RAIS SAMIA AWEKA HISTORIA MPYA YA BARABARA ARUMERU MASHARIKI, MBUNGE PALLANGYO WANANCHI WAMSHUKURU

RAIS SAMIA AWEKA HISTORIA MPYA YA BARABARA ARUMERU MASHARIKI, MBUNGE PALLANGYO WANANCHI WAMSHUKURU
Wananchi wa Jimbo la Arumeru Mashariki wakiongozwa na Mbunge Wao Dr John D Pallangyo wameishukuru serikali kwa ujenzi wa barabara ya Kibaoni Ngarenayuki inayojengwa kwa kiwango cha Changarawe.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 3

  • @user-lr7em1ch8g
    @user-lr7em1ch8g10 ай бұрын

    Asante kwa ngarenanyuki Naomba kilio kimfikie Raisi wa Tanzania Pamoja na mbunge wetu wa Alumeru masharikii Atukumbuke Barabara ya majiyachai kwenda kwa ugoro 😢 nishida kwakwekweli Akuna gari zaidi ya pkpk na pkpk ni elfu 5 ukiwa na mgonjwa wako nitatizo kubwa kumfikisha maji ya chai 😢😢

  • @vivianlaswai8123
    @vivianlaswai81232 жыл бұрын

    Asa changarawe m nikajua wanajenga viwango vya lami, yakija masika tu mmomonyoko unatokea

  • @jambo3751
    @jambo37512 жыл бұрын

    Mkiandika Mazuri ya SAMIA mnawaudhi waleee.