PART4.MREMBO AFICHUA MASHARTI MAGUMU YA UTAJIRI,MALI NA PESA NIMEPATA KWA MAUMIVU MAKALI ILA...

Ойын-сауық

Пікірлер: 120

  • @angle3600
    @angle360027 күн бұрын

    Kumbe ni wengi wanao ishi na nyoka ,Yarabi Wewe ni tajiri wa kila kitu,ulivyo niumba kila kitu wakiweza,naomba unipe riziki iliyo ya haki,itokanayo na kazi ya mikono na uzima na afya unaonijalia,na kizazi kitokanacho na tumbo langu kiepushe na haya yote,wewe ulietuumba unauwezo wa kila kitu,Nakupenda sana Mungu

  • @nuhukenny7183

    @nuhukenny7183

    25 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    25 күн бұрын

    Na hilo joka labda ni jini

  • @aairraahseif5648

    @aairraahseif5648

    25 күн бұрын

    ​@@trophywilson7211hivi una amini story hizi nizauongo 😂😂😂

  • @MuniraHassann

    @MuniraHassann

    25 күн бұрын

    Uo ni mtihani tuu

  • @ZuhuraBarack

    @ZuhuraBarack

    6 күн бұрын

    Yarabi atunusuru jamani tuwe watu wema mbele yako kama utajiri upatwa hivi wacha nikuitaji kila Mara yarabi alah amiin

  • @gracejohnpallangyo4257
    @gracejohnpallangyo425727 күн бұрын

    Jamani huo sio utajiri ila ni mateso. Yesu yupo jamani, njoo kwake atakuweka huru. Mwisho wa hayo yote ni kuangamia. Bora uwe mikononi mwa YESU KRISTO, mche Mungu then fanya kazi kwa bidii. Baraka za Mungu hazina majuto.

  • @arya-star53
    @arya-star5315 күн бұрын

    Eeeeh MUNGU turehemu sisi watoto wako hatujui tulitendalo🙏😭, mama huyu hata ufahamu wake ushatekwa kwa akili ya kawaida huwez sema et nataka niendelee kuishi maisha haya haya

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv447327 күн бұрын

    Yesu wangu waepushe hawa watu

  • @BettyJoram-td1jb
    @BettyJoram-td1jb7 күн бұрын

    Mungu atusaidie jamn huo ni ushetan kukaa na joka dah

  • @user-xo5lq7mw3n
    @user-xo5lq7mw3n27 күн бұрын

    Allah tupe Stara ya Duniani na Akhera🤲Dah!Sio lazima uwe Tajiri kwa kufuga Nyoka?Sasa Maisha gani ya Mtihani?kwan ni lazima tuwe matajiri kwa kufuga nyoka?kesho

  • @SmilingCityMap-xb9md
    @SmilingCityMap-xb9md28 күн бұрын

    Tamaa ndio chanzo Mama sio kuzaliwa maskini unaokupa ukatili huo wa kufanya ushetani tamaa hukupa ujasili mwingi. Na wengi huamuwa kuuwa ujambazi nk kisa tamaa

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    25 күн бұрын

    Lakini Watu wengi wanahusudu Majini

  • @shantellemwanakombo3703
    @shantellemwanakombo370325 күн бұрын

    Duh kumbe wapo wengi eeh??

  • @mercylinekerubo6883
    @mercylinekerubo688320 күн бұрын

    Umaskini sio ugonjwa jameni Bora ugonjwa ipite mbali Mungu wangu nashkru sana kwa kunifanya nikanyage nyayo zako

  • @abuqusay8912
    @abuqusay891224 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂Mfanyabiashara na mtu anayelala chini ya kofia

  • @user-fx6hp5wt4r
    @user-fx6hp5wt4r14 күн бұрын

    nyinyi n wapuuz mtakufa vibaya ety unachukia umaskini innalillah wainaileh rajiun 😢😢

  • @DafiMohamed-dz8xk
    @DafiMohamed-dz8xk22 күн бұрын

    Tamaa mbaya ndio maana dini yetu ya kiislam inasema kama unataka uishi bila wasi wasi mwangalie wa chini sio wa juu utakufuru ndio kinachowakuta watu kama huyu mama...Sasa kiko wapi unataka kuwafurahisha binadamu badala umfurahishe mungu...Hope umeshajifunza

  • @khadijab7066
    @khadijab706620 күн бұрын

    Jamani mama asani kanenepq atari mashallaah

  • @jacquelinemwakasala9563
    @jacquelinemwakasala956326 күн бұрын

    He kumbe wengi wenye Mali wanaishi na nyoka did jamani Mungu turehemu isee so sad

  • @EvelynNatasha-yj5vg
    @EvelynNatasha-yj5vg27 күн бұрын

    Jesus is caming soon

  • @Cyrile-yv1er
    @Cyrile-yv1er27 күн бұрын

    Sasa masherti hayo umetajilika bila kusaidia jamaa Yako niutajiri gani? Pole sana Mungu akuwezeshe

  • @salisali3738
    @salisali373825 күн бұрын

    Sio umaskini ni IMANI DHAIFU

  • @Oderabrenda
    @Oderabrenda27 күн бұрын

    Dada yote.ni mateso njoo kwa Mungu

  • @Zenygoldsuperwoman
    @Zenygoldsuperwoman25 күн бұрын

    Y'a Allah bora nifishe maskini kuliko kunipa utajiri wa shirki kama hizi Innalillah wa inna ilayhi rajiun Subhanallah

  • @user-gr6dm6qi6v
    @user-gr6dm6qi6v22 күн бұрын

    Duuuh iyi dunia ina siri kubwa ya Allah ongoza waja wako Aamiin. Iyi tena duuuh kali

  • @arjunmutotowadzaleka
    @arjunmutotowadzaleka15 күн бұрын

    Maswali mengee Sana brother

  • @user-fd8ce8ct2m
    @user-fd8ce8ct2m25 күн бұрын

    Subuhanallah mtihani kweli ndo Pana faida gani tena jamani

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio405424 күн бұрын

    Sasa ivi kula mwanamke Anajitia Anaishi na nyoka bibi mzee sula kama babuni😂

  • @FatumaAmisi
    @FatumaAmisi10 күн бұрын

    Jaman kubali haliyako tuache tamaa

  • @phiahofficialtv7140
    @phiahofficialtv714025 күн бұрын

    Hii channel ya mganga nyoka

  • @BrackWolf-el6bt
    @BrackWolf-el6bt18 күн бұрын

    Da kweli ngoj namim niend nikachukue mazingir hay

  • @RehemaMasalu
    @RehemaMasalu13 күн бұрын

    Je, hizo mali alizokuwa nazo zinaendelea kumsaidia au ipoje hiyo?

  • @user-dy9ht1on7y
    @user-dy9ht1on7y26 күн бұрын

    😂😂😂😂😂 yani jamani mko wengi kwery dy

  • @JaneMutuga-xi4jq
    @JaneMutuga-xi4jqКүн бұрын

    Nyoka sasa ilichukuliwa jee na wenyewe?na mtoto wako Ako wapi?na familia wapo salama wote na watoto wako wote wapo salama

  • @chunaabdullah1333
    @chunaabdullah133327 күн бұрын

    Kumbe ni ya kweli haya mauzauza mmmh, Allah nishibishe na iki napata 😢😢

  • @phiahofficialtv7140
    @phiahofficialtv714025 күн бұрын

    Ndege ndege

  • @marksafaritz8076
    @marksafaritz807622 күн бұрын

    Jichanyeni mtapeliwe 😂

  • @LatiphaSalim
    @LatiphaSalim16 күн бұрын

    We mam upumbavu nani akupe utaji bure utaponza

  • @gastosalehe3658
    @gastosalehe365826 күн бұрын

    Mama Hasani.

  • @user-fm8sv6yk3c

    @user-fm8sv6yk3c

    24 күн бұрын

    😂😂

  • @LucasTimotheo-xw7ik
    @LucasTimotheo-xw7ik18 күн бұрын

    Hiyo ni sawa nakumsadiki shetani. Tuacheni mambo hayo. Jamani

  • @veronicajohn7645
    @veronicajohn764527 күн бұрын

    Jamani Jamani Jamani. Sasa nitanza kuwaangalia Kwa jicho pembeni nikiwakuta Dada Zangu wamepaki magari kwenye hoteli nzuri.

  • @user-th4xd8cb5t
    @user-th4xd8cb5t16 күн бұрын

    Nani anamjua huyu mama jamani

  • @LatiphaSalim
    @LatiphaSalim16 күн бұрын

    Hee mshakosa kazi za kufanya kila siku nyoka na mim namiliki chura

  • @Maria-dg6ik
    @Maria-dg6ik27 күн бұрын

    😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏

  • @AlfaMtulo
    @AlfaMtulo4 күн бұрын

    Shambani fuluu ututajili kwa nchiyetuyaTANZANI Hakunagauchawihukowalamashaliti.

  • @erickndelwa6975
    @erickndelwa697523 сағат бұрын

    ndio utajiri wa hivyo upo ila hii story imetengenezwa af interviewer mwenyewe yuko hapo bahati mbaya hajui namna ya kupangilia maswali story ndefu ila hamna cha maana

  • @user-kp7cd9ei6j
    @user-kp7cd9ei6j26 күн бұрын

    Meacham ne ni ibuokwasa babuibinafaida ukuzumiliya umasikini dipomungu anakubariki

  • @LilianMbele
    @LilianMbele18 күн бұрын

    Kulala na ngoja una maana gani,

  • @rahmahasan32
    @rahmahasan3220 күн бұрын

    Dada ameongeza mpaka mwili walisikika yaarabi

  • @phaustineokitwi7043
    @phaustineokitwi704322 күн бұрын

    Nduniani mambo ni mengi masaa ndio machache 😢😢

  • @AsnatSaid-zp2kr
    @AsnatSaid-zp2kr27 күн бұрын

    mmh! bora ugar dagaa kwenye aman..

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv447327 күн бұрын

    Jesus christ

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya747518 күн бұрын

    Dah kumbe wengi wanaishi na nyoka ili wapate pesa hizi tamaa mbaya sana

  • @ApollinaireBalolage
    @ApollinaireBalolage25 күн бұрын

    Mungu awalaani

  • @user-fd8ce8ct2m
    @user-fd8ce8ct2m25 күн бұрын

    Pole kwa majukumu Yako

  • @ashuranahoda2564
    @ashuranahoda256418 күн бұрын

    Subuhannallah

  • @valentinanduku8718
    @valentinanduku871818 күн бұрын

    ndo mm husema usione mtu tajiri ukadhani inatoka kwa Mungu sio wote wa Mungu

  • @user-vz5gv3lo5f
    @user-vz5gv3lo5f28 күн бұрын

    Mimi nirifikiri unazo Mari hizo mpaka Sasa

  • @baruanikalenga2246
    @baruanikalenga224625 күн бұрын

    Huyo basi ni kinyonga😅😅😅 makubwa jamani munajua kujitrndisha

  • @gracekagoma3231

    @gracekagoma3231

    24 күн бұрын

    Anakula nini

  • @salamarashid3687
    @salamarashid368727 күн бұрын

    Yajayo yanafurahisha

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor784727 күн бұрын

    😢😢

  • @Zenygoldsuperwoman
    @Zenygoldsuperwoman25 күн бұрын

    Na hasara kubwa ipo kwawatu wenye kufanya kitu unajuwa ni kosa kwa mola wako Fana awuzubillah minazalika

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif564825 күн бұрын

    Huyu mama hata hafanani na utajiri, Mmesahau kumfanyia shopping kwanza ya mavazi kabla ya interview ili story ifanane nae 🤗🤗🤣🤣🤣

  • @user-fm8sv6yk3c

    @user-fm8sv6yk3c

    24 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂Kuna wengine wamefunikwa hawaoni hilo pesa hata ukipoteza lugha Yake ipo mtu anabaki n vidalili

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma323124 күн бұрын

    Anakula nini 😢

  • @browskymuba6923
    @browskymuba692324 күн бұрын

    Ehh mwingine tena wa 3

  • @AndrewMartin-yr8rh
    @AndrewMartin-yr8rh22 күн бұрын

    Nahitaji namba yake dada na mm aniunge

  • @kiriistaicy183
    @kiriistaicy18322 күн бұрын

    Alijitoa ki vipi?

  • @omarikiringo260
    @omarikiringo26028 күн бұрын

    Acheni ku brand u free Mason tumche mungu hela hizo hazina maana huwezi kusaidia mtu wala sadaka yake haikubaliki. Na kuna siku ya hukumu tuta mjibu nini Allah. Mali ni vitu vya dunia.

  • @jumapiliissa4835

    @jumapiliissa4835

    27 күн бұрын

    😂😂 Awa hawana pesa pomo tu za utapeli anaeweza kupata pesa za ndagu hawezi kujitangaza kuweni sasaivi kunamichezo mingi ya utaftaji

  • @aairraahseif5648

    @aairraahseif5648

    25 күн бұрын

    ​@@jumapiliissa4835hizi media za hovyo hupotosha watu, wana wanatengeneza story za uongo

  • @firdaushamid8200
    @firdaushamid820027 күн бұрын

    Allah ananguvu zaid nayeye ndio mwenyekupeana namwenye kunyanganya

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    25 күн бұрын

    Na Mpaka upitie kwa Yesu KRISTO

  • @germainndayishimiye8684
    @germainndayishimiye868427 күн бұрын

    Alajuela awana aibu kusema

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb22 күн бұрын

    Tatizo lenyewe ??nikwamba mnatoa kafara za watoto wazenu na wamajirani mna waua mna chinja ili kutoa kafara za nyoka zenu hâta wazazi wenu mna toa kafara ili mpate utajiri washetani nakuabudu shetani hapa duniani tunapita lakini mambo Yako huko Siku yakiama mbele yamungu

  • @paramaa5839
    @paramaa583927 күн бұрын

    Ulikuwa unalala naye vp heb nyoosh vzr

  • @user-wd2bc7bf5x

    @user-wd2bc7bf5x

    22 күн бұрын

    😂😂😂

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya631725 күн бұрын

    😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏

  • @OmanOman-ru4eu
    @OmanOman-ru4eu25 күн бұрын

    Timu hamamu tuendelee kusungua hamamu tupate oesa halali

  • @MwanaidhMary
    @MwanaidhMary21 күн бұрын

    Umasikini uwo mnao nyie tuu sio umasikini majiendekeza tuu

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma323124 күн бұрын

    Chatu Huyo 😢

  • @AronzakariaLuchanganya
    @AronzakariaLuchanganya27 күн бұрын

    Nawapata wapi!!! Namm nitajirike

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    25 күн бұрын

    hahaha umesikia hautajiriki haraka

  • @user-xf9or5cv1d
    @user-xf9or5cv1d28 күн бұрын

    Nyinyi waongo hayo mnayo sema ni ushirikina

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam536028 күн бұрын

    Je inakuaje ukisafiri

  • @user-xo5lq7mw3n
    @user-xo5lq7mw3n27 күн бұрын

    Kesho kwa Allah mtajibu mashitaka, Sasa ni Life gani ya Utumwa?Hawa sasa wanajielezea kama wamefanyiwa Alal badir ya Mbayana,wakaa na nyoka wote wanajieleza kama vichaa

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    25 күн бұрын

    Na Muhamadi aliyemsilimisha Shetani na Majini ndiye atajibu wa kwanza

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam536028 күн бұрын

    Sasa kama kichwa hukioni unaml8sha vipi

  • @user-cv7vm1mx9d
    @user-cv7vm1mx9d27 күн бұрын

    Ivi watu mnaaamini hizi story za nyoka? Ni mchongo wa mganga huu

  • @veroclement-xv7kx
    @veroclement-xv7kx27 күн бұрын

    mama hasani wewe na huyo jamaa niwaongo mnatafuta kiki

  • @baruanikalenga2246

    @baruanikalenga2246

    25 күн бұрын

    Kumbe nawe umeona

  • @chunaabdullah1333
    @chunaabdullah133327 күн бұрын

    Fanya kazi nenda gulf uone kama utakua maskini mjinga ww uko nakila kitu mwili wako

  • @user-fm8sv6yk3c
    @user-fm8sv6yk3c24 күн бұрын

    Mbona hii Chanel jamny imekuwa inapenda Kiki maana munazingua kila siku story anarudia pale pale hakuna cha Zaid. Awe pole tyu. Umaskini sio kilemaaa n fungu la riziki Lina mda maalum. Jitahidini muwe munanyoosha maelezo maana mara alikuwa akiweka kwenye ndoo ss video hii alikuwa n briefcase 😂😂😂munatuchanganyaaa

  • @NabosJuma
    @NabosJuma22 күн бұрын

    Watengeneza content hawa hamn lolote wew unazan mtu anaye miliki nyoka anaweza kujitangaza?

  • @user-vz5gv3lo5f
    @user-vz5gv3lo5f28 күн бұрын

    Tuereze kwa Sasa wazazi wako wanakuchukuriaje tuambia,

  • @marthamvanga8028
    @marthamvanga802825 күн бұрын

    Usitamani mali ya mtu mwingine

  • @user-vz5gv3lo5f
    @user-vz5gv3lo5f28 күн бұрын

    Je unaerewana na wazazi wako mbona husemi habari za wazazi wako,

  • @user-ge9cp6yn5w
    @user-ge9cp6yn5w27 күн бұрын

    Mtangazaji unaongea sana kushinda yule unalfanyie interview punguza

  • @Babylon_Must_Fall

    @Babylon_Must_Fall

    26 күн бұрын

    Anauliza maswali yale yale, mjinga huyu!

  • @janesaru9377
    @janesaru937727 күн бұрын

    Hakai tajiri ata

  • @user-vz5gv3lo5f
    @user-vz5gv3lo5f28 күн бұрын

    Hiro joka urikuwa uripa chakura aina gan

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    25 күн бұрын

    watoto wachanga

  • @phiahofficialtv7140
    @phiahofficialtv714025 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂karanga

  • @user-vz5gv3lo5f
    @user-vz5gv3lo5f28 күн бұрын

    Je ririkuwa rinakunya mavi aina gani

  • @MariamJuma-pe4sy

    @MariamJuma-pe4sy

    27 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂 jamani 😅😅😅😅

  • @epitomeapex

    @epitomeapex

    27 күн бұрын

    Dah kweli uhuru umezid😂😂😂

  • @AsnatSaid-zp2kr

    @AsnatSaid-zp2kr

    27 күн бұрын

    😂😂😂Atari

  • @Marym-iw2wr

    @Marym-iw2wr

    27 күн бұрын

    😅😅😅😅😅nmekoma hp

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif564825 күн бұрын

    😂😂😂😂,hivi kwanini mnatengeneza story za uongo?huuu ni uongo wa wazi mnahadaa watu wasio na upeo na fikra, hivi hamuoni aibu kudanya watu? Media za hovyo kabisa, mnapotosha watu ili. Waamini ushirikina?wakapate pesa kwa nyoka?pesa ni kufanya kazi wajinga ninyi Serikali ipo kweli?mnafaa kuchukuliwa hatua kwa kupotosha watu mbwa ninyi

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph161027 күн бұрын

    Huyu mwanamke ni mwongo! Freemasoni hawatoi utajiri wa nyoka, freemason ni chama kikubwa duniani na nguvu yake sio yakitoto namna hio! Utajiri wa nyoka utatolewa kuzimu!

  • @JacklneManonga

    @JacklneManonga

    27 күн бұрын

    Ila amesema kuwa nyoka akupewa na frimason

  • @esteroseollotu6119

    @esteroseollotu6119

    26 күн бұрын

    We nae hujasikiliza story unakurupuka

  • @MagdalenaMatiko

    @MagdalenaMatiko

    26 күн бұрын

    Uchawi wowote ni freemason

  • @MagdalenaMatiko

    @MagdalenaMatiko

    26 күн бұрын

    Ukitaka kuijua freemason vizuri mfatilie Gwajima alipowaelezea mwanzo mwisho,toka ilipoanza ni akina nani wanafanyaje kazi

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    25 күн бұрын

    mmh hata akina Putini wanasema wamefuga majoka na Akina Chris wa Nigeria

  • @user-tp7bz9ep2l
    @user-tp7bz9ep2l28 күн бұрын

    Ss uyo asan yapo wapi

Келесі