PART2:MCHAWI NA MGANGA TOKA TANGA ALIEFANYA MATUKIO YA HATARI YA KICHAWI NA KUROGA NA KUHARIBU WATU

Ойын-сауық

Пікірлер: 78

  • @sheikhabdallahiddi3350
    @sheikhabdallahiddi33502 жыл бұрын

    bismillahi rahamaani rahiim huyu ni mjinga ajui chochote juu ya uisilaamu.mwenyewe ajui hats kusoma Quran .Mimi nataka nizungumze nae kwasimu live. au nialike nije niseme niwailimishe niwafahamishe

  • @mwanaikaomar8628

    @mwanaikaomar8628

    2 жыл бұрын

    Sawasawa baba.upo sahihi kabisa.mimi mwenyewe nikimsikiliza anichefua

  • @estasage498
    @estasage4982 жыл бұрын

    Kyekyekye. Sasa huyo mtume wao alijitambua kuingiliwa na mashwetani? Huum! Wndugu waislam okokeni. Amini Yesu Kristu kuwa Bwana na mokozi wa maisha yenyu

  • @macamezungu7031
    @macamezungu70312 жыл бұрын

    Huyu mzee ni machachali saana Mr everything 🔥

  • @richcompanyfilmtv823
    @richcompanyfilmtv8232 жыл бұрын

    Kutumia Quran vibaya ni matumizi ya mtu mwenyewe ukitumia vibaya utaenda kujibu siku ya mwisho .

  • @abdinoorabdulrahman614
    @abdinoorabdulrahman6142 жыл бұрын

    Acha unafik iko suratul nun inamsifu mtume Muhamad swala.ongea ujuzi was uchawi ndio unajua.lakini mitume na Mungu hujui.umri wako wote .Oman ya Quran. Laana hii yako.

  • @chriscao9828

    @chriscao9828

    2 жыл бұрын

    Acheni kuabudu majini

  • @florencerose859
    @florencerose8592 жыл бұрын

    Simlizi ya huyu na ya Meshark ni inafanana kidogo kulinga na uchawi ya kitabu wako sawa

  • @thumnathumna5946
    @thumnathumna59462 жыл бұрын

    Nilikumbuka leo kuja apa nilidhani ni mikasa. Kumbe mpango wako wa kuchafua quruan na uislam bado unaendelea bao...

  • @saidsaleem1732
    @saidsaleem17322 жыл бұрын

    Muongo mkubwa huyo

  • @yahyamusa471
    @yahyamusa4712 жыл бұрын

    Davistar mwambie asome tafsiri ya Suratul Jinn ndio tuanzie hapo pili Uchawi ulianza hata kabla ya quran mfano wakati wa Suleiman na Musa swali langu kwake ni je ni Quran ilitumika wakati hio ama ni kitu gani kilikua kinatumika kuita majini?

  • @zulekhasaud483

    @zulekhasaud483

    4 ай бұрын

    Swari zuri

  • @sashaomari7987
    @sashaomari79872 жыл бұрын

    NENO LA MNGU LINASEMA YALIYO GIZANI YATAFUNULIWA KUTAKUWA HAKUNA SIRI TENA

  • @ibrahimrugina3095
    @ibrahimrugina30952 жыл бұрын

    SILENT is better than unnecessary drama

  • @ahmadabdallah6641
    @ahmadabdallah66412 жыл бұрын

    Safi

  • @aftapat5365
    @aftapat53652 жыл бұрын

    mimi ni msabato ila kuiongelea dini ya mtu sio poa kwanini mhojianme wa kristo kwa wakristo kuhusu dini ya mtu wakati kuna mi hazara kati ya mashehe na wachungaji

  • @abdinoorabdulrahman614
    @abdinoorabdulrahman6142 жыл бұрын

    Uyu mchawi mwanga asijifanye ana mjua Mungu na vitabuvyake

  • @HamixBreshiBane
    @HamixBreshiBane2 жыл бұрын

    Kuna elimu inaitwa FALAQ ktk kusomaji wa elimu ya uislamu Hii inahusiana na sisi binadamu na Majini na huwa Tunashirikiana ktk ibada na mambo mengine hususani ktk masuala ya Tiba na elimu hii sio wote wanaoijua ni wachache afu kuna watu hii falaq wanaitumia vibaya baada kushirikiana na hawa viumbe ktk mambo mema kuna watu wanawatumia vibaya ndo hao sasa wakina shee omar mnyesheni,shedrack na yule amiri wamesoma vizuri dini lakini falaq zao wamezitumia vibaya...afu uyo jamaa ako hajui kitu yaani haelewi afu hatulazimishani kuamini tutakutana

  • @estasage498
    @estasage4982 жыл бұрын

    Oh yes. Good point. Kwa nini huyu jini asitumiye bibles?? Na jini zote jina zao ni za Islam. Tuacheni utani. Dini hiyo ya kuzimu. Ipigwe kwa damu ya mwana kondoo. Amen

  • @limajblessed7132

    @limajblessed7132

    2 жыл бұрын

    Zababu haina nguvu zakimungu anamaanisha kiwa quran inanguvu

  • @chriscao9828

    @chriscao9828

    2 жыл бұрын

    @@limajblessed7132 🤣🤣🤣mtume wao mwenyewe alikuwa hajielewi..lizezeta ambalo lilikuwa lafuata shetani na kuabudu majini

  • @azizaaziza7996
    @azizaaziza79962 жыл бұрын

    Jamani waislam wenzangu kieni making nahuyu baba nimnafik muemakini sana

  • @bellamumin5434
    @bellamumin5434 Жыл бұрын

    Brother we respect u and we like your channel, but pls try not to criticize ISLAM . Especially that u know that Muslims do watch your channel. I beg u on behalf of all True Muslims not to try and make our Religion look like it's a bad religion. U are a Christian and we respect u for that. Stay in your religion and let us stay in ours. Peace

  • @mudyomar2608
    @mudyomar26082 жыл бұрын

    davista hawa wat watakuharibia na kupoteza malengo na dhamiraya hichi kipindi, kijana hana adabu ukimtamka Muhammad naomb umtaje kwa nidhamu, kinyume nahlo utakuw unamkosea adabu mtume wetu, samahn san tena samahni sana.

  • @jameskuzwa8675
    @jameskuzwa86752 жыл бұрын

    Kwa mawazo yangu hivi vitabu vina matumiz makubwa sana....hata biblia nikiwa seminary nilifundishwa pia inawezekana ukaitumia tofaut kabisa Tena ikiendana na mfungo...sasa kwa anayebisha anitafute I will reveal...so hivi vitabu inategemea na busara,hekima na akili kwa jinsi unavyovitumia

  • @BlueChriss
    @BlueChriss2 жыл бұрын

    Nimekuja 🤝

  • @lisaamosi7297
    @lisaamosi72972 жыл бұрын

    MUNGU wa Mbinguni tunaomba utu saidie Dunia Hii inamambo Mengi Sana 😳

  • @inthekitchenwithnona4427
    @inthekitchenwithnona44272 жыл бұрын

    Hasbiyallah waneemal wakeel

  • @abdulbasitsalim6133
    @abdulbasitsalim61332 жыл бұрын

    Kama umetumia kisu kwa uchawi Utasema hiki kisu ni mchawi ?

  • @jumahatibu9240
    @jumahatibu92402 жыл бұрын

    hahahahah huyu jamaa chizi majini yake yanampotosha aache ushirikina

  • @jumahatibu9240
    @jumahatibu92402 жыл бұрын

    aache uongo huyo mshirikina subir ufe ndo utaelewa

  • @azizimaliki4253
    @azizimaliki42532 жыл бұрын

    Hivi kwanini wakristo hawawi waganga davista hebu muulize kwenye episode inayofata

  • @askaounga6456
    @askaounga64562 жыл бұрын

    Ni watatu Sasa wameongelea Hilo sura

  • @inthekitchenwithnona4427
    @inthekitchenwithnona44272 жыл бұрын

    Jibril ndie aliekua akimpa ujumbe sio Khadija na uongo wako

  • @josephkibona7921
    @josephkibona79212 жыл бұрын

    Pamoja

  • @ahyatibenn8319
    @ahyatibenn83192 жыл бұрын

    mahayawani wako wengi, au wanatafuta kujulikana

  • @mwanakulitafutatakatumba3916

    @mwanakulitafutatakatumba3916

    2 жыл бұрын

    Wallah huyu jamaa ata hajui ywaongea nini

  • @inthekitchenwithnona4427
    @inthekitchenwithnona44272 жыл бұрын

    Kur aan ilishushwa kwa muda wa miaka 23 sehemu mbali mbali na time mbali mbali

  • @davidochieng7055
    @davidochieng70552 жыл бұрын

    hapa tunafundishana nn sasa

  • @deadcrush
    @deadcrush2 жыл бұрын

    sauti jamani..

  • @inthekitchenwithnona4427
    @inthekitchenwithnona44272 жыл бұрын

    Inaposhushwa inakuja kwa mujibu ya matukio yanayotokea

  • @inthekitchenwithnona4427
    @inthekitchenwithnona44272 жыл бұрын

    Naona jamaa ufanye research kuhusu uislam unasema mambo tofauti

  • @barakamanu1514
    @barakamanu15142 жыл бұрын

    Waislamu waliopo hapa wachangie jambo hili, ni kweli kwamba huyo mtume aliaminishwa na mkewe kuwa aliyemtokea ni malaika?

  • @mwanakulitafutatakatumba3916
    @mwanakulitafutatakatumba39162 жыл бұрын

    Pindi uje kw Quran kwanza tafuta Bible ilipewa ama ilishukishiwa mtume nani bwege wewe

  • @cideboy100
    @cideboy1002 жыл бұрын

    Huyu sasa anasema alikuwa mganga next time utaletewa mwingine akwambie alikuwa Imamu msikitini

  • @ole_larusai587
    @ole_larusai5872 жыл бұрын

    Hii sura kursi (mimi sijui kuiandika) huyu ni mtu wa 4 anasema ameshaitumia kufanyia uchawi. Lakini siku zote mahamuma huku wanapinga? Inaonekana quran ni kitabu cha majini...uchawi

  • @castrokassoga7271
    @castrokassoga72712 жыл бұрын

    Mungu hafanyi jambo lolote bila kuwafunuliwa watumishi wake hao manabii amosi 3:7 mtume Muhammad wapi ameandikwa atakuja???1 wakorintho 15:2-3 Yesu alizaliwa na kulingana na maandiko,mtume Muhammad alitokea wapi??

  • @funnystuffhunter2618

    @funnystuffhunter2618

    2 жыл бұрын

    Ukitaka watu wabishabe na wewe ama ...maana naona kama umefeli 😄😄🤣🤣🤣

  • @rosehopekenya699
    @rosehopekenya6992 жыл бұрын

    Kaka utafinywa wewe na waislamu,,😂😂 ukiongea hivyo,,,,😂sisi hatupo

  • @abdulbasitsalim6133
    @abdulbasitsalim61332 жыл бұрын

    Wewe mwenyewe hapo ni alfa na omega ni unique Ukifa wewe hapo hatokuja mwingine duniani mpaka mwisho wake atakae kuwa kama wewe. Na kila mtu ni alfa na omega. Kwa maana ni(uniaqe) Ukifa hatokuja mwingine Kama wewe.

  • @mbarakausein6534
    @mbarakausein65342 жыл бұрын

    Hebu simulia ww ulikuwa unafanya Nini usitupe maelezo ya jinsi uchawi unavyotengenezwa. Simulia alikuja mtu wa namna hii tukafanya hivi na hivi Sasa ww unaelezea Mara waganga wanafanya hivi Sasa hiyo ni stori yako au unatufundisha namna ya kuloga

  • @yessecharles3155

    @yessecharles3155

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣 sasa si ni party ya story

  • @inthekitchenwithnona4427
    @inthekitchenwithnona44272 жыл бұрын

    jamaa akasome zaidi

  • @azizaaziza7996
    @azizaaziza79962 жыл бұрын

    Ulikua unatumia Kwa sababu qur,an nidawa mbonahukutumia bibili ha

  • @babyboss2886
    @babyboss28862 жыл бұрын

    Nimefika

  • @inthekitchenwithnona4427
    @inthekitchenwithnona44272 жыл бұрын

    Suratul Jinn na Yaseen ni tofauti

  • @johndela7435

    @johndela7435

    Жыл бұрын

    Hizo sura zote zipo kwenye quran au ?? na je utofauti wake nn

  • @limajblessed7132
    @limajblessed71322 жыл бұрын

    Na ndio maana hadi leo mashetani wanatumia wakristo kwa kutumia miujiza sbb wanaamini kwa miujiza mapastor wanawachezea saana sai kwa ushirikina wa miujiza alfu Quran ni neno la mungu na pia inanguvu mm kama muisilamu najilinda na kitabi icho sbb hata hao majini walikubali Quran sasa ww mwenye upeo wakuona mitaa kadha mbele hujui kitu tushazoea hizi topics

  • @azizaaziza7996
    @azizaaziza79962 жыл бұрын

    Najua sema muhammd alipewa utumepi unasema niuwongo jee huyu yesu alipewa wapi na nani alomwambia wewe niyesu

  • @estasage498
    @estasage4982 жыл бұрын

    Muhamadi alipewa utume na Lucifer. Period. Tusidanganywe.

  • @beirut9750
    @beirut9750Ай бұрын

    Huyu ni muongo hakuna sura kwa Qur'an Inaitwa alhamdu hajui kuhusu hata hizi Sura .

  • @rrftgu1453
    @rrftgu14532 жыл бұрын

    Sas unatuutubiy awo unatuadisiya mambo yadin yametok wapi

  • @inthekitchenwithnona4427
    @inthekitchenwithnona44272 жыл бұрын

    Siyo suratul qursi,ni aya tu

  • @danimapesa7821
    @danimapesa78212 жыл бұрын

    Huyu jamaa kwel anajua

  • @abdulbasitsalim6133
    @abdulbasitsalim61332 жыл бұрын

    Isome tafairi ya yasini kwa lugha yako ya kiswahili Uwone nini inasema.?

  • @mishibaron5021

    @mishibaron5021

    2 жыл бұрын

    Wacha makasiriko wewe

  • @sheikhabdallahiddi3350
    @sheikhabdallahiddi33502 жыл бұрын

    davista huyu na wewe nyote mmepotea .kwanza nyiyi sio waisilamu na mnajadili juu ya uisilaamu.kweli moto was Allah munautafuta.mwambie huyu bonzo mwezio atafsiri Kur an suratu Yasin alafu umsikilize kama kweli anayo yasema

  • @nadiaflex6414
    @nadiaflex64145 ай бұрын

    Ni vyema tukawa na elimu kabla ya kupotosha watu. Mtume Muhammad ametajwa mara nne katika Quran. Kwa nini jamaa anaongea uongo?

  • @jumazia2184
    @jumazia21842 жыл бұрын

    Utanyooka wewe, agent huyo!!!

  • @andrewuhuru3090
    @andrewuhuru30902 жыл бұрын

    UKWELI MTUPU TUUUUUU

  • @ibrahimrugina3095
    @ibrahimrugina30952 жыл бұрын

    Acha ujinga ww jielewe

  • @azizaaziza7996
    @azizaaziza79962 жыл бұрын

    Yani wewe baba unachekesha kweli surat kursiyu nisura gaiyo

  • @shenjamamzingi7950
    @shenjamamzingi79502 жыл бұрын

    WACHUNGAJI NI MAKAFIRI HILO LA KWANZA NA PILI NASHANGAZWA NA HIVI VIJICHAWI AMBAVYO KABLA YA KIJIITA 'WALOKOLE' WALIKUWA KTK DINI ZAO ZA MWANZO KIMGUU UPANDE KISHA WALIPODAI KUACHA UCHAWI WAKAJIINGIZA 'UCHUNGAJINI'...

  • @yessecharles3155

    @yessecharles3155

    2 жыл бұрын

    Jibu kwa hoja si kutukana aisee sasa makasiriko ya nini alfu hulazimishwi kuamini anavyoamini yeye kila mtu ana uhuru wa kuamini anachoamini

  • @reubenbushiri1753
    @reubenbushiri17532 жыл бұрын

    Mnyeshani,meshaki mupo wapi?

  • @abdulbasitsalim6133
    @abdulbasitsalim61332 жыл бұрын

    Mohammad alifanya miujiza Kama kuupasua mwezi Na kutoa maji kama bomba la maji kwenye mikono yake. Lakini kwenye uislamu si jambo la mashiko hilo Kuwa amefanya miujiza Ndio ukubali kuwa ni nabii. Uislamu hauko hivyo.

  • @yahyamusa471
    @yahyamusa4712 жыл бұрын

    Kwanza Quran ni kitabu ambacho Mungu ameapa kuilinda pili 1400 yrs iloyopita Quran ilisema dunia inazidi kupanuka na pia jua, mwezi kila moja ipo na njia yake.Quran ikazidi kusema jinsi binadamu anavopatikana kutokamana na manii.Mtume Muhammad S.A.W hakua na elimu je aliyempa kitabu hicho ni nani kama Haikutoka Kwa Mungu?

Келесі