Professor Jay Feat Alikiba - CALLING (Official Audio)

Музыка

#Calling #ProfessorJay #Alikiba
Calling by Professor Jay Feat Alikiba (C) 2023
Calling OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
BoomPlay: www.boomplaymusic.com/share/ar...
MKITO: mkito.com/artist/1111
iTunes: itunes.apple.com/us/artist/pr...
Spotify: open.spotify.com/artist/1Q5oC...
Dezeer: www.deezer.com/us/artist/4096310
Written & Performed by: Professor Jay & Alikiba
For Bookings: ProfessorJaytz@gmail.com
Follow Professor Jay on:
/ professorjaytz
/ professorjaytz
/ professorjaytz

Пікірлер: 1 200

  • @harmonize3059
    @harmonize30597 ай бұрын

    Jamani alikiba ni msani wa kuigwa da kanikosha moyo wangu kwa kuamua kumsapoti kaka etu

  • @user-mu1xq9md5w

    @user-mu1xq9md5w

    7 ай бұрын

    Sanaa kakaa 💐👑

  • @user-nj1gp1zt2z

    @user-nj1gp1zt2z

    7 ай бұрын

    Ndio Kaka yetu jeshiii❤

  • @gaspergasper9830

    @gaspergasper9830

    7 ай бұрын

    😂😂SUBIR SIMBA LA MASIMBA ATOKE MAREKANI YEYE MMOJA NIKAMA ELUFU MOJA ANAMCHAPA NA MAMILION HALAFU ANACHAFUA MITANDAONI MWEZ AMA WIKI HAWAZAG SIMBA NDIO MTU WA WAKUIGWA SIO KIBA 😂😂😂

  • @nordinebaraca4635

    @nordinebaraca4635

    7 ай бұрын

    Nani kakudanganya kuwa alikiba ni msanii wakuombwa kwa professor? Kiba ni mdogo!

  • @mcmifukotz7267

    @mcmifukotz7267

    7 ай бұрын

    Anaga majivuno

  • @Sasonlinemedia
    @Sasonlinemedia7 ай бұрын

    Kama umerejea kuskiliza zaidi ya mara 2 hii nyimbo weka like

  • @nuruosward8161

    @nuruosward8161

    3 ай бұрын

    10 times❤

  • @EsauGabliel
    @EsauGabliel7 ай бұрын

    Ahsante mzee wetu jay.... Unatufunza sana wanao .

  • @VenasAbdallah
    @VenasAbdallah7 ай бұрын

    Kama wewe shabiki kweli wa professor Jay weka like hapo chini❤❤❤.

  • @RamadhanBakar-ky8xc
    @RamadhanBakar-ky8xc7 ай бұрын

    Namkubali Ali kiba jaman mm mpaka nashindwa kuongea ❤

  • @wizjunior8689
    @wizjunior86897 ай бұрын

    She calling @ Alikiba hio chorus umeme @ hit imepenya 2030❤@ nipe like King @jay

  • @robathcarlos8068
    @robathcarlos80687 ай бұрын

    King kibaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @JosemobiaAmalia-um1og
    @JosemobiaAmalia-um1og7 ай бұрын

    Alikibaaaaaaaaaaaaaa 📌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @jumangala
    @jumangala7 ай бұрын

    Hata likes 10 sipati kwel .....i love this from Kenya

  • @hajibofficial

    @hajibofficial

    7 ай бұрын

    Lazi safi

  • @user-dr1nv4dl2f
    @user-dr1nv4dl2f7 ай бұрын

    Binadam ndo inatakiwa kuixh kama ivooo ukiona mwenzako kaanguka basi jitahidi kumuinua kw namna yoyote ileee🎉🎉🎉🎉🎉

  • @a.gcompanymovis
    @a.gcompanymovis7 ай бұрын

    Alikiba ni kiumbe kingine sana ongera sana prof jay

  • @user-tx4xk9lv2h
    @user-tx4xk9lv2h7 ай бұрын

    Vigogo wawili, kazi nzuri wazee wangu

  • @user-hd5yt1ej9w
    @user-hd5yt1ej9w7 ай бұрын

    Sauti kama inarudi hiv keep going mwamba

  • @MrEnd2826
    @MrEnd28267 ай бұрын

    Miambaa🔥🔥🔥🔥

  • @jumamohamedi4280
    @jumamohamedi42807 ай бұрын

    Akili nyng sna nanyi ndo wasanii wa kidunia tunapata mafunzo mazr toka kwenu 🙏🏿🙏🏿🙏🏿 akili kumkichwa

  • @anthonykamaukuria
    @anthonykamaukuria6 ай бұрын

    Alikiba forever ❤

  • @richbashantiofficiel820
    @richbashantiofficiel8207 ай бұрын

    Nakubali sana alikiba big up @professorjay

  • @VeeJayOfficial
    @VeeJayOfficial7 ай бұрын

    Bongo flavor Original ❤❤❤❤

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing7 ай бұрын

    Jamani Alikiba Ni Msani Wakuhigw Amewez Kumsupport Legend Kweny Kipind Kam Hiki Mungu Awape Maisha Marefu 🎉🎉🎉🎉

  • @MelodPlatnum
    @MelodPlatnum7 ай бұрын

    ebwana kaka kingkiba ukarikiwe kaka AMEN umefanya kitu kilicho bora haijawai tokea hongera sana kaka we love you❤❤❤❤❤❤❤

  • @MelodPlatnum

    @MelodPlatnum

    7 ай бұрын

    ❤❤❤❤

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira99437 ай бұрын

    Huyu alikiba mbona anaimba sana what a beautiful song 🎵 😍 ❤️

  • @Bad7official-tz1pv
    @Bad7official-tz1pv7 ай бұрын

    Hakika mungu ni mwema sauti ya mh/brother professor jay imerudi tena

  • @salumhilary8526
    @salumhilary85267 ай бұрын

    Noma sana bonge la ngoma...Hakuna mapenz humo

  • @shazzywakingsmusic8672
    @shazzywakingsmusic86727 ай бұрын

    Kingkiba

  • @fungafungatv448
    @fungafungatv4487 ай бұрын

    Alikiba ameshindikana vibes vocals 🔥

  • @mis2ra766
    @mis2ra7667 ай бұрын

    🎉🎉🎉 mashallah Family

  • @maufijose2294
    @maufijose22947 ай бұрын

    Hyo chorus!🙌🙌 Kiba Noma!

  • @nassirjumahashir6341
    @nassirjumahashir63417 ай бұрын

    Aaaah kweli nimekubali Kazi profesa umerikavaa 1❤❤ brother

  • @belyjeshi3854
    @belyjeshi38547 ай бұрын

    Tulio rudi hapa baada yakutoka kuona jinsi walivyokuwa nahimade kwenye account ya king kiba🔥🔥

  • @aliphoncenalunyalula5598
    @aliphoncenalunyalula55987 ай бұрын

    Kaka alikiba tangu nianze sikiliza mzk maishan mwang had now naumr26 hakika maishan mwang nakupenda Sanaa kaka angu ww ndo msaan Wang kwa mda wote dunian I love My brother 🎉🎉🎉🎉🎉mungu akupe maisha merefuu my brother ❤❤❤❤

  • @libetyruge2795
    @libetyruge27957 ай бұрын

    Noma,Prof ni mgodi unaotembea kakutana King ni hatari,Calling✊

  • @ramadhanially967
    @ramadhanially9677 ай бұрын

    Gonga like kama umemkubali j na kiba

  • @livingstonking9818
    @livingstonking98187 ай бұрын

    Wakongwe wa music wamekutana katika calling naombeni like zao na coment zao 💯💯❤❤❤🔥🔥🔥

  • @mwakisogocpiliano1793
    @mwakisogocpiliano17937 ай бұрын

    Huyu kibaa ni lasilimali ya taifa tuitunzee 🔥🔥🙌

  • @farajakwilasa471
    @farajakwilasa4717 ай бұрын

    asante mungu mwenyezi kwa zawadi hii ya uzima leo umewakutanisha wanamziki wakongwe nilingojeea ushirikiano wao kwa muda mrefu namuona jpm kwa mbali asante mungu wimbo huu unaponya miohoyo yenye majeraha R I P JPM

  • @HidayaOmary-qc9sm
    @HidayaOmary-qc9sm7 ай бұрын

    Mungu ni mwema jaman profess kaamka tenaa hakika wakumshukur ni Allah.pekee❤❤🙏🙏

  • @Bagenzi4life
    @Bagenzi4life7 ай бұрын

    Hivi nasikia kasharudi kwa sauti yake kama ilivyo zamani ongera sana baba mkuu

  • @jayboy9552
    @jayboy95527 ай бұрын

    Ngoma ya kufunga mwaka kwa wapambanaji wote🙏🙏

  • @mandyuwimana7735
    @mandyuwimana77357 ай бұрын

    King Kiba jamani chorus iyi nzito kabisa ❤❤❤❤

  • @eliadaniel216
    @eliadaniel2167 ай бұрын

    Boonge la Ngoma mkubwa sauti yake imerejea kama zamani god is great

  • @user-fk7rt6rz4i
    @user-fk7rt6rz4i7 ай бұрын

    Ndani ya wimbo huu kuna sehemu wamegusa maisha magumu saaana niliopitia mpaka chozi lime dondoka😭😭😭 now na mshukuru Mungu sio mbaya RESPECT WIMBO BORA KBS 🙏🙏🙏

  • @laurentchimbirani5990
    @laurentchimbirani59907 ай бұрын

    Bonge la Ngoma. Inanikumbusha ile ngoma ya Alikiba #Yatima

  • @Yusco_Rhynova

    @Yusco_Rhynova

    7 ай бұрын

    Mulemule Kaka Ila zote Ni kalii

  • @sabojanvierjaja2007
    @sabojanvierjaja20077 ай бұрын

    ❤❤❤wasani wangu wa mda wote ndio hawa Prof na king ❤❤na mumeeleweka sana msg imefika sio kuimba amapiano bila ujumbe wowote much respect legends

  • @nuruosward8161

    @nuruosward8161

    3 ай бұрын

    Much respect legend❤

  • @cephasrock1261
    @cephasrock12617 ай бұрын

    Hamornize..... diamond will always be your Idol.....you can't change that fact,he gave u life....from Kenya

  • @KarisBaya
    @KarisBaya7 ай бұрын

    King kiba hii ndio style ya muziki niliyokupendea nayo, melody za hali ya juu, pia naskia back vocals vizur yaani hapa ali umefanya vizur mno

  • @mwambiretv165
    @mwambiretv1656 ай бұрын

    This is a living song ....listening to it so many times lets share this song ...lets do justice for it

  • @b_aime7584
    @b_aime75847 ай бұрын

    Alikiba still king of our hearts Professor Jay recognize it ❤❤❤

  • @jackmassive944
    @jackmassive9447 ай бұрын

    Hili ngoma asilimia kubwa yaongelelea maisha niliyopitia

  • @jeanalikiba3178
    @jeanalikiba31787 ай бұрын

    Alikiba weeee kwa vocal hauna mpinzani Tz 😢 tu es un artiste qui chante avec émotion force à toi et longue car c'est l'Afrique qui gagne on est ensemble 🇨🇩 RDC ❤

  • @shamnyoka_tz4220
    @shamnyoka_tz42207 ай бұрын

    #Professor wa Bongo flavor ft #King wa Bongo flavor Ukisikia msanii ni kioo cha jamii ndio hii. Na kazi ya msanii ni mbili tu 1.KUBURUDISHA JAMII 2.KUELIMISHA JAMII So ukisikiliza hii song UNAPATA ELIMU KUBWA na huwezi toka bure Hivyo basi nikupongeze my big brother #ProfessorJay kwa ujumbe mzuri kwa jamii Pia big up kwa my brother #AliKiba kolas tamu..

  • @CHACKRYABDALA
    @CHACKRYABDALA7 ай бұрын

    ❤❤❤❤nimeipendaaa sanaaa wafalme wa bongo fleva❤❤❤❤

  • @hamisiomari6181
    @hamisiomari61817 ай бұрын

    hii ndio maana halisi ya kuwa kioo cha jamii

  • @AstarikoMalanda-jn2xn
    @AstarikoMalanda-jn2xn7 ай бұрын

    I have the feelings for this song😭😭it has taken me back to my childhood time when I went through thick and thin with my mum......😢😢😢

  • @salvatoresanya9194
    @salvatoresanya91947 ай бұрын

    Masikini jy nakuombea upate afya njema ili urudi barabara ni Mungu ni muweza wa yote Amina

  • @user-th4gx4kb6t
    @user-th4gx4kb6t7 ай бұрын

    uishi maisha maref alikiba, professor J bado upo San mungu akujaalie nguv

  • @masauletitika351
    @masauletitika3517 ай бұрын

    Alikiba The King professor Jay sàuti yako naomba mungu anipe kipaji Kama yako ili ili niweze kuchana❤❤

  • @Midoj950
    @Midoj9507 ай бұрын

    Tuliwoipenda hii ngoma tujuwane

  • @buzaonlinetv8793

    @buzaonlinetv8793

    7 ай бұрын

    Oya tupo

  • @user-gf7pr5eg9t
    @user-gf7pr5eg9t7 ай бұрын

    Bin Laden what a production❤

  • @AgripaMwangobola-il3bz
    @AgripaMwangobola-il3bz7 ай бұрын

    ❤❤❤❤king saut kama saut

  • @jacobsadock3530
    @jacobsadock35307 ай бұрын

    King wa hip hop akiwa na king wa bongo flava , wimbo mkubwa sn

  • @user-gy9hg6rg3c
    @user-gy9hg6rg3c7 ай бұрын

    🎉pr always fire

  • @manuelraulchimangande
    @manuelraulchimangande7 ай бұрын

    Professor Jay,unakumbuka ulimwambia alikiba afute vumbi kiti,Leo amekuwa wakwanza kukusapoti . Thanks 🙏 my brother 👑 King kiba

  • @fadhilifantastic5032

    @fadhilifantastic5032

    7 ай бұрын

    It was just a punch line, pia Kiba na Prof wanafanya aina tofauti ya miziki,, hakumaanisha Kiba

  • @khadejarajab8007

    @khadejarajab8007

    7 ай бұрын

    Watu wanakumbukumbu mweeeh😂😂😂😂😂

  • @user-gx8gm7bi6z

    @user-gx8gm7bi6z

    7 ай бұрын

    Kwan ilikuaje nikumbushe ety😢

  • @fadhilifantastic5032

    @fadhilifantastic5032

    7 ай бұрын

    @@user-gx8gm7bi6z Kwenye wimbo wa Professor Jay unaoitwa 'KIBABE' kuna mstari unasema... "Usiponiskia leo jua kesho narudi,, Mwambieni mfalme wenu siti yangu aifute vumbi,,"

  • @jeminusutenga1194

    @jeminusutenga1194

    7 ай бұрын

    Ngoma inayosema.futa fumbi.kiti Ile inamuhusu jamaa yule wa mji

  • @abudulingasa6413
    @abudulingasa64137 ай бұрын

    Hii nyimbo nifaraja kwa wale wote tunao haso 🙏🙏🙏 eshima kwenu jy na ak

  • @godwinmwakibibi274
    @godwinmwakibibi2747 ай бұрын

    I think this Gina before kaka yangu hajaanza kuumwa ilikuw I nasubir iwe tu time#siku469

  • @flinchclassic1531
    @flinchclassic15317 ай бұрын

    Mashallah professor jize sauti imerudi nifuraha kubwa sana hii

  • @malcolmnjoroge6436
    @malcolmnjoroge64367 ай бұрын

    A hit track 🔥🔥kwa wale wanaskia kiswahili tunabahati kupata wasani mashuhuri

  • @litiemamorrison
    @litiemamorrison7 ай бұрын

    Mzee wa mitulinga🔥🔥🔥

  • @gabrielmwandoe8473
    @gabrielmwandoe84737 ай бұрын

    Hit song

  • @dhadkanmain7842
    @dhadkanmain78427 ай бұрын

    Ngoma Kali Kwa sekunde ishavuka Boda mpaka Ina Liza 😭Kwa Utamu wake🔥🔥🔥

  • @Chida
    @Chida7 ай бұрын

    Utu kwenye UTU wake of course #KingKiba ana UTU sana. I salute you my brother #Professor_Jay

  • @CROWNMEDIAKE
    @CROWNMEDIAKE7 ай бұрын

    Best song 2024

  • @ernestjulius3209
    @ernestjulius32097 ай бұрын

    wimbo mkali sana,daah ujumbe mzito sanaaa

  • @jimmytv2805
    @jimmytv28057 ай бұрын

    Ngoma imeniliza sana hivi😢, imenikumbusha maisha ya kulelewa na mama wa kambo.

  • @boazimaganga
    @boazimaganga7 ай бұрын

    Tunaomuombea pr J azidi kuimarika ki mziki na ki siasa gonga like❤

  • @muugenius
    @muugenius7 ай бұрын

    king king never disappointed

  • @bondjannkuriyingoma9097
    @bondjannkuriyingoma90977 ай бұрын

    wimbo umenigusa sana ✊🇧🇮

  • @NellyWaKidato
    @NellyWaKidato7 ай бұрын

    Kiukweli Hii Nyimbo Inatia Sana moyo Sana Hapa Sasa Ndoto Yangu Imekamilika Nilitamani Kuipata collaboration ya Hawa Malegendary #King & #Prof 🎉🎉🎉

  • @badisalim5402
    @badisalim54027 ай бұрын

    Hii imentoa machozi ,😢 nimeishi na mama wa kambo ...😢😢

  • @djdarmaga6252
    @djdarmaga62527 ай бұрын

    ❤+❤=❤❤ 😊😊

  • @sakinalwambano6062
    @sakinalwambano60627 ай бұрын

    i missed this kind of melodies

  • @hermanmwachuya8327
    @hermanmwachuya83277 ай бұрын

    Sauti imerudi-king wa hiphop. Mungu Mkuu Kweli.

  • @zizzouamijaa
    @zizzouamijaa7 ай бұрын

    Hii chorus kali sana respect kiba ukuweka kinyongo ulikunjua roho

  • @gudimbwana8088
    @gudimbwana80887 ай бұрын

    Tears out of my eyes unanikumbusha Yale mateso nimepata kupambania Elimu . Tutawasapoti wote thank you sana

  • @yussufkhasim9021
    @yussufkhasim90217 ай бұрын

    Kuna kitu Ali hakua akikifanya na naamini akiwa akifanya itakua vizuri Sana. Sikiliza hii chorus ilivyo Kua tamu Alafu kasikilize mwana fa ft king kiba. King anakaa poa Sana tu kwa watu wa hip hop. Sijui kwanini hawamcheki..

  • @Allykvnofficial

    @Allykvnofficial

    7 ай бұрын

    Kweli kabisa

  • @kakaideson6886
    @kakaideson68867 ай бұрын

    Listening to this song 😢😢😢as I was raised by a step mother, and now am the one teaching her children even though they divorced with my dad😢😢😢😢

  • @BikomboAbdala
    @BikomboAbdala7 ай бұрын

    Shida yangu hichi kipande alicho imba King kiba mwamba anasauti tam tam ❤❤❤

  • @kakaaignas3675
    @kakaaignas36757 ай бұрын

    Nc song congratulations 4 this 2 legend

  • @user-fr6su7kb1v
    @user-fr6su7kb1v7 ай бұрын

    Alikiba hatariii Mungu akulinde na p jay

  • @rizikirobert4596
    @rizikirobert45967 ай бұрын

    Mungu Awasaidie pia mungu mmpe maisha marefu king kiba

  • @shukurubigirimanajoas
    @shukurubigirimanajoas7 ай бұрын

    Alikiba avec tes belles mélodies tu rends mon cœur fort j'aimerais ta belle musique pour toute ma vie suis congolais précisément dans la ville de Goma

  • @luckyluchano1
    @luckyluchano17 ай бұрын

    Prof Jay has a natural talent😊

  • @JoyMainah1

    @JoyMainah1

    7 ай бұрын

    👍👍👍 As in ... He does it so Well even Simba naturally Stays Out of His Way 😂😂😂

  • @ophryntirnigaprod1263
    @ophryntirnigaprod12637 ай бұрын

    Nimependa bure2 kusikiza saut ya prof inaanzarejea ,AMINA MOLA akurejee saut yako

  • @phillybalile
    @phillybalile7 ай бұрын

    Nafanya kuirudia rudia hii nyimbo. Pamoja na ukongwe wao hawakuwai kufanya collabo na sasa wamekuja kuua kabisa 👏👏

  • @KarisBaya
    @KarisBaya7 ай бұрын

    Hapo mwanzo nyimbo ya bora ilikuwa ni mboga saba, mr blue blue,lkn kuanzia leo sasa calling inachukua hio nafasi rasmi , straight to my playlist

  • @benedictomb
    @benedictomb7 ай бұрын

    Big up jay na kiba❤❤❤

  • @Sambrown6900
    @Sambrown69007 ай бұрын

    Prof & prof. King & King.💪

  • @straightkonect1613
    @straightkonect16137 ай бұрын

    Uzuri wa kutunza Ngoma ndio huu hata ukiwa sio mzima kiafya una release tu.Get well soon Prof hii sauti na Imani itarudi hapa ilipo one day

  • @AlmasMasumbuko-nv9qu
    @AlmasMasumbuko-nv9qu7 ай бұрын

    Love

  • @elishaleonard1401
    @elishaleonard14017 ай бұрын

    Utarudi ktk harii ako uncle Jay mfalme kaitendea hakiiii

  • @kijiweni24tv
    @kijiweni24tv7 ай бұрын

    Moja ya ngoma Kali zimewahi kutolewa kwenye industry ya bongo kuhusu hustle za watu aisee ni hii Congratulations big bro Prof Jay, Ali Kiba & Harmonize 👏🏿👏🏿👏🏿

  • @KasubiArexander

    @KasubiArexander

    7 ай бұрын

    Ukisikiliza Kwa umakini inafunza Kwa kweli

  • @mosesjohnswilla9926

    @mosesjohnswilla9926

    7 ай бұрын

    ​@@KasubiArexanderProfessor hajawahi kufel

Келесі