SAFARI YA KUELEKEA MAONO YAKO |PR.DAVID MMBAGA|

Пікірлер: 68

  • @maseaJoe8676
    @maseaJoe86769 күн бұрын

    Mungu wetu aliyekupa huu upako na akubariki na kukuneemesha zaidi na zaidi mtumishi....wengi wetu tunapata faraja sana kupitia masomo yako

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    9 күн бұрын

    Amen

  • @CatherineMassau-ju4og

    @CatherineMassau-ju4og

    Күн бұрын

    Hakika kwakweli ata mimi huwa nakosa raha najiona mdhambi sana ila nkisikiaga mahubiri ya uyu pastor napata faraja sana

  • @LenaAuko-tj1io
    @LenaAuko-tj1io7 күн бұрын

    Naomba uniombee sana maana ni mimi tu kwenye familia yangu ninie mpokea yesu.mimi ni watatu ,lakini tuko saba .niombee familia yangu impokee Yesu

  • @matukioyasikuzamwisho7653
    @matukioyasikuzamwisho76539 күн бұрын

    Mama yangu anaumwa miguu, naomba neno lako moja tu ,naimani atapona na utukufu utarudi kwa Mungu

  • @kinsman-mx6qh
    @kinsman-mx6qh9 күн бұрын

    amina sana mchungalji ubarikiwe sana una karamu nzito ya kiroho pasi na shaka inayotubariki sana

  • @perisbosibori2249
    @perisbosibori22493 күн бұрын

    AMEN AND AMEN! I've been elevated so much with this wonderful message. May GOD uplift and bless you abundantly as you continue working tirelessly on His Vineyard 🙏🙏🙌🙌.

  • @elizabethgodfreytondo3052
    @elizabethgodfreytondo30524 күн бұрын

    Amen,Mwenyezi Mungu aendelee kukutumia ktk kazi yako ya utume kwani mahubiri yako yanagusa maisha yetu!

  • @ronaldkimengich8958
    @ronaldkimengich89588 күн бұрын

    Very nice teachings

  • @gladysmwende7500
    @gladysmwende75008 күн бұрын

    I thank God for you Pastor, He never fails to use you in a powerful way. Blessings to you, your Family and the entire Mahubiri Tv Team. Praying for you guys. 🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @ElizabethOmwoyo-hj4ch
    @ElizabethOmwoyo-hj4ch8 күн бұрын

    But to him that worketh not, but believeth on him that justifieth the ungodly, his faith is counted for righteousness.Eeeeh mungu wangu nahitaji neema yako Kwa jina la Yesu Kristo 🙏🙌👏

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    8 күн бұрын

    Powerful statement

  • @josephinemapande5221
    @josephinemapande52218 күн бұрын

    Amina mchungaji somo lunatic moyo kuna mafarakano kwa watoto wangu niombee upendo utawale ktk familia

  • @godfreywilliam7533
    @godfreywilliam75338 күн бұрын

    Thank you Lord for your deliverence for me,,,,no word I can explain this but it's miracle

  • @purity134
    @purity1348 күн бұрын

    Amen.Asante pastor kwa somo nzuri ila mie ikifika mambo ndoto nikiota kitu ikijirudia mara matatu iwe ni hiyo kazi ninayo ifanya naachana nayo,kama rafiki yngu hiyo ni onyo tunachana tu I take dreams serious

  • @matukioyasikuzamwisho7653
    @matukioyasikuzamwisho76539 күн бұрын

    Somo zuri, Pastor mkumbuke mama yangu anaumwa miguu ,Neno la Bwana litende kazi ,Amen

  • @ShukraniMtani
    @ShukraniMtani5 күн бұрын

    Mchungaji ubarikiwe saana Mungu azidi kukutumia zaidi na zaidi

  • @JulianaKinanga-v9p
    @JulianaKinanga-v9p6 күн бұрын

    Be blessed Servant of God, I have been blessed by the words of encouragement, kindly pray for me to finish studies am in fourth year school of law in Kenya,

  • @faustermtavangu8212
    @faustermtavangu82126 күн бұрын

    Namshukuru Mungu amejibu maombi yangu .niliyoomba kupitia kwako Mungu akubariki sana.mchungaji wetu unatubariki sana.

  • @mshigilakarume4425
    @mshigilakarume44259 күн бұрын

    Barikiwa sana pasta

  • @sylviesaidi5740
    @sylviesaidi5740Күн бұрын

    Mungu akutiye nguvu 🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @PendoJoseph-jv8cm
    @PendoJoseph-jv8cm9 күн бұрын

    Asante sana pastor MUNGU akubariki sana nilihitaji kusikia hii sana Leo nimepata nguvu mpya ndani yangu

  • @RubaR-nr5wz
    @RubaR-nr5wz9 күн бұрын

    Amen mtumishi ubarikiwe sana kwa ujumbe huu

  • @MATHAYOPETROGARYA
    @MATHAYOPETROGARYAКүн бұрын

    Mungu ni mwemaa sana

  • @joyikaya7429
    @joyikaya7429Күн бұрын

    AMINA PR. ZIDI KUBARIKIWA.

  • @esthernkwabi1675
    @esthernkwabi16758 күн бұрын

    Ubarikiwe mtumishi NAOMBA NGUVU yamaombi kutoka kwako

  • @matukioyasikuzamwisho7653
    @matukioyasikuzamwisho76539 күн бұрын

    Amen

  • @eugenianafutal9748
    @eugenianafutal97485 күн бұрын

    Barikiwa saana pastor

  • @ndakamasabini8071
    @ndakamasabini80718 күн бұрын

    Mungu wetu mwingi wa Rehema na upendo azidi kukubariki na watu wengi wapate Nuru kupitia WWE na Mungu ainuliwe

  • @user-jj5xm3gw9j
    @user-jj5xm3gw9j9 күн бұрын

    Nimebarikiwa sana

  • @shukurumlechi4139
    @shukurumlechi41398 күн бұрын

    Hallelujah ❤❤

  • @golasrichard4400
    @golasrichard44005 күн бұрын

    Nimekuelewa, Stay blessed

  • @user-xk5tk5xj4z
    @user-xk5tk5xj4z8 күн бұрын

    Amen amen amen pasta

  • @godfreywilliam7533
    @godfreywilliam75338 күн бұрын

    Thank u Lord

  • @user-rs7xb8uw5l
    @user-rs7xb8uw5l9 күн бұрын

    Tunakufwata tukiwa Congo! Ubarikiwe sana!

  • @raymondernest1798
    @raymondernest17989 күн бұрын

    Nabarkiwa sana...stay blessed pastor

  • @MariamBusele
    @MariamBusele6 күн бұрын

    Ubarikiwe sana mchungaji

  • @eliudbeyanga8575
    @eliudbeyanga85758 күн бұрын

    Nakukubali sana pastor..Asante sana

  • @user-gl8rs8ft5x
    @user-gl8rs8ft5x9 күн бұрын

    pastor mbaga balikiwa saaana naomba uniombee kiroho nibalikiwe naitwa festo matewa nipo dodoma

  • @IsayaNgoiva
    @IsayaNgoiva9 күн бұрын

    Barikiwa

  • @barakabenjamini2284
    @barakabenjamini22845 сағат бұрын

    amen

  • @JacklineMoti
    @JacklineMoti9 күн бұрын

    Amen 🙏🙏🙌

  • @user-ep9by3ui1v
    @user-ep9by3ui1v8 күн бұрын

    Amina 🙏😍

  • @RehemaKihoko-jz9od
    @RehemaKihoko-jz9odКүн бұрын

    Najifunza mengi sana na hua nasikia kupona rohoni nikisikiliza mafundisho yako Naomba MUNGU wa mbinguni azidi kukubariki ufikeke mbali kihuduma uzidi kusaidia watu wengi na ntamani nipate mawasiliano yako mchungaji

  • @KulwaWillison-dn3nx
    @KulwaWillison-dn3nx9 күн бұрын

    Barkiwa 🙏

  • @agnessshole
    @agnessshole9 күн бұрын

    Mm pia mchungaji nimenenewa hayo maneno na yananipunguzia nguvu ya kumalizia Degree yangu bado mwezi mmoja tu😰😰

  • @emmanuelmbwambo6571
    @emmanuelmbwambo65712 күн бұрын

    SAWA mchungaji (akhsante).🙏.

  • @IsayaNgoiva
    @IsayaNgoiva9 күн бұрын

    Baekiwa

  • @julitacharles2026
    @julitacharles20268 күн бұрын

    MUNGU azidi kukuinua.Natoka Kenya

  • @hamudshabani7801
    @hamudshabani78015 күн бұрын

    Ni kweli PR mmbaga kila mtu ameumbwa kwa kusudi mahususi lakn namna ya kutambua uwezo wa ndani.

  • @MnadaMayonga
    @MnadaMayonga5 күн бұрын

    Pastor naamini kama tukikusikiliza vzr Waadventista wasabato tutashinda majaribu yote ya shetani

  • @user-ir8ie3iu3n
    @user-ir8ie3iu3n5 күн бұрын

    Mutumishiwamungunaubarikiwesana mahubiriyakoyanitianguvusanetenasana

  • @user-ir8ie3iu3n
    @user-ir8ie3iu3n5 күн бұрын

    Minaitwa Erias N ,joseph nikiwa Rwanda kigari

  • @SageMeshak
    @SageMeshak8 күн бұрын

    MUNGU AKubariki pasta ni MESHACK MATAMBIRO toka Congo Bukavu amen.

  • @KalabaKlb
    @KalabaKlb9 күн бұрын

    Habari muchungaji nahitaji kitabu cha kusikiya sauti ya mungu

  • @KalabaKlb

    @KalabaKlb

    9 күн бұрын

    Nita kipata namna gani ? Niko Congo RDC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    9 күн бұрын

    Piga +255 69 342 8152

  • @KalabaKlb

    @KalabaKlb

    9 күн бұрын

    @@MahubiriPrMmbaga pia nahitaji maombi yako muchungaji napitia wakati mugumu nisaidiye kiroho.

  • @reginaburetta2304

    @reginaburetta2304

    8 күн бұрын

    Naomba msaada wa kuingiq kwenye app kwangu playstore siioni

  • @barakabenjamini2284
    @barakabenjamini22845 сағат бұрын

    Je sadaka ukitaka kutoa mchungaji unatoa kwa njia ipi

  • @Teresa-255
    @Teresa-2559 күн бұрын

    AMEN AMEN

  • @user-gx6nk6wg4j
    @user-gx6nk6wg4j9 күн бұрын

    Naomba namba yako pastor 🙏🏾🙏🏾

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    9 күн бұрын

    +255 755 932 283 WhatsApp

  • @user-gx6nk6wg4j

    @user-gx6nk6wg4j

    9 күн бұрын

    @@MahubiriPrMmbaga Asante sana🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @julitacharles2026
    @julitacharles20268 күн бұрын

    Je ukitaka kubstizwa utabatizwa wapi?

  • @MahubiriPrMmbaga

    @MahubiriPrMmbaga

    8 күн бұрын

    Uko wapi

  • @sindanosamson5144
    @sindanosamson5144Күн бұрын

    Mungu ni mwema sana

  • @leahwainaina4396
    @leahwainaina43968 күн бұрын

    Amen