"Nitafanya Mkutano, Andaa Mahabusu, Sio Gereza, Mabomu" - Tundu Lissu ampa za uso OCD wa Ngorongoro
Hotuba ya Makamu Mwenyekiti Bara, Tundu Lissu akizungumza na wakazi Mugumu Serengeti leo Septemba 07, 2023.
#samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama
Пікірлер: 35
Mungu akubariki na akulinde Sana mheshimiwa lisu na wote wanaokipinga tunawalaani wapotee juu ya dunia hiii
Ccm daimaaaa
Yesu Ndiye NJIA YA kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na uokoke na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Ukweli ndouwo
VIVA LISU
Basha wake amekufa agelijuaaa hajuii😊
Viva Lissu
Mungu tusemee hili kutumia watumishi wako ..
what a confince
Unaleta uchokoo😊
CHADEMA CHAMA CHA WAHUNI 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@leitonyngayama6882
10 ай бұрын
CHADEMA NI CHA CHA WAHUNI, CCM NI CHAMA CHA WEZI... Muhuni na Mwizi wote Wapo sawa tu
Hii haikubaliki na haitakubalika kamwe. Haiwezekani wageni waruhusiwe kuingia hifadhini na wazawa wazuiliwe. Never.
Ameolewa na mzunguuu
Wambie ukweri wanojiona mungu wa2
Uguja usije chako weee
Wee shogaaaa nani asojua
Angalia ni Nani anaye sponsor campaign za Chadema
Wewe ushanunuliwa na wazungu Sijui walisha ku. ..sasa unawavuruga watu wakati pakukimbilia unapo Rudi Ubelgiji kwako
@erestizacharia4758
10 ай бұрын
Wewe umenunuliwa na hao wanaonunu hifadhi zetu sio!
@bockerbocker8495
10 ай бұрын
We umenunuliwa na Waarabu,hovyo kabisa
@mbwanarajab4756
10 ай бұрын
@@erestizacharia4758 Hifadhi yako imenunuliwa? Kweli wewe ni chizi Ila ni sawa hata hifadhi ya lisu imeshanunuliwa km yako
Huyu ana pa kukimbilia. Kibaraka wa wabunge wa ulaya
Warabu ndii wanaume wako weeee
Weee chokoo tu huna inshu kubwaaa weee
@hoseamwambambale3503
9 ай бұрын
We ndio auna lolote wenda umeongwa ili kuupinga ukweli
mbona kipindi cha magufuli mlikimbia
@bockerbocker8495
10 ай бұрын
Ndiyo ulipoishia kuwaza,we mpuuzi kweli
@OmmyJames-xn7ji
10 ай бұрын
Wamerudishwa wamelia njaa wala hawana UPINZANI bali ni kelele na MATUSI
@charlesminja1358
10 ай бұрын
Kwa sababu mlimpiga Risasi?
@OmmyJames-xn7ji
10 ай бұрын
@@charlesminja1358 RISASI 16 NA BADO YUKO OOH MY WORLD 😇😇😇😇😇DO YOU BELIEVE THAT SHIT 🤪🤪🤪🤪
We lissu uza sera za chama chako sai wana inchi awaitaji bla bla bla zako
@IsayaSosolo-nx8zk
10 ай бұрын
Wewe kenge hapo wewe unataka Sera na hizo Sera tunazo tumia zimetusaidia mini?
@erestizacharia4758
10 ай бұрын
Dah! Nchi hii inawasaliti wengi wajinga.
@bockerbocker8495
10 ай бұрын
Jinga kweli