⚒️RADDI KWA WALIOIFUNGA HAKKI NA WAO AU MASHEIKH ZAO,SHEIKH ABUU ABDUL-RAZAQ HARUNA RAASIYحفظه الله
Жүктеу.....
Пікірлер: 10
@abusalmadangaadam7084 күн бұрын
Wapo walifrahia kifo cha sheikh ndio maana sheikh HARUNA ras anakemea
@abuusuhayli5 күн бұрын
yaani huyu haruna raasiy kichwa chake kibovu sana, siku za karibuni alikuwa singida tunamuon na watu weny mrengo wa hizbut tahriir
@farajithabiti83595 күн бұрын
Kwani kuna sheikh ambaye alipishana marhum amemzungumza marehemu vibaya?? Mbona maneno kama yamefungwafungwa
@AbAlhuraas
5 күн бұрын
Wapo hao wachupa mipaka ,wamemsema kiasi cha Ukhbithi wao walio kuwa nao mpak wanasema hakuna kwnda kuhudhuria mazishi yake , ShubhanaaAllah
@ABUUBAAZNYUNGU
4 күн бұрын
@@AbAlhuraaswatu gan hao? Wabainishwe
@AbuuSaad-ut4fd
4 күн бұрын
Abuu nuaymi ameeleza watu hao na Abuu zagari ameeleza pia kwa kunukuu yale yaliyoruswa kwenye magroup ya hao wlengwa . Fatilia humu humu audio zimo utajua kinachoendeleaa. Allah amrehemu Abuu Muawiya.@@ABUUBAAZNYUNGU
Achaa matusi na kudharau watu ww km amekosea basi ww kosoa tuu lkn acha usubu wa kisufi ww hizo sio tabia za kisalafy
@z34-kp9qq
5 күн бұрын
@@ibnsalim3usimshangae huyoooo. Huyo kuna mtu kamkopi maneno hayo.
@Abuuuyaynah-dg4xn
4 күн бұрын
@@z34-kp9qq nimemkopi nani hayo ni maneno ya waswahili na wanayatumia Illa wewe kwa chuki zako kwa huyo unaaedhinia nimemkopi unasema kwa dhana acha kudhinia dhania
Пікірлер: 10
Wapo walifrahia kifo cha sheikh ndio maana sheikh HARUNA ras anakemea
yaani huyu haruna raasiy kichwa chake kibovu sana, siku za karibuni alikuwa singida tunamuon na watu weny mrengo wa hizbut tahriir
Kwani kuna sheikh ambaye alipishana marhum amemzungumza marehemu vibaya?? Mbona maneno kama yamefungwafungwa
@AbAlhuraas
5 күн бұрын
Wapo hao wachupa mipaka ,wamemsema kiasi cha Ukhbithi wao walio kuwa nao mpak wanasema hakuna kwnda kuhudhuria mazishi yake , ShubhanaaAllah
@ABUUBAAZNYUNGU
4 күн бұрын
@@AbAlhuraaswatu gan hao? Wabainishwe
@AbuuSaad-ut4fd
4 күн бұрын
Abuu nuaymi ameeleza watu hao na Abuu zagari ameeleza pia kwa kunukuu yale yaliyoruswa kwenye magroup ya hao wlengwa . Fatilia humu humu audio zimo utajua kinachoendeleaa. Allah amrehemu Abuu Muawiya.@@ABUUBAAZNYUNGU
Hayaaaaaaaa Maiti zinapiga chafya hukuuuuuuuu Hakuna swala wala kuzikaaaaaa
@ibnsalim3
5 күн бұрын
Achaa matusi na kudharau watu ww km amekosea basi ww kosoa tuu lkn acha usubu wa kisufi ww hizo sio tabia za kisalafy
@z34-kp9qq
5 күн бұрын
@@ibnsalim3usimshangae huyoooo. Huyo kuna mtu kamkopi maneno hayo.
@Abuuuyaynah-dg4xn
4 күн бұрын
@@z34-kp9qq nimemkopi nani hayo ni maneno ya waswahili na wanayatumia Illa wewe kwa chuki zako kwa huyo unaaedhinia nimemkopi unasema kwa dhana acha kudhinia dhania