Kumbe ni wengi wanao ishi na nyoka ,Yarabi Wewe ni tajiri wa kila kitu,ulivyo niumba kila kitu wakiweza,naomba unipe riziki iliyo ya haki,itokanayo na kazi ya mikono na uzima na afya unaonijalia,na kizazi kitokanacho na tumbo langu kiepushe na haya yote,wewe ulietuumba unauwezo wa kila kitu,Nakupenda sana Mungu
@nuhukenny7183
25 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@trophywilson7211
25 күн бұрын
Na hilo joka labda ni jini
@aairraahseif5648
25 күн бұрын
@@trophywilson7211hivi una amini story hizi nizauongo 😂😂😂
@MuniraHassann
25 күн бұрын
Uo ni mtihani tuu
@ZuhuraBarack
6 күн бұрын
Yarabi atunusuru jamani tuwe watu wema mbele yako kama utajiri upatwa hivi wacha nikuitaji kila Mara yarabi alah amiin
@gracejohnpallangyo425727 күн бұрын
Jamani huo sio utajiri ila ni mateso. Yesu yupo jamani, njoo kwake atakuweka huru. Mwisho wa hayo yote ni kuangamia. Bora uwe mikononi mwa YESU KRISTO, mche Mungu then fanya kazi kwa bidii. Baraka za Mungu hazina majuto.
@arya-star5315 күн бұрын
Eeeeh MUNGU turehemu sisi watoto wako hatujui tulitendalo🙏😭, mama huyu hata ufahamu wake ushatekwa kwa akili ya kawaida huwez sema et nataka niendelee kuishi maisha haya haya
@tanzcanmediatv447327 күн бұрын
Yesu wangu waepushe hawa watu
@BettyJoram-td1jb7 күн бұрын
Mungu atusaidie jamn huo ni ushetan kukaa na joka dah
@user-xo5lq7mw3n27 күн бұрын
Allah tupe Stara ya Duniani na Akhera🤲Dah!Sio lazima uwe Tajiri kwa kufuga Nyoka?Sasa Maisha gani ya Mtihani?kwan ni lazima tuwe matajiri kwa kufuga nyoka?kesho
@SmilingCityMap-xb9md28 күн бұрын
Tamaa ndio chanzo Mama sio kuzaliwa maskini unaokupa ukatili huo wa kufanya ushetani tamaa hukupa ujasili mwingi. Na wengi huamuwa kuuwa ujambazi nk kisa tamaa
@trophywilson7211
25 күн бұрын
Lakini Watu wengi wanahusudu Majini
@shantellemwanakombo370325 күн бұрын
Duh kumbe wapo wengi eeh??
@mercylinekerubo688320 күн бұрын
Umaskini sio ugonjwa jameni Bora ugonjwa ipite mbali Mungu wangu nashkru sana kwa kunifanya nikanyage nyayo zako
@abuqusay891224 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂Mfanyabiashara na mtu anayelala chini ya kofia
Tamaa mbaya ndio maana dini yetu ya kiislam inasema kama unataka uishi bila wasi wasi mwangalie wa chini sio wa juu utakufuru ndio kinachowakuta watu kama huyu mama...Sasa kiko wapi unataka kuwafurahisha binadamu badala umfurahishe mungu...Hope umeshajifunza
@khadijab706620 күн бұрын
Jamani mama asani kanenepq atari mashallaah
@jacquelinemwakasala956326 күн бұрын
He kumbe wengi wenye Mali wanaishi na nyoka did jamani Mungu turehemu isee so sad
@EvelynNatasha-yj5vg27 күн бұрын
Jesus is caming soon
@Cyrile-yv1er27 күн бұрын
Sasa masherti hayo umetajilika bila kusaidia jamaa Yako niutajiri gani? Pole sana Mungu akuwezeshe
@salisali373825 күн бұрын
Sio umaskini ni IMANI DHAIFU
@Oderabrenda27 күн бұрын
Dada yote.ni mateso njoo kwa Mungu
@Zenygoldsuperwoman25 күн бұрын
Y'a Allah bora nifishe maskini kuliko kunipa utajiri wa shirki kama hizi Innalillah wa inna ilayhi rajiun Subhanallah
@user-gr6dm6qi6v22 күн бұрын
Duuuh iyi dunia ina siri kubwa ya Allah ongoza waja wako Aamiin. Iyi tena duuuh kali
@arjunmutotowadzaleka15 күн бұрын
Maswali mengee Sana brother
@user-fd8ce8ct2m25 күн бұрын
Subuhanallah mtihani kweli ndo Pana faida gani tena jamani
@kilogreekachananawatuwasio405424 күн бұрын
Sasa ivi kula mwanamke Anajitia Anaishi na nyoka bibi mzee sula kama babuni😂
@FatumaAmisi10 күн бұрын
Jaman kubali haliyako tuache tamaa
@phiahofficialtv714025 күн бұрын
Hii channel ya mganga nyoka
@BrackWolf-el6bt18 күн бұрын
Da kweli ngoj namim niend nikachukue mazingir hay
@RehemaMasalu13 күн бұрын
Je, hizo mali alizokuwa nazo zinaendelea kumsaidia au ipoje hiyo?
@user-dy9ht1on7y26 күн бұрын
😂😂😂😂😂 yani jamani mko wengi kwery dy
@JaneMutuga-xi4jqКүн бұрын
Nyoka sasa ilichukuliwa jee na wenyewe?na mtoto wako Ako wapi?na familia wapo salama wote na watoto wako wote wapo salama
@chunaabdullah133327 күн бұрын
Kumbe ni ya kweli haya mauzauza mmmh, Allah nishibishe na iki napata 😢😢
@phiahofficialtv714025 күн бұрын
Ndege ndege
@marksafaritz807622 күн бұрын
Jichanyeni mtapeliwe 😂
@LatiphaSalim16 күн бұрын
We mam upumbavu nani akupe utaji bure utaponza
@gastosalehe365826 күн бұрын
Mama Hasani.
@user-fm8sv6yk3c
24 күн бұрын
😂😂
@LucasTimotheo-xw7ik18 күн бұрын
Hiyo ni sawa nakumsadiki shetani. Tuacheni mambo hayo. Jamani
@veronicajohn764527 күн бұрын
Jamani Jamani Jamani. Sasa nitanza kuwaangalia Kwa jicho pembeni nikiwakuta Dada Zangu wamepaki magari kwenye hoteli nzuri.
@user-th4xd8cb5t16 күн бұрын
Nani anamjua huyu mama jamani
@LatiphaSalim16 күн бұрын
Hee mshakosa kazi za kufanya kila siku nyoka na mim namiliki chura
@Maria-dg6ik27 күн бұрын
😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏
@AlfaMtulo4 күн бұрын
Shambani fuluu ututajili kwa nchiyetuyaTANZANI Hakunagauchawihukowalamashaliti.
@erickndelwa697523 сағат бұрын
ndio utajiri wa hivyo upo ila hii story imetengenezwa af interviewer mwenyewe yuko hapo bahati mbaya hajui namna ya kupangilia maswali story ndefu ila hamna cha maana
@user-kp7cd9ei6j26 күн бұрын
Meacham ne ni ibuokwasa babuibinafaida ukuzumiliya umasikini dipomungu anakubariki
@LilianMbele18 күн бұрын
Kulala na ngoja una maana gani,
@rahmahasan3220 күн бұрын
Dada ameongeza mpaka mwili walisikika yaarabi
@phaustineokitwi704322 күн бұрын
Nduniani mambo ni mengi masaa ndio machache 😢😢
@AsnatSaid-zp2kr27 күн бұрын
mmh! bora ugar dagaa kwenye aman..
@tanzcanmediatv447327 күн бұрын
Jesus christ
@aminatanzanya747518 күн бұрын
Dah kumbe wengi wanaishi na nyoka ili wapate pesa hizi tamaa mbaya sana
@ApollinaireBalolage25 күн бұрын
Mungu awalaani
@user-fd8ce8ct2m25 күн бұрын
Pole kwa majukumu Yako
@ashuranahoda256418 күн бұрын
Subuhannallah
@valentinanduku871818 күн бұрын
ndo mm husema usione mtu tajiri ukadhani inatoka kwa Mungu sio wote wa Mungu
@user-vz5gv3lo5f28 күн бұрын
Mimi nirifikiri unazo Mari hizo mpaka Sasa
@baruanikalenga224625 күн бұрын
Huyo basi ni kinyonga😅😅😅 makubwa jamani munajua kujitrndisha
@gracekagoma3231
24 күн бұрын
Anakula nini
@salamarashid368727 күн бұрын
Yajayo yanafurahisha
@fardoshnassor784727 күн бұрын
😢😢
@Zenygoldsuperwoman25 күн бұрын
Na hasara kubwa ipo kwawatu wenye kufanya kitu unajuwa ni kosa kwa mola wako Fana awuzubillah minazalika
@aairraahseif564825 күн бұрын
Huyu mama hata hafanani na utajiri, Mmesahau kumfanyia shopping kwanza ya mavazi kabla ya interview ili story ifanane nae 🤗🤗🤣🤣🤣
@user-fm8sv6yk3c
24 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂Kuna wengine wamefunikwa hawaoni hilo pesa hata ukipoteza lugha Yake ipo mtu anabaki n vidalili
@gracekagoma323124 күн бұрын
Anakula nini 😢
@browskymuba692324 күн бұрын
Ehh mwingine tena wa 3
@AndrewMartin-yr8rh22 күн бұрын
Nahitaji namba yake dada na mm aniunge
@kiriistaicy18322 күн бұрын
Alijitoa ki vipi?
@omarikiringo26028 күн бұрын
Acheni ku brand u free Mason tumche mungu hela hizo hazina maana huwezi kusaidia mtu wala sadaka yake haikubaliki. Na kuna siku ya hukumu tuta mjibu nini Allah. Mali ni vitu vya dunia.
@jumapiliissa4835
27 күн бұрын
😂😂 Awa hawana pesa pomo tu za utapeli anaeweza kupata pesa za ndagu hawezi kujitangaza kuweni sasaivi kunamichezo mingi ya utaftaji
@aairraahseif5648
25 күн бұрын
@@jumapiliissa4835hizi media za hovyo hupotosha watu, wana wanatengeneza story za uongo
@firdaushamid820027 күн бұрын
Allah ananguvu zaid nayeye ndio mwenyekupeana namwenye kunyanganya
@trophywilson7211
25 күн бұрын
Na Mpaka upitie kwa Yesu KRISTO
@germainndayishimiye868427 күн бұрын
Alajuela awana aibu kusema
@MoinaminaAmina-qh1jb22 күн бұрын
Tatizo lenyewe ??nikwamba mnatoa kafara za watoto wazenu na wamajirani mna waua mna chinja ili kutoa kafara za nyoka zenu hâta wazazi wenu mna toa kafara ili mpate utajiri washetani nakuabudu shetani hapa duniani tunapita lakini mambo Yako huko Siku yakiama mbele yamungu
@paramaa583927 күн бұрын
Ulikuwa unalala naye vp heb nyoosh vzr
@user-wd2bc7bf5x
22 күн бұрын
😂😂😂
@rukiyyarukiyya631725 күн бұрын
😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
@OmanOman-ru4eu25 күн бұрын
Timu hamamu tuendelee kusungua hamamu tupate oesa halali
Kesho kwa Allah mtajibu mashitaka, Sasa ni Life gani ya Utumwa?Hawa sasa wanajielezea kama wamefanyiwa Alal badir ya Mbayana,wakaa na nyoka wote wanajieleza kama vichaa
@trophywilson7211
25 күн бұрын
Na Muhamadi aliyemsilimisha Shetani na Majini ndiye atajibu wa kwanza
@farhannahkulishwaburekunam536028 күн бұрын
Sasa kama kichwa hukioni unaml8sha vipi
@user-cv7vm1mx9d27 күн бұрын
Ivi watu mnaaamini hizi story za nyoka? Ni mchongo wa mganga huu
@veroclement-xv7kx27 күн бұрын
mama hasani wewe na huyo jamaa niwaongo mnatafuta kiki
@baruanikalenga2246
25 күн бұрын
Kumbe nawe umeona
@chunaabdullah133327 күн бұрын
Fanya kazi nenda gulf uone kama utakua maskini mjinga ww uko nakila kitu mwili wako
@user-fm8sv6yk3c24 күн бұрын
Mbona hii Chanel jamny imekuwa inapenda Kiki maana munazingua kila siku story anarudia pale pale hakuna cha Zaid. Awe pole tyu. Umaskini sio kilemaaa n fungu la riziki Lina mda maalum. Jitahidini muwe munanyoosha maelezo maana mara alikuwa akiweka kwenye ndoo ss video hii alikuwa n briefcase 😂😂😂munatuchanganyaaa
@NabosJuma22 күн бұрын
Watengeneza content hawa hamn lolote wew unazan mtu anaye miliki nyoka anaweza kujitangaza?
@user-vz5gv3lo5f28 күн бұрын
Tuereze kwa Sasa wazazi wako wanakuchukuriaje tuambia,
@marthamvanga802825 күн бұрын
Usitamani mali ya mtu mwingine
@user-vz5gv3lo5f28 күн бұрын
Je unaerewana na wazazi wako mbona husemi habari za wazazi wako,
@user-ge9cp6yn5w27 күн бұрын
Mtangazaji unaongea sana kushinda yule unalfanyie interview punguza
@Babylon_Must_Fall
26 күн бұрын
Anauliza maswali yale yale, mjinga huyu!
@janesaru937727 күн бұрын
Hakai tajiri ata
@user-vz5gv3lo5f28 күн бұрын
Hiro joka urikuwa uripa chakura aina gan
@trophywilson7211
25 күн бұрын
watoto wachanga
@phiahofficialtv714025 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂karanga
@user-vz5gv3lo5f28 күн бұрын
Je ririkuwa rinakunya mavi aina gani
@MariamJuma-pe4sy
27 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 jamani 😅😅😅😅
@epitomeapex
27 күн бұрын
Dah kweli uhuru umezid😂😂😂
@AsnatSaid-zp2kr
27 күн бұрын
😂😂😂Atari
@Marym-iw2wr
27 күн бұрын
😅😅😅😅😅nmekoma hp
@aairraahseif564825 күн бұрын
😂😂😂😂,hivi kwanini mnatengeneza story za uongo?huuu ni uongo wa wazi mnahadaa watu wasio na upeo na fikra, hivi hamuoni aibu kudanya watu? Media za hovyo kabisa, mnapotosha watu ili. Waamini ushirikina?wakapate pesa kwa nyoka?pesa ni kufanya kazi wajinga ninyi Serikali ipo kweli?mnafaa kuchukuliwa hatua kwa kupotosha watu mbwa ninyi
@danieljoseph161027 күн бұрын
Huyu mwanamke ni mwongo! Freemasoni hawatoi utajiri wa nyoka, freemason ni chama kikubwa duniani na nguvu yake sio yakitoto namna hio! Utajiri wa nyoka utatolewa kuzimu!
@JacklneManonga
27 күн бұрын
Ila amesema kuwa nyoka akupewa na frimason
@esteroseollotu6119
26 күн бұрын
We nae hujasikiliza story unakurupuka
@MagdalenaMatiko
26 күн бұрын
Uchawi wowote ni freemason
@MagdalenaMatiko
26 күн бұрын
Ukitaka kuijua freemason vizuri mfatilie Gwajima alipowaelezea mwanzo mwisho,toka ilipoanza ni akina nani wanafanyaje kazi
@trophywilson7211
25 күн бұрын
mmh hata akina Putini wanasema wamefuga majoka na Akina Chris wa Nigeria
Пікірлер: 120
Kumbe ni wengi wanao ishi na nyoka ,Yarabi Wewe ni tajiri wa kila kitu,ulivyo niumba kila kitu wakiweza,naomba unipe riziki iliyo ya haki,itokanayo na kazi ya mikono na uzima na afya unaonijalia,na kizazi kitokanacho na tumbo langu kiepushe na haya yote,wewe ulietuumba unauwezo wa kila kitu,Nakupenda sana Mungu
@nuhukenny7183
25 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@trophywilson7211
25 күн бұрын
Na hilo joka labda ni jini
@aairraahseif5648
25 күн бұрын
@@trophywilson7211hivi una amini story hizi nizauongo 😂😂😂
@MuniraHassann
25 күн бұрын
Uo ni mtihani tuu
@ZuhuraBarack
6 күн бұрын
Yarabi atunusuru jamani tuwe watu wema mbele yako kama utajiri upatwa hivi wacha nikuitaji kila Mara yarabi alah amiin
Jamani huo sio utajiri ila ni mateso. Yesu yupo jamani, njoo kwake atakuweka huru. Mwisho wa hayo yote ni kuangamia. Bora uwe mikononi mwa YESU KRISTO, mche Mungu then fanya kazi kwa bidii. Baraka za Mungu hazina majuto.
Eeeeh MUNGU turehemu sisi watoto wako hatujui tulitendalo🙏😭, mama huyu hata ufahamu wake ushatekwa kwa akili ya kawaida huwez sema et nataka niendelee kuishi maisha haya haya
Yesu wangu waepushe hawa watu
Mungu atusaidie jamn huo ni ushetan kukaa na joka dah
Allah tupe Stara ya Duniani na Akhera🤲Dah!Sio lazima uwe Tajiri kwa kufuga Nyoka?Sasa Maisha gani ya Mtihani?kwan ni lazima tuwe matajiri kwa kufuga nyoka?kesho
Tamaa ndio chanzo Mama sio kuzaliwa maskini unaokupa ukatili huo wa kufanya ushetani tamaa hukupa ujasili mwingi. Na wengi huamuwa kuuwa ujambazi nk kisa tamaa
@trophywilson7211
25 күн бұрын
Lakini Watu wengi wanahusudu Majini
Duh kumbe wapo wengi eeh??
Umaskini sio ugonjwa jameni Bora ugonjwa ipite mbali Mungu wangu nashkru sana kwa kunifanya nikanyage nyayo zako
😂😂😂😂😂😂😂Mfanyabiashara na mtu anayelala chini ya kofia
nyinyi n wapuuz mtakufa vibaya ety unachukia umaskini innalillah wainaileh rajiun 😢😢
Tamaa mbaya ndio maana dini yetu ya kiislam inasema kama unataka uishi bila wasi wasi mwangalie wa chini sio wa juu utakufuru ndio kinachowakuta watu kama huyu mama...Sasa kiko wapi unataka kuwafurahisha binadamu badala umfurahishe mungu...Hope umeshajifunza
Jamani mama asani kanenepq atari mashallaah
He kumbe wengi wenye Mali wanaishi na nyoka did jamani Mungu turehemu isee so sad
Jesus is caming soon
Sasa masherti hayo umetajilika bila kusaidia jamaa Yako niutajiri gani? Pole sana Mungu akuwezeshe
Sio umaskini ni IMANI DHAIFU
Dada yote.ni mateso njoo kwa Mungu
Y'a Allah bora nifishe maskini kuliko kunipa utajiri wa shirki kama hizi Innalillah wa inna ilayhi rajiun Subhanallah
Duuuh iyi dunia ina siri kubwa ya Allah ongoza waja wako Aamiin. Iyi tena duuuh kali
Maswali mengee Sana brother
Subuhanallah mtihani kweli ndo Pana faida gani tena jamani
Sasa ivi kula mwanamke Anajitia Anaishi na nyoka bibi mzee sula kama babuni😂
Jaman kubali haliyako tuache tamaa
Hii channel ya mganga nyoka
Da kweli ngoj namim niend nikachukue mazingir hay
Je, hizo mali alizokuwa nazo zinaendelea kumsaidia au ipoje hiyo?
😂😂😂😂😂 yani jamani mko wengi kwery dy
Nyoka sasa ilichukuliwa jee na wenyewe?na mtoto wako Ako wapi?na familia wapo salama wote na watoto wako wote wapo salama
Kumbe ni ya kweli haya mauzauza mmmh, Allah nishibishe na iki napata 😢😢
Ndege ndege
Jichanyeni mtapeliwe 😂
We mam upumbavu nani akupe utaji bure utaponza
Mama Hasani.
@user-fm8sv6yk3c
24 күн бұрын
😂😂
Hiyo ni sawa nakumsadiki shetani. Tuacheni mambo hayo. Jamani
Jamani Jamani Jamani. Sasa nitanza kuwaangalia Kwa jicho pembeni nikiwakuta Dada Zangu wamepaki magari kwenye hoteli nzuri.
Nani anamjua huyu mama jamani
Hee mshakosa kazi za kufanya kila siku nyoka na mim namiliki chura
😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏
Shambani fuluu ututajili kwa nchiyetuyaTANZANI Hakunagauchawihukowalamashaliti.
ndio utajiri wa hivyo upo ila hii story imetengenezwa af interviewer mwenyewe yuko hapo bahati mbaya hajui namna ya kupangilia maswali story ndefu ila hamna cha maana
Meacham ne ni ibuokwasa babuibinafaida ukuzumiliya umasikini dipomungu anakubariki
Kulala na ngoja una maana gani,
Dada ameongeza mpaka mwili walisikika yaarabi
Nduniani mambo ni mengi masaa ndio machache 😢😢
mmh! bora ugar dagaa kwenye aman..
Jesus christ
Dah kumbe wengi wanaishi na nyoka ili wapate pesa hizi tamaa mbaya sana
Mungu awalaani
Pole kwa majukumu Yako
Subuhannallah
ndo mm husema usione mtu tajiri ukadhani inatoka kwa Mungu sio wote wa Mungu
Mimi nirifikiri unazo Mari hizo mpaka Sasa
Huyo basi ni kinyonga😅😅😅 makubwa jamani munajua kujitrndisha
@gracekagoma3231
24 күн бұрын
Anakula nini
Yajayo yanafurahisha
😢😢
Na hasara kubwa ipo kwawatu wenye kufanya kitu unajuwa ni kosa kwa mola wako Fana awuzubillah minazalika
Huyu mama hata hafanani na utajiri, Mmesahau kumfanyia shopping kwanza ya mavazi kabla ya interview ili story ifanane nae 🤗🤗🤣🤣🤣
@user-fm8sv6yk3c
24 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂Kuna wengine wamefunikwa hawaoni hilo pesa hata ukipoteza lugha Yake ipo mtu anabaki n vidalili
Anakula nini 😢
Ehh mwingine tena wa 3
Nahitaji namba yake dada na mm aniunge
Alijitoa ki vipi?
Acheni ku brand u free Mason tumche mungu hela hizo hazina maana huwezi kusaidia mtu wala sadaka yake haikubaliki. Na kuna siku ya hukumu tuta mjibu nini Allah. Mali ni vitu vya dunia.
@jumapiliissa4835
27 күн бұрын
😂😂 Awa hawana pesa pomo tu za utapeli anaeweza kupata pesa za ndagu hawezi kujitangaza kuweni sasaivi kunamichezo mingi ya utaftaji
@aairraahseif5648
25 күн бұрын
@@jumapiliissa4835hizi media za hovyo hupotosha watu, wana wanatengeneza story za uongo
Allah ananguvu zaid nayeye ndio mwenyekupeana namwenye kunyanganya
@trophywilson7211
25 күн бұрын
Na Mpaka upitie kwa Yesu KRISTO
Alajuela awana aibu kusema
Tatizo lenyewe ??nikwamba mnatoa kafara za watoto wazenu na wamajirani mna waua mna chinja ili kutoa kafara za nyoka zenu hâta wazazi wenu mna toa kafara ili mpate utajiri washetani nakuabudu shetani hapa duniani tunapita lakini mambo Yako huko Siku yakiama mbele yamungu
Ulikuwa unalala naye vp heb nyoosh vzr
@user-wd2bc7bf5x
22 күн бұрын
😂😂😂
😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
Timu hamamu tuendelee kusungua hamamu tupate oesa halali
Umasikini uwo mnao nyie tuu sio umasikini majiendekeza tuu
Chatu Huyo 😢
Nawapata wapi!!! Namm nitajirike
@trophywilson7211
25 күн бұрын
hahaha umesikia hautajiriki haraka
Nyinyi waongo hayo mnayo sema ni ushirikina
Je inakuaje ukisafiri
Kesho kwa Allah mtajibu mashitaka, Sasa ni Life gani ya Utumwa?Hawa sasa wanajielezea kama wamefanyiwa Alal badir ya Mbayana,wakaa na nyoka wote wanajieleza kama vichaa
@trophywilson7211
25 күн бұрын
Na Muhamadi aliyemsilimisha Shetani na Majini ndiye atajibu wa kwanza
Sasa kama kichwa hukioni unaml8sha vipi
Ivi watu mnaaamini hizi story za nyoka? Ni mchongo wa mganga huu
mama hasani wewe na huyo jamaa niwaongo mnatafuta kiki
@baruanikalenga2246
25 күн бұрын
Kumbe nawe umeona
Fanya kazi nenda gulf uone kama utakua maskini mjinga ww uko nakila kitu mwili wako
Mbona hii Chanel jamny imekuwa inapenda Kiki maana munazingua kila siku story anarudia pale pale hakuna cha Zaid. Awe pole tyu. Umaskini sio kilemaaa n fungu la riziki Lina mda maalum. Jitahidini muwe munanyoosha maelezo maana mara alikuwa akiweka kwenye ndoo ss video hii alikuwa n briefcase 😂😂😂munatuchanganyaaa
Watengeneza content hawa hamn lolote wew unazan mtu anaye miliki nyoka anaweza kujitangaza?
Tuereze kwa Sasa wazazi wako wanakuchukuriaje tuambia,
Usitamani mali ya mtu mwingine
Je unaerewana na wazazi wako mbona husemi habari za wazazi wako,
Mtangazaji unaongea sana kushinda yule unalfanyie interview punguza
@Babylon_Must_Fall
26 күн бұрын
Anauliza maswali yale yale, mjinga huyu!
Hakai tajiri ata
Hiro joka urikuwa uripa chakura aina gan
@trophywilson7211
25 күн бұрын
watoto wachanga
😂😂😂😂😂😂😂karanga
Je ririkuwa rinakunya mavi aina gani
@MariamJuma-pe4sy
27 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 jamani 😅😅😅😅
@epitomeapex
27 күн бұрын
Dah kweli uhuru umezid😂😂😂
@AsnatSaid-zp2kr
27 күн бұрын
😂😂😂Atari
@Marym-iw2wr
27 күн бұрын
😅😅😅😅😅nmekoma hp
😂😂😂😂,hivi kwanini mnatengeneza story za uongo?huuu ni uongo wa wazi mnahadaa watu wasio na upeo na fikra, hivi hamuoni aibu kudanya watu? Media za hovyo kabisa, mnapotosha watu ili. Waamini ushirikina?wakapate pesa kwa nyoka?pesa ni kufanya kazi wajinga ninyi Serikali ipo kweli?mnafaa kuchukuliwa hatua kwa kupotosha watu mbwa ninyi
Huyu mwanamke ni mwongo! Freemasoni hawatoi utajiri wa nyoka, freemason ni chama kikubwa duniani na nguvu yake sio yakitoto namna hio! Utajiri wa nyoka utatolewa kuzimu!
@JacklneManonga
27 күн бұрын
Ila amesema kuwa nyoka akupewa na frimason
@esteroseollotu6119
26 күн бұрын
We nae hujasikiliza story unakurupuka
@MagdalenaMatiko
26 күн бұрын
Uchawi wowote ni freemason
@MagdalenaMatiko
26 күн бұрын
Ukitaka kuijua freemason vizuri mfatilie Gwajima alipowaelezea mwanzo mwisho,toka ilipoanza ni akina nani wanafanyaje kazi
@trophywilson7211
25 күн бұрын
mmh hata akina Putini wanasema wamefuga majoka na Akina Chris wa Nigeria
Ss uyo asan yapo wapi