Professor Jay Feat Alikiba - CALLING (Official Audio)
Музыка
#Calling #ProfessorJay #Alikiba
Calling by Professor Jay Feat Alikiba (C) 2023
Calling OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
BoomPlay: www.boomplaymusic.com/share/ar...
MKITO: mkito.com/artist/1111
iTunes: itunes.apple.com/us/artist/pr...
Spotify: open.spotify.com/artist/1Q5oC...
Dezeer: www.deezer.com/us/artist/4096310
Written & Performed by: Professor Jay & Alikiba
For Bookings: ProfessorJaytz@gmail.com
Follow Professor Jay on:
/ professorjaytz
/ professorjaytz
/ professorjaytz
Пікірлер: 1 200
Jamani alikiba ni msani wa kuigwa da kanikosha moyo wangu kwa kuamua kumsapoti kaka etu
@user-mu1xq9md5w
7 ай бұрын
Sanaa kakaa 💐👑
@user-nj1gp1zt2z
7 ай бұрын
Ndio Kaka yetu jeshiii❤
@gaspergasper9830
7 ай бұрын
😂😂SUBIR SIMBA LA MASIMBA ATOKE MAREKANI YEYE MMOJA NIKAMA ELUFU MOJA ANAMCHAPA NA MAMILION HALAFU ANACHAFUA MITANDAONI MWEZ AMA WIKI HAWAZAG SIMBA NDIO MTU WA WAKUIGWA SIO KIBA 😂😂😂
@nordinebaraca4635
7 ай бұрын
Nani kakudanganya kuwa alikiba ni msanii wakuombwa kwa professor? Kiba ni mdogo!
@mcmifukotz7267
7 ай бұрын
Anaga majivuno
Kama umerejea kuskiliza zaidi ya mara 2 hii nyimbo weka like
@nuruosward8161
3 ай бұрын
10 times❤
Ahsante mzee wetu jay.... Unatufunza sana wanao .
Kama wewe shabiki kweli wa professor Jay weka like hapo chini❤❤❤.
Namkubali Ali kiba jaman mm mpaka nashindwa kuongea ❤
She calling @ Alikiba hio chorus umeme @ hit imepenya 2030❤@ nipe like King @jay
King kibaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Alikibaaaaaaaaaaaaaa 📌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Hata likes 10 sipati kwel .....i love this from Kenya
@hajibofficial
7 ай бұрын
Lazi safi
Binadam ndo inatakiwa kuixh kama ivooo ukiona mwenzako kaanguka basi jitahidi kumuinua kw namna yoyote ileee🎉🎉🎉🎉🎉
Alikiba ni kiumbe kingine sana ongera sana prof jay
Vigogo wawili, kazi nzuri wazee wangu
Sauti kama inarudi hiv keep going mwamba
Miambaa🔥🔥🔥🔥
Akili nyng sna nanyi ndo wasanii wa kidunia tunapata mafunzo mazr toka kwenu 🙏🏿🙏🏿🙏🏿 akili kumkichwa
Alikiba forever ❤
Nakubali sana alikiba big up @professorjay
Bongo flavor Original ❤❤❤❤
Jamani Alikiba Ni Msani Wakuhigw Amewez Kumsupport Legend Kweny Kipind Kam Hiki Mungu Awape Maisha Marefu 🎉🎉🎉🎉
ebwana kaka kingkiba ukarikiwe kaka AMEN umefanya kitu kilicho bora haijawai tokea hongera sana kaka we love you❤❤❤❤❤❤❤
@MelodPlatnum
7 ай бұрын
❤❤❤❤
Huyu alikiba mbona anaimba sana what a beautiful song 🎵 😍 ❤️
Hakika mungu ni mwema sauti ya mh/brother professor jay imerudi tena
Noma sana bonge la ngoma...Hakuna mapenz humo
Kingkiba
Alikiba ameshindikana vibes vocals 🔥
🎉🎉🎉 mashallah Family
Hyo chorus!🙌🙌 Kiba Noma!
Aaaah kweli nimekubali Kazi profesa umerikavaa 1❤❤ brother
Tulio rudi hapa baada yakutoka kuona jinsi walivyokuwa nahimade kwenye account ya king kiba🔥🔥
Kaka alikiba tangu nianze sikiliza mzk maishan mwang had now naumr26 hakika maishan mwang nakupenda Sanaa kaka angu ww ndo msaan Wang kwa mda wote dunian I love My brother 🎉🎉🎉🎉🎉mungu akupe maisha merefuu my brother ❤❤❤❤
Noma,Prof ni mgodi unaotembea kakutana King ni hatari,Calling✊
Gonga like kama umemkubali j na kiba
Wakongwe wa music wamekutana katika calling naombeni like zao na coment zao 💯💯❤❤❤🔥🔥🔥
Huyu kibaa ni lasilimali ya taifa tuitunzee 🔥🔥🙌
asante mungu mwenyezi kwa zawadi hii ya uzima leo umewakutanisha wanamziki wakongwe nilingojeea ushirikiano wao kwa muda mrefu namuona jpm kwa mbali asante mungu wimbo huu unaponya miohoyo yenye majeraha R I P JPM
Mungu ni mwema jaman profess kaamka tenaa hakika wakumshukur ni Allah.pekee❤❤🙏🙏
Hivi nasikia kasharudi kwa sauti yake kama ilivyo zamani ongera sana baba mkuu
Ngoma ya kufunga mwaka kwa wapambanaji wote🙏🙏
King Kiba jamani chorus iyi nzito kabisa ❤❤❤❤
Boonge la Ngoma mkubwa sauti yake imerejea kama zamani god is great
Ndani ya wimbo huu kuna sehemu wamegusa maisha magumu saaana niliopitia mpaka chozi lime dondoka😭😭😭 now na mshukuru Mungu sio mbaya RESPECT WIMBO BORA KBS 🙏🙏🙏
Bonge la Ngoma. Inanikumbusha ile ngoma ya Alikiba #Yatima
@Yusco_Rhynova
7 ай бұрын
Mulemule Kaka Ila zote Ni kalii
❤❤❤wasani wangu wa mda wote ndio hawa Prof na king ❤❤na mumeeleweka sana msg imefika sio kuimba amapiano bila ujumbe wowote much respect legends
@nuruosward8161
3 ай бұрын
Much respect legend❤
Hamornize..... diamond will always be your Idol.....you can't change that fact,he gave u life....from Kenya
King kiba hii ndio style ya muziki niliyokupendea nayo, melody za hali ya juu, pia naskia back vocals vizur yaani hapa ali umefanya vizur mno
This is a living song ....listening to it so many times lets share this song ...lets do justice for it
Alikiba still king of our hearts Professor Jay recognize it ❤❤❤
Hili ngoma asilimia kubwa yaongelelea maisha niliyopitia
Alikiba weeee kwa vocal hauna mpinzani Tz 😢 tu es un artiste qui chante avec émotion force à toi et longue car c'est l'Afrique qui gagne on est ensemble 🇨🇩 RDC ❤
#Professor wa Bongo flavor ft #King wa Bongo flavor Ukisikia msanii ni kioo cha jamii ndio hii. Na kazi ya msanii ni mbili tu 1.KUBURUDISHA JAMII 2.KUELIMISHA JAMII So ukisikiliza hii song UNAPATA ELIMU KUBWA na huwezi toka bure Hivyo basi nikupongeze my big brother #ProfessorJay kwa ujumbe mzuri kwa jamii Pia big up kwa my brother #AliKiba kolas tamu..
❤❤❤❤nimeipendaaa sanaaa wafalme wa bongo fleva❤❤❤❤
hii ndio maana halisi ya kuwa kioo cha jamii
I have the feelings for this song😭😭it has taken me back to my childhood time when I went through thick and thin with my mum......😢😢😢
Masikini jy nakuombea upate afya njema ili urudi barabara ni Mungu ni muweza wa yote Amina
uishi maisha maref alikiba, professor J bado upo San mungu akujaalie nguv
Alikiba The King professor Jay sàuti yako naomba mungu anipe kipaji Kama yako ili ili niweze kuchana❤❤
Tuliwoipenda hii ngoma tujuwane
@buzaonlinetv8793
7 ай бұрын
Oya tupo
Bin Laden what a production❤
❤❤❤❤king saut kama saut
King wa hip hop akiwa na king wa bongo flava , wimbo mkubwa sn
🎉pr always fire
Professor Jay,unakumbuka ulimwambia alikiba afute vumbi kiti,Leo amekuwa wakwanza kukusapoti . Thanks 🙏 my brother 👑 King kiba
@fadhilifantastic5032
7 ай бұрын
It was just a punch line, pia Kiba na Prof wanafanya aina tofauti ya miziki,, hakumaanisha Kiba
@khadejarajab8007
7 ай бұрын
Watu wanakumbukumbu mweeeh😂😂😂😂😂
@user-gx8gm7bi6z
7 ай бұрын
Kwan ilikuaje nikumbushe ety😢
@fadhilifantastic5032
7 ай бұрын
@@user-gx8gm7bi6z Kwenye wimbo wa Professor Jay unaoitwa 'KIBABE' kuna mstari unasema... "Usiponiskia leo jua kesho narudi,, Mwambieni mfalme wenu siti yangu aifute vumbi,,"
@jeminusutenga1194
7 ай бұрын
Ngoma inayosema.futa fumbi.kiti Ile inamuhusu jamaa yule wa mji
Hii nyimbo nifaraja kwa wale wote tunao haso 🙏🙏🙏 eshima kwenu jy na ak
I think this Gina before kaka yangu hajaanza kuumwa ilikuw I nasubir iwe tu time#siku469
Mashallah professor jize sauti imerudi nifuraha kubwa sana hii
A hit track 🔥🔥kwa wale wanaskia kiswahili tunabahati kupata wasani mashuhuri
Mzee wa mitulinga🔥🔥🔥
Hit song
Ngoma Kali Kwa sekunde ishavuka Boda mpaka Ina Liza 😭Kwa Utamu wake🔥🔥🔥
Utu kwenye UTU wake of course #KingKiba ana UTU sana. I salute you my brother #Professor_Jay
Best song 2024
wimbo mkali sana,daah ujumbe mzito sanaaa
Ngoma imeniliza sana hivi😢, imenikumbusha maisha ya kulelewa na mama wa kambo.
Tunaomuombea pr J azidi kuimarika ki mziki na ki siasa gonga like❤
king king never disappointed
wimbo umenigusa sana ✊🇧🇮
Kiukweli Hii Nyimbo Inatia Sana moyo Sana Hapa Sasa Ndoto Yangu Imekamilika Nilitamani Kuipata collaboration ya Hawa Malegendary #King & #Prof 🎉🎉🎉
Hii imentoa machozi ,😢 nimeishi na mama wa kambo ...😢😢
❤+❤=❤❤ 😊😊
i missed this kind of melodies
Sauti imerudi-king wa hiphop. Mungu Mkuu Kweli.
Hii chorus kali sana respect kiba ukuweka kinyongo ulikunjua roho
Tears out of my eyes unanikumbusha Yale mateso nimepata kupambania Elimu . Tutawasapoti wote thank you sana
Kuna kitu Ali hakua akikifanya na naamini akiwa akifanya itakua vizuri Sana. Sikiliza hii chorus ilivyo Kua tamu Alafu kasikilize mwana fa ft king kiba. King anakaa poa Sana tu kwa watu wa hip hop. Sijui kwanini hawamcheki..
@Allykvnofficial
7 ай бұрын
Kweli kabisa
Listening to this song 😢😢😢as I was raised by a step mother, and now am the one teaching her children even though they divorced with my dad😢😢😢😢
Shida yangu hichi kipande alicho imba King kiba mwamba anasauti tam tam ❤❤❤
Nc song congratulations 4 this 2 legend
Alikiba hatariii Mungu akulinde na p jay
Mungu Awasaidie pia mungu mmpe maisha marefu king kiba
Alikiba avec tes belles mélodies tu rends mon cœur fort j'aimerais ta belle musique pour toute ma vie suis congolais précisément dans la ville de Goma
Prof Jay has a natural talent😊
@JoyMainah1
7 ай бұрын
👍👍👍 As in ... He does it so Well even Simba naturally Stays Out of His Way 😂😂😂
Nimependa bure2 kusikiza saut ya prof inaanzarejea ,AMINA MOLA akurejee saut yako
Nafanya kuirudia rudia hii nyimbo. Pamoja na ukongwe wao hawakuwai kufanya collabo na sasa wamekuja kuua kabisa 👏👏
Hapo mwanzo nyimbo ya bora ilikuwa ni mboga saba, mr blue blue,lkn kuanzia leo sasa calling inachukua hio nafasi rasmi , straight to my playlist
Big up jay na kiba❤❤❤
Prof & prof. King & King.💪
Uzuri wa kutunza Ngoma ndio huu hata ukiwa sio mzima kiafya una release tu.Get well soon Prof hii sauti na Imani itarudi hapa ilipo one day
Love
Utarudi ktk harii ako uncle Jay mfalme kaitendea hakiiii
Moja ya ngoma Kali zimewahi kutolewa kwenye industry ya bongo kuhusu hustle za watu aisee ni hii Congratulations big bro Prof Jay, Ali Kiba & Harmonize 👏🏿👏🏿👏🏿
@KasubiArexander
7 ай бұрын
Ukisikiliza Kwa umakini inafunza Kwa kweli
@mosesjohnswilla9926
7 ай бұрын
@@KasubiArexanderProfessor hajawahi kufel