Ikawe heri kwa wachezaji wote na benchi la ufundi, kwa neema ya Mungu tujaliwe kuwa na msimu bora zaidi wenye mafanikio makubwa, kwa kila hatua Mungu awe pamoja na timu yetu.
@fadhilsalum2143
12 күн бұрын
i like 👊👊👊
@lucianaligambasi
12 күн бұрын
Amen
@MariamMasanja-kd3lm
12 күн бұрын
Ameen
@user-ig8iq1ho4o
12 күн бұрын
Inshallah
@SimonAnton-uo1rr
11 күн бұрын
Amen❤❤
@naliakafatuma987012 күн бұрын
MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
@amaniomar175512 күн бұрын
Safi sana wanajeshi wetu 🎉🎉🎉 pambaneni tuko nanyi kwa maombi
@saumbakar764312 күн бұрын
Kila la kheri timu yangu pendwa mungu awatangulie katika maandalizi ya msimu ujao, YOUNG AFRICANS💚💚💛🙏🙏
@user-fw2jk3mx7g12 күн бұрын
Safi sana viongozi wetu na wachezaji kujali kazi yenu kwa kuwahi kuriport kazini
@user-zv3rm3st3b12 күн бұрын
Ss wanachama na mashabiki wa yanga African tupo nyuma yenu na nyuma ya timu yetu, kwa kumuomba mwenyezi mungu awake afraid njema. Amina
@NeemaValentina10 күн бұрын
Mko vizuri sana God bless you all management of yanga Africans club
@magrethmakauki23512 күн бұрын
Waooo safi sana wananchi. Mungu wa mbinguni awasimamie
@apostleisaacnyika466912 күн бұрын
MUNGU Akawatangulie Na Kuwafanikisha Kwa Kila Jambo Ukawe Ni Msimu Wenye Mafanikio Makubwa 🔰💚💛
@amaniandrew53412 күн бұрын
Safi sana chama langu,mungu awe nanyi kwa msimu huu ligi ulianza,tuko pamoja sana wananchi
@josephatkibona281411 күн бұрын
Mungu ijalie timu yangu iwe bora zaidi ya msimu ulioisha tuepushie majeruhi❤❤❤❤
@AdyanMbuyu12 күн бұрын
comment ya kwanza piga like
@user-vm4zq7kf4e
12 күн бұрын
Ume comment nini sasa
@AnnaChami-ew4cy11 күн бұрын
Hongerni sana Mungu awaoe nguvu zaidi
@fatmasuleiman388512 күн бұрын
Mwenyezimungu awalinde ktk mwaka 24..25 ktk kazi zenu dua kwenu nimuhimu kwetu In sha A llah Allah kariim🎉🎉
@user-sp5hl7ub9z11 күн бұрын
Mungu awaongoze yanga yetu
@ziadamuhunzi621012 күн бұрын
Nguvu moja maisha marefu mwenyezi mungu awatangulie majembe yetu inshaallah
@JacksonFrances11 күн бұрын
Modern Club in Tanzania 🇹🇿 Dar Young Africa Chama la Kibabe 💪 💪 💪 Lenye Malengo Makubwa Mnoo. Mamelodi Sun Down Wajiandae Maana Moto Huu Ukianza Kuwaka Hakuna wa Kuuzima. Tanaenda Hadi Nusu Fainal na ikiwezekana tunafika Fainal. Hata Motsepe Anajua....🎉🎉🎉🎉🎉❤❤😂❤😂😂❤😂🎉🎉🎉
@user-er1dk6zj6u12 күн бұрын
Like za jeshi apa 🤙
@alfasilasi528611 күн бұрын
Nakubali chama langu💚💛💚💛
@rukiakyaka182712 күн бұрын
Namuomba M/Mungu awajaalie nusra na ulinzi timu yote kwa ujumla Inshaallah
@nyagoonline798612 күн бұрын
💛💛💚💚daima mbele nyuma mwiko
@JuliusMnkondo-fk9kv12 күн бұрын
Kwa kweli nimemuona mwanangu Danis Nkane anapasha saf sana
@BectMaridadi11 күн бұрын
Mungu ibariki tmi yawananchi kazi iendelee 2anzie 2lipoishia inshaalah 2po pamoja
@FaustinaMkama12 күн бұрын
Safi.tunamatumaini makubwa na timu yetu
@DAUDIMNKONDYA-w6r12 күн бұрын
Mungu abariki kikoso chetu cha wananchi by daudi mkondya nikiwa hapa bukoba
@user-zx1vk9pr1w12 күн бұрын
Eebwana weeeh ! Waaooh ! Daima mbele , kila la kher chama langu
@mackford469811 күн бұрын
Hamnaga show mbovu 🎉 milele love young Afc
@AminaTanzania11 күн бұрын
Yanga yangu na wapenda sana nyoteee mwaaaaaa yanga
@ronaldissack333812 күн бұрын
Mchezaji wangu max nzengeli yule pale
@malick_jrzramadhan729812 күн бұрын
Hongera sana viongozi wetu ikawe kheri kwa msimu ujao
@reginardmrl528312 күн бұрын
Hakika msimu huu tutafika nusu fainal.Caf💚💚💚👉💪
@user-kx2lw1fc3w10 күн бұрын
Ikawe her kwa timu yetu safar hii Africa ikasimame na kushuhudia ubingwa ukija tanzania
@B.M-ix4rz12 күн бұрын
Allah awasimamie mwanzo haad mwisho wa msimu
@mussakefa243912 күн бұрын
Team Iko Iko tayari poa sana nasisi mashabiki tuko tayari 💚💚💚💚
@habibumavulla12 күн бұрын
Naitakia Mafanikiho mema time yangu Ya yanga piya nawaombea muwe na Afya njema Yanga Bingwa💛💚
@aminakhamis227612 күн бұрын
Kila lakheri wananchiiiiiii tupo pamoja inshaallah
@feruzifeisaly-nh6ou12 күн бұрын
Daima mbele nyuma mwiko
@aminangano363511 күн бұрын
Kila la kheri Vijana🤲🤲💛💚
@monicalucas373811 күн бұрын
Meneja wetu huyo🎉🎉🎉
@ibrahimomary138612 күн бұрын
kuna watu hawataleta team
@MossiSaadat12 күн бұрын
Kila la kher wananchiiiiiiiiiiiiiiiiii
@joelkamanda101312 күн бұрын
Tunawaombea sana kwa Mungu.
@ArafatAlly-b3n12 күн бұрын
Ikawe kheri ishaalla
@abubakaliyahaya296812 күн бұрын
Tim kubwa daima mbele kwa mbele❤❤❤❤
@PatrickMalema-f9s10 күн бұрын
Mungu akabarik
@shaibusaady242012 күн бұрын
Allaah Akbar
@shomarisangari-rt6le12 күн бұрын
Mungu ibariki safari yetu ya club Bingwa
@sarangajohn933812 күн бұрын
Ongera mungu awabariki
@MAJALIWAMASSANGA12 күн бұрын
All da best wananchi.
@dominamushi717112 күн бұрын
Kila la her wananchi mungu akawatanguli kila hatua mtakayopiga🙏🙏
@user-gg3rl2ru8u12 күн бұрын
Kwani vp kuhusu Aziz k mbona hamsemi chochote 🥺🙄
@HawaAlznezbar11 күн бұрын
Allalh ataweka wepesi insha allalh
@patrickndizeye219012 күн бұрын
Mambo fresh sana
@allyforodha230312 күн бұрын
Saf sna tim yangu pendwa
@AlexIsubila11 күн бұрын
nawakubali san wanajesh wa vita
@user-er1dk6zj6u12 күн бұрын
Kuna watu wameenda kuzulula
@yosayocomedytz12 күн бұрын
💚💚💚
@simonwenceslaus374512 күн бұрын
Adi raha
@michaeljames40312 күн бұрын
Maulid kitenge kaharibu hali ya hewa kuhusu @ Aziz ki kwamba hajasaini kuwa Rais kathibitisha hilo leo akiwa South Afrika
@maestrokiss724512 күн бұрын
Msimu ndio tunauanza namna hii!!! Kila la heri kwetu ukawe msimu bora na wenye mafanikio tele
@Alexismadimo12 күн бұрын
Mungu pamoj nasi
@LeonardRuteangwa12 күн бұрын
Nawapenda sana wananchi ❤
@GregoriRafael-je1sd12 күн бұрын
Munguu n mwema
@HajiTarimo12 күн бұрын
Vamos wananchi
@omarymtotela375111 күн бұрын
Nakubali sana
@JumaMngumba-12310 күн бұрын
kila la kheri wananch once again
@kassimomar758912 күн бұрын
Allah walinde wachezaji wetu na watu wenye chuki na sisi
@thuwaibamkana969112 күн бұрын
M/mungu awatangulie
@mailulaamani12 күн бұрын
yanga bingwa
@Gabriel-q7x1f12 күн бұрын
Vizr sana naimani tutafika kwenye mafanikio
@athumanishabani114312 күн бұрын
Mashaallah
@NdevuKamdini12 күн бұрын
Nice
@MoajGraphics12 күн бұрын
Yanga Sc Bingwa 🔰
@NTIYABALIWEBUTEME12 күн бұрын
Hakika tutazidi kunawili
@ReeMsafi12 күн бұрын
👍
@gerardyoung170712 күн бұрын
Maneno makubwa ni malengo makubwa big young Africa Sports club
@hamisiyangakozwe14712 күн бұрын
💪
@EliaMkumbo-wn7bm12 күн бұрын
Wakina mama Debora wameenda misri ngoja wakapake rangi kucha wakirudi watakuwa wamependeza tar 8 tukawachumbie
Пікірлер: 153
Ikawe heri kwa wachezaji wote na benchi la ufundi, kwa neema ya Mungu tujaliwe kuwa na msimu bora zaidi wenye mafanikio makubwa, kwa kila hatua Mungu awe pamoja na timu yetu.
@fadhilsalum2143
12 күн бұрын
i like 👊👊👊
@lucianaligambasi
12 күн бұрын
Amen
@MariamMasanja-kd3lm
12 күн бұрын
Ameen
@user-ig8iq1ho4o
12 күн бұрын
Inshallah
@SimonAnton-uo1rr
11 күн бұрын
Amen❤❤
MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
Safi sana wanajeshi wetu 🎉🎉🎉 pambaneni tuko nanyi kwa maombi
Kila la kheri timu yangu pendwa mungu awatangulie katika maandalizi ya msimu ujao, YOUNG AFRICANS💚💚💛🙏🙏
Safi sana viongozi wetu na wachezaji kujali kazi yenu kwa kuwahi kuriport kazini
Ss wanachama na mashabiki wa yanga African tupo nyuma yenu na nyuma ya timu yetu, kwa kumuomba mwenyezi mungu awake afraid njema. Amina
Mko vizuri sana God bless you all management of yanga Africans club
Waooo safi sana wananchi. Mungu wa mbinguni awasimamie
MUNGU Akawatangulie Na Kuwafanikisha Kwa Kila Jambo Ukawe Ni Msimu Wenye Mafanikio Makubwa 🔰💚💛
Safi sana chama langu,mungu awe nanyi kwa msimu huu ligi ulianza,tuko pamoja sana wananchi
Mungu ijalie timu yangu iwe bora zaidi ya msimu ulioisha tuepushie majeruhi❤❤❤❤
comment ya kwanza piga like
@user-vm4zq7kf4e
12 күн бұрын
Ume comment nini sasa
Hongerni sana Mungu awaoe nguvu zaidi
Mwenyezimungu awalinde ktk mwaka 24..25 ktk kazi zenu dua kwenu nimuhimu kwetu In sha A llah Allah kariim🎉🎉
Mungu awaongoze yanga yetu
Nguvu moja maisha marefu mwenyezi mungu awatangulie majembe yetu inshaallah
Modern Club in Tanzania 🇹🇿 Dar Young Africa Chama la Kibabe 💪 💪 💪 Lenye Malengo Makubwa Mnoo. Mamelodi Sun Down Wajiandae Maana Moto Huu Ukianza Kuwaka Hakuna wa Kuuzima. Tanaenda Hadi Nusu Fainal na ikiwezekana tunafika Fainal. Hata Motsepe Anajua....🎉🎉🎉🎉🎉❤❤😂❤😂😂❤😂🎉🎉🎉
Like za jeshi apa 🤙
Nakubali chama langu💚💛💚💛
Namuomba M/Mungu awajaalie nusra na ulinzi timu yote kwa ujumla Inshaallah
💛💛💚💚daima mbele nyuma mwiko
Kwa kweli nimemuona mwanangu Danis Nkane anapasha saf sana
Mungu ibariki tmi yawananchi kazi iendelee 2anzie 2lipoishia inshaalah 2po pamoja
Safi.tunamatumaini makubwa na timu yetu
Mungu abariki kikoso chetu cha wananchi by daudi mkondya nikiwa hapa bukoba
Eebwana weeeh ! Waaooh ! Daima mbele , kila la kher chama langu
Hamnaga show mbovu 🎉 milele love young Afc
Yanga yangu na wapenda sana nyoteee mwaaaaaa yanga
Mchezaji wangu max nzengeli yule pale
Hongera sana viongozi wetu ikawe kheri kwa msimu ujao
Hakika msimu huu tutafika nusu fainal.Caf💚💚💚👉💪
Ikawe her kwa timu yetu safar hii Africa ikasimame na kushuhudia ubingwa ukija tanzania
Allah awasimamie mwanzo haad mwisho wa msimu
Team Iko Iko tayari poa sana nasisi mashabiki tuko tayari 💚💚💚💚
Naitakia Mafanikiho mema time yangu Ya yanga piya nawaombea muwe na Afya njema Yanga Bingwa💛💚
Kila lakheri wananchiiiiiii tupo pamoja inshaallah
Daima mbele nyuma mwiko
Kila la kheri Vijana🤲🤲💛💚
Meneja wetu huyo🎉🎉🎉
kuna watu hawataleta team
Kila la kher wananchiiiiiiiiiiiiiiiiii
Tunawaombea sana kwa Mungu.
Ikawe kheri ishaalla
Tim kubwa daima mbele kwa mbele❤❤❤❤
Mungu akabarik
Allaah Akbar
Mungu ibariki safari yetu ya club Bingwa
Ongera mungu awabariki
All da best wananchi.
Kila la her wananchi mungu akawatanguli kila hatua mtakayopiga🙏🙏
Kwani vp kuhusu Aziz k mbona hamsemi chochote 🥺🙄
Allalh ataweka wepesi insha allalh
Mambo fresh sana
Saf sna tim yangu pendwa
nawakubali san wanajesh wa vita
Kuna watu wameenda kuzulula
💚💚💚
Adi raha
Maulid kitenge kaharibu hali ya hewa kuhusu @ Aziz ki kwamba hajasaini kuwa Rais kathibitisha hilo leo akiwa South Afrika
Msimu ndio tunauanza namna hii!!! Kila la heri kwetu ukawe msimu bora na wenye mafanikio tele
Mungu pamoj nasi
Nawapenda sana wananchi ❤
Munguu n mwema
Vamos wananchi
Nakubali sana
kila la kheri wananch once again
Allah walinde wachezaji wetu na watu wenye chuki na sisi
M/mungu awatangulie
yanga bingwa
Vizr sana naimani tutafika kwenye mafanikio
Mashaallah
Nice
Yanga Sc Bingwa 🔰
Hakika tutazidi kunawili
👍
Maneno makubwa ni malengo makubwa big young Africa Sports club
💪
Wakina mama Debora wameenda misri ngoja wakapake rangi kucha wakirudi watakuwa wamependeza tar 8 tukawachumbie
Yanga bingwa 😅
Nimemuona roho yangu jezi imempendeza kawa mwepe aiiiii🙈
Wananch mmetisha
Jaman azz yuko wp mbona naskia moyo unashtuka
💛💚
❤❤❤
❤❤
KAZI KAZI... HAINA KUPOA!!
Hongeleni tunateĝmea mazuli kwenu jaman
Acha wakazungushe sketi zao huko wakirudi hapa wanaanza oooh GSM kadhamini timu nyingi
Nimefurahi kuwepo Msonda
💚💛
Daima mbele Nyuma mwiko
🎉🎉🎉🎉
Daima mbele nyuma mwiko tunaimani na nyinyi jeshi letu
Viongozi hamna baya timu ipo 3:56
🤲🤲🤲
🙏🙏
Nimemiss sana kikosi changu hata tv siangali sipati boll lakutupa furaha
Moooto wananchiii wa moooto
💚💛✅✅
Jeshi letu ilo naona munajiweka sw