Haya ndio Maajabu makubwa ya AI (Artificial Intelligence) Mtaalam huyu aeleza tulipo na tunapoelekea

Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti

Пікірлер: 26

  • @Mbeyaconscious
    @Mbeyaconscious9 ай бұрын

    Technology Inenda Kasi Inabidi Tujiandae Kwa Matumizi Sahihi 👍

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator63439 ай бұрын

    Interview nzuri, ila mungetuletea DjSma akaja akatueleza kiunaga ubaga.. Hapa Bado, Kuna Watu wameachwa...

  • @francomwacha2262
    @francomwacha22629 ай бұрын

    Kaka kabla cjaangalia hii interview yani naona tuu nitaenjoy mnoooooo napenda sana hizi Habari na mambo ya anga pia hizi mkiziweka bando langu ni halali yenu

  • @5Gents
    @5Gents9 ай бұрын

    Naomba msaada wa website ya kufanyia registration.

  • @raymondmakaka8495
    @raymondmakaka84959 ай бұрын

    Pokea zangu tano. Ningepnda simulizi kuhusu Haiti 🇭🇹 kwamapa bilashaka nipanasana lakini kwa uzowefu wako unaweza ukatuleta makala : 1.Makala historia yake. 2.Jeilikuaje ikjipata ilipo leo. 3.Mkono wa Mabepari katika juya Haiti. 4.Bada ya Umoja wa Mataifa kutofua dafu kuleta amani . tutarajie nini kuhusu fursa ya Kenya 🇰🇪 kupeleka kikosi Polisi huko Haiti 🇭🇹. Kenya 🇰🇪 pia itarajie nini mana naona fursahi sio lele mama? asante SNS.

  • @hassanmoalimmuse6014

    @hassanmoalimmuse6014

    9 ай бұрын

    Point

  • @Jane-tg3tt
    @Jane-tg3tt2 ай бұрын

    Huyo jamaa mgeni mualikwa mbona kama Hana uelewa wa kutosha au naye kagoogle mana hawezi kurahisisha mazungumzo yake ya kitaalamu Ila yaeleweke kirahisi naona anajificha kwenye kujifanya anachanganya lugha,Mr sky ungegoogle Tu utuelezee mwenyewe

  • @miraajswai744
    @miraajswai7449 ай бұрын

    This is gòod

  • @NassaniMussa
    @NassaniMussaАй бұрын

    Kaka napenda sana uchambuzi wako naomba kujuzwa kuusu samsung A35 na infinix note 40pro+ niipi nzuri??

  • @yusuphcharles1497
    @yusuphcharles14979 ай бұрын

    Simulizi imepoa sana aisee

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu78059 ай бұрын

    Wow

  • @Jane-tg3tt
    @Jane-tg3tt2 ай бұрын

    Umemuokota wapi huyo chekbobuu

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything9 ай бұрын

    👍👊✌️.

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel31329 ай бұрын

    Mtu wa kuogopwa ni mmiliki wa fb huyu jamaa ni hatari mbeleni

  • @rogerslwitiko3915
    @rogerslwitiko39159 ай бұрын

    Baadae ndiyo unapandikiziwa Microchips ili uweze kuendana na huo mfumo

  • @vedastokeya3344
    @vedastokeya33449 ай бұрын

    Hii angepewa dj sma ingekaa pouwa sana

  • @MrNoLevel
    @MrNoLevel9 ай бұрын

    Wakwanza nipe likes zangu

  • @onekisstv8412

    @onekisstv8412

    9 ай бұрын

    Chukua😂😂😂

  • @Mina.15
    @Mina.159 ай бұрын

    Alot of ppl going to jobless 🤣🤣🤣 here 🇺🇸 Walmart now no cashier the lines is better than before 👌🏾

  • @user-ju8hm5yf3t
    @user-ju8hm5yf3t9 ай бұрын

    Hello guys

  • @khamishussein3502
    @khamishussein35029 ай бұрын

    Paka mafuta mrango ili kuondoa kelele

  • @rodsconehenry4249
    @rodsconehenry42499 ай бұрын

    naskitika badae kama hakuna kufa nikiwa tayar nimekufa

  • @adamhashim3352

    @adamhashim3352

    9 ай бұрын

    Nawew unaamin kabisa kuwa badae hakuna kufa

  • @tahiyasaidi6532
    @tahiyasaidi65329 ай бұрын

    Mjomba kaza km WA kiume unauma lips sana

  • @nkwabitz233

    @nkwabitz233

    9 ай бұрын

    Ana CONTENT YA KUTOSHA. UJITULIZE

  • @adamhashim3352

    @adamhashim3352

    9 ай бұрын

    Bora umesema

Келесі