Q Chief ft. Rapcha & Chidi Beenz - Malume
Музыка
Malume Lyrics.
[Chorus: Q-Chief]
Ee Malume ee Malume ee Malume Ee Malume Malume
Ee Malume ee Malume ee Malume Ee Malume Malume
Ee Malume ee Malume ee Malume Ee Malume Malume
Malume Malume Malume ee eeeh aah Aaah aaah
Aaah aaahh
Aaaah aaah
Aah aaah
[Verse 1: Rapcha]
Malume acheni nijitume
Mishe niziforce pesa nizichume
Nizipate noti home nizitume
Ukipenda slope we sio mwanaume (ah ah) Force macho kwenye pochi
Ukiendekeza jealous upo kwenye loss Jasho livujie kazi ngono ina mikosi
Na sio tu ma’filter unaonekana shosti
Ukizaliwa mwanaume unakula jasho lako maisha yote Pambana maana Mungu wetu sote
Umbali niliotoka nimekanyaga kilometer zote
Sa utauliza kiatu kipi maana nshamaliza vyote? Ukizaliwa mwanaume kukomaa sheria
Bila majukumu sio kidume so ujitume usiikimbie familia Huwa nachoka hadi sometime nasinzia
Macho yangu ni mekundu ila vision ni clear
Na siwezi fear
[Chorus: Q-Chief]
Ee Malume ee Malume ee Malume Ee Malume Malume
Ee Malume ee Malume ee Malume Ee Malume Malume
Ee Malume ee Malume ee Malume Ee Malume Malume
Malume Malume Malume ee eeeh aah Aaah aaah
Aaah aaahh
Aaaah aaah
Aah aaah
[Verse 2: Chidi Benz]
Naapa kwa msalaba
Naapa kwa ukahaba
Naapa kwa ujambazi, naapa kwa umalaya
Naapa kwa machungu ya kuchomwa na fire
Naapa kwa machungu game siwezi retire
Naapa kwa titi la demu wangu, yes
Naapa kwa titi la mama yangu, yes
Naapa kwa dini Islam naitukuza
Naapa kwa jina la Mungu wangu siwezi puuza
Naapa kwa jina la ndugu yangu Murder
Naapa kwa jina la shida bila msaada
Nishashika hela nyingi kuliko hata dingi
Juzi wakanipa ** bila ya shilingi
Mama yangu anajua jina langu msingi
Mwanaume nishacheza kete mpaka king
Nishapoteza na nakitafuta, na nishapoteza na nakitafuta rrraaah
[Chorus: Q-Chief]
Ee Malume ee Malume ee Malume Ee Malume Malume
Ee Malume ee Malume ee Malume Ee Malume Malume
Ee Malume ee Malume ee Malume Ee Malume Malume
Malume Malume Malume ee eeeh aah Aaah aaah
Aaah aaahh
Aaaah aaah
Aah aaah
Song : Malume
Artist : Q Chief ft. Rapcha & Chidi Beenz
Producer : Bin laden
Mixing Engineer : Charles Makoye
Composer : Charles Makoye
Author of Lyrics : Aboubakary Shaban Katwira, Cosmas Paul Mfoy & Rashid Shaban Makwiro
Record Label : Bongo Records Ltd
Year Recorded : 2023
Year of Release : 2023
Пікірлер: 335
Tunahitaji Nyimbo kama hizi kujiponya dhidi ya dhiki, depression na kujitengenezea nguvu mpya kwaajili ya kesho. God bless you Q Chilla Rapcha & Chid Benz.
@melki-kabalu759
8 ай бұрын
Dah..powerful sana!!
@boukainan1002
8 ай бұрын
Agreed ✊🏾❤️🔥
@farijjmohammed7723
8 ай бұрын
wazo nzuri sana
Sidgani kama kuna rapa yeyote mwenye uwezo zaidi ya kingkong
ukizaliwa mwanaume unakula jasho lako maisha yote 🔥
Binadamu hafai kuapa kwa Vitu vingine au kuapa kwa kiumbe nimakosa sana, mwenyezi mungu pekee ndiye anayeapa kwa Vitu mfano, kuapa kwa jua au mwezi na kadhalika, ila binadamu anapaswa kuapa kwa jina la mwenyezi mungu tuu , chidi Benz amekosea kuapa kwa ajili ya vitu na binadamu mwenzake, haya ndio madhara ya mtu kutoisoma vizuri imani yake ( DINI ) mungu amsamee.
@melki-kabalu759
4 ай бұрын
Wewe umeisoma vizuri sio?😂
Chidi ni chuma kisichoshika kutu siku zote,popote anapopita anakiwasha..KING KONG
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 chid benz
kwel chillah alisema usipomlipa anairudia na inakuwa kali kuliko ya mwanzo😂😂😂 CHID VERSE LA DUNIA🔥🔥🔥 malume
Kenyans dondosha likes hapa representing🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nyimboo yenyewee mbayaaaa mnakaaaa mnagombania nyimboo acheni bangiii
Hivi mume muelewa chid😂😂😂yaani kapewa tuzo na kusaga bila shilingi
Tuipeleke on trending jmn
Goma limekuja na Baraka za kichifu
Yaan Chidi umeamua kumficha kabisa dogo,,,sidhani kama atarudia kuomba kolabo
Kka Kwa nnii hii icwe staily yko mbona huku una Tisha sana wasanii WA Hip hop ukiwa shavuu
Hi ngoma aipiti Siku bila kucheki
Yaa sikia maisha nayakimbiza kila yakini pigachenga nihamkapo malume nakula kiapo mpaka mcho naona chenga lifu za asro mtoto wa kiume napambana kwa huku navuja jasho malume
DAM THE VERSES THO.... THE FEELING INTO IT...CHID KUDADADEKIIIIII
Chid Benzi kauwaa snaa kwenye hii ngoma Trust me
Shada munasema munataka ngoma izi ila munadanganywa na nyimbo za kisasa sapoti inapotia ktk ngoma kali
Mafundi wamekutana kwa track moja. Big up sana chief
Q chief ni kolas killer , Rapcha ame waelimisha mabishoo& ma brothermen wanao penda kulelewa wapambane CHID BENZ kaimba kwa hisia sana na fact tupu # Kazi nzuri wanangu Jah bless all
Chid benziiiiii
Naomba malume ziwe nyingii sana coz ni kali
Making Making Tu 🎉🎉🎉Mkwaju Mkali Sana, I Swear Umempa Dogo Nauli Ya Kuja Mjini. Rapcha Usilale Tena Ninja Umesha Pewa Bless 🙌
@donalfa1850
9 ай бұрын
Rqpcha yupo mjini kitambo sema itamsogeza mahali lakini sio kwamba hii collabo ndo imemleta mjini
Cheaf Rapcha Chidbeenz binladeen TONGWE RECORDS 🎙 👊🏿🙌
@hawaiddi5737
8 ай бұрын
Mkali wimbo
You did it
Chief deserves to be a chief
Chidy 🙌🙌🙌🙌🙌
Bin Laden ana deserve credits sana kwa kuweza kumerge feelings za hawa wote watatu pamoja tukapata huu wimbo wa kudumu
Q Chila unastahili Tuzo mzee uko poua sana. Salute kwa La Familiaaaaaaaa na dogo Rapcha
Nasikiliza Kila siku
Ngoma kali sana
Chidi noma hatari fire ... Still *DarStandUp* ... 🔥feels great to hear his voice every now and then.
Yenyewe chief
Chuuuma
Nahapa kwa jina la shida bila hata msaada 🙌......mah niggah chid🌵......ue kill it🚀🚀
Wataelewa tu
Q Chief kafanya unyama sana
Napenda sana alivyokaa chidi kwenye bit ya bin laden
Chorus ya moni ilikuwa kali zaid hii chorus sio kali mzee
La familia 💥💥
Mziki mzuri chillah
🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Mziki umeniletea uchungu na ma brother Q chilla . Naenda kama Moni centrozone
@perermoshi9244
9 ай бұрын
Mon Centrozone Atabaki Kuwa Juu🙏🙏
RAPCHA AMEUA SANA HUMU BIG RESPECT
nimekuja kusikiliza ngoma hii coz nimeambiwa ni kali na simuliziNasauti, kwel kali
ngoma imweza.. but moni cetrozone agekua ingweza snaa bt smbya big up💪💪
eeeeeeh malume
Njoooni njoooni njoooni kukomenti
Mbona huku mbaya kuliko Ile nyingine 😂. Dah! Chuki humuumiza anae ihifadhi
Ngoma flan hv uchoki kusikilza 🔥🙏💥
Kali kwanza chidy kaua
Umeua sana humu cheaf umesound ki namba moja 🙌👊🏿
Mashallah song nikali kinyama big up Q..ch...umeuwa kwenye chorus... 🔥 🔥🔥🔥🔥🔥
Q chila we nitaalam
🎉🎉😮😮
Straight to my playlist...Malume different versions 🔥 chiddi 🔥 🔥 🔥 wakuotea mbali🔥 🔥 🔥 Thanks sns simulizi na sauti akina esco, sky na baba mil. kwa update
@negodylan2634
9 ай бұрын
MALUMEE
Wenye vipaji....the legends ones...big up brothers
Njoooni team mziki mzuriiii
Ngoma kali chidbenz ameua lakini chorous ndio mbovu
Chumaaaaaaaa chidi benzi aka chumaaaaaaaa noma san rapcha noma san q chifu nae mashine msondo wote ngoma imekaaa pw san
Hisia ni kali
Ya posho city noma hii ni remix sio😂😂😂😂
Ukiwa shabiki wa Kweli huwezi choka kusikiliza hii
Binge la ngoma
Ngoma kali kiukweli
Nawatambua wakuu salute from Kenya 👏 🙌
Chillah killed that chorus
@ambroceharouna1612
9 ай бұрын
Htr
@RoolkayDrakedrizy-fg9sc
9 ай бұрын
Hajawai kufeli kwenye chorus ase 👑
@ambroceharouna1612
9 ай бұрын
Kbs
La familia boom🔥
Q.....sauti yako bd inahitajika sn kwenye game bro.....Kigo seven hapa..
Team Chief hapa
Huyu dogo majan anambeba ila mistar yake lain sana
king kong weeeh voice ya mamlaka
Without doubt This song deserves more trophies this year, love you guys from Switzerland
@Monyo04
8 ай бұрын
Switzerland ya nyokoo
Ngoma kali saaaaana
CHIDI BENZZZZZZ
I like this combination yooh Chid benz on 🔥
Bonge ya ngoma
Macho yangu ni mekundu lakini my vision is clear
Jamani wameimba haswa
Chidi kapita sana aisee
Chid benz 🙆♂️
Tanzania plz we suppose to support this man
@kelvinologypeter8667
9 ай бұрын
Sure
Chila and chid 🔥🔥🔥
,chila umempinza mtt wa watu yan kamezwa utafikir hajaimba duuh
I can’t get enough of this song man 🙌🏾
King kong chidiiiiii
👏🏽👏🏽👏🏽🔥🔥🔥🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Ila hili chid Benz ni basi tu ila likitulia linafunika madogo wote wa Leo na litakuwa linasikika lenyewe tu daaah , bonge la vocal flow kali daaah
God bless you guys 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Twende
Big up my brother chidy an chila
Chid mnyama
Happy come back Brother achana na maneno sasa tupe muendelezo wa vitu vikali ila wallahi chidi kauwa sana kishenzi
🎉
I'm listening you q Chief uko vizuri bro
18 on tranding
Big up guys kazi nzuri
Hii nyimbo wangeimba kwa kiingereza wange piga hela na ingekimbiza kama single again all in all ngoma NI nzuri
💥💥💥💥🇰🇪🇰🇪❤