Nilinunua gari 3, pikipiki 13, nilikuwa napanda ndege tu, leo hata mlo wa siku unanishinda | Kovu

Kila mtu analo kovu lake. Jambo la huzuni ama furaha ambalo kamwe hatolisahau. Ungana na Bernadetha Kilegu kwenye kipindi cha #Kovu akizungumza na Haji Daimu Baina aka Chinunje anayesimulia mkasa wake

Пікірлер: 493

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila85627 ай бұрын

    Makosa yako. 1.alijionesha 2.pesa ilimtawala na sio yeye kuitawala pesa. 3.palipo na riziki jua ina mwisho 4.alikosa sehemu sahihi ya kuwekeza pesa japo ni mtu wa mtaa.

  • @josephinematemba5100
    @josephinematemba51002 жыл бұрын

    Nimeipenda hii MUNGU HAPOTEI HAFI WALA HASAFIRI.SAFI SANA KAKA

  • @hamissimonami2519

    @hamissimonami2519

    2 жыл бұрын

    Aitaji tochi

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti2492 жыл бұрын

    Nimejifunza mengi sana! Marafiki sio watu wazuri kbs.

  • @marylwanalo6115
    @marylwanalo61152 жыл бұрын

    Hii ni hali kawaida ya biashara. HE WILL BOUNCE BACK. VERY SMART BUSINESS MIND, THANK GOD HE BOUGHT A HOME AND PAID FOR CHILDRENS FEES.

  • @lusungumkolla6672

    @lusungumkolla6672

    2 жыл бұрын

    Life

  • @nickolatharwelamila776
    @nickolatharwelamila7762 жыл бұрын

    Kwakweli kipindi kizuri sana Mungu awabariki kiendelee tujifunze vitu tulivyokuwa hatuvijui

  • @dvjmiloow6604
    @dvjmiloow66042 жыл бұрын

    Huyo jamaa anawazidi MOTIVATIONAL SPEAKER wengi sana tenda hata wengine walio somea. Natamani apate chance ya kuongea na vijana wengi katika Majukwaa mbali mbali. BIG UP sana kwake.

  • @martinmaryogo3676

    @martinmaryogo3676

    2 жыл бұрын

    huyu hafai kuwa mtaan anatakiwa kuwa mahala ana kitu kichwan akiongezew kidgo maarifa hakuna wa kumfikia kwa mtu wa psychologia

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    10 ай бұрын

    Motivational speaker wengi waganga njaa wanaongea Maneno ambayo watu hupenda kuyaskia ila si reality

  • @masigoaugustino9788
    @masigoaugustino97882 жыл бұрын

    Brother chinunje, you are the best solution to those Who face the challenge that you have faced. Big up

  • @hamisilumona7163
    @hamisilumona71632 жыл бұрын

    Ndugu yangu wee katika maisha tunatatikana kuichi kama simba na eagle. Ichi maisha ya kipekee bila rafiki wa kweli. Ma rafiki wako ni mke wako na watoto wako tu. Pole sana bros. Tayari imetokea ila kuwa makini sana nawatu.

  • @wilonjabikey8274
    @wilonjabikey82742 жыл бұрын

    Uyu brother Ana Akili sana Maana ametupa somo kubwa. Ahsante kwa watayarishaji wa KOVU.

  • @jonathanmwanja3994

    @jonathanmwanja3994

    2 жыл бұрын

    Ayitaji torch

  • @shagarbycash9549
    @shagarbycash95492 жыл бұрын

    kipindi kizuri ....nimependa historia sio kila siku watu waliofanikiwa hata wenye changamoto pia wanatupa motivation......sky salute bro endelea kuwa tofauti cku moja tutakuwa na tv yetu

  • @mwinshehenassib4853
    @mwinshehenassib48532 жыл бұрын

    Pole sana chinunje. Ila kupitia kwako tunajifunza kujiamini , kujikubali , na kumtegemea mungu kwa kila jambo.

  • @abdullahifarahofficial5716
    @abdullahifarahofficial57162 жыл бұрын

    Good lesson may Almighty make easy for you @#

  • @farajhassan1775
    @farajhassan17752 жыл бұрын

    Kipindi kizuri mno nimejifunza kitu kwa kweli Ahsanteni🙏

  • @thumnathumna5946
    @thumnathumna59462 жыл бұрын

    Mungu atakufanyia wepesi lnsha Allah..nakukalibisha sana kwenye kikundi chetu cha wamwera nguvu moja..njoo uungane na wamwera wenzako. Wamwera nguvu moja maendeleo mbele...

  • @salmafrancis6689

    @salmafrancis6689

    2 жыл бұрын

    Kumbe tuko wengi tujuwane mwera yao😅😅😅

  • @thumnathumna5946

    @thumnathumna5946

    2 жыл бұрын

    @@salmafrancis6689 nawe upo kwenye wamwera nguvu moja ee

  • @minskbelarus7255
    @minskbelarus72552 жыл бұрын

    CHINUNJE......Usisahau kumuachia huyo DADA " Buku " umeahidi😅😅😅😅😅

  • @spreadlove5300
    @spreadlove53002 жыл бұрын

    Chinunje nimekupenda vile maisha umeyakubali kupata na kukosa mipango yake Mola 💗💗💗 mie rafiki nnao 2 tuu

  • @prettyh7509
    @prettyh75092 жыл бұрын

    Kiufupi kazi ya udalali,riba vyoote vinakupa hela nyingi kwa wakat ila siku ukianza kuporomoka utajuta kuzaliwa ,

  • @moanamohammed1406

    @moanamohammed1406

    2 жыл бұрын

    Kwel riba Mungu alishasema utapanda kwa kac na utaporomok kwa kac

  • @joycentongani388
    @joycentongani3882 жыл бұрын

    Kaka kunywa soda Mungu akubariki na Amin utafunguliwa tena big up sana

  • @samniza1763
    @samniza17632 жыл бұрын

    I like that, nimeishiwa tu pesa, sijaishiwa akili.

  • @justinamusyoka4986

    @justinamusyoka4986

    2 жыл бұрын

    Kweli,they say with your mind you arise many times.

  • @shukurukondo9731
    @shukurukondo97312 жыл бұрын

    Dada nakupataje hili tuwez kuongea aisee ..Napenda tushare nawadau kidogo wapate vitu vya kujifunzaa,Nakupataje nina kovu nishare kidogo

  • @msabahamwendapole5005
    @msabahamwendapole50052 жыл бұрын

    huyu sasa ndo BIG akili mingi...big up brother

  • @happynesphilipo6637
    @happynesphilipo66372 жыл бұрын

    Mungu akuinue tena watu tuma makovu mengi sana

  • @charleskuyeko1660
    @charleskuyeko16602 жыл бұрын

    Duuh! Huyu Chinunje ni balaa. Ana akili kiwango cha PHD. Ni mtu anayejua maisha na anamjua Mungu. Ni mstaarabu wa hali ya juu. Anaweza kuwa mwalimu wa kuwafundisha vijana waliomaliza shule au chuo namna ya kuishi na watu. Hongera sana ndugu yetu Chinonje. Siku moja nitakutafuta tupige stori za maisha.

  • @sakinaabdallah7713
    @sakinaabdallah77132 жыл бұрын

    Brother hiyo ndio hali ya dunia ameumba ardhi ameumba n'a mbingu lazima tuelewe kwani tunaona kua tunaishi usiku n'a tunaishi mchana yote ni kwa nguvu za . Mungu tuuu

  • @amazianyambo7009
    @amazianyambo70092 жыл бұрын

    Hongera kwa kazi nzuri @bernadeta

  • @georgemzoo4417
    @georgemzoo44172 жыл бұрын

    Story nzuri sana, kuna kitu cha kujifunza hapo, ila brother yuko vizuri huchoki kumsikiliza,

  • @abdallahlyimomrwana9134
    @abdallahlyimomrwana91342 жыл бұрын

    Piece & love chinunge .. umeanguka utainuka tena kwa uweza wa Allah imani yako imepenya kwa watu wengi kuwa kuna kupata na kukosa inshaalah 🙏

  • @ananiahaule2175

    @ananiahaule2175

    2 жыл бұрын

    🙏🏾

  • @hansmtalikwa9745
    @hansmtalikwa97452 жыл бұрын

    Kipind kizur ila mtangazaji inabidi achangamke na aweze kuongeza ubunifu wa kuhoji maana katika story hii story hakuna mwanzo wala mwisho. 1. Alitakiwa ahoji vipi alipata mali maana milioni 40 haitoshi kuwa na hizo mali kumbuka hiyo hela ni watu wenye kiwanja. 2. Ilikuaje akafilisika na lip la kujiifunza . Haya ni maoni yanga ,

  • @mrsliverpool4235

    @mrsliverpool4235

    2 жыл бұрын

    yes anafaaa amuangalie # lyn ngugi anavyofanya

  • @mweusiasili8345

    @mweusiasili8345

    2 жыл бұрын

    Kweli kabisa milioni 40 utasema bilioni🤣🤣

  • @hansmtalikwa9745

    @hansmtalikwa9745

    2 жыл бұрын

    Sky ufanye kazi hii kwa next episode iwe Bora zaidi

  • @aishamsofe3274

    @aishamsofe3274

    2 жыл бұрын

    Yees Point, kwasisi waandishi/watangazaji tumekuelewa

  • @hansmtalikwa9745

    @hansmtalikwa9745

    2 жыл бұрын

    @@aishamsofe3274 Asante kwa kuelewa naomba tuchangie mawazo na kuboresha kipind ni kizur mno ila tushughulikie ha changamoto ndogo ndogo kitakua kipind Bora zaidi hapa SnS

  • @macvoice925
    @macvoice9252 жыл бұрын

    Ningekuwa Napesa uyu jamaa anakipaji✊

  • @safaranilulungu9255
    @safaranilulungu92552 жыл бұрын

    Pole sana baba mungu yupo na ni wetu sote Sali tu

  • @agathakalulu1056
    @agathakalulu10562 жыл бұрын

    🙌🙌🙌your the best aseee nimekupenda we kaka,unaujasiri wa hali ya juu,heshima kwako

  • @fadhilikawambwa5159
    @fadhilikawambwa51592 жыл бұрын

    hili ni somo zuri sana.natamani apate darasa la mafunzo afundishe watu.akwenda shule lakini ni zaidi ya dr.

  • @martinmaryogo3676

    @martinmaryogo3676

    2 жыл бұрын

    kabsa huyu jamaa anafaa kuwapa faraja watu wenye stress za mali

  • @simonkarega2714
    @simonkarega27142 жыл бұрын

    May heavenly father fulfill your heart desires... Keep going brother never give up...At the end of the tunnel you shall see the light...

  • @tatoorashedi1787
    @tatoorashedi17872 жыл бұрын

    ♥️♥️♥️ ilove yuo bro nimependa sana kisa chako kimenikumbusha chakwangu marafiki sio ilisababisha mpaka kuja arabuni wakati ilikuwa cmalengo yangu

  • @zakibingolden6717
    @zakibingolden67172 жыл бұрын

    Love 💘TZ from somalia capitol city ❤💙mugadishu

  • @atanasjuma433
    @atanasjuma4332 жыл бұрын

    mtangazaji ungenyanyuka kidogo tuone ulichobeba kwa mbali unaonyesha mashaa allah

  • @mzalendomzalendo2567

    @mzalendomzalendo2567

    2 жыл бұрын

    @atlas.. una akili ndogo sana ww hayo tuu ndio unayo waza,

  • @mohamedimbaga6583

    @mohamedimbaga6583

    2 жыл бұрын

    😂😂😂 umewaza kama mimi

  • @welcome-qk6ps

    @welcome-qk6ps

    2 жыл бұрын

    Hhhhhhaaaaah mbavu zangu

  • @zuhurambonde1982

    @zuhurambonde1982

    2 жыл бұрын

    Kwani maumbile yake yanakuhusu Nini? Mtihani sana

  • @osearmasunga513

    @osearmasunga513

    Жыл бұрын

    🤣😂😂😂

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote81722 жыл бұрын

    Mwenyez mungu akujaliye mema yenye kher na barka insha'Allah akujibie maombi yako shukran Sana umeyakubali maisha na unaishi Kwa furaha ,, Aman na upendo na familiya yako be blessed rizik mafungu Saba lkn walokutelemsha Kwa mabaya mungu atawaonyeshaa Kwa kukuinua tena na akakubarik Wakat mwingine mwenyez mungu huacha Jambo lipite Kwa Wakat furah pengine anakuwazia mema usikate tamaaa mungu ni wetu sote

  • @mpulitv8011
    @mpulitv80112 жыл бұрын

    🤣🤣🤣 haihitaji touch 🤣🤣🤣 Asante Sana brother unasema hujasoma lakin unaakili nying sana

  • @iviejustified8109
    @iviejustified81092 жыл бұрын

    Mungu wa Binadamu ndiyo wa Nguruwe.... Lakini Binadamu wanamuita Nguruwe Haramu - Brother Chinunje Mkali wa Kigamboni

  • @mpendakiswahili3053

    @mpendakiswahili3053

    2 жыл бұрын

    Haha mkali aisee!!!

  • @sulleyally5040
    @sulleyally50402 жыл бұрын

    Nimempemda sana huyu Kaka anajua maisha sana

  • @mrsliverpool4235

    @mrsliverpool4235

    2 жыл бұрын

    😃😂😁😀

  • @bensonmwakasanga9316

    @bensonmwakasanga9316

    2 жыл бұрын

    Daa maisha ndivoyalivo akubalikuanzamoja

  • @mweusiasili8345
    @mweusiasili83452 жыл бұрын

    Ushirikina hakuna bana ustafute kichaka cha kujifichia. Maisha changamoto tu bro mungu akufanyie wepec upige hatua. Kipind kizur sana #kinamazingatio

  • @hopedigitalmedia34

    @hopedigitalmedia34

    2 жыл бұрын

    Duuh hauamin ushirkna bac ww umelogwa mdau.

  • @officialankomadevu6427
    @officialankomadevu64272 жыл бұрын

    Hahahahaaaa simulizi za sauti nimependa kovu la chinunje nimefanyanae kazi nyingi za muvie naomba naminijenitoe kovu langu

  • @hamisilumona7163
    @hamisilumona71632 жыл бұрын

    Be brave brother. Don't give at any time, bravo,bravo brother.

  • @aliaboud9202
    @aliaboud92022 жыл бұрын

    Tunamuamini mungu tuu kwasababu sisi sio washirikina🙏

  • @sidrasidra8616
    @sidrasidra86162 жыл бұрын

    Hu baba ame sababisha akili yangu inafanya kazi vizuri nanafusi yangu imetulia alhamdulillah ya Rabi kusababisha kumleta huu baba ahojiwe

  • @williamrobert1026
    @williamrobert10262 жыл бұрын

    Pole sana bro kwa mapito uliopitia , lkn pongezi nyingi kwa kujiamini na kuwa na moyo wa upendo na amani, may God bless you

  • @charlesmunema8218
    @charlesmunema82182 жыл бұрын

    Sns Safi sana kubwa hii...🔥🔥🔥🔥🙌

  • @gastokonzo9798
    @gastokonzo97982 жыл бұрын

    Ni kweli Mimi mwenyewe yamenikuta lafiki yangu kanimaliza kabisa

  • @issasalum8544
    @issasalum85442 жыл бұрын

    Leo tarehe 5/2/2022....Nimerudia kuangalia interview

  • @zebedeemirambi3113
    @zebedeemirambi31132 жыл бұрын

    Ukiwa na hekima na busara jilinde kujitapa juuyauwezo unao, pesa, elimu navingine, Maisha nikitu rahisi sana kupata pia nakupoteya kabisa😔🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @othumanlorenzo260

    @othumanlorenzo260

    2 жыл бұрын

    Kaka upo congo

  • @amirikoshuma3039
    @amirikoshuma30392 жыл бұрын

    Daa Kaka hiii ni sahihi Sana pole Sana hata mm yalishanikuta nilimsaidia mtu mwisho wa siku daa kilichotokea sikuamini

  • @nzeyyunus5990
    @nzeyyunus59902 жыл бұрын

    Big Up SnS. Idea Nzuri, kipindi kizuri chenye mafunzo. Godbless you

  • @mwanakhamiskhamis3115
    @mwanakhamiskhamis31152 жыл бұрын

    Shuleni wa mwisho Katika maisha wakwanza😁😁 anadondosha mwekuu

  • @Mpakauseme

    @Mpakauseme

    2 жыл бұрын

    Hipo hiyo aisee huyo ndio mwenzangu na miwe 🤣

  • @winniendunge4375
    @winniendunge43752 жыл бұрын

    So strong man God bless you keep going pray is the key🙏🙏🙏🙏🙏 amen

  • @akayesu4800
    @akayesu48002 жыл бұрын

    Usihofu mungu yupo utapata tu

  • @abdulrahmanhassan9254
    @abdulrahmanhassan92542 жыл бұрын

    Histori imenifundisha kwamba ukipata fulsa jijenge vizuri itumie nafasi kwa kujiwekeza kwa ajili ya baadae ikiwezekana jenga hata nyumba kadiri ya uwezavyo ili siku ukishuka hutopata shida ndogo ndogo

  • @hamisimtamike9583

    @hamisimtamike9583

    2 жыл бұрын

    Swadaktaa Abdul

  • @abdulrahmanhassan9254

    @abdulrahmanhassan9254

    2 жыл бұрын

    @@hamisimtamike9583 pamoja kaka

  • @ommietrendz7175

    @ommietrendz7175

    2 жыл бұрын

    Nyumba na vitega uchumi

  • @rahimaaaaa8699

    @rahimaaaaa8699

    2 жыл бұрын

    Hizo nyumba zaweza ungua moto. Cha msingi kimuomba M.MUNGU tuwe na mwisho mwema.

  • @abdulrahmanhassan9254

    @abdulrahmanhassan9254

    2 жыл бұрын

    @@rahimaaaaa8699 nikweli kuomba mungu nijambo la ulazima lakini hupaswi kufikiria kushindwa na haliyakuwa unataka kushinda huwezi fanikiwa kwa mfumo huwo

  • @irenesisamo2184
    @irenesisamo21842 жыл бұрын

    Mimi naona comedy tu hamna kovu maana mwenye kovu lake kajikubali balaa ila kanifunza kukubaliana na hali na msemo haina tochi

  • @singidaone5628
    @singidaone56282 жыл бұрын

    Salute sana brother✓

  • @ericklaura7511
    @ericklaura75112 жыл бұрын

    Big I like your spirit, the door shall open soon, keep your trust to whome who art in heaven he never sleep.🙏🙏

  • @yunusrnb5227
    @yunusrnb52272 жыл бұрын

    Nimekuelewa kweli we mtangazaji,MTOTO una shepu daah😜😜😘

  • @openmindtz
    @openmindtz2 жыл бұрын

    Brother kaongea mengi mazito na kanifundisha jambo na kunikumbusha pia kuwa mungu Alali,AFI,asafir wala aend chooni 🤦‍♂️ Tunapitia mengi sana mazito aisee.... Allah atufanyie shufaa

  • @hamissimonami2519

    @hamissimonami2519

    2 жыл бұрын

    Aitaji tochi

  • @chumuali9468

    @chumuali9468

    2 жыл бұрын

    Muongo uyo aseme ukweli

  • @ommymc5420

    @ommymc5420

    2 жыл бұрын

    Inshallah

  • @ommymc5420

    @ommymc5420

    2 жыл бұрын

    dah blo uko vizur aitaj toch

  • @trophywilson7211

    @trophywilson7211

    2 жыл бұрын

    @@chumuali9468 uongo upi kisikia alipata pesa zikaisha baadaye,??

  • @salmazahor170
    @salmazahor1702 жыл бұрын

    Anadondosha mweku hahahaaa yn nimecheka sanaaa

  • @nshimirimanadjamilla7270
    @nshimirimanadjamilla72702 жыл бұрын

    Masha allah uyu kak jasiri mungu amubariki

  • @allymasoudi6780
    @allymasoudi67802 жыл бұрын

    Alichojichanganya ni kupeleka mashine za kusaga na piki piki nyumbani watu wengi hawapendi maendeleo hasa sehemu ulipotokea nabii hakubaliki kwao always

  • @michaelthobias9967

    @michaelthobias9967

    2 жыл бұрын

    Kabisa nakubaliana nawewe

  • @tatotato506

    @tatotato506

    2 жыл бұрын

    @@michaelthobias9967 nauko kwao wamakonde wachaisana

  • @Mpakauseme

    @Mpakauseme

    2 жыл бұрын

    @@tatotato506 Wachawi si Wamakonde tu , watu weusi tu ni ovyo sana

  • @isayahjovin4076
    @isayahjovin40762 жыл бұрын

    Pole sn kaka hakika maisha ni fumbo ila Mungu ni mwema atakuinua tu

  • @majanialfa8324
    @majanialfa83242 жыл бұрын

    Chinunje mwanangu sana Leo hakika kaongea maneno muhimu sana ila nimependa alivyosema bado hajakata tamaa hayo ndio maneno ya wapambanaji ktk maisha huwa hawakati tamaa.Naamini ni suala la mda atatoboa kwa nguvu.

  • @hassanaloobaidan25
    @hassanaloobaidan252 жыл бұрын

    Genius

  • @subiraomari5908
    @subiraomari59082 жыл бұрын

    Safi sana tusikate tamaa

  • @kizakadafi4649
    @kizakadafi46499 ай бұрын

    True story mungu akujaliy bro pamban kbx

  • @mpulitv8011
    @mpulitv80112 жыл бұрын

    Dah brother konk Sana 👊🙏✍️💪💪💪

  • @vailetjulius4782

    @vailetjulius4782

    2 жыл бұрын

    Nahao hao binaadamu ukiwaelezea kuwa binaadamu wamenifanya hivi nilipo huyo huyo binaadamu anakwambia sio binaadamu ni upuuzi wako ndio umekufanya undrop usitafute mchawi huyo ndio mwanaadamu yaliyomkuta km Mimi yalivyo nikuta ila upo kwenye funzo kaka usihuzunike furqhia hapo ulipo hata Mimi yalinikuta na nipo sawa Sasa kuliko mwanzo

  • @mpulitv8011

    @mpulitv8011

    2 жыл бұрын

    @@vailetjulius4782 binadamu sis vile tuna meno meupe lakin wabaya Sana mungu atusaidie Sana

  • @capteinchuimchafu7894
    @capteinchuimchafu78942 жыл бұрын

    Nakubali cana

  • @jaysanhay7246
    @jaysanhay72462 жыл бұрын

    Nimependa saana huyu Baba aisee

  • @AsungaSteven
    @AsungaSteven9 күн бұрын

    Safi sana,marafiki siyo

  • @KhalidKhalid-zt1bc
    @KhalidKhalid-zt1bc2 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu mtukufu akikupa neema unatakiwa kuzitumia kwa hekima na kutofanya ubadhirifu

  • @zainakuzenza759
    @zainakuzenza7592 жыл бұрын

    Bigup brother you are very inteligent

  • @jumakalukule5312
    @jumakalukule53122 жыл бұрын

    Kawaida tu kwamaisha yakiafrika muombe mungu nambaitaruditu naawo mafala wanafki watarudi kwako kujibebisha tu

  • @majaliwa_tz5004
    @majaliwa_tz5004 Жыл бұрын

    Kuna Watu Wakipata Maisha Kidogo Wakafilisika Wanakata Tamaa Hawafanyi Tena Kazi Mwendo Bado Jaman Tujifunze Kwa Mtu Kama Huyu imagine Alifiliskia Lakini Hajakata Tamaa we Ni Nani Unakata Taama Wakati Kwenye Maisha Yako Hujawahi Kumiliki Chochote Hongera Sana Brother Kwa Kutufungua Akili Tuzidi Kupambana🤝

  • @VotoMartin
    @VotoMartin2 жыл бұрын

    Ongeza sala aiseee Toa sadaka mnoo kwa Mungu Utarudi poa kuliko zamani. Upate wepesi. Ombea na nyota yako.

  • @karolshirima8935
    @karolshirima89352 жыл бұрын

    Usimamizi wa fedha ulikuwa shida...pesa kuitunza ikutane na nyingine...

  • @rajabmohamed9930

    @rajabmohamed9930

    2 жыл бұрын

    kaka ukija mtaaani Kuna vyengine vya darasan vinagomaga kabisa binaadam c watu

  • @mohamedmwijai9685
    @mohamedmwijai96852 жыл бұрын

    Mweku aitaji tochi nimeipenda hiyo

  • @ernestkatyega5781
    @ernestkatyega57812 жыл бұрын

    Mtangazani mzuri😍

  • @seifjuma3471

    @seifjuma3471

    2 жыл бұрын

    😝

  • @issakamangila4143
    @issakamangila41432 жыл бұрын

    Aitaji tochi stori ime touch sn lkn mtanganzaji ana shepu atari

  • @franciskyombo4289

    @franciskyombo4289

    2 жыл бұрын

    Ni black beauty pia ni mzuri sana.

  • @Joe-tr2vk

    @Joe-tr2vk

    2 жыл бұрын

    Nilidhani nimeona peke yangu tu😁

  • @aishaamwalimu2887
    @aishaamwalimu28872 жыл бұрын

    😂😂😂Hapo unanidai buku, anadondosha mweku 😂kikubwa akili bado ipo utafanikiwa tu haitaji tochi.

  • @hamadikamdela4144
    @hamadikamdela41442 жыл бұрын

    Nimelipenda sana hili somo

  • @marifaadolphine3571
    @marifaadolphine35712 жыл бұрын

    Asante kwa ushauri.

  • @abdallaomar7767
    @abdallaomar77672 жыл бұрын

    Jamaa anaongea point kwel

  • @saimonijonas4356
    @saimonijonas43562 жыл бұрын

    Du!! Huyu ndugu nimemsikiliza vizuri sana.Najikuta nampongeza tu.Kwani niwachache huwa wanakubali kuwa wamefilisika.Lakini yeye kwa jambao hilo anakuambia hata nisipokubali ndo ishakuwa.

  • @ireneassey753
    @ireneassey7532 жыл бұрын

    Bernadeta unaenda vizur besti mungu akutunze

  • @ramadhanmahongole5663

    @ramadhanmahongole5663

    2 жыл бұрын

    Nimekubali

  • @meshacktegulo2473
    @meshacktegulo24732 жыл бұрын

    Well said bro kubwa sanaa hii haihitaji tochi ✊

  • @dadapechi
    @dadapechi2 жыл бұрын

    Asante kwa Darasa..

  • @damsonlusano499
    @damsonlusano4992 жыл бұрын

    nimekupenda mtangazaji we mzr sana

  • @fatmaissa5685
    @fatmaissa56852 жыл бұрын

    Bro chinunje nimekupenda bure mungu akulinde

  • @matildalossenmsokwa4037
    @matildalossenmsokwa40372 жыл бұрын

    Nimemwelewa sana huyu kaka

  • @ShimboPastory
    @ShimboPastory2 жыл бұрын

    Heshima kaka, Mungu yupo

  • @mariamnamwa188
    @mariamnamwa1882 жыл бұрын

    Safi sana

  • @salvatoryanga8875
    @salvatoryanga88752 жыл бұрын

    Namfahamu vizuri ni mvumirivu na mpambanaji katika kazi

  • @raulentmathias6794

    @raulentmathias6794

    2 жыл бұрын

    Nikweli kabisa alikuwa boss wangu

  • @luqmanmbwambwa7127
    @luqmanmbwambwa71272 жыл бұрын

    Haitaji mwangaaa a.k.a toch

  • @manasekijangayamba2023
    @manasekijangayamba20232 жыл бұрын

    Umetisha Sana kaka

  • @elemonsanga8996
    @elemonsanga899611 ай бұрын

    Dada kilegu from makete bulongwa zambia,,hongera dada

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup682 жыл бұрын

    Pole sana

Келесі