ROMA ft Abiud - Nipeni Maua Yangu (official Audio)
Музыка
NIPENI MAUA YANGU by ROMA MKATOLIKI featuring Abiud
Audio produced by Bea
Twitter: / roma_mkatoliki
/ roma_mkatoliki
Copyright (C) 2023 ROMA.
---
Powered by www.vydia.com
ALL RIGHTS RESERVED.
#NIPENIMAUAYANGU #ROMA #ABIUD
Kaka Tuchati ► • Rostam - Kaka Tuchati ...
Now You Know ► • KHALIGRAPH JONES x ROS...
Kibamia ► • Video
HIvi Ama Vile ► • Rostam (Roma & Stamin...
Zimbabwe ► • Roma - Zimbabwe [Offic...
Kaolewa ► • Rostam - Kaolewa (Off...
ParaPanda ► • ROSTAM - PARAPANDA | ...
Anaitwa Roma ► • Roma Ft One Six - An...
Mkombozi ► • Roma - Mkombozi (Offic...
Watani Wa Jadi ► • Rostam Ft Mr. Blue - W...
Пікірлер: 9 300
Waliorudia wimbo huu mwaka 2024 tujuane kwa likes hapa
@user-jq9mi2oi1u
2 ай бұрын
Npo hapa
@alfredfrance8355
2 ай бұрын
🎉
Nyimbo Kali Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 tumeipokea kwa hamu kubwa, mtupe like kama mmependa nyimbo hii
Kama Huna D 2 Huwezi Kujua Kauli Ya Kusema Mnatungua Papai Kwa Kutumia Gobole Na Ya Hii Ya Kusema Ushawahi Jiuliza Kwani Bega Lipo Kalibu Na Kwapa 😅😅😅 Hapo Lazima upitie Cuba Kama Umeelewa Kama Mimi Gonga Like Kufurahia Mifumo
#Makonda anaongoza #Arusha kwakutumia huu wimbo
Kama umeisikiliza mara 3 na zaidi , gonga like hapa🎉🎉🎉🎉
kama umeupenda huu wimbo kama mimi basi nipe maua yangu 🤝
@handasonshaban8248
Жыл бұрын
Bitanakwangu
@angellomarcel5677
Жыл бұрын
💐🌸🌷
@MartherKeneth-zt1ge
Жыл бұрын
🌸🌸🌸
@GeorgeMtei
Жыл бұрын
🎉❤🎉🎉
@taratibu
Жыл бұрын
Nachagua Andazi
Nipeni na mimi like zangu roma ana fight🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Roma ubaki huko huko na uendelee kutusemea mzee♥ tunakupenda sana
Wakwanza nipenii like zangu Roma oooooyeeee
Waliorudia huu wimbo zaidi yà mara moja, Gonga like please 😊
@albinusnyaiyo2614
Жыл бұрын
Wengne tumeuchkuwa ndo ringtone
@jovinpaul6937
Жыл бұрын
Kweli ujumbe wa kutosha
@immamwerr9202
Жыл бұрын
Kumbe wewe mara mbili tuu??
@calvinsosthenes6133
Жыл бұрын
Nimerudia Mara tano
@rizikipantaleo547
Жыл бұрын
Sio mara mbili tu me nimerudia zaid ya mara tano
Kaka wewe ni kioo cha jamii mzalendo unatufariji sisi watz wenye maisha ya kila kukicha kheri y Jana mwenyezi Mungu akupe nguvu uzidi kutetea wanyonge amiin.
Hizi ndo nyimbo tunazo zitaka kama unamkubali Roma na nyimbo zake kama Mimi nipeni maua yangu🔥🔥🔥🙌
@akidajulius1581
Жыл бұрын
🎉🎉🎉
@Handitv123
Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥
Siwezi kutosha huu wimbo. Wangapi wameusikiza mara nyingi kama mimi? Naukumbuka Zimbabwe ila huu ni next level 🎉🎉🎉🎉🎉
@ashakhaliky4772
Жыл бұрын
Wallah machozi yananitoka .ukweli hata usikilize mara mbl bado utahitji kuusikiliza. sna cha kusema Roma na kundi lako Allah awajalie afya ktk kaz zenu👏
@amarnam5016
3 ай бұрын
🤝👏👏
Huu wimbo una kila kitu ambacho watanzania tunahitaji, basi kama unakubaliana na Mimi basi nipeni Maua yangu pia👏👏😂
@csato9415
Жыл бұрын
🌺🌺🌻🌻🌼🌼🌷🌷
@ibrahimkimtiy965
Жыл бұрын
🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌷💐🌷💐🌷💐🌷💐🌷💐🌷💐💐🌷💐💐💐💐💐🌺🌺
@mretamreta8058
Жыл бұрын
Hatari sana huu wimbo bonge la shairi
@matrixTV.
Жыл бұрын
Yamoto sana
@zakiasepetu7628
Жыл бұрын
🎀🎊🎉💎🇹🇿
Ukisikia popote wimbo huu ukipigwa simama kwa heshima ukiisha endelea na safari yako.
@fadhilijuma3196
Жыл бұрын
TULIWAONA MARAPA LEO WAPO BUNGENI ROMA NI 💥💪💪💪💪💪
@elidabill2970
Жыл бұрын
Salut
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥💥💥💯🎶🎵message recieved to those who think the own our live ...,Bomboclat politicians..even here in kenya we are 😭😭😭 more than you brothers .,wapi likes za kenya please
@user-vm3pz5pk8k
2 ай бұрын
😢😢😢❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
To those listening this song in 2098....ROMA was a pure talent from God.
@ellyjulius165
Жыл бұрын
Legendary comment😢
@theone1621
Жыл бұрын
RIP Roma
@richardmbasha1411
Жыл бұрын
Huyu ndio wewe sasa, yaani ni🔥🔥🔥🔥👌
@ramadhanidyamwale4302
Жыл бұрын
I give this capt 100 likes
@DJELULI
Жыл бұрын
umetisha
Anaechelewesha msafara ni ng'ombe wa mbele ila anachapwa wa myuma na ndie anaepiga kelele ,,What a line✊🙌
@jacobmwandenga3364
Жыл бұрын
Aiseeee ni nondo kuliko
@juliethnicholaus8299
Жыл бұрын
Atali
@churagambe3312
Жыл бұрын
Kwamba ujaelewa
@hashimhassan4812
Жыл бұрын
Ng`ombe wa mbele ndo nani na wanyuma ndo nani?
@edgarkazimiry4091
Жыл бұрын
@@hashimhassan4812 ng'ombe wa mbele Ni viungozi wasiio waadlifu na ng'ombe wa nyuma Ni wananchi
kwa mara ya kwanza nausikiliza huu wimbo,nimeurudia zaidi ya mara 10, VIVA ROMA chukua maua yako dadeki,you are the in AFRICA
Kabla ya kulala hadi niusikilize huu wimbo. Roma chukuwa mauwa yako ndugu yangu. 🎉🎉🎉🎉
Huyu Jamaa ukisema umsikilize sana unaweza ukijikuta unakuwa Mpinzani ghafla au Mwanaharakati... A pure Talent, GENIUS...🫡🫡🫡
@nassoroshakiru7094
Жыл бұрын
kabisa kabisa yan unaweza jikuta hutamani kuskia kuhus chamantawalq
@immasudi8332
Жыл бұрын
Umesahau kuwa na hasira kwa walio madarakan
@liannsambu7264
Жыл бұрын
Siyo thambi kuwa
@zuleyvendor6577
Жыл бұрын
Bora atuammshe watanzania ujinga ututoke
@justinbara6783
Жыл бұрын
Mm mwenyewe kupitia huu wimbo natamani Sana kuwa mwanaharakati
Tunakupenda Roma wewe ni mkombozi wa fikra za wengi Tanzania ❤❤ Mungu akulinde nakuona mtu mkubwa sana Tanzania soon❤
@hassanomary9825
Жыл бұрын
Si utani
Kiswahili ndio lugha ya taifa katika bara letu la Africa na ni jukumu langu keendeza lugha hii pale Sudan Kusini 🇸🇸 number one Roma/Rostam fan . Nakupa maua yako Roma Mkatoliki 🌹 ✊
@hamisharuna3382
Жыл бұрын
Karibu bongo
"Anayechelesha msafara siku zote ni ngombe wa mbele ila anachapwa wa nyuma na ndiye anayepiga kelele"....deep 🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀 maua yako hayo yanuse
To Everyone listening to this song in 2070’s this man was a Legend ✅🐐
@mkodojoseph-kt8wd
Жыл бұрын
😆😆😆
@sossyforreal814
Жыл бұрын
Legendary comment.
@johnmwanja9719
Жыл бұрын
Eeeish 😅
@allykamanga4366
Жыл бұрын
Akiachia nyimbo huwa yamaaana
@sossyforreal814
Жыл бұрын
@@allykamanga4366 Hakoseagi kwenye hii vipengele muhimu vya hip hop hasa hasa Kukosoa.
Waliorudia wimbo huu zaidi ya mara 3 tujuane nipeni like zangu
@Joetweve-dt9kh
Жыл бұрын
Sio mara tatu me ni siku nzima nauplay
@GeorgeMtei
Жыл бұрын
Sio mara tatu nimerudi mara 50
Hatari sana, nyimbo iko poa sana nimeisikiliza zaidi ya mara 6, mistari imetulia na message delivered. Hongera sana Mkatoliki, KEEP IT UP.
Tufahamiane Kwa like wale ambao tunauchukia.uongozi wasasa
Roma supporters gonga like twende ,Nasio utani ukishindwa kujifunza hapa ndo bas tena😢.....nipeni maua yangu niyanuse ningali Hai ....amen tutaonana tenaa roma tutaonana tena
@eliudmandike6839
Жыл бұрын
Nipeni like zangu
@hilarydamasi4307
Жыл бұрын
huyu ndo Roma tunayemjua sasa
@allanmwakibinga959
Жыл бұрын
You killed it bruh
@GodwithusSr
Жыл бұрын
@@allanmwakibinga959 thanks 🙏🏻
@lynucelutta1471
Жыл бұрын
Aise like you romaaaaaa
vipi mkuu Roma Asante kwa kazi💪💪 Naamini mi ndo wakwanza ku coment, gonga like kama unamkubali Roma 💯 ✅✅I'm from congo🇨🇩🇨🇩
@mosesmuhasa4380
Жыл бұрын
ok
U never disappoint Roma.....Kama unamkubali Roma kwa asimia 100 gonga like hapa♥️🙏
Nakukubali mwamba,kwa huu wimbo sina la kusema,uko na kipaji sana,shabiki wako mkubwa kutoka Kenya🇰🇪
@bakarihassani-ss3qx
Жыл бұрын
Nitajie mstari mmoja ulio ukubali Sana.
@michaelmsinda4920
Жыл бұрын
@@bakarihassani-ss3qx Sasa sijui nianzie wapi kifuani nimebeba mengi 🥺na sitotenda haki nisiposema hiki sipendi hiki napenda kile sitaki mambo ya kishenzi Na ukisema hawatufai wanakuumiza wee mpole yani wanaangua papai kwa kutumia gogole wanatumia nguvu kubwa kwenye mambo madogo jeshi gani mpaka leo mmeshindwa kumjua kigogo? Mkiongelea kutekwa eti tunarudia agenda,hamjibu mnakwepa mbona mama anarudia kilemba?🤷 Nchi gani raia akihoji mnasema anakosoa na akikosoa anatukana serikali hii sio poa! Haya basi tuseme mko sawa na mna nia nzuri na sisi eeeh 😌mbona vyuma vimekaza alafu mama anaificha grisi? Mara mkapandisha tozo kampeni mkaona hatuwaungi si tulihoji mkajibu kwa dharau tuhamie burundi Tatizo mkiapishwa tu mnawaza uchaguzi ujao,hamuwazi njia mbadala kumlinda mkulima na mazao Yani bongo kikubwa uzima tu 😣 Sasa mnatuambia tujiajiri mbona nyinyi hamkujiajiri ok nikupe bodaboda yangu kisha wee unipe uwaziri?Nikukabidhi vyeti vyangu hangaika navyo mwezi mmoja niko pale nakungoja uje tuongee lugha moja! Mimi sio CCM sio Chadema,hili niliweke wazi ila ukieka CCM na Andazi nitachagua Andazi,simwamini mtawala na mpinzani simsadiki maana wanaendelea kukatika huku Dj kauzima muziki Na inaiuma kuona msomi wa degree tatu mnashindwa kumpa ajira sasa anauza nyanya Karatu,Sasa sijui mtaniua nikimshikia mama shiringi maana hata inyeshe mvua mnasema naupiga mwingi 🤔 Na namkubali na nitamng'ata sikio kama hajui wanaomkosoa ndo wanampenda wanaomsifia ndo maadui,ili wapate teuzi ndo wanamlamba miguu wakimpamba hawamsaidii amri jeshi mkuu Hivi hamjasikia tetesi kuwa rimoti iko msoga?Sukuma geni imedoda,magogoni imenoga Tatu ndani ya track moja,wamekalia kigoda Ngolo kante anampa Mbappe cross anafunga Pogba😁 Hii nchi ina wenye nchi ,wala nchi na wananchi,na kuendelea kuwachagua ni kuenda na mchanga kwenye beach,kuwajaribu na wapinzani na watawala si wameshapata? Ugoro umewaingia puani sasa ona wanapiga chafya! Wanatumia dollar kubaki kongo za Dollar watawafunga watapora wataua watahonga vijora Karatasi tunaibiwa za kura kwenye sanduku,kwa hiyo mnatuonyesha ziwa huku mmeziziba chuchu??? Dini gani mchungaji akitaka gari twamchangia,muumini akitaka gari twamuombea twamsalia,mchungaji tusimpe pesa tumuombee na yeye pia,tukae pale tusubiri miujiza ya wagalatia😂 Wabunge wengi mlishinda kwa hisani ya mwendazake,mkipatacho muende chato mkumbuke hata ndugu zake,,,, jimbo hili haliendelei coz mmemchagua mpinzani,haya sasa mmeshinda kote fauluni huo mtihani Wa Basata msikie hili msije fungia huu wimbo , Kichwa kisicho na akili ni mzigo kwa shingo Ushauliza kwa nini bega liko karibu na kwapa?Usiondoke baki hapa usikie vesi inayofuata!!!!!! Yanga na Simba ni wapinzani ila sio kwamba hawapatani,maji yanayotoka mto msimbazi ndo yanayojaza jangwani!!! Na sio utani msipojifunza hapa ndo basi tena aliyesema aongezewe muda bungeni ameaga mapema,wakamlisha asali kwa kisu akalamba akamwaga wino,tangulia na dereva barua utaikuta chamwino
@zulayfasalumu701
Жыл бұрын
Hii inchii ina wala nchi na wenyee nchii 👂 noma saanaa 🤔
@ayubujnnko6157
Жыл бұрын
@@zulayfasalumu701 😂nnchi ina wananchi wenye nnchi na walannchi
@sharifumuya1979
Жыл бұрын
anarudia kiremba
Wish my fellow Kenyans can listen to this great message🇰🇪🇰🇪 💯💯
Roma ni Mwamba ajab ,East and Central Africa ajawai tokea mwanamuziki kama Roma.Pokea flowers Bingwa
Huyu ndio Roma tunae mjua sisi
To my daughter listening to this song when you grow up, know that your father gave Roma his flowers when he was alive.
@brunokimaro1053
8 ай бұрын
kzread.info/dash/bejne/hGtso9iYpcyoqMo.html
“We all face difficult times. It is only the grace of God that gives strength to endure.”
Roma kaka unajua sana tunakutegemea bila ww hatuwezi toboa
#nape "nikupe boda yangu unipe uwaziri wako" oya nipeni emoji za moto 🔥🔥
Hii ifike 1M views within one week itakuwa unyama sana,,,,Wapi likes za Roma basi🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nice song
Mimi namupa mauw yake mapema🎉 weweje
Haya watu igongeni like hii comment mpaka Samia aione ikulu maana hii ngoma lazima aisikilize
Roma Bwana 😂😁😁😁😁 Mungu akuhongezee miaka yakuishi🔥🔥🔥🔥🔥🌟🌟🌟🌟🌟
Big up Roma the pride of Tanzania ngoma imesheheni mistari mizuri sana ambayo inamgusha kila Mtanzania Mzalendo note Ngolo Kante anampa Mbabe cross anafunga Pogba mm nataka niimbe verse tunakumissss mwana rudi njoo utusemee
Waliorudia huu wimbo zaidi ya mara mbili.. tujuane.
Yaan nikisikiliza Hii nyimbo..... Nakuvuta picha Hali ilivyo Tz basi TU Roma Umri mrefu ViVa....!!! Mungu akujalie Afya njema Mwanaharakati✅
Kwa wimbo huu nina imani kabisa huwezi rudi bongo leo wala kesho big up roma viva romaa
Kila nikifungua u tube lazima nikusikilize Roma Mungu akuhifadhi milele na milele nakukubali sana binafsi mimi nimeshakupa maua yako kabla ya kwenda kaburini ❤❤u so much wangapi tumerudia huu wimbo mara kwa mara kila tukiingia u tube
You're great man mr roma,,you will be forever remembered,,we celebrate you.when you're still alive,,here in Kenya 🇰🇪 we love you,,you're real ,lyrics ✅️, message ✅️,,the song is complete what a common mwananchi needs to hear
Wanatumia guvu kubwa kwenye mambo madogo💥💥👊namkubali mia mia kaka Roma💪from Mombsa 🇰🇪
Nyimbo umeuwa sana hii kaka na umeiyongelea hali alisi ya maisha tunayoyaishi watanzania wotee yan🙏🏿🙏🏿🙏🏿 VIVA ROMA
Leo ni mwana hiphop kesho wewe ni kiongoz wa taifa hili .......Beo viva.................tunao amin hayo gonga like hapa chini
If you have a voice you've got the obligation to project it for humanity. Thank you Roma for being the voice of the voiceless🙏🏿.
Maneno makubwa yamo kwenye track huu,Wimbo huu umekubalika nchini Kenya 🇰🇪
Kama umesikiliza wimbo wa taifa Mara tatu gong like twende sawa
Roma na ney mazee nawaona mbali Sana tuwaombeeeni wazid kututetea kwa uongoz wa kiafrika kupitia mziki wao
😭😭😭😭😭😭nalia kwa uchingu wa maneno mazuri ya huu wimbo jamani hiki kichwa hapana ngoja tu nikupe may Yako🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Tanzania kuna watu wana akili sanaaaaa Roma popote ulipo drink soda nakuja kulipa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
+254 here listening show some love for roma 🇰🇪
From Kenya Malindi ((kilifi county) umekubalika kaka
Daah huu ni binge la wimbo Maua yako chukua
Namshukuru Mungu kupata nafasi ya kusikiliza majestic writings of ROMA. Huyu mwamba ni pure talented hipHop artist..Kazi yake itaishi milele Daima, vizazi na vizazi. Tanzania yangu Mwenyezi Mungu atusaidie, tuna mtihani mkubwa sana kuijenga nchi yetu.
@hassanhussein5749
Жыл бұрын
respect man👍👍👍👍😥😥😥😱 big up best rapper of TZ
@ibrahimsalim8368
Жыл бұрын
viva roma
@hamisomaryrajabu4129
Жыл бұрын
Ujyuuwu
@hamisomaryrajabu4129
Жыл бұрын
Hhehuwu
@hamisomaryrajabu4129
Жыл бұрын
@@hassanhussein5749 huuyyrdy
Bonyeza picha kisha SUBSCRIBE usipitwe na Habari zote zakijanja hapa town
Hii ngoma imeandikwa kwa kipindi cha miaka 8, yaani tangu mwaka 2015. Dah Tanzania mwanamuziki ni mmoja tu. Long Live Roma. Mtanzania mzalendo mwenye kuipenda nchi yake.
@iwishtv7907
Жыл бұрын
Dizasta vina
@RechoAhule-qb8zr
Жыл бұрын
@@iwishtv7907 hamnakitu
@barakaephraim5481
Жыл бұрын
Mungu akulinde daimaaa mr Roma
@davidngenda924
Жыл бұрын
Na true boy, one nation🤝🏼😃😃😃
@Oldskulgemini9991
Жыл бұрын
@@iwishtv7907 Hana ushawishi kwa jamii anaushawishi kwa masela tu😂
this song so creative music all the best brother
Roma Kwa Nini bega Lipo karibu na kwapa Alieelewa aje anielewesheee
Kwakweli tulimiss hizi kazi ahsante Mr Roma tulikuwa tushachoka na habari za JEJE 😁😁 Respect bro 🙌🙌🙌🙌
Nimerudia hii nyimbo Mara 104 gonga like twende Sawa VIVA ROMA
@bakarihassani-ss3qx
Жыл бұрын
Goma Kali Sana brooo..nitajie mstari gani umeondoka nao Kama funzo broo?
Na kiongozi bola atoka Kwa Mungu.🙏
Jamani tumpe maua yake🎄🎉🎉
This guy is phenomenal,..very different from other artists,..mtetezi wa wanyonge. Big love from Kenya 🇰🇪
@danielpeter7921
Жыл бұрын
❤
@frankbundi7713
Жыл бұрын
So much love from 254 ❤
@bowattanga
11 ай бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Roma 🔥🔥🔥 vitu vya kweli vyote ulivyosema! Anayechelewesha msafara 😢😢! Chukua maua yako Roma 🌹💐🌺🍁🪸🥀🪷🌹🌷🌺🌺🌸🌸🍁🍁🪷🪷🌺🌺🌸🌸
Safi sana konga like apa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Sio poa sio poa legends ❤❤...bonyeza like hapo
Hii nchi ina wananchi, wenye nchi na wala nchi🙌🙌
Huu ndiyo wimbo wa taifa sasa achana na ule wa Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote
@patricksoko1279
Жыл бұрын
😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄
@nuruelymmary9683
Жыл бұрын
🤣🤣 hiii imeenda
@zuleyvendor6577
Жыл бұрын
Kwa kweli sio uongo 😂😂😂😂
@CardealInacioMuaquia-rt6kn
Жыл бұрын
Kabisaaaaaaa
@GeorgeMtei
Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
❤❤❤Roma I wish you were a Kenyan, voice for voiceless. VivaRoma
2024 wimbo utaishi milele
Tukimpoteza huyu msanii bac ❤❤❤
@ngamanyajoshua839
Жыл бұрын
True
Nakuamini ROMA kwa kujilipua auogopagi.🔥🔥🇿🇦
wanangu nipo Congo Ila ii ngoma kabisa ni no1 walahi Roma,stamina n'a Nay wa mitego Hao ni ma rappers wa kweli Sio hawa wengine wasani wa bongo ambao wanaanza towa ngoma ambazo haziezi hata tazamwa n'a jamii mzima.ila hawa watatu tanzania ni viboko i Say🕺🕺🕺
mwanangu umetisha
May God keep this MAN for our next generation 🙏
LONG LIVE ROMA, MUCH LOVE AND BLESSINGS FROM KENYA 💯 🙏 💓 💐💐💐💐💐💐
@athumanijuma1374
Жыл бұрын
Sawa kabisa
@samirymwita7162
Жыл бұрын
Ameruuuuuudi😁😁😁😁😁😁
@GeorgeMtei
Жыл бұрын
❤🎉🎉🎉
To my son success and my daughter Charity huu wimbo uwakumbushe Tz y 2023
Nimeipenda hii ngoma ROMA ametumia vina vya Rap hajaimba Ngonjera kama nilivyomzoea 👏🏿
Huu wimbo nimeurudia mara 8 ngoma hatareeee big up my brother umeumiza kichwa sana #nipeni maua yangu.
"Jimbo hili haliendelei coz limemchangua mpizani" Listening from Kenya 🇰🇪 and what Roma is talking about is also happening here. Anyway have your flowers;🌹 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
@foodbasiccourt2028
Жыл бұрын
Whole afroca myfriend
@sashaman3862
Жыл бұрын
🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
@jacksonmwangi5305
Жыл бұрын
@@foodbasiccourt2028 True 100%
Roma unatakiwa ugombee uraisi
Am speechless, itoshe kuwa unaupiga mwingi Roma na tumekumis kweli sio uongo
This is what is called immortal music. It's full of social, economic and political contents. VIVA ROMA THE KING OF TANZANIAN HIP HOP!
@xadygenious414
Жыл бұрын
Plus military aspects
Nakupa maua Yako🎉Roma,umeelimisha,umekosoa,umeburudisha hakika wewe ni mwanafasihi mwenye sifa zote,unaijua kazi yako
Nasikiliza nyimbo hii nalia...
Roma Roma Roma tz tunataka watu jasir kama Roma maana hatujui tutakufa kwa kifo Gani Cha muhimu ukweli utabaki palepale uliyoyaongea humu nimeilipit ngoma zaid ya mala 10 nimepata Asilimia 98 kwenye wimbo huu ukweli hauchagui mtu nakuombe Roma mwenyezi mungu awe nawe kila everyday BY THE MCHIMCHI MBISHI
HII NDIO MAANA YA MSANII ACHANA NA HAWA WAIMBA MAPIANO PUMBAFU SANA, Ishi sana brother, we na Ney ndo sauti ya Tanzania ilio baki 🇹🇿
@felisterwilson9259
Жыл бұрын
na Ney wa Mitego
Wimbo mzuri sana wenye ujumbe mzito wenye mpangilio wa mashairi hongera sanah unastairi tunzo ya usanii Bora Tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hii ngoma inaweza kuandikwa na watu wenye level ya juu kabisa ya kifikra ROMA I salute you bro🕴
Mm nimetoka jera kumbe maisha yako ivi
Roma doesn't Disappoint....Much love from Uganda
@rahimkimaro2929
Жыл бұрын
Omwana omuwuludde. Ebu muimbie nahuyu Kaguta😅
@emmanuelboniphace958
Жыл бұрын
Rimoti ipo msoga
@NiyonzimaYvettetupnbipya-ku6xt
Жыл бұрын
Kbs🥰🥰🥰 big up San