Priscilla Tango - Mkulima wa mboga mboga kutoka Arusha
Priscilla Tango ni muhitimu wa chuo kikuu mwenye shahada ya sheria aliyeamua kujitika kwenye kilimo biashara.
Жүктеу.....
Пікірлер: 55
@orinakhocha8 жыл бұрын
a good story like that of Priscilla makes me proud of my motherland Africa.
@johnmacha21949 жыл бұрын
Hongera sana Mdada! haya mambo nimezoea kuyaona Mkulima young. I am very much impressed, keep it rolling!
@jamesaloyce4917 жыл бұрын
hongera saana ndugu kwa hatua kuubwa ya mafanikio ila pia napenda kuwapongeza saaana kwa kampuni za TAHA na BALTON Kwa kuwa karibu na wakulima
@jesusnetworkministry5 жыл бұрын
Jamani na Mimi natamani sana kujiingiza kwenye kilimo lakn changamoto ni mtaji
@michaelmbelwa98137 жыл бұрын
Hongera sana, Priscilla nitafata nyayo
@pricpric16863 жыл бұрын
Nakupenda bure dada p
@aristarik200318 жыл бұрын
Congratulations sana Priscilla Big up
@nyanzalakaporo25046 жыл бұрын
HONGERA SANA PRISCILLA KAZI NZURI SANA IYO , NIMEPATA MWANGA NA MIMI NTAKUWA MKULIMA SOON.
@LeonardWambi-vl7zy Жыл бұрын
Call me Leonard wambi from collage of Agriculture, continue for providing education to adult people
@malemacarson31896 жыл бұрын
HONGERA SANA DADA NAOMBA MUWEKE NAMBA ZENU ILI TUWEZE WASILIANA NA NYIE TUPATE MWONGOZO KUNA WATU WENGI WANATAMANI KUWA KAMA WEWE TATIZO WAAZIE WAPI KAMA MIMI HAPA
@sanifusimwanza98015 жыл бұрын
Shukran kwenu waandaaji wa kipindi kiukweli nimelizika na mmenitia moyo jatika kilimo #naomba kusaidiwa namna ya kupata mipila ya kumwagili kwa tone kama inawezekana
@manasemwakagali93587 жыл бұрын
jambo jema, lakini sijaona what are the challenges facing her. mkituonyesha upande mmoja hivi ni kutunyima ukweli mtupu
Dada unajuaje kuwa bidhaa hii itahitajika sokon katika msimu flan tafathali nisaidie kwa hilo plz
@Isack_Leo4 жыл бұрын
Mwanasheria mwenga
@magrethshao18414 жыл бұрын
How do you join TAHA
@emanuelmwanga43 жыл бұрын
Mimi najiuliza maswli bila majibu kuna hoho nimeon kwenye grin haus Inaiva inakuw nyekundu ndo inachumwa je ndo kawaida au i nakosa soko
@ezekielmtulichile80967 жыл бұрын
Jamani napenda kulima lakini tatizo mtaji. Naombeni ushauri nifanyeje?
@emanuelmwanga4
3 жыл бұрын
Yani kilimo kinalipa tatizo ukienda kukopa kwa ajili ya kilimo ni ngum sanah kukuamin cha kufanya ushauri wangu kwako anza na kilimo cha garama ndogo apo apo utapata mtaji Mimi nimepitia njia hiyo
@khamissnassor14625 жыл бұрын
TAHA wanapatikana wapi
@mrgkolongo15618 жыл бұрын
prisila uko juu sana nimekuadmire sana naomba number yako kwa ushauri zaidi number yangu ni 0767476060
@eddahhawa74714 жыл бұрын
Mawasiliano tafadhali
@webpeter34608 жыл бұрын
Nahitaji kuwa mkulima bora na nipo ktk kujenga greenhouse ya mboga.
@kinglance9816
6 жыл бұрын
umefikia wapi saivi
@daniellubango81754 жыл бұрын
Nataka kupata mawasiliano ya mkulugenz huyu pengne atanifunza meng zaid kwan me pia nataman kwanza ila sijui naaanzia wap
@daniellubango81754 жыл бұрын
Kama unafuatilia comment plz naomba
@lemameasi17234 жыл бұрын
NAPENDA SANA KULIMA ,ILA JINSI YA KUPATA MTAJI NA MTAALAMU,MIMI NINA ARDHI LAKINI JINSI YA KUITUMIA NIPATE MTAJI,NIPO ARUSHA JIRANI NA CHUO CHA NELSON MANDELA,ANSAF MNATUSAIDIAJE
dada Prisila umenifundisha na pía ninania ya kufanya kilimo hiko hivyo nahitaji mesada wako pelase my NUMBER 0659709494
@paschalmpenzwa17706 жыл бұрын
Naomba ushauli mm Matango yangu yameingiwa u gpnjwa.mnjano
@danielpatrickrobert1259 жыл бұрын
aise im on truck,nataka kufanya hii kitu
@WiseManOfficialTz
7 жыл бұрын
hongera sana,keep on growing.
@issasaidi10197 жыл бұрын
dada pliscala mimi ni mtanzania mwenzako mwenye ndoto kama ulizo nazo wewe na kupata utajiri kupitia shambani naomba unichek whatssap kwa ushauri my number is 0672446217
@johnlugano5027
6 жыл бұрын
Ongera dada yetu hakika umetupa somo zuri yapswa kujfunza kupitia wewe
Пікірлер: 55
a good story like that of Priscilla makes me proud of my motherland Africa.
Hongera sana Mdada! haya mambo nimezoea kuyaona Mkulima young. I am very much impressed, keep it rolling!
hongera saana ndugu kwa hatua kuubwa ya mafanikio ila pia napenda kuwapongeza saaana kwa kampuni za TAHA na BALTON Kwa kuwa karibu na wakulima
Jamani na Mimi natamani sana kujiingiza kwenye kilimo lakn changamoto ni mtaji
Hongera sana, Priscilla nitafata nyayo
Nakupenda bure dada p
Congratulations sana Priscilla Big up
HONGERA SANA PRISCILLA KAZI NZURI SANA IYO , NIMEPATA MWANGA NA MIMI NTAKUWA MKULIMA SOON.
Call me Leonard wambi from collage of Agriculture, continue for providing education to adult people
HONGERA SANA DADA NAOMBA MUWEKE NAMBA ZENU ILI TUWEZE WASILIANA NA NYIE TUPATE MWONGOZO KUNA WATU WENGI WANATAMANI KUWA KAMA WEWE TATIZO WAAZIE WAPI KAMA MIMI HAPA
Shukran kwenu waandaaji wa kipindi kiukweli nimelizika na mmenitia moyo jatika kilimo #naomba kusaidiwa namna ya kupata mipila ya kumwagili kwa tone kama inawezekana
jambo jema, lakini sijaona what are the challenges facing her. mkituonyesha upande mmoja hivi ni kutunyima ukweli mtupu
Зулу Mngane othandekayo! Isikhathi somusa siyaphela .. Ukuza kwesibili kukaKristu kusondela! Shesha kuJesu Kristu, ngokuphenduka nokukholwa. Uyakuthanda. UJesu uzokuthethelela zonke izono zakho. Uzokunikeza amandla okuqala konke kusuka ekuqaleni. Uzonikeza ithemba nenjabulo. Uzokusiza ekunqobeni inkinga yakho, upholise amanxeba akho, unikeze amandla okuthethelela izitha. Impilo! Thandisisa ibhayibheli, iNkosi ngalo liyakhuluma mathupha nomuntu ngamunye! 16 “Ngoba uNkulunkulu walithanda izwe kangaka waze wanikela ngeNdodana yakhe ezelwe yodwa, ukuthi yilowo nalowo okholwa kuye angabhubhi, kodwa abe nokuphila okuphakade.” IVangeli likaJohane 3-16 "31 Base bethi:" Kholwa yiNkosi uJesu Kristu, uzosindiswa wena nendlu yakho yonke. " Izenzo 16-31
Way to go Mate👏👏👏am Proud of you.
Huyo Mzee wa taha nimtu mvivu sana
duh congrats Dada big up
Dada kwanza hongera sana pia samahani naomba no yako jamani
Hongera sana Dada
Mashallah
All the best Priscilla Tango
@innocentmbindi7431
4 жыл бұрын
Habari samahani naomba namba yako
Dada Tango umejitahidi....
Dada Priscilla naomba nipibeep kwa hii namba m mwenyewe mkulima tubadilishane mawazo
Hongera unajitahidi mamake
garama za green hose moja ni tsh gapi? nainaukubwa gani
napenda sana kilimo.cha kuomba muweke na namba zenu.ili tuwacheki wa ndugu
asanteni je mna shule ya kujifunza hapo tanzania`?
Dada naomba namba yako ya simu
Hongera sana,nami naomba kuwafahamu hao walio kufundisha,kwani nami napenda kilimo,my no 0717 020 868,pls nipigie
Umbali kati ya mche na mche wa tango
Dada unajuaje kuwa bidhaa hii itahitajika sokon katika msimu flan tafathali nisaidie kwa hilo plz
Mwanasheria mwenga
How do you join TAHA
Mimi najiuliza maswli bila majibu kuna hoho nimeon kwenye grin haus Inaiva inakuw nyekundu ndo inachumwa je ndo kawaida au i nakosa soko
Jamani napenda kulima lakini tatizo mtaji. Naombeni ushauri nifanyeje?
@emanuelmwanga4
3 жыл бұрын
Yani kilimo kinalipa tatizo ukienda kukopa kwa ajili ya kilimo ni ngum sanah kukuamin cha kufanya ushauri wangu kwako anza na kilimo cha garama ndogo apo apo utapata mtaji Mimi nimepitia njia hiyo
TAHA wanapatikana wapi
prisila uko juu sana nimekuadmire sana naomba number yako kwa ushauri zaidi number yangu ni 0767476060
Mawasiliano tafadhali
Nahitaji kuwa mkulima bora na nipo ktk kujenga greenhouse ya mboga.
@kinglance9816
6 жыл бұрын
umefikia wapi saivi
Nataka kupata mawasiliano ya mkulugenz huyu pengne atanifunza meng zaid kwan me pia nataman kwanza ila sijui naaanzia wap
Kama unafuatilia comment plz naomba
NAPENDA SANA KULIMA ,ILA JINSI YA KUPATA MTAJI NA MTAALAMU,MIMI NINA ARDHI LAKINI JINSI YA KUITUMIA NIPATE MTAJI,NIPO ARUSHA JIRANI NA CHUO CHA NELSON MANDELA,ANSAF MNATUSAIDIAJE
munatumia mbolea ganni
nipo marangu mkoani kilimanjaro naomba ushauri wenu tunaweza kulima matango ukanda wa marangu
dada Prisila umenifundisha na pía ninania ya kufanya kilimo hiko hivyo nahitaji mesada wako pelase my NUMBER 0659709494
Naomba ushauli mm Matango yangu yameingiwa u gpnjwa.mnjano
aise im on truck,nataka kufanya hii kitu
@WiseManOfficialTz
7 жыл бұрын
hongera sana,keep on growing.
dada pliscala mimi ni mtanzania mwenzako mwenye ndoto kama ulizo nazo wewe na kupata utajiri kupitia shambani naomba unichek whatssap kwa ushauri my number is 0672446217
@johnlugano5027
6 жыл бұрын
Ongera dada yetu hakika umetupa somo zuri yapswa kujfunza kupitia wewe
dada pricilla nicheki 0787657479 kwa ushauri
@sefusempanga6282
5 жыл бұрын
Prisila hongera