ABIRIA ALIEPANDA BUS LA KICHAWI ALFAJIRI MWANZA AKIJUA NI BUS LA KAWAIDA ALILOKATA TIKETI

Ойын-сауық

Пікірлер: 121

  • @paulwambua4956
    @paulwambua4956 Жыл бұрын

    Ukijikuta katika mambo kama hayo Mkiri Yesu Kristo kua Bwana na mwokozi woko na umwite yeye na kumwomba msaada, bila shaka Atakuokoa.

  • @salimabdallahhussein3294

    @salimabdallahhussein3294

    Жыл бұрын

    Kwann ncmuite mungu mwenyewe Kwan anashindwa

  • @happinesskitali164

    @happinesskitali164

    5 ай бұрын

    ​@@salimabdallahhussein3294Yesu ndio Mungu

  • @muragizinourah1042
    @muragizinourah1042 Жыл бұрын

    Yawezekana ulipelekwa kuzimu😭Allah akuondoe ndani ya nguvu za giza🥹😭😭

  • @EDMUNDNDAUD
    @EDMUNDNDAUD Жыл бұрын

    Keep moving big up davister.

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 Жыл бұрын

    Subhanaallah Kuishi kwingi kuona mengi duniani

  • @dorcaskarago2876
    @dorcaskarago2876 Жыл бұрын

    Taja jina la Yesu

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Жыл бұрын

    Mtihani kumbe hii duniya inamambo ivi ni kweli wachawi wapo mungu atulinde na hiii mitihani haw a watu sio wazuri mungu awalani

  • @messikihongosi5290

    @messikihongosi5290

    Жыл бұрын

    wanga wapo

  • @rebeccamaunde4085
    @rebeccamaunde4085 Жыл бұрын

    Eeeh tuko tunazikisa story...watching from Arabs countries

  • @peninahkariuki4679
    @peninahkariuki4679 Жыл бұрын

    Watching from Kenya 🇰🇪, ❤

  • @petermwaibofu7580

    @petermwaibofu7580

    Жыл бұрын

    Màandamano yanakwendaje! Salimia Baba Raila

  • @peninahkariuki4679

    @peninahkariuki4679

    Жыл бұрын

    @@petermwaibofu7580 Tuko pamoja na baba kwa maandamano, amani tele😅😅. Ntamsalimu

  • @petermwaibofu7580

    @petermwaibofu7580

    Жыл бұрын

    Thanks a lot madam!

  • @chritinaphilip7439
    @chritinaphilip7439 Жыл бұрын

    Ungemjua Mungu ungepata neema ya kukusqidiq njoo kwa Yesu ndugu

  • @rajabu4692

    @rajabu4692

    Жыл бұрын

    Aje Kwa yesu kufanya nini wakat yesu mwenyew anawataka muingie katika uislamu

  • @chritinaphilip7439

    @chritinaphilip7439

    Жыл бұрын

    @@rajabu4692 Naww ungemjua Mungu ungepqtq neema ya kuingiq ktk ufalme wa Mungu 🙏 🙏 🙏

  • @dadamwajuma5155
    @dadamwajuma5155 Жыл бұрын

    Jamani hii ni kweli au ni stori tu? Na kama ni kweli kijana upo na nguvu za mungu uzidishe kuomba mungu kabisaaa na kumtaja mungu Kila ukipata changamoto hizo au akiota ndoto za ajabu ajabu, pole Sana kijana

  • @leahlucas479
    @leahlucas479 Жыл бұрын

    Bac Davi , Uweunauliza na mwaka wa matukio please.

  • @billyisadia5651
    @billyisadia5651 Жыл бұрын

    Pelekeni maombi makali kwenye zile barabara mapepo yapeleke upuzi zao mbali na binadamu

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 Жыл бұрын

    Simulizi nzuri sana

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 Жыл бұрын

    Story nzuri japo sometime napataga uvivu kusikiliza ila nakukubali sana Davista

  • @reubenbushiri1753
    @reubenbushiri1753 Жыл бұрын

    Mpaka hapa tulipofikia kupitia Story na Mikasa ya Devistar Mikoa ya kando ya ziwa Kuna uchawi Sana.

  • @Abdalakangile1

    @Abdalakangile1

    Жыл бұрын

    Kweli asee

  • @majomamajoma8776

    @majomamajoma8776

    Жыл бұрын

    Kabisa kwetu yapo Wala sio uongo

  • @mwamwajaonline1881

    @mwamwajaonline1881

    Жыл бұрын

    Sahihi

  • @johnmwandu2116

    @johnmwandu2116

    Жыл бұрын

    Mikoa yooote uchawi upo, sema Davistar amejikita zaidi mikoa ya Kanda ya Ziwa kwwsababu pia ni makazi yake yalipo

  • @majomamajoma8776

    @majomamajoma8776

    Жыл бұрын

    @@johnmwandu2116 ni kweli

  • @majomamajoma8776
    @majomamajoma8776 Жыл бұрын

    Wilaya ya magu Wala haongei uongo mwanza kwetu ni hatar

  • @richrick3110
    @richrick3110 Жыл бұрын

    Big up Davistar mata 😮😮

  • @zawadinchimbi6846

    @zawadinchimbi6846

    Жыл бұрын

    Watu waongo jmn Story yauongo adi awezi kusumilia

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 Жыл бұрын

    Hahaha Watu wanasıkılıza story,na story ni simuliz, na simuliz inasimuliwa.😅😅😅 Nan kayasikia haya manenoo

  • @victoremanuel29

    @victoremanuel29

    Жыл бұрын

    Mimi huyo

  • @mulazsaid1907
    @mulazsaid1907 Жыл бұрын

    Good 💪

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw Жыл бұрын

    Tuko pamoja sana 🔥🤜

  • @bashiruhassani1017
    @bashiruhassani1017 Жыл бұрын

    Jaman mbona wat mnao wahoji amjawai kuwahojia ndan ad mt anaskia bard umo t unamuhoji dah

  • @majomamajoma8776
    @majomamajoma8776 Жыл бұрын

    Mwanza kwetu hayo kweli yapo kabisa

  • @VerenaVenance-iz8kn

    @VerenaVenance-iz8kn

    Жыл бұрын

    😳😳SEMA kwel

  • @athumanbizzo3907
    @athumanbizzo3907 Жыл бұрын

    Mh ni hatr

  • @EDMUNDNDAUD
    @EDMUNDNDAUD Жыл бұрын

    Am the first to day

  • @user-xr9rc5dp5p
    @user-xr9rc5dp5p11 ай бұрын

    Nkweli kabisa maana haki kijiji kwatu gari hilo lilikuwepo

  • @saidchombo5952
    @saidchombo5952 Жыл бұрын

    Anasimulia kisukuma

  • @LatifaLikumbo-nu2kb
    @LatifaLikumbo-nu2kb9 ай бұрын

    Pore sana

  • @peninakachoma2239
    @peninakachoma2239 Жыл бұрын

    Naogopa Tanzania kabisa

  • @yushuaissa467

    @yushuaissa467

    Жыл бұрын

    Even me, such things are too common in TZ. I wonder why?

  • @ibrahimshilinde6129
    @ibrahimshilinde6129 Жыл бұрын

    Uongo bhana,hadithi za kumaliziana MB,zetu

  • @suzanbegas4139
    @suzanbegas4139 Жыл бұрын

    Hata Mamdogo wangu aliwahi panda gari la kichawi huko shinyanga, wanayaita Gambosh.

  • @yushuaissa467

    @yushuaissa467

    Жыл бұрын

    Then what happened?

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 Жыл бұрын

    NICE STORY 🙏🇹🇿🇬🇷

  • @kautharkayu6326
    @kautharkayu6326 Жыл бұрын

    Mwanza kuna uchawi siyo wakawaida

  • @femidayahaya4882

    @femidayahaya4882

    Жыл бұрын

    Gamboshi hyo mazee😢😢😢

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Жыл бұрын

    ✌👊

  • @milley7185
    @milley7185 Жыл бұрын

    ibada hazina maana hizi bado mnahudhilia kwa kuogopa miunguuuu laaniniiiii misalaba wanaovaa hao na waganga wanavaa na ibada zao

  • @ramadhanishabani2743
    @ramadhanishabani2743 Жыл бұрын

    Tuletee kaka

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 Жыл бұрын

    Mwanza mna Uchawi sana asee lkn..huenda huyu ni Team wale Akina Zumaradi

  • @SiwemaMohammed-dr1vk

    @SiwemaMohammed-dr1vk

    Жыл бұрын

    Wewe achana na Zumaridi Zumaridi hapo amekujaje?

  • @donathamwangobe2776
    @donathamwangobe2776 Жыл бұрын

    Wakawanza

  • @hurremjudith6043
    @hurremjudith6043 Жыл бұрын

    😢

  • @Gb_25596
    @Gb_25596 Жыл бұрын

    Huyo msimuliaji muongo..! Akamatwe apigwe fimbo

  • @tututz100
    @tututz100 Жыл бұрын

    J.boys 1999

  • @zuwenasleiman3587
    @zuwenasleiman3587 Жыл бұрын

    Victor wanyama

  • @samwelmwigicho3092
    @samwelmwigicho3092 Жыл бұрын

    Davista Mata

  • @earthgottalent7765
    @earthgottalent7765 Жыл бұрын

    Jaman story ya mbavu wa dar iliishia wapi na mbona huwa mnakatisha story

  • @clintondaniel5831

    @clintondaniel5831

    Жыл бұрын

    Story iliisha bhna we ndo hauko makin

  • @cyantess8423
    @cyantess8423 Жыл бұрын

    salale! na basi hebu weka chapchap 🤔🤔

  • @VerenaVenance-iz8kn
    @VerenaVenance-iz8kn Жыл бұрын

    😳😳😳

  • @ayshahussen7452
    @ayshahussen7452 Жыл бұрын

    Msimuliaji upo slow unaboa😏unampa wakati mgumu mtangazaji wetu

  • @linamamoya4985

    @linamamoya4985

    Жыл бұрын

    Mm mmezidi. Mtafuteni mungu Yu karibu kurudi mtajibu nini au mna mbingu yenu,?

  • @muharamiesther5908
    @muharamiesther5908 Жыл бұрын

    Uongo huu

  • @fatmanassor9732

    @fatmanassor9732

    Жыл бұрын

    Umeona muongo makkoroboi c kituo kipya kuwa stand hata miaka 5 hakina muongooo

  • @ahmadjml9949
    @ahmadjml9949 Жыл бұрын

    Uongo mtupu

  • @kelvinedward5091
    @kelvinedward5091 Жыл бұрын

    Story ya uongo Jamaaa amekarr script

  • @evakabete2944

    @evakabete2944

    Жыл бұрын

    Kama ni ivo basi inabidi ajoin nollywood movies

  • @JustinSteven-be4cs
    @JustinSteven-be4cs Жыл бұрын

    Hadithi ya uongo kabsa... Yaan inavyohadhisiwq n kama Script za kwenye film za kichawi

  • @HellenPascal-tn6zu

    @HellenPascal-tn6zu

    Жыл бұрын

    Huna lolote uongoz vp au mpaka yakukute

  • @HellenPascal-tn6zu

    @HellenPascal-tn6zu

    Жыл бұрын

    Uongo vp

  • @abelmbijima4324
    @abelmbijima4324 Жыл бұрын

    Au alivutaga bangi? Inamchanganya?

  • @mgenirasimi7771

    @mgenirasimi7771

    Жыл бұрын

    Relax wewe, hivyo vitu vipo sana tu tena Mwanza hapo hapo na huyo sio mtu wa kwanza, mie mkazi wa Mwanza tumeyaskia mengi na mengine yametokea kwa ndugu zetu. Kama hujui kitu na ukiwa mbele za watu kaa kimya ujifunze mengi watu wana mengi

  • @msaysha5886

    @msaysha5886

    Жыл бұрын

    Kavute na wewe basi utuletee story yako

  • @bintalmasi2393

    @bintalmasi2393

    Жыл бұрын

    ​@@msaysha5886 watu wanapenda sana dhihaka

  • @womanofsteel1402

    @womanofsteel1402

    Жыл бұрын

    Nawe kavute ikuchanganye tupate story😀😀

  • @msaysha5886

    @msaysha5886

    Жыл бұрын

    @@bintalmasi2393 hawaamini kitu hadi kiwa kute wakisikia tu hivi wana ona kama story za Felix Mwenda huu ni ukweli aisee

  • @earthgottalent7765
    @earthgottalent7765 Жыл бұрын

    Kusema kweli hii story sio ya kweli hii ni story ya uongo ulitaka kujua Hilo muangalie Kwa makini msimuliaji ni waziwazi kuwa ametunga story.

  • @clintondaniel5831

    @clintondaniel5831

    Жыл бұрын

    Ayo n yako bhna hii story n ya kwel kbsa acha kupotosha watu

  • @josephmugala1970

    @josephmugala1970

    Жыл бұрын

    Tupe ya kwako ya ukweri.

  • @anastaziamathias8861

    @anastaziamathias8861

    Жыл бұрын

    Endelea na kumuandalia usoni Sisi tunaskiliza na tumemuelewa kama we mpepezi endelea kusoma sie tumeletewa Mie msukuma kuna mambo zaidi ya hayo Mwanza yanatokea Sanaa yaani hii story kama ya rafiki yangu hivyo hivyo Ila yeye ulienda mbali mpaka akawa chizi kabisa wamehangaika nae Sana na mwisho akajiua

  • @angellomarcel5677

    @angellomarcel5677

    Жыл бұрын

    Ya kweli ni ipi..?

  • @kaifajuma6790
    @kaifajuma6790 Жыл бұрын

    Story zakufikirika hizo zakina zumaridi😂😂

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa5566 Жыл бұрын

    Kwa unyoaji huo lazima ushetani ukufuate

  • @onekisstv8412

    @onekisstv8412

    Жыл бұрын

    Kwani kanyoaje ap9

  • @lilyrose7983

    @lilyrose7983

    Жыл бұрын

    Basi watafatwa wengi

  • @josephmusagasa5566

    @josephmusagasa5566

    Жыл бұрын

    @@lilyrose7983 Yakobo 4:4

  • @benedictmhina4819

    @benedictmhina4819

    Жыл бұрын

    Du mbona kama story nyingine bwana Mkuu davistar ni kama tunapigwa kamba na hawa wasimuliaji sidhani kama hiyo kitu IPO asee

  • @kerosdamusic5521

    @kerosdamusic5521

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣 Mungu anakuona Joseph, kwani kunyoa hivyo kunahusianaje na ushetani ?

  • @amina-st4ol
    @amina-st4ol Жыл бұрын

    Kwanini watu wakanda ya ziwa wanakutana na uchawi na wanaamini uchawi story zote zinazowekwa hapa ni watu wa mwanzaa

  • @yohanahbyzehomba1352

    @yohanahbyzehomba1352

    Жыл бұрын

    Kwasababu Davistr ni wa Mwanza ..ila kuna mikoa ya sumba wanga kigoma nako kuna mambo mengi..na pia watu tunapenda story za kuogofya za mambo ambayo hatujawai kuayona

  • @happyatonga2618

    @happyatonga2618

    Жыл бұрын

    Huyu anaitwa ataenda sumbawanga bila kuitwa watu mkoje kama aija kupendeza ucckiliz

  • @kaifajuma6790

    @kaifajuma6790

    Жыл бұрын

    Mimi mwenyewe nilitaka nicoment hivyo yaani kila uchawi mwanza wizi mwanza huyu mtangazaji anasanganywa tu 😅😅

  • @lilyrose7983

    @lilyrose7983

    Жыл бұрын

    @@kaifajuma6790 Leteni basi ya kwenu ya ukweli

  • @hajiramadhanihaji355
    @hajiramadhanihaji355 Жыл бұрын

    Hizi stori za kijinga mpaka lini?

  • @neemadamian7989

    @neemadamian7989

    Жыл бұрын

    Hujalazimishwa kuangalia

  • @reginaruta3249

    @reginaruta3249

    Жыл бұрын

    Uvhawi ipo hapa duniani. Ila kiboko ya wachawi ni Yesu pekee. Ukoka kijana ndipo utawashinda wachawi ma mizimu.

  • @samiahmsuya3605

    @samiahmsuya3605

    Жыл бұрын

    Hayajawah kukukut tuliaa yakukut utajua n nin

  • @jasminisharifu7446
    @jasminisharifu7446 Жыл бұрын

    Huyu anastory ya kweli ila ni mzito sana kwenye kuelezea anapoozesha story

  • @bashiruhassani1017
    @bashiruhassani1017 Жыл бұрын

    Jaman mbona wat mnao wahoji amjawai kuwahojia ndan ad mt anaskia bard umo t unamuhoji dah

Келесі