RECAP: Yaliyojiri uzinduzi wa CROWN MEDIA ya ALIKIBA, itakuwa kama WASAFI? SKY atakubali kusaini?
Ойын-сауық
Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.com/store/apps/de...
Пікірлер: 77
Baraka zetu unazo King kiba Allah akutangulie in shaa Allah ❤❤❤
Za alikiba Huwa wanazicheza bana tuulizeni ss tunaoshinda kwenye Tv labda za harmo ndo hazipigwi kiivyo ila wanapiga
Your number one fan from Kenya
NIMEKUWA WA KWANZA NAOMBENI COMMENTS #Crownfm ni nomaaaa
Nawakubali sanaa wazeee hii combination sio kitoto
@albartdastani3412
3 ай бұрын
About sky wizy
Watu wa Tunduma boy 🔥
Wow! itapendeza sana kama Sky atakubari kusaini 👍
Sky my brother, Aameen 🙏🏼 Wishing you all the best in life 🙏🏼 Baby Step... Utafika! Sky is the Limit 🙏🏼 🙌🏾 🙌🏾 I enjoy your Media.. 👍🏽💯
Crown TV 📺 is for everbody MY nome SAM PALSA nakaa apa #msumbiji 🇲🇿 #maputo, Big UP SNS 💪💪
@belitomanuel6240
3 ай бұрын
May name*
More love from Norway 🇳🇴
❤❤❤ AKA BACHUCHU MOMBASA 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
SKY YOU'LL NEED SNS POD CAST , TV, ONLINE RADIO WILL DEFINITELY SUPPORT ❤
“Leo una Radio ila Kelly yuko Jela”😂😂😂
Kumbe criss ni wa kwetu Mbeya, 💪
GREAT JOB SNS.🎉🎉🎉
MMUNGU Atakujalini 🙏✌️♥️
Yaan alietisha sana alikuwa ommy jmn jamaa yuko funny sana😂😂😂
mungu amfanyie wepesi inshallah
Good kingkiba
Napendelia Sana s.s❤
Brother Sky. Chris kuna ujumbe anao that KIBA hatabiriki c mtu wa chuki hata ukimthihaki. Bt pia big up pia coz ametoa fursa wasanii wengine na wake wa Kings music wataskika. Coz sai wasanii wakike walio juu tz ni Nandy na Zuchu bt wasafi wanamuonelelea sana vibaya Nandy mostly since alivyo zaa so wasanii kama hao watapata nafasi crown media. Its the same uku Kenya 🇰🇪 pia coz Royal media na Nation media they always talk negative about our government hata ikifanya jambo la tija ati kisa mabos wao wana support upinzani so it's the same though uko tz iko kwa entertainment uku Kenya 🇰🇪 iko kwa politics but all in all Ruto is the best Kenyan 👌 president ever.
Tupateane ya Zanzibar ❤
Sky naamini penye nia pana njia tutafika pamoja 😊😊😊
Kwa mm ninavo mjuwa Ali king hautatookea hata siku moja kupiga NGoma za wasafi AKA BACHUCHU MOMBASA 001 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Creez Favours akili kubwa
❤❤❤❤❤
Wasafi ndo ma clean kina edoku mwembe wamsomea,kina diva na kdhlka
🔥
Wasifi nikubwa sana
❤❤❤❤
Ss hatunaneno lkn shobo t2 hatutaki ss tunatakaiyende sns nawakubali sana manajua sana
Element sio Mpya Bana we sema ndio juzi umeanza kufika😁😁😁😁
Aliy kiba SHEREKO ❤
Wakwaza like please
CROWN FM inabidi ikipe nafasi kipindi cha CROWN NA SNS(SKY) ili atupe update za siku na matukio muhimu watu wanaopaswa kujua kila siku.. Kama Clouz na Millard Ayo..
@bjngft4985
3 ай бұрын
Kipindi cha Mjua ‘MJUE MSANII WAKO ALIPOTOKA’ hapo kunaweza chambua wasanii wazamani ngoma na story yake mpaka kuitengeneza na kutoka. Hapo wasikilizaji watajua mengi na kusikia mengi juu ya wasanii hao..
skai unaweza kutangaza magazet kutokana jins sauti yako na jins unsvyoweza kudadavua vitu so ukopoa na unaweza saluti sana mzee
Chris barabara ishaanza kutengenezwa kuanzia Airport mpaka uyole nsalaga
Ngoma za kiba wasafi zinapigwa saaaaana
Nandy siku zote anapendezanga ❤❤❤ tumpe mauwa yake 🔥🔥🥰🥰🥰
Kubwa sn hii
Nime penda iyi
𝒏𝒂𝒘𝒂𝒌𝒖𝒃𝒂𝒍𝒊 𝒔𝒂𝒏𝒂
Ndo maana sai namuamini dudubaya.. mwenye kampuni hana shida shida ipo kwa wafanyakazi na ukiwafosi wapige unawapoteza wafanyakazi
Ivi ni vitu gani vinaweza fanya mwanamke anipende? Nataka kuoa huu mwaka
@mrsinia3064
4 ай бұрын
Ustaarab, kujali na kujituma katika kazi vingine ni ziada
@bjngft4985
3 ай бұрын
Kuwa Mwanaume
Inaanza kuruka lini hii radio na tv
Ni kweli sns Ni dude kubwa nakubali na naheshim pia kaka sky✔️😍
Kila mtu ashinde mechi zake
Creez favors hapo kafanana na wakazi😊
@irenematari6218
3 ай бұрын
Ila creez apunguze chuki binafsi u guys should be neutral yaani I'm from Kenya but I see this guy's doesn't like anything to do with diamond. Otherwise pointi zengine anazo ukiondoa ushabiki wake
Angeanza redio muda mnoo kachelewa why now
Nimecheka hiyo part ya Ommy Dpoz
Mukitaka kabanda chenu cha media chafanikiwe, musichindane na Mond, nawasii
@MtuSafi
3 ай бұрын
Tulia kijana subiri hiyo media yako unayoipenda itakavyoporomoka watu washapelekana mahakaman wanataka kugawana shares boss kawa tapeli...Tena anaetaka share yake achukue anamiliki 51% na mwingine anamiliki 2% sasa sijui ataweza kuendesha company kwa 47%?...Sasa kuishi na akili zako za kukalili utazidi kuwa maskini.
Nikupiga za wasani wote
Harmonize na kiba nyimbo zao mbona zinapigwa wasafi
Hawa jamaa hawalali sa sita hii washaaprod video duh hamtaki tupumzike wazee
Crown fm 📻 tutakuwa tofauti
Media ya Alikiba inaitua CROWN 👑 MEDIA na ya domo ni Wasafi media GROUP ya watu wengiiiii including familiya 😂😅😂 so there is a BIG difference there, therefore ma fans wa domo atsheni TSHUKI
@user-pk1yl7zt8p
3 ай бұрын
Kenyoooo sura ka chup la mam aky eb rud school ngel hujui
Diamond Platnumz ndio kigezo cha Wasanii wote East Africa.... Alikiba anacopy kile Diamond anakifanya⚠️⚠️⚠️⚠️⚠️
Brother Sky. Chris kunakitu I think anacho KIBA si mtu wakujipendelea saan so I hope ataleta mwonekano mpya mbali na tunavyo tarajia. Then KIBA ametafuta another way of supporting Kings music artist. Namna wanavyo baniwa na wasafi fm pia Kenya 🇰🇪 we have the same challenges bt in politics 😅 Royal media na Nation media they are supporting opposition so hata serikali ikifanya jambo jema still tunatangaziwa serikali inafeli the same there sai wasani wakike
Wasafi ni 🔥🔥 mondy hanaga Kaz ndogo nazani na nyie mnamjua
@badifundi6089
3 ай бұрын
Mwambie akuoe basi
@mbembelatv
3 ай бұрын
Uchawa ni utumwa km utumwa mwingine t pole
@MomaDedu
3 ай бұрын
Tujifunze kutokushindanisha kila kitu Mungu amempangia kila mtu riziki yake support unapoona pazur sio kuleta mambo kama haya kila siku tushawachoka
@futurekibingu69
3 ай бұрын
Unafagilia media ya familiar no content family drama
minataka crown fm wamuibe cris favor na J man 🔥🔥🔥 sky atafute wengine kwani kuna ubaya apo 😂😂😂
@user-uj5wg9mm2t
3 ай бұрын
Utarogwa😂😂😂😂
Esco my guy Whoever shaved you, messed up the line cut🪒 😊 just saying as your fan, let them do better next time 👊
❤❤❤❤❤
yaani kila nikikutana na hii crip ya ommy lazima nicheke tu kaua