PENZI LA BODA BODA PART 1 | love story 💕 | NYUKI TV
Nyuki ni kijana anaejitafutia maisha kwa kuendesha Bod boda,Ananzisha mahusiano na Amanda mwanamke anapenda Pesa
Write& Directed by
NYUKI FX
Producer
Shaida Sabai
Director of Photography
Nyuki FX
Line Producer
Prolens Media
Songs
Y voo
muddy Best
Casting
Derick Gerald
Adam Leo
Grace achie
Zawadi Derick
Contact Us
phone number +255 768 654 526
Email nyukitv@gmail.com
Instagram: @nyuki_tv/ @iam_nyukifx
#dontatv #mapenzi
#penzilabodaboda #ndoayakahaba #episode #episode1 #ndoayakahaba #episode07 #dontatv #keshoyangu #nyukitv #malayalam #instagram
Пікірлер: 371
Habari familia Kutokana na changamoto zilizo nje ya uwezo wetu NYUKI TV tunaomba radhi kwa kuchelewesha muendelezo wa tamthilia ya NDOA YA KAHABA (9). Na kwakuwa tunawajali tutaendelea kuwapa filamu zetu mpya kila siku hivyo baki na sisi ukiendelea kufuatilia BURUDANI ZETU! Tunawapenda sana. Karibu sana Endelea kusubri Mwendelezo hivi karibuni tutawawekea
@mkapakifoda8936
Ай бұрын
Bro nyuki respect mwamba 💪
@mkapakifoda8936
Ай бұрын
Hii umetisha kaka
@neemaneychricious6493
Ай бұрын
nakukubal sana broo
@rajabuabdallah7283
Ай бұрын
Ndovijana mjifunze apo mnaopenda mteremko
@appsplay4324
28 күн бұрын
Much ❤❤❤❤
Haijawa hi tokea mchepuko amshinde mke wanani thamani ilo nifunzo kubwa sana Asante Adam na nyuki mafunzo mazuri
@Nailaty564
28 күн бұрын
Huwa inatokea Kwa mwanaume mpumbavu Mie mume wangu aliwahi kuchukua hadi cm yangu na kumpelekea mchepuko yalinishinda nikamwacha na mchepuko wake
@Mpakauseme
27 күн бұрын
Pengine unashida lakini haujifahamu @@Nailaty564
@mariagrayson5414
25 күн бұрын
Hatri sana
@Zainab_salat
22 күн бұрын
@@Nailaty564 pole wako pamoja au?
@HamisiForogo
6 күн бұрын
Inatokea Sana sana tu Ni wachache Sana kujua kuchepuka na kuthamini mke wa ndani Ila hatari sana hutokea mchepuko kuzidi mke
Masha allah nimeipenda jaman tuweni na subra kwenye ndoa zetu kila kitu kitakaa sawa
Tunataka ndoa ya kahaba sisi
Wa elfu ishirini jmn naombeni like kumi tyuuu
Amada umejiaribia mwana mke hajaubwa kwakutumikia waume wawli,,,pole
Wanaume tunafeleli wapijaman tujitahidi sana kuheshimu ndowa zetu mutusamehe sanakwama kosatunayo wakosea mungu atuongoze kwenyendoa zetu 🙏🙏🙏🇿🇲
@FatimaFatima-bx8ez
25 күн бұрын
Amin 🙏 🙏 🙏 ❤
@user-rk6sp6ks5e
22 күн бұрын
Amiin
Adam nakupenda sana,,,,Yani unajua na unajua Tena utafika mbali mno narudia unajua sana ❤️❤️
@AdamLeoStudios
Ай бұрын
Asante
@christinawilliam5174
Ай бұрын
Ikikupendeza naomba niweke kwenye kikundi chako sijui nakupataje
Huyu mwamba anajuwa lakni anazngua make series zake hamalizii especially ndoa ya kahaba
@mirnababy5012
Ай бұрын
Kwakweli
Duuu wee mwanamuke Acha kumukula roho nyuki wetu sio kwa maneno hayo yanaumiza roho ujuwe😢❤🇧🇮
@user-qq6mv6vh3e
14 күн бұрын
Si amependa kulelewa acha yamkute😂😂sasa
Ndoa ya kahaba malizia 🙏
Adam leo na nyuki nvyuma vya kuotea mbali Ana sauti kama ya Rk
@zahraali5113
27 күн бұрын
😂😂😂 kaka ana sauti yule looooo 😊😊😊
@user-jf9pt8bu5j
22 күн бұрын
@@zahraali5113nampenda sana RK
ata kama mume wangu ana pesa siwezi mzarau ivyo mapenzi ni kuvumiliana sana kwenye shida na raa
@MillicentMbindi-jp2rn
27 күн бұрын
Apo umenena dear heshima Kwa ndoa n mzuri
@AbelFrancis-ww7cb
22 күн бұрын
Chukuwa soda nakuja kulipa
@Samweli_William_Muvunyi
20 күн бұрын
Hata kama ana pesa au hata kama hana pesa? Nyoosha vizuri Kiswahili
Wanani wanaishubiri ndoa ya malaya tujuwane🎉🎉🎉🎉apa😂😂😂😂😂😂
@aaminaasljbgbvf745
29 күн бұрын
👍👍🤣
@user-cn9tw7yi3h
27 күн бұрын
😂😂😂😂😂👍👍👍
Huyu mdada mzuri san
Like zanini ?na uzipeleke wapi?
@RizikiZiki
Ай бұрын
Apo chacha utasemwa zinalipwa nahazina faida yeyote 😂
😂😂Adam kuwa mkweli 😂😂😂 wanaume mungu Ana waona
Brother ..Adam uyu manzi... anaitwa Amanda she's talented 🎉🎉
@Chereonlinetv
29 күн бұрын
Shukran Sana
@MatiascosmechinembaMatia-jw3zt
6 күн бұрын
É verdade
Yaan mchepuko anapewa kandi ya benk 😂daaah ndoa sihitaji jmn🙌🙌🙌
@user-sv6zy3hc8o
Ай бұрын
Umeomba poo
@user-dm7mp2uq6u
Ай бұрын
Kisha mke ukiomba pesa unapewa maneno ya hovyo 😂😂😂
@MoorhBoont
Ай бұрын
😂😂
@JesckaJuniortz
13 күн бұрын
We hiyo ni move uxije ukajaribu utaixhiya kufaidi jaxhooo
Brother nyuki mwendelezo wa ndoa ya kahaba tusaidie tafadhaliii
Siku zote mume wa mtu ni mume wa mtu tu jmn kipo cha kujifunza
Tunataka mwendelezo wa ndoa ya kahaba
jamnii tunaefwatilia mabus tujuanee
kazi nzuri sanaa, Adam nyota inazidi kung'aa, Kongole nyingi sana kwa Amanda na washiriki wote. Endeleeni kutuletea burudani zaidi. I'm prod to be one of favourite FANs 🖐🖐
Alafu uyu bwege ako na mke mzuri kweli kidoti kama joket umalaya bna
Nimekumbuka mbari Sana,,,ilishawai kunitolea hii yaani naona Kama mliigiza kwa niaba yangu dàah Ila yote na yote movei ni nzuri na waigizaji pia mpewe mauwa yenu hujawai kuharibu Kaka one love❤❤❤
Mke WA ndoa ni wandoa tu wanaume hamna wema 😂😂😂
No 4 jamani naombeni likes zangu teem nyuki mko wapi
@abdallaomar4487
Ай бұрын
😂
@AdelaideZacariasZacarias-hp8gs
28 күн бұрын
Tupo hapa
@MonicaAxwesso
10 күн бұрын
Nawapa maua yenu nyote
pole sana jmn Hila nimoto 👆💯👌👌👌
Good job inamafunzo sana🔥🔥🙏
Ndio maan sipendi maboda boda mimi yani hawatumii akili jamani 😂😂
Nyuki brother tafuta pesa.alafu Adam umeuwa kinoma pokeya mauwa yako kwenye part ya mapenzi unajuwa
Kama umemuona master chabo gonga like
@estherezzy136
26 күн бұрын
😂😂😂😂
Kipara akina akili ata moja ,kipara chazingatia penzi lake tu😂😂😂💔
Wanawume washenzi sana kwajili yatama yawo ila mungu atatulipia kwa ushenzi wenu hamuna huruma kama sisi 😢😢😢😢
hahahahaahah daaah hatriiii nzuriii snaa hii eti huyo mwanaume ana upunguf wa akili daah hahaah amandaa upo vzr my sister
@Chereonlinetv
29 күн бұрын
Asante sana
Hatakama kuigiza hayo mabusu sasa
@Aidhjuma
27 күн бұрын
Daah kwakweli hii kazi hapana labda mfanye mke na mme
@minnahjuma-uo3cm
22 күн бұрын
Yaaan🤗
Wazigua njooni huku tujuane tumewakilishwa na huyu dada 😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Hii kolabu ni kali sanna wakuu❤❤❤
Daaa adamu mkeo ndo wife material ila huyo mchepuko wako unakulia pessa zako .daaaaa ila sisi wanaume mungu atupe mwisho mwema
Nakubali kazi zako bro adam
Dada hakuna kitu kinauma kujikuta hela ndo kikwazo cha kukunyima amani ya moyo🎉🎉🎉
Mmh jamaniii sisi masingle tufanyeje ety😂😂
@mariaphilipo
Ай бұрын
Tupambane na hali zetu sis mayatima wa mapenzi 😂😂😂yani adi nimetamani kumpenda mtoto wa mtu
@user-zk1sc8fi5p
Ай бұрын
Pole 😂😂😂😂😂
@khadijashabani6167
26 күн бұрын
😅
Hayo ndoo maamuzi mazuri na kauli ya kiume huacha ujinga na kusimamia ndowa yako
Amanda ameigiza vizuri sana jamani anajua kuomboleza na anafaa kuwekwa kwenye scene za maombolezo , Hongera sana Amanda..
@Chereonlinetv
27 күн бұрын
Asante kipenz
Wauuuu🎉🎉🎉❤❤❤
😂😂😂😂 haaaa anakupenda kuliko mke wake heee😂😂
Napenda sana filamu za adam mana zinautulivu na mafunzo pia❤🎉much love from saudi 🇸🇦 arabia nawapenda 😊😊❤❤😢😢😢
Ume vumilia sana KBS ndodunia hiyo mzunguko nakupenda dada🎉 👏 ulicheza fasi nzuri sana ❤️
Wazeee ni kipande lakini ni ya moto Adamu kula chuma ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Mume wa mtu bhana mara shwaaaaaaa penzi ni 🔥🔥🔥🔥 mara shwaaaa penzi kwisha..kazi nzuri
Nimejifunza kitu kupitia hii movie hongereni sana
Iyo wimbo jamani ❤ naomba mwenye anajua anielekeze🙏
Yaan uyu Amanda analia km m2 kalewa
Movie nzuri sanaa na inamafunzo mazuri pia❤❤
@neemamabena-xx5er
Ай бұрын
Eti bayb we ni mtamu 😄😄😄 nyuki alivoshtuka xaxa 😁😁
Wanaume nyinyi aky anyway mume WA mtu sumu Amanda kama Kwa kutulia😂
Nyuki nakuelewa sana una kazi chap nashukulu KWA kupata movie ya kuangalia
Kazi nzuri sana
❤❤❤❤kazi mnzuri mashaailah tamu imebeba mafundisho mazuri sana zsidi ya sana ongers kaka adamu
Kazi nzuri sanaaa
Na mim nigefanya kitu iyi movies mzuri sana
Kazi Iko sawa kabisa nawakumbali kweli team Nyuki ❤❤ from 🇰🇪
huo ni mke bro anaeshima kinyama mtu hata kama unachepuka unaweza ukajikuta unaacha big up mama kijacho
Wha yaani mapenzi yapeza wamama twesimu wanaume wetu vile walivyo hikiwa Hana peza ama anayo peza
Nice movie
Kazi nzuri sana asanteni🙏
Kwa kweli unajua 🎉🎉😅Amanda hatari nmeipenda
@Chereonlinetv
29 күн бұрын
Asante sana
Nzuri sana
Team Nyuki Much Love From Burund ❤️❤️❤️
From kenya 🇸🇸 naomba like zngu 🤣❤
Amanda anajua kuigiza anajua anajua tena move nzuri sana
@Chereonlinetv
27 күн бұрын
Asante sana
Nakukumbukasana nailed muvi kihoro,
Nyuki pole, mapenzi Bila pesa haiendi
Weee huu uongo jamaniii 😂😂😂Adam nakupendabure🎉🎉🎉
Mkewe ni nadhifu mzuri na msafi zaidi.Ila Tamaa mbaya sana
@SaidiDanieli
10 күн бұрын
Kweli tamaa ndy mbaya ilani pisi kali sana
Kaka adam unatufundisha sana kupitia kazi zako hizi ila mazingira ya kuigizia jaribu kuyafanya yawe ya tofautitofauti movie nyingi unaigizia mazingira yaleyale
MashaAllah Adam ndio huyo nakupenda Bure ❤❤❤❤❤kakangu
Hyu amanda anajuaa
@MatiascosmechinembaMatia-jw3zt
6 күн бұрын
Kweli
Kazi iko poa sana❤❤😂😂🎉🎉
Mwanaume bila pochi walai n zarau
Nnzur jaman🎉
Kaz nzuri sana ila naomba kujua jina la huu wimbo wa humu na msanii plz🙏kaimba vzur sna
Ni nziri safi sana imeisha vibaya,....
Kazi nzuri nyuki keep going 👏
Kazi njema
Kazi nzur sana 👏👏👏👏
Movie nzuri sana adamu unajua sana
Kk Adam mabysu yamekulegeza
Wanaume moto wenu mungu anao yan unamuacha mkeo wa ndoa na mimba juu jaman na wanadoa wakiume ndo wanaogoza kutoka inje ya ndoa nakuharibu afya ya family
Jamani walimpenda Amanda alivyocheza Ameitendea haki sehemu yake imemfiti ....tumpe mauwa yake
kaka story yake ni kali saaana Mungu azidi kukuinua
nimependa sanaaaaa❤❤❤❤❤ kunanoga
🔥🔥🔥
🔥🔥🔥👍👍👍
Jamani weeeee, nimerudi tena hapa
Hongera sanaa nyuki kwa kazi nzur sanaa 🎉🎉❤❤
Huyu Amanda nilimpenda tangu kwenye movie ya Kelvin Kesho yangu the way anaongea anajua jamani cyo siri♥️♥️
Napenda Hy kaka anavyo ongea jmn❤
Mnaweza Japo kdg
Jamn amanda anajua kuigiza nimempenda bure
@Chereonlinetv
27 күн бұрын
Asante sana