NEY WA MITEGO AFUNGUKA CHANZO CHA KUTOKUWA KARIBU NA DIAMOND/ AWEKA MAMBO WAZI/ SITAKI TEAM

Тәжірибелік нұсқаулар және стиль

Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Пікірлер: 16

  • @bennyframa4505
    @bennyframa4505Ай бұрын

    Sema hawa madogo wana Talent wanaweza kuziba mapengo ya wakina Dullah! Wana great Pottential! All the best

  • @user-hu9bf7nw4c
    @user-hu9bf7nw4cАй бұрын

    Hio nyimbo walipga fresh ,yaan wakirud pamja kwa mtindo huo ,watafika mbali sana Zaid walipo Sasa na watakosha mashabiki wengi

  • @AlfroLyd
    @AlfroLydАй бұрын

    Chemistry ya DIAMOND PLATINUMZ Na NEY ilikuwa Kali Sana Na wakirudi Tena pamoja ineza kuwa fresh Sana sababu NEY Kweli ana kipaji kweli

  • @manp9091
    @manp9091Ай бұрын

    Patamu apo waachie mawe ayo

  • @osmankhoke254
    @osmankhoke254Ай бұрын

    Duu Richie ako na sauty ya utangazji na vibe kwa snaa 2

  • @johnmwandu2116
    @johnmwandu2116Ай бұрын

    Ww dogo ambae upo km anchor, unashida gan na vivanja vyako, hutuliagi, pekechapekecha muda woote, nilikuona kuanzia kwenye interview ya

  • @Official_bizedd
    @Official_bizeddАй бұрын

    Mala bange mala matusi sa ndo mziki ganiu Hi ni hip,hoo nanananan malafiki wa nyumban Daah collabo nzuri sana rudin tena ila sasa mond kuna ka msitar Kwamba hiyo michezo yenu ya kutoboa pua chaajabu yee ndo katoboa.

  • @Jumamussa.-gm1eo
    @Jumamussa.-gm1eoАй бұрын

    We mwamba unaongeaga vibaya afu mjuaji sana na nguo zako nyeusii

  • @MonarqueMso-YaJr370
    @MonarqueMso-YaJr370Ай бұрын

    Hm!!😮

  • @officialhansi4462
    @officialhansi4462Ай бұрын

    😅

  • @natanaelsantos5286
    @natanaelsantos5286Ай бұрын

    COMEÇAM LOGOO

  • @trofinlyimo3520

    @trofinlyimo3520

    Ай бұрын

    Ney ni true boy bhnaaaaaa

  • @anolddavid2585
    @anolddavid2585Ай бұрын

    week nzima mnamuongoloea Diamond, kwel mond ni staa aisee

  • @IbniAbbas-yz3kt

    @IbniAbbas-yz3kt

    Ай бұрын

    Kwani wee ndo unajua leo kuwa Mond ni staa au kipindi chote hicho ulikuwa kuzimu nn

  • @daylight1707

    @daylight1707

    Ай бұрын

    😂😂😂😂​ Tobaa@@IbniAbbas-yz3kt

Келесі