NYANDU TOZI Aelezea Namba 26? Kufungwa jela South Africa, Majani ndo mtu wa kwanza ku
Ойын-сауық
THE PLAYLIST - Monday to Friday on 100.5 Times FM,
Time: 2pm to 6pm.
Host: Lil Ommy.
Subscribe, Watch, Share.
Niguse kwenye social networks:
/ lilommy
/ lilommy
www.lilommy.com for more interviews, hot news, exclusives, music, videos, artists profiles, gossip etc.
Пікірлер: 75
Huyu Jamaa Nyandu Ballaa Sana Namkubali Since Day 0ne Booom Hustle Of HipHop Is Real
Uwezi kupata 26 number kwa ku over stay acha uwongo namba 26 lazima uwe umefanya tukio ambalo linausisha kuingiza ela nyingi ukikamatwa ndo unapewa number na unafundishwa ku ongea kinumber wauni wakikuskia utaumia dogo
@kenybenjiz7850
2 жыл бұрын
Namshanga hyu dogo,analeta usanii kwenye mambo ya hatar ya watu
Dah nakukubali mwanangu,,,,hila about number 26 sio kweli kama unavyoiongelea achana kuwadanganya jeshi
@georgeroshy4432
5 жыл бұрын
26 anaijua vizuri sema hapa bongo hawezi izungumzia kama ilivyo...
26 Life World wide stay O.G,respect nyingi nyingi Ninja Nyandu Tozi!!
Salutee kwakooo dull vichwa vingi sana umevitoaa haki yako kudumu mpaka sasaa kwanza una roho ya kukunja kwa wadogo zakoooo... Kwangu mimi na upeo wangu mimii Dull ndio mfalme wa bongo flevaaaa.... Salute tena kwako brooo
awee ma homies nyandu tozi
Unanyimbo moja yakifala sana inaitwa mama
toziiii!! noma sana
Una lekodi gani ww souther ebu acha kudanganya ww mmmmm hiyo 26 yenyew huwezi hata kuyelezea ume pita tuu pritoria mala moja tuu ommy ume onge sema poa
Safi sana
Much respect Nyadu nakubali sana harakati zako.... @black_tiger_smart696
Nakukubal sana nyandu tozi
Best Radio Presenter 🤛🤛🤛
From today I'm 26 mtaftaji
Tozzy 💫
Nakukubali sana nyandu
B.O.B-26 For life
Tozi lenyewe hiloooo
FUNDII TAMBWEEE NA TOZEEEEE NYANDUUUUUUUUUU 26
Mimi nipo South African 26 nimizi anaye tumia kisukatika wizi wake ninamba ya uharif
Good sn nyandu
Yeah yeah kama zote hapo mbongo kaenda south 2
Nommmma
noumaaa
Nakubali Sana nyandu
Toz
NyanDu..... GANG....
Nime muelewa sana!!!!
Nyandu anza show mikoani bac
og
26 aiendi kinyume na sheria wapi wewe unadanganya tu mbona visu wanatumia na ukizingua wanaua
makin sana mnyama
Alikiba
toz the nyandu
Lil omy naomba namba yako
mwanangu nyndu we atali
#🌏Original 26life 👣🏁
26jambazi su mtumia Silaa na kuuza mihadharati
26 kundi la wahuni Acha kupotosha
Hahahahahaaa 26 aipatika kituoni ww mpaka ufungwe ss ww hiyo number ulipata wapi ? 27 na 27 ni kitu kimoja km baba mmoja mama tofauti ww sema tukupe kodu za ndomboro ndota
Nyandu show show saf
Cheen bees unaongeaga Sana Hadi unakua Kama shoga, cheki 26 anavyojua kufanya interview , copy Basi
We dogo acha uongo 26 sio wavunja sheria Auyanzindo mfana wena thula
Huyu kamanda ni namba ingne asee
Hujuwi chochitr we mtoto kuhusu 26🤙 alafu ulikamatwa kwa kuoverstay huwezi kupelekwa jela we umepelekwa camp 🏕 sio jela alafu we sio 26 sema unajipachika 26, 🤙 gan ambaye hauwi au ambaye havunji sheria za selikari all no are against na sheria so we chizi nyandu u know nothing about gang puss
@prosperbucheyeki2607
2 жыл бұрын
Kuma wewe acha kumdiss nyandu anahela nyingi sanaa
26 ni number ya ela wewe nyundu umjui kitu kabisa.
Mwamba hazeeki mbona
Namba ni 26 msa tunarepresent
We we Nani atakupa number wewe
@kenybenjiz7850
4 жыл бұрын
Mzushi huyu haijui 26
Mwongo
akuna 29 babu
Mwongo huyo
26
@noelpeter4923
6 жыл бұрын
tv zabronTz hatareee mzee nyandu
nyukama baba yako
over nyandu
Nyandu ana kipaji aisee.
26# umeielezea tofauti dogo
@saidibambo4339
4 жыл бұрын
Ebu ielezee ww unavyoielewa dingilai
Jela za South Africa hawakupi namba mpaka wakufire kwanza kwa mchizi walimla nini kiboga hicho
@amanidaud9375
4 жыл бұрын
MACHINTANGA CHIBWENA dogo nakutafuta kumamako
@jonaspeter1053
4 жыл бұрын
duh noma xana ujue baadh yawatu wanashindwa kuelewa 26 muuza unga 27 na 29 majambazi
26 aiendi kinyume na sheria wapi wewe unadanganya tu mbona visu wanatumia na ukizingua wanaua
26jambazi su mtumia Silaa na kuuza mihadharati
26 aiendi kinyume na sheria wapi wewe unadanganya tu mbona visu wanatumia na ukizingua wanaua
26 aiendi kinyume na sheria wapi wewe unadanganya tu mbona visu wanatumia na ukizingua wanaua
26 aiendi kinyume na sheria wapi wewe unadanganya tu mbona visu wanatumia na ukizingua wanaua
@saloujohn3639
5 жыл бұрын
Jamaa anadanganya 26 sio kihvyo 26 wakabaji wezi wa simu na vitu vidogovidogo na wanatumia visu na wanakuchana kweli hawarembe ,jamaa anadanganya,huku south africa wabongo wezi wezi jamaa anaitetea 26,.
@dicksonndunguru7002
5 жыл бұрын
Og