Hahaha....Leo nimekuwa wa kwanza kulike na kucomment acctualy I never do that🤔👏👏
@lucygeorgina86564 жыл бұрын
Wachawi sio watu wazuri alafu mtu anakuwa mchawi mwisho wa siku hana kitu anakuwa maskini kibanda cha matope mtu anakaa alafu eti mtu anakua mchawi wachawi wote motoni.
@esthergasper80864 жыл бұрын
Davistar jitahidi kusali sana .....sali uwezavyo hawa watu unaoongea nao kila siku ni hatari kwako..muamini Mungu wako unamtangaza shetani bila kujua Davistar...jaribu hata kuhoji walokombolewa ambao wapo tayar mikononi mwa Mungu
@cartmation79784 жыл бұрын
Huyu mzee stori zake zinatisha sana sio za kuangalia usiku
@deelissa2746
4 жыл бұрын
😂😂😂😂kuna siku nlizim data mwenywe bila kutumwa
@ichukagaum9732
4 жыл бұрын
Hata mie usiku naogopa😂😂😂
@Hassanmofty
4 жыл бұрын
😄😄😄😄mm zinaninogea
@twaibumikidadi7377
4 жыл бұрын
CARTMATION hahahaha
@zamanjohn4612
4 жыл бұрын
Hahaha
@Patience.672 жыл бұрын
At the name of Jesus every knee shall bow, of those in heaven,of those in earth, and of those under the earth, and every tongue should confess that Jesus is lord for the glory of God the father 🔥
@linvi_chemutai
5 ай бұрын
Amen ❤
@abdulhalimhumud19174 жыл бұрын
Davi Nakukubali sana Juu Ya vipindi vyako kama Ivi endelea kutuletea matukio Ya kidunia kama aya Asante kaka ❤️🇹🇿
@mazonaone77084 жыл бұрын
Wachawi ni watu wabaya sana
@jamilaally31724 жыл бұрын
Dah kwer pamoja sana🙏
@hameedmbogo36334 жыл бұрын
Huyu jamaa wakulisha wachawi nyoka wa kukausha😄😄
@amosimwangonji10674 жыл бұрын
Ata watano sija cherewa sana mweh mweeeh
@abdallagakweli63664 жыл бұрын
Wp mzee Domo Denda yy tu ndie utapata burudani ndani ya simulizi zke mtafute tena hakosi story yule mshikaji huoni aliunganisha story kama nne nonstop
@jackart3739
4 жыл бұрын
We jamaa unampamba domo denda 😂😂😂😂 kwel jamaa hkosi story yule
@lubatikoseme1446
4 жыл бұрын
Nampenda domo denda.. ni mchekeshaji sana
@wahidashabaz5982
4 жыл бұрын
Yule domo stori yake haishi
@sheikhanasser4714
4 жыл бұрын
No mshindi kabisa ni genuine kwa hakika si wengine za kubakhtisha tu
@nazirsamboja4048
4 жыл бұрын
Hahahaha domo denda bwana paka Kenya tumempa hongera maana ni mrongo ajabu yaani juu kwa juu anaunganisha
@aliykibabe90334 жыл бұрын
Domo denda comedian artist
@Hassanmofty4 жыл бұрын
Mzeee nampenda uyu mm jamani khaa mungu amuweke sana anajua kujielezea yani story zake zotee nazipenda
@halimarams6624
4 жыл бұрын
Nice stories I've been following him safi sana
@hamidibrahim5369
3 жыл бұрын
Kazi inakubalika ki sharia ya dini???
@demitrahawkins54574 жыл бұрын
Ati dose zangu😂halafu davistar hio smile dah!
@witneyjerry12934 жыл бұрын
Daviii leta story nyngn hapa kabla haijapoa ,imeishia patamuuu😍
@jotafungo46223 жыл бұрын
Basi sawa
@chrisswitiness51763 жыл бұрын
Napenda kwer istoria yako
@mr.jasonfxsignals48734 жыл бұрын
Kama ni part 1 anza nayo kwanza coz kufuatisha ikue rahisi kwa mfano ..... Part 1:Alifunga ....ivo
@africandarling69254 жыл бұрын
Duuuu hatri AISSEH
@rehemanduli37814 жыл бұрын
Usitucheleweshee sana bro.
@mariamfritsi49433 жыл бұрын
Mimi kinachonishangaza hawa wachawi,juu ya nguvu zao,za kuua na kutesa wenzao, nao pia wanakufa. kwa nini wasijifanyie ili wasife?
@roseuwambe80894 жыл бұрын
Davistar nyama yang'ombe🤣🤣🤣🤣
@ayshamahariq66654 жыл бұрын
Shkuran braza Davistar wazdi kutuelimisha
@abbyadams86914 жыл бұрын
Majini,waganga na wachawi wote hutumia nguvu za shetani. Isipokua hizi ni jamii mbili zilizotengana ndio maana hupigana mda wote. Wote hawa hatima yao ni Jehanamu. Ni sawa na genge la majambazi lililoasi ndio wachawi.
@bettyowiti3974 жыл бұрын
Mungu na majini ni ndugu?! Mbona sielewi..majini ya Mungu.aaah! Dunia hii ..kuishi kwingi kusikikia mengi..
@annamadraga23644 жыл бұрын
jaman napendaga sana kusikiliza simulizi za huyu lkn naogopaga hapa nimekaa nje
Hizi ndio mamb tunataka sio za kina bwana maskio wajua kabs unaongopewa😂(khiiiiii tukamtoa bata moyo) 🤣🤣jmn kijana muongo yule
@juriayasri2933
4 жыл бұрын
Vibaya mno yule kaka muongo jamani
@Blackie_blackie9327
4 жыл бұрын
Hahaaaaa chogo😀😀😀
@roseuwambe8089
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣Piahaja tuambia lileduka laoliliishia wp?
@Hassanmofty
4 жыл бұрын
Mc domo dendaa kajua kutuburuzaaaa
@flubtv
4 жыл бұрын
Kweli Yule kijana mwongo sana bcz hio simulizi yake pengine alisikia story mahali. Ni mwogo
@butondodavid21054 жыл бұрын
Nakufuatlia sanq pacha japosielewi vzr kiswahili Iam in American kunayule jamaa story series mpe na hii atusimulie
@abdulrahmanhassan92544 жыл бұрын
Yote tisa babu yake ndio alikuwa mtemi kinomaa. Pia mwambie afungue istagram ili ajitangaze atengeneze HELA
@Mpakauseme
4 жыл бұрын
Je nawe unamfahamu
@abdulrahmanhassan9254
4 жыл бұрын
@@Mpakauseme ndio nimemfahamu kupitia hapa
@jasminegabriel42474 жыл бұрын
Naku safi sana
@zaimakundi6829
4 жыл бұрын
Yupo vizur sana
@faidhirashidi13544 жыл бұрын
mzee wa majin ya kutengenezaa
@mashaelieazer61204 жыл бұрын
Hao waganga wachawi wote sawa tu kwasababu wanatumia nguvu za Giza, hakuna anaesema anatumia nguvu za yesu kristo.
@ogenylaurent7961
3 жыл бұрын
Kasome kwanza uvivu wa kusoma tu
@middleplatnumz36294 жыл бұрын
Hatar
@aliaalooya38963 жыл бұрын
Unaweza kumrudisha mpenz au
@paschalm98494 жыл бұрын
unazngua mwanangu unaishiaje apo🤣🤣🤣
@annajoseph99554 жыл бұрын
Cjaona cha kucomment nasikiliza kwanza then comment mwishon
@geraldrobert1801
4 жыл бұрын
Ifute hii coment basi 😂😂😂😂
@abdullmalik78474 жыл бұрын
254👂
@bonphacjohn33334 жыл бұрын
Namba zake
@faidhirashidi13544 жыл бұрын
mzee miskule
@rehemabakari415010 ай бұрын
Kweli kijiji chetu tumekimbiaa
@asfarsham90374 жыл бұрын
Ahh hebu msiweke miziki pls
@alihijiiddi89774 жыл бұрын
MIZIKI INAKERA NA KUHARIBU STORI HII HAYAMAMBO SIYAHUZUNI WALA MAMBO YA LOVE MNAKERA NA USHAMBAWENU HUWO TONASIKILIZA MZIKI AU HII HISTORI 😇😇😇😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😳😳😳😳
@soniyakinywelo86274 жыл бұрын
Davistar tumepata numbar ya mzee Ila hayupo WhatsApp wengine tupo njee ya Tanzania please mwambie tunahitajisaada wake
@DavistarMataMediaDM
4 жыл бұрын
Hayupo WhatsApp labda umpigie salio la kawaida
@Hassanmofty
4 жыл бұрын
Wee ndo mm kabisa namchek wsp ayupo na kupiga cm kwa tz pesa yake sasa
@babujay8247
4 жыл бұрын
Yule mc muongo mno
@rosecruiz4348
4 жыл бұрын
@@DavistarMataMediaDM mufanyie plan japo sim ndogo itakua rahisi kwetu cz kuongea nae kwa salio itakua ngumu kaka
@makenajoanne8841
4 жыл бұрын
@@DavistarMataMediaDM basi ni mgumu kumpata kama mtu yuko nje ya Tz
@lanezboy70164 жыл бұрын
Kumbe yupo bagamoyo
@mwalysmodel82324 жыл бұрын
Ambao hatukuvutiwa na usimuliaj wa domo tujuane....afu kama mwongo vileee
@TheSalma19994 жыл бұрын
Duh
@gabrielgeorge28314 жыл бұрын
Duh jamaa nashindwa kulala
@davidsonstevenson26534 жыл бұрын
sio matako ni makalio
@saumusudi97204 жыл бұрын
Kwahiyo upo wapi
@fei36684 жыл бұрын
napenda hizi story ila davista unataka uende sawa kuongea na msimuliaji yan kama interiew bwana yan unakuta msimuliaji kasema nilifungua mlango na wew unaludia tena ulifungua mlango? unaboa bwana
@navokisembo4 жыл бұрын
Mhh hakuna mchawi mzuri kwa Mungu hawafiki labda watubu
@Pedeshee01
4 жыл бұрын
Tukiegemea kwenye teknolojia hii maendeleo tutayasikia kwa wenzetu tu,maana kilichobaki kurithishana uchawi.tungekuwa tunaeithishana fikra za maendeleo ya uchumi tungekuwa mbali.uchawi na husda zimetawala mno kwenye jamii yetu.
@demitrahawkins54574 жыл бұрын
Davistar what's the meaning of "chimbuko?"
@ramadhanabas4455
3 жыл бұрын
Chimbuko means Origin
@geraldmaingi29074 жыл бұрын
It's funny huwa wanafanya all this na at the end utaenda hell kuteseka for eternity 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@demitrahawkins54574 жыл бұрын
Ofcoz alifanya kitu,alikitengeneza kitumbua kwa kitambaa Cha sanda akalizika
@shanyabdul2386
3 жыл бұрын
🙄🙄ulienda?? Kwahuyo mtaalamu
@joycengunyi33082 жыл бұрын
Hujambo Davista naomba kuwasiliana na huyu mtaalam Ako na whatsup number au messanger Niko Kenya Nairobi
@collinsmakanta68984 жыл бұрын
Duu Noma Sana Aisee
@hebronsdaughter16613 жыл бұрын
Mimi ninavyo amini muganga pia mchawi sema yy ndio mkubwa wa wachawi na hicho kipaji cha uganga hakitoki kwa Mungu cz yy anauwezo wa kishetani mie mganga hanioni kwake ng'o namuomba tu aliye niumba
@Rose-pz8es4 жыл бұрын
Whats the code for calling his number for international call...which country he live? Thanks
@demitrahawkins5457
4 жыл бұрын
In Out +255 Tanzania
@middleplatnumz36294 жыл бұрын
Nunua mic nyingine jombaa! Hivyo unaboa
@bernadethafrancis95394 жыл бұрын
Kumbe domo denda wengi wamemstukia km muongo! Nenda kwenye you tube Chanel ya Christina Francis kuangalia wimbo wake mzuri Niko huru .
@UNO-xt7we4 жыл бұрын
Hii stoli ya ukweli kabisa ata sula yake inaonesha sio kama yule domo hana kitu muongo tu hadi stoli zake za uongo kitaani
@aminajuma80984 жыл бұрын
Mmmh I doubt this,I think anatafuta wateja tu but all in all am team Domo💪
@africanbeautyx4128
4 жыл бұрын
Domo denda ndo muongo huyu jamaa ni mganga wa kweli, anaexperience na wachawi
Пікірлер: 118
Hahaha....Leo nimekuwa wa kwanza kulike na kucomment acctualy I never do that🤔👏👏
Wachawi sio watu wazuri alafu mtu anakuwa mchawi mwisho wa siku hana kitu anakuwa maskini kibanda cha matope mtu anakaa alafu eti mtu anakua mchawi wachawi wote motoni.
Davistar jitahidi kusali sana .....sali uwezavyo hawa watu unaoongea nao kila siku ni hatari kwako..muamini Mungu wako unamtangaza shetani bila kujua Davistar...jaribu hata kuhoji walokombolewa ambao wapo tayar mikononi mwa Mungu
Huyu mzee stori zake zinatisha sana sio za kuangalia usiku
@deelissa2746
4 жыл бұрын
😂😂😂😂kuna siku nlizim data mwenywe bila kutumwa
@ichukagaum9732
4 жыл бұрын
Hata mie usiku naogopa😂😂😂
@Hassanmofty
4 жыл бұрын
😄😄😄😄mm zinaninogea
@twaibumikidadi7377
4 жыл бұрын
CARTMATION hahahaha
@zamanjohn4612
4 жыл бұрын
Hahaha
At the name of Jesus every knee shall bow, of those in heaven,of those in earth, and of those under the earth, and every tongue should confess that Jesus is lord for the glory of God the father 🔥
@linvi_chemutai
5 ай бұрын
Amen ❤
Davi Nakukubali sana Juu Ya vipindi vyako kama Ivi endelea kutuletea matukio Ya kidunia kama aya Asante kaka ❤️🇹🇿
Wachawi ni watu wabaya sana
Dah kwer pamoja sana🙏
Huyu jamaa wakulisha wachawi nyoka wa kukausha😄😄
Ata watano sija cherewa sana mweh mweeeh
Wp mzee Domo Denda yy tu ndie utapata burudani ndani ya simulizi zke mtafute tena hakosi story yule mshikaji huoni aliunganisha story kama nne nonstop
@jackart3739
4 жыл бұрын
We jamaa unampamba domo denda 😂😂😂😂 kwel jamaa hkosi story yule
@lubatikoseme1446
4 жыл бұрын
Nampenda domo denda.. ni mchekeshaji sana
@wahidashabaz5982
4 жыл бұрын
Yule domo stori yake haishi
@sheikhanasser4714
4 жыл бұрын
No mshindi kabisa ni genuine kwa hakika si wengine za kubakhtisha tu
@nazirsamboja4048
4 жыл бұрын
Hahahaha domo denda bwana paka Kenya tumempa hongera maana ni mrongo ajabu yaani juu kwa juu anaunganisha
Domo denda comedian artist
Mzeee nampenda uyu mm jamani khaa mungu amuweke sana anajua kujielezea yani story zake zotee nazipenda
@halimarams6624
4 жыл бұрын
Nice stories I've been following him safi sana
@hamidibrahim5369
3 жыл бұрын
Kazi inakubalika ki sharia ya dini???
Ati dose zangu😂halafu davistar hio smile dah!
Daviii leta story nyngn hapa kabla haijapoa ,imeishia patamuuu😍
Basi sawa
Napenda kwer istoria yako
Kama ni part 1 anza nayo kwanza coz kufuatisha ikue rahisi kwa mfano ..... Part 1:Alifunga ....ivo
Duuuu hatri AISSEH
Usitucheleweshee sana bro.
Mimi kinachonishangaza hawa wachawi,juu ya nguvu zao,za kuua na kutesa wenzao, nao pia wanakufa. kwa nini wasijifanyie ili wasife?
Davistar nyama yang'ombe🤣🤣🤣🤣
Shkuran braza Davistar wazdi kutuelimisha
Majini,waganga na wachawi wote hutumia nguvu za shetani. Isipokua hizi ni jamii mbili zilizotengana ndio maana hupigana mda wote. Wote hawa hatima yao ni Jehanamu. Ni sawa na genge la majambazi lililoasi ndio wachawi.
Mungu na majini ni ndugu?! Mbona sielewi..majini ya Mungu.aaah! Dunia hii ..kuishi kwingi kusikikia mengi..
jaman napendaga sana kusikiliza simulizi za huyu lkn naogopaga hapa nimekaa nje
Davista mtafute uyo kaka kwakwel brother davista please 🙏🙏
Hizi ndio mamb tunataka sio za kina bwana maskio wajua kabs unaongopewa😂(khiiiiii tukamtoa bata moyo) 🤣🤣jmn kijana muongo yule
@juriayasri2933
4 жыл бұрын
Vibaya mno yule kaka muongo jamani
@Blackie_blackie9327
4 жыл бұрын
Hahaaaaa chogo😀😀😀
@roseuwambe8089
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣Piahaja tuambia lileduka laoliliishia wp?
@Hassanmofty
4 жыл бұрын
Mc domo dendaa kajua kutuburuzaaaa
@flubtv
4 жыл бұрын
Kweli Yule kijana mwongo sana bcz hio simulizi yake pengine alisikia story mahali. Ni mwogo
Nakufuatlia sanq pacha japosielewi vzr kiswahili Iam in American kunayule jamaa story series mpe na hii atusimulie
Yote tisa babu yake ndio alikuwa mtemi kinomaa. Pia mwambie afungue istagram ili ajitangaze atengeneze HELA
@Mpakauseme
4 жыл бұрын
Je nawe unamfahamu
@abdulrahmanhassan9254
4 жыл бұрын
@@Mpakauseme ndio nimemfahamu kupitia hapa
Naku safi sana
@zaimakundi6829
4 жыл бұрын
Yupo vizur sana
mzee wa majin ya kutengenezaa
Hao waganga wachawi wote sawa tu kwasababu wanatumia nguvu za Giza, hakuna anaesema anatumia nguvu za yesu kristo.
@ogenylaurent7961
3 жыл бұрын
Kasome kwanza uvivu wa kusoma tu
Hatar
Unaweza kumrudisha mpenz au
unazngua mwanangu unaishiaje apo🤣🤣🤣
Cjaona cha kucomment nasikiliza kwanza then comment mwishon
@geraldrobert1801
4 жыл бұрын
Ifute hii coment basi 😂😂😂😂
254👂
Namba zake
mzee miskule
Kweli kijiji chetu tumekimbiaa
Ahh hebu msiweke miziki pls
MIZIKI INAKERA NA KUHARIBU STORI HII HAYAMAMBO SIYAHUZUNI WALA MAMBO YA LOVE MNAKERA NA USHAMBAWENU HUWO TONASIKILIZA MZIKI AU HII HISTORI 😇😇😇😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😇🇹🇿😳😳😳😳
Davistar tumepata numbar ya mzee Ila hayupo WhatsApp wengine tupo njee ya Tanzania please mwambie tunahitajisaada wake
@DavistarMataMediaDM
4 жыл бұрын
Hayupo WhatsApp labda umpigie salio la kawaida
@Hassanmofty
4 жыл бұрын
Wee ndo mm kabisa namchek wsp ayupo na kupiga cm kwa tz pesa yake sasa
@babujay8247
4 жыл бұрын
Yule mc muongo mno
@rosecruiz4348
4 жыл бұрын
@@DavistarMataMediaDM mufanyie plan japo sim ndogo itakua rahisi kwetu cz kuongea nae kwa salio itakua ngumu kaka
@makenajoanne8841
4 жыл бұрын
@@DavistarMataMediaDM basi ni mgumu kumpata kama mtu yuko nje ya Tz
Kumbe yupo bagamoyo
Ambao hatukuvutiwa na usimuliaj wa domo tujuane....afu kama mwongo vileee
Duh
Duh jamaa nashindwa kulala
sio matako ni makalio
Kwahiyo upo wapi
napenda hizi story ila davista unataka uende sawa kuongea na msimuliaji yan kama interiew bwana yan unakuta msimuliaji kasema nilifungua mlango na wew unaludia tena ulifungua mlango? unaboa bwana
Mhh hakuna mchawi mzuri kwa Mungu hawafiki labda watubu
@Pedeshee01
4 жыл бұрын
Tukiegemea kwenye teknolojia hii maendeleo tutayasikia kwa wenzetu tu,maana kilichobaki kurithishana uchawi.tungekuwa tunaeithishana fikra za maendeleo ya uchumi tungekuwa mbali.uchawi na husda zimetawala mno kwenye jamii yetu.
Davistar what's the meaning of "chimbuko?"
@ramadhanabas4455
3 жыл бұрын
Chimbuko means Origin
It's funny huwa wanafanya all this na at the end utaenda hell kuteseka for eternity 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ofcoz alifanya kitu,alikitengeneza kitumbua kwa kitambaa Cha sanda akalizika
@shanyabdul2386
3 жыл бұрын
🙄🙄ulienda?? Kwahuyo mtaalamu
Hujambo Davista naomba kuwasiliana na huyu mtaalam Ako na whatsup number au messanger Niko Kenya Nairobi
Duu Noma Sana Aisee
Mimi ninavyo amini muganga pia mchawi sema yy ndio mkubwa wa wachawi na hicho kipaji cha uganga hakitoki kwa Mungu cz yy anauwezo wa kishetani mie mganga hanioni kwake ng'o namuomba tu aliye niumba
Whats the code for calling his number for international call...which country he live? Thanks
@demitrahawkins5457
4 жыл бұрын
In Out +255 Tanzania
Nunua mic nyingine jombaa! Hivyo unaboa
Kumbe domo denda wengi wamemstukia km muongo! Nenda kwenye you tube Chanel ya Christina Francis kuangalia wimbo wake mzuri Niko huru .
Hii stoli ya ukweli kabisa ata sula yake inaonesha sio kama yule domo hana kitu muongo tu hadi stoli zake za uongo kitaani
Mmmh I doubt this,I think anatafuta wateja tu but all in all am team Domo💪
@africanbeautyx4128
4 жыл бұрын
Domo denda ndo muongo huyu jamaa ni mganga wa kweli, anaexperience na wachawi
pacha wako yu wapi domo denda !!!!!
H