Namsifu Makacha - Tumaini Liko

Музыка

Follow us on Twitter, click / princeamos

Пікірлер: 21

  • @eliasluwela8498
    @eliasluwela84988 жыл бұрын

    sifa zimrudie Mungu kwa ajili ya Dada huyu Mungu ampe maisha marefu tuzidi barikiwa na nyimbo zake

  • @mcumbelusambya9660
    @mcumbelusambya96604 жыл бұрын

    Ammmmmmmmmmmmmen

  • @leahohalo6377
    @leahohalo63775 жыл бұрын

    Wonderful song....amen

  • @theaidanny753
    @theaidanny753 Жыл бұрын

    All time favourite❤

  • @alphoncearmony1632
    @alphoncearmony16325 жыл бұрын

    Amina mpendwa

  • @nyutwaclassic
    @nyutwaclassic5 жыл бұрын

    Melody tulivu mpaka leo mwaka 2019 bado ipo kwenye chati

  • @manumbujunior6148

    @manumbujunior6148

    4 жыл бұрын

    Umenifariji Sana

  • @zawardmdolo4957
    @zawardmdolo49574 жыл бұрын

    Dada yangu nyimbo zako zinanibariki sana

  • @tumainimasunga545
    @tumainimasunga5454 жыл бұрын

    Hakika ni wimbo makini! Hata mwonekano wako ni makini sana

  • @anthonyominde230
    @anthonyominde2307 жыл бұрын

    Wimbo wako wa tumaini limenibariki sa na mungu akubariki sana nakukupa hekima huzidi kutangaza makuu yake alie kutuma, amen

  • @aseweodulajakanyadoto8145
    @aseweodulajakanyadoto81456 жыл бұрын

    wimbo wenye ujumbe wa kubariki sana. Mwenyezi azidi kukufariji na usife moyo ukimtukuza kwa nyimbo zako

  • @neemamashauri9165
    @neemamashauri91656 жыл бұрын

    Mungu azd kukutumia katika uimbaji usonge mbele

  • @eliasluwela8498
    @eliasluwela84987 жыл бұрын

    "pamoja na machungu, taabu, huzuni, vilio, kuumizwa, kukatishwa tamaa na kupita katika majaribu mengi lakini ninajua siku moja nitakaa pamoja na Yesu na atanifuta machozi, Hilo ndilo tumaini langu siku zote, na wimbo huu ni mpya kila iitwapo Leo Bwana azidi kukubariki na kukutetea dada kwa huduma hii.

  • @simonnzombe5089
    @simonnzombe50898 жыл бұрын

    let us strive to enter in God's kingdom

  • @nicolauskalebi2939

    @nicolauskalebi2939

    6 жыл бұрын

    Mungu akubaliki nina jua hata mimi iposiku nitaketi nae.

  • @laban2552
    @laban25528 жыл бұрын

    amen

  • @mariampaul7789
    @mariampaul77896 жыл бұрын

    Barikiwa sana dada

  • @shijjasunday6363
    @shijjasunday63637 жыл бұрын

    very. nice. song

  • @amoschaina8190
    @amoschaina81905 жыл бұрын

    Inakonga nyoyo

  • @mariampaul7789
    @mariampaul77896 жыл бұрын

    Barikiwa sanaaa

  • @georgemashauri4657

    @georgemashauri4657

    4 жыл бұрын

    Dada nakuomba kwa neema ya mungu mtafute dada namsifu mwita mfanye wimbo itakuwa poa sana.

Келесі