A MEN I ubarikiwe san mtumishi kwa mafundisho mungu akubarki san
@emmanueltambo25302 жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe Mchungaji, Jina langu naitwa Emmanuel Tambo natokea Mombasa Kenya, nashukuru kwa video na jumbe ambazo ziko kwa mtandao huu GOD BLESS U ALL.Ujumbe huu kwa hakika umenifungua macho sana yaani yakiroho, nasio huu tu ziko nyingi mno.Mwenyezi MUNGU akubariki namapenzi yake yawe pamoja nawe.U r ma Spiritual Role Model.Tuko pamoja natubarikiwe sote.
@onesmoelias22852 жыл бұрын
Amina pasta ubalikiwe Sim yangu waliiazima imekaa wiki Yan nmefungua tu nakutafta mahubir yako ubalikiwe nmekupata
@amanimgeni33252 жыл бұрын
Asante mchungaji mbaga MUNGU azidi kukutumia ilituzidi kusogea miguuni pa BWANA wetu
@stanfordsaulo54037 ай бұрын
Napenda sana kukuelewa lakini Leo sijaelewa
@damareschikuo6332 жыл бұрын
Yesu anakuja tuandae maisha yetu wapendwa asante Pr kwa ujumbe wako
@kalebumela90732 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi
@gracej8762 жыл бұрын
Mungu atupatie macho ya kiroho kuona na kuelewa kinachoendelea hapa duniani katika kipindi hiki cha mwisho
@judithmakoye65922 жыл бұрын
Barikiwa pastor Mmbaga na mahubiritv kwa kutujali
@khaldn74092 жыл бұрын
Huu wakati kweli ni wa kufunga na kuomba kwa kuwa hizi nyakati ni dalili za mwisho. Ameni mchungaji barikiwa
@erasminemakundi85522 жыл бұрын
BARIKIWA SANA MTUMISHI WA BWANA KWA MAFUNDISHO HAYA
@bigmandubesamuelndetsa2682 жыл бұрын
Nashukuru Mungu kwa neno ambalo Baba amekupa kutulisha kwa siku yaleo
@josephartsenet70012 жыл бұрын
Hello Man of God josephart watching u from Kenya Nairobi God bless u
@marympemba38652 жыл бұрын
Umenifungua macho mchungaji, nilikuwa najiuliza maswali kuhusu hiyo vita, umejibu maswali yangu yote. Asante sana kwa ujumbe mzuri sana.
@bwirenelson4045 Жыл бұрын
GLORY TO GOD BE BLESSED PSTR ,CONTINUE TO IMPACT US is GODS WORD AMEN.HE is using you as a tool to fight antchrists that are at large now as ur equiping our souls .
@margretmwita8745 Жыл бұрын
Bwana yesu asifiwe mchungaji ,Jina langu ni Margaret mwita natokea Nairobi Kenya mungu akupaliki KAZI zuri 🙏🙏
@emmysam7938 Жыл бұрын
Mh..makubwa jamani..😢😢
@dasilvajr96472 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi wa BWANA
@rosepeter89962 жыл бұрын
AMINA...🙏Nimebarikiwa sana.
@bartolomeuhenrique1574 Жыл бұрын
Amen Niko Mozambique, pastor ubalikiwe sana
@moseselinisafi6425 Жыл бұрын
Mchungaj mbaga ubarikiw na Bwana Yesu Kristo kwa mafundisho yako
@definitelykoechy87262 жыл бұрын
God bless you pastor David 🙏
@curthbertsimbao46362 жыл бұрын
Subiri tu mch. Utaona ambao hujawahi kuyaona. Soma vema kuhusu taifa la kasikazini na wana wa mashariki, huyo unayesema kaka mkubwa atakuwa mdogo tu
@stadiusjustus61672 жыл бұрын
Naitwa Stadius Kutoka kagera muleba baba mch nimebarikiwa kwa neno lako hili
@mussatete26182 жыл бұрын
Onja msisimko😆😆😆😆😆😆😆 IMEISHA HIYO
@florencenyaruri56952 жыл бұрын
Glory to God. God bless and continue using you to his glory.
@fredrickkagwa8853
2 жыл бұрын
Be blessed Pastor kwa mafundisho
@stuwartbahurugo155
2 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi was Mungu
@LeahKirimu-nu9xg Жыл бұрын
Bwana Yesu asifiwe mchungaji mbaga naomba ushauri wako mimi niko kahama natamani sana kuwa msabato nakila nikichukuwa hatua sasa nakwenda sabato vita kubwa inainuka juu ya mume wangu pamoja na vipigo yani ni mashambulizi mpaka nawakwe zangu natumefungia ndoa kanisa la RC yani mpaka ninaenda2 kusali humo ukatoliki lake moyo wangu haumo kabisa naomba ushauli wako
@josephatjosephat91092 жыл бұрын
Ubarikiwe sana pasta
@user-ue7wo8th7d Жыл бұрын
Amen
@kadodochagama2562 жыл бұрын
Asante mchungaji. Mungu akubariki zaidi.
@gracejames23952 жыл бұрын
Hakuna kitu kibaya kama kutengwa na kanisa.usipomtazama kristo unaweza kweli ukaliacha kanisa na imani yake.
@Farajahelene230312 жыл бұрын
love you mr pastor
@joelfrancis21812 жыл бұрын
MUNGU ASIFiWE
@Jean-MarieKaserekamwalit-sb6pd Жыл бұрын
Asante kbs pasteur,ila natamani Siku moja ukuye kwa Congo hapa kutulisha piya neno la Mungu,kanisa la wa adventiste ni mengiii zaidi.
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Ninapanga kuja Goma
@Jean-MarieKaserekamwalit-sb6pd
Жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga tutafurahi sana ukifika huku kwetu Goma.Mungu akuandae vizuri kabisa
@eliuskivuyo75992 жыл бұрын
Amina Mchungaji Mbaga mungu aendelee kukutumia kama itakavyompendeza Nina shida binafsi naomba Namba zako tafadhali kama hutojali.
@MahubiriPrMmbaga
2 жыл бұрын
+255 755 932 283
@dreambig6093
2 жыл бұрын
Ni Mungu na sio mungu ndugu.
@beatricempiga-ex9wz Жыл бұрын
MUNGU atusaidie
@abidandastanmaliyatabu1373 Жыл бұрын
Hicho kitabu cha siraha saba za kiroho kinauzwa sh ngapi na kinapatikana wapi
@fidelenyarukemba72792 жыл бұрын
Good
@unitysendingpeacetoalltrib22852 жыл бұрын
Thanks 🙏🙏🙏 Sir Reverend
@fidelenyarukemba72792 жыл бұрын
Wwww
@bellimarwa54542 жыл бұрын
Amina mtumishi
@floragatwiri3063 Жыл бұрын
Glory to God
@frankmshana13312 жыл бұрын
ameeeen
@mwinamilapaul352 Жыл бұрын
Barikiwa sana
@curthbertsimbao46362 жыл бұрын
Mchungaji napenda tu kukuambia kwamba Putin na Urusi we muache tu, usiseme watamunyoosha, so kweli je wajuaje
@gabrielsaelie8091 Жыл бұрын
Ni vyema kuendelea kuomba mwongozo wa Mungu. Maana katika uelewa wangu kwa kizazi hiki dunia imepitia misukosuko ya mateso ya kutisha kwa wanadamu wakati wa vita vya kwanza na vita vya pili vya dunia. Dunia nzima ilitikisika. Na kipindi hicho kukaibuka maelezo mengi kwa mfano kanisa katoliki kupitia miujiza wa bikira Maria aliyeelezwa kuwa alionekana kule Fatima nchini Ureno na akaonya dunia. Hata hivyo dunia ilipita. Vita vya Urusi na Ukrain ni vita ya mataifa mawili tu hii ndio itakuwa ya kinabii!? Ninaamini shetani bado hajajiinia bado. Bado Neema ya Mungu ingalipo. Siku ile ya CHUKIZO badooo.
@gracejames23952 жыл бұрын
Mawakala wa ibisi waliomo kanisani hasa viongozi wanaweza kuwa chanzo kikubwa chakuwafanya watu waiache imani .
@kalebumela90732 жыл бұрын
Mchungaji MUNGU Akubariki Sana nimebarikiwa kwa kumbe Zako kweli kila mtu ana Vita yake na hawezi kuishinda kwa NGUVU zake mwenyewe Hadi tutakapo mluhusu Yesu Kristo apambane maana sio Vita yetu ni Roho mbili na sio ya kimwili
@manjaugodwin78342 жыл бұрын
Acha na haya mambo wanayajua wenyewe
@oman79810 ай бұрын
AMINA
@sanukachristophersanuka93852 жыл бұрын
Nabarikiwa sana !...lakini ninaushauri!..kwamba mnapoweka hii video!..Mimi nahisi zingekuwa zinapunguzwa muda!..na ni vyema ujumbe uwe hata na sehemu mbili mfano Kama ujumbe Una dakik60 basi sehem ya kwanza iwe na dakka30 na ya pili hivohivo
@meshacknyandongo577
9 ай бұрын
Kwenye swala la muda usipunguzwa ujumbe mzito namna hii uupe nusu saa kweli Nakushauri uwe unaangalia ukichoka unaacha unaendelea baadae tena
@sportevents2202 жыл бұрын
Namba ya sadaka
@faustinemasumbuko2792 жыл бұрын
Nabarikwa
@atwityngumbi21532 жыл бұрын
Amina
@senikomanya72232 жыл бұрын
Hamna kitu hapo
@miye22152 жыл бұрын
napataje kumuona huyu Mtumishi??? Naomba nipate mawasiliano yake pliz.
@graceclinton5241
2 жыл бұрын
Amina mungu anakutumia vyema
@patrickmunishi2277 Жыл бұрын
Niko dodoma mtumishi,nawezaje kupata hiki kitabu cha silaha 7 za kiroho?
@elishamakindya10212 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@kahilimawilliam65632 жыл бұрын
7u7îl
@florentinaninah24172 жыл бұрын
Elon Musk
@m2ibila2 жыл бұрын
Mchungaji henoko naye alitenda dhambi
@onesmoelias2285
2 жыл бұрын
Kwani biblia imesemaje Soma mwwnzo4:1 sura nzima
@patrickkamau77542 жыл бұрын
Nitapataje kitabu chako na Niko kenya
@MahubiriPrMmbaga
2 жыл бұрын
+254 759 614 102 piga number hii
@mussatete26182 жыл бұрын
Kitu chochote atakachokufundisha Mmbaga ni AMINA na KWELI
@benardchacha5590 Жыл бұрын
Pr. Nabarikiwa sana kwajinsi Mungu anavyo kutumia kusema kweli katikati ya upinzani mkubwa ulimwenguni.
@richardboaz-mashagospel23462 жыл бұрын
Salama iko kwa Yesu tu. kzread.info/dash/bejne/qaZosK6Ik7XIg8Y.html
@promessebiryasi43912 жыл бұрын
Amen
@beatricempiga-ex9wz Жыл бұрын
Amen
@marionoti5760
Жыл бұрын
Jamaa unajitahidi kuwalisha matango pori ukichanganya na ukweli.
Пікірлер: 80
A MEN I ubarikiwe san mtumishi kwa mafundisho mungu akubarki san
Bwana Yesu asifiwe Mchungaji, Jina langu naitwa Emmanuel Tambo natokea Mombasa Kenya, nashukuru kwa video na jumbe ambazo ziko kwa mtandao huu GOD BLESS U ALL.Ujumbe huu kwa hakika umenifungua macho sana yaani yakiroho, nasio huu tu ziko nyingi mno.Mwenyezi MUNGU akubariki namapenzi yake yawe pamoja nawe.U r ma Spiritual Role Model.Tuko pamoja natubarikiwe sote.
Amina pasta ubalikiwe Sim yangu waliiazima imekaa wiki Yan nmefungua tu nakutafta mahubir yako ubalikiwe nmekupata
Asante mchungaji mbaga MUNGU azidi kukutumia ilituzidi kusogea miguuni pa BWANA wetu
Napenda sana kukuelewa lakini Leo sijaelewa
Yesu anakuja tuandae maisha yetu wapendwa asante Pr kwa ujumbe wako
Ubarikiwe mtumishi
Mungu atupatie macho ya kiroho kuona na kuelewa kinachoendelea hapa duniani katika kipindi hiki cha mwisho
Barikiwa pastor Mmbaga na mahubiritv kwa kutujali
Huu wakati kweli ni wa kufunga na kuomba kwa kuwa hizi nyakati ni dalili za mwisho. Ameni mchungaji barikiwa
BARIKIWA SANA MTUMISHI WA BWANA KWA MAFUNDISHO HAYA
Nashukuru Mungu kwa neno ambalo Baba amekupa kutulisha kwa siku yaleo
Hello Man of God josephart watching u from Kenya Nairobi God bless u
Umenifungua macho mchungaji, nilikuwa najiuliza maswali kuhusu hiyo vita, umejibu maswali yangu yote. Asante sana kwa ujumbe mzuri sana.
GLORY TO GOD BE BLESSED PSTR ,CONTINUE TO IMPACT US is GODS WORD AMEN.HE is using you as a tool to fight antchrists that are at large now as ur equiping our souls .
Bwana yesu asifiwe mchungaji ,Jina langu ni Margaret mwita natokea Nairobi Kenya mungu akupaliki KAZI zuri 🙏🙏
Mh..makubwa jamani..😢😢
Ubarikiwe mtumishi wa BWANA
AMINA...🙏Nimebarikiwa sana.
Amen Niko Mozambique, pastor ubalikiwe sana
Mchungaj mbaga ubarikiw na Bwana Yesu Kristo kwa mafundisho yako
God bless you pastor David 🙏
Subiri tu mch. Utaona ambao hujawahi kuyaona. Soma vema kuhusu taifa la kasikazini na wana wa mashariki, huyo unayesema kaka mkubwa atakuwa mdogo tu
Naitwa Stadius Kutoka kagera muleba baba mch nimebarikiwa kwa neno lako hili
Onja msisimko😆😆😆😆😆😆😆 IMEISHA HIYO
Glory to God. God bless and continue using you to his glory.
@fredrickkagwa8853
2 жыл бұрын
Be blessed Pastor kwa mafundisho
@stuwartbahurugo155
2 жыл бұрын
Ubarikiwe mtumishi was Mungu
Bwana Yesu asifiwe mchungaji mbaga naomba ushauri wako mimi niko kahama natamani sana kuwa msabato nakila nikichukuwa hatua sasa nakwenda sabato vita kubwa inainuka juu ya mume wangu pamoja na vipigo yani ni mashambulizi mpaka nawakwe zangu natumefungia ndoa kanisa la RC yani mpaka ninaenda2 kusali humo ukatoliki lake moyo wangu haumo kabisa naomba ushauli wako
Ubarikiwe sana pasta
Amen
Asante mchungaji. Mungu akubariki zaidi.
Hakuna kitu kibaya kama kutengwa na kanisa.usipomtazama kristo unaweza kweli ukaliacha kanisa na imani yake.
love you mr pastor
MUNGU ASIFiWE
Asante kbs pasteur,ila natamani Siku moja ukuye kwa Congo hapa kutulisha piya neno la Mungu,kanisa la wa adventiste ni mengiii zaidi.
@MahubiriPrMmbaga
Жыл бұрын
Ninapanga kuja Goma
@Jean-MarieKaserekamwalit-sb6pd
Жыл бұрын
@@MahubiriPrMmbaga tutafurahi sana ukifika huku kwetu Goma.Mungu akuandae vizuri kabisa
Amina Mchungaji Mbaga mungu aendelee kukutumia kama itakavyompendeza Nina shida binafsi naomba Namba zako tafadhali kama hutojali.
@MahubiriPrMmbaga
2 жыл бұрын
+255 755 932 283
@dreambig6093
2 жыл бұрын
Ni Mungu na sio mungu ndugu.
MUNGU atusaidie
Hicho kitabu cha siraha saba za kiroho kinauzwa sh ngapi na kinapatikana wapi
Good
Thanks 🙏🙏🙏 Sir Reverend
Wwww
Amina mtumishi
Glory to God
ameeeen
Barikiwa sana
Mchungaji napenda tu kukuambia kwamba Putin na Urusi we muache tu, usiseme watamunyoosha, so kweli je wajuaje
Ni vyema kuendelea kuomba mwongozo wa Mungu. Maana katika uelewa wangu kwa kizazi hiki dunia imepitia misukosuko ya mateso ya kutisha kwa wanadamu wakati wa vita vya kwanza na vita vya pili vya dunia. Dunia nzima ilitikisika. Na kipindi hicho kukaibuka maelezo mengi kwa mfano kanisa katoliki kupitia miujiza wa bikira Maria aliyeelezwa kuwa alionekana kule Fatima nchini Ureno na akaonya dunia. Hata hivyo dunia ilipita. Vita vya Urusi na Ukrain ni vita ya mataifa mawili tu hii ndio itakuwa ya kinabii!? Ninaamini shetani bado hajajiinia bado. Bado Neema ya Mungu ingalipo. Siku ile ya CHUKIZO badooo.
Mawakala wa ibisi waliomo kanisani hasa viongozi wanaweza kuwa chanzo kikubwa chakuwafanya watu waiache imani .
Mchungaji MUNGU Akubariki Sana nimebarikiwa kwa kumbe Zako kweli kila mtu ana Vita yake na hawezi kuishinda kwa NGUVU zake mwenyewe Hadi tutakapo mluhusu Yesu Kristo apambane maana sio Vita yetu ni Roho mbili na sio ya kimwili
Acha na haya mambo wanayajua wenyewe
AMINA
Nabarikiwa sana !...lakini ninaushauri!..kwamba mnapoweka hii video!..Mimi nahisi zingekuwa zinapunguzwa muda!..na ni vyema ujumbe uwe hata na sehemu mbili mfano Kama ujumbe Una dakik60 basi sehem ya kwanza iwe na dakka30 na ya pili hivohivo
@meshacknyandongo577
9 ай бұрын
Kwenye swala la muda usipunguzwa ujumbe mzito namna hii uupe nusu saa kweli Nakushauri uwe unaangalia ukichoka unaacha unaendelea baadae tena
Namba ya sadaka
Nabarikwa
Amina
Hamna kitu hapo
napataje kumuona huyu Mtumishi??? Naomba nipate mawasiliano yake pliz.
@graceclinton5241
2 жыл бұрын
Amina mungu anakutumia vyema
Niko dodoma mtumishi,nawezaje kupata hiki kitabu cha silaha 7 za kiroho?
🙏🙏🙏
7u7îl
Elon Musk
Mchungaji henoko naye alitenda dhambi
@onesmoelias2285
2 жыл бұрын
Kwani biblia imesemaje Soma mwwnzo4:1 sura nzima
Nitapataje kitabu chako na Niko kenya
@MahubiriPrMmbaga
2 жыл бұрын
+254 759 614 102 piga number hii
Kitu chochote atakachokufundisha Mmbaga ni AMINA na KWELI
Pr. Nabarikiwa sana kwajinsi Mungu anavyo kutumia kusema kweli katikati ya upinzani mkubwa ulimwenguni.
Salama iko kwa Yesu tu. kzread.info/dash/bejne/qaZosK6Ik7XIg8Y.html
Amen
Amen
@marionoti5760
Жыл бұрын
Jamaa unajitahidi kuwalisha matango pori ukichanganya na ukweli.
Amen