Namsifu Makacha - Nasifu Shani

Музыка

Follow us on Twitter, click / princeamos

Пікірлер: 24

  • @siahtesha1927
    @siahtesha19276 жыл бұрын

    Mungu akuinue dada...akufanikishe katika kumtumikia yeye...

  • @richardsaluaron9924
    @richardsaluaron99249 жыл бұрын

    kuna nyimbo ukifumba macho ukasikiliza kwa makini unatamani yesu arudi muda huohuo, huu ni mmoja wapo,,,,,!!!!!!!!

  • @missayieko7326
    @missayieko73266 жыл бұрын

    Amina my dada nafarijika sana mungu awe nawe

  • @amanimghamba6135
    @amanimghamba61355 жыл бұрын

    Hongera sana sauti nzuri na tamu sana,Mungu akubariki

  • @floramujalya1026
    @floramujalya10268 жыл бұрын

    Nimebarikiwa sana na nyimbo za Namsifu Makacha

  • @deusmjinja5883
    @deusmjinja58834 жыл бұрын

    Hakika Mungu akujaze nguvu za kumtumikia yy milele daima

  • @lameckm61mjungu18
    @lameckm61mjungu189 жыл бұрын

    hongereni sana

  • @aminahilaty9142
    @aminahilaty91428 жыл бұрын

    Kazi nzuri sister

  • @FrancisOntomwa
    @FrancisOntomwa6 жыл бұрын

    Amen, this is powerful!

  • @francismiruka6383
    @francismiruka63838 жыл бұрын

    A very power message for those whose is HOPE in The LORD GOD. Amen

  • @ceciliamndeme7441
    @ceciliamndeme74419 жыл бұрын

    Yaani huu wimbo unanibariki sana, Dada Namsifu Mungu akuinue zaidi Ameni

  • @niyongabonestor5047

    @niyongabonestor5047

    6 жыл бұрын

    Nyimbo nzuri.

  • @mvumamvuma313

    @mvumamvuma313

    5 жыл бұрын

    Cecilia Mndeme nami pia nabalikiwa xna n nyimb za namsifu mungu azid kukutumia..

  • @gloriousn6425
    @gloriousn64256 жыл бұрын

    Sabato njema

  • @daudiriziki602
    @daudiriziki6023 жыл бұрын

    Barikiwa Dada Namsifu

  • @joshuaemmanuel59
    @joshuaemmanuel597 жыл бұрын

    wimbo mzur sana Dada namsifu ubarkiwe

  • @gracesindiyo1880
    @gracesindiyo18803 жыл бұрын

    Huu wimbo lyrics zake naeza pata wapi? Mzuri sana

  • @allenbrejustin2910

    @allenbrejustin2910

    Жыл бұрын

    1. Nasifu shani ya Mungu, mweneza bahari, Muumba pia wa mbingu, jua nyota mwezi, Ni tukufu yako shani, mtengeza mambo, Ya nyakati na zamani, yasiyo na mwisho. 2. Kadiri ya nionayo, ya kusifu Mungu: Nchi niikanyagayo, na hayo mawingu, Hakuna hata unyasi, usiokukuza, Na upepo wavumisha, au kutuliza. 3. Nami kwa mkono wako, naongozwa sawa, Ni pato nikusifupo, kukwomba ni dawa, Umenizingira nyuma, na mbele baraka, Maarifa ya ajabu, yanishinda mimi.

  • @michaeldebakey5337
    @michaeldebakey53372 жыл бұрын

    0:56

  • @shuhudatuya4880
    @shuhudatuya48804 жыл бұрын

    Be blessed

  • @jeancadet5477
    @jeancadet54773 жыл бұрын

    Nice family

  • @eastafricaworship8985
    @eastafricaworship89858 жыл бұрын

    Where can I get your CDs? This is very sweet music.

  • @mcumbelusambya9660
    @mcumbelusambya96604 жыл бұрын

    Amennnnnnnnnnnn

  • @leahjohnsimba1628

    @leahjohnsimba1628

    3 жыл бұрын

    Umebarikiwa