RC CHALAMILA "AJICHANGANYA NA WANANCHI HAWA WANYWA SODA PAMOJA"|HUKU AKISIKILIZA KERO ZAO, KIMANGA.
Жүктеу.....
Пікірлер: 10
@AlhajiIssa-jb9hrАй бұрын
Mama yuko vizuri kwa promo Maashaa Allah
@joyceraphael2586Ай бұрын
Vzr sana mkuu jichanganye huko inapendeza sana kiongozi kuwa hivyo
@GeofreyKalo-ot3weАй бұрын
Safi sana
@user-sj3wf5vz7lАй бұрын
Chalamila mkuu wetu tunakupenda. Naomba muwasaidie wauza madafu. Madafu ni utalii. Watengenezewe baiskeli nzuri zenye mvuto na mavazi rasmi yakuuza madafu. Wawe vivutio bongo. Maana wageni wanapenda madafu. Siyo wakamatwe na mgambo. Hiyo ni ajira. Waboreshwe na siyo kukamatwa.
@exaverysimon1064Ай бұрын
NIMEIPENDA BONGE LA PROMO HILO DUKA LIKO WAPI NA MM NIKANUNUE PEPSI😂😂😂
@salamsabdullah-st9ptАй бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@jedidahbintidaudi8241Ай бұрын
huyu anaegawa soda yuko slow mno jmni khaaa. changamkaa ili chupa zipite nyingi juuu Mkuu analipa sasa wew waenda taratibu unapotoa kwanza uangalie watu jmni
@Boniphaceshayo5Ай бұрын
Pepsi tumieni iyo nafasi sasa
@EagerBirthdayCake-zh8xbАй бұрын
Hii promo anayowafanyia Watu wa Pepsi Mungu atawazidishia endapo mutamtazama kwa ziada ya jicho. Ninajua mumunisoma....
Пікірлер: 10
Mama yuko vizuri kwa promo Maashaa Allah
Vzr sana mkuu jichanganye huko inapendeza sana kiongozi kuwa hivyo
Safi sana
Chalamila mkuu wetu tunakupenda. Naomba muwasaidie wauza madafu. Madafu ni utalii. Watengenezewe baiskeli nzuri zenye mvuto na mavazi rasmi yakuuza madafu. Wawe vivutio bongo. Maana wageni wanapenda madafu. Siyo wakamatwe na mgambo. Hiyo ni ajira. Waboreshwe na siyo kukamatwa.
NIMEIPENDA BONGE LA PROMO HILO DUKA LIKO WAPI NA MM NIKANUNUE PEPSI😂😂😂
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
huyu anaegawa soda yuko slow mno jmni khaaa. changamkaa ili chupa zipite nyingi juuu Mkuu analipa sasa wew waenda taratibu unapotoa kwanza uangalie watu jmni
Pepsi tumieni iyo nafasi sasa
Hii promo anayowafanyia Watu wa Pepsi Mungu atawazidishia endapo mutamtazama kwa ziada ya jicho. Ninajua mumunisoma....
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂