RC CHALAMILA "AJICHANGANYA NA WANANCHI HAWA WANYWA SODA PAMOJA"|HUKU AKISIKILIZA KERO ZAO, KIMANGA.

Пікірлер: 10

  • @AlhajiIssa-jb9hr
    @AlhajiIssa-jb9hrАй бұрын

    Mama yuko vizuri kwa promo Maashaa Allah

  • @joyceraphael2586
    @joyceraphael2586Ай бұрын

    Vzr sana mkuu jichanganye huko inapendeza sana kiongozi kuwa hivyo

  • @GeofreyKalo-ot3we
    @GeofreyKalo-ot3weАй бұрын

    Safi sana

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7lАй бұрын

    Chalamila mkuu wetu tunakupenda. Naomba muwasaidie wauza madafu. Madafu ni utalii. Watengenezewe baiskeli nzuri zenye mvuto na mavazi rasmi yakuuza madafu. Wawe vivutio bongo. Maana wageni wanapenda madafu. Siyo wakamatwe na mgambo. Hiyo ni ajira. Waboreshwe na siyo kukamatwa.

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064Ай бұрын

    NIMEIPENDA BONGE LA PROMO HILO DUKA LIKO WAPI NA MM NIKANUNUE PEPSI😂😂😂

  • @salamsabdullah-st9pt
    @salamsabdullah-st9ptАй бұрын

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241Ай бұрын

    huyu anaegawa soda yuko slow mno jmni khaaa. changamkaa ili chupa zipite nyingi juuu Mkuu analipa sasa wew waenda taratibu unapotoa kwanza uangalie watu jmni

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5Ай бұрын

    Pepsi tumieni iyo nafasi sasa

  • @EagerBirthdayCake-zh8xb
    @EagerBirthdayCake-zh8xbАй бұрын

    Hii promo anayowafanyia Watu wa Pepsi Mungu atawazidishia endapo mutamtazama kwa ziada ya jicho. Ninajua mumunisoma....

  • @salamsabdullah-st9pt
    @salamsabdullah-st9ptАй бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Келесі