @faidhacute7 ай бұрын

    Yan jamaa mpaka anatia huruma aisee rich mavoko unajipa furaha lakn moyon mwako una strees aisee pole sana mwenyezimungu akunyanyue😢

  • @djhajiztz

    @djhajiztz

    7 ай бұрын

    dah😂

  • @yassinshaban2634

    @yassinshaban2634

    7 ай бұрын

    Kidogo anachokipata anaridhika.

  • @stephenmasha8623
    @stephenmasha86237 ай бұрын

    Na amekonda kweli, kavaa basi ili tusione daaah 😢

  • @djhajiztz
    @djhajiztz7 ай бұрын

    mavoko kauze dagaa

  • @yonaroberth3745
    @yonaroberth37456 ай бұрын

    Ninaamini ipo siku tu aliyemshusha "mavoko" naye atashushwa, alafu usifurahi "richi" kuwa hvyo asume ungelikuwa ww..

  • @victorcephas3618
    @victorcephas36187 ай бұрын

    Kaisha dah pambana utarudi tena

  • @hamisially2055
    @hamisially20557 ай бұрын

    Leo GOT MESS

  • @milliardere9177
    @milliardere91777 ай бұрын

    hamumsapoti kazi kuumusema

  • @rosemutaki9730
    @rosemutaki97304 ай бұрын

    Mbna rich kakonda ivo mgonjwa ama nn

  • @nabillkhamis8188
    @nabillkhamis81887 ай бұрын

    Richi sio msaanii tena ni mchekeshaji kwa ss hiv

  • @ShomariShukuru-kh2uz
    @ShomariShukuru-kh2uz7 ай бұрын

    Mungu azidi kuku simamia

  • @user-ig8wc8ye3k
    @user-ig8wc8ye3k7 ай бұрын

    Nop mnamcingizia tuuh mond jmn hii Dunia tatizo wengi wetu elimu hatuna so tunaposign mikataba nawatu kidogo wenye upeo njaa huwa haitukumbushi kusoma vizur maelekezo namashart yake ukitaka kujitoa...

  • @neemanziku5403
    @neemanziku54037 ай бұрын

    Mondi Mungu anakuona da!!

  • @agnesjohn9382

    @agnesjohn9382

    7 ай бұрын

    😂😂 umejuaje kama ni Mond mbona mmakonde yuko vizuri

  • @islamsadiki4747
    @islamsadiki47477 ай бұрын

    Huyu kweli

  • @Maggie824
    @Maggie8247 ай бұрын

    I love you ❤❤❤❤RealMavocals

  • @flova7022
    @flova70227 ай бұрын

    Tiny kituko

  • @erasmimasharecharlesimboya6762
    @erasmimasharecharlesimboya67627 ай бұрын

    Dijy kazingua

  • @user-tw1ve1mf8l
    @user-tw1ve1mf8l7 ай бұрын

    Mondii ni shetani hatri sanaa ila rich utainuka tena

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja19957 ай бұрын

    Mzee wa chaka tu chaka 😂

  • @faidhacute

    @faidhacute

    7 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @user-pd6hg8pn1e
    @user-pd6hg8pn1e5 ай бұрын

    Kwishaaaa

  • @candidoderosa
    @candidoderosa7 ай бұрын

    Bahada ya chaka 2 chaka, lusha ngoma moja na kiba twangalie game itakuwaje...

  • @khadidjaabdi-hd8py
    @khadidjaabdi-hd8py7 ай бұрын

    Mond kamlomga mwenzie asifanikiwe tenaa😂😂😂❤❤

  • @ChidiChidi-uh7ki

    @ChidiChidi-uh7ki

    7 ай бұрын

    Bado hamjasema,,

  • @khadidjaabdi-hd8py

    @khadidjaabdi-hd8py

    7 ай бұрын

    @@ChidiChidi-uh7ki natutasemaa tuuu

  • @ChidiChidi-uh7ki

    @ChidiChidi-uh7ki

    7 ай бұрын

    Simba lamasimba dangote,

  • @user-pd6hg8pn1e

    @user-pd6hg8pn1e

    5 ай бұрын

    Kabisaaaaa😢😢😢

  • @user-ig8wc8ye3k
    @user-ig8wc8ye3k7 ай бұрын

    Kwahiyo hili nifunzo kwawengine jmn tukumbuke kusoma vizur mikataba tunapokuwa nanjaa tukishiba tutapike vizur sehemu Salam ndio ipo hivyo...

  • @jeofreymsomba7200
    @jeofreymsomba72007 ай бұрын

    Simba la masimba dangote ukishindana nae unachakaaa

  • @flova7022

    @flova7022

    7 ай бұрын

    Acha kutaja huyo mjinga...kama ye mwamba mbna kamshindwa harmo na ali

  • @nurunewz103
    @nurunewz1036 ай бұрын

    Alikosea kutoka WCB.

  • @user-px3po9lt8g
    @user-px3po9lt8g7 ай бұрын

    Mavoko kachoka kweli kweli

  • @kaltumahamid7892
    @kaltumahamid78926 ай бұрын

    Diamond anaroga wasani wakishatoka wasafi but hamo alishindikana chezea ww wakimakonde.

  • @RojazTz
    @RojazTz7 ай бұрын

    Ludieni na konde kitu kingine

  • @gombanirombalejames8958
    @gombanirombalejames89587 ай бұрын

    Basi ndugu MVK,piga moyo monde,nime furahi kuona uko tena,diniya ni game.(yule utakaye muacha ju msubiri) natumaini utatoka

  • @AllysaidKarambo
    @AllysaidKarambo7 ай бұрын

    Mavoko badounaweza unyama mwingi

  • @dennisezakiel3380
    @dennisezakiel33807 ай бұрын

    Huyo jamaa nilishaga wahi kusema ipo siku atakiua kipaji chake hasa alipojiunga na wasafi. Ila usikate tamaa muda bado unao pambana

  • @fredricksabick-hi1fl
    @fredricksabick-hi1fl7 ай бұрын

    Mi kama sielewi kwa nn mondi analaumiwa. Yeye anashika riziki ya mtu kwan?

  • @HalimaAthuman-us8gi
    @HalimaAthuman-us8gi7 ай бұрын

    Ududu mwingi

  • @mabenzimabenzi4348
    @mabenzimabenzi43486 ай бұрын

    Mavoco wa wasafi alikuwa hatar tuache utani sema alienda kuua kipaj sahv hana mvuto kapooza mno

  • @jastinedaudi-qi9vr
    @jastinedaudi-qi9vr7 ай бұрын

    Daah Diamond mung anakuona lkn

  • @agnesjohn9382

    @agnesjohn9382

    7 ай бұрын

    Mmakonde mbona yuko good

  • @LatifaLazaro

    @LatifaLazaro

    7 ай бұрын

    ​@@agnesjohn9382tatizo alikubari mashart uyu alikataa ndo maana wakampotez pia aliumwa sana we ushawah mshuhudia kavaa mapete mawili vidoleni mavoco?

  • @furahachuma9039
    @furahachuma90397 ай бұрын

    Hakuna msanii hapa

  • @servantofalmightygoddranth2511

    @servantofalmightygoddranth2511

    7 ай бұрын

    Huna unalojua Jamaa alikataa kuunganishwa ufrimasoni na illuminat na domo kubwa diamond

  • @nittyswagger9091

    @nittyswagger9091

    7 ай бұрын

    Kuna nini😢

  • @lucasmhagama8166

    @lucasmhagama8166

    7 ай бұрын

    ​@@servantofalmightygoddranth2511una ushahidi? Ulikuwepo kwenye hicho kikao?

  • @DavalsonMarlony

    @DavalsonMarlony

    7 ай бұрын

    ​@@servantofalmightygoddranth2511kuwa na ww msanii

  • @faidhacute

    @faidhacute

    7 ай бұрын

    ​@@servantofalmightygoddranth2511acha uongo ww mamb hayo umetolea wap ww acha unafki

  • @flova7022
    @flova70227 ай бұрын

    Mbona mavoko kakonda hivyo Kuna nini...jmn tujitunze vijna

  • @nurunewz103

    @nurunewz103

    6 ай бұрын

    Alidanganywa kutoka WCB.

  • @nurumwenkale7278
    @nurumwenkale72787 ай бұрын

    Yaan mond mtu mbaya xana dah! Ila pambana xana mwanangu omba colabo na harmo tena

  • @nabillkhamis8188

    @nabillkhamis8188

    7 ай бұрын

    Hana uwezo wa kuomba ata zaziba

  • @ramadhanbofu8262

    @ramadhanbofu8262

    7 ай бұрын

    Sasa mondi kaingiaje hapo kamzuia kuimba au???

  • @eliuskamwelwe1018

    @eliuskamwelwe1018

    7 ай бұрын

    Mondi anahusika nn na mtu kuchoka🤣🤣 maisha yamemchapa apambane anisimame tena

  • @ismailchibonda5005
    @ismailchibonda50057 ай бұрын

    Huku kuporomoka ki mziki 😂😂😂

  • @RadaMic-sq6ld
    @RadaMic-sq6ld7 ай бұрын

    Maisha yako ni jukumu lako usilaumu mtu

  • @TuaircachimoNantola-po7oo
    @TuaircachimoNantola-po7oo7 ай бұрын

    Pambana mavoko tupo tunakuiitaji, usitufelishe Moçambique MUEDA

  • @subirajohn728
    @subirajohn7287 ай бұрын

    ❤❤❤❤

Келесі