Ni hali ya miguu niponye Mombasa katika mji wa Mombasa

Ni hali ya miguu niponye Mombasa katika mji wa Mombasa

Пікірлер: 108

  • @rizikinassoro4726
    @rizikinassoro47264 жыл бұрын

    Naomba serikali isitishe huduma za feri plz na mjaribu jusaidia raiya na chakula coz hii yote nikwa ajili ya kutafuta rizki Aki mungu saudia inchi yangu,😭😭😭

  • @abdimalik5344
    @abdimalik53444 жыл бұрын

    Aah hii fery ifungwe kabisa hatutaki magojwa sasa mwapiga watu fungeni hiyo fery 14days

  • @mgenisuleiman56
    @mgenisuleiman564 жыл бұрын

    As we know that kenyas we are poor instead of fighting the Virus u are beating the poor ones ooooh God protect our families it's very hurting

  • @JesusChristLovesUs4ever

    @JesusChristLovesUs4ever

    4 жыл бұрын

    Fighting virus is you and me should fight the virus by obeying the rules, Kenyans are just vichwa ngumu thats all, Please don't blame the government, it had to be taking the harsh way of discipline PERIOD!

  • @ginton_254
    @ginton_2544 жыл бұрын

    Teargassing Kenyans forces them to touch thy eyes,mouth and nose...my question is are we fighting the virus or spreading the virus....what I saw gsu doing to Kenyans today is not humanity bt totally brutality....

  • @jebiwotspari9403

    @jebiwotspari9403

    4 жыл бұрын

    Very sad..God have mercy

  • @sylviaecke1772

    @sylviaecke1772

    4 жыл бұрын

    I.magine

  • @deepsea2141

    @deepsea2141

    4 жыл бұрын

    after every 5 years watu wa makabila will vote for the same mtu wetu leaders in power. No change unless Kenyans change also

  • @salmaruth3465

    @salmaruth3465

    4 жыл бұрын

    Ooh Allah have mercy on us

  • @jamalsaedkivuruge4080

    @jamalsaedkivuruge4080

    4 жыл бұрын

    @Kungfu Panda what do you think is talking about mbna unakaa msenge ivo ww

  • @brendaokumu8518
    @brendaokumu85184 жыл бұрын

    Queuing is more dangerous . where is the keeping distance there

  • @happytimes9747
    @happytimes97474 жыл бұрын

    Ferry ndio plc italeta changamoto mingi yani kama ningekua hapo nangerudi tu nilikotoka 😭😭

  • @mohammedabdalla6176
    @mohammedabdalla61764 жыл бұрын

    Hayo nimaonevu sana

  • @mahmudmohammed8266

    @mahmudmohammed8266

    4 жыл бұрын

    MOHAMMED ABDALLA true

  • @askdeniskago4404
    @askdeniskago44044 жыл бұрын

    Only essential service provides should be allowed to cross tomorrow. The rest should stay where they are. Food rations and medication can be made available from tomorrow at noon. Let them stay home. Not all work is important. We don't expect this tomorrow. Wakae Nyumbani kesho! No non essential people should cross. Those going home be given indelible paint to flag anyone left. A database be in place as well to flag potential repeaters. Exception only via a letter from local chiefs. This movement must be minimized during daytime to limit crowd at rush hours. God Bless Kenya. Shalom.

  • @wambui4590
    @wambui45904 жыл бұрын

    Better to leave them alone than to beat them

  • @mteulenyotamchana2623
    @mteulenyotamchana26234 жыл бұрын

    Surely does the police think wakikimbiza watu wakiwa wengi hivi hawata humia??? Wamama wajawazito na watoto Mungu saidia inchi yangu. How can police just bite someone who is walking without any weapon. I am so disappointed with some of Kenya police.

  • @adamsaga6700
    @adamsaga67004 жыл бұрын

    Unajivunia kuwa mkenya kwa lipi haswa moto WA jshanam unawasubir washenzi nyie fungeni fery sio kunyanyasa watu

  • @reazahmohjey7724
    @reazahmohjey77244 жыл бұрын

    Ferry ziongezwe..hao watu ni wengi sana

  • @zedyahmed2040
    @zedyahmed20404 жыл бұрын

    The sad part ni walewameanguka chini ndo wanapigwa na ma polisi.

  • @joycemajala4355
    @joycemajala43554 жыл бұрын

    My Advice now....county government hizo pesa munazo campaign for BBI plz give this ppe so they can stay at hme peacefully....bcz no distance at all...i only see virus plz govement don't be selfish

  • @yaswe5017
    @yaswe50174 жыл бұрын

    police wamefanya vibaya sana wallah kujapa watu na watoka kusaka rizki subhana Allah

  • @mahmudmohammed8266

    @mahmudmohammed8266

    4 жыл бұрын

    Yas We true vary poor for our police to act like that sio haki wallahy

  • @gladwelldaughterofzion9884
    @gladwelldaughterofzion98844 жыл бұрын

    Ignorant is so so bad ,Italia ilianza hivyo tu kukosa kusikilisa vile wanaabiwa saa hii wanakufa kama kuku

  • @gettykevin8027
    @gettykevin80274 жыл бұрын

    Mmmh inasikitisha sana.Heri atawangewachukua na kuwasafirisha kila mmoja kwa gari hadi nyumbani badala ya kuwapiga, wametoka totafuta mkate wao wa kila siku.Ughalifu utazidi Kenya, Mungu awasaidie jamani.

  • @muotinzmultiply88
    @muotinzmultiply884 жыл бұрын

    Yooommmiiii!! Hizi mbio wamama wataweza kweli!!!

  • @naomiwhite3832
    @naomiwhite38324 жыл бұрын

    I blame my fellow kenyans wengi ni vichwa ngumu jamani curfew c mchezo mtaumia, mtakufa mtajua hamjui coz mkiambiwa mkae nyumbani mnalalamika mtakula nini ugonjwa ukiienea mnalaumu serikali sasa rungu ndio itafanya kazi

  • @alfredmakau3266

    @alfredmakau3266

    4 жыл бұрын

    I'm with u,,,,,, washing hands they want to b forced staying at home the same let them b beaten

  • @lydiakarani6978
    @lydiakarani69784 жыл бұрын

    Why using tear gas na ndio Corona haitaki moshi?.pliz take Kenyans slow weee

  • @rachelngari9414

    @rachelngari9414

    4 жыл бұрын

    Haki wakenya

  • @mohammedabdalla6176
    @mohammedabdalla61764 жыл бұрын

    Kuwapoga sio suluhisho

  • @Taurus80.70
    @Taurus80.704 жыл бұрын

    But this isnt lockdown at allllll

  • @estherimbotsi7553
    @estherimbotsi75534 жыл бұрын

    Sasa hiii nikupungza coronavirus au nikuuwa watu mbona wako pamoja😏😏😏😭😭😭😭

  • @yvonnewambui421
    @yvonnewambui4214 жыл бұрын

    For once nmeona kenya ikisema n kutenda, tena kenya n vichwa ngumu so lazma kichapo n tear gas zifanye kazi ndo wasikie

  • @alfredmakau3266

    @alfredmakau3266

    4 жыл бұрын

    Hi five to u dear, they have ears but they don't. Hear everything blaming police let the b given the job tuone

  • @yvonnewambui421

    @yvonnewambui421

    4 жыл бұрын

    @@alfredmakau3266 yeah, tena if the situation worsen wanasema oh serikali, mara nini, n wao wenywe ndo wanafanya kazi ikuwe ngumu, so sai police ata kama itafanya watu viwete kwa muda kidogo mpka hii virus ipungue acha ibidi, furthermore mshapewa the whole day, ndo msiseme ooh hakuna food, but tukiambiwa from 6 tuwe ndni hatutaki

  • @alfredmakau3266

    @alfredmakau3266

    4 жыл бұрын

    @@yvonnewambui421 stingy Kenyans n way let them b taught

  • @zeddydaqueensy4612
    @zeddydaqueensy46124 жыл бұрын

    Sasa wakiingia kwa ferry sitawakuwa

  • @allank.6107
    @allank.61074 жыл бұрын

    Gavana joho should stop sympathizing na wananchi, even big pple in other countries are dying, let police do their job, or join forces, mahali naishi is out of the country, and curfew started one week ago and we are fine, it's our life.

  • @kenedykibira4853

    @kenedykibira4853

    4 жыл бұрын

    Allan K. you have thought like a seven year old

  • @francisngaruiya

    @francisngaruiya

    4 жыл бұрын

    Allan....you are stupid. If you asked a seven year old child....he or she will tell you and rightly so that how this measures are been implemented is not well thought out. At the ferry crossing....what other options did these people have? The capacity is reduced....the number of ferries is not increased.....the crowd gathers....time is limited ,who is to blame? Old 56 year old Allan says the people are to blame. Think twice ....silly old man.

  • @serahnanjala3584

    @serahnanjala3584

    4 жыл бұрын

    What do u use to reason?? Sorry to say but ur level of maturity is really down ata mtoto amezaliwa jana can reason better..stop being inhuman those are your fellow himanbeings have some dignity

  • @marionmammy833
    @marionmammy8334 жыл бұрын

    Why they don't have face mask🤔🤔

  • @wamsy

    @wamsy

    4 жыл бұрын

    Why are they not at home

  • @marionmammy833

    @marionmammy833

    4 жыл бұрын

    @@wamsy infact they deserve more beatings

  • @ralph839
    @ralph8394 жыл бұрын

    Without mercy - Kibicho.

  • @saveodenyo2931
    @saveodenyo29314 жыл бұрын

    Who is watching kenya news. Shame of all countries in the world that pple are compacted in a line at this time.

  • @blessedpeterkepha6294
    @blessedpeterkepha62944 жыл бұрын

    This is not a good thing for Police to fight Kenyan a time like this

  • @cole-ke1373
    @cole-ke13734 жыл бұрын

    I feel sorry for KENYA. Public education and awareness is paramount or else the country will plunge in deep corona virus waters.

  • @ericmonax5666
    @ericmonax56664 жыл бұрын

    Kenyans they are not serious

  • @ridhwanmohamed6086
    @ridhwanmohamed60864 жыл бұрын

    Joho uko wapi

  • @stellaloves9879

    @stellaloves9879

    4 жыл бұрын

    Mishi likoni si Joho

  • @mahmudmohammed8266

    @mahmudmohammed8266

    4 жыл бұрын

    Ridhwan Mohamed do something joho

  • @mahmudmohammed8266

    @mahmudmohammed8266

    4 жыл бұрын

    Ridhwan Mohamed joho help Mombasa ,Uhuru take classes from other countrys their not only fighting corona but they are also looking at their citizens not to stave to deaths

  • @mahmudmohammed8266

    @mahmudmohammed8266

    4 жыл бұрын

    also mishi do something

  • @violedinah8626
    @violedinah86264 жыл бұрын

    No ferry zihongezwe wange jipaga

  • @mahmudmohammed8266

    @mahmudmohammed8266

    4 жыл бұрын

    viole Dinah Uhuru umeshugulika nawalio na makaazi vipi kuhusu homeless people na machokora ama are the not humans ama hao hawashikwi naluzambaza korona

  • @donatio1
    @donatio14 жыл бұрын

    Most people here most likely roamed around doing nothing until it was late..

  • @AlawiMAlawi

    @AlawiMAlawi

    4 жыл бұрын

    A normal ferry which normally carries 2-3 thousand people now carries only 50 , and 300,00 people use it daily!!! It's not right going round blabbering what you don't know ✌🏽

  • @mteulenyotamchana2623
    @mteulenyotamchana26234 жыл бұрын

    Aiwezekani hapo

  • @ericktowet3017
    @ericktowet30174 жыл бұрын

    Hi sio social distancing

  • @hamadshein8272
    @hamadshein82724 жыл бұрын

    Hvi raia wakigoma unadhani hao polisi watatosha.kuna kitu inaitwa ngumu ya umma.

  • @khalfanmohd6949
    @khalfanmohd69494 жыл бұрын

    Sirudii kenyaa kwq upuuzi huu wacha tuishi na waarabu mpaka tufe nchii ina ushenzi kama nini sasa watu wanfaa wakae 2metres mmoja akiwa nao si ndo kwisha lockdown n da whole day sio usiku pekeake mnaeka curfew so stupid wallah

  • @zacharythuo6101
    @zacharythuo61014 жыл бұрын

    Watu wafuate maagizo waache mfulutano

  • @alfredmakau3266
    @alfredmakau32664 жыл бұрын

    I know people like complaining about everything now there is lockdown they r complaining let there b deaths same same Kenyans what do we want Uhuru to do.should he carry u with his back let us do what the government is saying

  • @noahkazungu2738

    @noahkazungu2738

    4 жыл бұрын

    I wish I could like your comment a thousand times!, you are so right. People don't know yet what they are dealing with, this disease is worse than the pneumonic symptoms- they are talking about. When infections number in Kenya(may God forbid) runs into thousands. You'll hear the blame on government.

  • @alfredmakau3266

    @alfredmakau3266

    4 жыл бұрын

    @@noahkazungu2738 thanks I'm dis appointed by Kenyans

  • @francisngaruiya

    @francisngaruiya

    4 жыл бұрын

    Muikamba mwega no úría wí footi ithathatú núgú íno. Umeshiba ndio maana huelewi shida wengine wanapitia.

  • @alfredmakau3266

    @alfredmakau3266

    4 жыл бұрын

    @@francisngaruiya thanks for ur insults I love it when the truth bites

  • @noahkazungu2738

    @noahkazungu2738

    4 жыл бұрын

    @@alfredmakau3266 Alfred unaona assumptions mixed with arrogance vile inakuaga swift with entitled opinion?... After all you said, he still doesn't get it.

  • @stellambeca5913
    @stellambeca59134 жыл бұрын

    Hiyo farii ndio inafa isiwarudie walale nje,,, ndio kesho waone this is serious,,, y ar u so ignorant, i mean it's 4 ur own gd,,,, mukigonjeka Leo who will tk cr of ur family plz Kenyans wacheni kuwa vichwa ngumu,,,, watu Wana kufa it's not a joke

  • @gracebilahibilahi8069

    @gracebilahibilahi8069

    4 жыл бұрын

    Hapo umesema

  • @wambui4590
    @wambui45904 жыл бұрын

    The rest of the kenyans are witnesses that Likoni people don't want to observe this measure, so just leave them alone to do what they want

  • @elizabethkkerubokerubo6421

    @elizabethkkerubokerubo6421

    4 жыл бұрын

    Uhuru wewe ndio umefanya watu wanatezeka sana kama wewe mkubwa wa taifa .......umasikini itaisha lini kaaaa chocho kama maghufuli wa tazania anatetea haki ya wanyonge ... mungu habariki watu masikini sana

  • @wambui4590

    @wambui4590

    4 жыл бұрын

    @@elizabethkkerubokerubo6421 si unaona wa Tanzania wamepewa freedom ya kujilinda? This should be personal responsibility. Kwani utalazimisha watu wazima na akili zao

  • @tracystacy4033
    @tracystacy40334 жыл бұрын

    If you people you follow simple instructions no one will teargass at you but becoz of kichwa ngumu kuleni hizo teargas kabisa na mjuwe mnangojewa mbagathi kwenda kulazwa for 2months ndio urecove am ukufe👐

  • @hannahjesia1376

    @hannahjesia1376

    4 жыл бұрын

    U pple don't think with ur heads hawa watu wametoka kazini mbona wakubwa wao wasifikirie kuwatoa mapema maskini hana usemi akisema Kazi hamna familia yake ile wapi tukue realistic sometimes

  • @rodaahmed1024

    @rodaahmed1024

    4 жыл бұрын

    If you don't the what is happening just shut up bcz ur in house full of food while this people looking for something to eat

  • @lammylameck6145

    @lammylameck6145

    4 жыл бұрын

    Msenge wewe, usidhani Kama unacho Kila mtu anayo..ungejua kitu nmepitia apo ferry ungenyamaza.naive slayqueen

  • @lammylameck6145

    @lammylameck6145

    4 жыл бұрын

    Msenge wewe, usidhani Kama unacho Kila mtu anayo..ungejua kitu nmepitia apo ferry ungenyamaza.naive slayqueen

  • @evansouma9694

    @evansouma9694

    4 жыл бұрын

    I wish my government should do something to this ferry movement in and out and everyone in the ferry should be given a protective gear because like I see it is going to be Corona virus trap and soon we may record the fist Africa nation with the highest infected and deaths record, second to our citizens please let's try the total lock down by our self's let's avoid the unnecessary movements lets restrict our selves and try to change our lifestyles, live with the very little we have and keep to the health rules and soon we will get life back or have the hard back and we all perish thirdly to the police and security you need to be more absorbent to citizens because when you collect people together in the name of kachini + the teagas what population do you expect to aquare the virus am not saying the virus is on the streets but who knows I don't mean mu bembelezane wakenya but consider the situations or else get ready to collect bodies for burials soon because even the innocent are going to get into the trap of Corona virus beside his/ her initial self precosion's because with the rungus and your roughness the keep distance rule has no chance instade you are pushing Kenyans from fraying pan into the fire in the name of helping stop the the spread. May God bring solution protection to Kenya and may God help the world

  • @romadanromadan4398
    @romadanromadan43984 жыл бұрын

    KENYAN TUKO nyuma Sana sikama hukumu ya WAARABU hakuna Mtu ame chepwa serekali YETU duni Sana kunyanyasana sivizuri

  • @lillianak7885

    @lillianak7885

    4 жыл бұрын

    Kwa sababu wakenya ni vichwa gumu

  • @miagielangoi3272
    @miagielangoi32724 жыл бұрын

    Mkianza kufa kama mande mnaanza kunyooshea kdole serikali

  • @saveodenyo2931

    @saveodenyo2931

    4 жыл бұрын

    Langoi yu are wrong. The government ought have first directed empkoyers to close offices by 2 or worse 3.

  • @alfredmakau3266

    @alfredmakau3266

    4 жыл бұрын

    @@saveodenyo2931 let them even b told 23 00 they won't appreciate

  • @constancesau7499
    @constancesau74994 жыл бұрын

    People should respect President's orders ....hao watu wapigwe ..ndo watajua corona si mchezo

  • @mahmudmohammed8266

    @mahmudmohammed8266

    4 жыл бұрын

    constance sau ingekua in familia yako ungeongea hivyo

  • @josephmacharia8102
    @josephmacharia81024 жыл бұрын

    Uhuru is a stupid president bona watu wanapigwa kwani wamekuwa mbwa ???? Hawana makosa ya kupigwa

  • @missttruth1334

    @missttruth1334

    4 жыл бұрын

    Joseph Macharia ...Uhuru ako hapo akiwapiga hao watu??

  • @josephmacharia8102

    @josephmacharia8102

    4 жыл бұрын

    @@missttruth1334 authority came from him and its very bad to give out such authority and the same people are the one who elected him so he has to think trice and look for other mean of controlling corona sio kusema GSU wapige watu.

  • @missttruth1334

    @missttruth1334

    4 жыл бұрын

    Joseph Macharia ....He said everybody to be at home from 7-5 and is a curfew!!...it’s high time now people have to follow instructions or face it!!Because of stupid politics,they think president is one of those guys politicking everyday..he’s very serious about this!!because if said about lockdown for two weeks,u will start complaining,now he a favour by reducing times and see the same people complaining!!..GSU are on duty,people have to choose now!!...Kenya has got two or three hospitals for Coronavirus quarantines!!so we cannot afford it!!..watandikwe!!

  • @francisngaruiya

    @francisngaruiya

    4 жыл бұрын

    Miss Truth....hii virus is very educated. It spreads at night and goes to sleep during the day.