Nay Wa Mitego Ft Dora Boy - Amkeni (Official Music Video Lyrics)
Музыка
The Song Produced By Chiby Beats
Video Shoot By Mr.Azalia
Script By Frank Kibonge
Graphic By Jes
Make up Salms
Location By Kellv
Stream/Download:linktr.ee/naywamitego
Listen to Nay Wa Mitego on Digital Streaming:
Audiomack:audiomack.com/naywamitego
Apple Music: / nay-wa-mitego
Boomplay:www.boomplay.com/share/artist...
KZread: / @naywamiteg
Spotify:open.spotify.com/artist/3P97o...
Connect Nay Wa Mitego on Social Media:
Instagram: / naytrueboytz
Facebook: / naywamitego
Twitter: / naythetrueboy
©2023 Free Nation.All rights reserved.
#NayWamitego #Amkeni
Пікірлер: 11 000
Ambao tume rudia zaidi ya mala 10 huu wimbo tujuane 🙏🏿
@fredbasil361
Жыл бұрын
Dah😢
@godwinvicent
Жыл бұрын
2po mzee kwanza tumekusanyika saiv tunasikiliza jamaa anajua
@RojazTz
Жыл бұрын
✌️vidole viwilijuuu
@kingandreki7979
Жыл бұрын
🔥🔥✊🏿
@methodkihoo9826
Жыл бұрын
😥😥
Kama wamkubali sana gonga like hapa🥰☺️☺️
@user-hb8eg4lp6x
Жыл бұрын
Rais good job kabisa 💯 dope 🔥
@officialmanji4438
Жыл бұрын
😅😢
@pascalgilla1282
Жыл бұрын
Amkeni
@elidabill2970
Жыл бұрын
Sanaaa
@SambaJay_
Жыл бұрын
Kanitoa uoga pia mimi 🤫🤫👉🏿👉🏿kzread.info/dash/bejne/iKGB1diNZtXHnbw.html
Tuliokuja baada ya ney kufunguliwa kesi ya mchongo ya uchochezi, gonga like hapa
Mungu mpe huyu msani maisha marefu my top mentor like za 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kama mnamkubali ney kama mimi like hapa wadau👍👍👍👍👍
@khalidlubao1980
10 ай бұрын
Ana baya 💯💯💯
@YonaJames-pb9sg
10 ай бұрын
Nimekuelewa mwamba
Huyu ndio Ney wa mitego nayemjua Mimi. Kama umwelewa jamaa gonga like twende sawa #AMKENI
Hii wimbo inatuhusu sana huku Kenya kuwaliko Tz...rais mtalii,wabunge akili ndogo, meli lazama ila hakuna anayeona. Afrika mashariki tuamke!!!!
Hii ngoma nimeikuta inapigwa kwenye daladala. Abiria wote kimya ... Wengine wakionesha nyuso za kuuzunika....duu. Ney for Hip hop
I have realized that what is ailing tz ails Kenya too. Bad leadership will cost us dearly. Nay continue speaking what we can't because we don't have a platform like yours. From Ke with love
Tumchangie nay, jamani tusiishie kumsifia tu sisi sote hata elfu 10, 10 tu wote tuliokoment humu. Kazi, hii ni nzuri mno. Watu wamekalia upuuzi tu hawa ndiyo wasanii wanaohitajika. Mzalendo ni msema kweli kwa ajili ya nchi yake. Nay hana ubinafsi amezaliwa kwa masilai ya taifa lote. Sio hao wanaimba kusifia upuuzi tu. Wasanii ni Roma na Nay wanastahili kiwa washauri wa raisi
Kichwa cha huyu jamaa ni zaidi ya dhahabu, yani kuna mijitu inajiita misomi kumbe mavi matupu ila kichwa hiki kina fikra za juu sana, zaidi ya wenye phd, big up Ney wa mitego Mungu akulinde na uishi miaka buku.
Tuliorudia baada ya mwamba kuitwa Centro tujuane❤❤
I'm Kenya 🇰🇪 and i really listen to this Man.. Glad to be alive in his era💯💯💯💯💯💯💯
Mwamba kajitoa sana...true artist...true vision...true heart...true struggle...mzalendo halisi...
Every African country needs Nay.
Kulingana na Sauti nzito Ya Raisi wa kitaa hafai kuimba nyimbo za kuburudisha yeye ni special mtetezi wa wanyonge Big up the True boy much love from Kenya.
Ndiyo maana mnaambiwa muwage na akiba ya maneno, wewe Nay ulikuwa ukimpinga Sana huyo John, sisi tunawambia Africa hakujawahi kuwa na kiongozi kama Magufuli na hatutegemei kumpata soon!! Any way go on, keep shining
Jaman kama umeskiza huu wimbo zaidi ya mara 1 gonga like 2pac wa bongo huyu hapa
Afrika tuna matayizo this song isn't for TZ only but all African big up ...Ney wamitego much respect bro
Huyu kaka Ndo mfano wa KIOOO CHA JAMAIII 😍😍🙏🏽🙏🏽🙌🏽😱😱😱😱🙏🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Ama Kwa kweli wanadamu hawapendi kuambiwa ukweli.Yani kwa wimbo huu Basata umewakera kumbe!!!Bonge la hit song🔥👏👏👏,kutoka Nairobi.....nakupa shavu mkuu.Uko juu
Watoa tuzo za nyimbo msiwe mnaogopa kuwapa tuzo watu kama hawa wanaoongelea ukwl,msikalie tu amapiano zenye zimejaa ujumbe wa mapenzi tu nay ww ni mwamba sana👏👏
@musasamwel5544
Жыл бұрын
Uhakika
@hamismohamed3541
Жыл бұрын
Hawawez kaka coz hata hao wenyewe ni mamluki tu hapo
@fredpaulo5816
Жыл бұрын
Watoe Tuzo kwanza cjui mpka kesho kma itakuwa bdo haijafungwaa
@barakaelkaaya40
Жыл бұрын
Kabisa...umenena
@RuthKuria-qs9vq
Жыл бұрын
Tatizo la wa Africa ukimponda mtu ukweli anawa adui yetu
Wimbo mzuri sana, huku kwetu Kenya wasanii wanasifu pombe na wanawake...Nay amia huku kwetu Kenya utuamshie viongozi wetu
This song is for all African Blind Leaders thank you Ney Rais wa Kitaa D. R. Congo 🇨🇩 ❤
Njoo huku Kenya 🇰🇪 , tunahitaji wimbo kama huu kwa viongozi wetu.. #wake up call to the African leaders
@evanslangat2701
Жыл бұрын
kwa hio hali ni ngumu kila mahali cc hapa kenya ndio tunaaribu zaidi 😢😢😢maandamano sio suluhisho🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Huu wimbo wa hatarii zaidi ya hatari wakifika watanzania 150 tu wenye roho kama ya ney nchi inakombolewa🔥🔥✅
@user-oc7ju3nl2w
Жыл бұрын
Mmmmh ney we nouma
@dianasimon9131
Жыл бұрын
Kabxa
@MbonimpayeEssau-fh1xb
Жыл бұрын
Hakika,anawakilisha vema nafasi aliyo nayo kama Muimbaji mwenye Akili
@hadijambapa956
Жыл бұрын
Sana sema tumezidi uoga
@DianaMlongwa-oq5vt
Жыл бұрын
Hakika
ONE MAN SOLDIER.....PIGANA USIOGOPE....UKITUOMBA KENYA TUTAKUJA KUKUSAIDIA........
Everything you are narrating here,us kenyas we put actions🇰🇪 Tanzania amkeni😢🇹🇿
ishi Miaka Mingi Mzee Baba, Hii ndio Hiphop tunayoitaka Uhalisia mbele, hakuna kukumbatia mavi liwalo na liwe.. ishi miaka mingi..🇹🇿
AMBAO mnakubali Kama huu wimbo Ni number one east africa tujuwane
❤❤Tamu sana. Ni sawa tu na Zakayo Wetu apa Kenya 🇰🇪 .
Bro Bravo hawo waingine hawaku ezii ww ndio jeshi kamili salute you ndugu yangu more love and one love
Kama una amini mkoloni hajaondoka Afrika ame badirisha tu mfumo wa utawala gonga like tusonge mbele. AMKENI❤❤❤❤
Rais Maguful Alisema Anapenda kusema ukweli,Huyu Mwamba ni pacha ake Magu,,, katika kusema ukweli!! ,,, Mimi wa kwanza kukuombea uishi miaka yote Broo✍️😍
Kazi ya mungu haina makosa.., ikikupendeza chukua na Hawa pia"😂😂😂😂much respect from Kenya
Dah😮, nime kubali Sana iyi, #Amkeni wa Tanzania
Não consigo ficar 4 horas de tempo sem escutar a música viva Ney 👊 mais força 💪🇲🇿🇲🇿 peço pelo menos 10 likes para Ney 🔥
Wapi waimba MAPIANO mje mjifunze nyimbo hapa big up brother ney japo ninahofu juu ya usalama wako ,,,nakukabidhi mikononi mwa bwana ameen
@selemankahabiemmanuel8807
Жыл бұрын
hiyo ndo maaan ya kujitoa muhanga long time ney kajitoa ssdaka kwa lolote
@digonzakeimbe8435
Жыл бұрын
Hata na Mie nahofia Hilo😔😔Namuombea lkn..
@user-sj8uo2gw6o
Жыл бұрын
Daaa❤ pamoja sana
@zachaamaster5378
Жыл бұрын
#kweri kabisa sio Wana bwabwanya ovyo to kama wanaugua vifafa
@izmoo1835
Жыл бұрын
Kwel kabisa
Daah! Hatar nchi inakoelekea tunaumia wanyonge wao wanakula bata kwa mlija bora mpaze saut tuokoe tanzania
Muziki wako utaishi vizazi na vizazi. Hata siku ukipumzika tutaongea sifa zako kinaga ubaga bila kutafuta kukusafisha. Historia itakukumbuka kama msanii asiyejipendekeza kwa viongozi na ambaye alijitenga na watesi akasimama upande wa haki. Mungu akubariki sana na atakayekutafuta kwa shari waziwazi au kisirisiri laani ikawe juu ya kichwa chake na familia yake. Nayaomba yote hata katika Jina la Yesu, amina.
Kazi ya Mungu haina makosa ikikupendeza chukuwa na hawa mkataba wa bandari usiishie bara peleka na Zanzibar hii imeenda tumpe maua yake🌹🥀🌷🥀🌹
@ismu112
Жыл бұрын
Zanzibar mbona kitambo au hufuatilii umejaza chuki
Akili ndogo inaongoza akili kubwa... Punch line...huyu jamaa yuko vizuri... Wapi like za Nay ....
Huo ni ukweli kabisa kaka na ukweli unauma.
May God bless my Country TANZANIA 🙏🏽❤️
On my side let Ney wa mitego move on drops such a song at all ❤❤❤❤ ndo nyimboo tunazo ziitaji au nazo zipenda Kama mzalendo
Kuna Wanamuziki halafu kuna Mr Nay wa Mitego is just another level! ✊🏼🇹🇿
@teddyemmanuelyemailteddyemmanu
Жыл бұрын
Kabisa
@TausiKiyungi-ec4qz
Жыл бұрын
Kabisaaaaaaa
Nay njoo Kenya baba utusemee nice song raisi wa kitaa very good 👍👍👍 the song have message
Wakenya mko wangapi hapa🙋♂️😢😢😂😂
Ulimmchukua tujifuuunze au tupate kuhema,Ney true boy umenikosha mnoo
I'm from Burundi but trust me this song is for all African Countries ,⚡🇧🇮 big up xana Ney right kama all Presidents wangeusikiliza vizuri . Nay kwel True Bwoy , au sio jamani???
@rashidymussa1320
Жыл бұрын
Sure
@ahmadbilal3855
Жыл бұрын
True spesal for all Africa country
@rev.barakamwamsojotv9489
Жыл бұрын
You went so far for sure
@upendoreuben4617
Жыл бұрын
Dah ! This song.. balaa nimesikiliza mara 6 .. and way keep it up brow hata waseme nn ukweli utabaki ukweli na massage sent ... Big up.. I love the song
The Tanzanian gorvernment should allow this song to be played all over the country. Banning it simply means that those politicians don't want to be told the truth about their failures. This song is a masterpiece!!
salute mr president naomba mungu ndoto ya watanzania juu yako iwe kweli mungu akulinde na hasadi mkuu ipo siku utakuja kuliongoza taifa hili weka nia hakuna linaloshindikana kwake mungu
Uyu njo mwana muziki uwache wengini wama piano nanyimbo zakichoga na umalaya.Big up brother ney tunakuskiliza kutoka Canada.Inabidi upewe heshima kwa nyimbo zako❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@agogomgagagigigogo
Жыл бұрын
Hata umsifieje ndg yang na hakuna asiyemsifia hata wasiojua mziki huwa wanamsifia kini cha kujiuliza tulimuunga mkono lini ili awe na jina na pesa kuwazidi akina Mondi,hawa ndo walipaswa wawe matajiri kini cc eti tunawakubali kwny comment tu kini kununua kazi zao hapana afu tunajifanya tunamkubali kati ni unafiki tu ,ambao tunawaponda kila uchao wanazidi kuwa matajiri kwa amapiano hizohizo
@user-ou9dr9up6z
Жыл бұрын
👍👍👍👍💪🏿💪🏿✌️
@MkaliWagoka-bz6im
Жыл бұрын
Wengi wetu hatupendi Muziki wa kufundishaa,,Tunataka matusiiii,,,Saluti Sana kwako Ney
True boy in the building -👍 bip up bro...wapi lyk za 254🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nay wa mitego big up sana this song manze umetok reality .
Tujuane wale bado tunasikiza huu wimbo
Nimependa,kazi ya Mungu haina makosa kumchukua magu ikimpendeza Mungu achukue na Hawa waliosalia🎉
@lizzyshirima3601
Жыл бұрын
me nangoja miujiza ya mwamposa
Wimbo mzuri na wenye wa maana halisi ya maisha yetu ndani ya nchi yetu Tanzania.Big up @Ney
@evodiusmwombeki9247
Жыл бұрын
Wakola muno
@rabielkaaya3764
Жыл бұрын
🤝🤝
@maase2023
11 ай бұрын
Huyu wimbo hana ila ana mashairi ya uchochezi tu kwa kuwa hana kitu kingine cha kumtangaza
Shukran Nay kwa kuwakilisha maoni na kupaza sauti za Wa afrika wanyonge hususan hapa kwetu Kenya.Umetoa picha kamili ya hapa Kenya,huo ndio usanii,endelea kuwa kioo chetu ,Umri mpevu nakuombea.Zidi kugonga ndipo kwa ujasiri na ukunguru usikinyemelee daima.
Spitting nothing but the truth WAKEUP WAKEUP KUMEKUCHA💥💥💥💥,,,,,, politicians are the enemy of the people,,,,hii ni moto 🔥🔥
sioni sababu ya kuufungia huu wimbo.Kama kasema ukweli,shida ipo wapi? serikali msipende kusifiwa tu ,ukweli ni kwamba,anaeongoza nchi uwezo mdogo
Kama umerudia kuisikiliza hii Ngoma gonga like tuendelee kusikiliza mzic mtamu achana na nyimbo zingine uchwara Ney na Roma ndio wasanii wa wawananchi
@iddygondwe234
Жыл бұрын
sanaaaaaa baba
@iddygondwe234
Жыл бұрын
nimesikiliza hadi gaji imeisha nimetumia 1GB.
@kulwajm
Жыл бұрын
Umetishaa😝😝😝😝😝
Nimeurudia hapa KZread kusikiliza huu wimbo sijui hii ni mala40😂🎶 🎵 💖 ❤
@user-bi9pn1pm8z
9 ай бұрын
Nipo na wewe ❤
Nay moja kwa moja peponi 😂😂😂😂msanii wa kipekeeee Africa nzima 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🔥 🔥 🔥 😊 Mara 10 na sichoki 😮
Unapambana kwa ajili ya wa Tanzania,mungu akulinde Nay,Basata kukuita sijakubaliana nao
Raisi wakittahaa ney wamitego ❤❤❤ tukuku balisana basi chule nilakulipia so wengi wasomi ni wazembe
Huyu mwamba ni Tupac Shakur wa Africa,namkubali sana, jamani Nay wa Mitego wakenya wanakubali misitari yako.Hongera sana more love from Kenya.Njoo upige shughuli Kenya
@mzeerajab3629
24 күн бұрын
Tanzani uchawa unajeng nyumba ila haki wanakuua
Nyimbo inaelimisha sana, rais wakitaa tupo nyuma yako kaka, wewe ndo mtanzania halisi, ni mfano wa kuigwa, hakika ni hazina ya Tanzania 🇹🇿 Mungo akulinde ndugu yetu
Ikikupendeza chukuwa na hawa😢😢😢😢wajinga wanawaongoza wenye akili ila kweli jmn🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤🇧🇮🇧🇮
Ikikupendeza chukua na hao daa!! Maua yako Kaka🌹🌸🌷💐🌼🙏mungu aendelee kukulinda breather.
From mozambique... you are the best brother... nakukubali sana
Wimbo mzur unaozungumzia maisha yetu hongera sana mwamba nakukubqli sana Rais wa mtaa.
When it comes to great messages' songs, thats where Nay wa mitego brings his A game
@eugengerry532
Жыл бұрын
When it comes to great Messages Songs, that’s where Nay wa Mitego brings his “A” game
@donaldabel1656
Жыл бұрын
Bonge la song tunahitaji watu ka Hawa Sasa Roma huko uliko shusha nondo Sasa na wew
Kenya inahitaji Nay Wa Mitego. Wakenya tulike😅
@yusufdarunnisaa
10 ай бұрын
Weee naye akijitokeza anapotezwa kabila hajaanza kaa mbl na kenya
@KB-do5sr
10 ай бұрын
KING KAKA did it but hakuna kitu wananchi walifanya
Ambao tumesikiliza ngoma hii baada ya Ney kuachiwa Tujuane
Wale ambao tupo na Ney ngonga like apa Huyu ni zaidi ya Mnyama 🍁🤝
Huyu jamaa mkorofi sana. Ila amwemwaga kweli tupu bila kupepesa macho.
The only Guy with confidence from another level. Watu lazima waamke. #MrNay
𝙃𝙪𝙮𝙪 𝙨𝙖𝙨𝙖 𝙣𝙙𝙤 𝙧𝙖𝙞𝙨 𝙬𝙖 𝙠𝙞𝙩𝙖𝙖.....!!!
Maana halisi ya Mwanamziki sio msanii!! Mwanamziki haitakiwe uwe msaninii!! Big up unazidi kudhihirisha maana ya True boy❤️🔥❤️🔥❤️🔥❤️🔥 Iko fire sanaaaaaaaaaaaa
@hijrabakari3124
Жыл бұрын
❤
@KomanyaLupimo-ld8bq
Жыл бұрын
😂
@jacksonngusi4122
Жыл бұрын
Nmemkubali huyu mwamba
@MathewYohanaMathew-gy7wk
Жыл бұрын
Uko vizur sana
ney ni kioo cha jamii kama mnakubali nipeni like kutoka burudi
This man is a hero always stands for the African continent the leadership in Africa is pathetic corruption is the business of the day 💪💪💪💪
Wimbo huu ni mkubwa sana
Tumekubali Ngoma tunamchukia huyo raisi hatari Yani hata wakikufungia umetusaidia kufikisha ujumbe✊🏿
@mangushaban9214
Жыл бұрын
Hii imeenda. Bro piga kazi nakubali sana 🔥🔥
Nay we huogopi gusema ukweli kabisa nakwamini sana endelea na kazi yako
Yaantarifa zako za,kukamatwa,zimenfanya nije niangalie hii ngoma ila,Nay we,Unajua,ukiachana na kujua hupend unyonge Nakukubali sana akuna uichoongopa apo big up sana Nay
yaan broo hakika we sio rais wa kitaa2 bali ni rais wa kutuongelea sisi maskini,, Mungu akupe miaka mingi.❤
Uyu jamaa anajiamini sana aise noma sana💪💪💪
Tupo wengi pamoja Na freenation for life ni nassib toka Mombasakenya
Huku kenya tunahitaji wasanii wajasiri kama nay wa mitego ❤👍
Wimbo bora wa mwaka 2023 Rais wa kitaa
Mungu wa mbingun akulinde ,wimbo umezungumza uhalisia wa maisha yetu ya watanzania ,kwel nay ni rais wa kitaaa big up
@ThomasMagoti-it4ty
Жыл бұрын
Amiin
Nay wa mizigo is the most wanted because he kills in every beat 🇿🇦🇿🇦🇿🇦
@eliakimnkwama9282
Жыл бұрын
❤ 3:56
@mkamadsimas2254
Жыл бұрын
Mungu akpe nguvu, uschoke kusema ukwel
@RichWise671
Жыл бұрын
Almost to everything he kills Dope 🔥🔥🔥
@erickmassawe5831
Жыл бұрын
apo akitekwa amuongei c muwe kama wakenya
@alfredbizimana7814
Жыл бұрын
@@mkamadsimas2254hakika chief, yaani Kila nikikumbuka kuhusu bandari naumia kinyama ila fresh 2, imebakia miaka mi2 tu😭😭🙏
Mnamsapoti nay kwenye media tu ,ila bado mioyo yetu watanzania ni waoga sana hatuwezi kujitoa kwa lolote kudau haki zetu kwa serikali tawala
I dont remember the number of times I have watched this song since morning of 20th of August 2023.Everything in the song and about the song is on point.Hongera,a true pocure of my couny Kenya❤❤❤❤❤
Sija wahi ku comment kwenye wimbo wa msanii yoyote toka nazaliwa huwa naishia kutazama ila huu wimbo ume nigusa sana piga kazi brother kazi nzuri yenye uokozi wa nchi yetu❤❤💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪🙏🏿
Kenya wana Erick Omondi, Tz tuna nay wa mitego💥💥
MRISHO MPOTO! Jibu wimbo huu. Ukijibu vema huenda ukajisafisha doa ulokwisha jiwekea!
Mungu tunusuru waja wako, kwel tunamkumbuka aliesema tutamkumbuka.