Kama wamkubali Sana Davstar mata Kama Mimi gonga like yako hapa ajue kwer twamkubali
@ngwanafabian75324 жыл бұрын
Yesu anasema " tafuteni kwanza ufalme wa mbinguni na haki yake na hayo mengine mtazidishiwa"
@esterelias8189
4 жыл бұрын
Amina!
@towettcheptoo30474 жыл бұрын
Iav been following your shows, but nimejua hata hizi pesa wanadhani kuzipata hivi hivi zina ugumu na masharti makali heri kufanya kazi na kumuomba mungu tu..maana naye mungu hubariki kazi ya mikono zetu
@alawitv28434 жыл бұрын
Kama unaikubali DAVISTAR MATA MEDIA gonga like yako hapo tujuane
@marywambui5193 жыл бұрын
Davistar napenda sana kukufwatilia lakini mziki unaboa sana tuache tuskie sauti zenu bila kelele zingine zisizo na haja all the way from 254
@niaanthony95884 жыл бұрын
Pls vijana tuache tamaa za kutafuta pesa kwa waganga maana pesa za hivo ujijue tu iposiku zitakurejesha kwenye umaskini wako tofauti na pesa unayotafuta kwa Jasho lako na ni halali
@esterelias81894 жыл бұрын
Abae ana tabia kama yangu tujuwane wapendwa..nasikiliza huku nasoma comment
@ichukagaum97324 жыл бұрын
Nakupenda Mata unavyomhoji kwa kina
@fenistosanga573
4 жыл бұрын
Mambo ichuka
@khadijajuma71424 жыл бұрын
Tamaa mbaya sana,Mungu atuepushie roho za kupenda rizki za haramu.
@hamisihamso3699
4 жыл бұрын
Khadija Juma wewe ni wa mombasa ama reply pliZ
@alihijiiddi89774 жыл бұрын
MTAKOMA KUFANYA USHIRIKINA KWA NINI MNAKWENDA KUOMBA UTAJIRI DUNIYA YA TATU INNALILAHI WAINNAILAIHIRAJIUN TAMAA YA UTAJIRI
@noonelike63824 жыл бұрын
Davista .. nakutabiria makubwa katika tasnia yako.. good job ✍️✍️✍️
Namuona mbali zaidi ya millardy Ayo..Mungu akubariki!
@rahmakhassani41484 жыл бұрын
Wale wa kutamani utajir wa ghafla tuache jamani hivi tulivyo pumzi safi maji tunakunywa na kidogo tukipatacho twala ni utajiri tosha
@kilolomaselemani9706
4 жыл бұрын
Rahma Khassani M lm Hello l Hello Alm uko yuh I b N’ by I’ll nvuijaajwj Well Mm mummy wewe
@masibosvlogmasibos97384 жыл бұрын
Story nzuri Sana pesa za sumbua watu jamani
@Footballer-19924 жыл бұрын
Waaau! Kind of terrible story! Please part 2 ikuje! Watching from Japan 🇯🇵
@demitrahawkins54574 жыл бұрын
Ati sufiria iliongea!🤣🤣🤣so funny
@mariamfritsi97614 жыл бұрын
Mhh yaani ninempenda sana huyu kijana na simulizi yake,anaongea vizuri kwa ufasaha.basi mtangazaji tuletee story hii mapema zaidi,kwani inasisimua.
@saumrashid80864 жыл бұрын
Sasa hawa waganga wanakuwa wanafanya upuuz wao bila ya wao kujua jmn maana ctor zte likitokea jambo ndio wanajua jmn tamaa hzi fanyen kaz vijana achen nguvu za giza 🙄👌
@professormpakistanimweusi57664 жыл бұрын
Mambo Vp kaka Davista, Swali ni moja tu kaka, Vp unaamua kumficha mtu Sura ila unamuuliza Jina lake na anajitambulisha,pia kulingana na sauti yake ni raisi sana kwa jamii kuweza kumtambua ni vyema,ningekusii ukificha uso wa muusika,basi ficha pia utambulisho wake,na pia jaribu kuibana sauti katika hali ya ambayo itakuwa sie wasikilizaji tunaweza kuiskia na wala iwe haikeri.Shukran maoni yangu ni hayo
@nyambochristelle7640
Жыл бұрын
Jina anadanganya si lake
@zoey26354 жыл бұрын
Kijiji hicho nakiskiaga
@vaniahrehema61943 жыл бұрын
Mtangazaji na mhojiwa bigup saut zipo claer hazichoshi😘😘
@monicamonica45974 жыл бұрын
Tamaa mbaya tulizike na tunachopata ata Kama nikidogo ndicho mungu alichokujalia shukuru mungu tu
@vandelinaugust43724 жыл бұрын
Bro si ue unaweka yote full mtu ukikaa kuangalia unaelewa kulko vpande vpande inabid kurudia tena il kuweza kupata continuity, Though hongera kwa kutuelmisha baadh ya vijana tamaa tutazshinda kuptia story kama hiz
@avierastevens51414 жыл бұрын
Nimecheka kama mazuri vyombo vinaongea. Story hizi jomoni davistar Mata love u
@likeothers24984 жыл бұрын
🔥🔥kama vipi mpige uyoo
@umikulthumhamisi83114 жыл бұрын
Kheri kufa masikini kuliko utajiri wa majini nifunzo kwa wengine, pole lakini tama mbaya 254
@abdullahrashed48174 жыл бұрын
bora ni uze nyanya zangu kuliko kwenda kufanya hayoo mambo
@abdallagakweli63664 жыл бұрын
Shortcut xku zote zinamadhara sana ila Mungu atuongoze na hatuepushie njia za rahisi rahisi manake hatujui kesho yetu itakuwaje
@TheSalma19994 жыл бұрын
Mungu akupandishe juu zaidi kaka Amina Asante kwa kubuni kipindi kizuri asante
@nushirathkhasim66383 жыл бұрын
Duuuh Allah SW atusamahe jamni make wanaume mnaangaika Sana Ila kwanin mnataka vitu vya haraka jamni hangaikeni Mia Mia hizo zinatosha,ridhiki anatoa mungu tu
@enessisosten78144 жыл бұрын
Da utajili huuu bola nife masikini mm jamani khaaa
@mrsochu-hv7bm4 жыл бұрын
Davistar mi nakupenda bule
@gullaalex65904 жыл бұрын
😂😂😂S ya kucheka lkn nimejikuta nacheka, pole Sana
@princesssway13964 жыл бұрын
Pole nimecheka kwa nguvu eti vyombo vinasema mpige uyo . pole ndugu yangu
@awadhirajabu77544 жыл бұрын
Au Kibabu Kilitaka Kikutoe Sadaka Isipokua Mungu Alipenda Ubaki Salama Ivi Sijajua Iyo Mitihani Kama Mwenzio Ilimpata
@zuriathkajwangya17244 жыл бұрын
Fanyeni kazi vijana acheni kutafuta utajiri wa kichawi
@Ryoof-qo7if4 жыл бұрын
Mbona sauti ya fanana na yule wa kulala na babake miyaka 3 .hivi story nikweli mana mm nipenda kufatiloya sana.. yako kweli haya duniya ni mana naona km story 2 mm
@saumrashid80864 жыл бұрын
Kofi😂😂😂😂bora ucheke mtangazaji
@ZainabZainab-tv9ir4 жыл бұрын
Subhanallaah dunia inamambo
@annajoseph99554 жыл бұрын
Vijana tamaa zitatuua jaman tutafte kwa jasho sio kupenda kitonga mungu hapendi
@mcheshcomedy58093 жыл бұрын
Davistor TUPIA GAMBOSHI EPSODE 13
@saumrashid80864 жыл бұрын
Kapigwa maskin😀😀😀😀😀😀😀
@hamidaalhabsi85684 жыл бұрын
Mungu wangu hivi kuna BINADAMU wanatesa hivi wenzao mmm😢
@brownmakaveli5454 жыл бұрын
Enjoying from Kenya...ila part 2 wachelewesha sana kaka
@isabellasanga9185
4 жыл бұрын
Nakufatilia Sana da v kweli wew unakipaji Cha utangazaji maana unamuhoji mtu vizuri sana mpaka mm mxikilizaji nakuelewa
@wambokimani682
3 жыл бұрын
Hats mm natafuta part 2 ....#kenya
@rahmasuweyd8274 жыл бұрын
Part 2 davista mata please
@georgenkanawa71564 жыл бұрын
Wa 6🔥🔥
@DavistarMataMediaDM
4 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@aliykibabe90334 жыл бұрын
chunga tamaaa mbaya aiseee
@OmarAli-dn8cn4 жыл бұрын
Inasikitisha sana
@jamilaally31724 жыл бұрын
Dah kwer
@davidmongi15504 жыл бұрын
Nzuri sana
@wahidashabaz59824 жыл бұрын
Maisha ukiwa unayatafuta unatakiwa kutuliza akili sana dah!
@joycedzuya23304 жыл бұрын
Aky Mungu atawasamehe
@odatysharon826711 ай бұрын
jaman sehemu ya 2 aiyonekani😌
@annajoseph99554 жыл бұрын
Nitatafta kwa jasho langu lakn sio kwenda kwa waganga
@bmoa35384 жыл бұрын
Part 2 usicheleweshe davistar
@agnesssanga53274 жыл бұрын
Part 2 ya mchungaji wa mbeya tafadhar
@aboudjuma5234 жыл бұрын
Davistar usogope maana naona unamuogopa jamaa😅😅😅
@butondodavid21054 жыл бұрын
Hahaaaa nilichapwa
@zainabukabura98764 жыл бұрын
Nzambe mangal haahaa urichapwa
@kuchiethephenomenal78794 жыл бұрын
Mazombi hayo yalikuw yanakuchezea
@abdallahrenatus66774 жыл бұрын
Pamoja saana. Davistar
@babymansouth11644 жыл бұрын
Shortcut hizoooo jamnaiiiUtajiri bora ubarikiweee+254
@phineruge34804 жыл бұрын
Dunia ina Mambo
@sophiebanga95332 ай бұрын
Muendelezo please
@babugsafari2814 жыл бұрын
Jamani Muendelezo
@missrukia96614 жыл бұрын
Mhuuuuu
@saidjuma254 жыл бұрын
Broo pesa ni ngum Sana kuipata sio kirahisi rahisii .lazima upambane
@demitrahawkins5457
4 жыл бұрын
Said Juma wewe ulipambana? Basi tuambie
@saidjuma25
4 жыл бұрын
@@demitrahawkins5457 ndio tunapambana kwa kuzitafuta pesa
@cartmation79784 жыл бұрын
Mimi wangapi
@wambokimani6823 жыл бұрын
Is part 2 out?
@jaklinifaustini42594 жыл бұрын
Mambo ya waganga yataka moyo pole kwa mitihan kwel pesa kuipata vigum😥😥
@allymtamilwa68994 жыл бұрын
inaumaa
@DavistarMataMediaDM
4 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@momymood43414 жыл бұрын
Dah jamn pesa hzi shida sana. Dav mwendelezo wa mchungaji uko wap
@DavistarMataMediaDM
4 жыл бұрын
Itakuaja
@fadhiliswalehe92864 жыл бұрын
Money money zimesababisha watu wasoteee
@utapatatabusanautanyooka26004 жыл бұрын
Muendelezo Lin Tena kk
@demitrahawkins54574 жыл бұрын
This man is very coward... wealth is not for everyone
@Mpakauseme4 жыл бұрын
sio mchezo aisee
@angelshonza82364 жыл бұрын
Mbona kataja jina na eneo alipokuwa anaishi hivyo watu walioko maeneo hayo watamjua au ndugu zake watamjua
@DavistarMataMediaDM
4 жыл бұрын
Alikubali mwenyewe kutaja
@karrolleschon39864 жыл бұрын
Ndanii
@DavistarMataMediaDM
4 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@elizanjeri54554 жыл бұрын
Mbona usi post kitu ikiwa full
@awadhirajabu77544 жыл бұрын
Mtu Ukimjua Hata Akigeukia Wapi Utamjua Tu Na Kuusu Utajili Wa Kichawi Nilazima Utengenezwe Uwe Kama Chizi Fuleshi Uchawi Noma
@shaabanramadhan67704 жыл бұрын
Dah hyo babu mitihani yake si midogo kuifaulu nikazi kubwa san
@rajabukidiza98314 жыл бұрын
Mzigula mnyetukwindakala
@beatricesheme94274 жыл бұрын
heee
@mariamdimosso6214 жыл бұрын
Watu tuache tamaa za kijinga
@alawitv28434 жыл бұрын
Nakubali sana wale team data mpoooooo
@DavistarMataMediaDM
4 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@ramadhanishabani2743
Жыл бұрын
@@DavistarMataMediaDM hii story haina mwendelezo?
@wilsonkakili24814 жыл бұрын
Kwa watumishi wa MUNGU MSISIKILIZE stori za davistar mwisho wa stori zake hazimpi Yesu utufu ,na zitakuretea mazara kwenye maisha yako
@DavistarMataMediaDM
4 жыл бұрын
Ameen
@DavistarMataMediaDM
4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi
@gabrielngugi5129
4 жыл бұрын
Mbona wewe unawatch?
@neemanasir7676
4 жыл бұрын
Acha hizo ww ulitaka akemee akimaliza kl mtu anaimani yake kwa mungu
@bernardmallya2967
4 жыл бұрын
Wilson Kakili ndio nyie mnaoendaga Zambezi nin? Mbona unajishtukia?
@mazonaone77084 жыл бұрын
KING MATA
@DavistarMataMediaDM
4 жыл бұрын
Shukrani
@faidhirashidi13544 жыл бұрын
1
@DavistarMataMediaDM
4 жыл бұрын
👍👍👍
@vonsidertz84054 жыл бұрын
Bro uwe unaweka zote part one na two Mtu hawez kuangalia part two bila part one so zote zitafatiliwa kwa wakati
@deelissa2746
4 жыл бұрын
Umeona eeeh sasa hapo mpk uje kupata part 2 umeshasahau ulipoishia😂
@vonsidertz8405
4 жыл бұрын
@@deelissa2746 ndiooo
@goldshukri864 жыл бұрын
Ni hatari
@alawitv28434 жыл бұрын
Bonge la story tuletee vitu mzee baba tunakukubali
@moreenmbatha11474 жыл бұрын
25 nipewe kiti
@fasanitzfasanitz96314 жыл бұрын
Kaka mbona ujamuliza sumbawanga kijiji gani?
@edisonbyekwaso7813
4 жыл бұрын
😁unatka uende
@naomiakoth2958
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 kwani wataka kuenda
@hajirinibakari254 жыл бұрын
Kuna story ujamalizia ile ya mchungaji tulikua tunasubiria muendelezo ila leo umekuja na mpya ..tumalizie ile kwanza
@DavistarMataMediaDM
4 жыл бұрын
Sawa itapanda
@bahatikatembo1258
4 жыл бұрын
Hiyo na wait sana balaa
@nancychissamo3794 жыл бұрын
Doh!! Sufuria inaongea tena,,dunia ina mambo hii kha!!🙄🙄🙄
@ayubutewele52414 жыл бұрын
Mimi ninakupa ushauri wa bure, ninadhani urudi kwenye stori zile za mwazo za kuamsha udadisi hizi stori za watu hazivutii, nenda kwenye makala za historia
@bernardmallya2967
4 жыл бұрын
Zinavutia mbona na zinatoa fundisho kubwa sana kwa vijana wenye kutaka mafinikio kwa shortcut...
Пікірлер: 165
Kama wamkubali Sana Davstar mata Kama Mimi gonga like yako hapa ajue kwer twamkubali
Yesu anasema " tafuteni kwanza ufalme wa mbinguni na haki yake na hayo mengine mtazidishiwa"
@esterelias8189
4 жыл бұрын
Amina!
Iav been following your shows, but nimejua hata hizi pesa wanadhani kuzipata hivi hivi zina ugumu na masharti makali heri kufanya kazi na kumuomba mungu tu..maana naye mungu hubariki kazi ya mikono zetu
Kama unaikubali DAVISTAR MATA MEDIA gonga like yako hapo tujuane
Davistar napenda sana kukufwatilia lakini mziki unaboa sana tuache tuskie sauti zenu bila kelele zingine zisizo na haja all the way from 254
Pls vijana tuache tamaa za kutafuta pesa kwa waganga maana pesa za hivo ujijue tu iposiku zitakurejesha kwenye umaskini wako tofauti na pesa unayotafuta kwa Jasho lako na ni halali
Abae ana tabia kama yangu tujuwane wapendwa..nasikiliza huku nasoma comment
Nakupenda Mata unavyomhoji kwa kina
@fenistosanga573
4 жыл бұрын
Mambo ichuka
Tamaa mbaya sana,Mungu atuepushie roho za kupenda rizki za haramu.
@hamisihamso3699
4 жыл бұрын
Khadija Juma wewe ni wa mombasa ama reply pliZ
MTAKOMA KUFANYA USHIRIKINA KWA NINI MNAKWENDA KUOMBA UTAJIRI DUNIYA YA TATU INNALILAHI WAINNAILAIHIRAJIUN TAMAA YA UTAJIRI
Davista .. nakutabiria makubwa katika tasnia yako.. good job ✍️✍️✍️
@DavistarMataMediaDM
4 жыл бұрын
Ameen Shukrani
@noonelike6382
4 жыл бұрын
@@DavistarMataMediaDM Amina!. Ubarikiwe Sana. Tunza hyo comment yangu.
@esterelias8189
4 жыл бұрын
Namuona mbali zaidi ya millardy Ayo..Mungu akubariki!
Wale wa kutamani utajir wa ghafla tuache jamani hivi tulivyo pumzi safi maji tunakunywa na kidogo tukipatacho twala ni utajiri tosha
@kilolomaselemani9706
4 жыл бұрын
Rahma Khassani M lm Hello l Hello Alm uko yuh I b N’ by I’ll nvuijaajwj Well Mm mummy wewe
Story nzuri Sana pesa za sumbua watu jamani
Waaau! Kind of terrible story! Please part 2 ikuje! Watching from Japan 🇯🇵
Ati sufiria iliongea!🤣🤣🤣so funny
Mhh yaani ninempenda sana huyu kijana na simulizi yake,anaongea vizuri kwa ufasaha.basi mtangazaji tuletee story hii mapema zaidi,kwani inasisimua.
Sasa hawa waganga wanakuwa wanafanya upuuz wao bila ya wao kujua jmn maana ctor zte likitokea jambo ndio wanajua jmn tamaa hzi fanyen kaz vijana achen nguvu za giza 🙄👌
Mambo Vp kaka Davista, Swali ni moja tu kaka, Vp unaamua kumficha mtu Sura ila unamuuliza Jina lake na anajitambulisha,pia kulingana na sauti yake ni raisi sana kwa jamii kuweza kumtambua ni vyema,ningekusii ukificha uso wa muusika,basi ficha pia utambulisho wake,na pia jaribu kuibana sauti katika hali ya ambayo itakuwa sie wasikilizaji tunaweza kuiskia na wala iwe haikeri.Shukran maoni yangu ni hayo
@nyambochristelle7640
Жыл бұрын
Jina anadanganya si lake
Kijiji hicho nakiskiaga
Mtangazaji na mhojiwa bigup saut zipo claer hazichoshi😘😘
Tamaa mbaya tulizike na tunachopata ata Kama nikidogo ndicho mungu alichokujalia shukuru mungu tu
Bro si ue unaweka yote full mtu ukikaa kuangalia unaelewa kulko vpande vpande inabid kurudia tena il kuweza kupata continuity, Though hongera kwa kutuelmisha baadh ya vijana tamaa tutazshinda kuptia story kama hiz
Nimecheka kama mazuri vyombo vinaongea. Story hizi jomoni davistar Mata love u
🔥🔥kama vipi mpige uyoo
Kheri kufa masikini kuliko utajiri wa majini nifunzo kwa wengine, pole lakini tama mbaya 254
bora ni uze nyanya zangu kuliko kwenda kufanya hayoo mambo
Shortcut xku zote zinamadhara sana ila Mungu atuongoze na hatuepushie njia za rahisi rahisi manake hatujui kesho yetu itakuwaje
Mungu akupandishe juu zaidi kaka Amina Asante kwa kubuni kipindi kizuri asante
Duuuh Allah SW atusamahe jamni make wanaume mnaangaika Sana Ila kwanin mnataka vitu vya haraka jamni hangaikeni Mia Mia hizo zinatosha,ridhiki anatoa mungu tu
Da utajili huuu bola nife masikini mm jamani khaaa
Davistar mi nakupenda bule
😂😂😂S ya kucheka lkn nimejikuta nacheka, pole Sana
Pole nimecheka kwa nguvu eti vyombo vinasema mpige uyo . pole ndugu yangu
Au Kibabu Kilitaka Kikutoe Sadaka Isipokua Mungu Alipenda Ubaki Salama Ivi Sijajua Iyo Mitihani Kama Mwenzio Ilimpata
Fanyeni kazi vijana acheni kutafuta utajiri wa kichawi
Mbona sauti ya fanana na yule wa kulala na babake miyaka 3 .hivi story nikweli mana mm nipenda kufatiloya sana.. yako kweli haya duniya ni mana naona km story 2 mm
Kofi😂😂😂😂bora ucheke mtangazaji
Subhanallaah dunia inamambo
Vijana tamaa zitatuua jaman tutafte kwa jasho sio kupenda kitonga mungu hapendi
Davistor TUPIA GAMBOSHI EPSODE 13
Kapigwa maskin😀😀😀😀😀😀😀
Mungu wangu hivi kuna BINADAMU wanatesa hivi wenzao mmm😢
Enjoying from Kenya...ila part 2 wachelewesha sana kaka
@isabellasanga9185
4 жыл бұрын
Nakufatilia Sana da v kweli wew unakipaji Cha utangazaji maana unamuhoji mtu vizuri sana mpaka mm mxikilizaji nakuelewa
@wambokimani682
3 жыл бұрын
Hats mm natafuta part 2 ....#kenya
Part 2 davista mata please
Wa 6🔥🔥
@DavistarMataMediaDM
4 жыл бұрын
🙏🙏🙏
chunga tamaaa mbaya aiseee
Inasikitisha sana
Dah kwer
Nzuri sana
Maisha ukiwa unayatafuta unatakiwa kutuliza akili sana dah!
Aky Mungu atawasamehe
jaman sehemu ya 2 aiyonekani😌
Nitatafta kwa jasho langu lakn sio kwenda kwa waganga
Part 2 usicheleweshe davistar
Part 2 ya mchungaji wa mbeya tafadhar
Davistar usogope maana naona unamuogopa jamaa😅😅😅
Hahaaaa nilichapwa
Nzambe mangal haahaa urichapwa
Mazombi hayo yalikuw yanakuchezea
Pamoja saana. Davistar
Shortcut hizoooo jamnaiiiUtajiri bora ubarikiweee+254
Dunia ina Mambo
Muendelezo please
Jamani Muendelezo
Mhuuuuu
Broo pesa ni ngum Sana kuipata sio kirahisi rahisii .lazima upambane
@demitrahawkins5457
4 жыл бұрын
Said Juma wewe ulipambana? Basi tuambie
@saidjuma25
4 жыл бұрын
@@demitrahawkins5457 ndio tunapambana kwa kuzitafuta pesa
Mimi wangapi
Is part 2 out?
Mambo ya waganga yataka moyo pole kwa mitihan kwel pesa kuipata vigum😥😥
inaumaa
@DavistarMataMediaDM
4 жыл бұрын
🙏🙏🙏
Dah jamn pesa hzi shida sana. Dav mwendelezo wa mchungaji uko wap
@DavistarMataMediaDM
4 жыл бұрын
Itakuaja
Money money zimesababisha watu wasoteee
Muendelezo Lin Tena kk
This man is very coward... wealth is not for everyone
sio mchezo aisee
Mbona kataja jina na eneo alipokuwa anaishi hivyo watu walioko maeneo hayo watamjua au ndugu zake watamjua
@DavistarMataMediaDM
4 жыл бұрын
Alikubali mwenyewe kutaja
Ndanii
@DavistarMataMediaDM
4 жыл бұрын
🙏🙏🙏
Mbona usi post kitu ikiwa full
Mtu Ukimjua Hata Akigeukia Wapi Utamjua Tu Na Kuusu Utajili Wa Kichawi Nilazima Utengenezwe Uwe Kama Chizi Fuleshi Uchawi Noma
Dah hyo babu mitihani yake si midogo kuifaulu nikazi kubwa san
Mzigula mnyetukwindakala
heee
Watu tuache tamaa za kijinga
Nakubali sana wale team data mpoooooo
@DavistarMataMediaDM
4 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@ramadhanishabani2743
Жыл бұрын
@@DavistarMataMediaDM hii story haina mwendelezo?
Kwa watumishi wa MUNGU MSISIKILIZE stori za davistar mwisho wa stori zake hazimpi Yesu utufu ,na zitakuretea mazara kwenye maisha yako
@DavistarMataMediaDM
4 жыл бұрын
Ameen
@DavistarMataMediaDM
4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi
@gabrielngugi5129
4 жыл бұрын
Mbona wewe unawatch?
@neemanasir7676
4 жыл бұрын
Acha hizo ww ulitaka akemee akimaliza kl mtu anaimani yake kwa mungu
@bernardmallya2967
4 жыл бұрын
Wilson Kakili ndio nyie mnaoendaga Zambezi nin? Mbona unajishtukia?
KING MATA
@DavistarMataMediaDM
4 жыл бұрын
Shukrani
1
@DavistarMataMediaDM
4 жыл бұрын
👍👍👍
Bro uwe unaweka zote part one na two Mtu hawez kuangalia part two bila part one so zote zitafatiliwa kwa wakati
@deelissa2746
4 жыл бұрын
Umeona eeeh sasa hapo mpk uje kupata part 2 umeshasahau ulipoishia😂
@vonsidertz8405
4 жыл бұрын
@@deelissa2746 ndiooo
Ni hatari
Bonge la story tuletee vitu mzee baba tunakukubali
25 nipewe kiti
Kaka mbona ujamuliza sumbawanga kijiji gani?
@edisonbyekwaso7813
4 жыл бұрын
😁unatka uende
@naomiakoth2958
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 kwani wataka kuenda
Kuna story ujamalizia ile ya mchungaji tulikua tunasubiria muendelezo ila leo umekuja na mpya ..tumalizie ile kwanza
@DavistarMataMediaDM
4 жыл бұрын
Sawa itapanda
@bahatikatembo1258
4 жыл бұрын
Hiyo na wait sana balaa
Doh!! Sufuria inaongea tena,,dunia ina mambo hii kha!!🙄🙄🙄
Mimi ninakupa ushauri wa bure, ninadhani urudi kwenye stori zile za mwazo za kuamsha udadisi hizi stori za watu hazivutii, nenda kwenye makala za historia
@bernardmallya2967
4 жыл бұрын
Zinavutia mbona na zinatoa fundisho kubwa sana kwa vijana wenye kutaka mafinikio kwa shortcut...
Wa mia
@DavistarMataMediaDM
4 жыл бұрын
Tupo pamoja
Kwadkwazu moja
muendelezo samahan
Samahani uwe unatoa part zote
Hizi pesa duuh