Ukijikuta katika mambo kama hayo Mkiri Yesu Kristo kua Bwana na mwokozi woko na umwite yeye na kumwomba msaada, bila shaka Atakuokoa.
@salimabdallahhussein3294
Жыл бұрын
Kwann ncmuite mungu mwenyewe Kwan anashindwa
@happinesskitali164
5 ай бұрын
@@salimabdallahhussein3294Yesu ndio Mungu
@muragizinourah1042 Жыл бұрын
Yawezekana ulipelekwa kuzimu😭Allah akuondoe ndani ya nguvu za giza🥹😭😭
@EDMUNDNDAUD Жыл бұрын
Keep moving big up davister.
@hamidaalhabsi8568 Жыл бұрын
Subhanaallah Kuishi kwingi kuona mengi duniani
@dorcaskarago2876 Жыл бұрын
Taja jina la Yesu
@sabihahamadi2287 Жыл бұрын
Mtihani kumbe hii duniya inamambo ivi ni kweli wachawi wapo mungu atulinde na hiii mitihani haw a watu sio wazuri mungu awalani
@messikihongosi5290
Жыл бұрын
wanga wapo
@rebeccamaunde4085 Жыл бұрын
Eeeh tuko tunazikisa story...watching from Arabs countries
@peninahkariuki4679 Жыл бұрын
Watching from Kenya 🇰🇪, ❤
@petermwaibofu7580
Жыл бұрын
Màandamano yanakwendaje! Salimia Baba Raila
@peninahkariuki4679
Жыл бұрын
@@petermwaibofu7580 Tuko pamoja na baba kwa maandamano, amani tele😅😅. Ntamsalimu
@petermwaibofu7580
Жыл бұрын
Thanks a lot madam!
@chritinaphilip7439 Жыл бұрын
Ungemjua Mungu ungepata neema ya kukusqidiq njoo kwa Yesu ndugu
@rajabu4692
Жыл бұрын
Aje Kwa yesu kufanya nini wakat yesu mwenyew anawataka muingie katika uislamu
@chritinaphilip7439
Жыл бұрын
@@rajabu4692 Naww ungemjua Mungu ungepqtq neema ya kuingiq ktk ufalme wa Mungu 🙏 🙏 🙏
@dadamwajuma5155 Жыл бұрын
Jamani hii ni kweli au ni stori tu? Na kama ni kweli kijana upo na nguvu za mungu uzidishe kuomba mungu kabisaaa na kumtaja mungu Kila ukipata changamoto hizo au akiota ndoto za ajabu ajabu, pole Sana kijana
@leahlucas479 Жыл бұрын
Bac Davi , Uweunauliza na mwaka wa matukio please.
@billyisadia5651 Жыл бұрын
Pelekeni maombi makali kwenye zile barabara mapepo yapeleke upuzi zao mbali na binadamu
@mariamfritsi4943 Жыл бұрын
Simulizi nzuri sana
@leaherasto929 Жыл бұрын
Story nzuri japo sometime napataga uvivu kusikiliza ila nakukubali sana Davista
@reubenbushiri1753 Жыл бұрын
Mpaka hapa tulipofikia kupitia Story na Mikasa ya Devistar Mikoa ya kando ya ziwa Kuna uchawi Sana.
@Abdalakangile1
Жыл бұрын
Kweli asee
@majomamajoma8776
Жыл бұрын
Kabisa kwetu yapo Wala sio uongo
@mwamwajaonline1881
Жыл бұрын
Sahihi
@johnmwandu2116
Жыл бұрын
Mikoa yooote uchawi upo, sema Davistar amejikita zaidi mikoa ya Kanda ya Ziwa kwwsababu pia ni makazi yake yalipo
@majomamajoma8776
Жыл бұрын
@@johnmwandu2116 ni kweli
@majomamajoma8776 Жыл бұрын
Wilaya ya magu Wala haongei uongo mwanza kwetu ni hatar
@richrick3110 Жыл бұрын
Big up Davistar mata 😮😮
@zawadinchimbi6846
Жыл бұрын
Watu waongo jmn Story yauongo adi awezi kusumilia
@twaibumikidadi7377 Жыл бұрын
Hahaha Watu wanasıkılıza story,na story ni simuliz, na simuliz inasimuliwa.😅😅😅 Nan kayasikia haya manenoo
@victoremanuel29
Жыл бұрын
Mimi huyo
@mulazsaid1907 Жыл бұрын
Good 💪
@bakari-si1pw Жыл бұрын
Tuko pamoja sana 🔥🤜
@bashiruhassani1017 Жыл бұрын
Jaman mbona wat mnao wahoji amjawai kuwahojia ndan ad mt anaskia bard umo t unamuhoji dah
@majomamajoma8776 Жыл бұрын
Mwanza kwetu hayo kweli yapo kabisa
@VerenaVenance-iz8kn
Жыл бұрын
😳😳SEMA kwel
@athumanbizzo3907 Жыл бұрын
Mh ni hatr
@EDMUNDNDAUD Жыл бұрын
Am the first to day
@user-xr9rc5dp5p11 ай бұрын
Nkweli kabisa maana haki kijiji kwatu gari hilo lilikuwepo
@saidchombo5952 Жыл бұрын
Anasimulia kisukuma
@LatifaLikumbo-nu2kb9 ай бұрын
Pore sana
@peninakachoma2239 Жыл бұрын
Naogopa Tanzania kabisa
@yushuaissa467
Жыл бұрын
Even me, such things are too common in TZ. I wonder why?
@ibrahimshilinde6129 Жыл бұрын
Uongo bhana,hadithi za kumaliziana MB,zetu
@suzanbegas4139 Жыл бұрын
Hata Mamdogo wangu aliwahi panda gari la kichawi huko shinyanga, wanayaita Gambosh.
@yushuaissa467
Жыл бұрын
Then what happened?
@kilogreekachananawatuwasio4054 Жыл бұрын
NICE STORY 🙏🇹🇿🇬🇷
@kautharkayu6326 Жыл бұрын
Mwanza kuna uchawi siyo wakawaida
@femidayahaya4882
Жыл бұрын
Gamboshi hyo mazee😢😢😢
@King_Of_Everything Жыл бұрын
✌👊
@milley7185 Жыл бұрын
ibada hazina maana hizi bado mnahudhilia kwa kuogopa miunguuuu laaniniiiii misalaba wanaovaa hao na waganga wanavaa na ibada zao
@ramadhanishabani2743 Жыл бұрын
Tuletee kaka
@angellomarcel5677 Жыл бұрын
Mwanza mna Uchawi sana asee lkn..huenda huyu ni Team wale Akina Zumaradi
@SiwemaMohammed-dr1vk
Жыл бұрын
Wewe achana na Zumaridi Zumaridi hapo amekujaje?
@donathamwangobe2776 Жыл бұрын
Wakawanza
@hurremjudith6043 Жыл бұрын
😢
@Gb_25596 Жыл бұрын
Huyo msimuliaji muongo..! Akamatwe apigwe fimbo
@tututz100 Жыл бұрын
J.boys 1999
@zuwenasleiman3587 Жыл бұрын
Victor wanyama
@samwelmwigicho3092 Жыл бұрын
Davista Mata
@earthgottalent7765 Жыл бұрын
Jaman story ya mbavu wa dar iliishia wapi na mbona huwa mnakatisha story
@clintondaniel5831
Жыл бұрын
Story iliisha bhna we ndo hauko makin
@cyantess8423 Жыл бұрын
salale! na basi hebu weka chapchap 🤔🤔
@VerenaVenance-iz8kn Жыл бұрын
😳😳😳
@ayshahussen7452 Жыл бұрын
Msimuliaji upo slow unaboa😏unampa wakati mgumu mtangazaji wetu
@linamamoya4985
Жыл бұрын
Mm mmezidi. Mtafuteni mungu Yu karibu kurudi mtajibu nini au mna mbingu yenu,?
@muharamiesther5908 Жыл бұрын
Uongo huu
@fatmanassor9732
Жыл бұрын
Umeona muongo makkoroboi c kituo kipya kuwa stand hata miaka 5 hakina muongooo
@ahmadjml9949 Жыл бұрын
Uongo mtupu
@kelvinedward5091 Жыл бұрын
Story ya uongo Jamaaa amekarr script
@evakabete2944
Жыл бұрын
Kama ni ivo basi inabidi ajoin nollywood movies
@JustinSteven-be4cs Жыл бұрын
Hadithi ya uongo kabsa... Yaan inavyohadhisiwq n kama Script za kwenye film za kichawi
@HellenPascal-tn6zu
Жыл бұрын
Huna lolote uongoz vp au mpaka yakukute
@HellenPascal-tn6zu
Жыл бұрын
Uongo vp
@abelmbijima4324 Жыл бұрын
Au alivutaga bangi? Inamchanganya?
@mgenirasimi7771
Жыл бұрын
Relax wewe, hivyo vitu vipo sana tu tena Mwanza hapo hapo na huyo sio mtu wa kwanza, mie mkazi wa Mwanza tumeyaskia mengi na mengine yametokea kwa ndugu zetu. Kama hujui kitu na ukiwa mbele za watu kaa kimya ujifunze mengi watu wana mengi
@msaysha5886
Жыл бұрын
Kavute na wewe basi utuletee story yako
@bintalmasi2393
Жыл бұрын
@@msaysha5886 watu wanapenda sana dhihaka
@womanofsteel1402
Жыл бұрын
Nawe kavute ikuchanganye tupate story😀😀
@msaysha5886
Жыл бұрын
@@bintalmasi2393 hawaamini kitu hadi kiwa kute wakisikia tu hivi wana ona kama story za Felix Mwenda huu ni ukweli aisee
@earthgottalent7765 Жыл бұрын
Kusema kweli hii story sio ya kweli hii ni story ya uongo ulitaka kujua Hilo muangalie Kwa makini msimuliaji ni waziwazi kuwa ametunga story.
@clintondaniel5831
Жыл бұрын
Ayo n yako bhna hii story n ya kwel kbsa acha kupotosha watu
@josephmugala1970
Жыл бұрын
Tupe ya kwako ya ukweri.
@anastaziamathias8861
Жыл бұрын
Endelea na kumuandalia usoni Sisi tunaskiliza na tumemuelewa kama we mpepezi endelea kusoma sie tumeletewa Mie msukuma kuna mambo zaidi ya hayo Mwanza yanatokea Sanaa yaani hii story kama ya rafiki yangu hivyo hivyo Ila yeye ulienda mbali mpaka akawa chizi kabisa wamehangaika nae Sana na mwisho akajiua
@angellomarcel5677
Жыл бұрын
Ya kweli ni ipi..?
@kaifajuma6790 Жыл бұрын
Story zakufikirika hizo zakina zumaridi😂😂
@josephmusagasa5566 Жыл бұрын
Kwa unyoaji huo lazima ushetani ukufuate
@onekisstv8412
Жыл бұрын
Kwani kanyoaje ap9
@lilyrose7983
Жыл бұрын
Basi watafatwa wengi
@josephmusagasa5566
Жыл бұрын
@@lilyrose7983 Yakobo 4:4
@benedictmhina4819
Жыл бұрын
Du mbona kama story nyingine bwana Mkuu davistar ni kama tunapigwa kamba na hawa wasimuliaji sidhani kama hiyo kitu IPO asee
@kerosdamusic5521
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 Mungu anakuona Joseph, kwani kunyoa hivyo kunahusianaje na ushetani ?
@amina-st4ol Жыл бұрын
Kwanini watu wakanda ya ziwa wanakutana na uchawi na wanaamini uchawi story zote zinazowekwa hapa ni watu wa mwanzaa
@yohanahbyzehomba1352
Жыл бұрын
Kwasababu Davistr ni wa Mwanza ..ila kuna mikoa ya sumba wanga kigoma nako kuna mambo mengi..na pia watu tunapenda story za kuogofya za mambo ambayo hatujawai kuayona
@happyatonga2618
Жыл бұрын
Huyu anaitwa ataenda sumbawanga bila kuitwa watu mkoje kama aija kupendeza ucckiliz
@kaifajuma6790
Жыл бұрын
Mimi mwenyewe nilitaka nicoment hivyo yaani kila uchawi mwanza wizi mwanza huyu mtangazaji anasanganywa tu 😅😅
@lilyrose7983
Жыл бұрын
@@kaifajuma6790 Leteni basi ya kwenu ya ukweli
@hajiramadhanihaji355 Жыл бұрын
Hizi stori za kijinga mpaka lini?
@neemadamian7989
Жыл бұрын
Hujalazimishwa kuangalia
@reginaruta3249
Жыл бұрын
Uvhawi ipo hapa duniani. Ila kiboko ya wachawi ni Yesu pekee. Ukoka kijana ndipo utawashinda wachawi ma mizimu.
@samiahmsuya3605
Жыл бұрын
Hayajawah kukukut tuliaa yakukut utajua n nin
@jasminisharifu7446 Жыл бұрын
Huyu anastory ya kweli ila ni mzito sana kwenye kuelezea anapoozesha story
@bashiruhassani1017 Жыл бұрын
Jaman mbona wat mnao wahoji amjawai kuwahojia ndan ad mt anaskia bard umo t unamuhoji dah
Пікірлер: 121
Ukijikuta katika mambo kama hayo Mkiri Yesu Kristo kua Bwana na mwokozi woko na umwite yeye na kumwomba msaada, bila shaka Atakuokoa.
@salimabdallahhussein3294
Жыл бұрын
Kwann ncmuite mungu mwenyewe Kwan anashindwa
@happinesskitali164
5 ай бұрын
@@salimabdallahhussein3294Yesu ndio Mungu
Yawezekana ulipelekwa kuzimu😭Allah akuondoe ndani ya nguvu za giza🥹😭😭
Keep moving big up davister.
Subhanaallah Kuishi kwingi kuona mengi duniani
Taja jina la Yesu
Mtihani kumbe hii duniya inamambo ivi ni kweli wachawi wapo mungu atulinde na hiii mitihani haw a watu sio wazuri mungu awalani
@messikihongosi5290
Жыл бұрын
wanga wapo
Eeeh tuko tunazikisa story...watching from Arabs countries
Watching from Kenya 🇰🇪, ❤
@petermwaibofu7580
Жыл бұрын
Màandamano yanakwendaje! Salimia Baba Raila
@peninahkariuki4679
Жыл бұрын
@@petermwaibofu7580 Tuko pamoja na baba kwa maandamano, amani tele😅😅. Ntamsalimu
@petermwaibofu7580
Жыл бұрын
Thanks a lot madam!
Ungemjua Mungu ungepata neema ya kukusqidiq njoo kwa Yesu ndugu
@rajabu4692
Жыл бұрын
Aje Kwa yesu kufanya nini wakat yesu mwenyew anawataka muingie katika uislamu
@chritinaphilip7439
Жыл бұрын
@@rajabu4692 Naww ungemjua Mungu ungepqtq neema ya kuingiq ktk ufalme wa Mungu 🙏 🙏 🙏
Jamani hii ni kweli au ni stori tu? Na kama ni kweli kijana upo na nguvu za mungu uzidishe kuomba mungu kabisaaa na kumtaja mungu Kila ukipata changamoto hizo au akiota ndoto za ajabu ajabu, pole Sana kijana
Bac Davi , Uweunauliza na mwaka wa matukio please.
Pelekeni maombi makali kwenye zile barabara mapepo yapeleke upuzi zao mbali na binadamu
Simulizi nzuri sana
Story nzuri japo sometime napataga uvivu kusikiliza ila nakukubali sana Davista
Mpaka hapa tulipofikia kupitia Story na Mikasa ya Devistar Mikoa ya kando ya ziwa Kuna uchawi Sana.
@Abdalakangile1
Жыл бұрын
Kweli asee
@majomamajoma8776
Жыл бұрын
Kabisa kwetu yapo Wala sio uongo
@mwamwajaonline1881
Жыл бұрын
Sahihi
@johnmwandu2116
Жыл бұрын
Mikoa yooote uchawi upo, sema Davistar amejikita zaidi mikoa ya Kanda ya Ziwa kwwsababu pia ni makazi yake yalipo
@majomamajoma8776
Жыл бұрын
@@johnmwandu2116 ni kweli
Wilaya ya magu Wala haongei uongo mwanza kwetu ni hatar
Big up Davistar mata 😮😮
@zawadinchimbi6846
Жыл бұрын
Watu waongo jmn Story yauongo adi awezi kusumilia
Hahaha Watu wanasıkılıza story,na story ni simuliz, na simuliz inasimuliwa.😅😅😅 Nan kayasikia haya manenoo
@victoremanuel29
Жыл бұрын
Mimi huyo
Good 💪
Tuko pamoja sana 🔥🤜
Jaman mbona wat mnao wahoji amjawai kuwahojia ndan ad mt anaskia bard umo t unamuhoji dah
Mwanza kwetu hayo kweli yapo kabisa
@VerenaVenance-iz8kn
Жыл бұрын
😳😳SEMA kwel
Mh ni hatr
Am the first to day
Nkweli kabisa maana haki kijiji kwatu gari hilo lilikuwepo
Anasimulia kisukuma
Pore sana
Naogopa Tanzania kabisa
@yushuaissa467
Жыл бұрын
Even me, such things are too common in TZ. I wonder why?
Uongo bhana,hadithi za kumaliziana MB,zetu
Hata Mamdogo wangu aliwahi panda gari la kichawi huko shinyanga, wanayaita Gambosh.
@yushuaissa467
Жыл бұрын
Then what happened?
NICE STORY 🙏🇹🇿🇬🇷
Mwanza kuna uchawi siyo wakawaida
@femidayahaya4882
Жыл бұрын
Gamboshi hyo mazee😢😢😢
✌👊
ibada hazina maana hizi bado mnahudhilia kwa kuogopa miunguuuu laaniniiiii misalaba wanaovaa hao na waganga wanavaa na ibada zao
Tuletee kaka
Mwanza mna Uchawi sana asee lkn..huenda huyu ni Team wale Akina Zumaradi
@SiwemaMohammed-dr1vk
Жыл бұрын
Wewe achana na Zumaridi Zumaridi hapo amekujaje?
Wakawanza
😢
Huyo msimuliaji muongo..! Akamatwe apigwe fimbo
J.boys 1999
Victor wanyama
Davista Mata
Jaman story ya mbavu wa dar iliishia wapi na mbona huwa mnakatisha story
@clintondaniel5831
Жыл бұрын
Story iliisha bhna we ndo hauko makin
salale! na basi hebu weka chapchap 🤔🤔
😳😳😳
Msimuliaji upo slow unaboa😏unampa wakati mgumu mtangazaji wetu
@linamamoya4985
Жыл бұрын
Mm mmezidi. Mtafuteni mungu Yu karibu kurudi mtajibu nini au mna mbingu yenu,?
Uongo huu
@fatmanassor9732
Жыл бұрын
Umeona muongo makkoroboi c kituo kipya kuwa stand hata miaka 5 hakina muongooo
Uongo mtupu
Story ya uongo Jamaaa amekarr script
@evakabete2944
Жыл бұрын
Kama ni ivo basi inabidi ajoin nollywood movies
Hadithi ya uongo kabsa... Yaan inavyohadhisiwq n kama Script za kwenye film za kichawi
@HellenPascal-tn6zu
Жыл бұрын
Huna lolote uongoz vp au mpaka yakukute
@HellenPascal-tn6zu
Жыл бұрын
Uongo vp
Au alivutaga bangi? Inamchanganya?
@mgenirasimi7771
Жыл бұрын
Relax wewe, hivyo vitu vipo sana tu tena Mwanza hapo hapo na huyo sio mtu wa kwanza, mie mkazi wa Mwanza tumeyaskia mengi na mengine yametokea kwa ndugu zetu. Kama hujui kitu na ukiwa mbele za watu kaa kimya ujifunze mengi watu wana mengi
@msaysha5886
Жыл бұрын
Kavute na wewe basi utuletee story yako
@bintalmasi2393
Жыл бұрын
@@msaysha5886 watu wanapenda sana dhihaka
@womanofsteel1402
Жыл бұрын
Nawe kavute ikuchanganye tupate story😀😀
@msaysha5886
Жыл бұрын
@@bintalmasi2393 hawaamini kitu hadi kiwa kute wakisikia tu hivi wana ona kama story za Felix Mwenda huu ni ukweli aisee
Kusema kweli hii story sio ya kweli hii ni story ya uongo ulitaka kujua Hilo muangalie Kwa makini msimuliaji ni waziwazi kuwa ametunga story.
@clintondaniel5831
Жыл бұрын
Ayo n yako bhna hii story n ya kwel kbsa acha kupotosha watu
@josephmugala1970
Жыл бұрын
Tupe ya kwako ya ukweri.
@anastaziamathias8861
Жыл бұрын
Endelea na kumuandalia usoni Sisi tunaskiliza na tumemuelewa kama we mpepezi endelea kusoma sie tumeletewa Mie msukuma kuna mambo zaidi ya hayo Mwanza yanatokea Sanaa yaani hii story kama ya rafiki yangu hivyo hivyo Ila yeye ulienda mbali mpaka akawa chizi kabisa wamehangaika nae Sana na mwisho akajiua
@angellomarcel5677
Жыл бұрын
Ya kweli ni ipi..?
Story zakufikirika hizo zakina zumaridi😂😂
Kwa unyoaji huo lazima ushetani ukufuate
@onekisstv8412
Жыл бұрын
Kwani kanyoaje ap9
@lilyrose7983
Жыл бұрын
Basi watafatwa wengi
@josephmusagasa5566
Жыл бұрын
@@lilyrose7983 Yakobo 4:4
@benedictmhina4819
Жыл бұрын
Du mbona kama story nyingine bwana Mkuu davistar ni kama tunapigwa kamba na hawa wasimuliaji sidhani kama hiyo kitu IPO asee
@kerosdamusic5521
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 Mungu anakuona Joseph, kwani kunyoa hivyo kunahusianaje na ushetani ?
Kwanini watu wakanda ya ziwa wanakutana na uchawi na wanaamini uchawi story zote zinazowekwa hapa ni watu wa mwanzaa
@yohanahbyzehomba1352
Жыл бұрын
Kwasababu Davistr ni wa Mwanza ..ila kuna mikoa ya sumba wanga kigoma nako kuna mambo mengi..na pia watu tunapenda story za kuogofya za mambo ambayo hatujawai kuayona
@happyatonga2618
Жыл бұрын
Huyu anaitwa ataenda sumbawanga bila kuitwa watu mkoje kama aija kupendeza ucckiliz
@kaifajuma6790
Жыл бұрын
Mimi mwenyewe nilitaka nicoment hivyo yaani kila uchawi mwanza wizi mwanza huyu mtangazaji anasanganywa tu 😅😅
@lilyrose7983
Жыл бұрын
@@kaifajuma6790 Leteni basi ya kwenu ya ukweli
Hizi stori za kijinga mpaka lini?
@neemadamian7989
Жыл бұрын
Hujalazimishwa kuangalia
@reginaruta3249
Жыл бұрын
Uvhawi ipo hapa duniani. Ila kiboko ya wachawi ni Yesu pekee. Ukoka kijana ndipo utawashinda wachawi ma mizimu.
@samiahmsuya3605
Жыл бұрын
Hayajawah kukukut tuliaa yakukut utajua n nin
Huyu anastory ya kweli ila ni mzito sana kwenye kuelezea anapoozesha story
Jaman mbona wat mnao wahoji amjawai kuwahojia ndan ad mt anaskia bard umo t unamuhoji dah