PETRO WA CCM AFUNGUKA KUHUSU MKEWE, "JOYCE NI KIPOZEO CHANGU/NILITAMANI KUMTONGOZA TENA/MACHOZI"

Rafiki yetu Petro Magoti, ambaye ni mfanyakazi wa CCM Makao Makuu, Mnamo Septemba 4, 2021 alifunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu Joyce Mvungi.
Miongoni mwa waliohudhuria ibada ya ndoa hiyo ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
Uongozi wa Ayo TV & Millardayo.com imetuma salaam za Pongezi na dua njema kwa ndugu Petro Magoti na mkewe Joyce.
Hapa nimekusogezea video kati ya yale yaliwafurahisha wageni waalikwa katika harusi hiyo baada ya Petro kupewa kipaza sauti kuzungumza maneno mbele ya mkewe

Пікірлер: 144

  • @kisakim5660
    @kisakim56602 жыл бұрын

    Waooh 🥰🥰🥰❤️❤️❤️❤️ Mungu awape kupendana na kisikilizana daima

  • @happydamiano6593
    @happydamiano65932 жыл бұрын

    Mmh !!!Mungu akusaidie dada usije ukamwacha huyo kaka kwani ndani yake nauona upendo wa dhati Sana kwako ,songa mbele usione Kama watu waonavyo Bali ona Kama Mungu aonavyo ,na Mungu awajalie mpate watoto wema

  • @ashooraashoora1180
    @ashooraashoora11802 жыл бұрын

    Mashaa'Allah nimewapenda pia Allah abariki ndoa yenu

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya82762 жыл бұрын

    Raha iko moyoni, pendo halina kificho Mungu awajalie, ndiye aliwachagua hivi walivyo PETRO na dadetu. Yetu macho kodo.

  • @princessharpy8636

    @princessharpy8636

    2 жыл бұрын

    Please what is the name of the song

  • @ambakisyemwakinunu2002

    @ambakisyemwakinunu2002

    2 жыл бұрын

    @@princessharpy8636 artist: stara tomas Song: mimi na wewe

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura57632 жыл бұрын

    Masha'allah tabaraka Rahman...murembo kweli💓

  • @gracemgj2132
    @gracemgj21322 жыл бұрын

    Ce Monsieur est vraiment attentionné,que Dieu bénisse abondamment votre foyer 🔥 soyez heureux 🇨🇵🇨🇵❤️❤️❤️❤️🔥

  • @user-ml5tq8hj2x
    @user-ml5tq8hj2x9 күн бұрын

    Mungu awaongoze kwenye ndoa yenu hakika mmependeza sana

  • @teresiamwita1788
    @teresiamwita17882 жыл бұрын

    Mungu awape maisha marefu jaman nawapenda sana sana 🌹🌹🌹🌹

  • @TM.Sullusi
    @TM.Sullusi2 жыл бұрын

    Hongera bro, nakumbuka Moro enzi hizoo🤜🤜

  • @fatmasalima3847
    @fatmasalima38472 жыл бұрын

    Mash Allah love is love 💘

  • @pilikhamis2924
    @pilikhamis29242 жыл бұрын

    Maashaallaah mungu awabarki milele

  • @bawazirtwalib1659
    @bawazirtwalib16592 жыл бұрын

    Hongera Sana kaka Petro

  • @princessharpy8636
    @princessharpy86362 жыл бұрын

    Please what is the name of the music???can someone help

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    Mashallah, hongera sana

  • @rackymayugi6815
    @rackymayugi68152 жыл бұрын

    Love it's all that matters. I wish one day I can find someone who will love me this way. Inshaa Allah

  • @glorymbwambo6650
    @glorymbwambo66502 жыл бұрын

    Mungu. Awaongeze na amuweke mbali shetan

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili96792 жыл бұрын

    Hongereni sana,

  • @kabukiadu
    @kabukiadu2 жыл бұрын

    Where is the entire wedding and also can somebody explain what he is saying please

  • @kadunawewe7248
    @kadunawewe72482 жыл бұрын

    Mungu awabarika

  • @nankingaflorence9501
    @nankingaflorence95012 жыл бұрын

    By this guy is handsome I love the his smile is so beautiful. Was it years of Joy or

  • @mdzainb3722
    @mdzainb37222 жыл бұрын

    Wacha weeeeee hongera sana 😃😃😃

  • @evavicent9116
    @evavicent91162 жыл бұрын

    Mdada mzurii

  • @ebbyf294
    @ebbyf2942 жыл бұрын

    I'm American, and she looked so sad dancing. Someone please tell me is this normal for women to look like this there

  • @fatmazullu4933

    @fatmazullu4933

    2 жыл бұрын

    @@julitabonganda2167 say with her husband not his husband!

  • @dottohamisi9844
    @dottohamisi98442 жыл бұрын

    Mashaallah ikawe yanye baraka

  • @HappynessJose

    @HappynessJose

    2 жыл бұрын

    Hongera Sana nawatakia family njema

  • @salamanauthartanzania6301
    @salamanauthartanzania63012 жыл бұрын

    Mashaallah Mashaallah Mashaallah

  • @sonnyr1899
    @sonnyr18992 жыл бұрын

    Congratulation bro

  • @elizabethkhayumbe1598
    @elizabethkhayumbe1598 Жыл бұрын

    Petro is so loving

  • @thabitiykitwana1271
    @thabitiykitwana12712 жыл бұрын

    Kweli nimianini miujiza hipo kwenye maisha

  • @mkingasana400

    @mkingasana400

    2 жыл бұрын

    Kweli mzee namim nasubir muujiza wangu

  • @neemanyerere5160
    @neemanyerere51602 жыл бұрын

    👏👏👏👏 wacha weee

  • @fettycute3939
    @fettycute39392 жыл бұрын

    🥰🥰🥰🔥🔥

  • @vaishemhina535
    @vaishemhina5352 жыл бұрын

    Mungu awambariki sana kwenye ndoa yenu

  • @aluteonlinemedia5574
    @aluteonlinemedia55742 жыл бұрын

    ❤❤❤

  • @sadahmbilinyi1888
    @sadahmbilinyi18882 жыл бұрын

    Hongeren san

  • @zainabzai8407
    @zainabzai84072 жыл бұрын

    Safi sanaaa hongereni

  • @sarungimatinde7063
    @sarungimatinde70632 жыл бұрын

    Wow nice

  • @hassinaalharthi5984
    @hassinaalharthi59842 жыл бұрын

    Utamtongoza kila siku usijali huyo wako mwenyewe

  • @hillyminajtv1257
    @hillyminajtv12572 жыл бұрын

    Na iyo mikono sasa

  • @faryhassany4043
    @faryhassany40432 жыл бұрын

    Nimeona Joyce anamtoa mkono asifute sms😁😁😁

  • @setiseti5281
    @setiseti5281 Жыл бұрын

    Maashaallah

  • @annamussa185
    @annamussa1852 жыл бұрын

    Fireeemotrooo.

  • @rwandaafrika6173
    @rwandaafrika61732 жыл бұрын

    Amen

  • @brendafassie9181
    @brendafassie91812 жыл бұрын

    Bora mitambo ifanye Maisha inasonga mbele

  • @christinamsuya5492
    @christinamsuya54922 жыл бұрын

    Wapareee jaman tuna mapenz ya kwel hatuangaliag pesa wala nn wala maumbile ya mwanadamu kikubwa upendo.....muachen joyce wetu

  • @annajustin1945

    @annajustin1945

    2 жыл бұрын

    Hakika mpare akipenda anamaanisha..na tunaogopa kutendwa... Joyce amefanya vyema..Sana huyo ni wakwake peke yake..kusalitiwa hapo ng'oo

  • @mwambatv5202
    @mwambatv52022 жыл бұрын

    Jamaa anadhani kumfuta machozi inasaidia kumbe anafuta makeup 😂😂😂😂

  • @clemmyamani7220

    @clemmyamani7220

    2 жыл бұрын

    Yani wewe mkaka umeona ee mkono ameondoa usiseme 😂😂😂 Ila hongera kwao mungu adumishe upendo 👏👏

  • @elizabethswai9670

    @elizabethswai9670

    2 жыл бұрын

    Nimejikuta nacheka kwa sauti

  • @zuenaaliy1925

    @zuenaaliy1925

    2 жыл бұрын

    @@elizabethswai9670 umeona nimecheka kwa sauti

  • @dorahpatrick6698

    @dorahpatrick6698

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @eusebiaurassa3417

    @eusebiaurassa3417

    2 жыл бұрын

    Daah jmn

  • @janemapoz6360
    @janemapoz63602 жыл бұрын

    Singeli inayohit kzread.info/dash/bejne/qayatsiuYMK5Zrg.html

  • @khadijakiba3587
    @khadijakiba35872 жыл бұрын

    Kumtongoza tena🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @joycemaige8683

    @joycemaige8683

    2 жыл бұрын

    Wana ndoa ni marafiki dear 😅

  • @ayoubmakori8680
    @ayoubmakori86802 жыл бұрын

    Hamna LOVE apo ni kipato tu kimefuatwa asowajua nan mademu wa bongo wapenda pesa kuliko utu pesa zikiisha utamwagwa mchana kweupe, Mungu anilipie hakika popote ulipo

  • @sistertrashid2488

    @sistertrashid2488

    2 жыл бұрын

    Sofia kakumwaga pole

  • @ayoubmakori8680

    @ayoubmakori8680

    2 жыл бұрын

    @@sistertrashid2488 si ndo wale wale wapenda pesa zikiisha wanasepa

  • @afraalex2366

    @afraalex2366

    2 жыл бұрын

    Umekarir

  • @mdzainb3722

    @mdzainb3722

    2 жыл бұрын

    Tafuta nawwe upendwe mbona povu 🤣🤣🤣🤣

  • @ayoubmakori8680

    @ayoubmakori8680

    2 жыл бұрын

    @@mdzainb3722 nipendwe mara ngapi sema kibongo bongo kwa jinsi alivyo uyo broo na bint mwenyewe aisee isingekuwa pesa walahi hakuna penzi apo, ata nchi za wenzetu twayaona Sana haya ispokuwa ni watu wenye vipato vyao sembuse Tanzania, kuna maemo wasema mwanaume tafta pesa lasivyo wanawake wazuri utaishia kuwaita shemeji, aliondoka kisa niliishiwa pesa na nikazipata tena na nikaoa tena ivyo yaani

  • @luqmanmbwambwa7127
    @luqmanmbwambwa71272 жыл бұрын

    Daaah

  • @evasadala7768
    @evasadala77682 жыл бұрын

    Hapo pesa imeoa tu lkn wanawake tu we wakweli

  • @petro8010

    @petro8010

    Ай бұрын

    Eva uko sahihi

  • @bennymalekanomalekano2989
    @bennymalekanomalekano29892 жыл бұрын

    Hapo ni pesa tuuuu demu mkali hvyo analia kimafki aonekane kamuelewa mchizi ....

  • @athumaniijengo2773

    @athumaniijengo2773

    2 жыл бұрын

    Kwel kbc c unaon hapo anapofutwa machoz anatoa mkono dhahir kbc ni unafik

  • @godknowsbetter.6352

    @godknowsbetter.6352

    2 жыл бұрын

    Hahahaha 😂🤣😂 kweli brother this 21th century hakuna upendo

  • @petro8010

    @petro8010

    Ай бұрын

    Pesa imeoa yes

  • @jeradyangulile3194
    @jeradyangulile31942 жыл бұрын

    We msifie tuu kashakojolewa na wajanja

  • @lucieomari2491
    @lucieomari24912 жыл бұрын

    🤣🤣🤣👌👌👌🔥🔥🔥🔥🥳🥳🥳🥳

  • @victorjohn2723
    @victorjohn27232 жыл бұрын

    Mambo ya kula uzazi

  • @jemsmdetele4707
    @jemsmdetele47072 жыл бұрын

    Mungu awabariki

  • @glorymbwambo6650

    @glorymbwambo6650

    2 жыл бұрын

    Wa bongo tunateseka jamaniiiii

  • @hallin9561
    @hallin95612 жыл бұрын

    Inaonesha jamaa ni sonco.

  • @elbahernandez9985
    @elbahernandez99852 жыл бұрын

    🤑 Money, money, money .

  • @manasekabusha7180
    @manasekabusha71802 жыл бұрын

    good love

  • @lucychacha3433
    @lucychacha34332 жыл бұрын

    Maskin kasahau hata yupo WAP mbingun au dunian

  • @Leahmjohn

    @Leahmjohn

    2 жыл бұрын

    hahah upako wa dada Joyce si mchezo

  • @marryjoseph9550
    @marryjoseph95502 жыл бұрын

    Me sijapenda kwa nn anamtoa mkono mshikaj😂😂

  • @athumaniijengo2773

    @athumaniijengo2773

    2 жыл бұрын

    Mie pia et

  • @abdulhaji2275

    @abdulhaji2275

    2 жыл бұрын

    Kabandika kope alihisi atapanguswa kwa nguvu halafu zitoke

  • @minskbelarus7255

    @minskbelarus7255

    2 жыл бұрын

    Alikuwa HAJAOSHA MIKONO kwa Sanitizer

  • @luciabazompora5269

    @luciabazompora5269

    2 жыл бұрын

    Aliona makeup itaisha

  • @teddytengia9876

    @teddytengia9876

    2 жыл бұрын

    Hata Mimi sijapenda kamtoa vibaya

  • @richardhosea8827
    @richardhosea88272 жыл бұрын

    Mtabaki kodo

  • @joshuasanga790
    @joshuasanga7902 жыл бұрын

    Tumesoma nae chuo IFM huyu dada

  • @walterbenedict7214

    @walterbenedict7214

    2 жыл бұрын

    Inawezekana

  • @joshuasanga790

    @joshuasanga790

    2 жыл бұрын

    @@walterbenedict7214 ndio tulikua tunakaa nae room mate wetu uyo sema ndo maisha

  • @walterbenedict7214

    @walterbenedict7214

    2 жыл бұрын

    Mwnme au mwnke?

  • @joshuasanga790

    @joshuasanga790

    2 жыл бұрын

    @@walterbenedict7214 mwanamke tulikua tunakaa nae nyumba moja tuliish as a family

  • @glorymbwambo6650

    @glorymbwambo6650

    2 жыл бұрын

    @@joshuasanga790 sawa

  • @irenelukumay877
    @irenelukumay8772 жыл бұрын

    hivo bidole vya bibi harusi

  • @neemanyomeye3405
    @neemanyomeye34052 жыл бұрын

    Maneno kuntu

  • @sophiajoyce8689
    @sophiajoyce8689 Жыл бұрын

    Pesa ni sabun yaroh

  • @Maunene-cage200
    @Maunene-cage2002 жыл бұрын

    Uchawi upo

  • @yakaramayaka1456

    @yakaramayaka1456

    2 жыл бұрын

    Mungu anakuona 😁

  • @lilianbenard4656

    @lilianbenard4656

    2 жыл бұрын

    Uchawi gani jamani

  • @mohamedmatogoro4067

    @mohamedmatogoro4067

    2 жыл бұрын

    Uchawi pesa

  • @simonmalegesi414

    @simonmalegesi414

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤸

  • @simonmalegesi414

    @simonmalegesi414

    2 жыл бұрын

    @@mohamedmatogoro4067 🤣🤣🤣🤣

  • @nasmawaziri1939
    @nasmawaziri19392 жыл бұрын

    Dada anafutwa machozi anamtoa mikono anajua jamaa anavyofuta kwa kusugua make up inafutwa😁😀😃sasa hyo lia huku unaangalia make-up ictoke ni ya kinafk

  • @user-qp4sm2ko1y

    @user-qp4sm2ko1y

    25 күн бұрын

    Na ni kwel😂😂

  • @habibatyntosso1436
    @habibatyntosso14362 жыл бұрын

    Hiyo mikono ya mwali ni sugu au ila umbea kazi 🤣🏃‍♂️🏃‍♂️

  • @hilynedist6891

    @hilynedist6891

    2 жыл бұрын

    Ndugu ka weupe

  • @zabibusaid5800
    @zabibusaid58002 жыл бұрын

    Nawapenda nyie

  • @emmadeprincetv6133
    @emmadeprincetv61332 жыл бұрын

    Madem wa kibongo ni wasenge sana... ngoja tuone ila Mungu awasaidiee

  • @jescarkinabo6281

    @jescarkinabo6281

    2 жыл бұрын

    Anyway wanaume endeleeni kutafuta pesa 🤣🤣🤣

  • @annajoseph9955

    @annajoseph9955

    2 жыл бұрын

    Tafta pesa huko ili tuache huo usenge

  • @umojawawatanzania3813
    @umojawawatanzania38132 жыл бұрын

    Unataka kufuta make up za watu?

  • @cainewilliam4646
    @cainewilliam46462 жыл бұрын

    Mbona huyu demu anautoa mkono wa mchizi as if wamegombana??

  • @minskbelarus7255

    @minskbelarus7255

    2 жыл бұрын

    Mchizi wako Angevuruga MAKEUP za mrembo. Hawa MADEMU bila makeup huonekana kama vinyago

  • @abutwalib-doffa3170

    @abutwalib-doffa3170

    2 жыл бұрын

    Anaguta make up

  • @neemasungi7849

    @neemasungi7849

    2 жыл бұрын

    Makeup ndo shida

  • @mwanahawasaid1561

    @mwanahawasaid1561

    2 жыл бұрын

    Angetoa kope ndo maana

  • @angelalphonce9368

    @angelalphonce9368

    2 жыл бұрын

    Analinda mekap

  • @capteinchuimchafu7894
    @capteinchuimchafu78942 жыл бұрын

    Vijana tutafute helaaa

  • @pagarekhan7311

    @pagarekhan7311

    2 жыл бұрын

    That it is

  • @claudiaclemence5121
    @claudiaclemence51212 жыл бұрын

    Alikuwa anamfuta makeup bhana,,

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya95062 жыл бұрын

    Bi harus hataki kushikwa😅

  • @sonnyr1899

    @sonnyr1899

    2 жыл бұрын

    Hataki makeup iharibike dada yangu

  • @annajoseph9955
    @annajoseph99552 жыл бұрын

    Wanaume taften pesa

  • @drisayaambulatoryvetclinic1514

    @drisayaambulatoryvetclinic1514

    2 жыл бұрын

    Sawa Anna Joseph kwa ushauri

  • @marysaimon3887

    @marysaimon3887

    2 жыл бұрын

    Umemichekeshaa

  • @annajoseph9955

    @annajoseph9955

    2 жыл бұрын

    @@marysaimon3887 kweli aisee watafte pesa

  • @tajimwambole3115

    @tajimwambole3115

    2 жыл бұрын

    @@annajoseph9955 kabisa pesa ndio kila kitu jamani. Upendo upo lakini pesa ni kigezo kikubwa sana sana.🤔🤔🤔hivi hapo asiwe na pesa japo ni uumbaji wa Mungu hatukatai hivyo alivyo ni Mungu bila pesa kumkubali ingekiwa shida sana .

  • @annajoseph9955

    @annajoseph9955

    2 жыл бұрын

    @@tajimwambole3115 kabisa Yani

  • @lydiakenya2814
    @lydiakenya28142 жыл бұрын

    🥰🥰🥰🔥🔥

  • @jamilasaid1764
    @jamilasaid17642 жыл бұрын

    Kweli chombo umeopoa

  • @aikakeenja3993

    @aikakeenja3993

    2 жыл бұрын

    Pesa ni jawabu

Келесі