Mgombea wa nafasi ya Urais kupitia Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Lazaro Nyalandu amesema pamoja na kutopata ridhaa ya wajumbe hawezi kurudi CCM ataendelea kubaki Chadema
Жүктеу.....
Пікірлер: 214
@fredytarimo91073 жыл бұрын
Hongera sana nyarandu speech yako imetulia sana na umeonyesha ukomavu wa kisiasa.
@tawfiqissa6123
3 жыл бұрын
Kabisaaa
@yustodonald97723 жыл бұрын
Nyarandu MTU mmoja mwenye hekima xana
@tawfiqissa6123
3 жыл бұрын
Kabisaaa
@mtaninjegere60603 жыл бұрын
Nimekupenda sana Nyalandu
@ezekiambise25953 жыл бұрын
Huu ndo hekima na upendo wa hali juu!God bless you sir
@emmanuelmarko84423 жыл бұрын
Samahani sana kama nimekukubali ww ni mkomavu wa siasa hohera sana ndugu Nyarandu.
@neemaoscar34573 жыл бұрын
Kweli unahekima sana baba Nyalandu ,Mungu anakitu anajivunia kutoka kwako
@samomnanka27793 жыл бұрын
Lazaro Nyarandu speech yako imeonesha kuwa una maturity kubwa kisiasa.. Endelea kujifunza.. kwa umri wa miaka 49 kama uta keep kuwa consistent. I see you far away in Tanzanian Politics
@saleheinnocent76363 жыл бұрын
Singida to singida love u Boy Together we can 💪✌️nakuamn kuliko wale👈
@Charlpaul20033 жыл бұрын
God Bless you Nyalandu keep it up, Excellent, sasa wote kwa pamoja tumuunge mkono Mh. Lissu.
@edwardlutema88003 жыл бұрын
Pole mzee umekatwa Mkia
@joetheone33543 жыл бұрын
Nyalandu unatuliza sana kaka. Unahekima ya ajabu sana. Mungu ataendelea kukubariki sana Nyalandu. Na iwe hivyo kaka
@erickmnyalu5533 жыл бұрын
Pekee naomba nikupe hongera saana mh Nyarandu jipe muda panapo majaaliwa ya Mwenyez Mungu baada ya miak mitano utafanikiwa lengo....
@user-rt5yn9qq3i5 ай бұрын
❤❤❤❤naghuyanjaa kaka wanee
@lucksonkaleshi5393 жыл бұрын
You're very wise sir. God bless you.
@giftmush52973 жыл бұрын
The guy talk from his heart...brilliant
@jumakapilima7295
3 ай бұрын
Hadn't he gone back?
@shomarykhamis97113 жыл бұрын
Safi sana Mtani wangu mnyampaaa,Aamchaa mungu akulinde
@gastordominic4103 жыл бұрын
Hongera lisu....
@charlesmulimi17863 жыл бұрын
Msimamo ni mzuri sana mzee, hivyo ndo inatakiwa
@tawfiqissa6123
3 жыл бұрын
Kabisaaa
@unaonaniniplatform52443 жыл бұрын
Kwa sababu ana uhakika hawezi pewa ubunge. Hapo ni sehemu salama zaidi kwako. Hongereni kwa uwazi
@doubleymkuu42673 жыл бұрын
Nimefurahi sana kusikia speech ya huyu mtu
@mwambietv76143 жыл бұрын
Mungu awe nanyi muda wote
@kessynamilembo28643 жыл бұрын
Napenda sana niwe kama nyalandu
@costanciamwesi52793 жыл бұрын
Uko vizr sana lazaro
@samweliabeli42153 жыл бұрын
Nice lisu
@nickoomben81283 жыл бұрын
Mko vzr
@jumakapilima72953 ай бұрын
Dah! Siasa na wanasiasa wa bongo si wa kuwaamini hata kidogo,,,,
@nurukapoja77593 жыл бұрын
Nyalandu mungu akuongezee hekima uwe na hekima zaidi
@martinmnzava90533 жыл бұрын
Ukitaka kujua mapenza yenu kwenye chama hicho, gusa cheo cha mwenyekiti ndio utaelewa mbivu mbichi. Waulize waliojiunga na baadae kuhama chadema.
@makingomakingoo71673 жыл бұрын
Safi safi safi nyalandu
@tawfiqissa6123
3 жыл бұрын
Kabisaaa
@ibrahimchediel4867
3 жыл бұрын
Good
@nhobolasilasi18713 жыл бұрын
Nyalandu kweli umekomaa kisiasa
@tawfiqissa6123
3 жыл бұрын
Upo saw
@yasinishekallahakusaidi87663 жыл бұрын
Nyalandu nampenda anahekima Sana yani
@madukurumwanileles79093 жыл бұрын
Karibuni sana kazi ndo imeanza,
@mapenzi_tz15113 жыл бұрын
Ukitaka kujua mkopamoja chukuwa form ya Uenyekiti chadema ndio utajua kunaupendo au vipi
@chayogasperi9783
3 жыл бұрын
Ha ha ha ha daaah , utakuwa umemchezea Simba sharubu .
@hajikombo85783 жыл бұрын
Kamalisu hakupigwa marisasi na kukaribia kufa ushindileo ungekua wako Ila tumependa ulichonena ukovurisana tena unaweza .🙏👍👍👍👍
@amrubinannasannas91853 жыл бұрын
Asante sana lazaro nyalandu kwa hutba yako nzurii
@joetheone33543 жыл бұрын
Viva Lazaro Nyalandu Mungu akubariki sana kaka.
@sagandamalechampullo6593 жыл бұрын
Safi, sana Mh. Nyalandu kuwa na Moyo wa Kiume
@AP-uk3mq3 жыл бұрын
Great speech👍
@solemba5953 жыл бұрын
Well said!
@hurumamboya30723 жыл бұрын
Mm hata ungekuwa umeshinda nilikuwa nakupenda na kaka yako yuko vizuri Unganisheni Nguvu ya ushindi
@georgelameck25403 жыл бұрын
Kaa hukohuko tu, upande ule huna nafasi kabisa!
@asseytv72693 жыл бұрын
Goood
@Jimmymanasseh_Official3 жыл бұрын
Big up san
@hamulimajeshi15123 жыл бұрын
Thats nice...
@rinovarthiliwi13143 жыл бұрын
CHADEMA niwakumbushe jambo moja muhimu sana. Wakati CCM walisema wakiwa Singida 2017 kuwa watahakikisha watamaliza "WAPINZANI", walikuwa hawamaanishi Wapinzani walimaanisha CHADEMA. Hii ni kutokana na CHADEMA kuwa chama kikubwa sana na kimekuwa tishio kwa CCM. Ninachowaonya CHADEMA ni kwamba mkitumia mihemko ya baadhi wanachama na viongozi wenu kufukuza wanachama kila kukicha hawa CCM watawachukua viongozi wenu na wanachama wenu muhimu sana kwa kukosa busara. CHADEMA ni chama kinapigwa vita sana na CCM na baadhi ya Watanzania wanaotumiwa kwa kulipwa na CCM. Hivyo kama hamtatumia busara na weledi mjue CCM watawachukua hawa wabunge 19 na wameshatamka na nia yao ni kuchukua na wengine ndani ya CHADEMA ili kila mwaka kazi yenu iwe ni kuanza upya. "MSIPOZIBA UFA MTAJENGA UKUTA"
@meddymushimaz49983 жыл бұрын
Wewe usingepitishwa CHADEMA kwakuwa hujui matusi na una adabu sana CCM imekulea kwa adabu sana kama ilivyo kwa viongozi wengine wote wa CCM, hiyo muachie Lissu amelelewa bila adabu na anajua kutukana sana na hiyo ndo sera kubwa ya CHADEMA, na kingine umekosea sana wewe una pesa nyingi ulizopiga kwenye twiga zetu ungekinunua hicho chama huwa kinauzwa na safari hii wamekosa mteja, mwezako wakati ule alikinunua akspitishwa moja kwa moja wewe umeshindwa nini?
@emmapaul1766
3 жыл бұрын
Asiye na adabu no mamako na mwenyekit wenu alietapeli hela za tetemeko bukoba
@wistonmunis4690
3 жыл бұрын
Mjinga we jmaaaa mwizi alikuibia wewe
@walterbhoke79353 жыл бұрын
Nyarandu nakupenda sana naomba uje kwangu rorya nikuchinjie mbuzi
@godfreymgaya84773 жыл бұрын
Nice mkuu ur greater
@evelinasamweli2783 жыл бұрын
Upendo wangu kwako umeongezeka Nyarand
@salehemsumi6153 жыл бұрын
Wajumbe wamefanya yao...Wamempamba Sana na ngawira wakachukua matokeo Kura 30
@faithtrust6749
3 жыл бұрын
Salehe Msumi wajumbeeeeeee😂😂😂
@davidkaguru95113 жыл бұрын
I love chadema family
@shadrackmpama29473 жыл бұрын
Wote wa singida bhana
@drdd7743 жыл бұрын
Tatizo mnaamini. Wasio aminika, hakuna aliye kuwa hamuamini lowasa, yuko wapi?, shida nini chadema? Mtakuja kusema siku zijazo.
@japhetyanania85893 жыл бұрын
Kweli kamanda..
@irenepeter87023 жыл бұрын
Wewe ni mkeli pia mzalendo taifa letu Tanzania watetezi wetu haki usawa kwawote Uhuru wakwel umoja
@morandraymond8602
3 жыл бұрын
Unajuwa huyu alikuwa waziri tuambie alitufanyia nini watanzania au ndiyo wafuata mkumbo
@mapenzi_tz1511
3 жыл бұрын
Unafuata mkumbo wewe na wee sasa mkweliyuko wapi hapo huyo magu kamuacha tu ingekuwa ulaya angefia jela
@ludigoludigo30103 жыл бұрын
Weka akiba ya maneno nyalandu!!!
@khadijamillanzi52733 жыл бұрын
Kwani kuna mtu amekwambia urudi ccm mbona unajistukia
@gangan83423 жыл бұрын
Safi Sana kamanda Nyalandu!
@fabianjohn39923 жыл бұрын
Mlinzi wa Mbowe amekula madini shingoni
@kinglabanziku91003 жыл бұрын
Ahsante Nyalandu Nakupenda xn
@josephatjosephbaza29623 жыл бұрын
SAFI SANA NYALANDU, KWA HEKIMA ZAKO
@samwelimboya87303 жыл бұрын
Big up kamanda
@leitonyngayama68823 жыл бұрын
Mwanasiasa Alie Komaa Nyalandu juuu✌️✌️✌️✌️
@hassanmziray61523 жыл бұрын
So bright person
@edwardsilingo49633 жыл бұрын
Nyalandy mungu awe nawe
@thelivingwordchannel90273 жыл бұрын
Nani amekwambia urudi ccm?
@peterremy80133 жыл бұрын
Bro Nyalandu hekima yako ni kubwa ila uko katikati ya mafisi hao
@muselematiku21003 жыл бұрын
Safi Sana nyarandu
@paulkisatulusana11423 жыл бұрын
Wavimba macho watupuuu
@michaelbochela50993 жыл бұрын
Kazi ya wajumbe
@polepolemgentz57843 жыл бұрын
Nyalandu tupopamoja hongelakwabusalazako mungu akupe wepes
@badimetwevetwev61733 жыл бұрын
Safi sana nyalandu
@hassanchauluwa73083 жыл бұрын
big up nyalandu.
@franceally76153 жыл бұрын
One Love Nyarandu
@scolabwana36103 жыл бұрын
Safi sana nyarandu una utu sana
@isihakamaulidi14423 жыл бұрын
Yuko vizuri
@promramson803 жыл бұрын
Big words
@josephwilbert33563 жыл бұрын
Wee ngoja mda bado tu haujafikaa na ccm utarudi tu kama hujui
@richarddavidmk3 жыл бұрын
Pamoja sana kaka
@dullymsafi90303 жыл бұрын
Nyarandu nakuomba fanya subira usije ukatoka chadema ili endapo tukashindwa hii hawamu basi tukupe naww 2025, naona kua unastaili kua rais sema kwa Sasa anafaa lissu, Mana ww ni juz juz umetoka ccm, wananchi n ngumu kukuamin ukisema ugombee kwa Sasa, Mana lowassa alivunja imani ya watu.
@izackjonas4583 жыл бұрын
Bonge la hekima
@ibrahimseif78596 ай бұрын
Kuna mikoa amuendi vipi
@joelmakeci3 жыл бұрын
Kama sio unafiki atakuwa mwanasia kongwe huyu NYALANDU. MUNGU AKUPE NGUVU.
@titosanga54473 жыл бұрын
Hiyo ndio siasa mkuu hongera kwa kujitambua.
@steventambi63533 жыл бұрын
Huna nafasi tena , urudi kufanya nn
@mariamgalmariam62223 жыл бұрын
tundu lisu hongera ila mahakamani hujaenda sababu uliotoa umejiweka lokdwon sasa hapo vipi mheshimiwa
@edwardsilingo49633 жыл бұрын
😥😥💪🏽💪🏽✌🏼✌🏼
@fatmasuleyman93763 жыл бұрын
Asante kamanda Nyarandu
@mihayontelezu7917
3 жыл бұрын
NYARANDU HATA MUNGU ANAPENDA WATU WENYE HEKIMA KAMA YAKOO...!! DAIMA UNANIGUSAA...!!
@minskbelarus72553 жыл бұрын
Wengi hatukusoma...... nini maana ya PIPOZIPAWA
@alobogastcharles93143 жыл бұрын
Baki huko huko ulikopeleka wale twiga
@jaquelineclavery51553 жыл бұрын
Atarudi badae Kama lowasa na sumaye
@willewilliam71393 жыл бұрын
People's power
@benedictkiteji50893 жыл бұрын
Nyarandu nimekuwaminisana hakika weweumeamua kuingia mabadiliko
@nzogoropatson17873 жыл бұрын
Never boy
@allysaidi22063 жыл бұрын
Imara zaidi kamanda
@geraldbenjamin93023 жыл бұрын
Twendeni kwenye kampeni sasa!
@edwardkongo93413 жыл бұрын
Hata ukihama plz naomba usirudi ccm huku hatutaki makomredi togwa
@nyerere12593 жыл бұрын
dah apa tunasema the best team lost
@danrappergangamaa1190
3 жыл бұрын
Daaaah tutashindaaaa
@ommygoldene36363 жыл бұрын
POKEA MWALIKO habari yako naitwa HERO RAYZOR ni msanii wa mziki naomba nikualike kutizama video mpya ya mziki wangu nao uzindua leo rasmi naiomba SUBSCRIBE YAKO MOJA TU gusa hapa kutizama ntashukuru GUSA kzread.info/dash/bejne/nXykj5uwe5y6qdo.html
Пікірлер: 214
Hongera sana nyarandu speech yako imetulia sana na umeonyesha ukomavu wa kisiasa.
@tawfiqissa6123
3 жыл бұрын
Kabisaaa
Nyarandu MTU mmoja mwenye hekima xana
@tawfiqissa6123
3 жыл бұрын
Kabisaaa
Nimekupenda sana Nyalandu
Huu ndo hekima na upendo wa hali juu!God bless you sir
Samahani sana kama nimekukubali ww ni mkomavu wa siasa hohera sana ndugu Nyarandu.
Kweli unahekima sana baba Nyalandu ,Mungu anakitu anajivunia kutoka kwako
Lazaro Nyarandu speech yako imeonesha kuwa una maturity kubwa kisiasa.. Endelea kujifunza.. kwa umri wa miaka 49 kama uta keep kuwa consistent. I see you far away in Tanzanian Politics
Singida to singida love u Boy Together we can 💪✌️nakuamn kuliko wale👈
God Bless you Nyalandu keep it up, Excellent, sasa wote kwa pamoja tumuunge mkono Mh. Lissu.
Pole mzee umekatwa Mkia
Nyalandu unatuliza sana kaka. Unahekima ya ajabu sana. Mungu ataendelea kukubariki sana Nyalandu. Na iwe hivyo kaka
Pekee naomba nikupe hongera saana mh Nyarandu jipe muda panapo majaaliwa ya Mwenyez Mungu baada ya miak mitano utafanikiwa lengo....
❤❤❤❤naghuyanjaa kaka wanee
You're very wise sir. God bless you.
The guy talk from his heart...brilliant
@jumakapilima7295
3 ай бұрын
Hadn't he gone back?
Safi sana Mtani wangu mnyampaaa,Aamchaa mungu akulinde
Hongera lisu....
Msimamo ni mzuri sana mzee, hivyo ndo inatakiwa
@tawfiqissa6123
3 жыл бұрын
Kabisaaa
Kwa sababu ana uhakika hawezi pewa ubunge. Hapo ni sehemu salama zaidi kwako. Hongereni kwa uwazi
Nimefurahi sana kusikia speech ya huyu mtu
Mungu awe nanyi muda wote
Napenda sana niwe kama nyalandu
Uko vizr sana lazaro
Nice lisu
Mko vzr
Dah! Siasa na wanasiasa wa bongo si wa kuwaamini hata kidogo,,,,
Nyalandu mungu akuongezee hekima uwe na hekima zaidi
Ukitaka kujua mapenza yenu kwenye chama hicho, gusa cheo cha mwenyekiti ndio utaelewa mbivu mbichi. Waulize waliojiunga na baadae kuhama chadema.
Safi safi safi nyalandu
@tawfiqissa6123
3 жыл бұрын
Kabisaaa
@ibrahimchediel4867
3 жыл бұрын
Good
Nyalandu kweli umekomaa kisiasa
@tawfiqissa6123
3 жыл бұрын
Upo saw
Nyalandu nampenda anahekima Sana yani
Karibuni sana kazi ndo imeanza,
Ukitaka kujua mkopamoja chukuwa form ya Uenyekiti chadema ndio utajua kunaupendo au vipi
@chayogasperi9783
3 жыл бұрын
Ha ha ha ha daaah , utakuwa umemchezea Simba sharubu .
Kamalisu hakupigwa marisasi na kukaribia kufa ushindileo ungekua wako Ila tumependa ulichonena ukovurisana tena unaweza .🙏👍👍👍👍
Asante sana lazaro nyalandu kwa hutba yako nzurii
Viva Lazaro Nyalandu Mungu akubariki sana kaka.
Safi, sana Mh. Nyalandu kuwa na Moyo wa Kiume
Great speech👍
Well said!
Mm hata ungekuwa umeshinda nilikuwa nakupenda na kaka yako yuko vizuri Unganisheni Nguvu ya ushindi
Kaa hukohuko tu, upande ule huna nafasi kabisa!
Goood
Big up san
Thats nice...
CHADEMA niwakumbushe jambo moja muhimu sana. Wakati CCM walisema wakiwa Singida 2017 kuwa watahakikisha watamaliza "WAPINZANI", walikuwa hawamaanishi Wapinzani walimaanisha CHADEMA. Hii ni kutokana na CHADEMA kuwa chama kikubwa sana na kimekuwa tishio kwa CCM. Ninachowaonya CHADEMA ni kwamba mkitumia mihemko ya baadhi wanachama na viongozi wenu kufukuza wanachama kila kukicha hawa CCM watawachukua viongozi wenu na wanachama wenu muhimu sana kwa kukosa busara. CHADEMA ni chama kinapigwa vita sana na CCM na baadhi ya Watanzania wanaotumiwa kwa kulipwa na CCM. Hivyo kama hamtatumia busara na weledi mjue CCM watawachukua hawa wabunge 19 na wameshatamka na nia yao ni kuchukua na wengine ndani ya CHADEMA ili kila mwaka kazi yenu iwe ni kuanza upya. "MSIPOZIBA UFA MTAJENGA UKUTA"
Wewe usingepitishwa CHADEMA kwakuwa hujui matusi na una adabu sana CCM imekulea kwa adabu sana kama ilivyo kwa viongozi wengine wote wa CCM, hiyo muachie Lissu amelelewa bila adabu na anajua kutukana sana na hiyo ndo sera kubwa ya CHADEMA, na kingine umekosea sana wewe una pesa nyingi ulizopiga kwenye twiga zetu ungekinunua hicho chama huwa kinauzwa na safari hii wamekosa mteja, mwezako wakati ule alikinunua akspitishwa moja kwa moja wewe umeshindwa nini?
@emmapaul1766
3 жыл бұрын
Asiye na adabu no mamako na mwenyekit wenu alietapeli hela za tetemeko bukoba
@wistonmunis4690
3 жыл бұрын
Mjinga we jmaaaa mwizi alikuibia wewe
Nyarandu nakupenda sana naomba uje kwangu rorya nikuchinjie mbuzi
Nice mkuu ur greater
Upendo wangu kwako umeongezeka Nyarand
Wajumbe wamefanya yao...Wamempamba Sana na ngawira wakachukua matokeo Kura 30
@faithtrust6749
3 жыл бұрын
Salehe Msumi wajumbeeeeeee😂😂😂
I love chadema family
Wote wa singida bhana
Tatizo mnaamini. Wasio aminika, hakuna aliye kuwa hamuamini lowasa, yuko wapi?, shida nini chadema? Mtakuja kusema siku zijazo.
Kweli kamanda..
Wewe ni mkeli pia mzalendo taifa letu Tanzania watetezi wetu haki usawa kwawote Uhuru wakwel umoja
@morandraymond8602
3 жыл бұрын
Unajuwa huyu alikuwa waziri tuambie alitufanyia nini watanzania au ndiyo wafuata mkumbo
@mapenzi_tz1511
3 жыл бұрын
Unafuata mkumbo wewe na wee sasa mkweliyuko wapi hapo huyo magu kamuacha tu ingekuwa ulaya angefia jela
Weka akiba ya maneno nyalandu!!!
Kwani kuna mtu amekwambia urudi ccm mbona unajistukia
Safi Sana kamanda Nyalandu!
Mlinzi wa Mbowe amekula madini shingoni
Ahsante Nyalandu Nakupenda xn
SAFI SANA NYALANDU, KWA HEKIMA ZAKO
Big up kamanda
Mwanasiasa Alie Komaa Nyalandu juuu✌️✌️✌️✌️
So bright person
Nyalandy mungu awe nawe
Nani amekwambia urudi ccm?
Bro Nyalandu hekima yako ni kubwa ila uko katikati ya mafisi hao
Safi Sana nyarandu
Wavimba macho watupuuu
Kazi ya wajumbe
Nyalandu tupopamoja hongelakwabusalazako mungu akupe wepes
Safi sana nyalandu
big up nyalandu.
One Love Nyarandu
Safi sana nyarandu una utu sana
Yuko vizuri
Big words
Wee ngoja mda bado tu haujafikaa na ccm utarudi tu kama hujui
Pamoja sana kaka
Nyarandu nakuomba fanya subira usije ukatoka chadema ili endapo tukashindwa hii hawamu basi tukupe naww 2025, naona kua unastaili kua rais sema kwa Sasa anafaa lissu, Mana ww ni juz juz umetoka ccm, wananchi n ngumu kukuamin ukisema ugombee kwa Sasa, Mana lowassa alivunja imani ya watu.
Bonge la hekima
Kuna mikoa amuendi vipi
Kama sio unafiki atakuwa mwanasia kongwe huyu NYALANDU. MUNGU AKUPE NGUVU.
Hiyo ndio siasa mkuu hongera kwa kujitambua.
Huna nafasi tena , urudi kufanya nn
tundu lisu hongera ila mahakamani hujaenda sababu uliotoa umejiweka lokdwon sasa hapo vipi mheshimiwa
😥😥💪🏽💪🏽✌🏼✌🏼
Asante kamanda Nyarandu
@mihayontelezu7917
3 жыл бұрын
NYARANDU HATA MUNGU ANAPENDA WATU WENYE HEKIMA KAMA YAKOO...!! DAIMA UNANIGUSAA...!!
Wengi hatukusoma...... nini maana ya PIPOZIPAWA
Baki huko huko ulikopeleka wale twiga
Atarudi badae Kama lowasa na sumaye
People's power
Nyarandu nimekuwaminisana hakika weweumeamua kuingia mabadiliko
Never boy
Imara zaidi kamanda
Twendeni kwenye kampeni sasa!
Hata ukihama plz naomba usirudi ccm huku hatutaki makomredi togwa
dah apa tunasema the best team lost
@danrappergangamaa1190
3 жыл бұрын
Daaaah tutashindaaaa
POKEA MWALIKO habari yako naitwa HERO RAYZOR ni msanii wa mziki naomba nikualike kutizama video mpya ya mziki wangu nao uzindua leo rasmi naiomba SUBSCRIBE YAKO MOJA TU gusa hapa kutizama ntashukuru GUSA kzread.info/dash/bejne/nXykj5uwe5y6qdo.html
Huyu mtu ni mwema.