RAUHIYA I KAKUKATAA BAYANA I DIRECTED BY GRADY FX PICTURES I 2023 NEW VIDEO
Assalam allykum Rauhiya aja na nyengjne mpya kakukataa bayana ni taarab yenye ujjumbe mzuri usisahau ku subscribe like commemt pamoja na ku share videoo hii Asante
• RAUHIYA I KAKUKATAA BA...
• RAUHIYA I KAKUKATAA BA...
Пікірлер: 125
Mashallah ❤
Tarab
Jamaniiii ivyo vilemba ndio vyawastiri n kuashiria iyo ni kasda lkn mkivua jmn iyo taarab bila kupinga😢😢😢
Allah atupe mwsho mwema ila subhanallah wanawake tumuogopen muumbaaa
Mhhhhhh hamna jipyaa
subuhanallah umati Muhammad tunaangamia
Mashaallah ukhty rauhiya mashair mazur
@user-pq4hs5by6s
11 ай бұрын
Wata koma mwaka huu
Waiislam tuchunge tu saana kule twaelekea si kuzuri 😮
Hii taarab jina gan jamani
Mashallah
Ma ukhty kwakweli mnasikitisha sana
Allah atupe mwixho mwema ila kuxema kweli wanawake hatujictiri
😊😊❤❤
Ahhhhh naona balaaa tu kila tukienda mbele au ndokiama taari?? Haya rauhia ndo vp sasa ,😪😪😪😪
Pambe,,,kwa kweli,,,tukumbukeni jman tukumbukeni Kuna Mungu aliyetuumba ,,tusimsahau ND Kila kitu kwet cc wanaadamu
ALLAH AWASAMEHE MAKOSA YENU NA AWAONGOZE KTK NJIA ILIONYOOKA
Kumekuchaa
hongera sana kuikopi Tarab yote imeendana na bit
Masha Allah ukhty rauhiya naku pebda sana mungu akupe afya ngema❤❤❤❤❤❤❤❤😊
❤❤❤
❤❤❤❤
Nimeikubali sn
Wonderful ❤
Tarab imeshaimbwa io
Mashaallah
Upuzi mtupu.
Safi rauhia
roho inapendaaaaaaaaaaaa nunguuu
Inna lillahi wa innaa ilayhi raajiun. Allah atuhifadhi sisi na vzazi, nanyi awaongoze ktk kheri.
@Kalssambabo-gv6uh
10 ай бұрын
Ameen
@TatuYussuf-mk7jm
10 ай бұрын
Haliyako
@TatuYussuf-mk7jm
10 ай бұрын
Haliko
@Kalssambabo-gv6uh
10 ай бұрын
@@TatuYussuf-mk7jm hamdulillah sijui weye??
@naimaali9888
9 ай бұрын
Ameen tumeangamiaaa ss dah hpaa tunawafundisha nn watoto wetu
Woow
Safi kipenz
🤗
Mash
nice
Saf
Naipata nkiwa hamam mashallah
@nahlahassan-fd6le
11 ай бұрын
Chooni au😂😂😂😂😂
@aminaabdalla-uo9zq
6 ай бұрын
😅😂😂
Uko vzr kaka
Mashanllah
Good, Mr. Grady FX
❤️
🥰🥰
Mashalllah
Nice
🎉
Hish nimezania hadija kopa mm 😂😂😂😂
@sabihaibrahim143
11 ай бұрын
hahahaaaa
Penda sana ukht rauhiya❤❤
Wwaaaoo. maashaa allah 🥰pambeeee🥰🥰
Kwa hii n taarabu sio kaswida
Huu ujinga Sasa
@zainabuabduukovzrsanamyu-es1zl
3 ай бұрын
😂😂😂😂
Kazi nzur 🎉 Mashaallah
Wow mashallah ❤ rauhia ❤❤❤
Mashaallah❤❤❤
Mhh
Tarab 2:40
Jaman naomba kuuliza kitu hizi ni madrasa au vikundi vya Tara u???
Mashaallah ❤❤❤❤
Kwani hamuwezi kutafuta za kwenu hadi muibe za watu huo ni ushamba
Rauhiya hatari sana mungu akupe afya njema daima na akupe mwisho mwema
MashaAllah
Sw bb
Mashallah 🥰
Cjaielewaaaa😢😢😢😢
@user-zh4np7kf5i
4 ай бұрын
Taarqbu😅😅😅
Nyinyi kwani hamuwaruhusu wake Zanu au vp muna makuwa munayafanya jiee sherehe ya mara moja😊😊
Kazi yangu kusom coment ila nijibu tu nyie mno stakfirii san kwani wame cheza uchii mnona wamejistrii uziru kula watu wana randa uchii mbon hamuwambii wajinii uk wapo tele una unastakfir kubwaa mtu kwa pengine kuswali huyu 😢😢
Masha Allah mungu akupe afya ngema❤❤❤
@user-cu2mo3tc8m
6 ай бұрын
Ukhty rauhuya Masha Allah❤❤
Mashanllah❤
Kuimba si haramu hata wake wa Mtume Muhammad( s.a.w) walikuwa wakienda kwenye harusi na kusoma mashairi acheni maneno yenu hakuna alie msafi watu wanamabalaa kuliko la kuimba holini tena wamejistiri acheni usasa wenu haya yalikuwepo tangu enzi za maswahaba ba mitume ww unaesema astghfirullah ww umetakasika ulitaka waimbe vipepeo bya maiti kwe harusi ?
Mh weyeweee ndo umea Mua kuomba nyimbo saivi
@nahlahassan-fd6le
11 ай бұрын
Hizi nyimbo eti huoni, watu nywele wameeka nje
@Kalssambabo-gv6uh
11 ай бұрын
Hadi qiam kikafike tutaona mengi
@user-km7zk1qs8g
11 ай бұрын
Kwn nyimbo na hizo kasida zina tofauti gani
@Kalssambabo-gv6uh
11 ай бұрын
@@user-km7zk1qs8g hazina tofauti ndg
@khamisali9907
11 ай бұрын
Ndo tuseme weye ndo hujui tafauti ya kasida nanyimbo au
Wafanya biashara hao hakuna muumin hapo manywele kama mashetan ivo
Mung atup mwish mwem bila ya nyie tusingeimb tarab tukapotok na sie
Hii ni taraab ata si qaswida
@elhelaaltraders7233
4 ай бұрын
Ndio soma Discription yao
Acheni kudanganya wenzenu hiyo taarab nyie mwaacha maulid yaambiwa ni bidaa na huo upuzi wenu nyote muko uchi laanatullah
sasa hii ni kaswida au taarab jamani tuambiyaneni ukweli musijifichiye kivuli cha Qasida jiungeni tu na makame Faki na kopa
@mtumwakh.abdalla1813
10 ай бұрын
Hata ingekuwa kasida si kwa misingi hiyo kubebeshana dhima tu
huyu kacopy Tarab Asilia ipo hio nyimbo
Sasa hiyo ni nini🙄🤔
@user-pq4hs5by6s
11 ай бұрын
❤❤ mashanllah
Yani hakuna tofauti na nyie na zuchu aghudhu BILAHI mwenyezi mung atustiri waja wake yarabbiy na huu ijingaa
Kwani ofisi ya mufti Iko wapi Mbona imekua kama hatujui tunachofanya? Hii ni too much sasa innalillah wainna ilayh raajiuuun 😨
Direct angalia sana hizo beat za nyimbo ndio unahatibu hazi Yako na kuharibu tasnia ya qaswida hapo znz
@nahlahassan-fd6le
11 ай бұрын
Kwani hizi qasda au taarabu😂😂😂😂tuache tuburudike ee❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@sabihaibrahim143
11 ай бұрын
@@nahlahassan-fd6lewanajifichia kaswida
@rehemasharifu8985
11 ай бұрын
Ndo hapo chacha😂😂😂
@Kalssambabo-gv6uh
10 ай бұрын
Afuu mjamzito au macho yangu
@MdNasr-jm8pj
10 ай бұрын
Umeonaeee hawazipatii ata kidogo kufuja Mambo😬
Mashallah
Mashallah❤
❤❤❤
Saf
❤❤❤❤
Mashallah
Mashallah ❤
@alimasikiandiko6067
7 ай бұрын
Mashaalh
Mashallah
@NassorIssa
6 ай бұрын
Sauti ya kiumeee mahashuo tuuu
@user-uk3wq7lb1v
4 ай бұрын
mh bs Hy nimeamini km mumechoka kuimba kaswida