Nay Wa Mitego Ft Dora Boy - Amkeni (Official Music Video Lyrics)

Музыка

The Song Produced By Chiby Beats
Video Shoot By Mr.Azalia
Script By Frank Kibonge
Graphic By Jes
Make up Salms
Location By Kellv
Stream/Download:linktr.ee/naywamitego
Listen to Nay Wa Mitego on Digital Streaming:
Audiomack:audiomack.com/naywamitego
Apple Music: / nay-wa-mitego
Boomplay:www.boomplay.com/share/artist...
KZread: / @naywamiteg
Spotify:open.spotify.com/artist/3P97o...
Connect Nay Wa Mitego on Social Media:
Instagram: / naytrueboytz
Facebook: / naywamitego
Twitter: / naythetrueboy
©2023 Free Nation.All rights reserved.
#NayWamitego #Amkeni

Пікірлер: 11 000

  • @lvanyDaniel_pw7kk
    @lvanyDaniel_pw7kk Жыл бұрын

    Ambao tume rudia zaidi ya mala 10 huu wimbo tujuane 🙏🏿

  • @fredbasil361

    @fredbasil361

    Жыл бұрын

    Dah😢

  • @godwinvicent

    @godwinvicent

    Жыл бұрын

    2po mzee kwanza tumekusanyika saiv tunasikiliza jamaa anajua

  • @RojazTz

    @RojazTz

    Жыл бұрын

    ✌️vidole viwilijuuu

  • @kingandreki7979

    @kingandreki7979

    Жыл бұрын

    🔥🔥✊🏿

  • @methodkihoo9826

    @methodkihoo9826

    Жыл бұрын

    😥😥

  • @rehemamichael1120
    @rehemamichael1120 Жыл бұрын

    Kama wamkubali sana gonga like hapa🥰☺️☺️

  • @user-hb8eg4lp6x

    @user-hb8eg4lp6x

    Жыл бұрын

    Rais good job kabisa 💯 dope 🔥

  • @officialmanji4438

    @officialmanji4438

    Жыл бұрын

    😅😢

  • @pascalgilla1282

    @pascalgilla1282

    Жыл бұрын

    Amkeni

  • @elidabill2970

    @elidabill2970

    Жыл бұрын

    Sanaaa

  • @SambaJay_

    @SambaJay_

    Жыл бұрын

    Kanitoa uoga pia mimi 🤫🤫👉🏿👉🏿kzread.info/dash/bejne/iKGB1diNZtXHnbw.html

  • @johncharles5450
    @johncharles545010 ай бұрын

    Tuliokuja baada ya ney kufunguliwa kesi ya mchongo ya uchochezi, gonga like hapa

  • @selphersimiyu
    @selphersimiyu5 ай бұрын

    Mungu mpe huyu msani maisha marefu my top mentor like za 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @neemagabrieli-ff4mq
    @neemagabrieli-ff4mq Жыл бұрын

    Kama mnamkubali ney kama mimi like hapa wadau👍👍👍👍👍

  • @khalidlubao1980

    @khalidlubao1980

    10 ай бұрын

    Ana baya 💯💯💯

  • @YonaJames-pb9sg

    @YonaJames-pb9sg

    10 ай бұрын

    Nimekuelewa mwamba

  • @noahmasasi3574
    @noahmasasi3574 Жыл бұрын

    Huyu ndio Ney wa mitego nayemjua Mimi. Kama umwelewa jamaa gonga like twende sawa #AMKENI

  • @Trolley2023
    @Trolley20239 ай бұрын

    Hii wimbo inatuhusu sana huku Kenya kuwaliko Tz...rais mtalii,wabunge akili ndogo, meli lazama ila hakuna anayeona. Afrika mashariki tuamke!!!!

  • @nairobitv6161
    @nairobitv616110 ай бұрын

    Hii ngoma nimeikuta inapigwa kwenye daladala. Abiria wote kimya ... Wengine wakionesha nyuso za kuuzunika....duu. Ney for Hip hop

  • @dennisngugi9727
    @dennisngugi972711 ай бұрын

    I have realized that what is ailing tz ails Kenya too. Bad leadership will cost us dearly. Nay continue speaking what we can't because we don't have a platform like yours. From Ke with love

  • @shahadaushindi7745
    @shahadaushindi7745 Жыл бұрын

    Tumchangie nay, jamani tusiishie kumsifia tu sisi sote hata elfu 10, 10 tu wote tuliokoment humu. Kazi, hii ni nzuri mno. Watu wamekalia upuuzi tu hawa ndiyo wasanii wanaohitajika. Mzalendo ni msema kweli kwa ajili ya nchi yake. Nay hana ubinafsi amezaliwa kwa masilai ya taifa lote. Sio hao wanaimba kusifia upuuzi tu. Wasanii ni Roma na Nay wanastahili kiwa washauri wa raisi

  • @user-hj4cw5mv1m
    @user-hj4cw5mv1m6 ай бұрын

    Kichwa cha huyu jamaa ni zaidi ya dhahabu, yani kuna mijitu inajiita misomi kumbe mavi matupu ila kichwa hiki kina fikra za juu sana, zaidi ya wenye phd, big up Ney wa mitego Mungu akulinde na uishi miaka buku.

  • @johnmwandu2116
    @johnmwandu211610 ай бұрын

    Tuliorudia baada ya mwamba kuitwa Centro tujuane❤❤

  • @toiletboy2986
    @toiletboy298611 ай бұрын

    I'm Kenya 🇰🇪 and i really listen to this Man.. Glad to be alive in his era💯💯💯💯💯💯💯

  • @prochcare2557
    @prochcare2557 Жыл бұрын

    Mwamba kajitoa sana...true artist...true vision...true heart...true struggle...mzalendo halisi...

  • @dave_karter
    @dave_karter10 ай бұрын

    Every African country needs Nay.

  • @maburukimazima8056
    @maburukimazima80565 ай бұрын

    Kulingana na Sauti nzito Ya Raisi wa kitaa hafai kuimba nyimbo za kuburudisha yeye ni special mtetezi wa wanyonge Big up the True boy much love from Kenya.

  • @maishacenter-eastafricatv3976
    @maishacenter-eastafricatv3976 Жыл бұрын

    Ndiyo maana mnaambiwa muwage na akiba ya maneno, wewe Nay ulikuwa ukimpinga Sana huyo John, sisi tunawambia Africa hakujawahi kuwa na kiongozi kama Magufuli na hatutegemei kumpata soon!! Any way go on, keep shining

  • @budaboss8109
    @budaboss8109 Жыл бұрын

    Jaman kama umeskiza huu wimbo zaidi ya mara 1 gonga like 2pac wa bongo huyu hapa

  • @bushsutimeline766
    @bushsutimeline76610 ай бұрын

    Afrika tuna matayizo this song isn't for TZ only but all African big up ...Ney wamitego much respect bro

  • @user-cr1nk1zc5s
    @user-cr1nk1zc5s9 ай бұрын

    Huyu kaka Ndo mfano wa KIOOO CHA JAMAIII 😍😍🙏🏽🙏🏽🙌🏽😱😱😱😱🙏🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽

  • @patriqomubritish1459
    @patriqomubritish1459 Жыл бұрын

    Ama Kwa kweli wanadamu hawapendi kuambiwa ukweli.Yani kwa wimbo huu Basata umewakera kumbe!!!Bonge la hit song🔥👏👏👏,kutoka Nairobi.....nakupa shavu mkuu.Uko juu

  • @stevenkapenulo474
    @stevenkapenulo474 Жыл бұрын

    Watoa tuzo za nyimbo msiwe mnaogopa kuwapa tuzo watu kama hawa wanaoongelea ukwl,msikalie tu amapiano zenye zimejaa ujumbe wa mapenzi tu nay ww ni mwamba sana👏👏

  • @musasamwel5544

    @musasamwel5544

    Жыл бұрын

    Uhakika

  • @hamismohamed3541

    @hamismohamed3541

    Жыл бұрын

    Hawawez kaka coz hata hao wenyewe ni mamluki tu hapo

  • @fredpaulo5816

    @fredpaulo5816

    Жыл бұрын

    Watoe Tuzo kwanza cjui mpka kesho kma itakuwa bdo haijafungwaa

  • @barakaelkaaya40

    @barakaelkaaya40

    Жыл бұрын

    Kabisa...umenena

  • @RuthKuria-qs9vq

    @RuthKuria-qs9vq

    Жыл бұрын

    Tatizo la wa Africa ukimponda mtu ukweli anawa adui yetu

  • @jamesmasesi9042
    @jamesmasesi904211 ай бұрын

    Wimbo mzuri sana, huku kwetu Kenya wasanii wanasifu pombe na wanawake...Nay amia huku kwetu Kenya utuamshie viongozi wetu

  • @shabanisiku8827
    @shabanisiku882710 ай бұрын

    This song is for all African Blind Leaders thank you Ney Rais wa Kitaa D. R. Congo 🇨🇩 ❤

  • @esthermakola9041
    @esthermakola9041 Жыл бұрын

    Njoo huku Kenya 🇰🇪 , tunahitaji wimbo kama huu kwa viongozi wetu.. #wake up call to the African leaders

  • @evanslangat2701

    @evanslangat2701

    Жыл бұрын

    kwa hio hali ni ngumu kila mahali cc hapa kenya ndio tunaaribu zaidi 😢😢😢maandamano sio suluhisho🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @stivenjiduki6606
    @stivenjiduki6606 Жыл бұрын

    Huu wimbo wa hatarii zaidi ya hatari wakifika watanzania 150 tu wenye roho kama ya ney nchi inakombolewa🔥🔥✅

  • @user-oc7ju3nl2w

    @user-oc7ju3nl2w

    Жыл бұрын

    Mmmmh ney we nouma

  • @dianasimon9131

    @dianasimon9131

    Жыл бұрын

    Kabxa

  • @MbonimpayeEssau-fh1xb

    @MbonimpayeEssau-fh1xb

    Жыл бұрын

    Hakika,anawakilisha vema nafasi aliyo nayo kama Muimbaji mwenye Akili

  • @hadijambapa956

    @hadijambapa956

    Жыл бұрын

    Sana sema tumezidi uoga

  • @DianaMlongwa-oq5vt

    @DianaMlongwa-oq5vt

    Жыл бұрын

    Hakika

  • @jimmymwaringa864
    @jimmymwaringa8647 күн бұрын

    ONE MAN SOLDIER.....PIGANA USIOGOPE....UKITUOMBA KENYA TUTAKUJA KUKUSAIDIA........

  • @MunjalAMINA
    @MunjalAMINA16 күн бұрын

    Everything you are narrating here,us kenyas we put actions🇰🇪 Tanzania amkeni😢🇹🇿

  • @topaztz7601
    @topaztz7601 Жыл бұрын

    ishi Miaka Mingi Mzee Baba, Hii ndio Hiphop tunayoitaka Uhalisia mbele, hakuna kukumbatia mavi liwalo na liwe.. ishi miaka mingi..🇹🇿

  • @pckfoundation3710
    @pckfoundation3710 Жыл бұрын

    AMBAO mnakubali Kama huu wimbo Ni number one east africa tujuwane

  • @joelmwando6791
    @joelmwando679111 ай бұрын

    ❤❤Tamu sana. Ni sawa tu na Zakayo Wetu apa Kenya 🇰🇪 .

  • @ramzanrehman7254
    @ramzanrehman725418 күн бұрын

    Bro Bravo hawo waingine hawaku ezii ww ndio jeshi kamili salute you ndugu yangu more love and one love

  • @mpakaiwe10
    @mpakaiwe1011 ай бұрын

    Kama una amini mkoloni hajaondoka Afrika ame badirisha tu mfumo wa utawala gonga like tusonge mbele. AMKENI❤❤❤❤

  • @mathewmakwaya-zh3bk
    @mathewmakwaya-zh3bk Жыл бұрын

    Rais Maguful Alisema Anapenda kusema ukweli,Huyu Mwamba ni pacha ake Magu,,, katika kusema ukweli!! ,,, Mimi wa kwanza kukuombea uishi miaka yote Broo✍️😍

  • @fredrickmutunga2222
    @fredrickmutunga222211 ай бұрын

    Kazi ya mungu haina makosa.., ikikupendeza chukua na Hawa pia"😂😂😂😂much respect from Kenya

  • @ibohclassic962
    @ibohclassic96211 ай бұрын

    Dah😮, nime kubali Sana iyi, #Amkeni wa Tanzania

  • @filipejohnchuma1985
    @filipejohnchuma1985 Жыл бұрын

    Não consigo ficar 4 horas de tempo sem escutar a música viva Ney 👊 mais força 💪🇲🇿🇲🇿 peço pelo menos 10 likes para Ney 🔥

  • @jastinemwandobo2729
    @jastinemwandobo2729 Жыл бұрын

    Wapi waimba MAPIANO mje mjifunze nyimbo hapa big up brother ney japo ninahofu juu ya usalama wako ,,,nakukabidhi mikononi mwa bwana ameen

  • @selemankahabiemmanuel8807

    @selemankahabiemmanuel8807

    Жыл бұрын

    hiyo ndo maaan ya kujitoa muhanga long time ney kajitoa ssdaka kwa lolote

  • @digonzakeimbe8435

    @digonzakeimbe8435

    Жыл бұрын

    Hata na Mie nahofia Hilo😔😔Namuombea lkn..

  • @user-sj8uo2gw6o

    @user-sj8uo2gw6o

    Жыл бұрын

    Daaa❤ pamoja sana

  • @zachaamaster5378

    @zachaamaster5378

    Жыл бұрын

    #kweri kabisa sio Wana bwabwanya ovyo to kama wanaugua vifafa

  • @izmoo1835

    @izmoo1835

    Жыл бұрын

    Kwel kabisa

  • @AnuwaryHussein-xu9rb
    @AnuwaryHussein-xu9rb10 ай бұрын

    Daah! Hatar nchi inakoelekea tunaumia wanyonge wao wanakula bata kwa mlija bora mpaze saut tuokoe tanzania

  • @HabibuMaingu
    @HabibuMaingu5 ай бұрын

    Muziki wako utaishi vizazi na vizazi. Hata siku ukipumzika tutaongea sifa zako kinaga ubaga bila kutafuta kukusafisha. Historia itakukumbuka kama msanii asiyejipendekeza kwa viongozi na ambaye alijitenga na watesi akasimama upande wa haki. Mungu akubariki sana na atakayekutafuta kwa shari waziwazi au kisirisiri laani ikawe juu ya kichwa chake na familia yake. Nayaomba yote hata katika Jina la Yesu, amina.

  • @NeemaAloyce-ie3kk
    @NeemaAloyce-ie3kk Жыл бұрын

    Kazi ya Mungu haina makosa ikikupendeza chukuwa na hawa mkataba wa bandari usiishie bara peleka na Zanzibar hii imeenda tumpe maua yake🌹🥀🌷🥀🌹

  • @ismu112

    @ismu112

    Жыл бұрын

    Zanzibar mbona kitambo au hufuatilii umejaza chuki

  • @burumeglobal
    @burumeglobal Жыл бұрын

    Akili ndogo inaongoza akili kubwa... Punch line...huyu jamaa yuko vizuri... Wapi like za Nay ....

  • @johnstoneambula5920
    @johnstoneambula592010 ай бұрын

    Huo ni ukweli kabisa kaka na ukweli unauma.

  • @feli1384
    @feli138410 ай бұрын

    May God bless my Country TANZANIA 🙏🏽❤️

  • @user-xv2mw2xj3x
    @user-xv2mw2xj3x Жыл бұрын

    On my side let Ney wa mitego move on drops such a song at all ❤❤❤❤ ndo nyimboo tunazo ziitaji au nazo zipenda Kama mzalendo

  • @moshidongo
    @moshidongo Жыл бұрын

    Kuna Wanamuziki halafu kuna Mr Nay wa Mitego is just another level! ✊🏼🇹🇿

  • @teddyemmanuelyemailteddyemmanu

    @teddyemmanuelyemailteddyemmanu

    Жыл бұрын

    Kabisa

  • @TausiKiyungi-ec4qz

    @TausiKiyungi-ec4qz

    Жыл бұрын

    Kabisaaaaaaa

  • @danielfabmaina8000
    @danielfabmaina800011 ай бұрын

    Nay njoo Kenya baba utusemee nice song raisi wa kitaa very good 👍👍👍 the song have message

  • @rissaliz3417
    @rissaliz341710 ай бұрын

    Wakenya mko wangapi hapa🙋‍♂️😢😢😂😂

  • @AllyManjonjo-nw1ri
    @AllyManjonjo-nw1ri Жыл бұрын

    Ulimmchukua tujifuuunze au tupate kuhema,Ney true boy umenikosha mnoo

  • @Arnaud-JallenNsabiyumva-mj1nr
    @Arnaud-JallenNsabiyumva-mj1nr Жыл бұрын

    I'm from Burundi but trust me this song is for all African Countries ,⚡🇧🇮 big up xana Ney right kama all Presidents wangeusikiliza vizuri . Nay kwel True Bwoy , au sio jamani???

  • @rashidymussa1320

    @rashidymussa1320

    Жыл бұрын

    Sure

  • @ahmadbilal3855

    @ahmadbilal3855

    Жыл бұрын

    True spesal for all Africa country

  • @rev.barakamwamsojotv9489

    @rev.barakamwamsojotv9489

    Жыл бұрын

    You went so far for sure

  • @upendoreuben4617

    @upendoreuben4617

    Жыл бұрын

    Dah ! This song.. balaa nimesikiliza mara 6 .. and way keep it up brow hata waseme nn ukweli utabaki ukweli na massage sent ... Big up.. I love the song

  • @DeeMatara
    @DeeMatara8 ай бұрын

    The Tanzanian gorvernment should allow this song to be played all over the country. Banning it simply means that those politicians don't want to be told the truth about their failures. This song is a masterpiece!!

  • @user-dj6nw9iq1w
    @user-dj6nw9iq1w9 ай бұрын

    salute mr president naomba mungu ndoto ya watanzania juu yako iwe kweli mungu akulinde na hasadi mkuu ipo siku utakuja kuliongoza taifa hili weka nia hakuna linaloshindikana kwake mungu

  • @Inzaghi809
    @Inzaghi809 Жыл бұрын

    Uyu njo mwana muziki uwache wengini wama piano nanyimbo zakichoga na umalaya.Big up brother ney tunakuskiliza kutoka Canada.Inabidi upewe heshima kwa nyimbo zako❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @agogomgagagigigogo

    @agogomgagagigigogo

    Жыл бұрын

    Hata umsifieje ndg yang na hakuna asiyemsifia hata wasiojua mziki huwa wanamsifia kini cha kujiuliza tulimuunga mkono lini ili awe na jina na pesa kuwazidi akina Mondi,hawa ndo walipaswa wawe matajiri kini cc eti tunawakubali kwny comment tu kini kununua kazi zao hapana afu tunajifanya tunamkubali kati ni unafiki tu ,ambao tunawaponda kila uchao wanazidi kuwa matajiri kwa amapiano hizohizo

  • @user-ou9dr9up6z

    @user-ou9dr9up6z

    Жыл бұрын

    👍👍👍👍💪🏿💪🏿✌️

  • @MkaliWagoka-bz6im

    @MkaliWagoka-bz6im

    Жыл бұрын

    Wengi wetu hatupendi Muziki wa kufundishaa,,Tunataka matusiiii,,,Saluti Sana kwako Ney

  • @jumaraha
    @jumaraha Жыл бұрын

    True boy in the building -👍 bip up bro...wapi lyk za 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @musamulongo
    @musamulongo9 ай бұрын

    Nay wa mitego big up sana this song manze umetok reality .

  • @Fabianielihaj
    @Fabianielihaj4 ай бұрын

    Tujuane wale bado tunasikiza huu wimbo

  • @MwazambaMicro-pi4fj
    @MwazambaMicro-pi4fj Жыл бұрын

    Nimependa,kazi ya Mungu haina makosa kumchukua magu ikimpendeza Mungu achukue na Hawa waliosalia🎉

  • @lizzyshirima3601

    @lizzyshirima3601

    Жыл бұрын

    me nangoja miujiza ya mwamposa

  • @KasigwaMakubo-fo5ud
    @KasigwaMakubo-fo5ud Жыл бұрын

    Wimbo mzuri na wenye wa maana halisi ya maisha yetu ndani ya nchi yetu Tanzania.Big up @Ney

  • @evodiusmwombeki9247

    @evodiusmwombeki9247

    Жыл бұрын

    Wakola muno

  • @rabielkaaya3764

    @rabielkaaya3764

    Жыл бұрын

    🤝🤝

  • @maase2023

    @maase2023

    11 ай бұрын

    Huyu wimbo hana ila ana mashairi ya uchochezi tu kwa kuwa hana kitu kingine cha kumtangaza

  • @shakilayusuf7802
    @shakilayusuf780211 ай бұрын

    Shukran Nay kwa kuwakilisha maoni na kupaza sauti za Wa afrika wanyonge hususan hapa kwetu Kenya.Umetoa picha kamili ya hapa Kenya,huo ndio usanii,endelea kuwa kioo chetu ,Umri mpevu nakuombea.Zidi kugonga ndipo kwa ujasiri na ukunguru usikinyemelee daima.

  • @sokikambale8327
    @sokikambale832710 ай бұрын

    Spitting nothing but the truth WAKEUP WAKEUP KUMEKUCHA💥💥💥💥,,,,,, politicians are the enemy of the people,,,,hii ni moto 🔥🔥

  • @wilfredelimeleki4543
    @wilfredelimeleki4543 Жыл бұрын

    sioni sababu ya kuufungia huu wimbo.Kama kasema ukweli,shida ipo wapi? serikali msipende kusifiwa tu ,ukweli ni kwamba,anaeongoza nchi uwezo mdogo

  • @eliudelias3162
    @eliudelias3162 Жыл бұрын

    Kama umerudia kuisikiliza hii Ngoma gonga like tuendelee kusikiliza mzic mtamu achana na nyimbo zingine uchwara Ney na Roma ndio wasanii wa wawananchi

  • @iddygondwe234

    @iddygondwe234

    Жыл бұрын

    sanaaaaaa baba

  • @iddygondwe234

    @iddygondwe234

    Жыл бұрын

    nimesikiliza hadi gaji imeisha nimetumia 1GB.

  • @kulwajm

    @kulwajm

    Жыл бұрын

    Umetishaa😝😝😝😝😝

  • @mkshacahkashipwe5151
    @mkshacahkashipwe51519 ай бұрын

    Nimeurudia hapa KZread kusikiliza huu wimbo sijui hii ni mala40😂🎶 🎵 💖 ❤

  • @user-bi9pn1pm8z

    @user-bi9pn1pm8z

    9 ай бұрын

    Nipo na wewe ❤

  • @user-vy3zg5pb1o
    @user-vy3zg5pb1o11 ай бұрын

    Nay moja kwa moja peponi 😂😂😂😂msanii wa kipekeeee Africa nzima 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @sacdiyamohammed134
    @sacdiyamohammed134 Жыл бұрын

    🔥 🔥 🔥 😊 Mara 10 na sichoki 😮

  • @user-xl3mh7gu6e
    @user-xl3mh7gu6e Жыл бұрын

    Unapambana kwa ajili ya wa Tanzania,mungu akulinde Nay,Basata kukuita sijakubaliana nao

  • @KatemboAugustin-pt7ue
    @KatemboAugustin-pt7ue2 ай бұрын

    Raisi wakittahaa ney wamitego ❤❤❤ tukuku balisana basi chule nilakulipia so wengi wasomi ni wazembe

  • @williamouma8263
    @williamouma82633 ай бұрын

    Huyu mwamba ni Tupac Shakur wa Africa,namkubali sana, jamani Nay wa Mitego wakenya wanakubali misitari yako.Hongera sana more love from Kenya.Njoo upige shughuli Kenya

  • @mzeerajab3629

    @mzeerajab3629

    24 күн бұрын

    Tanzani uchawa unajeng nyumba ila haki wanakuua

  • @YusufYusufkushoka-pc7hq
    @YusufYusufkushoka-pc7hq11 ай бұрын

    Nyimbo inaelimisha sana, rais wakitaa tupo nyuma yako kaka, wewe ndo mtanzania halisi, ni mfano wa kuigwa, hakika ni hazina ya Tanzania 🇹🇿 Mungo akulinde ndugu yetu

  • @lilianeerica3318
    @lilianeerica3318 Жыл бұрын

    Ikikupendeza chukuwa na hawa😢😢😢😢wajinga wanawaongoza wenye akili ila kweli jmn🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤🇧🇮🇧🇮

  • @user-vb8ri3to9m
    @user-vb8ri3to9m11 ай бұрын

    Ikikupendeza chukua na hao daa!! Maua yako Kaka🌹🌸🌷💐🌼🙏mungu aendelee kukulinda breather.

  • @sumailadamo9600
    @sumailadamo960023 күн бұрын

    From mozambique... you are the best brother... nakukubali sana

  • @EliaPundugu-cz4lj
    @EliaPundugu-cz4lj Жыл бұрын

    Wimbo mzur unaozungumzia maisha yetu hongera sana mwamba nakukubqli sana Rais wa mtaa.

  • @ngwalabenedictor8992
    @ngwalabenedictor8992 Жыл бұрын

    When it comes to great messages' songs, thats where Nay wa mitego brings his A game

  • @eugengerry532

    @eugengerry532

    Жыл бұрын

    When it comes to great Messages Songs, that’s where Nay wa Mitego brings his “A” game

  • @donaldabel1656

    @donaldabel1656

    Жыл бұрын

    Bonge la song tunahitaji watu ka Hawa Sasa Roma huko uliko shusha nondo Sasa na wew

  • @silole_joseph
    @silole_joseph10 ай бұрын

    Kenya inahitaji Nay Wa Mitego. Wakenya tulike😅

  • @yusufdarunnisaa

    @yusufdarunnisaa

    10 ай бұрын

    Weee naye akijitokeza anapotezwa kabila hajaanza kaa mbl na kenya

  • @KB-do5sr

    @KB-do5sr

    10 ай бұрын

    KING KAKA did it but hakuna kitu wananchi walifanya

  • @katongasign4173
    @katongasign417310 ай бұрын

    Ambao tumesikiliza ngoma hii baada ya Ney kuachiwa Tujuane

  • @jtzsafaris9730
    @jtzsafaris9730 Жыл бұрын

    Wale ambao tupo na Ney ngonga like apa Huyu ni zaidi ya Mnyama 🍁🤝

  • @Ambagaye
    @Ambagaye Жыл бұрын

    Huyu jamaa mkorofi sana. Ila amwemwaga kweli tupu bila kupepesa macho.

  • @JAY_5H3PH3RD
    @JAY_5H3PH3RD6 ай бұрын

    The only Guy with confidence from another level. Watu lazima waamke. #MrNay

  • @GuzuraJonas-ux6yx
    @GuzuraJonas-ux6yx10 ай бұрын

    𝙃𝙪𝙮𝙪 𝙨𝙖𝙨𝙖 𝙣𝙙𝙤 𝙧𝙖𝙞𝙨 𝙬𝙖 𝙠𝙞𝙩𝙖𝙖.....!!!

  • @kiloloonlinetv3021
    @kiloloonlinetv3021 Жыл бұрын

    Maana halisi ya Mwanamziki sio msanii!! Mwanamziki haitakiwe uwe msaninii!! Big up unazidi kudhihirisha maana ya True boy❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥❤️‍🔥 Iko fire sanaaaaaaaaaaaa

  • @hijrabakari3124

    @hijrabakari3124

    Жыл бұрын

  • @KomanyaLupimo-ld8bq

    @KomanyaLupimo-ld8bq

    Жыл бұрын

    😂

  • @jacksonngusi4122

    @jacksonngusi4122

    Жыл бұрын

    Nmemkubali huyu mwamba

  • @MathewYohanaMathew-gy7wk

    @MathewYohanaMathew-gy7wk

    Жыл бұрын

    Uko vizur sana

  • @neymariontv477
    @neymariontv47711 ай бұрын

    ney ni kioo cha jamii kama mnakubali nipeni like kutoka burudi

  • @sarahmakungu8578
    @sarahmakungu85785 ай бұрын

    This man is a hero always stands for the African continent the leadership in Africa is pathetic corruption is the business of the day 💪💪💪💪

  • @user-ux2lu2du3m
    @user-ux2lu2du3m10 ай бұрын

    Wimbo huu ni mkubwa sana

  • @raiderking4637
    @raiderking4637 Жыл бұрын

    Tumekubali Ngoma tunamchukia huyo raisi hatari Yani hata wakikufungia umetusaidia kufikisha ujumbe✊🏿

  • @mangushaban9214

    @mangushaban9214

    Жыл бұрын

    Hii imeenda. Bro piga kazi nakubali sana 🔥🔥

  • @user-ne8zq5ef6q
    @user-ne8zq5ef6q Жыл бұрын

    Nay we huogopi gusema ukweli kabisa nakwamini sana endelea na kazi yako

  • @christituskikoti5234
    @christituskikoti523410 ай бұрын

    Yaantarifa zako za,kukamatwa,zimenfanya nije niangalie hii ngoma ila,Nay we,Unajua,ukiachana na kujua hupend unyonge Nakukubali sana akuna uichoongopa apo big up sana Nay

  • @mrblack8661
    @mrblack866111 ай бұрын

    yaan broo hakika we sio rais wa kitaa2 bali ni rais wa kutuongelea sisi maskini,, Mungu akupe miaka mingi.❤

  • @lukasphilipo5721
    @lukasphilipo5721 Жыл бұрын

    Uyu jamaa anajiamini sana aise noma sana💪💪💪

  • @jobcapri232
    @jobcapri23211 ай бұрын

    Tupo wengi pamoja Na freenation for life ni nassib toka Mombasakenya

  • @user-ec5we1gr4f
    @user-ec5we1gr4f10 ай бұрын

    Huku kenya tunahitaji wasanii wajasiri kama nay wa mitego ❤👍

  • @user-sy1vv6ej1m
    @user-sy1vv6ej1m10 ай бұрын

    Wimbo bora wa mwaka 2023 Rais wa kitaa

  • @geofreymwambega4134
    @geofreymwambega4134 Жыл бұрын

    Mungu wa mbingun akulinde ,wimbo umezungumza uhalisia wa maisha yetu ya watanzania ,kwel nay ni rais wa kitaaa big up

  • @ThomasMagoti-it4ty

    @ThomasMagoti-it4ty

    Жыл бұрын

    Amiin

  • @alfredbizimana7814
    @alfredbizimana7814 Жыл бұрын

    Nay wa mizigo is the most wanted because he kills in every beat 🇿🇦🇿🇦🇿🇦

  • @eliakimnkwama9282

    @eliakimnkwama9282

    Жыл бұрын

    ❤ 3:56

  • @mkamadsimas2254

    @mkamadsimas2254

    Жыл бұрын

    Mungu akpe nguvu, uschoke kusema ukwel

  • @RichWise671

    @RichWise671

    Жыл бұрын

    Almost to everything he kills Dope 🔥🔥🔥

  • @erickmassawe5831

    @erickmassawe5831

    Жыл бұрын

    apo akitekwa amuongei c muwe kama wakenya

  • @alfredbizimana7814

    @alfredbizimana7814

    Жыл бұрын

    ​@@mkamadsimas2254hakika chief, yaani Kila nikikumbuka kuhusu bandari naumia kinyama ila fresh 2, imebakia miaka mi2 tu😭😭🙏

  • @user-wh3pv1ui5j
    @user-wh3pv1ui5j11 ай бұрын

    Mnamsapoti nay kwenye media tu ,ila bado mioyo yetu watanzania ni waoga sana hatuwezi kujitoa kwa lolote kudau haki zetu kwa serikali tawala

  • @shakilayusuf7802
    @shakilayusuf780211 ай бұрын

    I dont remember the number of times I have watched this song since morning of 20th of August 2023.Everything in the song and about the song is on point.Hongera,a true pocure of my couny Kenya❤❤❤❤❤

  • @lvanyDaniel_pw7kk
    @lvanyDaniel_pw7kk Жыл бұрын

    Sija wahi ku comment kwenye wimbo wa msanii yoyote toka nazaliwa huwa naishia kutazama ila huu wimbo ume nigusa sana piga kazi brother kazi nzuri yenye uokozi wa nchi yetu❤❤💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪🙏🏿

  • @chrisskariuki8665
    @chrisskariuki8665 Жыл бұрын

    Kenya wana Erick Omondi, Tz tuna nay wa mitego💥💥

  • @stewartdyamvunye-wz6rn
    @stewartdyamvunye-wz6rn5 ай бұрын

    MRISHO MPOTO! Jibu wimbo huu. Ukijibu vema huenda ukajisafisha doa ulokwisha jiwekea!

  • @annadotto2429
    @annadotto242910 ай бұрын

    Mungu tunusuru waja wako, kwel tunamkumbuka aliesema tutamkumbuka.

Келесі