RC CHALAMILA AMCHEKESHA RAIS SAMIA - ''HATA MIMI PIA ni MSANII - INABIDI MJE MCHEZE HAPA''...

RC CHALAMILA AMCHEKESHA RAIS SAMIA - ''HATA MIMI PIA ni MSANII - INABIDI MJE MCHEZE HAPA''...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Пікірлер: 45

  • @globaltv_online
    @globaltv_onlineАй бұрын

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156Ай бұрын

    HONGERA SSSSSSANA MH RAISI WANGU KWA KUJIACHIA URAIANI! NCHI IMETULIA KIMYAAAA!❤

  • @samwa9496
    @samwa9496Ай бұрын

    Mama kapendeza 👏👏👏

  • @juliusphaustine
    @juliusphaustineАй бұрын

    Big up harmonize

  • @NurdinSaleh-jf8so
    @NurdinSaleh-jf8soАй бұрын

    Kwa kweli kutoka moyon mwangu nampenda sana Rais mama Samia SULUHU HASSAN

  • @diplomaticdiplomatic3931
    @diplomaticdiplomatic3931Ай бұрын

    Hata Mimi pia. Msanii

  • @user-cu9sq7yk3z
    @user-cu9sq7yk3zАй бұрын

    Ladies in publck hongera mama uko vizuri tuko pamoja unanweza

  • @faridahalwaily85
    @faridahalwaily85Ай бұрын

    MashaAllaah MashaAllaah mama samiyaa uumependezaaa khan saa khamasaaaaa

  • @deogratiaskatinda9232
    @deogratiaskatinda9232Ай бұрын

    Kuna kuchanganyikiwa kwingi kwa viongozi wetu kwa sasa

  • @jamesloshilunye414

    @jamesloshilunye414

    Ай бұрын

    Ki ukweli mpka roho inauma sana,,Nani anaangalia kesho ya Tanzania??? 😭😭😭😭😭Tnajenga nchi ya namna gani ??? Tutakuwa na vijana wenye uwezo wa kudhubutu kufanya mambo makubwa kwa ajili ya nchi???😭😭😭😭 Tanzania nchi yangu nakulilia sana,,umepoteza mwelekeo,, Tanzania nchi yangu unawayawaya kama kondoo walio kosa mchungaji . Ole wako Tanzania kwa sababu kesho yako ipo hatarini, huna uwakika wa kustawi tena ,tumain lako limefifia, usatwi wako umezikwa kwenye makaburi ya maiti wanaoishi. Sikia Tanzania,,usikie kutoka mashariki,na uwe makin kupokea sauti kutoka magaharibi na ujifunze Maarifa yalitwayo na upepo kutoka kaskaszini na uvute hewa iliyo toka kusini . Ndani yake Kuna maneno yameandikwa" ujitetee kwa maana watu wako wamekusaliti, miti yako ikutetee,maji, hewa, udongo, wanyama, mawe, na kila kitu kilichopo kisimame kukutetea sasa maana umebaki mpweke""

  • @twalibmassea6593
    @twalibmassea6593Ай бұрын

    Siku ya wafanyakazi anamtuma mipango, Uzinduzi wa album yupo😅

  • @KassimAlly-xp4dz

    @KassimAlly-xp4dz

    Ай бұрын

    Ndio labda siku ya wafanya kazi hakuwepo nchini na pengine iyo siku ilikua mchana na hakupata nafasi

  • @beatricefelix1271

    @beatricefelix1271

    Ай бұрын

    😆😆😆😆

  • @angolina1768
    @angolina1768Ай бұрын

    Love you mama ❤❤❤

  • @mohdsaid8744
    @mohdsaid8744Ай бұрын

    Huyo ndio Raisi Mstaarabu na ni Mama mwenye upendo Mungu Ambarik na Amkinge na kila aina ya shari

  • @KassimAlly-xp4dz

    @KassimAlly-xp4dz

    Ай бұрын

    Amin

  • @shinipapaya846

    @shinipapaya846

    Ай бұрын

    Muuza Tanganyika 😂😂

  • @Sheba4651

    @Sheba4651

    Ай бұрын

    ​@@shinipapaya846Kauza kiasi gani, acha izo

  • @dn.n4983
    @dn.n4983Ай бұрын

    Kweli kabisa hili tukio ni kubwa nzuri nipwnda ningetamani niwepo kwa kweli

  • @peterkasonso3169
    @peterkasonso3169Ай бұрын

    Dizeli petroli inazidi kwenda juu,maisha yanazidi kuwa. Magumu,Kila mahali upigaji tu,alafu eti anaupenda ,dah!!!!!!!!!?

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dzАй бұрын

    Mama kaonesha ishara wa2 wakacheze mbele aone wanavo serebuka watoto wake na wajuku zake

  • @MusaJuma-jr7wb
    @MusaJuma-jr7wbАй бұрын

    Imebuma hiyo

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602Ай бұрын

    Mama wawatu acheni chuki. Mama yetu habagui wa mtu wa khali yeyote penda sasa mama love sana Rais wangu. Siku zote siichoki kukuombea na sintokaa nichoke kukuombea mama yangu

  • @JacksonNovatM
    @JacksonNovatMАй бұрын

    Chalamila huna taarifa. Mbona huyu huyu alienda kwa Sugu?

  • @AzoryIgnas
    @AzoryIgnasАй бұрын

    Hata mm pia ni msanii

  • @shmaiderkiborey5144
    @shmaiderkiborey5144Ай бұрын

    Mbona mama huwa anakwenda kwenye matukio mengi

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624Ай бұрын

    Chalamila comedian mno asee

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru9140Ай бұрын

    Makubwa hayo

  • @Gracemagoma-mi9ub
    @Gracemagoma-mi9ubАй бұрын

    siyo siri mama kapendeza sana leo

  • @aminielyusufu4351
    @aminielyusufu4351Ай бұрын

    Mama ni Mrembo Sana. Ana roho ya Upendo Kwa watu wake

  • @smartonlinetv5144
    @smartonlinetv5144Ай бұрын

    Mama karibu kwenye wedding yangu, nitafurahi sana kukuona maana nayo itakuwa pambe

  • @user-nm8ym6iq7n
    @user-nm8ym6iq7nАй бұрын

    Kwa sugu , samia alikuwepo

  • @GibsonNtamamilo

    @GibsonNtamamilo

    Ай бұрын

    Haikuwa kuzindua Album.

  • @sarahmuhammed6872
    @sarahmuhammed6872Ай бұрын

    Sound poor jeshi hawa managers zako wanaocontral spund wafute kaxi

  • @Hussein-gx4qu
    @Hussein-gx4quАй бұрын

    Mbona kila siku hafla za ajabu ajabu mama kuwa siliuzi kama baba mambo ya harmonize we unaenda kufanya nini

  • @AllyMaya-yj3xd

    @AllyMaya-yj3xd

    Ай бұрын

    Sio ya ajabu ajabu sekta ya michezo na sanaaa inachangia uchumi wa nchi nyingi analengo analengo la kuikuza kama diamond kodi analipa zaisi ya ml 300 kwa mwaka msanii mmoja wakiwezeshwa wengi kodi itakuwa kiasi gani

  • @Hussein-gx4qu

    @Hussein-gx4qu

    Ай бұрын

    @@AllyMaya-yj3xd kwani nani kasema haiingizi. Ameshindwa kuzuia wezi wanaitafuna nchi anaharibu muda kwa mambo ya mipasho huo muda akautumie kuzuia wezi ambao wanatuibia Kodi zetu Kila siku nchi imemshida kafeli kusimamia rasilimali za nchi nchi Sasa hivi imekuwa pango la wanyanganyi huku akipoteza muda kwenye mipasho ya harmonize

  • @mwakimedia291

    @mwakimedia291

    Ай бұрын

    UliSkia wap rais joe biden kaudhulia uzinduzi wa album ya Tyga😓😭😭😭

  • @aminakasim1198

    @aminakasim1198

    Ай бұрын

    Mmmmmmmmmmmmmmmmmmh

  • @NDEWARA

    @NDEWARA

    Ай бұрын

    ​​@@Hussein-gx4quPole sana. Faida ya hili jambo analofanya Mama yetu siyo rahisi kila mtu kulielewa. Inahitaji mtu kuwa na mtazamo chanya wa mambo😂

Келесі