Pastor Ndacha Uso Kwa Uso Na Dr Sulle Wakutana Tena Na Haya ndio Mazungumzo Yao

QIBLATEIN ONLINE Ni channel ya dini ambayo inajihusisha na kukusanya taarifa za kidini kutoka Tanzania na huripoti matukio yote ya ndani ya Tanzania kila siku kupitia FACEBOOK, INSTAGRAM KZread @QiblateinOnlineTv)
🙏🤝Tafadhali🙏Subscribe #qiblateinonlinetv #ili uwe sehemu ya familia hii muhimu.
INSTAGRAM 👉👉 / qiblatein_online_
FACEBOOK👉👉 profile.php?...
TIKTOK 👉👉 www.tiktok.com/creator-center

Пікірлер: 70

  • @FunnyHermitCrab-gh4sw
    @FunnyHermitCrab-gh4sw27 күн бұрын

    Ndacha mungu akup maisha marefu

  • @victoriamtangi3287
    @victoriamtangi3287Ай бұрын

    Nyie 😂😂😂ndacha na sule mnatuzuga tu Ila anafurah sana Tanzania 🇹🇿 yetu napenda mno tunapendana tuna Amani ya dini zetu doctor sule mtata sana Ila kumbe nimegundua mpole sana mchana Mungu w kweli. Asante Sana pastor mh ndacha. Hongereni sana hakika vitu nyenu vipo mbinguni. Mbarikiwe sana

  • @Bombwejr18
    @Bombwejr18Ай бұрын

    Angekuwa ostadh kinyogoli na kina ostadh shafii ingekuwa nzuri sana 🙏🤲

  • @umdtv2749

    @umdtv2749

    28 күн бұрын

    Waliahidi kufanya mdahalo ila siku walio haid waigoma kuja

  • @delickmarco3945
    @delickmarco3945Ай бұрын

    ❤❤shikamo ndacha ww ni kamanda wa Bwana.

  • @HamzaMussa-hu3nz
    @HamzaMussa-hu3nzАй бұрын

    ALLAH AKBAR

  • @pwezapwezafelix7222
    @pwezapwezafelix7222Ай бұрын

    Mungu atubariki tushinde

  • @silveriusfungilwa5995
    @silveriusfungilwa5995Ай бұрын

    Nimewapenda sana wote nyie ni roll modo wangu kwenye imani

  • @abasmwika3432
    @abasmwika3432Ай бұрын

    Hamna lolote Ndacha hawezi kukubali na Wewe Sule siku hizi umeiegemea dunia zaidi hakutakua na amaajabu yoyote tangazeni biashara zenu tu lakini hakuna wakuelemisha mtu hapo

  • @AyubuRamadhani-wz4gk
    @AyubuRamadhani-wz4gkАй бұрын

    😢😢😢

  • @StephineOlale
    @StephineOlaleАй бұрын

    Bro jetayarishe kuwa mkristo I now dacha

  • @abujole3992
    @abujole399226 күн бұрын

    Wote wawili ni wiizi kila mwaka watowa maneno tu hakuna moja anasilimu

  • @zigzag4487
    @zigzag4487Ай бұрын

    Naomba kwenye huu mjadala Kinyogoli awepo

  • @victoriamtangi3287
    @victoriamtangi3287Ай бұрын

    Shika Imani yako wala asije mtu akaichukuwa wala kuitingisha.

  • @JamesMoses-jd1yq

    @JamesMoses-jd1yq

    29 күн бұрын

    kuwa mtumwa wa Muhammad Kisa waarabu ni dhambi kubwa

  • @otaibonny8835
    @otaibonny883528 күн бұрын

    Lakini huyu Ndacha anazungumza kiswahili kama mtanzania

  • @halimazubeir
    @halimazubeirАй бұрын

    Professa mazinge asikose tafadhali dr.sule

  • @user-go1rl6bb1z

    @user-go1rl6bb1z

    Ай бұрын

    Aje apate dose.

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293Ай бұрын

    Na hiyo siku yaweko maji kabisa kwenye kisima ya kuwabatizia makafiri waislamu maana najua Mwalimu Ndacha atawagalagaza tena kama alivyo wagalagaza mwezi wa 12 mwaka 2023

  • @user-ce9tz8mo4b

    @user-ce9tz8mo4b

    Ай бұрын

    Wew ni kafiri kwa waislamu na mim nikafir kwako lkn swali linakuja je ukafir wangu mim ni ukafiri kwa mwwnyezimungu?

  • @ramadhanmahongole9293

    @ramadhanmahongole9293

    Ай бұрын

    @@user-ce9tz8mo4b ndio wewe na waislamu wenzio ni kafiri kwa mwenyez Mungu unapinga dini ya kweli ya mwenyezi Mungu ya ukiristo unang'ang'ana na dini iliyo letwa na mpotoshaji wa kiarabu mhammad ambae siku ya khiama atahukumiwa kwa kupotosha umma hivyo yeye mhammad na wafuasi wake wote watatupwa kwenye moto wa jehannam siku ya khiama

  • @hassanWanjiku
    @hassanWanjikuАй бұрын

    Mkurugenzi mchawi c wakiislamu

  • @FeisalDoctor-wr8ws
    @FeisalDoctor-wr8wsАй бұрын

    Hatimae pete imemleta ndacha kw mara nyingine yangu macho tu iyo siku ndacha anasema kumekuchu 😂😂😂 cijui ni kweli🙄

  • @JamesMoses-jd1yq
    @JamesMoses-jd1yq29 күн бұрын

    Ndacha mkali kama umeme

  • @user-ru4cy1ob8k
    @user-ru4cy1ob8kАй бұрын

    Kumbe midahalo nimizuri sana Mmemsikia sule akisema Torati, injili na zaburi ziko kwa kitabu kinaitwa biblia? Kumbe alielewa. Hongera sana sule

  • @RamadhaniLukambuzi

    @RamadhaniLukambuzi

    Ай бұрын

    Sio kwamba kakufurahisha bali katumia hekima hapo kawastiri kiana labda nikueleze kwamba katika dunia ya leo hakuna vitabu hivyo hasilia na hata kama vingekuwapo visingekuwa na nafasi ya kutumika kwa sababu Umma wake ulisha pita kwa Wana wa Israel na hivi sasa ni Ummati Al Quran hizo habari za Injili zilikuwa kwa ajili ya Wana wa Israel kipindi cha Yesu karne ya sita,Zaburi nayo hivyo ilikuwa ni kwa ajili ya hao hao Wana wa Israel na Taurati hivyo hivyo,Sasa Wewe na Wenzako kuanzia karne ya 7 mpaka kihama Kitabu chetu sote ni Quran haijalishi unaikubari au unaikataa na Mtume wa watu wote ni Mtume Mohammad (S.A.W) haijalishi munajifanya hamsikii lakini kila munapoingizwa ndani ya makaburi yenu hizi habari munakumbana nazo na kibano juu,Kwahiyo mtu yeyote anaye ifuata Injili,Taurati na Zaburi hivi leo maana yake hao watu wamepotea kiimani kwa sababu havikuwa ni Vitabu vya ulimwengu mzima.Someni vitabu ili mukae katika njia iliyonyooka ya Uislamu na Mwenyezi Mungu anasema kwamba mtu anayetaka dini kinyume na Uislamu matendo yake hayatakubarika siku ya mwisho,Quran 3:83 ukifa kwa njia ya Msalana utakuwa umekula hasara kwa Mola wako kwa sababu hiyo ni njia ya laana,WAGALATIA 3:13 soma ili uache ushabiki wa dini bila kuelewa na pale munapojidanganya heti Yesu aliwabebea mizigo ya madhambi yenu;huo ni uzushi,WAGALATIA 6:5 kama mtu ni malaya atabeba mwenyewe mzigo wake,mchawi abebe kago lake,Yesu hayumo kwenye uchafu wenu.YESU ALIKUWA NI MUISLAMU ALIKUWA AKIINGIA KWENYE MISKITI YA WAYAHUDI,MARKO3:1-19 Nyie leo munaingia Kanisani;Je munamfuata nani Kanisani?Soma Bibilia zote hakuna andiko hata moja lisemalo kwamba Yesu alikuwa akisoma misa kanisani hakuna ,LUKA6:6

  • @user-go1rl6bb1z

    @user-go1rl6bb1z

    Ай бұрын

    Waislam wanajua ukweli wote ila wao n undongo wa kipinga tu.

  • @saniairadukunda4400
    @saniairadukunda4400Ай бұрын

    Hiyo ni sehem ya profes mazingi yani kutanoga zaidi ..

  • @ramadhanmahongole9293

    @ramadhanmahongole9293

    Ай бұрын

    Mazinge kasha zeeka saiv hana jipya kasha fanya debate nyingi na Mwalimu ndacha kagalagazwa hivyo Ndacha sio level ya mazinge tena ndomana anatafuta wahadhili wengine wakubwa zaidi ya mazinge

  • @MohammedAlnabakhany
    @MohammedAlnabakhanyАй бұрын

    Mh!

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995Ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣 masha'allah

  • @user-go1rl6bb1z
    @user-go1rl6bb1zАй бұрын

    Yan ndacha hata majubu unayo mjibu sull hapa yanamtishia sulle.

  • @samirrubeya2379
    @samirrubeya2379Ай бұрын

    Mchawi vs jini wake.

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293Ай бұрын

    Mwalimu Ndacha wapige spaner hao makafiri wa kiarabu

  • @user-go1rl6bb1z

    @user-go1rl6bb1z

    Ай бұрын

    ila tuwaombee wamjue yesu wamepotea hawa wut.

  • @Nuru_ya_sunnah.official
    @Nuru_ya_sunnah.officialАй бұрын

    pete😢

  • @mwanaidisimoni79
    @mwanaidisimoni79Ай бұрын

    Tunasubiria

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fpАй бұрын

    Ata kama unajua kujiandaaa ni muhimu

  • @tsumamartin6878
    @tsumamartin6878Ай бұрын

    Abubakar zidi kufundishwa na majini

  • @victoriamtangi3287
    @victoriamtangi3287Ай бұрын

    Kwani mh sule atakuja na jini moja😂😂

  • @yussradady5010
    @yussradady5010Ай бұрын

    Chanal gani itaoneshwa

  • @user-go1rl6bb1z

    @user-go1rl6bb1z

    Ай бұрын

    BND TV.biblia nuru ya dunia.

  • @MohammedAlnabakhany
    @MohammedAlnabakhanyАй бұрын

    Allah amesema kua tusiwafanye vipenzi wale ambao kua wanaipiga vita Dini ya Allah, ila wewe doctor sule unasema uyo nikipenzi chako, umepotea kifikra baba.

  • @ayubutwalbu6594

    @ayubutwalbu6594

    Ай бұрын

    Wewe bado maandko huyajui jitahidi usome sule yupo sahihi na anajitihada katka dini wewe unajitihada gani mbona mnapenda kubeza tu

  • @halimazubeir
    @halimazubeirАй бұрын

    Abuubakar acha ujinga mshirikina umemuona?

  • @user-it7ih1it3m
    @user-it7ih1it3mАй бұрын

    Tunaomba channel zitakazokuwa hewani

  • @RajaaRajaa-id5wx
    @RajaaRajaa-id5wxАй бұрын

    Shekhe nilikua nakukubal sn lkn ulivyo ongea ujing wako mshirkin

  • @user-go1rl6bb1z

    @user-go1rl6bb1z

    Ай бұрын

    Cio mjinga nakama amekosea bc Quran yenyewe inamakosa sababu sulle alicho zungumza alitoa ndani ya Qurani.

  • @user-ru4cy1ob8k
    @user-ru4cy1ob8kАй бұрын

    Sule, ni Mwana wa Mungu ndiye aliyekufa wala sio Mungu Baba. Mungu Baba hajawahi kuonekana wala hapatikani na mauti Hivo yeye hajafa ila mwanawe ndiye kafa kishe Mungu Baba kamfufua Mwana wa Mungu ni Mungu wewe sule, hiyo hujui? Mwana wa mbuzi si ni mbuzi, Mwana wa simba sini simba Vivo hivo Mwana wa Mungu ni Mungu Simple. Bt polepole utafundishwa na utaelewa tu

  • @user-mc2xd4eu2p

    @user-mc2xd4eu2p

    Ай бұрын

    mbuzi akizaa mbuzi wanakua mbuzi wangapi? Kwa hoja hii Mungu Kazaa mungu hivyo mnaabudu mungu wa ngapi ? kwa imani yenu mungu wa ngapi?

  • @user-ru4cy1ob8k

    @user-ru4cy1ob8k

    Ай бұрын

    Soma hiyo, mithali 8:22_30 Yesu kazaliwa na Mungu Baba kabla dunia kuumbwa, upo?

  • @user-ru4cy1ob8k

    @user-ru4cy1ob8k

    Ай бұрын

    1wakorintho 8_6 soma hiyo

  • @user-mc2xd4eu2p

    @user-mc2xd4eu2p

    Ай бұрын

    @@user-ru4cy1ob8k mungu Kazaa mungu kwa hiyo mungu wa ngapi?

  • @user-ru4cy1ob8k

    @user-ru4cy1ob8k

    Ай бұрын

    ​@@user-mc2xd4eu2psoma andiko la pili utajua. Usibishe utaelewa tu maana nyie waislam hamna hii elimu

  • @SalumJuma-iz2gj
    @SalumJuma-iz2gjАй бұрын

    Dokta sule waislam tunakukubali nyie ndio wanachuoni wetu ila ubinaadamtu

  • @user13375

    @user13375

    Ай бұрын

    Majini nayo ni ndugu zenu ?

  • @user-os8qc7pl1g
    @user-os8qc7pl1gАй бұрын

    Abubakari ww usiende acja kushawishi ujinga wako kichwa kimekushuka kafiri ww

  • @AbubakarAlly-th6op
    @AbubakarAlly-th6opАй бұрын

    Sure mshirikina Na ndacha kafiri wote wanamkufuru Allah waislamu musiende kwenye mdahalo wao huo

  • @mudiali4506

    @mudiali4506

    Ай бұрын

    Weewe ni elimu zero ujitokeze wakujuwe wa kuskilizie huo ujuwaji wako wa kujificha Ili wakufuate Tatizo ni elimu

  • @yusuphibrahim-yq9mv

    @yusuphibrahim-yq9mv

    Ай бұрын

    Siimuhimu sana kusema hayo kwa sasa

  • @bibliakweliyaduniayote1137

    @bibliakweliyaduniayote1137

    Ай бұрын

    Sura ya majini inafanya nini kwa quran

  • @myunaniniahmad6463

    @myunaniniahmad6463

    Ай бұрын

    😂😂😂

  • @jihan992000

    @jihan992000

    Ай бұрын

    Chuki yanini wewe

  • @saniairadukunda4400
    @saniairadukunda4400Ай бұрын

    Hiyo ni sehem ya profes mazingi yani kutanoga zaidi ..

  • @ramadhanmahongole9293

    @ramadhanmahongole9293

    Ай бұрын

    Mazinge hawezi kasha choka mzee wa watu hawezi kushindana na mw /Ndacha

Келесі