Jugo Media

Jugo Media

JUGO MEDIA NETWORK ni chombo cha uinjishaji kupitia mtandao kilichoanzishwa miaka
minne (4) iliyopita (19/02/2019) katika chumba kidogo cha kontena la Kwaya ya Familia
Takatifu Kanisa Kuu la Mtakatifu Yosefu Jimbo Kuu la Dar es Salaam. Malengo makubwa
ya Jugo Media Network ni kuwalisha kiroho waamini wa Kanisa Katoliki na wakirstu wote
kwa vipindi mbalimbali vya kiroho, Misa Takatifu na homilia za maaskofu na mapadre kwa
kutumia mitandao ya kijamii ambayo kwa dunia ya sasa imeonekana kuwa na upotovu
mkubwa wa maadili hasa kwa vijana lakini pia ndio tasnia inayokuwa kwa kasi Zaidi
ulimwenguni, hivyo mwanzilishi, Ndugu Ibrahim Gores akajikita Zaidi na kundi kubwa la
vijana na watu wa rika zote walioko mitandaoni kuwawezesha kuweza kupata neno la
Mungu katika Mazingira yao walipo, muda wowote ule.
Channel Hii inaongozwa na kauli Mbiu Jugo Media - Injili Kiganjani Mwako

Пікірлер

  • @user-im8ep5ic7n
    @user-im8ep5ic7n26 минут бұрын

    😢😢😢😢Daa💔💔💔mmependeza sana

  • @oswaldmkinga7645
    @oswaldmkinga76453 сағат бұрын

    Safi sana hii

  • @nonkuria9559
    @nonkuria95595 сағат бұрын

    Hayati John Mgandu Gwinji Wa Muziki kweli Mungu amueke Mahali Pepa peponi I know you are with The Choir of Angels

  • @cynthiamwendwa674
    @cynthiamwendwa6746 сағат бұрын

    ❤❤

  • @BrendaMoraa-dp7tz
    @BrendaMoraa-dp7tz7 сағат бұрын

    🎉🎉🎉🎉❤

  • @user-ku7ru6cj1p
    @user-ku7ru6cj1p20 сағат бұрын

    👏👏👏👏👏

  • @williamcosmas1986
    @williamcosmas198621 сағат бұрын

    Huyu dada hana majivuno hata kidogo

  • @user-oy4gj7cx2y
    @user-oy4gj7cx2yКүн бұрын

    Amen 🙏🙏🙏🙏

  • @daviddsouza735
    @daviddsouza735Күн бұрын

    Siasa mingi. Vijana wametengwa. Hii iaitwa celebrative showmanship Naomba kuisikia homilia ya Padri Israel Tukumbushane kwamba ndama usipomtunza pia kumkamua hutaweza na ukimkamua maziwa hatatoki ni damu tu

  • @JosephKakingo
    @JosephKakingoКүн бұрын

    The brain Benard Mukasa ❤

  • @francismigongwa4146
    @francismigongwa4146Күн бұрын

    Atukuzwe Mungu milele

  • @zenaismatemu7512
    @zenaismatemu7512Күн бұрын

    Wazee wakiongea wanaongea kutokana na uzoefu wao. Asante sana Mhashamu Baba Askofu Minde. Tuwaombee daima waweze kuishi wito wao vyema.

  • @zenaismatemu7512
    @zenaismatemu7512Күн бұрын

    Mungu awapokee kwake, pole sana Baba Abate, Jumuiya yore, ndugu na marafiki wote.

  • @salomeshongola1697
    @salomeshongola16972 күн бұрын

    Amina🎉🎉🙏🙏🙏

  • @user-rf3zz1lb6l
    @user-rf3zz1lb6l2 күн бұрын

    Hallelujah hallelujah 🙌🙌

  • @jeremiahkaligilwa5639
    @jeremiahkaligilwa56392 күн бұрын

    Baba yetu wa kiroho. Hongera pia kwa utume katika kuchunga waamini katika kanisa Katoliki

  • @user-zy4qn6nu4t
    @user-zy4qn6nu4t2 күн бұрын

    Asante sana Fr. Israeli kwa mahubiri mazuri sana. Mungu wetu ni mkuu. Pd. Am. Tarimo

  • @MankaMushi-ic6pl
    @MankaMushi-ic6pl2 күн бұрын

    Mungu awabariki Sana awape mnahitaji kwake

  • @fredmselle2227
    @fredmselle22272 күн бұрын

    Asante baba kwa neno la shukrani

  • @judithmakeja6607
    @judithmakeja66073 күн бұрын

    Mambo ni 🔥 Utume mwemaa vijana wa Yesu

  • @GalusMosile-ro5fc
    @GalusMosile-ro5fc3 күн бұрын

    Good work brother's

  • @adeodatuskakorozya9064
    @adeodatuskakorozya90643 күн бұрын

    👏🏾👏🏾👏🏾

  • @danielmatemu9698
    @danielmatemu96983 күн бұрын

    Asante,umeicheza palepale F

  • @KayomboSir
    @KayomboSir3 күн бұрын

    Raha ya milele uwape Ee Bwana na mwanga wa milele awaangazie wapumzike kwa amani.

  • @Kiwake-f5c
    @Kiwake-f5c3 күн бұрын

    Yani sauti ya padre imeingiya mpaka rohono mama Maria amzidishiye nguvu katika kulitumikia taifa la mungu ukatoliki rahaa sana⛪

  • @faustampunza5501
    @faustampunza55013 күн бұрын

    Salamu malkia ya kilatini

  • @JohnMaryMulokozi
    @JohnMaryMulokozi3 күн бұрын

    Pole sana baba abate na jumuiya yako

  • @GalusMosile-ro5fc
    @GalusMosile-ro5fc3 күн бұрын

    Hongereni sana

  • @francismigongwa4146
    @francismigongwa41463 күн бұрын

    Rip watumishi wa Bwana

  • @annewesiwasi5204
    @annewesiwasi52043 күн бұрын

    Amina 🙏

  • @sabinakushoka9737
    @sabinakushoka97373 күн бұрын

    Mungu awape pumziko la milele

  • @lucyfrancis1614
    @lucyfrancis16144 күн бұрын

    Poleni saana mwenyezi awapokee marehemu wote katika ufalme wa mungu

  • @user-td5br8nr9w
    @user-td5br8nr9w4 күн бұрын

    Huyo pembene ni spiker wa bunge mstaafu ndugai or macho yangu?

  • @user-td5br8nr9w
    @user-td5br8nr9w4 күн бұрын

    Hongera sana walimu wa watt hawa

  • @gereonmmole3828
    @gereonmmole38284 күн бұрын

    Kweli ni majonzi na huzuni kubwa sana. Mungu awapkee katika makao yake ya milele mbinguni Amina.

  • @KaloliPaul
    @KaloliPaul4 күн бұрын

    Raha ya milele uwape ee bwana

  • @KaloliPaul
    @KaloliPaul4 күн бұрын

    Raha ya milele

  • @user-ng8uq1fj3r
    @user-ng8uq1fj3r4 күн бұрын

    Jimbo gani hili jamani hadi raha kweli father mwenyezi Mungu azidi kukutangulia katika utumishi wako

  • @christinakennedy2031
    @christinakennedy20314 күн бұрын

    Nimeipenda sana Mungu ibariki ndoa yao ikadumu muda mrefu wapate kuona mema ya Mungu juu yao

  • @user-dq3op3gs2d
    @user-dq3op3gs2d4 күн бұрын

    Yupo parokia ya wapi

  • @user-dq3op3gs2d
    @user-dq3op3gs2d4 күн бұрын

    Nairudia rudia upo vizuri unaifurahia kazi yako padre

  • @InnocentDaniel-u2o
    @InnocentDaniel-u2o4 күн бұрын

    Hongeren sana

  • @FerdinandWangwe
    @FerdinandWangwe5 күн бұрын

    Mwenyezi awapunguzie adhabu ya kaburi

  • @LucilaMassawe
    @LucilaMassawe5 күн бұрын

    Wapumzike kwa amani 😭😭😭😭😭 tutakukumbuka Sana binamu yang

  • @berthamjawa
    @berthamjawa5 күн бұрын

    Wapumzike kwa amani

  • @fulgencesangawe3533
    @fulgencesangawe35335 күн бұрын

    Raha ya milele uwape ee bwana, na mwanga wa milele uwaangazie, wapumzike kwa amani..Amina.

  • @fransiscopaul935
    @fransiscopaul9355 күн бұрын

    Mwenyezi Mungu awajalie pumziko la Milele Mbinguni Amina

  • @MagrethEvarist-n9w
    @MagrethEvarist-n9w5 күн бұрын

    Wapumzike kwa amani kaka zetu Wabenediktini.

  • @user-jx4rx6jy6y
    @user-jx4rx6jy6y5 күн бұрын

    Yani huu wimbo kila siku lazima niuskilize hongeren sana ❤❤❤

  • @WilliamNestory-rn2wh
    @WilliamNestory-rn2wh5 күн бұрын

    Nendeni salama tupo nyuma yenu dunian hapa tunapita laleni salama watawa wetu