RATIBA YA KIKOSI CHA YANGA IKO HIVI/ MENEJA WALTER AFUNGUKA

Спорт

#DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi

Пікірлер: 153

  • @user-ql6hg7fy9p
    @user-ql6hg7fy9p12 күн бұрын

    Ikawe heri kwa wachezaji wote na benchi la ufundi, kwa neema ya Mungu tujaliwe kuwa na msimu bora zaidi wenye mafanikio makubwa, kwa kila hatua Mungu awe pamoja na timu yetu.

  • @fadhilsalum2143

    @fadhilsalum2143

    12 күн бұрын

    i like 👊👊👊

  • @lucianaligambasi

    @lucianaligambasi

    12 күн бұрын

    Amen

  • @MariamMasanja-kd3lm

    @MariamMasanja-kd3lm

    12 күн бұрын

    Ameen

  • @user-ig8iq1ho4o

    @user-ig8iq1ho4o

    12 күн бұрын

    Inshallah

  • @SimonAnton-uo1rr

    @SimonAnton-uo1rr

    11 күн бұрын

    Amen❤❤

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma987012 күн бұрын

    MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga

  • @amaniomar1755
    @amaniomar175512 күн бұрын

    Safi sana wanajeshi wetu 🎉🎉🎉 pambaneni tuko nanyi kwa maombi

  • @saumbakar7643
    @saumbakar764312 күн бұрын

    Kila la kheri timu yangu pendwa mungu awatangulie katika maandalizi ya msimu ujao, YOUNG AFRICANS💚💚💛🙏🙏

  • @user-fw2jk3mx7g
    @user-fw2jk3mx7g12 күн бұрын

    Safi sana viongozi wetu na wachezaji kujali kazi yenu kwa kuwahi kuriport kazini

  • @user-zv3rm3st3b
    @user-zv3rm3st3b12 күн бұрын

    Ss wanachama na mashabiki wa yanga African tupo nyuma yenu na nyuma ya timu yetu, kwa kumuomba mwenyezi mungu awake afraid njema. Amina

  • @NeemaValentina
    @NeemaValentina10 күн бұрын

    Mko vizuri sana God bless you all management of yanga Africans club

  • @magrethmakauki235
    @magrethmakauki23512 күн бұрын

    Waooo safi sana wananchi. Mungu wa mbinguni awasimamie

  • @apostleisaacnyika4669
    @apostleisaacnyika466912 күн бұрын

    MUNGU Akawatangulie Na Kuwafanikisha Kwa Kila Jambo Ukawe Ni Msimu Wenye Mafanikio Makubwa 🔰💚💛

  • @amaniandrew534
    @amaniandrew53412 күн бұрын

    Safi sana chama langu,mungu awe nanyi kwa msimu huu ligi ulianza,tuko pamoja sana wananchi

  • @josephatkibona2814
    @josephatkibona281411 күн бұрын

    Mungu ijalie timu yangu iwe bora zaidi ya msimu ulioisha tuepushie majeruhi❤❤❤❤

  • @AdyanMbuyu
    @AdyanMbuyu12 күн бұрын

    comment ya kwanza piga like

  • @user-vm4zq7kf4e

    @user-vm4zq7kf4e

    12 күн бұрын

    Ume comment nini sasa

  • @AnnaChami-ew4cy
    @AnnaChami-ew4cy11 күн бұрын

    Hongerni sana Mungu awaoe nguvu zaidi

  • @fatmasuleiman3885
    @fatmasuleiman388512 күн бұрын

    Mwenyezimungu awalinde ktk mwaka 24..25 ktk kazi zenu dua kwenu nimuhimu kwetu In sha A llah Allah kariim🎉🎉

  • @user-sp5hl7ub9z
    @user-sp5hl7ub9z11 күн бұрын

    Mungu awaongoze yanga yetu

  • @ziadamuhunzi6210
    @ziadamuhunzi621012 күн бұрын

    Nguvu moja maisha marefu mwenyezi mungu awatangulie majembe yetu inshaallah

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances11 күн бұрын

    Modern Club in Tanzania 🇹🇿 Dar Young Africa Chama la Kibabe 💪 💪 💪 Lenye Malengo Makubwa Mnoo. Mamelodi Sun Down Wajiandae Maana Moto Huu Ukianza Kuwaka Hakuna wa Kuuzima. Tanaenda Hadi Nusu Fainal na ikiwezekana tunafika Fainal. Hata Motsepe Anajua....🎉🎉🎉🎉🎉❤❤😂❤😂😂❤😂🎉🎉🎉

  • @user-er1dk6zj6u
    @user-er1dk6zj6u12 күн бұрын

    Like za jeshi apa 🤙

  • @alfasilasi5286
    @alfasilasi528611 күн бұрын

    Nakubali chama langu💚💛💚💛

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka182712 күн бұрын

    Namuomba M/Mungu awajaalie nusra na ulinzi timu yote kwa ujumla Inshaallah

  • @nyagoonline7986
    @nyagoonline798612 күн бұрын

    💛💛💚💚daima mbele nyuma mwiko

  • @JuliusMnkondo-fk9kv
    @JuliusMnkondo-fk9kv12 күн бұрын

    Kwa kweli nimemuona mwanangu Danis Nkane anapasha saf sana

  • @BectMaridadi
    @BectMaridadi11 күн бұрын

    Mungu ibariki tmi yawananchi kazi iendelee 2anzie 2lipoishia inshaalah 2po pamoja

  • @FaustinaMkama
    @FaustinaMkama12 күн бұрын

    Safi.tunamatumaini makubwa na timu yetu

  • @DAUDIMNKONDYA-w6r
    @DAUDIMNKONDYA-w6r12 күн бұрын

    Mungu abariki kikoso chetu cha wananchi by daudi mkondya nikiwa hapa bukoba

  • @user-zx1vk9pr1w
    @user-zx1vk9pr1w12 күн бұрын

    Eebwana weeeh ! Waaooh ! Daima mbele , kila la kher chama langu

  • @mackford4698
    @mackford469811 күн бұрын

    Hamnaga show mbovu 🎉 milele love young Afc

  • @AminaTanzania
    @AminaTanzania11 күн бұрын

    Yanga yangu na wapenda sana nyoteee mwaaaaaa yanga

  • @ronaldissack3338
    @ronaldissack333812 күн бұрын

    Mchezaji wangu max nzengeli yule pale

  • @malick_jrzramadhan7298
    @malick_jrzramadhan729812 күн бұрын

    Hongera sana viongozi wetu ikawe kheri kwa msimu ujao

  • @reginardmrl5283
    @reginardmrl528312 күн бұрын

    Hakika msimu huu tutafika nusu fainal.Caf💚💚💚👉💪

  • @user-kx2lw1fc3w
    @user-kx2lw1fc3w10 күн бұрын

    Ikawe her kwa timu yetu safar hii Africa ikasimame na kushuhudia ubingwa ukija tanzania

  • @B.M-ix4rz
    @B.M-ix4rz12 күн бұрын

    Allah awasimamie mwanzo haad mwisho wa msimu

  • @mussakefa2439
    @mussakefa243912 күн бұрын

    Team Iko Iko tayari poa sana nasisi mashabiki tuko tayari 💚💚💚💚

  • @habibumavulla
    @habibumavulla12 күн бұрын

    Naitakia Mafanikiho mema time yangu Ya yanga piya nawaombea muwe na Afya njema Yanga Bingwa💛💚

  • @aminakhamis2276
    @aminakhamis227612 күн бұрын

    Kila lakheri wananchiiiiiii tupo pamoja inshaallah

  • @feruzifeisaly-nh6ou
    @feruzifeisaly-nh6ou12 күн бұрын

    Daima mbele nyuma mwiko

  • @aminangano3635
    @aminangano363511 күн бұрын

    Kila la kheri Vijana🤲🤲💛💚

  • @monicalucas3738
    @monicalucas373811 күн бұрын

    Meneja wetu huyo🎉🎉🎉

  • @ibrahimomary1386
    @ibrahimomary138612 күн бұрын

    kuna watu hawataleta team

  • @MossiSaadat
    @MossiSaadat12 күн бұрын

    Kila la kher wananchiiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @joelkamanda1013
    @joelkamanda101312 күн бұрын

    Tunawaombea sana kwa Mungu.

  • @ArafatAlly-b3n
    @ArafatAlly-b3n12 күн бұрын

    Ikawe kheri ishaalla

  • @abubakaliyahaya2968
    @abubakaliyahaya296812 күн бұрын

    Tim kubwa daima mbele kwa mbele❤❤❤❤

  • @PatrickMalema-f9s
    @PatrickMalema-f9s10 күн бұрын

    Mungu akabarik

  • @shaibusaady2420
    @shaibusaady242012 күн бұрын

    Allaah Akbar

  • @shomarisangari-rt6le
    @shomarisangari-rt6le12 күн бұрын

    Mungu ibariki safari yetu ya club Bingwa

  • @sarangajohn9338
    @sarangajohn933812 күн бұрын

    Ongera mungu awabariki

  • @MAJALIWAMASSANGA
    @MAJALIWAMASSANGA12 күн бұрын

    All da best wananchi.

  • @dominamushi7171
    @dominamushi717112 күн бұрын

    Kila la her wananchi mungu akawatanguli kila hatua mtakayopiga🙏🙏

  • @user-gg3rl2ru8u
    @user-gg3rl2ru8u12 күн бұрын

    Kwani vp kuhusu Aziz k mbona hamsemi chochote 🥺🙄

  • @HawaAlznezbar
    @HawaAlznezbar11 күн бұрын

    Allalh ataweka wepesi insha allalh

  • @patrickndizeye2190
    @patrickndizeye219012 күн бұрын

    Mambo fresh sana

  • @allyforodha2303
    @allyforodha230312 күн бұрын

    Saf sna tim yangu pendwa

  • @AlexIsubila
    @AlexIsubila11 күн бұрын

    nawakubali san wanajesh wa vita

  • @user-er1dk6zj6u
    @user-er1dk6zj6u12 күн бұрын

    Kuna watu wameenda kuzulula

  • @yosayocomedytz
    @yosayocomedytz12 күн бұрын

    💚💚💚

  • @simonwenceslaus3745
    @simonwenceslaus374512 күн бұрын

    Adi raha

  • @michaeljames403
    @michaeljames40312 күн бұрын

    Maulid kitenge kaharibu hali ya hewa kuhusu @ Aziz ki kwamba hajasaini kuwa Rais kathibitisha hilo leo akiwa South Afrika

  • @maestrokiss7245
    @maestrokiss724512 күн бұрын

    Msimu ndio tunauanza namna hii!!! Kila la heri kwetu ukawe msimu bora na wenye mafanikio tele

  • @Alexismadimo
    @Alexismadimo12 күн бұрын

    Mungu pamoj nasi

  • @LeonardRuteangwa
    @LeonardRuteangwa12 күн бұрын

    Nawapenda sana wananchi ❤

  • @GregoriRafael-je1sd
    @GregoriRafael-je1sd12 күн бұрын

    Munguu n mwema

  • @HajiTarimo
    @HajiTarimo12 күн бұрын

    Vamos wananchi

  • @omarymtotela3751
    @omarymtotela375111 күн бұрын

    Nakubali sana

  • @JumaMngumba-123
    @JumaMngumba-12310 күн бұрын

    kila la kheri wananch once again

  • @kassimomar7589
    @kassimomar758912 күн бұрын

    Allah walinde wachezaji wetu na watu wenye chuki na sisi

  • @thuwaibamkana9691
    @thuwaibamkana969112 күн бұрын

    M/mungu awatangulie

  • @mailulaamani
    @mailulaamani12 күн бұрын

    yanga bingwa

  • @Gabriel-q7x1f
    @Gabriel-q7x1f12 күн бұрын

    Vizr sana naimani tutafika kwenye mafanikio

  • @athumanishabani1143
    @athumanishabani114312 күн бұрын

    Mashaallah

  • @NdevuKamdini
    @NdevuKamdini12 күн бұрын

    Nice

  • @MoajGraphics
    @MoajGraphics12 күн бұрын

    Yanga Sc Bingwa 🔰

  • @NTIYABALIWEBUTEME
    @NTIYABALIWEBUTEME12 күн бұрын

    Hakika tutazidi kunawili

  • @ReeMsafi
    @ReeMsafi12 күн бұрын

    👍

  • @gerardyoung1707
    @gerardyoung170712 күн бұрын

    Maneno makubwa ni malengo makubwa big young Africa Sports club

  • @hamisiyangakozwe147
    @hamisiyangakozwe14712 күн бұрын

    💪

  • @EliaMkumbo-wn7bm
    @EliaMkumbo-wn7bm12 күн бұрын

    Wakina mama Debora wameenda misri ngoja wakapake rangi kucha wakirudi watakuwa wamependeza tar 8 tukawachumbie

  • @salemarahbi9171
    @salemarahbi917111 күн бұрын

    Yanga bingwa 😅

  • @aishabakari8040
    @aishabakari804012 күн бұрын

    Nimemuona roho yangu jezi imempendeza kawa mwepe aiiiii🙈

  • @ShimaKaheto
    @ShimaKaheto12 күн бұрын

    Wananch mmetisha

  • @user-hb2nn6ud2d
    @user-hb2nn6ud2d12 күн бұрын

    Jaman azz yuko wp mbona naskia moyo unashtuka

  • @user-xy8kl9wd2i
    @user-xy8kl9wd2i12 күн бұрын

    💛💚

  • @asiahamisi-lo5lw
    @asiahamisi-lo5lw11 күн бұрын

    ❤❤❤

  • @LukindoMchome-qv3vo
    @LukindoMchome-qv3vo12 күн бұрын

    ❤❤

  • @rayisadesigns2646
    @rayisadesigns264612 күн бұрын

    KAZI KAZI... HAINA KUPOA!!

  • @AinessAmani
    @AinessAmani12 күн бұрын

    Hongeleni tunateĝmea mazuli kwenu jaman

  • @EliaMkumbo-wn7bm
    @EliaMkumbo-wn7bm12 күн бұрын

    Acha wakazungushe sketi zao huko wakirudi hapa wanaanza oooh GSM kadhamini timu nyingi

  • @user-eu6gl4vs1o
    @user-eu6gl4vs1o12 күн бұрын

    Nimefurahi kuwepo Msonda

  • @jackobchavala3384
    @jackobchavala338412 күн бұрын

    💚💛

  • @DicksonNasibu-tv7vr
    @DicksonNasibu-tv7vr12 күн бұрын

    Daima mbele Nyuma mwiko

  • @lilamaganga2690
    @lilamaganga269012 күн бұрын

    🎉🎉🎉🎉

  • @shaabanabdallahkhamisi4089
    @shaabanabdallahkhamisi408912 күн бұрын

    Daima mbele nyuma mwiko tunaimani na nyinyi jeshi letu

  • @dicksonngasapa7007
    @dicksonngasapa700712 күн бұрын

    Viongozi hamna baya timu ipo 3:56

  • @AbbyBakari-ix4hi
    @AbbyBakari-ix4hi12 күн бұрын

    🤲🤲🤲

  • @user-cb4mt3fb7p
    @user-cb4mt3fb7p12 күн бұрын

    🙏🙏

  • @fatmasuleiman3885
    @fatmasuleiman388512 күн бұрын

    Nimemiss sana kikosi changu hata tv siangali sipati boll lakutupa furaha

  • @OmariGidion
    @OmariGidion12 күн бұрын

    Moooto wananchiii wa moooto

  • @KhubeibuHamisi
    @KhubeibuHamisi12 күн бұрын

    💚💛✅✅

  • @ShafiiHungo
    @ShafiiHungo12 күн бұрын

    Jeshi letu ilo naona munajiweka sw

Келесі