Pastor Ndacha Uso Kwa Uso Na Dr Sulle Wakutana Tena Na Haya ndio Mazungumzo Yao
QIBLATEIN ONLINE Ni channel ya dini ambayo inajihusisha na kukusanya taarifa za kidini kutoka Tanzania na huripoti matukio yote ya ndani ya Tanzania kila siku kupitia FACEBOOK, INSTAGRAM KZread @QiblateinOnlineTv)
🙏🤝Tafadhali🙏Subscribe #qiblateinonlinetv #ili uwe sehemu ya familia hii muhimu.
INSTAGRAM 👉👉 / qiblatein_online_
FACEBOOK👉👉 profile.php?...
TIKTOK 👉👉 www.tiktok.com/creator-center
Пікірлер: 70
Ndacha mungu akup maisha marefu
Nyie 😂😂😂ndacha na sule mnatuzuga tu Ila anafurah sana Tanzania 🇹🇿 yetu napenda mno tunapendana tuna Amani ya dini zetu doctor sule mtata sana Ila kumbe nimegundua mpole sana mchana Mungu w kweli. Asante Sana pastor mh ndacha. Hongereni sana hakika vitu nyenu vipo mbinguni. Mbarikiwe sana
Angekuwa ostadh kinyogoli na kina ostadh shafii ingekuwa nzuri sana 🙏🤲
@umdtv2749
28 күн бұрын
Waliahidi kufanya mdahalo ila siku walio haid waigoma kuja
❤❤shikamo ndacha ww ni kamanda wa Bwana.
ALLAH AKBAR
Mungu atubariki tushinde
Nimewapenda sana wote nyie ni roll modo wangu kwenye imani
Hamna lolote Ndacha hawezi kukubali na Wewe Sule siku hizi umeiegemea dunia zaidi hakutakua na amaajabu yoyote tangazeni biashara zenu tu lakini hakuna wakuelemisha mtu hapo
😢😢😢
Bro jetayarishe kuwa mkristo I now dacha
Wote wawili ni wiizi kila mwaka watowa maneno tu hakuna moja anasilimu
Naomba kwenye huu mjadala Kinyogoli awepo
Shika Imani yako wala asije mtu akaichukuwa wala kuitingisha.
@JamesMoses-jd1yq
29 күн бұрын
kuwa mtumwa wa Muhammad Kisa waarabu ni dhambi kubwa
Lakini huyu Ndacha anazungumza kiswahili kama mtanzania
Professa mazinge asikose tafadhali dr.sule
@user-go1rl6bb1z
Ай бұрын
Aje apate dose.
Na hiyo siku yaweko maji kabisa kwenye kisima ya kuwabatizia makafiri waislamu maana najua Mwalimu Ndacha atawagalagaza tena kama alivyo wagalagaza mwezi wa 12 mwaka 2023
@user-ce9tz8mo4b
Ай бұрын
Wew ni kafiri kwa waislamu na mim nikafir kwako lkn swali linakuja je ukafir wangu mim ni ukafiri kwa mwwnyezimungu?
@ramadhanmahongole9293
Ай бұрын
@@user-ce9tz8mo4b ndio wewe na waislamu wenzio ni kafiri kwa mwenyez Mungu unapinga dini ya kweli ya mwenyezi Mungu ya ukiristo unang'ang'ana na dini iliyo letwa na mpotoshaji wa kiarabu mhammad ambae siku ya khiama atahukumiwa kwa kupotosha umma hivyo yeye mhammad na wafuasi wake wote watatupwa kwenye moto wa jehannam siku ya khiama
Mkurugenzi mchawi c wakiislamu
Hatimae pete imemleta ndacha kw mara nyingine yangu macho tu iyo siku ndacha anasema kumekuchu 😂😂😂 cijui ni kweli🙄
Ndacha mkali kama umeme
Kumbe midahalo nimizuri sana Mmemsikia sule akisema Torati, injili na zaburi ziko kwa kitabu kinaitwa biblia? Kumbe alielewa. Hongera sana sule
@RamadhaniLukambuzi
Ай бұрын
Sio kwamba kakufurahisha bali katumia hekima hapo kawastiri kiana labda nikueleze kwamba katika dunia ya leo hakuna vitabu hivyo hasilia na hata kama vingekuwapo visingekuwa na nafasi ya kutumika kwa sababu Umma wake ulisha pita kwa Wana wa Israel na hivi sasa ni Ummati Al Quran hizo habari za Injili zilikuwa kwa ajili ya Wana wa Israel kipindi cha Yesu karne ya sita,Zaburi nayo hivyo ilikuwa ni kwa ajili ya hao hao Wana wa Israel na Taurati hivyo hivyo,Sasa Wewe na Wenzako kuanzia karne ya 7 mpaka kihama Kitabu chetu sote ni Quran haijalishi unaikubari au unaikataa na Mtume wa watu wote ni Mtume Mohammad (S.A.W) haijalishi munajifanya hamsikii lakini kila munapoingizwa ndani ya makaburi yenu hizi habari munakumbana nazo na kibano juu,Kwahiyo mtu yeyote anaye ifuata Injili,Taurati na Zaburi hivi leo maana yake hao watu wamepotea kiimani kwa sababu havikuwa ni Vitabu vya ulimwengu mzima.Someni vitabu ili mukae katika njia iliyonyooka ya Uislamu na Mwenyezi Mungu anasema kwamba mtu anayetaka dini kinyume na Uislamu matendo yake hayatakubarika siku ya mwisho,Quran 3:83 ukifa kwa njia ya Msalana utakuwa umekula hasara kwa Mola wako kwa sababu hiyo ni njia ya laana,WAGALATIA 3:13 soma ili uache ushabiki wa dini bila kuelewa na pale munapojidanganya heti Yesu aliwabebea mizigo ya madhambi yenu;huo ni uzushi,WAGALATIA 6:5 kama mtu ni malaya atabeba mwenyewe mzigo wake,mchawi abebe kago lake,Yesu hayumo kwenye uchafu wenu.YESU ALIKUWA NI MUISLAMU ALIKUWA AKIINGIA KWENYE MISKITI YA WAYAHUDI,MARKO3:1-19 Nyie leo munaingia Kanisani;Je munamfuata nani Kanisani?Soma Bibilia zote hakuna andiko hata moja lisemalo kwamba Yesu alikuwa akisoma misa kanisani hakuna ,LUKA6:6
@user-go1rl6bb1z
Ай бұрын
Waislam wanajua ukweli wote ila wao n undongo wa kipinga tu.
Hiyo ni sehem ya profes mazingi yani kutanoga zaidi ..
@ramadhanmahongole9293
Ай бұрын
Mazinge kasha zeeka saiv hana jipya kasha fanya debate nyingi na Mwalimu ndacha kagalagazwa hivyo Ndacha sio level ya mazinge tena ndomana anatafuta wahadhili wengine wakubwa zaidi ya mazinge
Mh!
🤣🤣🤣🤣 masha'allah
Yan ndacha hata majubu unayo mjibu sull hapa yanamtishia sulle.
Mchawi vs jini wake.
Mwalimu Ndacha wapige spaner hao makafiri wa kiarabu
@user-go1rl6bb1z
Ай бұрын
ila tuwaombee wamjue yesu wamepotea hawa wut.
pete😢
Tunasubiria
Ata kama unajua kujiandaaa ni muhimu
Abubakar zidi kufundishwa na majini
Kwani mh sule atakuja na jini moja😂😂
Chanal gani itaoneshwa
@user-go1rl6bb1z
Ай бұрын
BND TV.biblia nuru ya dunia.
Allah amesema kua tusiwafanye vipenzi wale ambao kua wanaipiga vita Dini ya Allah, ila wewe doctor sule unasema uyo nikipenzi chako, umepotea kifikra baba.
@ayubutwalbu6594
Ай бұрын
Wewe bado maandko huyajui jitahidi usome sule yupo sahihi na anajitihada katka dini wewe unajitihada gani mbona mnapenda kubeza tu
Abuubakar acha ujinga mshirikina umemuona?
Tunaomba channel zitakazokuwa hewani
Shekhe nilikua nakukubal sn lkn ulivyo ongea ujing wako mshirkin
@user-go1rl6bb1z
Ай бұрын
Cio mjinga nakama amekosea bc Quran yenyewe inamakosa sababu sulle alicho zungumza alitoa ndani ya Qurani.
Sule, ni Mwana wa Mungu ndiye aliyekufa wala sio Mungu Baba. Mungu Baba hajawahi kuonekana wala hapatikani na mauti Hivo yeye hajafa ila mwanawe ndiye kafa kishe Mungu Baba kamfufua Mwana wa Mungu ni Mungu wewe sule, hiyo hujui? Mwana wa mbuzi si ni mbuzi, Mwana wa simba sini simba Vivo hivo Mwana wa Mungu ni Mungu Simple. Bt polepole utafundishwa na utaelewa tu
@user-mc2xd4eu2p
Ай бұрын
mbuzi akizaa mbuzi wanakua mbuzi wangapi? Kwa hoja hii Mungu Kazaa mungu hivyo mnaabudu mungu wa ngapi ? kwa imani yenu mungu wa ngapi?
@user-ru4cy1ob8k
Ай бұрын
Soma hiyo, mithali 8:22_30 Yesu kazaliwa na Mungu Baba kabla dunia kuumbwa, upo?
@user-ru4cy1ob8k
Ай бұрын
1wakorintho 8_6 soma hiyo
@user-mc2xd4eu2p
Ай бұрын
@@user-ru4cy1ob8k mungu Kazaa mungu kwa hiyo mungu wa ngapi?
@user-ru4cy1ob8k
Ай бұрын
@@user-mc2xd4eu2psoma andiko la pili utajua. Usibishe utaelewa tu maana nyie waislam hamna hii elimu
Dokta sule waislam tunakukubali nyie ndio wanachuoni wetu ila ubinaadamtu
@user13375
Ай бұрын
Majini nayo ni ndugu zenu ?
Abubakari ww usiende acja kushawishi ujinga wako kichwa kimekushuka kafiri ww
Sure mshirikina Na ndacha kafiri wote wanamkufuru Allah waislamu musiende kwenye mdahalo wao huo
@mudiali4506
Ай бұрын
Weewe ni elimu zero ujitokeze wakujuwe wa kuskilizie huo ujuwaji wako wa kujificha Ili wakufuate Tatizo ni elimu
@yusuphibrahim-yq9mv
Ай бұрын
Siimuhimu sana kusema hayo kwa sasa
@bibliakweliyaduniayote1137
Ай бұрын
Sura ya majini inafanya nini kwa quran
@myunaniniahmad6463
Ай бұрын
😂😂😂
@jihan992000
Ай бұрын
Chuki yanini wewe
Hiyo ni sehem ya profes mazingi yani kutanoga zaidi ..
@ramadhanmahongole9293
Ай бұрын
Mazinge hawezi kasha choka mzee wa watu hawezi kushindana na mw /Ndacha