PETRO WA CCM AFUNGUKA KUHUSU MKEWE, "JOYCE NI KIPOZEO CHANGU/NILITAMANI KUMTONGOZA TENA/MACHOZI"
Rafiki yetu Petro Magoti, ambaye ni mfanyakazi wa CCM Makao Makuu, Mnamo Septemba 4, 2021 alifunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu Joyce Mvungi.
Miongoni mwa waliohudhuria ibada ya ndoa hiyo ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan
Uongozi wa Ayo TV & Millardayo.com imetuma salaam za Pongezi na dua njema kwa ndugu Petro Magoti na mkewe Joyce.
Hapa nimekusogezea video kati ya yale yaliwafurahisha wageni waalikwa katika harusi hiyo baada ya Petro kupewa kipaza sauti kuzungumza maneno mbele ya mkewe
Пікірлер: 144
Waooh 🥰🥰🥰❤️❤️❤️❤️ Mungu awape kupendana na kisikilizana daima
Mmh !!!Mungu akusaidie dada usije ukamwacha huyo kaka kwani ndani yake nauona upendo wa dhati Sana kwako ,songa mbele usione Kama watu waonavyo Bali ona Kama Mungu aonavyo ,na Mungu awajalie mpate watoto wema
Mashaa'Allah nimewapenda pia Allah abariki ndoa yenu
Raha iko moyoni, pendo halina kificho Mungu awajalie, ndiye aliwachagua hivi walivyo PETRO na dadetu. Yetu macho kodo.
@princessharpy8636
2 жыл бұрын
Please what is the name of the song
@ambakisyemwakinunu2002
2 жыл бұрын
@@princessharpy8636 artist: stara tomas Song: mimi na wewe
Masha'allah tabaraka Rahman...murembo kweli💓
Ce Monsieur est vraiment attentionné,que Dieu bénisse abondamment votre foyer 🔥 soyez heureux 🇨🇵🇨🇵❤️❤️❤️❤️🔥
Mungu awaongoze kwenye ndoa yenu hakika mmependeza sana
Mungu awape maisha marefu jaman nawapenda sana sana 🌹🌹🌹🌹
Hongera bro, nakumbuka Moro enzi hizoo🤜🤜
Mash Allah love is love 💘
Maashaallaah mungu awabarki milele
Hongera Sana kaka Petro
Please what is the name of the music???can someone help
Mashallah, hongera sana
Love it's all that matters. I wish one day I can find someone who will love me this way. Inshaa Allah
Mungu. Awaongeze na amuweke mbali shetan
Hongereni sana,
Where is the entire wedding and also can somebody explain what he is saying please
Mungu awabarika
By this guy is handsome I love the his smile is so beautiful. Was it years of Joy or
Wacha weeeeee hongera sana 😃😃😃
Mdada mzurii
I'm American, and she looked so sad dancing. Someone please tell me is this normal for women to look like this there
@fatmazullu4933
2 жыл бұрын
@@julitabonganda2167 say with her husband not his husband!
Mashaallah ikawe yanye baraka
@HappynessJose
2 жыл бұрын
Hongera Sana nawatakia family njema
Mashaallah Mashaallah Mashaallah
Congratulation bro
Petro is so loving
Kweli nimianini miujiza hipo kwenye maisha
@mkingasana400
2 жыл бұрын
Kweli mzee namim nasubir muujiza wangu
👏👏👏👏 wacha weee
🥰🥰🥰🔥🔥
Mungu awambariki sana kwenye ndoa yenu
❤❤❤
Hongeren san
Safi sanaaa hongereni
Wow nice
Utamtongoza kila siku usijali huyo wako mwenyewe
Na iyo mikono sasa
Nimeona Joyce anamtoa mkono asifute sms😁😁😁
Maashaallah
Fireeemotrooo.
Amen
Bora mitambo ifanye Maisha inasonga mbele
Wapareee jaman tuna mapenz ya kwel hatuangaliag pesa wala nn wala maumbile ya mwanadamu kikubwa upendo.....muachen joyce wetu
@annajustin1945
2 жыл бұрын
Hakika mpare akipenda anamaanisha..na tunaogopa kutendwa... Joyce amefanya vyema..Sana huyo ni wakwake peke yake..kusalitiwa hapo ng'oo
Jamaa anadhani kumfuta machozi inasaidia kumbe anafuta makeup 😂😂😂😂
@clemmyamani7220
2 жыл бұрын
Yani wewe mkaka umeona ee mkono ameondoa usiseme 😂😂😂 Ila hongera kwao mungu adumishe upendo 👏👏
@elizabethswai9670
2 жыл бұрын
Nimejikuta nacheka kwa sauti
@zuenaaliy1925
2 жыл бұрын
@@elizabethswai9670 umeona nimecheka kwa sauti
@dorahpatrick6698
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@eusebiaurassa3417
2 жыл бұрын
Daah jmn
Singeli inayohit kzread.info/dash/bejne/qayatsiuYMK5Zrg.html
Kumtongoza tena🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@joycemaige8683
2 жыл бұрын
Wana ndoa ni marafiki dear 😅
Hamna LOVE apo ni kipato tu kimefuatwa asowajua nan mademu wa bongo wapenda pesa kuliko utu pesa zikiisha utamwagwa mchana kweupe, Mungu anilipie hakika popote ulipo
@sistertrashid2488
2 жыл бұрын
Sofia kakumwaga pole
@ayoubmakori8680
2 жыл бұрын
@@sistertrashid2488 si ndo wale wale wapenda pesa zikiisha wanasepa
@afraalex2366
2 жыл бұрын
Umekarir
@mdzainb3722
2 жыл бұрын
Tafuta nawwe upendwe mbona povu 🤣🤣🤣🤣
@ayoubmakori8680
2 жыл бұрын
@@mdzainb3722 nipendwe mara ngapi sema kibongo bongo kwa jinsi alivyo uyo broo na bint mwenyewe aisee isingekuwa pesa walahi hakuna penzi apo, ata nchi za wenzetu twayaona Sana haya ispokuwa ni watu wenye vipato vyao sembuse Tanzania, kuna maemo wasema mwanaume tafta pesa lasivyo wanawake wazuri utaishia kuwaita shemeji, aliondoka kisa niliishiwa pesa na nikazipata tena na nikaoa tena ivyo yaani
Daaah
Hapo pesa imeoa tu lkn wanawake tu we wakweli
@petro8010
Ай бұрын
Eva uko sahihi
Hapo ni pesa tuuuu demu mkali hvyo analia kimafki aonekane kamuelewa mchizi ....
@athumaniijengo2773
2 жыл бұрын
Kwel kbc c unaon hapo anapofutwa machoz anatoa mkono dhahir kbc ni unafik
@godknowsbetter.6352
2 жыл бұрын
Hahahaha 😂🤣😂 kweli brother this 21th century hakuna upendo
@petro8010
Ай бұрын
Pesa imeoa yes
We msifie tuu kashakojolewa na wajanja
🤣🤣🤣👌👌👌🔥🔥🔥🔥🥳🥳🥳🥳
Mambo ya kula uzazi
Mungu awabariki
@glorymbwambo6650
2 жыл бұрын
Wa bongo tunateseka jamaniiiii
Inaonesha jamaa ni sonco.
🤑 Money, money, money .
good love
Maskin kasahau hata yupo WAP mbingun au dunian
@Leahmjohn
2 жыл бұрын
hahah upako wa dada Joyce si mchezo
Me sijapenda kwa nn anamtoa mkono mshikaj😂😂
@athumaniijengo2773
2 жыл бұрын
Mie pia et
@abdulhaji2275
2 жыл бұрын
Kabandika kope alihisi atapanguswa kwa nguvu halafu zitoke
@minskbelarus7255
2 жыл бұрын
Alikuwa HAJAOSHA MIKONO kwa Sanitizer
@luciabazompora5269
2 жыл бұрын
Aliona makeup itaisha
@teddytengia9876
2 жыл бұрын
Hata Mimi sijapenda kamtoa vibaya
Mtabaki kodo
Tumesoma nae chuo IFM huyu dada
@walterbenedict7214
2 жыл бұрын
Inawezekana
@joshuasanga790
2 жыл бұрын
@@walterbenedict7214 ndio tulikua tunakaa nae room mate wetu uyo sema ndo maisha
@walterbenedict7214
2 жыл бұрын
Mwnme au mwnke?
@joshuasanga790
2 жыл бұрын
@@walterbenedict7214 mwanamke tulikua tunakaa nae nyumba moja tuliish as a family
@glorymbwambo6650
2 жыл бұрын
@@joshuasanga790 sawa
hivo bidole vya bibi harusi
Maneno kuntu
Pesa ni sabun yaroh
Uchawi upo
@yakaramayaka1456
2 жыл бұрын
Mungu anakuona 😁
@lilianbenard4656
2 жыл бұрын
Uchawi gani jamani
@mohamedmatogoro4067
2 жыл бұрын
Uchawi pesa
@simonmalegesi414
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤸
@simonmalegesi414
2 жыл бұрын
@@mohamedmatogoro4067 🤣🤣🤣🤣
Dada anafutwa machozi anamtoa mikono anajua jamaa anavyofuta kwa kusugua make up inafutwa😁😀😃sasa hyo lia huku unaangalia make-up ictoke ni ya kinafk
@user-qp4sm2ko1y
25 күн бұрын
Na ni kwel😂😂
Hiyo mikono ya mwali ni sugu au ila umbea kazi 🤣🏃♂️🏃♂️
@hilynedist6891
2 жыл бұрын
Ndugu ka weupe
Nawapenda nyie
Madem wa kibongo ni wasenge sana... ngoja tuone ila Mungu awasaidiee
@jescarkinabo6281
2 жыл бұрын
Anyway wanaume endeleeni kutafuta pesa 🤣🤣🤣
@annajoseph9955
2 жыл бұрын
Tafta pesa huko ili tuache huo usenge
Unataka kufuta make up za watu?
Mbona huyu demu anautoa mkono wa mchizi as if wamegombana??
@minskbelarus7255
2 жыл бұрын
Mchizi wako Angevuruga MAKEUP za mrembo. Hawa MADEMU bila makeup huonekana kama vinyago
@abutwalib-doffa3170
2 жыл бұрын
Anaguta make up
@neemasungi7849
2 жыл бұрын
Makeup ndo shida
@mwanahawasaid1561
2 жыл бұрын
Angetoa kope ndo maana
@angelalphonce9368
2 жыл бұрын
Analinda mekap
Vijana tutafute helaaa
@pagarekhan7311
2 жыл бұрын
That it is
Alikuwa anamfuta makeup bhana,,
Bi harus hataki kushikwa😅
@sonnyr1899
2 жыл бұрын
Hataki makeup iharibike dada yangu
Wanaume taften pesa
@drisayaambulatoryvetclinic1514
2 жыл бұрын
Sawa Anna Joseph kwa ushauri
@marysaimon3887
2 жыл бұрын
Umemichekeshaa
@annajoseph9955
2 жыл бұрын
@@marysaimon3887 kweli aisee watafte pesa
@tajimwambole3115
2 жыл бұрын
@@annajoseph9955 kabisa pesa ndio kila kitu jamani. Upendo upo lakini pesa ni kigezo kikubwa sana sana.🤔🤔🤔hivi hapo asiwe na pesa japo ni uumbaji wa Mungu hatukatai hivyo alivyo ni Mungu bila pesa kumkubali ingekiwa shida sana .
@annajoseph9955
2 жыл бұрын
@@tajimwambole3115 kabisa Yani
🥰🥰🥰🔥🔥
Kweli chombo umeopoa
@aikakeenja3993
2 жыл бұрын
Pesa ni jawabu