Tazama bondia Mtanzania, Ibrahim Class alivyomlambisha mchanga Mzimbabwe Ndodana Ncube kwenye pambano la ngumi lililofanyika Mkwakwani #anganwadi
Жүктеу.....
Пікірлер: 80
@naimabdul123110 ай бұрын
Ibrahim big up wewe ndio mwamba wa tanzania
@raphaelkanoni3453 Жыл бұрын
Duh huyu Ibra ni fire 🔥 aisee. Naona Kuna wakati anatumia defence ya Kibega Kama ya Mayweather 💪
@hassanparamana2215 Жыл бұрын
eti tank limetoboka, upepo umekata ule mpaka anakumbatia sema Ibra alikuwa anamkataa big up the classic 🔥👏💪🇹🇿🇦🇪
@shabanijuma2085 Жыл бұрын
Sema mdogo wangu hiyo gad ni nzuri kwa mtu mvivu kupiga Ngumi mtu mwenye kupiga Ngumi nyingi ata kuuwa . Maana muda mrefu adai atàkushambulia sema safi ngoja zawadi Yako.
@immahjr.4622 Жыл бұрын
Huyu ndodana ni bondia kwel kwel Kaz nzur ibraah 🇹🇿🇹🇿❤️🦁
@emmanuelaloyce932 Жыл бұрын
Watanzania tupo vizuri sana kwa upande wa boxing ,nadhani serikali ifanye kuinvest upande huu 🙏🙏🙏
@upendosteven6733
Жыл бұрын
Hatuna lolote zaidi ya sifa na bifu
@upendosteven6733 Жыл бұрын
Tatizo Tanzania mnachagua mabondia dhaifu ndio shida moja kingine hatuna utu Wala bondia wetu hawathamini kesho mgeni anakuja kwetu unampiga bado unamzomea sio vizuri huo sio mchezo watatukataa kuja kwetu tuwe na utu kiasi kingine tumuweke Mungu mbele Ila bondia wanaenda kwa waganga Sana
@ommywatanga8759 Жыл бұрын
Ila SEMA nini mpinzani nae anajuwa nimisteki2 zamchezo ameonyesha uwezo,Rispect kwa ibra kazikazi mwamba mchezo ulikuwa mzuri sana mabondia wote wamepambana japo tulikuwa tunamtafuta mshindi
Kwani ibrah alipigana na mwakinyo? Kila mtu bora kwa uzito wake au unafikiri wanaokota tu haya ww na ww mkapigane kuwa na akili
@benjamachimo6424
Жыл бұрын
Nakubali
@samwelimadaha767 Жыл бұрын
Pambano Zurich, mambondia walijiandaa na wana mazoezi.. NB. Azam hapa hamjatundea haki, mnatuwekea hadi wana badilisha gloves zimefunguka wanafunga tena sek 15, mnakula MB zetu bila ulazima. Summary nzuri sio ndefu, ila ina matukio muhimu na inaeleweka.. Tujariane basi gharama za Internet na bundle ... Kwa sauti ya wananchi..
@paulokiruwa9879 Жыл бұрын
Team mandonga
@shukumsonge7931 Жыл бұрын
wakiduku ndo no 1
@mohamedingoto786 Жыл бұрын
Fundi nakubali mzik wa uyujomba ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥👊👊👊
@mfalmemmoja4145 Жыл бұрын
Huyo MC hajui , hana ladha kabiisa yakuendesha shughuli za ngumi, Tanzania ina watu wengi wenye vipaji ila huyu amezorota sana. ABADILISHWE
@yakobomchete820 Жыл бұрын
Jombaa na ww omba game utoke nje ya nchi
@abdulsintoro5797 Жыл бұрын
Lkn m zibabwe nae yupo vizuri kutoboa rounds 8 na Ibrahim
@ShaqueeBlackrapper Жыл бұрын
Ibrahim class super talented
@alexkobe2195
Жыл бұрын
Kak unajitahidi sana
@shabanijuma2085 Жыл бұрын
Mdogo wangu wakati wote aniangushi ntakufurahisha nizichangachanga nikutafutie zawadi .utakayokuwa ukinikimbuka ktk maisha Yako.Classic Maweeeee.
@user-cb5lr7ct8s4 ай бұрын
😮kabebwa
@mropeamadeus54 Жыл бұрын
Fundi mtulivu sana big up
@tumainichapaulinje2775 Жыл бұрын
Team ibra
@denispeter9663 Жыл бұрын
Kongole class ibra
@cmb6342 Жыл бұрын
Huwezi kumfananisha mwakinyo nà bondia yeyote wew
@mkanulamajid500 Жыл бұрын
Hongera Sana endelea kutembeza kpg
@ibraabuemu9231 Жыл бұрын
Hongera
@naomimbise-zp1xm8 ай бұрын
Nasikiliza mashabiki 😅
@johnmagoma5171 Жыл бұрын
du ngumi unaweza cheza vzur ila ukapigwa moja tu ukaanza kuona nyota
@samsonhenry3871 Жыл бұрын
Ibra ana sanaa ya ngumi, hatumii nguvu sana, ila akili
@user-cb5lr7ct8s4 ай бұрын
Kwaza amesukuma alafu marefarr wetu hamna kit
@husseinkonz5192 Жыл бұрын
Ibrah Yupo Vzr
@sakhashboy1005 Жыл бұрын
Ila jamaa kapambana sana isipokua kama ngumi zake hazikua na nguvu sana
@lindasonmisuko Жыл бұрын
Jamaa ni km meiweza ndo mana amemuweza
@rashidikapilima-qi4no8 ай бұрын
Akuna muhehe fara
@saidmailo8491 Жыл бұрын
Ibrahim poa sana mawe maweeèeee
@randhamisi8691 Жыл бұрын
Ila mwamba alieshindwa ana jua sana ila ana matunzo tu
@allymwazoa8750 Жыл бұрын
Kama watu wangejua kua class alitoka kwenye drip dakika chache kabla ya pambano baada yakudondoka chumbani hata wasingekua na matumaini makubwa na Amani kiasi hiki.Kweli pambano lina mambo mengi sana
@RashidKitumbo Жыл бұрын
hizi sasa ndio ngumu
@abdallahahmed2776 Жыл бұрын
Ibra yuko vizuri ila watangazaji akipigwa ibra hamuongei mpaka apige yy ndio waseme ngumi nzuri haitakiwi hivi
@upendosteven6733
Жыл бұрын
Nimekukubali ata Mimi ni mtnznia Ila Tanzania tunapenda sifa za kijinga Sana ndio pia wanachaguliwa mabondia dhaifu ndio wanaletewa
@smartboyeze2190 Жыл бұрын
Kamanda!
@user-ot2io4cy6w Жыл бұрын
Huyu Ibra anapigana kama Mayweather daaadeq....
@abdallahsaidy4600 Жыл бұрын
Nmkubl san ibr
@nancykagera9197 Жыл бұрын
Huyu jamaa namjua sio mzimbabwe sema maisha tu kaona Bora atokee mbali uwenda anaweza akatoa maisha.
@shadrackkassale2968
Жыл бұрын
Ni wawapi
@nancykagera9197
Жыл бұрын
@@shadrackkassale2968 just kidding ndugu yangu
@erichemily4890 Жыл бұрын
Wachambuzi WA boxing hamna kitu tz
@shadrackkassale2968 Жыл бұрын
Aliyevaa cap 🧢 nyeupe na t shirt nyeupe Kwa mashabiki ni dula mbabe au ni macho yachu
@hancemadhubuti2149 Жыл бұрын
Fauro ni nying ibrahmu kacheza huu ujinga atufk mbali ngumi za mchongo
@ayubuamsonjr9437 Жыл бұрын
Kila siku tanzqnia inashinda siku nyngine mpigwagwe bhna khaaa😅 tunachoka sasa kuwashangilia
Пікірлер: 80
Ibrahim big up wewe ndio mwamba wa tanzania
Duh huyu Ibra ni fire 🔥 aisee. Naona Kuna wakati anatumia defence ya Kibega Kama ya Mayweather 💪
eti tank limetoboka, upepo umekata ule mpaka anakumbatia sema Ibra alikuwa anamkataa big up the classic 🔥👏💪🇹🇿🇦🇪
Sema mdogo wangu hiyo gad ni nzuri kwa mtu mvivu kupiga Ngumi mtu mwenye kupiga Ngumi nyingi ata kuuwa . Maana muda mrefu adai atàkushambulia sema safi ngoja zawadi Yako.
Huyu ndodana ni bondia kwel kwel Kaz nzur ibraah 🇹🇿🇹🇿❤️🦁
Watanzania tupo vizuri sana kwa upande wa boxing ,nadhani serikali ifanye kuinvest upande huu 🙏🙏🙏
@upendosteven6733
Жыл бұрын
Hatuna lolote zaidi ya sifa na bifu
Tatizo Tanzania mnachagua mabondia dhaifu ndio shida moja kingine hatuna utu Wala bondia wetu hawathamini kesho mgeni anakuja kwetu unampiga bado unamzomea sio vizuri huo sio mchezo watatukataa kuja kwetu tuwe na utu kiasi kingine tumuweke Mungu mbele Ila bondia wanaenda kwa waganga Sana
Ila SEMA nini mpinzani nae anajuwa nimisteki2 zamchezo ameonyesha uwezo,Rispect kwa ibra kazikazi mwamba mchezo ulikuwa mzuri sana mabondia wote wamepambana japo tulikuwa tunamtafuta mshindi
Mwakinyo ndo namba moja tz yule mwamba anajuwa wew achen ushabiki
@mrsmumewangu4907
Жыл бұрын
Namba moja kwako ww sio kwatanzania peleka ushoga wkm mbere uk
@deusdeditphilipo4298
Жыл бұрын
Mwakinyo hapo katokea wapi ww , apigane tuone sio kuleta taarabu
@farhatothman3710
Жыл бұрын
Han ukali wowote mbn kamkmbia kiduku
@jofreyboni8027
Жыл бұрын
Kwani ibrah alipigana na mwakinyo? Kila mtu bora kwa uzito wake au unafikiri wanaokota tu haya ww na ww mkapigane kuwa na akili
@benjamachimo6424
Жыл бұрын
Nakubali
Pambano Zurich, mambondia walijiandaa na wana mazoezi.. NB. Azam hapa hamjatundea haki, mnatuwekea hadi wana badilisha gloves zimefunguka wanafunga tena sek 15, mnakula MB zetu bila ulazima. Summary nzuri sio ndefu, ila ina matukio muhimu na inaeleweka.. Tujariane basi gharama za Internet na bundle ... Kwa sauti ya wananchi..
Team mandonga
wakiduku ndo no 1
Fundi nakubali mzik wa uyujomba ni🔥🔥🔥🔥🔥🔥👊👊👊
Huyo MC hajui , hana ladha kabiisa yakuendesha shughuli za ngumi, Tanzania ina watu wengi wenye vipaji ila huyu amezorota sana. ABADILISHWE
Jombaa na ww omba game utoke nje ya nchi
Lkn m zibabwe nae yupo vizuri kutoboa rounds 8 na Ibrahim
Ibrahim class super talented
@alexkobe2195
Жыл бұрын
Kak unajitahidi sana
Mdogo wangu wakati wote aniangushi ntakufurahisha nizichangachanga nikutafutie zawadi .utakayokuwa ukinikimbuka ktk maisha Yako.Classic Maweeeee.
😮kabebwa
Fundi mtulivu sana big up
Team ibra
Kongole class ibra
Huwezi kumfananisha mwakinyo nà bondia yeyote wew
Hongera Sana endelea kutembeza kpg
Hongera
Nasikiliza mashabiki 😅
du ngumi unaweza cheza vzur ila ukapigwa moja tu ukaanza kuona nyota
Ibra ana sanaa ya ngumi, hatumii nguvu sana, ila akili
Kwaza amesukuma alafu marefarr wetu hamna kit
Ibrah Yupo Vzr
Ila jamaa kapambana sana isipokua kama ngumi zake hazikua na nguvu sana
Jamaa ni km meiweza ndo mana amemuweza
Akuna muhehe fara
Ibrahim poa sana mawe maweeèeee
Ila mwamba alieshindwa ana jua sana ila ana matunzo tu
Kama watu wangejua kua class alitoka kwenye drip dakika chache kabla ya pambano baada yakudondoka chumbani hata wasingekua na matumaini makubwa na Amani kiasi hiki.Kweli pambano lina mambo mengi sana
hizi sasa ndio ngumu
Ibra yuko vizuri ila watangazaji akipigwa ibra hamuongei mpaka apige yy ndio waseme ngumi nzuri haitakiwi hivi
@upendosteven6733
Жыл бұрын
Nimekukubali ata Mimi ni mtnznia Ila Tanzania tunapenda sifa za kijinga Sana ndio pia wanachaguliwa mabondia dhaifu ndio wanaletewa
Kamanda!
Huyu Ibra anapigana kama Mayweather daaadeq....
Nmkubl san ibr
Huyu jamaa namjua sio mzimbabwe sema maisha tu kaona Bora atokee mbali uwenda anaweza akatoa maisha.
@shadrackkassale2968
Жыл бұрын
Ni wawapi
@nancykagera9197
Жыл бұрын
@@shadrackkassale2968 just kidding ndugu yangu
Wachambuzi WA boxing hamna kitu tz
Aliyevaa cap 🧢 nyeupe na t shirt nyeupe Kwa mashabiki ni dula mbabe au ni macho yachu
Fauro ni nying ibrahmu kacheza huu ujinga atufk mbali ngumi za mchongo
Kila siku tanzqnia inashinda siku nyngine mpigwagwe bhna khaaa😅 tunachoka sasa kuwashangilia
@emmanuelakutulaga9756
Жыл бұрын
Mandonga ndio Huwa anapigwa.
Ibra saf
Mmalawi kazidiwa pumzi tu mwishoni
@christophertz
Жыл бұрын
Mzimbabwe
@shadrackkassale2968
Жыл бұрын
Mmalawi hapo n mpiga picha au
mbona mwakinyo kimyaaaaaaaaaaaaaaaa
kzread.info/dash/bejne/oYiMwcmzZaWqnpM.html ibraah classic USHINDI mnono mashabiki furaha 😀😀😀💪🏻💪🏻
@VannyJrTv435
Жыл бұрын
Gusa link
Mwana upepo umekata 🤣🤣
Makwinyo muuza pambana boya tu
bongo nyoso
Mbona pambano mnalichambua upande wa classic tu
Ibrahim class wewe ni bingwa wa nchi hatumjui mwakinyo
@mrsmumewangu4907
Жыл бұрын
Nanaaa maakinyo choko tu
*Haina longo longo*
@rashidikapilima-qi4no
8 ай бұрын
Akuna muhehe fala
Faulo ni nyingi sana Kwa Ibra marefarii wa kibongo mnaonyesha kabisa udhaifu jaribu kuleta marefarii kutoka nje ya nchi
bro wa migold nakuona unajtupia kama #tipein
Nakubari babu
@majidseif8750
Жыл бұрын
Kanyaga babu
kzread.info/dash/bejne/dGV_k8ODYpzIZ9I.html sikuping mwanang
Jamaa ni km meiweza ndo mana amemuweza