Familia ya SNS,FUSE nimerudi kwenye kipindi baada ya simu yangu kupotea sasa tupo pamoja
@FrancisDonald-go9cs
2 күн бұрын
Poie sana ndugu karibu tena
@kasaisatv9765
Күн бұрын
Karibu tena
@alphadreammedia
Күн бұрын
😊😊😅😅😅
@badmanno.16502 күн бұрын
Heshima haipewi kiongozi mwizi, rais anayetaka kuifanya Kenya Mali yake binafsi, hatumtambui . He must go.
@matukutajuma1562 күн бұрын
DJ SMAA KENYA WANA KATIBA YAO NA TAMADUNI ZAO TANGANYIKA TUNA KATIBA YETU NA TAMADUNI ZETU RAISI KWAO SIO MUNGU MTU KAMA RUANDA!!
@mohamedsuwari2588
2 күн бұрын
Very good answer for this Analyst.Kenya we don't take Presidents as GOD.
@abdulswamadabdallashee5802
2 күн бұрын
Kweli kabisa ndugu yngu mwambiye ukweli Huku Rais nikma MTU wakawaida ,
@abdallazakaria6953
2 күн бұрын
Yow brother Sky.....pin this please......
@aby.beka1630
2 күн бұрын
sio kenya tuu dunian kote mwandish kaz yake ni kuuliz hawan makos bhan~
@CandyLoud
2 күн бұрын
Mwambie kweli maana hii ya leo hajui asemalo Sma wewe sio Mkenya na kuna mengi huyajui
@WILLY_SKY12 күн бұрын
You are right better angefanya huyo Dennis Itumbi hapa alimdanganya the ground is still hostile
@BenBella2542 күн бұрын
Maswali aliyoulizwa ni yale wananchi walitaka aulizwe😂
@maxwellnzai95422 күн бұрын
Dj sma,,,tunamujua raisi wetu,ndo maana kulikuaa hivyoo
@nicoledinga9948
2 күн бұрын
He don't get it...ruto is a psychopath and that's how he should be treated
@GentleGiant-pj2rk
2 күн бұрын
You are the psychopath, Ruto is beyond your level of thinking and acting
@tinakaitsa7334
2 күн бұрын
In Kenya we have boring president 😢
@hassanomar10412 күн бұрын
Bro Sma, kuna vile labda umezoea wataka rais waulizwe maswali kulingana na cheo chake na hizi ndio bado tunarudi nyuma ila fuatilia round table za awali pia alikua anaulizwa maswali kama haya na Mohamed Hussein. This is kenya Uhuru wa wanahabari upo.
@allycruzz3991
Күн бұрын
Real talk
@ibrahimsalim68352 күн бұрын
Ndugu Hawa walilazimishwa na ruto huo ndio ukweli na kule kuvamiwa na wandishi was habari nikwasababu ruto ni nimzuri wakuongea bro huyo twamfahmu sana.kweli ruto siorahisi kumuolewa mpaka uwe Kenya coz amedanganya sana.tosha hio mdahalo wa ruto haukuwa na maana hivyo.shukran
@Hassan_Mengi2 күн бұрын
Mh. Zakayo amelewa anasa anataka kuuza nchi kwa NATO
@ombeniyohaneaustin84152 күн бұрын
Tupo pamoja toka cape Town south africa 🇿🇦
@BenBella2542 күн бұрын
In Kenya we have free media. Kiungo muhimu katika kujenga Demokrasia
@GeorgeAkasha-zx2rj
2 күн бұрын
Kwahilo wakenya hongereni, mko na free media and most of the media it's vibrants.Kongole karibu Tanzania ila Mimi napenda kuangalia sana Citizen Tv ya Macharia.
@Hassan_Mengi
2 күн бұрын
Bongo CCM inacontrol kila kitu mpaka hewa tunayopumua😂
@jafaribori54282 күн бұрын
Naitwa Mr. Bori nakufatilia sana kutokea hapa UK England hakika upo vizuri mdogo wangu nimefurah sana na uchambuzi wako.
@everrineanyango74102 күн бұрын
Our president is having mental health challenges.he is mad
@mariamkassim9925
2 күн бұрын
Respect
@everrineanyango7410
2 күн бұрын
@@mariamkassim9925 andika comment Yako nkt
@hamooummar7298
2 күн бұрын
I gat u my fellow kenyan😂hjui tofaut ya reply na section ya kukoment kiujumla😂
@mariamkassim9925
2 күн бұрын
@@everrineanyango7410 🤣🤣🤣🤣 makasiriko ya nini ama leo hauna chakula
@cocotz1892
2 күн бұрын
@@mariamkassim9925😂😂😂
@AbubakarAlly-th6op2 күн бұрын
Kosa lako smaa hujaimaliza kuiyangalia mchambuzi mkubwa kama wewe kitugani kinakushindwa kumaliza kuiyangalia yaani leo umeboa smaa, ulitakiwa uiyangalie yote kisha ndio uchambue sasa utatoa faida gani hali yakua wewe hujamaliza kuiyangalia
@mpjozzegalvanize4926
2 күн бұрын
We ni miongoni mwa anti-fuse, lala mbele mzee
@Qqambaa
2 күн бұрын
Mi ni mkenya kachambua vzr 😂😂
@allankenyali1535
2 күн бұрын
uyu kama ame hongwa na RUTO this SNS ni Kama wafwasi wa RUTO Wana taka Kenya tuangamie
@hadijagere
2 күн бұрын
😂😂😂😂 kunywa maji kidogo
@BigZhumbe2 күн бұрын
Wakenya hawataki kumsikiliza RUTO they want to hear what they want to hear na sio tatizo lao ni hasira na maumivu yanayomsikiliza RAISI ni kama Dj Sma alivyosema timing ya interview ndio mbaya na hata RUTO angekuja na facts nzuri kiasi gani bado watu wasingemuelewa.
@Abbasbakarsth
Күн бұрын
Sure
@user-de8qk5ij6m2 күн бұрын
Hujui lolole tuachie wenyewe huyu
@wemakalama6458
2 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣
@ttss7716
2 күн бұрын
Kabsa huyu namuona hajielewi akwende uko nyau😂
@hollymore4904
Күн бұрын
Ni sahihi katka hili kafel
@jumajames1767
Күн бұрын
😂😂😂😂
@allycruzz3991
Күн бұрын
Real talk
@agwalubifaridah70792 күн бұрын
Leave us alone sns
@evansogutu41672 күн бұрын
Tunamjua ruto vile wewe unamjua Mama Samia
@abdallazakaria69532 күн бұрын
Infact the journalists asked the right questions zenye kwa ground tulitaka aulizwe
@shantisam-wo8wj
2 күн бұрын
Period
@vinnyinjenga2 күн бұрын
wewe wachana na mambo ya Kenya,ruto is our servant,he is our servant we are his Boss,hapa sio tanzania mnapiga upinzani risasi 30 na hakuna kelele
@BraveMajaliwa-gf7ru2 күн бұрын
Umewahi kuona wapi mtu muongo kupewa heshima tatizo ruto anaongea sana .
@naqiahmad26Күн бұрын
Dj asma binafsi nakukubali, lakini usiingize udini kwenye siasa, kiongozi wa Siasa hachaguliwi na mungu. Umemshusha sana mungu kwenye macho yako
@kawogoremigius81522 күн бұрын
Nafikiri Wakenya wampe muda Rais Ruto ,, na pia alikuwa sahihi kufanya roundtable ili kuonyesha serikali imeonaje na inachukua hatua gani ,, kuliko kusubilo muda upite , wananchi wanatakiwa kupata taarifa hasa Rais kuongea mapema zaidi kukiwa na matatizo makubwa kama hayo yaliyotokea Kenya
@lucasmartin4312 күн бұрын
Yaani ulivyo Hara Dj sma....ningekuwa karibu ningekupokonya mike
@RamadhanBurji
22 сағат бұрын
Mm ningemfuta kazi, maana hajui wakenya wanafeel vp
@benardmakori40122 күн бұрын
Waandishi wa habari wanamujua vizuri sana,Ruto na kupanga,na kutenda alaah!
@moonamoona6838
2 күн бұрын
Kupanga ruto kutenda aaaaah😅
@philipkahindi34992 күн бұрын
Brothers from Tanzania we love you soo much.... Lakini kwa hili uyu Ruto na vibaraka wake niwaizi wameiba pesa nyingi sana huku wakenya wakawaida tunateseka sana..... Sisi hatutamhurumia ata kidogo
@MsAggie5
2 күн бұрын
Hii ndo laana yetu waafrica sijui Kwa nini tuko selfish, Ruto tajiri Kwa nini bado anataka kujilimbikizia mali? Lakini mnadhani mnaweza pata kiongozi mwenye kupenda haki? Wote mijizi tu.
@gracelema23742 күн бұрын
University of Dar es Salaam motto say "HEKIMA NA UHURU".
@user-yp9el7xp8g2 күн бұрын
Sorry Wana SNS mauwaji yalitokea GITHURAI NA RONGAI
@miriamvihenda74082 күн бұрын
uyu anakushow mawhat ama unataka salamu kidogo zakayo amefanya kenya uchumi iko juu sana ruto shuka tu tunakujuwa
@BakariKombo-cj5iu
2 күн бұрын
Huyu tumsalimie
@abdallasaid55932 күн бұрын
Dj sma humjui Ruto ...he deserved hyo kikaango .... au tukusalimie ndugu😂😂😂
@alexbahindolwa39212 күн бұрын
Shida ya Ruto ni mjeuri saan !!.jpt
@allankenyali1535
2 күн бұрын
this SNS guys nikama wameongwa na RUTO Hawa Miki kwanza na unsubscribe uku upuzi mtupu no wonder Tanzania wako nyuma democracy
@GeorgeAkasha-zx2rj
2 күн бұрын
@@allankenyali1535Hawajaongwa ila hawana taarifa sana kuhusu Kenya, Nyinyi ndo mnaelewa mambo mengi sana ya Kenya ila sisi huku TZ twapenda democracy ya Kenya.
@cocotz18922 күн бұрын
Ukiwa huna D 2 uwezi kumwelewa Dj sma vitu vingine Kama vya Taifa utakiwi kuongea kwa hisia au kuwa na upande
@MwauchiMwatela2 күн бұрын
Nawakubali sana ila kuhusu ruto tunamjua ss wakenya
@J4UPro
2 күн бұрын
Huyu ni mchambuzi ko haruhusiwi kwani?
@user-de8qk5ij6m2 күн бұрын
Tuliza mshono wewe huyu ni wetu twamalizana naye wenyewe
@Hamisi84652 күн бұрын
Eehee heshima tena.. Heshima utapewa tu kama inakustahiki wala sio venginenyo
@rosemaryogambe44982 күн бұрын
Dj Sma wachana na wakenya utaumwana kichwa bure. Haujui machungu tunayoyapitia wewe si mkenya haujui katiba ya kenya. Chambua ya kwenu tafadhali hautawai kupata wakenya waki waste time yao wakizichambua mambo yenu.
@user-sq1ol2fb3i2 күн бұрын
Watazania nyinyi wakatiwote uwamwanjifanya mwanjifanya kujuwa sana Matapeli wa tazania wengi
@thierrybisimwa33122 күн бұрын
Bro, this is the real democracy, sio kukosea rahisi heshma. Wali mkatisha alipo kuwa na kwepa swali, the guy is smart but the reporters were smart too. Tz jifunzeni kitu apa sio ku ponda tunacho kililiya Kilasiku accountability ya leadership.
@athmanabushir16222 күн бұрын
kaka tafadhali mambo ya kenya tuachie wakenya sns hufuatilia sana chanel yako rais wetu tumechoka nae sai ndio aseme ukweli. siku zote wakati mtu ako na hasira kauli anayotoa huleta maana kuliko kumuacha ajiandae ndio atudanganye.
@Abdullah-hb6sf
2 күн бұрын
Kabsa bro
@abuuaisha6110
2 күн бұрын
Kweli kabisa
@Baba_Ben.2 күн бұрын
Unabrainstorm sana kabla hujaja na analysis kwenye session. I like to listen to smart minded guys like you mkali.
@KhamisBeja2 күн бұрын
DJ sma hii ungengoja kama siku mbili Tatu bro ukafwatilia deep alfred kiter kutekwa kwake imekua issue coz he was a former member of parliament but watu wanachukuliwa bro fwatilia
@john_1trader2 күн бұрын
Aaapaanaaa hi round table si yake ya kwanza ata kipindi akianzia utawala wake hayamajibizano kenya sisi na hata yeye hatuonagi kama ukosefu wa kutoheshimiana
@allankenyali1535
2 күн бұрын
UYU JAMAA WA HII SNS ANAJIFANYA KUJUA RUTO KUTULIKONSISI WAKENYA WEWE USITU CHOKOZEE KAMA UMEONGWW KAA NA PESA YAKO SHENZI
@mikechidi33392 күн бұрын
Wakenya wengi hapa tunakupa mda wa kukusikiliza but umeanza kukosea wakenya respect kwa kumpongeza ruto...
@makaoyafutaa13022 күн бұрын
WanaSNS Rais wetu ni mdanganyifu mno😂😂 ndio maana hata alikuwa anakwepa maswali mengine, hongera sana wanahabari wetu Joe, Linus na Erick Latiff 😂viva✊💪
@alexsilungwe1620Күн бұрын
Watching from Zambia
@JastoLeleJnrКүн бұрын
Kenya kuna uhuru wa media Sma, hao waandishi waliuliza maswali ya wakenya kutoka ground and Ruto did not give clear answers to all the questions...one thing i must agree with you though, it was not the right move for the president to conduct any kind of interview given the intensity of the situation at hand..... and by the way, i think It's the responsibility of the journalist to ask the hard and critical questions
@TwahaMaziku2 күн бұрын
Dj smaa upo vizuri sana umesema kweli mingu ndo humchagua kiongoz awe mzur au mbaya
@gideonmageto4623Күн бұрын
Sisi ndo tulimchagua anafaa atuheshimu .. period my guys did well
@user-ed1cf9nq5w2 күн бұрын
Hao ni wanasiasa wanaojiita wandishi wa habari😂😂😂😂
@shenamtukufu1224
2 күн бұрын
Kweli man hawa mafala sana hata kama mzee kakosea lakini hawakutakiwa kumbull like that.
@shukranisibale1739
2 күн бұрын
Wanakomaa kumtia 18 zao
@BigZhumbe
2 күн бұрын
@@shenamtukufu1224Wana hasira nae na Raisi kuna muda alikasirika lakini ametumia hekima kutoku snap back at them, hizi siasa ziko si biased.
@Hamisi8465
2 күн бұрын
@@shenamtukufu1224ukweli haufichiki ingawa mchungu... Maswali yalikuwa na ukweli mtupu ndani yake
@BillyJames-l6x2 күн бұрын
Bwana kiongozi sio mfalme bwana kenya hivyo ndio hali ilivyo 😂😂😂😂 ww wacha zako bwana ati tusifanyie nn kiongozi huku kenya sisi hivyo ndio tuko my friend
@fistonmakasi3803Күн бұрын
Ruto ana makosa nyingi kka sma maneno yak na matendo yk nivitu viwili tofauti adjusi from Mombasa
@newtonmwewa62202 күн бұрын
Dj sma umeniangusha on this
@sarahkeivaly33512 күн бұрын
Kwanini rais Ruto anakunja 4 ktk kipindi hiki wakati ndani ya nchi yake pamejaa kilio kila pahali?!!
@Ibrahimkhamis0052 күн бұрын
Sns mie ni mtanzania lakini hebu niulize mbona hamuongelei uchafu wa tanzania kwa viongozi wetu mie najua kuwa mnafahamu kila kitu kuhusu mambo yanayo endelea tanzania
@GeorgeAkasha-zx2rj
2 күн бұрын
Mkuu unajifanya hujui tofauti ya katiba za kijamaa na Katiba za Kibepari?
@user-ev2xf1tv3w
Күн бұрын
Kwel kbs hawaon uchafu unaofanyoka tanzania apo umefel sma sema na tanzania
@kepharichard41832 күн бұрын
Acheni kuvuruga nyinyi watanzania mnajifanya wachambuzi hayo mambo hayawahusu vibaraka wa government.
@aby.beka1630
2 күн бұрын
sizan kam iyo ni kaulinzul husem watanzania kwa mawaz ya mt m1 ten wasem et hayatuhus inaonekan km uwezowak wa kufikilia ni mdg~
@shantisam-wo8wj
2 күн бұрын
Ewaaaa😂 hakuna Kitu wanajua 😂ebu waongee kingereza kidogo
@cath-ef7wd
Күн бұрын
Kiengereza ni nn c in ukoloni tu bado mnakumbatia nyinyi wakenya...muko ovyo sana.@@shantisam-wo8wj
@RamadhanBurji
22 сағат бұрын
Hawa hata hawajasoma
@RamadhanBurji
22 сағат бұрын
@@aby.beka1630Niukwel, even me I am a Tanzania but I am educated in kenya . kenya are more Educated than Tz
@mohammadabdul45bb57Күн бұрын
The protest begins in Mombasa
@omarsirleem71052 күн бұрын
Ngoja tukusalimie kidogo
@abdallasaid5593
2 күн бұрын
Tumsalimie hyu ni kma hamjui Ruto
@katsopolechonyiboy48962 күн бұрын
Ww hujuwi akili ya raisi wetu huyu tuachie wenyewe hujuwi chochote
@mohammadabdul45bb57Күн бұрын
bro umesema ukweli ameamsha hamasa upya
@mcallande13172 күн бұрын
Huyu jamaa alisema ashai ishi nimegundua alidanganya...hangeongea hivi iwapo angekua na akili huru kama ya wakenya...
@abdallahngoe
Күн бұрын
Amesema wakati anaishi kenya alikuwa na umri gani? Je umri huo ulikuwa enough kuwa matured kwenye siasa na kuwa na tabia na mienendo ya wa kenya.... usiseme amedanganya hata elimu yake ikuwa ya primary.. umri una matter sana kwenye makuzi tabia na mienendo ya mtu
@abdallahngoe
Күн бұрын
Hata ukimchukua mtoto wa kenya wa miaka 10 umpeleke uarabuni baada ya miaka 30 hawezi kuwa na tabia za kikenya.. je utasema ni muongo hajawai ishi kenya
@lowasamollel98522 күн бұрын
Kenya kuna waandishi wanaojielewa na wanajua haki yao pia niwataalam sio nyie wa Tz ambayo wengi wabebaki kama machawa wa serikali na hawawezi pigania uhuru wa vyombo vya habari
@OmmyJames-xn7ji
2 күн бұрын
Bongo tuko poa kaka hawo wote wanaomba waje huku kuishi sababu KWAO ni SHIDA NA UWIZI
@BigZhumbe
2 күн бұрын
Unaongelea uhuru upi, wa habari zipi? Maana habari zote za ki politics za Tanzania ziko mitandaoni.
@allankenyali1535
2 күн бұрын
uyu JAMAA wa SNS KA HONGWA NA RUTO TEAM #KOT #GENZ uyu me hongwa let's visit
@BigZhumbe
2 күн бұрын
@@allankenyali1535 So miaka yote mnakubaliana na Dj Sma leo kaongea vitu hampendi ni kahongwa ni Raisi mliompa kiti wenyewe 🤣🤣
@abuuaisha6110
2 күн бұрын
@@BigZhumbeHatukumpa kura bali aliiba kura
@JIMBO_MEDIA2 күн бұрын
You are getting it wrong. Hayo maswali hayakuwa ya Wanahabari yalitoka kwa raia. So usilaumu waandishi wewe hauko neutral uko upande wa Ruto 😂
@kevicristian2738
2 күн бұрын
Without two D you can not understand Dj asma😂
@salmasaid7058
Күн бұрын
Kbs
@salmasaid7058
Күн бұрын
@@kevicristian2738d gn nyinyi mumezoea kuabudu raisi nop cc tuko n democracy kwetu sw
@YustaMfugale2 күн бұрын
Dj smaa moja ya principal ya muandishi wa habri ni kuongea truth ,,,ni haki yao ya kuuliza nn wananchi wanataka kujua sio kumhoji kwa kumpamba na ilhali anakosea ,nimependa sana hao waandiashi
@raymondjohn37982 күн бұрын
Following from Swaziland 🇸🇿,Ruto hafai kuwa Rais wa nchi hiyo.
@cath-ef7wd
Күн бұрын
Mpeleke mamako akaongoze kenya
@yusufmwangichannel66922 күн бұрын
Kenya kuna demokrasia unaeza uliza chochote kwa kiongozi wako bora yasiwe matusi na haya pia yanafanyika pia nchi za ulaya, kama Biden uulizwa maswali magumu na wandishi wa habari Ruto ni nani
@kwisa4899
2 күн бұрын
pia Trump hadi alikua anachukia cnn
@Chrisblaze-beatsКүн бұрын
Umeongea vizuri sana sema umeshindwa kuelewa walikua emotional sana na kinachondelea huko. Wanaopigwa mabomu ni wao na ndugu zao.
@philipkahindi34992 күн бұрын
Brother usjaribu kumtetea uyu jamaa kabisa ssi ndo twamjua hafai wanahabari wetu wapendwa walikua sawa kabisa in short amechosha Kila mtu
@pakeyzaa2 күн бұрын
Dj sma....unapotea kwa line kakangu tuachie tu wenyewe +254 tunajua wenyewe shidaa zetu ..kipindi hiki chako sijakipasisha umeniangusha....
@official_dicksonmungaКүн бұрын
Anyway nimewapenda sanaaa wakenya wanadai haki Yao fasta tena bila uoga sio kama bongo
@mosesmuyamwangi7905Күн бұрын
Ruto alipiga chenga maswali mingi. Kenya twahitaji revolution
@firdaussheikh4817Күн бұрын
Walimfanyia vibaya😢😢😢😢😢 wanaifanya km vijana wote walikua na kazi wakati saa zote kenya Africa sio rahisi wote au half of the country. That's disrespecting the president. They didn't want to question him just kumnyanyasa tu😢😢😢 🇬🇧
@musahassan11062 күн бұрын
DJ sma ruto ni mtu smart Sana
@sarahonguso6187Күн бұрын
Interviewing Ruto, don't think it's easy. He never got proper scrutiny. Kenya is a democratic republic, and the supreme power belongs to the people. Can you ask yourself this question, first it was #RejectFinanceBill2024, and now people have changed the tune to #RutoMustGo!
@makwegarashid-ui1oeКүн бұрын
Mawazo ya wakenya yashakuwa negative kwa Ruto,kwa kipindi haikuwa sahihi kufanya huu mdahalo. Pia waandishi hawakuwa na heshima ya nafasi ya Urais, waandishi walipaswa kuheshimu nafasi ya urais walikuwa wanamkandamiza walikuja na majibu yao. Kwa mantiki hii hadhi ya nafasi ya urais Kenya imedhalilishwa sana. Mawazo yangu Rais yeyote atakeyatawala kenya hatopewa hadhi.hata mtoto ndogo akijisikia kumtukana rais anaweza na asifanywe chochote. Wangempa nafasi Ruto alikuwa anamawazo mengi Zaidi mazuri na anaonyesha ni kiongozi mzuri sana.
@hamooummar72982 күн бұрын
Mm n mkenya lkn uyo jamaa jajaua vzr siasa za Kenya au hajamjua vzr Ruto, ungefatilia paka kwa Ground Dj Sma ndo uchambue!
@davidwalalason76302 күн бұрын
Keter he's a former mp and he was abducted not arrested
@wambuageorgemutua1930Күн бұрын
Sns hakuna kitu unachambua hapo, siasa za Kenya wachia wakenya...huwezi elewa hii maneno...you are so personal
@WILLY_SKY12 күн бұрын
Citizen Tv NTV and KTN we know those medias are biased
@BillyJames-l6x
2 күн бұрын
Biased like your mother's side guy huuh😢
@NoName-pp4lo
2 күн бұрын
How are they. biased can you explain plz
@yasminmustafa22822 күн бұрын
Ati you were disappointed by who?as who?...learn the kenyan culture you will understand how we think and operate...anyway your opinion on our political arena is non validative
@kwisa4899
2 күн бұрын
mwizi anapewa heshima
@saivellybrutally29942 күн бұрын
Kaka sio kila kiongozi amechanguliwa na mungu hii hapa hapa hapa.
@carlytube338Күн бұрын
Bwana sns unatakiwa kumjua mhe. Ruto vizuri kabla ya hii video at least ungeelewa hii video vizuri, ukimuuliza chochote ata kisichomhusu atakujibu kwa utaratibu mpaka umwamini labda kama unachomuliza unakijua kwa undani. sir. this people knew what they are asking him
@laurine78982 күн бұрын
Huelewi kabisa tuachie tu mambo yetu muendelee kubembeleza wenu sisi tunajua majangili yetu na vile tunadeal nao hakuna kubembelezana na maisha yetu na ya watoto wetu.
@StanleySewando-nb4xm2 күн бұрын
Mm naona Ruto Yuko smart sana Kwa sababu kama mkuu wa nchi anawajibu wa kijibu chochote anapotakiwa. Lakini maswali alijibu vizuri tu Kwa mfano maswali aloulizwa yalihitaji uchunguzi Sasa unadhani angejibu nn.
@Khalidniya3802 күн бұрын
Ni kweli kabisa hata mimi mwenyewe nilikua nasema hivo jamaa alifanya makosa makubwa kufanya roundtablekwa huyu wakati
@amrunassibu51052 күн бұрын
Kaka Kenya Tulisooma Katiba Vizuri..Na pia Tunajua Uhuru wetu uko wapi Sasa wewe Wala Usisononeke
@allotropeking59912 күн бұрын
Tunamjua sana huyo msee papa. Sisi kenya hatuna rais.
@StanleySewando-nb4xm2 күн бұрын
Ruto alijibu vizuri sana
@venancerutta68752 күн бұрын
Hapo uko vizuri wandishi hawana hoja wanaruka mashwali wandishi wameshindwa
@SundayMtachi2 күн бұрын
Bila A mbili huwezi elewa Dj sma ni Genius....wengi hawataelewa
@Moseskoome-l1t2 күн бұрын
Congratulation dj smaa Kenya we love you🇰🇪❤❤
@bravo83242 күн бұрын
Kwa Mara ya kwanza nimeshwidwa kumaliza video ya sns. Mtu uko bias lakini unatuambia unaupande ….. nimelose respect sana na wewe. I thought una akili sana
@NikodemusOgembo2 күн бұрын
Kenya tupo na Uhuru kwani President ni mwanainchi tuu
@allankenyali1535
2 күн бұрын
president sio mungu mwambie uyu mpuzi KAZI yake kumteta ruta nashangaa anajifanya kuchambua kizungu
@ENGLISHMOVIES-DOCUMENTARIES2 күн бұрын
Who cares what you think bro...in kenya the president is not worshiped, and that was dialogue conversation so keep your punitive observations to youself na uache kutupigia kelele...i really like this channel 'sns' but this guy is totally underrated
@nadinemasengo99702 күн бұрын
Lazima aheshimiwe ni kiongozi ❤
@newtonmwewa62202 күн бұрын
Kenya real example of Africa
@zuricakes68172 күн бұрын
Uko Sahihi kabisa. Raisi ni Raisi lazima apewe heshima yake, kama kuwa Raisi ni kitu rahisi baba au mama zao wajaribu. Na hawa majamaa (siwezi kuwaita ma journalist) waliokuja kumuhoji wameonyesha ujinga wao ulipofikia. Unamuuliza mtu swali, haumpi nafasi ya kujibu alafu mwingine naye anauliza swali juu ya swali. Walikuja na agenda yao hawakuwa tayari kusikiliza upande wa pili (Media bias ni BAD JOURNALISM). Kwa kifupi ni wahuni tu! Naamini President Ruto alikubali hii roundtable akifikiri anaenda kukutana na ma journalist...kumbe wahuni tu, naamini hata yeye amejuta.
@alikonge88642 күн бұрын
wew unaharibu bwana wamjua ruto ww ama waongea to
@allankenyali1535
2 күн бұрын
yuy JAMAA ame hongwa na ruto
@EmanuelfrankaseiКүн бұрын
Tupo pamoja nafurahia kupata habari bora
@jumajames1767Күн бұрын
Dj sma nakukubali sana ila kwa hili zii mkubwa wangu huyu jamaa ni muongo kupitiliza kaka acha tudeal nae twamjua wenyewe huyu
@RamadhanBurji22 сағат бұрын
Kenya is our country,tuwachie inchii yetu wenyewe,, Nivile kile Mtu amtaki Ruto,Hata Raia hatumtaki, kenya tumesoma nandyo maana hatuwezi bebwa ufala
Пікірлер: 414
Familia ya SNS,FUSE nimerudi kwenye kipindi baada ya simu yangu kupotea sasa tupo pamoja
@FrancisDonald-go9cs
2 күн бұрын
Poie sana ndugu karibu tena
@kasaisatv9765
Күн бұрын
Karibu tena
@alphadreammedia
Күн бұрын
😊😊😅😅😅
Heshima haipewi kiongozi mwizi, rais anayetaka kuifanya Kenya Mali yake binafsi, hatumtambui . He must go.
DJ SMAA KENYA WANA KATIBA YAO NA TAMADUNI ZAO TANGANYIKA TUNA KATIBA YETU NA TAMADUNI ZETU RAISI KWAO SIO MUNGU MTU KAMA RUANDA!!
@mohamedsuwari2588
2 күн бұрын
Very good answer for this Analyst.Kenya we don't take Presidents as GOD.
@abdulswamadabdallashee5802
2 күн бұрын
Kweli kabisa ndugu yngu mwambiye ukweli Huku Rais nikma MTU wakawaida ,
@abdallazakaria6953
2 күн бұрын
Yow brother Sky.....pin this please......
@aby.beka1630
2 күн бұрын
sio kenya tuu dunian kote mwandish kaz yake ni kuuliz hawan makos bhan~
@CandyLoud
2 күн бұрын
Mwambie kweli maana hii ya leo hajui asemalo Sma wewe sio Mkenya na kuna mengi huyajui
You are right better angefanya huyo Dennis Itumbi hapa alimdanganya the ground is still hostile
Maswali aliyoulizwa ni yale wananchi walitaka aulizwe😂
Dj sma,,,tunamujua raisi wetu,ndo maana kulikuaa hivyoo
@nicoledinga9948
2 күн бұрын
He don't get it...ruto is a psychopath and that's how he should be treated
@GentleGiant-pj2rk
2 күн бұрын
You are the psychopath, Ruto is beyond your level of thinking and acting
@tinakaitsa7334
2 күн бұрын
In Kenya we have boring president 😢
Bro Sma, kuna vile labda umezoea wataka rais waulizwe maswali kulingana na cheo chake na hizi ndio bado tunarudi nyuma ila fuatilia round table za awali pia alikua anaulizwa maswali kama haya na Mohamed Hussein. This is kenya Uhuru wa wanahabari upo.
@allycruzz3991
Күн бұрын
Real talk
Ndugu Hawa walilazimishwa na ruto huo ndio ukweli na kule kuvamiwa na wandishi was habari nikwasababu ruto ni nimzuri wakuongea bro huyo twamfahmu sana.kweli ruto siorahisi kumuolewa mpaka uwe Kenya coz amedanganya sana.tosha hio mdahalo wa ruto haukuwa na maana hivyo.shukran
Mh. Zakayo amelewa anasa anataka kuuza nchi kwa NATO
Tupo pamoja toka cape Town south africa 🇿🇦
In Kenya we have free media. Kiungo muhimu katika kujenga Demokrasia
@GeorgeAkasha-zx2rj
2 күн бұрын
Kwahilo wakenya hongereni, mko na free media and most of the media it's vibrants.Kongole karibu Tanzania ila Mimi napenda kuangalia sana Citizen Tv ya Macharia.
@Hassan_Mengi
2 күн бұрын
Bongo CCM inacontrol kila kitu mpaka hewa tunayopumua😂
Naitwa Mr. Bori nakufatilia sana kutokea hapa UK England hakika upo vizuri mdogo wangu nimefurah sana na uchambuzi wako.
Our president is having mental health challenges.he is mad
@mariamkassim9925
2 күн бұрын
Respect
@everrineanyango7410
2 күн бұрын
@@mariamkassim9925 andika comment Yako nkt
@hamooummar7298
2 күн бұрын
I gat u my fellow kenyan😂hjui tofaut ya reply na section ya kukoment kiujumla😂
@mariamkassim9925
2 күн бұрын
@@everrineanyango7410 🤣🤣🤣🤣 makasiriko ya nini ama leo hauna chakula
@cocotz1892
2 күн бұрын
@@mariamkassim9925😂😂😂
Kosa lako smaa hujaimaliza kuiyangalia mchambuzi mkubwa kama wewe kitugani kinakushindwa kumaliza kuiyangalia yaani leo umeboa smaa, ulitakiwa uiyangalie yote kisha ndio uchambue sasa utatoa faida gani hali yakua wewe hujamaliza kuiyangalia
@mpjozzegalvanize4926
2 күн бұрын
We ni miongoni mwa anti-fuse, lala mbele mzee
@Qqambaa
2 күн бұрын
Mi ni mkenya kachambua vzr 😂😂
@allankenyali1535
2 күн бұрын
uyu kama ame hongwa na RUTO this SNS ni Kama wafwasi wa RUTO Wana taka Kenya tuangamie
@hadijagere
2 күн бұрын
😂😂😂😂 kunywa maji kidogo
Wakenya hawataki kumsikiliza RUTO they want to hear what they want to hear na sio tatizo lao ni hasira na maumivu yanayomsikiliza RAISI ni kama Dj Sma alivyosema timing ya interview ndio mbaya na hata RUTO angekuja na facts nzuri kiasi gani bado watu wasingemuelewa.
@Abbasbakarsth
Күн бұрын
Sure
Hujui lolole tuachie wenyewe huyu
@wemakalama6458
2 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣
@ttss7716
2 күн бұрын
Kabsa huyu namuona hajielewi akwende uko nyau😂
@hollymore4904
Күн бұрын
Ni sahihi katka hili kafel
@jumajames1767
Күн бұрын
😂😂😂😂
@allycruzz3991
Күн бұрын
Real talk
Leave us alone sns
Tunamjua ruto vile wewe unamjua Mama Samia
Infact the journalists asked the right questions zenye kwa ground tulitaka aulizwe
@shantisam-wo8wj
2 күн бұрын
Period
wewe wachana na mambo ya Kenya,ruto is our servant,he is our servant we are his Boss,hapa sio tanzania mnapiga upinzani risasi 30 na hakuna kelele
Umewahi kuona wapi mtu muongo kupewa heshima tatizo ruto anaongea sana .
Dj asma binafsi nakukubali, lakini usiingize udini kwenye siasa, kiongozi wa Siasa hachaguliwi na mungu. Umemshusha sana mungu kwenye macho yako
Nafikiri Wakenya wampe muda Rais Ruto ,, na pia alikuwa sahihi kufanya roundtable ili kuonyesha serikali imeonaje na inachukua hatua gani ,, kuliko kusubilo muda upite , wananchi wanatakiwa kupata taarifa hasa Rais kuongea mapema zaidi kukiwa na matatizo makubwa kama hayo yaliyotokea Kenya
Yaani ulivyo Hara Dj sma....ningekuwa karibu ningekupokonya mike
@RamadhanBurji
22 сағат бұрын
Mm ningemfuta kazi, maana hajui wakenya wanafeel vp
Waandishi wa habari wanamujua vizuri sana,Ruto na kupanga,na kutenda alaah!
@moonamoona6838
2 күн бұрын
Kupanga ruto kutenda aaaaah😅
Brothers from Tanzania we love you soo much.... Lakini kwa hili uyu Ruto na vibaraka wake niwaizi wameiba pesa nyingi sana huku wakenya wakawaida tunateseka sana..... Sisi hatutamhurumia ata kidogo
@MsAggie5
2 күн бұрын
Hii ndo laana yetu waafrica sijui Kwa nini tuko selfish, Ruto tajiri Kwa nini bado anataka kujilimbikizia mali? Lakini mnadhani mnaweza pata kiongozi mwenye kupenda haki? Wote mijizi tu.
University of Dar es Salaam motto say "HEKIMA NA UHURU".
Sorry Wana SNS mauwaji yalitokea GITHURAI NA RONGAI
uyu anakushow mawhat ama unataka salamu kidogo zakayo amefanya kenya uchumi iko juu sana ruto shuka tu tunakujuwa
@BakariKombo-cj5iu
2 күн бұрын
Huyu tumsalimie
Dj sma humjui Ruto ...he deserved hyo kikaango .... au tukusalimie ndugu😂😂😂
Shida ya Ruto ni mjeuri saan !!.jpt
@allankenyali1535
2 күн бұрын
this SNS guys nikama wameongwa na RUTO Hawa Miki kwanza na unsubscribe uku upuzi mtupu no wonder Tanzania wako nyuma democracy
@GeorgeAkasha-zx2rj
2 күн бұрын
@@allankenyali1535Hawajaongwa ila hawana taarifa sana kuhusu Kenya, Nyinyi ndo mnaelewa mambo mengi sana ya Kenya ila sisi huku TZ twapenda democracy ya Kenya.
Ukiwa huna D 2 uwezi kumwelewa Dj sma vitu vingine Kama vya Taifa utakiwi kuongea kwa hisia au kuwa na upande
Nawakubali sana ila kuhusu ruto tunamjua ss wakenya
@J4UPro
2 күн бұрын
Huyu ni mchambuzi ko haruhusiwi kwani?
Tuliza mshono wewe huyu ni wetu twamalizana naye wenyewe
Eehee heshima tena.. Heshima utapewa tu kama inakustahiki wala sio venginenyo
Dj Sma wachana na wakenya utaumwana kichwa bure. Haujui machungu tunayoyapitia wewe si mkenya haujui katiba ya kenya. Chambua ya kwenu tafadhali hautawai kupata wakenya waki waste time yao wakizichambua mambo yenu.
Watazania nyinyi wakatiwote uwamwanjifanya mwanjifanya kujuwa sana Matapeli wa tazania wengi
Bro, this is the real democracy, sio kukosea rahisi heshma. Wali mkatisha alipo kuwa na kwepa swali, the guy is smart but the reporters were smart too. Tz jifunzeni kitu apa sio ku ponda tunacho kililiya Kilasiku accountability ya leadership.
kaka tafadhali mambo ya kenya tuachie wakenya sns hufuatilia sana chanel yako rais wetu tumechoka nae sai ndio aseme ukweli. siku zote wakati mtu ako na hasira kauli anayotoa huleta maana kuliko kumuacha ajiandae ndio atudanganye.
@Abdullah-hb6sf
2 күн бұрын
Kabsa bro
@abuuaisha6110
2 күн бұрын
Kweli kabisa
Unabrainstorm sana kabla hujaja na analysis kwenye session. I like to listen to smart minded guys like you mkali.
DJ sma hii ungengoja kama siku mbili Tatu bro ukafwatilia deep alfred kiter kutekwa kwake imekua issue coz he was a former member of parliament but watu wanachukuliwa bro fwatilia
Aaapaanaaa hi round table si yake ya kwanza ata kipindi akianzia utawala wake hayamajibizano kenya sisi na hata yeye hatuonagi kama ukosefu wa kutoheshimiana
@allankenyali1535
2 күн бұрын
UYU JAMAA WA HII SNS ANAJIFANYA KUJUA RUTO KUTULIKONSISI WAKENYA WEWE USITU CHOKOZEE KAMA UMEONGWW KAA NA PESA YAKO SHENZI
Wakenya wengi hapa tunakupa mda wa kukusikiliza but umeanza kukosea wakenya respect kwa kumpongeza ruto...
WanaSNS Rais wetu ni mdanganyifu mno😂😂 ndio maana hata alikuwa anakwepa maswali mengine, hongera sana wanahabari wetu Joe, Linus na Erick Latiff 😂viva✊💪
Watching from Zambia
Kenya kuna uhuru wa media Sma, hao waandishi waliuliza maswali ya wakenya kutoka ground and Ruto did not give clear answers to all the questions...one thing i must agree with you though, it was not the right move for the president to conduct any kind of interview given the intensity of the situation at hand..... and by the way, i think It's the responsibility of the journalist to ask the hard and critical questions
Dj smaa upo vizuri sana umesema kweli mingu ndo humchagua kiongoz awe mzur au mbaya
Sisi ndo tulimchagua anafaa atuheshimu .. period my guys did well
Hao ni wanasiasa wanaojiita wandishi wa habari😂😂😂😂
@shenamtukufu1224
2 күн бұрын
Kweli man hawa mafala sana hata kama mzee kakosea lakini hawakutakiwa kumbull like that.
@shukranisibale1739
2 күн бұрын
Wanakomaa kumtia 18 zao
@BigZhumbe
2 күн бұрын
@@shenamtukufu1224Wana hasira nae na Raisi kuna muda alikasirika lakini ametumia hekima kutoku snap back at them, hizi siasa ziko si biased.
@Hamisi8465
2 күн бұрын
@@shenamtukufu1224ukweli haufichiki ingawa mchungu... Maswali yalikuwa na ukweli mtupu ndani yake
Bwana kiongozi sio mfalme bwana kenya hivyo ndio hali ilivyo 😂😂😂😂 ww wacha zako bwana ati tusifanyie nn kiongozi huku kenya sisi hivyo ndio tuko my friend
Ruto ana makosa nyingi kka sma maneno yak na matendo yk nivitu viwili tofauti adjusi from Mombasa
Dj sma umeniangusha on this
Kwanini rais Ruto anakunja 4 ktk kipindi hiki wakati ndani ya nchi yake pamejaa kilio kila pahali?!!
Sns mie ni mtanzania lakini hebu niulize mbona hamuongelei uchafu wa tanzania kwa viongozi wetu mie najua kuwa mnafahamu kila kitu kuhusu mambo yanayo endelea tanzania
@GeorgeAkasha-zx2rj
2 күн бұрын
Mkuu unajifanya hujui tofauti ya katiba za kijamaa na Katiba za Kibepari?
@user-ev2xf1tv3w
Күн бұрын
Kwel kbs hawaon uchafu unaofanyoka tanzania apo umefel sma sema na tanzania
Acheni kuvuruga nyinyi watanzania mnajifanya wachambuzi hayo mambo hayawahusu vibaraka wa government.
@aby.beka1630
2 күн бұрын
sizan kam iyo ni kaulinzul husem watanzania kwa mawaz ya mt m1 ten wasem et hayatuhus inaonekan km uwezowak wa kufikilia ni mdg~
@shantisam-wo8wj
2 күн бұрын
Ewaaaa😂 hakuna Kitu wanajua 😂ebu waongee kingereza kidogo
@cath-ef7wd
Күн бұрын
Kiengereza ni nn c in ukoloni tu bado mnakumbatia nyinyi wakenya...muko ovyo sana.@@shantisam-wo8wj
@RamadhanBurji
22 сағат бұрын
Hawa hata hawajasoma
@RamadhanBurji
22 сағат бұрын
@@aby.beka1630Niukwel, even me I am a Tanzania but I am educated in kenya . kenya are more Educated than Tz
The protest begins in Mombasa
Ngoja tukusalimie kidogo
@abdallasaid5593
2 күн бұрын
Tumsalimie hyu ni kma hamjui Ruto
Ww hujuwi akili ya raisi wetu huyu tuachie wenyewe hujuwi chochote
bro umesema ukweli ameamsha hamasa upya
Huyu jamaa alisema ashai ishi nimegundua alidanganya...hangeongea hivi iwapo angekua na akili huru kama ya wakenya...
@abdallahngoe
Күн бұрын
Amesema wakati anaishi kenya alikuwa na umri gani? Je umri huo ulikuwa enough kuwa matured kwenye siasa na kuwa na tabia na mienendo ya wa kenya.... usiseme amedanganya hata elimu yake ikuwa ya primary.. umri una matter sana kwenye makuzi tabia na mienendo ya mtu
@abdallahngoe
Күн бұрын
Hata ukimchukua mtoto wa kenya wa miaka 10 umpeleke uarabuni baada ya miaka 30 hawezi kuwa na tabia za kikenya.. je utasema ni muongo hajawai ishi kenya
Kenya kuna waandishi wanaojielewa na wanajua haki yao pia niwataalam sio nyie wa Tz ambayo wengi wabebaki kama machawa wa serikali na hawawezi pigania uhuru wa vyombo vya habari
@OmmyJames-xn7ji
2 күн бұрын
Bongo tuko poa kaka hawo wote wanaomba waje huku kuishi sababu KWAO ni SHIDA NA UWIZI
@BigZhumbe
2 күн бұрын
Unaongelea uhuru upi, wa habari zipi? Maana habari zote za ki politics za Tanzania ziko mitandaoni.
@allankenyali1535
2 күн бұрын
uyu JAMAA wa SNS KA HONGWA NA RUTO TEAM #KOT #GENZ uyu me hongwa let's visit
@BigZhumbe
2 күн бұрын
@@allankenyali1535 So miaka yote mnakubaliana na Dj Sma leo kaongea vitu hampendi ni kahongwa ni Raisi mliompa kiti wenyewe 🤣🤣
@abuuaisha6110
2 күн бұрын
@@BigZhumbeHatukumpa kura bali aliiba kura
You are getting it wrong. Hayo maswali hayakuwa ya Wanahabari yalitoka kwa raia. So usilaumu waandishi wewe hauko neutral uko upande wa Ruto 😂
@kevicristian2738
2 күн бұрын
Without two D you can not understand Dj asma😂
@salmasaid7058
Күн бұрын
Kbs
@salmasaid7058
Күн бұрын
@@kevicristian2738d gn nyinyi mumezoea kuabudu raisi nop cc tuko n democracy kwetu sw
Dj smaa moja ya principal ya muandishi wa habri ni kuongea truth ,,,ni haki yao ya kuuliza nn wananchi wanataka kujua sio kumhoji kwa kumpamba na ilhali anakosea ,nimependa sana hao waandiashi
Following from Swaziland 🇸🇿,Ruto hafai kuwa Rais wa nchi hiyo.
@cath-ef7wd
Күн бұрын
Mpeleke mamako akaongoze kenya
Kenya kuna demokrasia unaeza uliza chochote kwa kiongozi wako bora yasiwe matusi na haya pia yanafanyika pia nchi za ulaya, kama Biden uulizwa maswali magumu na wandishi wa habari Ruto ni nani
@kwisa4899
2 күн бұрын
pia Trump hadi alikua anachukia cnn
Umeongea vizuri sana sema umeshindwa kuelewa walikua emotional sana na kinachondelea huko. Wanaopigwa mabomu ni wao na ndugu zao.
Brother usjaribu kumtetea uyu jamaa kabisa ssi ndo twamjua hafai wanahabari wetu wapendwa walikua sawa kabisa in short amechosha Kila mtu
Dj sma....unapotea kwa line kakangu tuachie tu wenyewe +254 tunajua wenyewe shidaa zetu ..kipindi hiki chako sijakipasisha umeniangusha....
Anyway nimewapenda sanaaa wakenya wanadai haki Yao fasta tena bila uoga sio kama bongo
Ruto alipiga chenga maswali mingi. Kenya twahitaji revolution
Walimfanyia vibaya😢😢😢😢😢 wanaifanya km vijana wote walikua na kazi wakati saa zote kenya Africa sio rahisi wote au half of the country. That's disrespecting the president. They didn't want to question him just kumnyanyasa tu😢😢😢 🇬🇧
DJ sma ruto ni mtu smart Sana
Interviewing Ruto, don't think it's easy. He never got proper scrutiny. Kenya is a democratic republic, and the supreme power belongs to the people. Can you ask yourself this question, first it was #RejectFinanceBill2024, and now people have changed the tune to #RutoMustGo!
Mawazo ya wakenya yashakuwa negative kwa Ruto,kwa kipindi haikuwa sahihi kufanya huu mdahalo. Pia waandishi hawakuwa na heshima ya nafasi ya Urais, waandishi walipaswa kuheshimu nafasi ya urais walikuwa wanamkandamiza walikuja na majibu yao. Kwa mantiki hii hadhi ya nafasi ya urais Kenya imedhalilishwa sana. Mawazo yangu Rais yeyote atakeyatawala kenya hatopewa hadhi.hata mtoto ndogo akijisikia kumtukana rais anaweza na asifanywe chochote. Wangempa nafasi Ruto alikuwa anamawazo mengi Zaidi mazuri na anaonyesha ni kiongozi mzuri sana.
Mm n mkenya lkn uyo jamaa jajaua vzr siasa za Kenya au hajamjua vzr Ruto, ungefatilia paka kwa Ground Dj Sma ndo uchambue!
Keter he's a former mp and he was abducted not arrested
Sns hakuna kitu unachambua hapo, siasa za Kenya wachia wakenya...huwezi elewa hii maneno...you are so personal
Citizen Tv NTV and KTN we know those medias are biased
@BillyJames-l6x
2 күн бұрын
Biased like your mother's side guy huuh😢
@NoName-pp4lo
2 күн бұрын
How are they. biased can you explain plz
Ati you were disappointed by who?as who?...learn the kenyan culture you will understand how we think and operate...anyway your opinion on our political arena is non validative
@kwisa4899
2 күн бұрын
mwizi anapewa heshima
Kaka sio kila kiongozi amechanguliwa na mungu hii hapa hapa hapa.
Bwana sns unatakiwa kumjua mhe. Ruto vizuri kabla ya hii video at least ungeelewa hii video vizuri, ukimuuliza chochote ata kisichomhusu atakujibu kwa utaratibu mpaka umwamini labda kama unachomuliza unakijua kwa undani. sir. this people knew what they are asking him
Huelewi kabisa tuachie tu mambo yetu muendelee kubembeleza wenu sisi tunajua majangili yetu na vile tunadeal nao hakuna kubembelezana na maisha yetu na ya watoto wetu.
Mm naona Ruto Yuko smart sana Kwa sababu kama mkuu wa nchi anawajibu wa kijibu chochote anapotakiwa. Lakini maswali alijibu vizuri tu Kwa mfano maswali aloulizwa yalihitaji uchunguzi Sasa unadhani angejibu nn.
Ni kweli kabisa hata mimi mwenyewe nilikua nasema hivo jamaa alifanya makosa makubwa kufanya roundtablekwa huyu wakati
Kaka Kenya Tulisooma Katiba Vizuri..Na pia Tunajua Uhuru wetu uko wapi Sasa wewe Wala Usisononeke
Tunamjua sana huyo msee papa. Sisi kenya hatuna rais.
Ruto alijibu vizuri sana
Hapo uko vizuri wandishi hawana hoja wanaruka mashwali wandishi wameshindwa
Bila A mbili huwezi elewa Dj sma ni Genius....wengi hawataelewa
Congratulation dj smaa Kenya we love you🇰🇪❤❤
Kwa Mara ya kwanza nimeshwidwa kumaliza video ya sns. Mtu uko bias lakini unatuambia unaupande ….. nimelose respect sana na wewe. I thought una akili sana
Kenya tupo na Uhuru kwani President ni mwanainchi tuu
@allankenyali1535
2 күн бұрын
president sio mungu mwambie uyu mpuzi KAZI yake kumteta ruta nashangaa anajifanya kuchambua kizungu
Who cares what you think bro...in kenya the president is not worshiped, and that was dialogue conversation so keep your punitive observations to youself na uache kutupigia kelele...i really like this channel 'sns' but this guy is totally underrated
Lazima aheshimiwe ni kiongozi ❤
Kenya real example of Africa
Uko Sahihi kabisa. Raisi ni Raisi lazima apewe heshima yake, kama kuwa Raisi ni kitu rahisi baba au mama zao wajaribu. Na hawa majamaa (siwezi kuwaita ma journalist) waliokuja kumuhoji wameonyesha ujinga wao ulipofikia. Unamuuliza mtu swali, haumpi nafasi ya kujibu alafu mwingine naye anauliza swali juu ya swali. Walikuja na agenda yao hawakuwa tayari kusikiliza upande wa pili (Media bias ni BAD JOURNALISM). Kwa kifupi ni wahuni tu! Naamini President Ruto alikubali hii roundtable akifikiri anaenda kukutana na ma journalist...kumbe wahuni tu, naamini hata yeye amejuta.
wew unaharibu bwana wamjua ruto ww ama waongea to
@allankenyali1535
2 күн бұрын
yuy JAMAA ame hongwa na ruto
Tupo pamoja nafurahia kupata habari bora
Dj sma nakukubali sana ila kwa hili zii mkubwa wangu huyu jamaa ni muongo kupitiliza kaka acha tudeal nae twamjua wenyewe huyu
Kenya is our country,tuwachie inchii yetu wenyewe,, Nivile kile Mtu amtaki Ruto,Hata Raia hatumtaki, kenya tumesoma nandyo maana hatuwezi bebwa ufala