PART1!NILIMUUA MKE WANGU NA MWANANGU/NILIKUNYWA DAMU/SUFURIA ILIONGEA/NILILALA NIKAJIKUTA BARABARANI

Ойын-сауық

Пікірлер: 165

  • @utapatatabusanautanyooka2600
    @utapatatabusanautanyooka26004 жыл бұрын

    Kama wamkubali Sana Davstar mata Kama Mimi gonga like yako hapa ajue kwer twamkubali

  • @ngwanafabian7532
    @ngwanafabian75324 жыл бұрын

    Yesu anasema " tafuteni kwanza ufalme wa mbinguni na haki yake na hayo mengine mtazidishiwa"

  • @esterelias8189

    @esterelias8189

    4 жыл бұрын

    Amina!

  • @towettcheptoo3047
    @towettcheptoo30474 жыл бұрын

    Iav been following your shows, but nimejua hata hizi pesa wanadhani kuzipata hivi hivi zina ugumu na masharti makali heri kufanya kazi na kumuomba mungu tu..maana naye mungu hubariki kazi ya mikono zetu

  • @alawitv2843
    @alawitv28434 жыл бұрын

    Kama unaikubali DAVISTAR MATA MEDIA gonga like yako hapo tujuane

  • @marywambui519
    @marywambui5193 жыл бұрын

    Davistar napenda sana kukufwatilia lakini mziki unaboa sana tuache tuskie sauti zenu bila kelele zingine zisizo na haja all the way from 254

  • @niaanthony9588
    @niaanthony95884 жыл бұрын

    Pls vijana tuache tamaa za kutafuta pesa kwa waganga maana pesa za hivo ujijue tu iposiku zitakurejesha kwenye umaskini wako tofauti na pesa unayotafuta kwa Jasho lako na ni halali

  • @esterelias8189
    @esterelias81894 жыл бұрын

    Abae ana tabia kama yangu tujuwane wapendwa..nasikiliza huku nasoma comment

  • @ichukagaum9732
    @ichukagaum97324 жыл бұрын

    Nakupenda Mata unavyomhoji kwa kina

  • @fenistosanga573

    @fenistosanga573

    4 жыл бұрын

    Mambo ichuka

  • @khadijajuma7142
    @khadijajuma71424 жыл бұрын

    Tamaa mbaya sana,Mungu atuepushie roho za kupenda rizki za haramu.

  • @hamisihamso3699

    @hamisihamso3699

    4 жыл бұрын

    Khadija Juma wewe ni wa mombasa ama reply pliZ

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi89774 жыл бұрын

    MTAKOMA KUFANYA USHIRIKINA KWA NINI MNAKWENDA KUOMBA UTAJIRI DUNIYA YA TATU INNALILAHI WAINNAILAIHIRAJIUN TAMAA YA UTAJIRI

  • @noonelike6382
    @noonelike63824 жыл бұрын

    Davista .. nakutabiria makubwa katika tasnia yako.. good job ✍️✍️✍️

  • @DavistarMataMediaDM

    @DavistarMataMediaDM

    4 жыл бұрын

    Ameen Shukrani

  • @noonelike6382

    @noonelike6382

    4 жыл бұрын

    @@DavistarMataMediaDM Amina!. Ubarikiwe Sana. Tunza hyo comment yangu.

  • @esterelias8189

    @esterelias8189

    4 жыл бұрын

    Namuona mbali zaidi ya millardy Ayo..Mungu akubariki!

  • @rahmakhassani4148
    @rahmakhassani41484 жыл бұрын

    Wale wa kutamani utajir wa ghafla tuache jamani hivi tulivyo pumzi safi maji tunakunywa na kidogo tukipatacho twala ni utajiri tosha

  • @kilolomaselemani9706

    @kilolomaselemani9706

    4 жыл бұрын

    Rahma Khassani M lm Hello l Hello Alm uko yuh I b N’ by I’ll nvuijaajwj Well Mm mummy wewe

  • @masibosvlogmasibos9738
    @masibosvlogmasibos97384 жыл бұрын

    Story nzuri Sana pesa za sumbua watu jamani

  • @Footballer-1992
    @Footballer-19924 жыл бұрын

    Waaau! Kind of terrible story! Please part 2 ikuje! Watching from Japan 🇯🇵

  • @demitrahawkins5457
    @demitrahawkins54574 жыл бұрын

    Ati sufiria iliongea!🤣🤣🤣so funny

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi97614 жыл бұрын

    Mhh yaani ninempenda sana huyu kijana na simulizi yake,anaongea vizuri kwa ufasaha.basi mtangazaji tuletee story hii mapema zaidi,kwani inasisimua.

  • @saumrashid8086
    @saumrashid80864 жыл бұрын

    Sasa hawa waganga wanakuwa wanafanya upuuz wao bila ya wao kujua jmn maana ctor zte likitokea jambo ndio wanajua jmn tamaa hzi fanyen kaz vijana achen nguvu za giza 🙄👌

  • @professormpakistanimweusi5766
    @professormpakistanimweusi57664 жыл бұрын

    Mambo Vp kaka Davista, Swali ni moja tu kaka, Vp unaamua kumficha mtu Sura ila unamuuliza Jina lake na anajitambulisha,pia kulingana na sauti yake ni raisi sana kwa jamii kuweza kumtambua ni vyema,ningekusii ukificha uso wa muusika,basi ficha pia utambulisho wake,na pia jaribu kuibana sauti katika hali ya ambayo itakuwa sie wasikilizaji tunaweza kuiskia na wala iwe haikeri.Shukran maoni yangu ni hayo

  • @nyambochristelle7640

    @nyambochristelle7640

    Жыл бұрын

    Jina anadanganya si lake

  • @zoey2635
    @zoey26354 жыл бұрын

    Kijiji hicho nakiskiaga

  • @vaniahrehema6194
    @vaniahrehema61943 жыл бұрын

    Mtangazaji na mhojiwa bigup saut zipo claer hazichoshi😘😘

  • @monicamonica4597
    @monicamonica45974 жыл бұрын

    Tamaa mbaya tulizike na tunachopata ata Kama nikidogo ndicho mungu alichokujalia shukuru mungu tu

  • @vandelinaugust4372
    @vandelinaugust43724 жыл бұрын

    Bro si ue unaweka yote full mtu ukikaa kuangalia unaelewa kulko vpande vpande inabid kurudia tena il kuweza kupata continuity, Though hongera kwa kutuelmisha baadh ya vijana tamaa tutazshinda kuptia story kama hiz

  • @avierastevens5141
    @avierastevens51414 жыл бұрын

    Nimecheka kama mazuri vyombo vinaongea. Story hizi jomoni davistar Mata love u

  • @likeothers2498
    @likeothers24984 жыл бұрын

    🔥🔥kama vipi mpige uyoo

  • @umikulthumhamisi8311
    @umikulthumhamisi83114 жыл бұрын

    Kheri kufa masikini kuliko utajiri wa majini nifunzo kwa wengine, pole lakini tama mbaya 254

  • @abdullahrashed4817
    @abdullahrashed48174 жыл бұрын

    bora ni uze nyanya zangu kuliko kwenda kufanya hayoo mambo

  • @abdallagakweli6366
    @abdallagakweli63664 жыл бұрын

    Shortcut xku zote zinamadhara sana ila Mungu atuongoze na hatuepushie njia za rahisi rahisi manake hatujui kesho yetu itakuwaje

  • @TheSalma1999
    @TheSalma19994 жыл бұрын

    Mungu akupandishe juu zaidi kaka Amina Asante kwa kubuni kipindi kizuri asante

  • @nushirathkhasim6638
    @nushirathkhasim66383 жыл бұрын

    Duuuh Allah SW atusamahe jamni make wanaume mnaangaika Sana Ila kwanin mnataka vitu vya haraka jamni hangaikeni Mia Mia hizo zinatosha,ridhiki anatoa mungu tu

  • @enessisosten7814
    @enessisosten78144 жыл бұрын

    Da utajili huuu bola nife masikini mm jamani khaaa

  • @mrsochu-hv7bm
    @mrsochu-hv7bm4 жыл бұрын

    Davistar mi nakupenda bule

  • @gullaalex6590
    @gullaalex65904 жыл бұрын

    😂😂😂S ya kucheka lkn nimejikuta nacheka, pole Sana

  • @princesssway1396
    @princesssway13964 жыл бұрын

    Pole nimecheka kwa nguvu eti vyombo vinasema mpige uyo . pole ndugu yangu

  • @awadhirajabu7754
    @awadhirajabu77544 жыл бұрын

    Au Kibabu Kilitaka Kikutoe Sadaka Isipokua Mungu Alipenda Ubaki Salama Ivi Sijajua Iyo Mitihani Kama Mwenzio Ilimpata

  • @zuriathkajwangya1724
    @zuriathkajwangya17244 жыл бұрын

    Fanyeni kazi vijana acheni kutafuta utajiri wa kichawi

  • @Ryoof-qo7if
    @Ryoof-qo7if4 жыл бұрын

    Mbona sauti ya fanana na yule wa kulala na babake miyaka 3 .hivi story nikweli mana mm nipenda kufatiloya sana.. yako kweli haya duniya ni mana naona km story 2 mm

  • @saumrashid8086
    @saumrashid80864 жыл бұрын

    Kofi😂😂😂😂bora ucheke mtangazaji

  • @ZainabZainab-tv9ir
    @ZainabZainab-tv9ir4 жыл бұрын

    Subhanallaah dunia inamambo

  • @annajoseph9955
    @annajoseph99554 жыл бұрын

    Vijana tamaa zitatuua jaman tutafte kwa jasho sio kupenda kitonga mungu hapendi

  • @mcheshcomedy5809
    @mcheshcomedy58093 жыл бұрын

    Davistor TUPIA GAMBOSHI EPSODE 13

  • @saumrashid8086
    @saumrashid80864 жыл бұрын

    Kapigwa maskin😀😀😀😀😀😀😀

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi85684 жыл бұрын

    Mungu wangu hivi kuna BINADAMU wanatesa hivi wenzao mmm😢

  • @brownmakaveli545
    @brownmakaveli5454 жыл бұрын

    Enjoying from Kenya...ila part 2 wachelewesha sana kaka

  • @isabellasanga9185

    @isabellasanga9185

    4 жыл бұрын

    Nakufatilia Sana da v kweli wew unakipaji Cha utangazaji maana unamuhoji mtu vizuri sana mpaka mm mxikilizaji nakuelewa

  • @wambokimani682

    @wambokimani682

    3 жыл бұрын

    Hats mm natafuta part 2 ....#kenya

  • @rahmasuweyd827
    @rahmasuweyd8274 жыл бұрын

    Part 2 davista mata please

  • @georgenkanawa7156
    @georgenkanawa71564 жыл бұрын

    Wa 6🔥🔥

  • @DavistarMataMediaDM

    @DavistarMataMediaDM

    4 жыл бұрын

    🙏🙏🙏

  • @aliykibabe9033
    @aliykibabe90334 жыл бұрын

    chunga tamaaa mbaya aiseee

  • @OmarAli-dn8cn
    @OmarAli-dn8cn4 жыл бұрын

    Inasikitisha sana

  • @jamilaally3172
    @jamilaally31724 жыл бұрын

    Dah kwer

  • @davidmongi1550
    @davidmongi15504 жыл бұрын

    Nzuri sana

  • @wahidashabaz5982
    @wahidashabaz59824 жыл бұрын

    Maisha ukiwa unayatafuta unatakiwa kutuliza akili sana dah!

  • @joycedzuya2330
    @joycedzuya23304 жыл бұрын

    Aky Mungu atawasamehe

  • @odatysharon8267
    @odatysharon826711 ай бұрын

    jaman sehemu ya 2 aiyonekani😌

  • @annajoseph9955
    @annajoseph99554 жыл бұрын

    Nitatafta kwa jasho langu lakn sio kwenda kwa waganga

  • @bmoa3538
    @bmoa35384 жыл бұрын

    Part 2 usicheleweshe davistar

  • @agnesssanga5327
    @agnesssanga53274 жыл бұрын

    Part 2 ya mchungaji wa mbeya tafadhar

  • @aboudjuma523
    @aboudjuma5234 жыл бұрын

    Davistar usogope maana naona unamuogopa jamaa😅😅😅

  • @butondodavid2105
    @butondodavid21054 жыл бұрын

    Hahaaaa nilichapwa

  • @zainabukabura9876
    @zainabukabura98764 жыл бұрын

    Nzambe mangal haahaa urichapwa

  • @kuchiethephenomenal7879
    @kuchiethephenomenal78794 жыл бұрын

    Mazombi hayo yalikuw yanakuchezea

  • @abdallahrenatus6677
    @abdallahrenatus66774 жыл бұрын

    Pamoja saana. Davistar

  • @babymansouth1164
    @babymansouth11644 жыл бұрын

    Shortcut hizoooo jamnaiiiUtajiri bora ubarikiweee+254

  • @phineruge3480
    @phineruge34804 жыл бұрын

    Dunia ina Mambo

  • @sophiebanga9533
    @sophiebanga95332 ай бұрын

    Muendelezo please

  • @babugsafari281
    @babugsafari2814 жыл бұрын

    Jamani Muendelezo

  • @missrukia9661
    @missrukia96614 жыл бұрын

    Mhuuuuu

  • @saidjuma25
    @saidjuma254 жыл бұрын

    Broo pesa ni ngum Sana kuipata sio kirahisi rahisii .lazima upambane

  • @demitrahawkins5457

    @demitrahawkins5457

    4 жыл бұрын

    Said Juma wewe ulipambana? Basi tuambie

  • @saidjuma25

    @saidjuma25

    4 жыл бұрын

    @@demitrahawkins5457 ndio tunapambana kwa kuzitafuta pesa

  • @cartmation7978
    @cartmation79784 жыл бұрын

    Mimi wangapi

  • @wambokimani682
    @wambokimani6823 жыл бұрын

    Is part 2 out?

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini42594 жыл бұрын

    Mambo ya waganga yataka moyo pole kwa mitihan kwel pesa kuipata vigum😥😥

  • @allymtamilwa6899
    @allymtamilwa68994 жыл бұрын

    inaumaa

  • @DavistarMataMediaDM

    @DavistarMataMediaDM

    4 жыл бұрын

    🙏🙏🙏

  • @momymood4341
    @momymood43414 жыл бұрын

    Dah jamn pesa hzi shida sana. Dav mwendelezo wa mchungaji uko wap

  • @DavistarMataMediaDM

    @DavistarMataMediaDM

    4 жыл бұрын

    Itakuaja

  • @fadhiliswalehe9286
    @fadhiliswalehe92864 жыл бұрын

    Money money zimesababisha watu wasoteee

  • @utapatatabusanautanyooka2600
    @utapatatabusanautanyooka26004 жыл бұрын

    Muendelezo Lin Tena kk

  • @demitrahawkins5457
    @demitrahawkins54574 жыл бұрын

    This man is very coward... wealth is not for everyone

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme4 жыл бұрын

    sio mchezo aisee

  • @angelshonza8236
    @angelshonza82364 жыл бұрын

    Mbona kataja jina na eneo alipokuwa anaishi hivyo watu walioko maeneo hayo watamjua au ndugu zake watamjua

  • @DavistarMataMediaDM

    @DavistarMataMediaDM

    4 жыл бұрын

    Alikubali mwenyewe kutaja

  • @karrolleschon3986
    @karrolleschon39864 жыл бұрын

    Ndanii

  • @DavistarMataMediaDM

    @DavistarMataMediaDM

    4 жыл бұрын

    🙏🙏🙏

  • @elizanjeri5455
    @elizanjeri54554 жыл бұрын

    Mbona usi post kitu ikiwa full

  • @awadhirajabu7754
    @awadhirajabu77544 жыл бұрын

    Mtu Ukimjua Hata Akigeukia Wapi Utamjua Tu Na Kuusu Utajili Wa Kichawi Nilazima Utengenezwe Uwe Kama Chizi Fuleshi Uchawi Noma

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan67704 жыл бұрын

    Dah hyo babu mitihani yake si midogo kuifaulu nikazi kubwa san

  • @rajabukidiza9831
    @rajabukidiza98314 жыл бұрын

    Mzigula mnyetukwindakala

  • @beatricesheme9427
    @beatricesheme94274 жыл бұрын

    heee

  • @mariamdimosso621
    @mariamdimosso6214 жыл бұрын

    Watu tuache tamaa za kijinga

  • @alawitv2843
    @alawitv28434 жыл бұрын

    Nakubali sana wale team data mpoooooo

  • @DavistarMataMediaDM

    @DavistarMataMediaDM

    4 жыл бұрын

    🙏🙏🙏

  • @ramadhanishabani2743

    @ramadhanishabani2743

    Жыл бұрын

    @@DavistarMataMediaDM hii story haina mwendelezo?

  • @wilsonkakili2481
    @wilsonkakili24814 жыл бұрын

    Kwa watumishi wa MUNGU MSISIKILIZE stori za davistar mwisho wa stori zake hazimpi Yesu utufu ,na zitakuretea mazara kwenye maisha yako

  • @DavistarMataMediaDM

    @DavistarMataMediaDM

    4 жыл бұрын

    Ameen

  • @DavistarMataMediaDM

    @DavistarMataMediaDM

    4 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi

  • @gabrielngugi5129

    @gabrielngugi5129

    4 жыл бұрын

    Mbona wewe unawatch?

  • @neemanasir7676

    @neemanasir7676

    4 жыл бұрын

    Acha hizo ww ulitaka akemee akimaliza kl mtu anaimani yake kwa mungu

  • @bernardmallya2967

    @bernardmallya2967

    4 жыл бұрын

    Wilson Kakili ndio nyie mnaoendaga Zambezi nin? Mbona unajishtukia?

  • @mazonaone7708
    @mazonaone77084 жыл бұрын

    KING MATA

  • @DavistarMataMediaDM

    @DavistarMataMediaDM

    4 жыл бұрын

    Shukrani

  • @faidhirashidi1354
    @faidhirashidi13544 жыл бұрын

    1

  • @DavistarMataMediaDM

    @DavistarMataMediaDM

    4 жыл бұрын

    👍👍👍

  • @vonsidertz8405
    @vonsidertz84054 жыл бұрын

    Bro uwe unaweka zote part one na two Mtu hawez kuangalia part two bila part one so zote zitafatiliwa kwa wakati

  • @deelissa2746

    @deelissa2746

    4 жыл бұрын

    Umeona eeeh sasa hapo mpk uje kupata part 2 umeshasahau ulipoishia😂

  • @vonsidertz8405

    @vonsidertz8405

    4 жыл бұрын

    @@deelissa2746 ndiooo

  • @goldshukri86
    @goldshukri864 жыл бұрын

    Ni hatari

  • @alawitv2843
    @alawitv28434 жыл бұрын

    Bonge la story tuletee vitu mzee baba tunakukubali

  • @moreenmbatha1147
    @moreenmbatha11474 жыл бұрын

    25 nipewe kiti

  • @fasanitzfasanitz9631
    @fasanitzfasanitz96314 жыл бұрын

    Kaka mbona ujamuliza sumbawanga kijiji gani?

  • @edisonbyekwaso7813

    @edisonbyekwaso7813

    4 жыл бұрын

    😁unatka uende

  • @naomiakoth2958

    @naomiakoth2958

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂 kwani wataka kuenda

  • @hajirinibakari25
    @hajirinibakari254 жыл бұрын

    Kuna story ujamalizia ile ya mchungaji tulikua tunasubiria muendelezo ila leo umekuja na mpya ..tumalizie ile kwanza

  • @DavistarMataMediaDM

    @DavistarMataMediaDM

    4 жыл бұрын

    Sawa itapanda

  • @bahatikatembo1258

    @bahatikatembo1258

    4 жыл бұрын

    Hiyo na wait sana balaa

  • @nancychissamo379
    @nancychissamo3794 жыл бұрын

    Doh!! Sufuria inaongea tena,,dunia ina mambo hii kha!!🙄🙄🙄

  • @ayubutewele5241
    @ayubutewele52414 жыл бұрын

    Mimi ninakupa ushauri wa bure, ninadhani urudi kwenye stori zile za mwazo za kuamsha udadisi hizi stori za watu hazivutii, nenda kwenye makala za historia

  • @bernardmallya2967

    @bernardmallya2967

    4 жыл бұрын

    Zinavutia mbona na zinatoa fundisho kubwa sana kwa vijana wenye kutaka mafinikio kwa shortcut...

  • @mariamdimosso621
    @mariamdimosso6214 жыл бұрын

    Wa mia

  • @DavistarMataMediaDM

    @DavistarMataMediaDM

    4 жыл бұрын

    Tupo pamoja

  • @oscarlemamaringo8081
    @oscarlemamaringo80814 жыл бұрын

    Kwadkwazu moja

  • @user-uk8ot2lx5v
    @user-uk8ot2lx5v4 жыл бұрын

    muendelezo samahan

  • @teddyelieza9780
    @teddyelieza97804 жыл бұрын

    Samahani uwe unatoa part zote

  • @neemakoka599
    @neemakoka5994 жыл бұрын

    Hizi pesa duuh

Келесі