Professor Jay Feat Walter Chilambo - Siku 462 (Official Lyric Audio)
Музыка
#professorjay #Siku462 #walterchilambo
Professor Jay Ft Walter Chilambo - Siku 462 (Producer & Mastering by BinLaden of Tongwe Studio records (C) 2023 exclusively licensed Under (Professor Jay )
Stream/Download: bfan.link/siku-462
Пікірлер: 2 800
Ashukuriwe Mungu naamini soon sauti pia itakaa sawa. Kama unaamini Mungu anaweza kufanya mambo ambayo mwanadamu hawezi kufanya naomba likes 1000k
@emanuelhingi
8 ай бұрын
Sauti haitaweza kurudi vile maana kaimba kwenye nyimbo,walimtoboa koo ili watoe uchafu
@NicodemusKithi-xe7mg
8 ай бұрын
I say pole sana kaka pro, Bado twakupenda kama vile mungu anavyo kupenda bado
@JuliusFredrck-qh9iy
8 ай бұрын
Pole sn mungu akulinde
@lilianhairbraids616
8 ай бұрын
Mungu wetu ni mwaminifu hakika sauti itakaa sawa
@rahmasalum9814
7 ай бұрын
@@emanuelhingiitarudi tuu kwa uwezo wake Allah hakuna linalo shindikana
Yaani mpaka sauti imepotea duuuuh Mungu fundi apewe sifa usiku na mchana ishi miaka mingi hapa duniani pamoja na familia yako mwanetu 🫂❤️🫶🙏
Dah pole sana kaka mungu ni mwema sana ashukurukiwe yeye mungu akupe nguvu tena kama awali ameeeen
Walter you are God sent, professor jay bado hujatimiza lengo na kusudi la Mungu safari yako bado ndefu tumshukuru Mungu Kwa kuendeleza safari yako apa duniani nasema asanti
Hakika Mungu ni mwema sana, mtumikie kwa akili, uwezo, nguvu na moyo wako wote 🙌, Ndiyo shukrani aitakayo Mungu kwako.
Huu sio wimbo ni ibaada ya Shukrani,ni ushuhuda ni somo , ni motivation speach , ni kila kitu kwa watu ambae walikua nawe kwenye safari yako ya majaribu ,Mungu atukuzwe siku zote
@amisiamanielijah4522
8 ай бұрын
Amina
@theopisterjovent3483
8 ай бұрын
Amina
@user-so6fu3yb5z
8 ай бұрын
Hakika.Amen
@user-fm5hp1uc7c
8 ай бұрын
Hakika Mungu ni mwema sana
Aanh we kama una check hii clip, na tena we mtuu kutoka Burundi 🇧🇮, ebana njoo ukagonge "LIKE" 👍🏽
Yesu kristo wanazareti aseme neno moja tu na upone.❤❤❤❤
MUNGU yupo na anaishi kweny maisha yetu
Glory to GOD
@yeshelirashidiepalata3382
8 ай бұрын
Amen
@jumahatibu9240
8 ай бұрын
In god we trust...allahu akbar☝️
@PeterElikana-os2gq
8 ай бұрын
Ya Kipekee
@NelsonShikoli-nv8st
8 ай бұрын
An encouraging testimony
@manuecleverlye1984
8 ай бұрын
Amen
Nimempoteza Baba yangu mzazi kwaajili ya umasikini shida ilikuwa ni figo, njia yetu NI moja IPO siku tutakutana, nakuchukia umasikini Mungu atupambanie atuepushe na umaskini😢 tarehe 10/January/2023 huu mwaka 😢
Mwenyezi mungu azidi kukulinda baba
Na irejeee sauti yako kwa jina la Yesuu tena I Rudi yoteeee ikiwa kamili in Jesus Name I pray for you legend 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@beautyibrahim8428
8 ай бұрын
Alitobolewa koo kwahyo hyo ndio sauti yake ya sasa hawez kuwa na sauti ile tena😢
@frednandmathew608
8 ай бұрын
@@beautyibrahim8428 Sikia huyu Steve Nyerere mwingine
@evansmayuro8038
8 ай бұрын
@@beautyibrahim8428 ila Yesu pekee anao uwezo wa kuirejesha
Nimekuwa wa kwanza leo Naomba mnipr like hata 10 Professor Joseph Leonard Haule
Mungu ni mungu Hana mpizani mungu pekeee ahabudiwe ujafa ujaumbika muhim kufnya dua
Daaaah!! Hakika Mungu ni Mkubwa. asante Mungu kwa wema wako.👏👏👏👏👏👏profesa Jay Mungu akupe afya njema zaidi ukae sawa. 👐👐
Hatimae Mungu kashinda tena na tena 🙏 🙏 🙏
Nilikuwa nmelala nmeamka nimepatana na notification ya Professor😢To be sincerely this song it's touching 😭,#God has Done #Return Of The Legend
Mbeba maono hafii
Mchizi mox nyimbo imetulia ila ujifunze bado hujachelewa rud kwa mungu utubie %
Mungu ni mwema kila wakati
I salute JESUS ❤❤❤
Mengi yamepita japo nimaumivu ila kikubwa kumshuru Allah nakusema Amen
Machozi Ya Upendo Na hisia Kali Ndani Ya Mwili Wangu Juu yenu wote Mliofanyiwa Mabaya Na Watu kwa Ajili ya Maslai Yao Na Ugonjwa tu wowote MUNGU ndye kila kitu tutakutana paradiso na MUNGU ndio muhukumu
Water chilambo never disappointed ❤
Ahsante Mungu kwa kumuwekea mkono wako mpendwa wetu Joseph Haule, bado tunamhitaji sana Baba
Pole Sana mzee wetu mungu yupamoja na wew make mungu ndo kila kitu kwetu sisi wanadamu tunapangiwa na mwenzi mungu pole Sana 👏🏼👏🏼😢😢
Hakika atuna cha kumlipa mungu kwa hii pumzi ya bule🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu ni mwema na yeye ndo muweza wa yote
Long live professor Jay..... glory to God.....Sauti yako ndo yaniliza mm😭 nikikumbuka #rap yako#Kikao cha dharura❤...Kama unaamini Mungu mkubwa uwezi ruka bila kulike hii ngoma... AsanteMungu kwa uhai na kumrejesha Jay🔥🙏
Mungu ni mwema sana hakika yeye ni alpha na omeg🙏🙏🙏
God is always great,,,Pof Jay ww ni shujaa,,,,usiwahi vunjika moyo,kule umetoka ni mbali.
Nimejikuta nalia😢 ila mungu ni mwema hata sauti inatoka japokuwa si nzuri ila mimi nakuombea tu kaka 🤲🙏😭
Alll the best bro
Nimekosa cha kuandika zaidi.. Mungu ni mwenye nguvu upendo na huruma siku zote.. amina..
Mungu apewe sifa
Aah verse ya tatu ndio imenilenga machozi kabisa prof Mungu anakusudi nawe bro
Aca mungu aitwe Mungu jameni🙏🙏
Lets make this one #1 trending for the OG prof Jay
God is Good brother, Mungu ni mkubwa sana kaka, huu wimbo ni ibada tosha, umeshukuru zaidi hujalalamika. Mungu akuponye urudi katika hali bora na uimara zaidi.
@festosabatele8173
8 ай бұрын
This is not Jay i know, Mungu akuponye Jay . So sad 😭😭😭. You will be back strong
@assenganews9435
8 ай бұрын
Kweli kabisa hajalalama
Yeremia 33:3 niite nami nitakuitikia nitakuonesha mamb magumu na makubwa usiyo yajua..🙏🙏
God over everything 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
In every desert of calamity,God has an oasis of comfort 🙏🏾
@dbornchambilo5128
8 ай бұрын
I thanks u much for reminding us about the existence of Almighty God. Get much better
@ahz6907
8 ай бұрын
Allahu akbar....allah is great!
@issackchalahani1235
7 ай бұрын
For sure Sir.
Everyone who is going through any painful moments this time around don't forget God is always there for you 🙏🙏🙏... We pray for you brother Professor 🙏
@athanaswilliam6940
8 ай бұрын
Hakika😢😢😢
@caspermukalo6323
8 ай бұрын
Amen i gt hope of healing too
@issackchalahani1235
7 ай бұрын
Amen Amen Amen.
Mungu akurinde sana professor Jay
Mungu ni mwema sana
Scientist need to investigate how professor Jay stayed in the game for over 10 years and he is still relevant and producing and releasing good music
@davidgibsonadhero275
8 ай бұрын
Not 10 years...more than 25 years.
@em_vee_josh
8 ай бұрын
@@davidgibsonadhero275 that's why I said over ten
@ahz6907
8 ай бұрын
@@em_vee_joshu shud have said more than 20yrs.... At least ... 10 is too low its like u referring to 12-15yrs😂
@em_vee_josh
8 ай бұрын
@@ahz6907 😂😂😂💔 still 20 is more than ten
@julianamwinuka5182
7 ай бұрын
@@em_vee_joshikb
💯💯💯❤❤❤❤ Jay
😢😢God Is good all the time ❤️ ahsante Sana Mungu kwa uponyaji wako MKUU Sasa tunakushangilia pokea sifa na utukufu BABA 🙏
Ila mzee water Kweny kiitikio umeua sana❤
Mungu azidi kukupigania kaka mkubwa. Hakika huu ni ushuhuda tosha...Mungu ana kusudi na wewe. 🙏🙏
Mungu atukuzwe... Amekutunza ili wengine tujifunze kitu. God is great.
Tujifunze haya maisha kuishi kwa amani na watu kuwa mtiifu maisha kushuka nikawaida mwamba akitembelea mandinga makubwa mungu anaweza kukufanya chochote tumwombe mungu maisha yanaweza kuwa tofauti mungu mkubwa Sasa anaenda kuwa msada kwa wengine nakuombea umepitia daraja linaloenda kukufanya uwe shujaa 🎉🎉🎉🎉
Kama unatokea chunya do like for our artist prof J
Love song from Dodoma Tanzania pole sanaa hata sauti yako bado haijakaa sawa mungu awe nawe🙏🙏🙏🙏😭😭😭💥🔥🔥🔥
Hadi machozi yamenitoka...God is good all the time❤
Prof. Jay mrudie Mungu wako. Mungu ana neno nawe 🙏🙏
duuh mjomba pole sana
Machozi yanilenga nikisikia sauti yake Prof kwa kweli it's pain bt all in all mungo akusaidia.... we love so much
Thank you God to bring back our brother professor jay. God bless you brother from Mozambique 🇲🇿
Pole sana kaka Mungu Mkubwa
We love you God, thanks for Prof.jay ! Utukufu juu mbinguni
Pole sana brother Jay nimeumia sana ila Bwana ni kubwa sana
Mungu ni mwema, huu wimbo ni ushuhuda wa uwepo wa Mungu unatuongezea imani. 🙏🏿 Mungu azidi kukupigania Prof.
@KirangaHouston
8 ай бұрын
😢
God is the only one who save us and knows our end in this disaster earth
Pole sana
I failed to hold my tears 😭 To God be the Glory!!🙌🙏
@sixbertbudodi
8 ай бұрын
So did I 😢😢😢
@CotridaAthanas30
8 ай бұрын
I too...but GOD is just GOD!
Emotional Song,Allah is great
Asante mungu baba kwa ushuhuda huu wa Prof Jay.......
Mungu tunakutukuza kwa ajili ya mtumishi wako 🙏🙏eee Mungu baba mwana na roho mtakatifu uabudiwe milele
Machozi yananilenga nikiskia huu wimbo.Kuna mungu ahsante Kwa uponyaji was Proff Jay.Bwana Yesu apewe sifa!!!
@mropeamadeus54
8 ай бұрын
Kwa kupingwa kwake Sisi tumepona
@baaliyanuun416
8 ай бұрын
Sasa yesu anahusika na nn hapo wakat yeye ni binaadam Kama sisi
@lightnessabdallah2340
8 ай бұрын
@@baaliyanuun416km huna iman uwezi jua Yesu anausika nn ipo cku utakuja kujua anausika vp
@mastaplan83
8 ай бұрын
@@mropeamadeus54 Amina
@mastaplan83
8 ай бұрын
@@baaliyanuun416 Nadhani nimemjibu Proff Jay sio wewe.Katafute kiki pengine.
Mungu ni mwema siku zote
Jey usimuache Mungu naamini Mungu anamakusudi nauhai wako Jey usimuache Mungu usimuache niliumia sana huu wimbo unanitoa machozi Dana.
MUNGU MWEMA SANA KIUKWELI ATUKUZWE MUNGU MWENYEZI KAMA MWANZO NASASA NA SIKU ZOTE NA MILELE AMINA.
MWAMBA UMESIMAMA TENA CHAMPION🙏🙏🙏
Hakika ni kwa Mkono wa Mungu TU.
My names #JOSEPH Pley of GOD tutaishi walezezi wa #JESUS Amen
Dah Profesa J Pole sana,Mungu u pamoja nawe,usiogope umeshapona.
Aisee mungu acha aitwe mungu j mungu anakuhitaji kama tunavyo kuhitaji watu WA mikumi
Maombi yetu yamesikika...kagongwa pia imesikika umo ndan ndo home land yetu 🙏🙏🙏🙏
Good 👍 sana
Ee Mwenyezi Mungu asante kwauzima pia waponye wagonjwa wote na uwasamehe wale waliotangulia mbele ya haki
Mungu utabaki kuwa mungu nikisoma kipindi cha paulo alie kuwa anawauwa watumishi wa mungu lakini mungu kamfanya kuwa kuani. na injili yeke ilikua ngumu sana leo nimejifunza kitu juu ua mteliwa wa mungu ndugu profesa j mungu kakufanya mzabibu mwema ukamzalie matunda mema munga akuimalishe afya yako kaka yesu ni bwana amina
Glory to The Most High Each and Every Single moment 🙏🏽
From Nairobi Kenya we are happy Mwenyezi Mungu apewe sifa 🙏
Madaktar Wanatibu ila mungu anaponya huu wimbo umentoa machozi😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Mwenyezi Mungu aendelee kukutia nguvu, upone na kusimama Tena.
Hakika mungu ni mwema siku zote,anajibu maombi yetu😥🙏
Glory to the Most High God 🙌 🙏 Nothing is Impossible with Him
Ashukuriwe Mungu! Mungu ndiye mponyaji na sio mwingine
Mungu Ni mponyaji na msaada na hutumia gumu ili uweze kuutambua uwepo wake. Asante Mungu kwa nafasi nyingine juu ya mtumishi wako naiman bado anakusudi ambalo anatakiwa kulitimiza.
Mungu mwema, ashukuriwe mungu
Mungu ni mwema aisee🙌🙌🙌🙌
Mungu Yupo na anafanya kazi yake kwetu watoto wake! Hakika Mungu anampango na wewe mpende Sana🙏🥺
Mwenyezi Mungu azi kukupa Afya njema uimarike zaidi
Shukran nzur sana kwa Mungu nimezisikia
This is what we call lesson.. God has a reason for such people who face intensive difficulties
Mola haachi mja wake. Asante Mungu. Professor J Mungu yu na ww utapona soon InshaAllah.
@issackchalahani1235
7 ай бұрын
Amen Amen Amen.
Pole Sana Professor Jay mungu bado anaitaji uendelee kuwepo Duniani
The highest meaning of life is to know the real face and work of God, and to worship Him. Most of the times one can only get this revelation after the genuine trial or tragedy. Wish you long live and smoothly journey in worshiping God Prof. Jay
@benjaminulanga6749
8 ай бұрын
Hii ndio maana ya kuokoka sasa!!