JUGO MEDIA NETWORK ni chombo cha uinjishaji kupitia mtandao kilichoanzishwa miaka
minne (4) iliyopita (19/02/2019) katika chumba kidogo cha kontena la Kwaya ya Familia
Takatifu Kanisa Kuu la Mtakatifu Yosefu Jimbo Kuu la Dar es Salaam. Malengo makubwa
ya Jugo Media Network ni kuwalisha kiroho waamini wa Kanisa Katoliki na wakirstu wote
kwa vipindi mbalimbali vya kiroho, Misa Takatifu na homilia za maaskofu na mapadre kwa
kutumia mitandao ya kijamii ambayo kwa dunia ya sasa imeonekana kuwa na upotovu
mkubwa wa maadili hasa kwa vijana lakini pia ndio tasnia inayokuwa kwa kasi Zaidi
ulimwenguni, hivyo mwanzilishi, Ndugu Ibrahim Gores akajikita Zaidi na kundi kubwa la
vijana na watu wa rika zote walioko mitandaoni kuwawezesha kuweza kupata neno la
Mungu katika Mazingira yao walipo, muda wowote ule.
Channel Hii inaongozwa na kauli Mbiu Jugo Media - Injili Kiganjani Mwako
Пікірлер
😢😢😢😢Daa💔💔💔mmependeza sana
Safi sana hii
Hayati John Mgandu Gwinji Wa Muziki kweli Mungu amueke Mahali Pepa peponi I know you are with The Choir of Angels
❤❤
🎉🎉🎉🎉❤
👏👏👏👏👏
Huyu dada hana majivuno hata kidogo
Amen 🙏🙏🙏🙏
Siasa mingi. Vijana wametengwa. Hii iaitwa celebrative showmanship Naomba kuisikia homilia ya Padri Israel Tukumbushane kwamba ndama usipomtunza pia kumkamua hutaweza na ukimkamua maziwa hatatoki ni damu tu
The brain Benard Mukasa ❤
Atukuzwe Mungu milele
Wazee wakiongea wanaongea kutokana na uzoefu wao. Asante sana Mhashamu Baba Askofu Minde. Tuwaombee daima waweze kuishi wito wao vyema.
Mungu awapokee kwake, pole sana Baba Abate, Jumuiya yore, ndugu na marafiki wote.
Amina🎉🎉🙏🙏🙏
Hallelujah hallelujah 🙌🙌
Baba yetu wa kiroho. Hongera pia kwa utume katika kuchunga waamini katika kanisa Katoliki
Asante sana Fr. Israeli kwa mahubiri mazuri sana. Mungu wetu ni mkuu. Pd. Am. Tarimo
Mungu awabariki Sana awape mnahitaji kwake
Asante baba kwa neno la shukrani
Mambo ni 🔥 Utume mwemaa vijana wa Yesu
Good work brother's
👏🏾👏🏾👏🏾
Asante,umeicheza palepale F
Raha ya milele uwape Ee Bwana na mwanga wa milele awaangazie wapumzike kwa amani.
Yani sauti ya padre imeingiya mpaka rohono mama Maria amzidishiye nguvu katika kulitumikia taifa la mungu ukatoliki rahaa sana⛪
Salamu malkia ya kilatini
Pole sana baba abate na jumuiya yako
Hongereni sana
Rip watumishi wa Bwana
Amina 🙏
Mungu awape pumziko la milele
Poleni saana mwenyezi awapokee marehemu wote katika ufalme wa mungu
Huyo pembene ni spiker wa bunge mstaafu ndugai or macho yangu?
Hongera sana walimu wa watt hawa
Kweli ni majonzi na huzuni kubwa sana. Mungu awapkee katika makao yake ya milele mbinguni Amina.
Raha ya milele uwape ee bwana
Raha ya milele
Jimbo gani hili jamani hadi raha kweli father mwenyezi Mungu azidi kukutangulia katika utumishi wako
Nimeipenda sana Mungu ibariki ndoa yao ikadumu muda mrefu wapate kuona mema ya Mungu juu yao
Yupo parokia ya wapi
Nairudia rudia upo vizuri unaifurahia kazi yako padre
Hongeren sana
Mwenyezi awapunguzie adhabu ya kaburi
Wapumzike kwa amani 😭😭😭😭😭 tutakukumbuka Sana binamu yang
Wapumzike kwa amani
Raha ya milele uwape ee bwana, na mwanga wa milele uwaangazie, wapumzike kwa amani..Amina.
Mwenyezi Mungu awajalie pumziko la Milele Mbinguni Amina
Wapumzike kwa amani kaka zetu Wabenediktini.
Yani huu wimbo kila siku lazima niuskilize hongeren sana ❤❤❤
Nendeni salama tupo nyuma yenu dunian hapa tunapita laleni salama watawa wetu