Nilinunua gari 3, pikipiki 13, nilikuwa napanda ndege tu, leo hata mlo wa siku unanishinda | Kovu
Kila mtu analo kovu lake. Jambo la huzuni ama furaha ambalo kamwe hatolisahau. Ungana na Bernadetha Kilegu kwenye kipindi cha #Kovu akizungumza na Haji Daimu Baina aka Chinunje anayesimulia mkasa wake
Пікірлер: 493
Makosa yako. 1.alijionesha 2.pesa ilimtawala na sio yeye kuitawala pesa. 3.palipo na riziki jua ina mwisho 4.alikosa sehemu sahihi ya kuwekeza pesa japo ni mtu wa mtaa.
Nimeipenda hii MUNGU HAPOTEI HAFI WALA HASAFIRI.SAFI SANA KAKA
@hamissimonami2519
2 жыл бұрын
Aitaji tochi
Nimejifunza mengi sana! Marafiki sio watu wazuri kbs.
Hii ni hali kawaida ya biashara. HE WILL BOUNCE BACK. VERY SMART BUSINESS MIND, THANK GOD HE BOUGHT A HOME AND PAID FOR CHILDRENS FEES.
@lusungumkolla6672
2 жыл бұрын
Life
Kwakweli kipindi kizuri sana Mungu awabariki kiendelee tujifunze vitu tulivyokuwa hatuvijui
Huyo jamaa anawazidi MOTIVATIONAL SPEAKER wengi sana tenda hata wengine walio somea. Natamani apate chance ya kuongea na vijana wengi katika Majukwaa mbali mbali. BIG UP sana kwake.
@martinmaryogo3676
2 жыл бұрын
huyu hafai kuwa mtaan anatakiwa kuwa mahala ana kitu kichwan akiongezew kidgo maarifa hakuna wa kumfikia kwa mtu wa psychologia
@fahadfaraj6474
10 ай бұрын
Motivational speaker wengi waganga njaa wanaongea Maneno ambayo watu hupenda kuyaskia ila si reality
Brother chinunje, you are the best solution to those Who face the challenge that you have faced. Big up
Ndugu yangu wee katika maisha tunatatikana kuichi kama simba na eagle. Ichi maisha ya kipekee bila rafiki wa kweli. Ma rafiki wako ni mke wako na watoto wako tu. Pole sana bros. Tayari imetokea ila kuwa makini sana nawatu.
Uyu brother Ana Akili sana Maana ametupa somo kubwa. Ahsante kwa watayarishaji wa KOVU.
@jonathanmwanja3994
2 жыл бұрын
Ayitaji torch
kipindi kizuri ....nimependa historia sio kila siku watu waliofanikiwa hata wenye changamoto pia wanatupa motivation......sky salute bro endelea kuwa tofauti cku moja tutakuwa na tv yetu
Pole sana chinunje. Ila kupitia kwako tunajifunza kujiamini , kujikubali , na kumtegemea mungu kwa kila jambo.
Good lesson may Almighty make easy for you @#
Kipindi kizuri mno nimejifunza kitu kwa kweli Ahsanteni🙏
Mungu atakufanyia wepesi lnsha Allah..nakukalibisha sana kwenye kikundi chetu cha wamwera nguvu moja..njoo uungane na wamwera wenzako. Wamwera nguvu moja maendeleo mbele...
@salmafrancis6689
2 жыл бұрын
Kumbe tuko wengi tujuwane mwera yao😅😅😅
@thumnathumna5946
2 жыл бұрын
@@salmafrancis6689 nawe upo kwenye wamwera nguvu moja ee
CHINUNJE......Usisahau kumuachia huyo DADA " Buku " umeahidi😅😅😅😅😅
Chinunje nimekupenda vile maisha umeyakubali kupata na kukosa mipango yake Mola 💗💗💗 mie rafiki nnao 2 tuu
Kiufupi kazi ya udalali,riba vyoote vinakupa hela nyingi kwa wakat ila siku ukianza kuporomoka utajuta kuzaliwa ,
@moanamohammed1406
2 жыл бұрын
Kwel riba Mungu alishasema utapanda kwa kac na utaporomok kwa kac
Kaka kunywa soda Mungu akubariki na Amin utafunguliwa tena big up sana
I like that, nimeishiwa tu pesa, sijaishiwa akili.
@justinamusyoka4986
2 жыл бұрын
Kweli,they say with your mind you arise many times.
Dada nakupataje hili tuwez kuongea aisee ..Napenda tushare nawadau kidogo wapate vitu vya kujifunzaa,Nakupataje nina kovu nishare kidogo
huyu sasa ndo BIG akili mingi...big up brother
Mungu akuinue tena watu tuma makovu mengi sana
Duuh! Huyu Chinunje ni balaa. Ana akili kiwango cha PHD. Ni mtu anayejua maisha na anamjua Mungu. Ni mstaarabu wa hali ya juu. Anaweza kuwa mwalimu wa kuwafundisha vijana waliomaliza shule au chuo namna ya kuishi na watu. Hongera sana ndugu yetu Chinonje. Siku moja nitakutafuta tupige stori za maisha.
Brother hiyo ndio hali ya dunia ameumba ardhi ameumba n'a mbingu lazima tuelewe kwani tunaona kua tunaishi usiku n'a tunaishi mchana yote ni kwa nguvu za . Mungu tuuu
Hongera kwa kazi nzuri @bernadeta
Story nzuri sana, kuna kitu cha kujifunza hapo, ila brother yuko vizuri huchoki kumsikiliza,
Piece & love chinunge .. umeanguka utainuka tena kwa uweza wa Allah imani yako imepenya kwa watu wengi kuwa kuna kupata na kukosa inshaalah 🙏
@ananiahaule2175
2 жыл бұрын
🙏🏾
Kipind kizur ila mtangazaji inabidi achangamke na aweze kuongeza ubunifu wa kuhoji maana katika story hii story hakuna mwanzo wala mwisho. 1. Alitakiwa ahoji vipi alipata mali maana milioni 40 haitoshi kuwa na hizo mali kumbuka hiyo hela ni watu wenye kiwanja. 2. Ilikuaje akafilisika na lip la kujiifunza . Haya ni maoni yanga ,
@mrsliverpool4235
2 жыл бұрын
yes anafaaa amuangalie # lyn ngugi anavyofanya
@mweusiasili8345
2 жыл бұрын
Kweli kabisa milioni 40 utasema bilioni🤣🤣
@hansmtalikwa9745
2 жыл бұрын
Sky ufanye kazi hii kwa next episode iwe Bora zaidi
@aishamsofe3274
2 жыл бұрын
Yees Point, kwasisi waandishi/watangazaji tumekuelewa
@hansmtalikwa9745
2 жыл бұрын
@@aishamsofe3274 Asante kwa kuelewa naomba tuchangie mawazo na kuboresha kipind ni kizur mno ila tushughulikie ha changamoto ndogo ndogo kitakua kipind Bora zaidi hapa SnS
Ningekuwa Napesa uyu jamaa anakipaji✊
Pole sana baba mungu yupo na ni wetu sote Sali tu
🙌🙌🙌your the best aseee nimekupenda we kaka,unaujasiri wa hali ya juu,heshima kwako
hili ni somo zuri sana.natamani apate darasa la mafunzo afundishe watu.akwenda shule lakini ni zaidi ya dr.
@martinmaryogo3676
2 жыл бұрын
kabsa huyu jamaa anafaa kuwapa faraja watu wenye stress za mali
May heavenly father fulfill your heart desires... Keep going brother never give up...At the end of the tunnel you shall see the light...
♥️♥️♥️ ilove yuo bro nimependa sana kisa chako kimenikumbusha chakwangu marafiki sio ilisababisha mpaka kuja arabuni wakati ilikuwa cmalengo yangu
Love 💘TZ from somalia capitol city ❤💙mugadishu
mtangazaji ungenyanyuka kidogo tuone ulichobeba kwa mbali unaonyesha mashaa allah
@mzalendomzalendo2567
2 жыл бұрын
@atlas.. una akili ndogo sana ww hayo tuu ndio unayo waza,
@mohamedimbaga6583
2 жыл бұрын
😂😂😂 umewaza kama mimi
@welcome-qk6ps
2 жыл бұрын
Hhhhhhaaaaah mbavu zangu
@zuhurambonde1982
2 жыл бұрын
Kwani maumbile yake yanakuhusu Nini? Mtihani sana
@osearmasunga513
Жыл бұрын
🤣😂😂😂
Mwenyez mungu akujaliye mema yenye kher na barka insha'Allah akujibie maombi yako shukran Sana umeyakubali maisha na unaishi Kwa furaha ,, Aman na upendo na familiya yako be blessed rizik mafungu Saba lkn walokutelemsha Kwa mabaya mungu atawaonyeshaa Kwa kukuinua tena na akakubarik Wakat mwingine mwenyez mungu huacha Jambo lipite Kwa Wakat furah pengine anakuwazia mema usikate tamaaa mungu ni wetu sote
🤣🤣🤣 haihitaji touch 🤣🤣🤣 Asante Sana brother unasema hujasoma lakin unaakili nying sana
Mungu wa Binadamu ndiyo wa Nguruwe.... Lakini Binadamu wanamuita Nguruwe Haramu - Brother Chinunje Mkali wa Kigamboni
@mpendakiswahili3053
2 жыл бұрын
Haha mkali aisee!!!
Nimempemda sana huyu Kaka anajua maisha sana
@mrsliverpool4235
2 жыл бұрын
😃😂😁😀
@bensonmwakasanga9316
2 жыл бұрын
Daa maisha ndivoyalivo akubalikuanzamoja
Ushirikina hakuna bana ustafute kichaka cha kujifichia. Maisha changamoto tu bro mungu akufanyie wepec upige hatua. Kipind kizur sana #kinamazingatio
@hopedigitalmedia34
2 жыл бұрын
Duuh hauamin ushirkna bac ww umelogwa mdau.
Hahahahaaaa simulizi za sauti nimependa kovu la chinunje nimefanyanae kazi nyingi za muvie naomba naminijenitoe kovu langu
Be brave brother. Don't give at any time, bravo,bravo brother.
Tunamuamini mungu tuu kwasababu sisi sio washirikina🙏
Hu baba ame sababisha akili yangu inafanya kazi vizuri nanafusi yangu imetulia alhamdulillah ya Rabi kusababisha kumleta huu baba ahojiwe
Pole sana bro kwa mapito uliopitia , lkn pongezi nyingi kwa kujiamini na kuwa na moyo wa upendo na amani, may God bless you
Sns Safi sana kubwa hii...🔥🔥🔥🔥🙌
Ni kweli Mimi mwenyewe yamenikuta lafiki yangu kanimaliza kabisa
Leo tarehe 5/2/2022....Nimerudia kuangalia interview
Ukiwa na hekima na busara jilinde kujitapa juuyauwezo unao, pesa, elimu navingine, Maisha nikitu rahisi sana kupata pia nakupoteya kabisa😔🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@othumanlorenzo260
2 жыл бұрын
Kaka upo congo
Daa Kaka hiii ni sahihi Sana pole Sana hata mm yalishanikuta nilimsaidia mtu mwisho wa siku daa kilichotokea sikuamini
Big Up SnS. Idea Nzuri, kipindi kizuri chenye mafunzo. Godbless you
Shuleni wa mwisho Katika maisha wakwanza😁😁 anadondosha mwekuu
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
Hipo hiyo aisee huyo ndio mwenzangu na miwe 🤣
So strong man God bless you keep going pray is the key🙏🙏🙏🙏🙏 amen
Usihofu mungu yupo utapata tu
Histori imenifundisha kwamba ukipata fulsa jijenge vizuri itumie nafasi kwa kujiwekeza kwa ajili ya baadae ikiwezekana jenga hata nyumba kadiri ya uwezavyo ili siku ukishuka hutopata shida ndogo ndogo
@hamisimtamike9583
2 жыл бұрын
Swadaktaa Abdul
@abdulrahmanhassan9254
2 жыл бұрын
@@hamisimtamike9583 pamoja kaka
@ommietrendz7175
2 жыл бұрын
Nyumba na vitega uchumi
@rahimaaaaa8699
2 жыл бұрын
Hizo nyumba zaweza ungua moto. Cha msingi kimuomba M.MUNGU tuwe na mwisho mwema.
@abdulrahmanhassan9254
2 жыл бұрын
@@rahimaaaaa8699 nikweli kuomba mungu nijambo la ulazima lakini hupaswi kufikiria kushindwa na haliyakuwa unataka kushinda huwezi fanikiwa kwa mfumo huwo
Mimi naona comedy tu hamna kovu maana mwenye kovu lake kajikubali balaa ila kanifunza kukubaliana na hali na msemo haina tochi
Salute sana brother✓
Big I like your spirit, the door shall open soon, keep your trust to whome who art in heaven he never sleep.🙏🙏
Nimekuelewa kweli we mtangazaji,MTOTO una shepu daah😜😜😘
Brother kaongea mengi mazito na kanifundisha jambo na kunikumbusha pia kuwa mungu Alali,AFI,asafir wala aend chooni 🤦♂️ Tunapitia mengi sana mazito aisee.... Allah atufanyie shufaa
@hamissimonami2519
2 жыл бұрын
Aitaji tochi
@chumuali9468
2 жыл бұрын
Muongo uyo aseme ukweli
@ommymc5420
2 жыл бұрын
Inshallah
@ommymc5420
2 жыл бұрын
dah blo uko vizur aitaj toch
@trophywilson7211
2 жыл бұрын
@@chumuali9468 uongo upi kisikia alipata pesa zikaisha baadaye,??
Anadondosha mweku hahahaaa yn nimecheka sanaaa
Masha allah uyu kak jasiri mungu amubariki
Alichojichanganya ni kupeleka mashine za kusaga na piki piki nyumbani watu wengi hawapendi maendeleo hasa sehemu ulipotokea nabii hakubaliki kwao always
@michaelthobias9967
2 жыл бұрын
Kabisa nakubaliana nawewe
@tatotato506
2 жыл бұрын
@@michaelthobias9967 nauko kwao wamakonde wachaisana
@Mpakauseme
2 жыл бұрын
@@tatotato506 Wachawi si Wamakonde tu , watu weusi tu ni ovyo sana
Pole sn kaka hakika maisha ni fumbo ila Mungu ni mwema atakuinua tu
Chinunje mwanangu sana Leo hakika kaongea maneno muhimu sana ila nimependa alivyosema bado hajakata tamaa hayo ndio maneno ya wapambanaji ktk maisha huwa hawakati tamaa.Naamini ni suala la mda atatoboa kwa nguvu.
Genius
Safi sana tusikate tamaa
True story mungu akujaliy bro pamban kbx
Dah brother konk Sana 👊🙏✍️💪💪💪
@vailetjulius4782
2 жыл бұрын
Nahao hao binaadamu ukiwaelezea kuwa binaadamu wamenifanya hivi nilipo huyo huyo binaadamu anakwambia sio binaadamu ni upuuzi wako ndio umekufanya undrop usitafute mchawi huyo ndio mwanaadamu yaliyomkuta km Mimi yalivyo nikuta ila upo kwenye funzo kaka usihuzunike furqhia hapo ulipo hata Mimi yalinikuta na nipo sawa Sasa kuliko mwanzo
@mpulitv8011
2 жыл бұрын
@@vailetjulius4782 binadamu sis vile tuna meno meupe lakin wabaya Sana mungu atusaidie Sana
Nakubali cana
Nimependa saana huyu Baba aisee
Safi sana,marafiki siyo
Mwenyezi Mungu mtukufu akikupa neema unatakiwa kuzitumia kwa hekima na kutofanya ubadhirifu
Bigup brother you are very inteligent
Kawaida tu kwamaisha yakiafrika muombe mungu nambaitaruditu naawo mafala wanafki watarudi kwako kujibebisha tu
Kuna Watu Wakipata Maisha Kidogo Wakafilisika Wanakata Tamaa Hawafanyi Tena Kazi Mwendo Bado Jaman Tujifunze Kwa Mtu Kama Huyu imagine Alifiliskia Lakini Hajakata Tamaa we Ni Nani Unakata Taama Wakati Kwenye Maisha Yako Hujawahi Kumiliki Chochote Hongera Sana Brother Kwa Kutufungua Akili Tuzidi Kupambana🤝
Ongeza sala aiseee Toa sadaka mnoo kwa Mungu Utarudi poa kuliko zamani. Upate wepesi. Ombea na nyota yako.
Usimamizi wa fedha ulikuwa shida...pesa kuitunza ikutane na nyingine...
@rajabmohamed9930
2 жыл бұрын
kaka ukija mtaaani Kuna vyengine vya darasan vinagomaga kabisa binaadam c watu
Mweku aitaji tochi nimeipenda hiyo
Mtangazani mzuri😍
@seifjuma3471
2 жыл бұрын
😝
Aitaji tochi stori ime touch sn lkn mtanganzaji ana shepu atari
@franciskyombo4289
2 жыл бұрын
Ni black beauty pia ni mzuri sana.
@Joe-tr2vk
2 жыл бұрын
Nilidhani nimeona peke yangu tu😁
😂😂😂Hapo unanidai buku, anadondosha mweku 😂kikubwa akili bado ipo utafanikiwa tu haitaji tochi.
Nimelipenda sana hili somo
Asante kwa ushauri.
Jamaa anaongea point kwel
Du!! Huyu ndugu nimemsikiliza vizuri sana.Najikuta nampongeza tu.Kwani niwachache huwa wanakubali kuwa wamefilisika.Lakini yeye kwa jambao hilo anakuambia hata nisipokubali ndo ishakuwa.
Bernadeta unaenda vizur besti mungu akutunze
@ramadhanmahongole5663
2 жыл бұрын
Nimekubali
Well said bro kubwa sanaa hii haihitaji tochi ✊
Asante kwa Darasa..
nimekupenda mtangazaji we mzr sana
Bro chinunje nimekupenda bure mungu akulinde
Nimemwelewa sana huyu kaka
Heshima kaka, Mungu yupo
Safi sana
Namfahamu vizuri ni mvumirivu na mpambanaji katika kazi
@raulentmathias6794
2 жыл бұрын
Nikweli kabisa alikuwa boss wangu
Haitaji mwangaaa a.k.a toch
Umetisha Sana kaka
Dada kilegu from makete bulongwa zambia,,hongera dada
Pole sana