Kristo azaliwe ndani yako siku ya leo,na baraka za mungu zikae ndani yako milele amina,
@elishangoma82355 ай бұрын
Nimeitafuta sana hii nyimbo amini usiamini hii nyimbo ina nikumbusha sana maisha yangu ya chuo nikiwa na utafuta wokovu na leo ni zaidi ya miaka 12 sasa na leo nimeipata sasa itanirudisha katika wokovu
@user-yx6ef2kd9p3 ай бұрын
Kweli nimebalikiwa❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
@eliasluwela84988 жыл бұрын
Ama! kwa hakika Mungu anawhubiri wengi barikiwa sana ni ujumbe mzito sana nikumbuke Yesu unaporudi ...amen
@jacobsang77824 жыл бұрын
kazi ya kipekee,baraka ujaliziwe daima
@ograwilbert30492 жыл бұрын
Wimbo unaotusogeza kwa mungu
@denismagere86194 жыл бұрын
Nikumbuke Mungu unapo ludi
@hauleluvanda36825 жыл бұрын
Hakika wimbo ni mzuri na umenibariki nimeona hadi machozi yakinitoka. Barikiwa sana
@ochiengkepher99593 жыл бұрын
Ahsante kwa kipaji. Sifa kwa Mwenye Enzi.
@beatricemdoe28502 жыл бұрын
AMEN BARIKIWA sana Ujumbe mzuri kila kitu kizuri wow
@alitigana1865 жыл бұрын
Mungu akubaliki Mama kwa wimbo unagusa Moyo wangu sana
@eppiemodest4 жыл бұрын
Wimbo huu unanipa matumaini ya kuacha dhambi na kuingia peponi. Ewe Mungu unisaidie. Mungu akubariki mwimbaji.
@ograwilbert30492 жыл бұрын
Barkiwa San mtu was mungu
@meshackezekiel58364 жыл бұрын
Balikiwa 2020 nautazama tena huuu wmbo
@padontuyishime29625 жыл бұрын
Sikia ombi langu mungu!
@restangimba38522 жыл бұрын
Mungu akubariki sana role model wangu❤
@julianandaturu79545 жыл бұрын
Nimebarikiwa Sana na wimbo huu Mungu azidi kukuinua uieneze injili kwa uimbaji
@seckypanja19105 жыл бұрын
Hebu na ww jiulize ibada nayo haukosi tena navyo viti vya mbele ukose sherehe ya mbingu
@user-tt4mg1hy1q2 ай бұрын
Naupenda xana huu wimbo barikiwa mama yangu
@suzychacha78795 жыл бұрын
Eee, mungu tukumbuke unaporudi Ubarikiw sana dada
@aminaelimbwambo48914 жыл бұрын
Nyimbo zinanibariki
@josephmbofu74538 жыл бұрын
Hakika ni wimbo unaogusa maisha yangu,ubarikiwe sana Namsifu
@samwelackley1711
5 жыл бұрын
aminaaa
@thadeimsoma72954 жыл бұрын
Mungu amekuchagua kuinjilisha kwa njia ya nyimbo hongera sana Dada yangu,
@NeemaPhilip-ti7cm2 ай бұрын
Amina akika nime barikiwa na huu wimbo Amina🙏🙏
@laban25528 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana na mbaraka huu
@musakiboya5875 жыл бұрын
Mungu akubariki Sana kuomba, kufunga, kuimba,kupiga kinanda "niguse taji yako"
Heee this is song!!!!! It's the best song wooow may you be blessed sister in Christ
@lucasswila43046 жыл бұрын
Ubarikiwe mama nyimbo zako
@lucyelisha77454 жыл бұрын
Yuan ubarikiwe
@leahngugi59187 жыл бұрын
Mungu akubariki sana dada yangu. Ninazipenda sana nyimbo zako. Ujumbu unaoipeleka roho yangu karibu na Mungu ambapo ninahisi kumwabudu zaidi
@leahngugi5918
7 жыл бұрын
Nilimaanisha ujumbe si ujumbu
@sandulucas56937 жыл бұрын
imekaa vizuri ubarikiwe
@mwitanyanchugu3 жыл бұрын
Huu wimbo naupenda sana.
@benjaminkundy1284 жыл бұрын
Shangaa kuna mtu ana dislike huu wimbo..hao w atakua wapinga Kristu Mungu wangu na awasamehe ..eeh Mungu uwasamehe hawajui watendalo.
@casineobote99897 жыл бұрын
mungu nifundisheeeeeeee penzi lakoooo🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@evaqbenjamin53658 жыл бұрын
Be blessed sister. You made tears on my eyes I have been thinking deep about that day Jesus will come to harvest his people. Nihurumieeee eee Yesu nikumbuke unaporudi....Ameeeeeen
@pilipilimanga88718 жыл бұрын
Jamani wimbo maridadi kabisa.Melodi nzuri .Ujumbe umepangwa vizuri.mzuki mtamu. Hongera sana Namsifu M Mwita,hakika umenibariki sana,umenisogeza hatua moja mbele kiimani. ubarikiwe sana Endee mbali. Amen!
@waryobayankami27298 жыл бұрын
May God bless you
@ezekieliboniface43736 жыл бұрын
Amina huu wimbo ni wimbo ambao unaonyesha nini tukiitaji ..... Yesu tuhurumie
@godwinprotace67494 жыл бұрын
All the way from Mzumbe University
@francisakula64096 жыл бұрын
Mungu akubarki da namsifu mwita
@decotha80205 жыл бұрын
God bless you you have nice songs
@elizsethpaul73107 жыл бұрын
Mungu akubarik dada kwa wimbo huu mzuri na wenye fundiso zuri
@agreymsalilwa7804 Жыл бұрын
Wonderful
@presciousjames45275 жыл бұрын
Nimeopenda sana
@jeffratemo11175 жыл бұрын
amen wimbo huu unaibariki roho yangu kila ujao ubarikiwe saaaana mama
@fredycrobi4758 жыл бұрын
Mpenzi wa Mungu ubarikiwe kwa hubiri lako
@cassandrajohnhas20144 жыл бұрын
Penda Sana
@johnmamenty94414 жыл бұрын
Very good
@ginawedanashon79789 жыл бұрын
This is awesome, huu wimbo sichoki kuusikiliza
@floraritha14545 жыл бұрын
Dada mpendwa ktk bwana,Mungu akubariki na akuinue kwa kiwango cha juu zaifi maana nabarikiwa sana ninaposikiliza nyimbo zako nahisi kama nimezamishwa uweponi mwa Bwana yesu
@rabanikisusi3864 жыл бұрын
All the way from geita (GGM)
@peterleonard41046 жыл бұрын
Nimeupenda sana wim bo huu. Hongera sana
@beatricenmarwa97452 жыл бұрын
Asante dada. Bwana atuhurumie atupe nafasi ya kupaa nae
@rebecasabbath91037 жыл бұрын
Barikiwa mama nyimbo zako zinani bariki
@user-pq9be8re6i3 ай бұрын
Ubarikiwe dada
@christinalukwaro406211 ай бұрын
😢Unikumbuke YesuAmina
@abssalomkakoyo63005 жыл бұрын
WIMBO UNABARIK SANA HUU
@nyachirangimlengwa6 жыл бұрын
Yesuuuuu huu wimbo naupenda jamani...Mungu akubariki sana Namsifu sauti yako ni special
@mabulamakula95518 жыл бұрын
very nice song ,,be blessed
@lukwajamakenzi88319 жыл бұрын
I APPRECIATE THE WAY NAMSIFU MANAGED TO USE HER VOCAL
@oman79811 ай бұрын
AMINA nihulumie. Eee YESU AMINA
@joycemakalethobias22273 жыл бұрын
I love this song may God bless u
@milembemagembe48767 жыл бұрын
ubarikiwe dada kwa huduma hiyo utoayo inawasogeza wengi msalabani
@hatungimanajmarrie3464 жыл бұрын
Amina
@neemamirobo11768 жыл бұрын
let the world be sanctified by your voice that you were gifted
@minzajoyce8004 Жыл бұрын
I'm so blessed with this song,God bless you Namsifu Maduhu
@musatbobius54726 жыл бұрын
nikumbuke utakaporudi eee Yesu ,
@restmahimbo21788 жыл бұрын
barikiwa Dada namsifu, wimbo huu umegusa moyo wangu
@joycemwenura6908
4 жыл бұрын
Wimbo huu huwa unanigusa sana na sichoki kuusikiliza ubarikiwe sana dada NAMSIFU
@martharobert3696 жыл бұрын
nimempoteza baba yangu kipenzi siku 57 zilizopita ni wakati mgumu sana kwangu wimbo huu unanifariji sana na naamini Mungu amemkumbuka baba yangu katika maisha mapya ya mbinguni. huu wimbo ni baraka sana asante dada Namsifu.
@philemonrono49579 жыл бұрын
GOD BLESS& UPLIFT YOUR MINISTRY
@kisimbapaschal88138 жыл бұрын
Dada kama umepungua sehemu yoyote kwa ajili ya kuandaa ujumbe huu mungu akuzidishie maradufu umeukonga moyo wangu yesu utukumbuke unaporudi ubarokiwe sana Dada pamoja na familia yako
@swarehendomix15723 жыл бұрын
Nice Jusus song
@kwizeraelly92617 жыл бұрын
Namsifu m.mwita wimbo wa unihurumie eh eh Yesu nikumbuke unaporudi Mungu akubariki sana!!!!
@georgemashauri4657
4 жыл бұрын
Huu wimbo unanigusa Nikumbuke unapo ludi yesu.
@lissahkaduma1124
4 жыл бұрын
Barikiweee sanaaa dada Mwita
@henrychris4233 жыл бұрын
Keep it up
@essieamonde62828 жыл бұрын
May the Lord bless u continually!
@law_of_the_jungle11 жыл бұрын
UMEFANYA VEMA SANA KAKA GIBSON. NAOMBA KAMA INAWEZEKANA UPLOAD NYIMBO NYINGINE ZA DADA MWITA. NAOMBA YESU AMKUMBUKE SANA DADA NAMSIFU MWITA. ZAIDI, SOTE ATUKUMBUSHE HURUMA YAKE YESU NA KUTUFUNULIA WOKOVU ALIOTULETEA. AHSANTE. MAY THE HIGH GOD REMEMBER US ALL. AMEN.
@faidairadukunda86458 жыл бұрын
May God bless you and I wish you all the time to do so. I can't stop listening this songs from you. Be blessed.
@emmanuelkemboi26477 жыл бұрын
GOD bless you so much Mum for the inspiring songs
@benmakule88267 жыл бұрын
Mungu amekubariki mno yani... sauti yako nzuri sana mama## nimebarikiwa sana na uimbaji wako
@niyonzimajulienne8887
6 жыл бұрын
Mungu akubariki ombi rako Mungu alisikie .
@petergodfrey19928 жыл бұрын
Be blessed abundantly Nc song !
@paulineamimo7748 жыл бұрын
Amen! Stay blessed as I am blessed with this song forever and ever sister
@rebecasabbath91037 жыл бұрын
Mh Mungu ni ni fundishe na unibidishe.zaidi uni hurumieee
@msafirimentors75187 жыл бұрын
be blessed mum
@alexkabeho56098 жыл бұрын
be blessed sister, I can't stop listening to this inspiring song
@shephardsinkamba87168 жыл бұрын
be blessed my sister namsifu,,
@christinalukwaro406210 ай бұрын
Amina❤
@neymushi70178 жыл бұрын
Ubarikiwe
@niyokwizeraprivat5014 жыл бұрын
Amen
@davidalila81839 жыл бұрын
wonderful song!! Be blessed
@judithokama63008 жыл бұрын
wimbo mzuri sana unafundisho kwetu ss binadamu.
@whitepatrick34039 жыл бұрын
Glory to God
@williammagawa26018 жыл бұрын
ubarkiwe mtumish wimbo huu unanigusa sana ufike mbali
Пікірлер: 144
Kama umebarikiwa na wimbo huu weka like twende sawa good song
@stanslausmasinde5844
5 жыл бұрын
asante mtumishi
@magrethmarco5634
4 жыл бұрын
Ubirikiwe mama
@ruthiririzajean-baptiste6282
4 жыл бұрын
Ubarikiwe Mujakazi wa Mungu. Nahitaji zingine nyimbo ulizozitunga.
@JuliethLyamuya
14 күн бұрын
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤p@@stanslausmasinde5844
Uko vzr sana,,,,Mungu endelea kumtumia huyu mama
Kristo azaliwe ndani yako siku ya leo,na baraka za mungu zikae ndani yako milele amina,
Nimeitafuta sana hii nyimbo amini usiamini hii nyimbo ina nikumbusha sana maisha yangu ya chuo nikiwa na utafuta wokovu na leo ni zaidi ya miaka 12 sasa na leo nimeipata sasa itanirudisha katika wokovu
Kweli nimebalikiwa❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Ama! kwa hakika Mungu anawhubiri wengi barikiwa sana ni ujumbe mzito sana nikumbuke Yesu unaporudi ...amen
kazi ya kipekee,baraka ujaliziwe daima
Wimbo unaotusogeza kwa mungu
Nikumbuke Mungu unapo ludi
Hakika wimbo ni mzuri na umenibariki nimeona hadi machozi yakinitoka. Barikiwa sana
Ahsante kwa kipaji. Sifa kwa Mwenye Enzi.
AMEN BARIKIWA sana Ujumbe mzuri kila kitu kizuri wow
Mungu akubaliki Mama kwa wimbo unagusa Moyo wangu sana
Wimbo huu unanipa matumaini ya kuacha dhambi na kuingia peponi. Ewe Mungu unisaidie. Mungu akubariki mwimbaji.
Barkiwa San mtu was mungu
Balikiwa 2020 nautazama tena huuu wmbo
Sikia ombi langu mungu!
Mungu akubariki sana role model wangu❤
Nimebarikiwa Sana na wimbo huu Mungu azidi kukuinua uieneze injili kwa uimbaji
Hebu na ww jiulize ibada nayo haukosi tena navyo viti vya mbele ukose sherehe ya mbingu
Naupenda xana huu wimbo barikiwa mama yangu
Eee, mungu tukumbuke unaporudi Ubarikiw sana dada
Nyimbo zinanibariki
Hakika ni wimbo unaogusa maisha yangu,ubarikiwe sana Namsifu
@samwelackley1711
5 жыл бұрын
aminaaa
Mungu amekuchagua kuinjilisha kwa njia ya nyimbo hongera sana Dada yangu,
Amina akika nime barikiwa na huu wimbo Amina🙏🙏
Nimebarikiwa sana na mbaraka huu
Mungu akubariki Sana kuomba, kufunga, kuimba,kupiga kinanda "niguse taji yako"
wimbo umenibariki Sana
@claramalle6049
7 жыл бұрын
amina nimebarikiwa
Oo Wajameni,Siku Utakaporudi Yesu,Ombi langu Unikumbuke Unaporudi,Amina,Namsifu
Heee this is song!!!!! It's the best song wooow may you be blessed sister in Christ
Ubarikiwe mama nyimbo zako
Yuan ubarikiwe
Mungu akubariki sana dada yangu. Ninazipenda sana nyimbo zako. Ujumbu unaoipeleka roho yangu karibu na Mungu ambapo ninahisi kumwabudu zaidi
@leahngugi5918
7 жыл бұрын
Nilimaanisha ujumbe si ujumbu
imekaa vizuri ubarikiwe
Huu wimbo naupenda sana.
Shangaa kuna mtu ana dislike huu wimbo..hao w atakua wapinga Kristu Mungu wangu na awasamehe ..eeh Mungu uwasamehe hawajui watendalo.
mungu nifundisheeeeeeee penzi lakoooo🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Be blessed sister. You made tears on my eyes I have been thinking deep about that day Jesus will come to harvest his people. Nihurumieeee eee Yesu nikumbuke unaporudi....Ameeeeeen
Jamani wimbo maridadi kabisa.Melodi nzuri .Ujumbe umepangwa vizuri.mzuki mtamu. Hongera sana Namsifu M Mwita,hakika umenibariki sana,umenisogeza hatua moja mbele kiimani. ubarikiwe sana Endee mbali. Amen!
May God bless you
Amina huu wimbo ni wimbo ambao unaonyesha nini tukiitaji ..... Yesu tuhurumie
All the way from Mzumbe University
Mungu akubarki da namsifu mwita
God bless you you have nice songs
Mungu akubarik dada kwa wimbo huu mzuri na wenye fundiso zuri
Wonderful
Nimeopenda sana
amen wimbo huu unaibariki roho yangu kila ujao ubarikiwe saaaana mama
Mpenzi wa Mungu ubarikiwe kwa hubiri lako
Penda Sana
Very good
This is awesome, huu wimbo sichoki kuusikiliza
Dada mpendwa ktk bwana,Mungu akubariki na akuinue kwa kiwango cha juu zaifi maana nabarikiwa sana ninaposikiliza nyimbo zako nahisi kama nimezamishwa uweponi mwa Bwana yesu
All the way from geita (GGM)
Nimeupenda sana wim bo huu. Hongera sana
Asante dada. Bwana atuhurumie atupe nafasi ya kupaa nae
Barikiwa mama nyimbo zako zinani bariki
Ubarikiwe dada
😢Unikumbuke YesuAmina
WIMBO UNABARIK SANA HUU
Yesuuuuu huu wimbo naupenda jamani...Mungu akubariki sana Namsifu sauti yako ni special
very nice song ,,be blessed
I APPRECIATE THE WAY NAMSIFU MANAGED TO USE HER VOCAL
AMINA nihulumie. Eee YESU AMINA
I love this song may God bless u
ubarikiwe dada kwa huduma hiyo utoayo inawasogeza wengi msalabani
Amina
let the world be sanctified by your voice that you were gifted
I'm so blessed with this song,God bless you Namsifu Maduhu
nikumbuke utakaporudi eee Yesu ,
barikiwa Dada namsifu, wimbo huu umegusa moyo wangu
@joycemwenura6908
4 жыл бұрын
Wimbo huu huwa unanigusa sana na sichoki kuusikiliza ubarikiwe sana dada NAMSIFU
nimempoteza baba yangu kipenzi siku 57 zilizopita ni wakati mgumu sana kwangu wimbo huu unanifariji sana na naamini Mungu amemkumbuka baba yangu katika maisha mapya ya mbinguni. huu wimbo ni baraka sana asante dada Namsifu.
GOD BLESS& UPLIFT YOUR MINISTRY
Dada kama umepungua sehemu yoyote kwa ajili ya kuandaa ujumbe huu mungu akuzidishie maradufu umeukonga moyo wangu yesu utukumbuke unaporudi ubarokiwe sana Dada pamoja na familia yako
Nice Jusus song
Namsifu m.mwita wimbo wa unihurumie eh eh Yesu nikumbuke unaporudi Mungu akubariki sana!!!!
@georgemashauri4657
4 жыл бұрын
Huu wimbo unanigusa Nikumbuke unapo ludi yesu.
@lissahkaduma1124
4 жыл бұрын
Barikiweee sanaaa dada Mwita
Keep it up
May the Lord bless u continually!
UMEFANYA VEMA SANA KAKA GIBSON. NAOMBA KAMA INAWEZEKANA UPLOAD NYIMBO NYINGINE ZA DADA MWITA. NAOMBA YESU AMKUMBUKE SANA DADA NAMSIFU MWITA. ZAIDI, SOTE ATUKUMBUSHE HURUMA YAKE YESU NA KUTUFUNULIA WOKOVU ALIOTULETEA. AHSANTE. MAY THE HIGH GOD REMEMBER US ALL. AMEN.
May God bless you and I wish you all the time to do so. I can't stop listening this songs from you. Be blessed.
GOD bless you so much Mum for the inspiring songs
Mungu amekubariki mno yani... sauti yako nzuri sana mama## nimebarikiwa sana na uimbaji wako
@niyonzimajulienne8887
6 жыл бұрын
Mungu akubariki ombi rako Mungu alisikie .
Be blessed abundantly Nc song !
Amen! Stay blessed as I am blessed with this song forever and ever sister
Mh Mungu ni ni fundishe na unibidishe.zaidi uni hurumieee
be blessed mum
be blessed sister, I can't stop listening to this inspiring song
be blessed my sister namsifu,,
Amina❤
Ubarikiwe
Amen
wonderful song!! Be blessed
wimbo mzuri sana unafundisho kwetu ss binadamu.
Glory to God
ubarkiwe mtumish wimbo huu unanigusa sana ufike mbali
Ekiss
Nihurumie Yesu unikumbuke unaporudi.
imetulia
I love that song