قناة الحق منصور

قناة الحق منصور

الحق ما قال الله و قال رسوله و قال صحابة

Пікірлер

  • @IssaSimbilla-hw9ev
    @IssaSimbilla-hw9evСағат бұрын

    Sasa babu yenu barahiyani sindo kaziyake kubidaisha ulamaa au mshasau tutajie shekh wetu alie bidaisha ulamaa 😂😂

  • @ibnsalim3
    @ibnsalim3Сағат бұрын

    Barahiyani ni mtu wa Bid'aa na ss tuko mbali yeye na yeye yupo mbali na ss

  • @IssaSimbilla-hw9ev
    @IssaSimbilla-hw9evСағат бұрын

    😂bila shaka masarafi wakwl wakianza kuwakibu mtakimbia sana mtalia zaid ya haya maana hajajibiwa lkn mwalia sana poleni sna😊

  • @ibnsalim3
    @ibnsalim3Сағат бұрын

    Ww unawajua masalafy wa kweli ? Acha ujingaa, km tukikuwekeni kwenye mezani ya masalafy nyy munasifa Gani inayofanana na masalafy nyy masalafy jina tuu Manhaji yenu ni ya kihadaadiy

  • @mengihashimu1081
    @mengihashimu1081Сағат бұрын

    ​@@ibnsalim3mche Allah akhy ukisema masalaf jina Una maana gani?

  • @ibnsalim3
    @ibnsalim3Сағат бұрын

    @@mengihashimu1081 Nina maana ya kwamba masalafy huamiliana na watu khususani masalafy weziwao kwa upolee baina yao, hupeana naswaha wanapokosena na hawaekeani mafundo na nogwaa na hupendeana kheri na kusitiriana kwa makosa na kasoro zao km binaadamu mfano hebu angalia WANAWACHUONI namna gani huamiliana na wale wenye kukhalifu husikii mukatwaa Bali hukutana nae na kunasihii miakaa km alivyonasihiwa Yahya alhajurii na wengine waliopinda tn kwa Siri na kwa maneno mazuri mpk walioona huyuu ameshaichangilia nafsi yake upotevi ndio walipo mtahadharisha na kukataa na kumtoaa ktk daaira ya ahalu Sunnah wal jamaa, hapo ndio utajua tafauti yetu ss, mfn sheikh wetu abuu Mu'awiya pindi ilipotokea fitna ya Yemeni vp sheikh qassimu amepita njia zote zinazotakiwa kbla ya kumtahadharisha na kumtengaa, hv mtu awe amechangua kupotea awe tayri kuzungumza na wenziwe ktk dawa'a ili kuondoa utata na kufarikisha watu ktk dawa'a ss hapo ndio hupatiakana sifa miongoni Mwa sifa za kihadadiy

  • @user-dp8xb3vj6g
    @user-dp8xb3vj6g7 сағат бұрын

    Nyie bhana mnakuwa kama wasenge kiukweli mtu ashakufa aombewe duwa kaziyenu kuebuwa hisia tu za watu au ndo mnatafuta Sababu watu wamseme maiti ili mzidi kusema acheni ujinga tu kwani uyo muawia so alikikuwa anampa darsa yake asimamie Abuu Umeir mbona anamwita mjinga Abuu Umeir sasa ndo nini acha ujinga bhana endelea na ubaharia wako bhana usitafute huruma za watu Muawia nae kamdhulumu vingi Abuu Umeir Abul Fadhil Na wengine tele tu .

  • @ibnsalim3
    @ibnsalim35 сағат бұрын

    Matusi ndio hoja ya watu waliofisika kielimu na km ww ndio salafy bc matusi sio tabia za kisalafy km unahoja leta kielimu au km Kuna sehemu panekosewa rekebisha kielimu ukianza kutukana hakuna mtu Ambae hawezi kumtukana mtu ila tunajizuia na kuwapa watu heshima ht km wamekhalifu na kukosea nenda kasome tn misingi ya ahalu Sunnah na ikisha uwe na abadu ww kijana

  • @AbuubarmackJuma
    @AbuubarmackJuma14 сағат бұрын

    Tunayajua mengi kuhusu Abuu Muawiya tukiyasema tutamuongezea mzigo wa madhambi tuu huko aliko ... tuseme tuu Allaah amsamehe

  • @abbaspaziaog2188
    @abbaspaziaog218811 сағат бұрын

    ALLAH akuongoze kijana na atuongoze soote maaan waoongea matope kiijjana

  • @hafidhwajina6718
    @hafidhwajina67188 сағат бұрын

    Wewe na nani?

  • @ibnsalim3
    @ibnsalim35 сағат бұрын

    @@AbuubarmackJuma Naam munayajua kwssb yy sio maasumu sw km vile tunavyoyajuu mengi ya sheikh qassimu mafuta, ni vyema kila mtu amsitiri nduguyee naa amuombee kheiri na hivyo ndio tunavyotakiwa waisilamu kusiriana na kusameheyana na kufamishana kwa hekima na adabu na kuhufadhiana karamat zenu, mm namuomba Allah aunganishe ummah huo na awaunganisha ahalu Sunnah na aaondoe magovi na chuki zetu na ss masalafy tuwe mapenzi BAINA yetu na kuilingania Sunnah ya Mtume wetu na tuonanane nae Allah tukiwa tumeridhiwa

  • @AbuubarmackJuma
    @AbuubarmackJuma15 сағат бұрын

    Mimi ninachokiona wajinga bado ni wengi katika dini na watu wengi hufuata matamanio kumtetea Abuu muawiya na kumponda Abul fadhli tena bila ya ushahidi ni kufuata matamanio ...watu wamche Allaah

  • @ibnsalim3
    @ibnsalim34 сағат бұрын

    Ktk hao wajinga ww ni moja wao, ss hatumtetei Sheikh Abuu mua3wiya Bali tunatetea hakki ambayo aliyokuwa nayoo na Wala hatumpondi sheikh qassimu Bali tuyaponda ile dhulma aliyoifanya kwa ndugu zake na kukataa sulhu na kusema uongo na kumzulia sheikh abuu Mua3wiya pasi na hakki Wala kisisi wa kufuatilia mambo na Wala pia ya Kuongea na sheikh abuu Mu3wiya na kumpa nasaha, na mm namnasihi sheikh wetu mpendwa Sheikh Qassimu ingawa mm ni mdogo kielimu na kimarifa na kiumri pia kuwa arekebishe hii dawa'aa na aunganishe wanasunnah na ache kuwa yy ndio sabb ya Farka na mtafaruku ktk dawa'aa, ksbb ww ni sw na baba kwetu na ss ni km wanawe hivyo atumie upole na hekma huirejesha dawa'a hii ya hakii km ivyokuwa hapo mwanzo

  • @AliAli-lu7or
    @AliAli-lu7or16 сағат бұрын

    Sasa myinyi mlishindwa kusubiri mkawa mnahangaika mara mko bukhari namatabligh mara pamoja na mohammed bachu mara mko nabarhayan sasa mlikua hamjui mshikewapi ndio mkadondoka

  • @ibnsalim3
    @ibnsalim316 сағат бұрын

    Huna hoja hapaa ndio Mana unaleta talbisi ss tunaongelea hili ww unaongelea jengine

  • @AbuuSumayyah-rh7oi
    @AbuuSumayyah-rh7oi16 сағат бұрын

    Hawa watumaji wa hizi bayaani feki huwenda ikawa wana magonjwa sugu ambayo kwasasa hali ilipofikia huwenda wakawa wenda wazimu hasaa

  • @ibnsalim3
    @ibnsalim316 сағат бұрын

    Mwenda wazimu ni ww Ambae. Unaefanya dini yako ni sheikh qassimu mafuta na Mtume wako ni yy, moyoni kwako Kuna kufuli na machoni mwako Kuna upofu huwezi kuona hakki hata km ipo mbele yako kwasbb ya sumu iliyoenea ktk moyo wako

  • @AbuuSumayyah-rh7oi
    @AbuuSumayyah-rh7oi7 сағат бұрын

    @@ibnsalim3 hayo maneno yko yanabainisha ukweli wa kile nilicho kiongelea hapo kabla kwani huenda ikawa ww hadi sasa unaimani ya utume kuwa unaendelea maana using usingeli jaalia kuwa kuna watu wanaitadiki utume kwa kasim mafuta au tusibitishie hilo kama lipo na kama hujasibitisha basi hutatoka katka yale maradhi niliyo yasema

  • @ibnsalim3
    @ibnsalim35 сағат бұрын

    @@AbuuSumayyah-rh7oi ndugu yangu Allah akuongoze ww na mm, hebu jaribu kuyarejea majibu yangu na utayafahamu vzr, Mimi sikujema sheikh wetu Sheikh qassimu ni mtumee sawa lkn Hindi munamfanyaa na kumfuata kila alisemalo sawa ni sahihi au laa bila nyy wanafunzi kulichunguza vzr hunalifuataa kma kwamba yy ni maasumu hakosei kwn Mtume pekee yake ndio anayo darja hiyo ya kusikilizwa na kutiiwa kwa kila akisemacho na anachokiambrishaa sw kwhy sheikh qassim hawezi KUFIKIA hicho cheo kwasbb ni mitume tuu, na hivyo hivyo sheikh wetu mbora sheikh abuu Mua3wiya Allah amrehemu sio km hna makosa anayo, sw kwhy nyy wanafunzi munamtetea sheikh kassimu ht km yy ndio aliyekosea na kumfuata ktk kosa lake

  • @allymtito8117
    @allymtito811717 сағат бұрын

    Allaah amrehemu shekhe abu mu3waiya

  • @ibnsalim3
    @ibnsalim329 минут бұрын

    Amin

  • @allywaziry6419
    @allywaziry641918 сағат бұрын

    Mimi binafsi sioni Sawa kueneza haya baada ya sheikh abuu muawiya kuwa hatukonae, tuiwache hii fitna sasa, tuinyamazie kama walivyonyamaza baadhi ya masheikh, nawausia ndugu mnaotuma ktk Chanel hii, Al akhy Allah amrehem anafawaid nyingi mnoo mtutumie, na sio fitna

  • @ibnsalim3
    @ibnsalim317 сағат бұрын

    Ahsante akhuy kwa ushauri wako mzr sanaa, tumeituma hii video lengo ni KUBAINISHA HAKKI tuu kwasbb Kuna watu wanamsema vibaya sheikh na kudai madai mengi mabaya hivyo imetumwa ili watu wajue juhudi aliyoifanya sheikh kuwafanya masalafy wote wawe pamoja na washirikiae ktk dawa'a na watu wafaidike na Elimu lkn pale walipo msema vibaya sheikh nikaamua kuitumaa hii ili watu wanaotafuta kheiri na kuijua HAKKI ipo wapi ndipo nikaitumaa hii lkn sikua na haja kuiwekaa humuu

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry524121 сағат бұрын

    Kumbe abuu umeir ni mtu mbaya sana dahhh Kamdhulumu sana shekh abuu muawiya Lakini na yy atakatwa kama alivowakata wenziwe

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry524121 сағат бұрын

    Kasima mafua hataki kukaliwa juuu Ndo maana majadida wote wamepiga mkia chini

  • @ABUUBAAZNYUNGU
    @ABUUBAAZNYUNGU21 сағат бұрын

    @@pavillioncry5241 Usimdhanie Shari sasa! Kwani Mafuta ana uongoz wowote mpaka asitake kukaliwa juu?

  • @ABUUBAAZNYUNGU
    @ABUUBAAZNYUNGU21 сағат бұрын

    @@pavillioncry5241 ... Halafu hyo kadhia ya Jadeedah kaeni na shekh wenu Barahiyani mumwambie ataraajui kwa kuwanasibisha wanachuoni na hizbu salafy... Dawatusalafiyyah imejengwa katika misingi ya kuwaheshim na kuwahifadhi wanachuon!....Na nimeona darsa zake za 2007 huko,bado msimamo wake ni huohuo kuwa waasisi wa salafiya Jadeedah ni maulamaa akina rabii.....Hii sio katika Ahlusunnah wal jamaa

  • @abbaspaziaog2188
    @abbaspaziaog218811 сағат бұрын

    Naaam namimi nimebainikiwa hivyo Akhy wala hujamdhulia. Uongo

  • @user-km5zc8zp8x
    @user-km5zc8zp8x21 сағат бұрын

    Sulhu ya vp?kwani qadhia ni qadhia binafsi au ni qadhia za kimanhaji?

  • @allymtito8117
    @allymtito811717 сағат бұрын

    Ungesikiliza vzr akhiy

  • @ABUUBAAZNYUNGU
    @ABUUBAAZNYUNGU23 сағат бұрын

    ALLAH AWAONGOZE MASHEIKH WA KISALAFY YAISHE MAGOMV YENU !!!

  • @ibnsalim3
    @ibnsalim323 сағат бұрын

    Amin

  • @ABUUBAAZNYUNGU
    @ABUUBAAZNYUNGU22 сағат бұрын

    ​@@ibnsalim3 yaani hapa ni kumuomba Allah tu Mana huwa najiuliza kwann Mashekh wa kisalafy wasikae wakayamalza? Sema ile Fitnah ya Morogoro Alhamdulillah iliisha....bado hii sasa! Allah atie Nusra kwakwel

  • @ibnsalim3
    @ibnsalim322 сағат бұрын

    @@ABUUBAAZNYUNGU km utaisikiliza hii audio mpk MWISHO utafahamu jubu la suali lako sheikh tyr ameshalijibuu

  • @ABUUBAAZNYUNGU
    @ABUUBAAZNYUNGU21 сағат бұрын

    @@ibnsalim3 Nshaisikiliza! Ni kumuomba tu ALLAH atie Nusra katika hili na awape ujasiri wa kusuluhisha haya magomvi kwa ajili yake In shaa Allah!

  • @ibnsalim3
    @ibnsalim319 сағат бұрын

    @@ABUUBAAZNYUNGU amin

  • @user-pi4mv4vd5k
    @user-pi4mv4vd5kКүн бұрын

    Allah awaongoze na sisi

  • @user-pi4mv4vd5k
    @user-pi4mv4vd5kКүн бұрын

    sheikh abu mu'awiyah Allah amrehem na amsameh mi nilimzingatia salafy lakin alipomtetea dr islam sikushuku tena na uhizbi wenu

  • @ibnsalim3
    @ibnsalim322 сағат бұрын

    Ww usiendeshwee na mtazamo usiofungama na Elimu NDANI yake

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8otКүн бұрын

    Maashaa Allaah, Elimu ikiwepo mahala hua haifichiki. Maongezi haya sio maongezi ya mtu mjinga asiejua kitu, bali ni maongezi ya mtu ambae anaonesha yuko vizuri sana ktk maarifa. Allaah amrahamu Shekh Abuu Mu'aawiyah, na awatie huruma ndugu zetu walio mkata mtu ambae laiti watu wangejitambua basi wange faidika mambo mengi sana, kiasi ambacho mambo hayo nisehemu chache ambazo unaweza kuyapata

  • @IssaKabelwa-zs2ct
    @IssaKabelwa-zs2ct2 күн бұрын

    Aamiin

  • @ibnayub2374
    @ibnayub23743 күн бұрын

    Wasemaji Maa shaa Allah wameibuka kwa kasi sana baada ya sheikh kufariki Allah awape Nguvu ya kusomesha kama walivyo onyesha Nguvu ya kumtetea sheikh, Lakn pia mm mpka sasa Sijaelewa nn haya yote yanajiri sabab sheikh Ana yakwakwe aliyo fanya na kuyadhihirisha mpaka yakatokea haya, Lakn pia vijana tuache jazba kama una masikio sikiliza ukiwa na shaka uliza masheikh walio kuwepo maneno tupu hayana faida. Elimu changa itabaki changa tu. Watu tusomen haya makelele hayana faida.

  • @hafidhwajina6718
    @hafidhwajina671816 сағат бұрын

    Nkamuulize shekh kwanini magadid hawataki sulhu na abu mu'awiya?

  • @ibnayub2374
    @ibnayub237416 сағат бұрын

    @@hafidhwajina6718 yaan kusema sulhu na sheikh Abu muawiya ilikua sio rahis kutokea sababu alikua anawatetea wanao tukana wanachuoni 😔 kama hujafatilia hii Mada Tangu mwanzo hutaelewa na nakushaur achana na jazba fatilia uhakika wa Manhaj aliyo kua analingania sheikh Allah amrehem na Manhaj anayo lingania sheikh Abul fadhil Allah amhifadh, Manhaj hii haihitaji jazba wala hamasa za kijinga.

  • @hafidhwajina6718
    @hafidhwajina67188 сағат бұрын

    Haya si makelele na faida inapatikana,ikiwa i'lmu inakufanya umhzbshe mtu bila sababu sasa i'lmu yakusaidiani?

  • @ibnayub2374
    @ibnayub23748 сағат бұрын

    @@hafidhwajina6718 Akhy wacha jazba Kaa chini kwa walimu upate elimu kwanza na ushabiki uwache, na siku zote ukweli hautafutwi kwa kusikiliza upande mmoja Hz chuki juu ya sheikh Qasim zilianzia mbali Sema wew yaonyesha umeanza kuziona baada ya sheikh Abu muawiya kurudi Tz, fatilia kuanzia mwanzo wa mzozo wacha kupakia juu juu utakosea sana.

  • @salafnungwi5723
    @salafnungwi57233 күн бұрын

    Washindwa hata kufanya الجمع kati ya النصوص za kisheria. Ungalikaa kimya ungaliweka heshima yako na elimu yako ndg uliyokuwa nayo

  • @hafidhwajina6718
    @hafidhwajina67188 сағат бұрын

    Asiseme ujadida wenu ndo aheshimike?

  • @salafnungwi5723
    @salafnungwi57233 күн бұрын

    Abuu Zaqar upo salama lakini au msiba umekufazaisha kiasi ambacho huelewi waongea nini!!! Au ndio wataka kuchukuwa kilemba cha Sheikh!!!

  • @hafidhwajina6718
    @hafidhwajina67188 сағат бұрын

    Haijuzu?

  • @AishaAbdala-o6b
    @AishaAbdala-o6b3 күн бұрын

    Allah amrehemu kipenzi chetuh abuu mua'wiyyah

  • @user-mu9nl3vv4b
    @user-mu9nl3vv4b3 күн бұрын

    MAFUTA YAMESHAMWAGIKA LIMEBAKI DEBE TUPU TUPU

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot4 күн бұрын

    Ewe Allaah tuna kuomba umrahamu na umpe Pepo ya Firdaus Shekh Abuu Mu'aawiyah. Kwa hakika ndugu zetu masalafy wame mdhulumu Shekh Abuu Mu'aawiyah na wamekosea kosa kubwa sana kwa hiki walicho kifanya kwake. Na bayana hizi wasipo kua makini na wakawa wakweli Mashaayikh wa kisalafy zitashuka hadhi zao kwa hao wanafunzi wao, na mbele ya Allaah watakua na dhima kubwa sana, lkn pia ktk historia kitahifadhiwa kitendo hiki na watakuja kulaaniwa sana kwa kitendo hiki, na wataonekana waongo, na thiqa ya watu juu yao itaondoka. Nasaha zangu Mashaayikh wa kisalafy kwenye jambo hili wamekosea sana tena sana, na hakuna anaeweza kujinasua na kosa hili, na wame asisi tabia moja mbaya sana, ambayo ubaya wa tabia hii lazima urejee na uje uwatafune Mashaayikh wote wa kisalafy walio shiriki ktk kuiasisi tabia mbaya hii. Nayo ni hii tabia ya kuwakata na kuwasema vibaya Mashaayikh na Madu'aat wa Haqqi, Madu'aat na Mashaayikh wa Sunnah na Tawheed. Masalafy nyote mulioshiriki na kulisaport kosa hili na dhulma hii, njooni mbele za watu na mutubie. Hii ndio nasaha yangu kwenu. Ijumaa, 05-07-2024. +255781331332

  • @HassanHamad-rf9tq
    @HassanHamad-rf9tq4 күн бұрын

    Sheikh abuu umaiyyah Allah amrehemu hakika huyu alikuwa kigogo Allah alimpa elimu na ameichukua elimu kwa ku.mchukuwa mja wake huyuuuu

  • @babanusayba3600
    @babanusayba36004 күн бұрын

    Haya ndio madhara ya vijana wakurupukaji kujifungafunga katika qauli za wanavyuoni ambazo hazielewi

  • @ibnsalim3
    @ibnsalim33 күн бұрын

    Ss km ww unazielewa basi tuambie achaa dharau hizoo hata huikubali HAKKI hii basi leta hoja na sio MANENO ya kurushrushaa

  • @abusalmadangaadam708
    @abusalmadangaadam7084 күн бұрын

    Wapo walifrahia kifo cha sheikh ndio maana sheikh HARUNA ras anakemea

  • @abuusuhayli
    @abuusuhayli5 күн бұрын

    yaani huyu haruna raasiy kichwa chake kibovu sana, siku za karibuni alikuwa singida tunamuon na watu weny mrengo wa hizbut tahriir

  • @farajithabiti8359
    @farajithabiti83595 күн бұрын

    Kwani kuna sheikh ambaye alipishana marhum amemzungumza marehemu vibaya?? Mbona maneno kama yamefungwafungwa

  • @AbAlhuraas
    @AbAlhuraas5 күн бұрын

    Wapo hao wachupa mipaka ,wamemsema kiasi cha Ukhbithi wao walio kuwa nao mpak wanasema hakuna kwnda kuhudhuria mazishi yake , ShubhanaaAllah

  • @ABUUBAAZNYUNGU
    @ABUUBAAZNYUNGU4 күн бұрын

    ​@@AbAlhuraaswatu gan hao? Wabainishwe

  • @AbuuSaad-ut4fd
    @AbuuSaad-ut4fd4 күн бұрын

    Abuu nuaymi ameeleza watu hao na Abuu zagari ameeleza pia kwa kunukuu yale yaliyoruswa kwenye magroup ya hao wlengwa . Fatilia humu humu audio zimo utajua kinachoendeleaa. Allah amrehemu Abuu Muawiya.​@@ABUUBAAZNYUNGU

  • @SwafaNabahan
    @SwafaNabahan5 күн бұрын

    Mbona Maneno ya wengi ktk wazungumzaji hapa wanazungumza Maneno wanayo yazungumza Mahizbi wakibarahiyaniyyah na wanaharakati au Mlengo wenu ni mmoja?.

  • @SwafaNabahan
    @SwafaNabahan5 күн бұрын

    Mbona Maneno ya wengi ktk wazungumzaji hapa wanazungumza Maneno wanayo yazungumza Mahizbi wakibarahiyaniyyah na wanaharakati au Mlengo wenu ni mmoja?.

  • @SwafaNabahan
    @SwafaNabahan5 күн бұрын

    Mbona Maneno ya wengi ktk wazungumzaji hapa wanazungumza Maneno wanayo yazungumza Mahizbi wakibarahiyaniyyah na wanaharakati au Mlengo wenu ni mmoja?.

  • @Abuuuyaynah-dg4xn
    @Abuuuyaynah-dg4xn5 күн бұрын

    Hayaaaaaaaa Maiti zinapiga chafya hukuuuuuuuu Hakuna swala wala kuzikaaaaaa

  • @ibnsalim3
    @ibnsalim35 күн бұрын

    Achaa matusi na kudharau watu ww km amekosea basi ww kosoa tuu lkn acha usubu wa kisufi ww hizo sio tabia za kisalafy

  • @z34-kp9qq
    @z34-kp9qq5 күн бұрын

    ​@@ibnsalim3usimshangae huyoooo. Huyo kuna mtu kamkopi maneno hayo.

  • @Abuuuyaynah-dg4xn
    @Abuuuyaynah-dg4xn4 күн бұрын

    @@z34-kp9qq nimemkopi nani hayo ni maneno ya waswahili na wanayatumia Illa wewe kwa chuki zako kwa huyo unaaedhinia nimemkopi unasema kwa dhana acha kudhinia dhania

  • @abuumuhammad3382
    @abuumuhammad33825 күн бұрын

    HII RADDI HAIPO KATIKA MISINGI YA ELIMU KWAN HAYO ALIYOYAANDIKA USTADHI ABUU MUHAMMAD HASNUU YAPO SAWA KABISA NA PIA HII INAONYESHA HUU USTADHI ABUU ZAGARI AMEKURUPUKA KWAN HII MAKALA YA USTADHI ABUU MUHAMMAD HASNUU IMMA HAJAISOMA VIZURI AU ANA UFAHAMU MBAYA AU ANA CHUKI NDO ZILIZO MSUKUMA MPAKA AKAJA NA MANENO YAKE HAYO ILA MIMI NAMNASIHI USTADHI HASNUU KWA AJILI YA ALLAH ASIJUBU RADD ILIYOKOSA MISINGI YA ELIMU NA ILIYOJAA UJINGA KWA KILA MWENYE KUIZINGATIA RADDI HIYO ATABAINIKIWA NA KUUONA UJINGA HUO KAMA ALIVYOKOSA KULICHUNGA TANGAZO LA KIFO KULITANGAZA VYEMA NA KUEPUSHA BAADHI YA MULAHADHAATI AMBAZO ZITAEPUSHA MIANYA KWA WATU WA BATILI MWISHO KABISA NASAHA ZANGU NI KUWA USTADHI HASNUU USIJIBU KITU , NA PIA MAKALA YAKO IMETUSAIDIA WENGI KUHUDHURIA MAZIKO WALILLAHIL-HAMD , ALLAH AKUBAARIK NA AKULIPE KHEIR SHEKHE WETU ABUU MUHAMMAD HASNUU NA AKUZIDISHIE BUSARA NA HEKIMA NA KILA MAZURI YAWE KWA WAISLAMU SOTE

  • @ibnsalim3
    @ibnsalim35 күн бұрын

    Ikiwa hii sio Raddi ya kielimu basi wewe ni kipofu wa akili na Elimu pia na umezongwa na chuki na hasadi km vile mlivyokuwa na hasad na chuki kwa sheikh abuu MU'AWIYA Allah amrehemu na amlipe ujira wake uliyotimia

  • @abuumuhammad3382
    @abuumuhammad33825 күн бұрын

    HII SIYO RADDI BALI NI KUKURUPUKA KWA ZAGARI AMBAPO USTADHI HASNUU NAMNASIHI SANNA ASIJIBU UKURUPUKAJI AMBAO UMEKOSA MISINGI YA KIELIMU NA NINASEMA UMEKOSA MISINGI YA ELIMU , KWAN YOYOTE ATAKAEPITIA MAKALA YA USTADHI HASNUU KISHA AKISIKIA HII RADDI BASI ANAWEZA KUSEMA KUWA ABUU ZAGARI ALIWAHI KUGUUWA MATATIZO YA AKILI NA WEWE IBNI SALIM WACHA TAASUBI KWANZA ISOME MAKALA YA USTADHI HASNUU KISHA FANYA KITU KINACHOITWA ( المقابلة) NA HII INAYOITWA RADDI AMBAYO MIMI NAITA : (RADDI ILIYOKOSA MISINGI YA ELIMU) UTABAINIKIWA NA MARADHI YA AKILI YALIYOWAHI KUMSIBU ZAGARI KWAN MWENYE AKILI TIMAMU ANAJUWA HASWA KUWA MAKALA YA USTADHI HASNUU HAIKULENGA ISIPOKUWA NI KUHIMIZA WATU KWENDA KUMZIKA NDUGU YAO NA NDO MAANA NASEMA KUWA ZAGARI HUENDA AKAWA AMEUGUWA AKILI , LKN KWA FAIDA TU NA NDO MAANA VIJANA WENGI WAKAMIMINIKA MAKABURINI WAKIWEMO VIJANA ZAIDI YA 40 WA MASJIDIL-FAROUK WALIKWENDA KUMSALIA KUMSALIA ABUU MUAWIYA NA KUMZIKA TUNAMUOMBA ALLAH AMSAMEHE DHAMBI ZAKE NA AMUINGIZE KATIKA REHMA ZAKE NA MAITI WOTE WA KIISLAMU NA SISI ATUPE MWISHO MWEMA ​@@ibnsalim3

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza23955 күн бұрын

    Ipo siku mtajua, salaf inapasuka vipande.... Anayejiita salaf anaonwa sio salaf kwa mtazamo wa sheikh mwengine.... Nahuyo anayeonekana amenyooka anaonwa hafai na mwengine..... Ayan vurugu mechi tu

  • @abbaspaziaog2188
    @abbaspaziaog21886 күн бұрын

    Nawale walofurahiya. Kifo 😢cha Abuu mu3wiya hasani ibnu awadh. ALLAH AWALIPE KINACHOSTAHIKI

  • @mussamsuya8595
    @mussamsuya85953 күн бұрын

    Watu wanakoseaga na mtu akkosea haombew dua mbaya

  • @ABUUBAAZNYUNGU
    @ABUUBAAZNYUNGUКүн бұрын

    Mbona unawaombea dua mbaya shekh? Kwann wew hukosei? Kwann usimuombe Allah awasamee?

  • @abbaspaziaog2188
    @abbaspaziaog21886 күн бұрын

    ALLAH amraham shekh Abuu mu3wiya hasani awadh

  • @HassanHamad-rf9tq
    @HassanHamad-rf9tq3 күн бұрын

    Allahuma amiyn rahmatan wasiaa

  • @user-dp8xb3vj6g
    @user-dp8xb3vj6g6 күн бұрын

    Halaf nyinyi mkiambiwa chochote kuhusu wazee wenu mnaanza kutafuta huruma kwa watu WAKATI ww pia unataja Khabar za wazee wala hujaambiwa lolote Kwani Kuna mtu Alie sema kwamba salafiya ni ya BABAYAKE ?.

  • @SaidIssa-tq3yv
    @SaidIssa-tq3yv6 күн бұрын

    Nyote wakumbavu wakubwa, waislamu kazi kutukanana TU wajinga wakubwa. Kila mmoja anajiona Bora Kwa madheheb yake. Hamna umoja wowote.kama taka za baharini.poleni sana Kwa ujinga wenu.

  • @ibnsalim3
    @ibnsalim35 күн бұрын

    Km masalafy ni wajinga bc ww ni maiti unaonukaa mpuunzi usio na adabu

  • @suleyazidu4991
    @suleyazidu49916 күн бұрын

    Inakuwaje mtu anafurahi Kwa kifo cha mwislam mwenzake?? Ajabu sana.

  • @AbAlhuraas
    @AbAlhuraas6 күн бұрын

    Mashallah sheikh Aboud rogo naisikia Sauti yake hapa

  • @ibnsalim3
    @ibnsalim35 күн бұрын

    Aboud rogo ni khawarij na mubtadi'iiyy mkubwaa

  • @AbAlhuraas
    @AbAlhuraas5 күн бұрын

    @@ibnsalim3 kwaiyo kwani we unatak nin kunirepoti au ,wakati apo kuna maswli nkikuliza utachoa macho tu, Ntajiee bidaa moja aliyofnya Rogo ,Napia Kama Nin khawariji Alitoka katika Twaa ya Amiri gni ,Na Amir Huyo Kapewa Baaiya Nani Au wee Umetoa Baiiya kwa hyo Amiri ?

  • @AbrahamanSaidi-uf1dw
    @AbrahamanSaidi-uf1dw6 күн бұрын

    Upuuzi upuuzi tu mnatafuta upepo na nyinyi sasa zamu yenu 😂

  • @ShabanHassan-td3lx
    @ShabanHassan-td3lx6 күн бұрын

    Hakika ndugi etu abuu Nu'aym umefanya jambo bora kwa kuwajibu Hawa watu wa matamanio, wangekaliwa kimnya fitna zao zingeasi sn kwa watu wasiojua kitu katika sheria ya Allah. Allah akuhifazi ndugi etu na akujalie hirsi katika kutafuta elmu.

  • @ShabanHassan-td3lx
    @ShabanHassan-td3lx6 күн бұрын

    Fitna zao zingeasiri sn

  • @user-dp8xb3vj6g
    @user-dp8xb3vj6g7 күн бұрын

    Unataka uwamshe hisia za watu bhana kwani makundi mangapi umeyakata sasa tukuulize kwani ktk uislam hakuna kuafanyiwa kitu kinacho itwa mukaatwaa sasa nikuulize maswahaba walipo mfanyia mukatwaa yule swahaba na Na mtume sala na salam ziwe juu yake haku mfanyia swahaba mukatwaa sasa nikuulize iyo Hadithi ya Mtume ya haki za muislam kwa muislam mwenziwe vp walikuwa hawazijuwi ?.

  • @ibnsalim3
    @ibnsalim35 күн бұрын

    Mukatwaa upoo kwa hakika Wala haukataliki lkn mukatwaa huo haofanani Bali upon mbali sana na huu na huu mulioufanyaa kwasbb ukiangalia Ile hadithi ya mukatwaa kabla ya Mtume kuamrisha watu wawakate wale maswahaba Mtume aliwauliza sabb ya kutokwenda KWAO ktk vile vita ikisha pale waliopokuwa hawana UDHURU ndio akaamrisha wakatwe lkn nyy hamkumuuliza wala kumpa nasaha sheikh abuu MU'AWIYA kabla ya kumkataa hivyo mumemdhulumu sna sheikh abuu MU'AWIYA na mukatwaa huo ni kinyume na menendo ya WANAWACHUONI hata wale munaowakubali km sheikh rabii'i na wengine

  • @user-dp8xb3vj6g
    @user-dp8xb3vj6g7 күн бұрын

    Mambo ya kijinga tu bhana hem bakia na ubaharia wako uko ustuletee upumbavu wako bhana sasa kama mtu kasema mazikoni watu waende kisha unaaleta balbala tu bhana kwani wee na uyo Muaawiyah Hajawira mna wasalimia au izo haki za muislam huzijuwi kwa hapo acha upumbavu bakia na ubaharia wako.

  • @ibnsalim3
    @ibnsalim35 күн бұрын

    Ww ndio mjingwa mkubwaa sana, Kwan mambo ya ubaharia unahusikaje hapo ww huna hoja unaanza kuwatukana watu wa mambo binafs ambayo ni halili na kzi ya halali ww unatakiwa ukosoe hajo MANENO kwa Elimu sio kuwatukana watu na kuwatia dosari kwa mambo yake binafsi ww ndio mpumbavuu mjingaa usiojielewaa

  • @ABUUDARDAAI
    @ABUUDARDAAI7 күн бұрын

    ALLAH AKUBARK

  • @AbduliiKareemZubeirii
    @AbduliiKareemZubeirii7 күн бұрын

    Assalam alykm waarrahmatullah waabarrakatuh ikhiwani mcheni Allah Sana nyie wafuasi wa Qasim mafuta kiongozi wenu acha kufarikisha watu katika dini ya Allah na uhzibi wako mwogope Allah Sana

  • @SharifTwahirAbdullqadir
    @SharifTwahirAbdullqadir7 күн бұрын

    Umesoma kweli alivyo andika au umehadisiwa

  • @HassanHamad-rf9tq
    @HassanHamad-rf9tq7 күн бұрын

    Qassimu ni hizbu salaf alaf anataka ukubwaa Sana yule jamaa

  • @user-dp8xb3vj6g
    @user-dp8xb3vj6g7 күн бұрын

    MARA ABUU UMEIR ALIKUWA ANASOMA SEQULER KWANI WEE IYO SEQULER HUKUSOMA YANI ACHA UJINGA BHANA WEE .

  • @iddihamisiharuna8261
    @iddihamisiharuna82617 күн бұрын

    Mmmh Mimi nilijua ALIKATAZA WATU WASIENDE KUMZIKA, KUMBE AMEWARUHUSU NA KUWASHAURI WATU WAENDE KUMZIKA. Acha kuamsha fitina Ustadh Abuu zaghar. Acha kumgombanisha sheikh Na waislam. Na hilo la kutokumuitikia salamu, tunaomba ushahidi, hututaki fitina ktk dini.