Padre Prosper Kessy Aingia Kwenye Kinanda Katikati ya Misa,Apiga Wimbo kwa Shangwe kwa Mapadre Wapya

𝐖𝐄𝐙𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐓𝐔𝐌𝐄 𝐖𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐈𝐓𝐈𝐀 𝐌-𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐋𝐈𝐏𝐀 𝐍𝐀𝐌𝐁𝐀 𝟓𝟎𝟓𝟒𝟔𝟑𝟓 𝐉𝐈𝐍𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐍𝐄𝐓𝐖𝐎𝐑𝐊
Follow this link to join my WhatsApp group: chat.whatsapp.com/GZCvnqJ2KPf...
Tumsifu Yesu Kristo, Napenda Kukushukuru kwa Kuwa Mdau Mpendwa wa Jugo Media. Tunapenda kukutaarifu kuwa Tumeandaa Group Maalum kwa Ajili ya Kupokea Taarifa Mbalimbali za Kanisa, Misa Live, Vipindi vya Kanisa nk kutoka Jugo Media. Kama ungependa Kuungana Nasi Tunaomba Ujiunge kwa Hiari Kupitia Link Hiyo Juu. Mungu Akubariki Daima
KAMA UNGEPENDA KUPATA TAARIFA KUHUSU KANISA KWA NJIA YA WHATSAPP TAFADHARI TUMA UJUMBE KWA WHATSAPP UKISEMA NIUNGE KISHA JINA LAKO KWENDA NAMBA +255757560764 au BONYEZA LINK HII wa.me/+255757560764?text=NIUN...) (SAVE HII NAMBA KWANZA, ANDIKA JUGO MEDIA) UBARIKIWE SAMA
KAMA UNA HABARI NA UNGEPENDA KUSHIRIKI PAMOJA NASI TAFADHARI WASILISHA KUPITIA WHATSAPP NO +255757560764 AU BONYEZA wa.me/+255757560764?text=Taar...)
Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
𝐉𝐮𝐦𝐮𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐚𝐬𝐢 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐢𝐭𝐚𝐧𝐝𝐚𝐨 𝐦𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐲𝐚 𝐊𝐢𝐣𝐚𝐦𝐢𝐢:
Instagram: / jugo_media
Facebook: / jugomedia2019
𝕄𝕒𝕨𝕒𝕤𝕚𝕝𝕚𝕒𝕟𝕠:
JUGO MEDIA,
Sokoine Drive, Posta
P. O. BOX 34014,
Dar es Salaam.
For Bookings and other Enquiries
Phone Number +255757560764/657790405
#jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america

Пікірлер: 69

  • @user-gi2yi7rb5k
    @user-gi2yi7rb5k6 ай бұрын

    huyu padri Mungu ambariki sana popote pale kwenye utume wake

  • @lokidorbalozi1619
    @lokidorbalozi16192 жыл бұрын

    Pongezi padre kwa kucheza kinanda kwa weledi. Mungu akupe siha njema ili uzidi kuinjilisha taifa la Mungu.

  • @aloycejames3447
    @aloycejames3447 Жыл бұрын

    Ni baraka tuu za Mungu hizi. Kwanza alivyo na furaha. Mungu wabariki na walinde mapadri wetu. Mavuno ni mengi japo watenda kazi na wachache

  • @edgarmkosamali3010
    @edgarmkosamali30102 жыл бұрын

    Hongera Father kwa utume wako kwa kanisa la Mungu

  • @alfredinakazuri8501
    @alfredinakazuri85012 жыл бұрын

    Hongera unamaasisha vizuri cyo Kama umetoka usingizini

  • @heliminaasey493
    @heliminaasey4932 жыл бұрын

    Hongera sana kwa kuchunga kondoo wa mungu

  • @mukafumumukafumu6100
    @mukafumumukafumu6100 Жыл бұрын

    Mwisrael kweli kweli!!! Hongera Fr.

  • @danielbarickmunishi3785
    @danielbarickmunishi3785 Жыл бұрын

    Tunataka ma padre kama awa bhana si mapadre anasoma ibada unasema anamaliza saa ngapi

  • @mansaproduct1982
    @mansaproduct1982 Жыл бұрын

    God dwells in Tanzania. I felt more Catholic in Tanzania than in my own country and elsewhere. I miss my old days at Katubuka parish in kigoma.

  • @tondelogungulundi1523

    @tondelogungulundi1523

    10 ай бұрын

    You are welcome. From which country are you?

  • @mansaproduct1982

    @mansaproduct1982

    10 ай бұрын

    @@tondelogungulundi1523 I am Zambian but I stay in taiwan

  • @tondelogungulundi1523

    @tondelogungulundi1523

    10 ай бұрын

    Ok I come from Katubuka and also I was singing there

  • @mansaproduct1982

    @mansaproduct1982

    10 ай бұрын

    @@tondelogungulundi1523 that's good to hear bro. I knew one lady in that choir called Maggie. Do you know her?

  • @tondelogungulundi1523

    @tondelogungulundi1523

    10 ай бұрын

    Yes I do. Maggie lives in Dar es Salaam nowadays

  • @user-fr5rb6go2f
    @user-fr5rb6go2f6 ай бұрын

    Baba hingelaa nimependa ❤❤❤❤❤

  • @dannjoroge2002
    @dannjoroge20022 жыл бұрын

    shukrani sana Padre❤💯🎹🎼🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy43912 жыл бұрын

    Yaaaniii hadi raha aaaaaa Mungu akubariki father.

  • @remigiusminjatz5983
    @remigiusminjatz59832 жыл бұрын

    Hazina kuu ya kanisa

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 Жыл бұрын

    Hongera sana Fr barikiwa

  • @elionorakimath216
    @elionorakimath2162 жыл бұрын

    Hongera sana Fr kwa kupiga kinanda vizur

  • @janeaphilemon149
    @janeaphilemon1492 жыл бұрын

    Hongeren Anton wapadua

  • @christinealoic8645
    @christinealoic8645 Жыл бұрын

    Hongera sana father kwa uinjirishaj Mungu azid kukujalia afya njema ili uzid kuimarisha utume wako

  • @charleskimario1196
    @charleskimario1196 Жыл бұрын

    Dah hongera wa vipaji

  • @mgemapetro6402
    @mgemapetro64022 жыл бұрын

    Hongera sana father kwa utume uliotukuka.

  • @ezekielmwacha3590
    @ezekielmwacha35902 жыл бұрын

    Kongole kwako baba prosper kessy

  • @stephentossi2626
    @stephentossi26262 жыл бұрын

    Good performance Fr

  • @margaretikongo1782
    @margaretikongo17822 жыл бұрын

    Glory be to God

  • @divinahdivinahw513
    @divinahdivinahw5132 жыл бұрын

    Good work father.

  • @jannethshayo1367
    @jannethshayo1367 Жыл бұрын

    Father anaavituko kama who barikiwa sana lakini vichekesho vyake ni vitakatifuu

  • @user-pk9mu9mf3e
    @user-pk9mu9mf3e8 ай бұрын

    Love you people

  • @teklasanga
    @teklasanga Жыл бұрын

    Congratulation father.

  • @SalomeShongola
    @SalomeShongola18 күн бұрын

    Amina

  • @innocentludovick4724
    @innocentludovick47242 жыл бұрын

    Gifted fr.

  • @maccmosheduardo7688
    @maccmosheduardo7688 Жыл бұрын

    Very lively,,,love it

  • @geraldmmuya6658
    @geraldmmuya6658 Жыл бұрын

    Ni father wa kuiigws

  • @titokibiki3034
    @titokibiki30342 жыл бұрын

    baba Yuko vyema

  • @kwayayamt.anthonywapadua-m5973
    @kwayayamt.anthonywapadua-m59732 жыл бұрын

    Nimeipenda sana hii kitu ,,, ila Ushauri hii parokia Kubwa sana ,, Hilo jiwe Nyuma ya kinanda ni aibu kwa kazi yake inayoifanya na Mazingira lilipowekwa nitofauti Viongozi walione hilo..!!

  • @JugoMedia

    @JugoMedia

    2 жыл бұрын

    Amina, tutawafikishia ujumbe

  • @oddiriakasema657
    @oddiriakasema657 Жыл бұрын

    Tunda la kanisa

  • @josephmoyo5617
    @josephmoyo5617 Жыл бұрын

    Thanks father

  • @quenbertmtavangumtavangu9123
    @quenbertmtavangumtavangu9123 Жыл бұрын

    Nice

  • @neemalaurent3982
    @neemalaurent3982 Жыл бұрын

    Hongera padri kwa utume wako

  • @patrickmuchiri7480
    @patrickmuchiri7480 Жыл бұрын

    YOU NEVER SEE SUCH MANY CHILDREN IN THE WEST

  • @marymosha5066

    @marymosha5066

    Жыл бұрын

    Hongera sana Kwa Utume wako,pia Kwa njia ya NYIMBO big up saaaaanaaaaaaaaa!!!

  • @festusbosire8555
    @festusbosire85554 ай бұрын

    I see fr.Josephat from my home

  • @charlesjkyallo5835
    @charlesjkyallo5835 Жыл бұрын

    🎉

  • @frankwarembosaloon5316
    @frankwarembosaloon5316 Жыл бұрын

    Mapadri wanavipawa tatizo wanabania

  • @mushimagreth9840
    @mushimagreth98402 жыл бұрын

    Sifa na Utukufu zimrudie yeye anaekuwezesha,hongera baba

  • @marryclemence5820
    @marryclemence5820 Жыл бұрын

    Glory to God 👏👏

  • @peninamilanzi3619
    @peninamilanzi36192 жыл бұрын

    Fr nimekumbuka siku zile Pemba ulitupigia kinanda wimbo wa ndugu yangu kaza mwendo safari bado ni ndefu

  • @bensonwanjau9051
    @bensonwanjau90512 жыл бұрын

    I have cried as I watched this i don't know why but sometimes we fail to serve our God. The selfness in this video can be seen with everyone.

  • @francisakimaro6806

    @francisakimaro6806

    2 жыл бұрын

    Great Padre Prosper Kessy may God bless you always. Bravo!

  • @blassnyacky3650

    @blassnyacky3650

    Жыл бұрын

    I don’t even understand you here 🥴

  • @frolenziaandrea7822
    @frolenziaandrea78222 жыл бұрын

    Hoonngera fr

  • @francisjonas8973
    @francisjonas89732 жыл бұрын

    Ubarikiwe Fr nilitamani sana niwe padre ila nikakosa kwaajili ya makosa ya wazaziwangu jamani

  • @halimapima3042

    @halimapima3042

    2 жыл бұрын

    Pole Fransis

  • @a_cac7351

    @a_cac7351

    2 жыл бұрын

    Usilaume ndugu. Mungu bado ana jema juu yuko.

  • @thomasmutisya5691
    @thomasmutisya5691 Жыл бұрын

    👌🙏🙏🙏🙏🙏

  • @mwololokelvin7669
    @mwololokelvin7669 Жыл бұрын

    Whats the name of the song..huo wimbo wa shukrani waitwa aje

  • @Danielkashatila2024
    @Danielkashatila20242 жыл бұрын

    Safii

  • @aidahddumba7764
    @aidahddumba7764 Жыл бұрын

    God bless

  • @aidahddumba7764

    @aidahddumba7764

    Жыл бұрын

    Atembee na Egypt isaac God bless

  • @adamdaudi6191
    @adamdaudi61912 жыл бұрын

    Nyimbo hizi za masebene mi sijawahi zielewa hata kidogo

  • @stephanominja8927

    @stephanominja8927

    Жыл бұрын

    Huwez kuelewa kila kitu duniani🤣🤣🤣

  • @bensonwanjau9051
    @bensonwanjau9051 Жыл бұрын

    Wimbo huo waitwaje?

  • @niwahangaposius1104
    @niwahangaposius11042 жыл бұрын

    Remember that your called to serve

  • @joachimmambo4609
    @joachimmambo46092 жыл бұрын

    P

  • @georgeowiti4478
    @georgeowiti4478 Жыл бұрын

    Glory be to God

  • @reginamatem9893

    @reginamatem9893

    Жыл бұрын

    Hongera sana Padre wetu,Mungu akupe maisha marefu

Келесі