Haya ndio Maajabu makubwa ya AI (Artificial Intelligence) Mtaalam huyu aeleza tulipo na tunapoelekea
Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
Пікірлер: 26
Technology Inenda Kasi Inabidi Tujiandae Kwa Matumizi Sahihi 👍
Interview nzuri, ila mungetuletea DjSma akaja akatueleza kiunaga ubaga.. Hapa Bado, Kuna Watu wameachwa...
Kaka kabla cjaangalia hii interview yani naona tuu nitaenjoy mnoooooo napenda sana hizi Habari na mambo ya anga pia hizi mkiziweka bando langu ni halali yenu
Naomba msaada wa website ya kufanyia registration.
Pokea zangu tano. Ningepnda simulizi kuhusu Haiti 🇭🇹 kwamapa bilashaka nipanasana lakini kwa uzowefu wako unaweza ukatuleta makala : 1.Makala historia yake. 2.Jeilikuaje ikjipata ilipo leo. 3.Mkono wa Mabepari katika juya Haiti. 4.Bada ya Umoja wa Mataifa kutofua dafu kuleta amani . tutarajie nini kuhusu fursa ya Kenya 🇰🇪 kupeleka kikosi Polisi huko Haiti 🇭🇹. Kenya 🇰🇪 pia itarajie nini mana naona fursahi sio lele mama? asante SNS.
@hassanmoalimmuse6014
9 ай бұрын
Point
Huyo jamaa mgeni mualikwa mbona kama Hana uelewa wa kutosha au naye kagoogle mana hawezi kurahisisha mazungumzo yake ya kitaalamu Ila yaeleweke kirahisi naona anajificha kwenye kujifanya anachanganya lugha,Mr sky ungegoogle Tu utuelezee mwenyewe
This is gòod
Kaka napenda sana uchambuzi wako naomba kujuzwa kuusu samsung A35 na infinix note 40pro+ niipi nzuri??
Simulizi imepoa sana aisee
Wow
Umemuokota wapi huyo chekbobuu
👍👊✌️.
Mtu wa kuogopwa ni mmiliki wa fb huyu jamaa ni hatari mbeleni
Baadae ndiyo unapandikiziwa Microchips ili uweze kuendana na huo mfumo
Hii angepewa dj sma ingekaa pouwa sana
Wakwanza nipe likes zangu
@onekisstv8412
9 ай бұрын
Chukua😂😂😂
Alot of ppl going to jobless 🤣🤣🤣 here 🇺🇸 Walmart now no cashier the lines is better than before 👌🏾
Hello guys
Paka mafuta mrango ili kuondoa kelele
naskitika badae kama hakuna kufa nikiwa tayar nimekufa
@adamhashim3352
9 ай бұрын
Nawew unaamin kabisa kuwa badae hakuna kufa
Mjomba kaza km WA kiume unauma lips sana
@nkwabitz233
9 ай бұрын
Ana CONTENT YA KUTOSHA. UJITULIZE
@adamhashim3352
9 ай бұрын
Bora umesema