ROMA ft Abiud - Nipeni Maua Yangu (official Audio)

Музыка

NIPENI MAUA YANGU by ROMA MKATOLIKI featuring Abiud
Audio produced by Bea
Twitter: / roma_mkatoliki
/ roma_mkatoliki
Copyright (C) 2023 ROMA.
---
Powered by www.vydia.com
ALL RIGHTS RESERVED.
#NIPENIMAUAYANGU #ROMA #ABIUD
Kaka Tuchati ► • Rostam - Kaka Tuchati ...
Now You Know ► • KHALIGRAPH JONES x ROS...
Kibamia ► • Video
HIvi Ama Vile ► • Rostam (Roma & Stamin...
Zimbabwe ► • Roma - Zimbabwe [Offic...
Kaolewa ► • Rostam - Kaolewa (Off...
ParaPanda ► • ROSTAM - PARAPANDA | ...
Anaitwa Roma ► • Roma Ft One Six - An...
Mkombozi ► • Roma - Mkombozi (Offic...
Watani Wa Jadi ► • Rostam Ft Mr. Blue - W...

Пікірлер: 9 300

  • @amisiba751
    @amisiba7515 ай бұрын

    Waliorudia wimbo huu mwaka 2024 tujuane kwa likes hapa

  • @user-jq9mi2oi1u

    @user-jq9mi2oi1u

    2 ай бұрын

    Npo hapa

  • @alfredfrance8355

    @alfredfrance8355

    2 ай бұрын

    🎉

  • @EzechielNdikumana-qz2ni
    @EzechielNdikumana-qz2ni Жыл бұрын

    Nyimbo Kali Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 tumeipokea kwa hamu kubwa, mtupe like kama mmependa nyimbo hii

  • @NyamtigaIbrahim
    @NyamtigaIbrahimКүн бұрын

    Kama Huna D 2 Huwezi Kujua Kauli Ya Kusema Mnatungua Papai Kwa Kutumia Gobole Na Ya Hii Ya Kusema Ushawahi Jiuliza Kwani Bega Lipo Kalibu Na Kwapa 😅😅😅 Hapo Lazima upitie Cuba Kama Umeelewa Kama Mimi Gonga Like Kufurahia Mifumo

  • @faustinhommedetatnifasha9669
    @faustinhommedetatnifasha9669Ай бұрын

    #Makonda anaongoza #Arusha kwakutumia huu wimbo

  • @ThedonThedon-vq5ye
    @ThedonThedon-vq5ye Жыл бұрын

    Kama umeisikiliza mara 3 na zaidi , gonga like hapa🎉🎉🎉🎉

  • @chobalikosimon6459
    @chobalikosimon6459 Жыл бұрын

    kama umeupenda huu wimbo kama mimi basi nipe maua yangu 🤝

  • @handasonshaban8248

    @handasonshaban8248

    Жыл бұрын

    Bitanakwangu

  • @angellomarcel5677

    @angellomarcel5677

    Жыл бұрын

    💐🌸🌷

  • @MartherKeneth-zt1ge

    @MartherKeneth-zt1ge

    Жыл бұрын

    🌸🌸🌸

  • @GeorgeMtei

    @GeorgeMtei

    Жыл бұрын

    🎉❤🎉🎉

  • @taratibu

    @taratibu

    Жыл бұрын

    Nachagua Andazi

  • @user-gk3tr7ec6z
    @user-gk3tr7ec6z4 күн бұрын

    Nipeni na mimi like zangu roma ana fight🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @DommyAbasy-cn5nc
    @DommyAbasy-cn5nc16 күн бұрын

    Roma ubaki huko huko na uendelee kutusemea mzee♥ tunakupenda sana

  • @ManagerMsomi
    @ManagerMsomi Жыл бұрын

    Wakwanza nipenii like zangu Roma oooooyeeee

  • @verifierempire
    @verifierempire Жыл бұрын

    Waliorudia huu wimbo zaidi yà mara moja, Gonga like please 😊

  • @albinusnyaiyo2614

    @albinusnyaiyo2614

    Жыл бұрын

    Wengne tumeuchkuwa ndo ringtone

  • @jovinpaul6937

    @jovinpaul6937

    Жыл бұрын

    Kweli ujumbe wa kutosha

  • @immamwerr9202

    @immamwerr9202

    Жыл бұрын

    Kumbe wewe mara mbili tuu??

  • @calvinsosthenes6133

    @calvinsosthenes6133

    Жыл бұрын

    Nimerudia Mara tano

  • @rizikipantaleo547

    @rizikipantaleo547

    Жыл бұрын

    Sio mara mbili tu me nimerudia zaid ya mara tano

  • @abdulhamisi1937
    @abdulhamisi1937 Жыл бұрын

    Kaka wewe ni kioo cha jamii mzalendo unatufariji sisi watz wenye maisha ya kila kukicha kheri y Jana mwenyezi Mungu akupe nguvu uzidi kutetea wanyonge amiin.

  • @user-kj3hg7gc2m
    @user-kj3hg7gc2m Жыл бұрын

    Hizi ndo nyimbo tunazo zitaka kama unamkubali Roma na nyimbo zake kama Mimi nipeni maua yangu🔥🔥🔥🙌

  • @akidajulius1581

    @akidajulius1581

    Жыл бұрын

    🎉🎉🎉

  • @Handitv123

    @Handitv123

    Жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥

  • @zephkivungi8090
    @zephkivungi8090 Жыл бұрын

    Siwezi kutosha huu wimbo. Wangapi wameusikiza mara nyingi kama mimi? Naukumbuka Zimbabwe ila huu ni next level 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ashakhaliky4772

    @ashakhaliky4772

    Жыл бұрын

    Wallah machozi yananitoka .ukweli hata usikilize mara mbl bado utahitji kuusikiliza. sna cha kusema Roma na kundi lako Allah awajalie afya ktk kaz zenu👏

  • @amarnam5016

    @amarnam5016

    3 ай бұрын

    🤝👏👏

  • @erickgulayi2089
    @erickgulayi2089 Жыл бұрын

    Huu wimbo una kila kitu ambacho watanzania tunahitaji, basi kama unakubaliana na Mimi basi nipeni Maua yangu pia👏👏😂

  • @csato9415

    @csato9415

    Жыл бұрын

    🌺🌺🌻🌻🌼🌼🌷🌷

  • @ibrahimkimtiy965

    @ibrahimkimtiy965

    Жыл бұрын

    🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌷💐🌷💐🌷💐🌷💐🌷💐🌷💐💐🌷💐💐💐💐💐🌺🌺

  • @mretamreta8058

    @mretamreta8058

    Жыл бұрын

    Hatari sana huu wimbo bonge la shairi

  • @matrixTV.

    @matrixTV.

    Жыл бұрын

    Yamoto sana

  • @zakiasepetu7628

    @zakiasepetu7628

    Жыл бұрын

    🎀🎊🎉💎🇹🇿

  • @victorjaoko3862
    @victorjaoko3862 Жыл бұрын

    Ukisikia popote wimbo huu ukipigwa simama kwa heshima ukiisha endelea na safari yako.

  • @fadhilijuma3196

    @fadhilijuma3196

    Жыл бұрын

    TULIWAONA MARAPA LEO WAPO BUNGENI ROMA NI 💥💪💪💪💪💪

  • @elidabill2970

    @elidabill2970

    Жыл бұрын

    Salut

  • @iddishelton
    @iddishelton5 ай бұрын

    🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥💥💥💯🎶🎵message recieved to those who think the own our live ...,Bomboclat politicians..even here in kenya we are 😭😭😭 more than you brothers .,wapi likes za kenya please

  • @user-vm3pz5pk8k

    @user-vm3pz5pk8k

    2 ай бұрын

    😢😢😢❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @hymerpozgalayz
    @hymerpozgalayz Жыл бұрын

    To those listening this song in 2098....ROMA was a pure talent from God.

  • @ellyjulius165

    @ellyjulius165

    Жыл бұрын

    Legendary comment😢

  • @theone1621

    @theone1621

    Жыл бұрын

    RIP Roma

  • @richardmbasha1411

    @richardmbasha1411

    Жыл бұрын

    Huyu ndio wewe sasa, yaani ni🔥🔥🔥🔥👌

  • @ramadhanidyamwale4302

    @ramadhanidyamwale4302

    Жыл бұрын

    I give this capt 100 likes

  • @DJELULI

    @DJELULI

    Жыл бұрын

    umetisha

  • @musajacob334
    @musajacob334 Жыл бұрын

    Anaechelewesha msafara ni ng'ombe wa mbele ila anachapwa wa myuma na ndie anaepiga kelele ,,What a line✊🙌

  • @jacobmwandenga3364

    @jacobmwandenga3364

    Жыл бұрын

    Aiseeee ni nondo kuliko

  • @juliethnicholaus8299

    @juliethnicholaus8299

    Жыл бұрын

    Atali

  • @churagambe3312

    @churagambe3312

    Жыл бұрын

    Kwamba ujaelewa

  • @hashimhassan4812

    @hashimhassan4812

    Жыл бұрын

    Ng`ombe wa mbele ndo nani na wanyuma ndo nani?

  • @edgarkazimiry4091

    @edgarkazimiry4091

    Жыл бұрын

    @@hashimhassan4812 ng'ombe wa mbele Ni viungozi wasiio waadlifu na ng'ombe wa nyuma Ni wananchi

  • @lazaromshamu3521
    @lazaromshamu3521 Жыл бұрын

    kwa mara ya kwanza nausikiliza huu wimbo,nimeurudia zaidi ya mara 10, VIVA ROMA chukua maua yako dadeki,you are the in AFRICA

  • @machindafadhili3186
    @machindafadhili318610 ай бұрын

    Kabla ya kulala hadi niusikilize huu wimbo. Roma chukuwa mauwa yako ndugu yangu. 🎉🎉🎉🎉

  • @abbasallysaidy5442
    @abbasallysaidy5442 Жыл бұрын

    Huyu Jamaa ukisema umsikilize sana unaweza ukijikuta unakuwa Mpinzani ghafla au Mwanaharakati... A pure Talent, GENIUS...🫡🫡🫡

  • @nassoroshakiru7094

    @nassoroshakiru7094

    Жыл бұрын

    kabisa kabisa yan unaweza jikuta hutamani kuskia kuhus chamantawalq

  • @immasudi8332

    @immasudi8332

    Жыл бұрын

    Umesahau kuwa na hasira kwa walio madarakan

  • @liannsambu7264

    @liannsambu7264

    Жыл бұрын

    Siyo thambi kuwa

  • @zuleyvendor6577

    @zuleyvendor6577

    Жыл бұрын

    Bora atuammshe watanzania ujinga ututoke

  • @justinbara6783

    @justinbara6783

    Жыл бұрын

    Mm mwenyewe kupitia huu wimbo natamani Sana kuwa mwanaharakati

  • @zuleyvendor6577
    @zuleyvendor6577 Жыл бұрын

    Tunakupenda Roma wewe ni mkombozi wa fikra za wengi Tanzania ❤❤ Mungu akulinde nakuona mtu mkubwa sana Tanzania soon❤

  • @hassanomary9825

    @hassanomary9825

    Жыл бұрын

    Si utani

  • @biardeng4225
    @biardeng4225 Жыл бұрын

    Kiswahili ndio lugha ya taifa katika bara letu la Africa na ni jukumu langu keendeza lugha hii pale Sudan Kusini 🇸🇸 number one Roma/Rostam fan . Nakupa maua yako Roma Mkatoliki 🌹 ✊

  • @hamisharuna3382

    @hamisharuna3382

    Жыл бұрын

    Karibu bongo

  • @fredmabeta5914
    @fredmabeta59149 ай бұрын

    "Anayechelesha msafara siku zote ni ngombe wa mbele ila anachapwa wa nyuma na ndiye anayepiga kelele"....deep 🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀 maua yako hayo yanuse

  • @Hamzasenior_
    @Hamzasenior_ Жыл бұрын

    To Everyone listening to this song in 2070’s this man was a Legend ✅🐐

  • @mkodojoseph-kt8wd

    @mkodojoseph-kt8wd

    Жыл бұрын

    😆😆😆

  • @sossyforreal814

    @sossyforreal814

    Жыл бұрын

    Legendary comment.

  • @johnmwanja9719

    @johnmwanja9719

    Жыл бұрын

    Eeeish 😅

  • @allykamanga4366

    @allykamanga4366

    Жыл бұрын

    Akiachia nyimbo huwa yamaaana

  • @sossyforreal814

    @sossyforreal814

    Жыл бұрын

    @@allykamanga4366 Hakoseagi kwenye hii vipengele muhimu vya hip hop hasa hasa Kukosoa.

  • @mubackprince7095
    @mubackprince7095 Жыл бұрын

    Waliorudia wimbo huu zaidi ya mara 3 tujuane nipeni like zangu

  • @Joetweve-dt9kh

    @Joetweve-dt9kh

    Жыл бұрын

    Sio mara tatu me ni siku nzima nauplay

  • @GeorgeMtei

    @GeorgeMtei

    Жыл бұрын

    Sio mara tatu nimerudi mara 50

  • @gladnesskamana8706
    @gladnesskamana8706 Жыл бұрын

    Hatari sana, nyimbo iko poa sana nimeisikiliza zaidi ya mara 6, mistari imetulia na message delivered. Hongera sana Mkatoliki, KEEP IT UP.

  • @wallesmdoe9164
    @wallesmdoe916410 ай бұрын

    Tufahamiane Kwa like wale ambao tunauchukia.uongozi wasasa

  • @GodwithusSr
    @GodwithusSr Жыл бұрын

    Roma supporters gonga like twende ,Nasio utani ukishindwa kujifunza hapa ndo bas tena😢.....nipeni maua yangu niyanuse ningali Hai ....amen tutaonana tenaa roma tutaonana tena

  • @eliudmandike6839

    @eliudmandike6839

    Жыл бұрын

    Nipeni like zangu

  • @hilarydamasi4307

    @hilarydamasi4307

    Жыл бұрын

    huyu ndo Roma tunayemjua sasa

  • @allanmwakibinga959

    @allanmwakibinga959

    Жыл бұрын

    You killed it bruh

  • @GodwithusSr

    @GodwithusSr

    Жыл бұрын

    ​@@allanmwakibinga959 thanks 🙏🏻

  • @lynucelutta1471

    @lynucelutta1471

    Жыл бұрын

    Aise like you romaaaaaa

  • @mosesmuhasa4380
    @mosesmuhasa4380 Жыл бұрын

    vipi mkuu Roma Asante kwa kazi💪💪 Naamini mi ndo wakwanza ku coment, gonga like kama unamkubali Roma 💯 ✅✅I'm from congo🇨🇩🇨🇩

  • @mosesmuhasa4380

    @mosesmuhasa4380

    Жыл бұрын

    ok

  • @officialhonreal3419
    @officialhonreal3419 Жыл бұрын

    U never disappoint Roma.....Kama unamkubali Roma kwa asimia 100 gonga like hapa♥️🙏

  • @michaelmsinda4920
    @michaelmsinda4920 Жыл бұрын

    Nakukubali mwamba,kwa huu wimbo sina la kusema,uko na kipaji sana,shabiki wako mkubwa kutoka Kenya🇰🇪

  • @bakarihassani-ss3qx

    @bakarihassani-ss3qx

    Жыл бұрын

    Nitajie mstari mmoja ulio ukubali Sana.

  • @michaelmsinda4920

    @michaelmsinda4920

    Жыл бұрын

    @@bakarihassani-ss3qx Sasa sijui nianzie wapi kifuani nimebeba mengi 🥺na sitotenda haki nisiposema hiki sipendi hiki napenda kile sitaki mambo ya kishenzi Na ukisema hawatufai wanakuumiza wee mpole yani wanaangua papai kwa kutumia gogole wanatumia nguvu kubwa kwenye mambo madogo jeshi gani mpaka leo mmeshindwa kumjua kigogo? Mkiongelea kutekwa eti tunarudia agenda,hamjibu mnakwepa mbona mama anarudia kilemba?🤷 Nchi gani raia akihoji mnasema anakosoa na akikosoa anatukana serikali hii sio poa! Haya basi tuseme mko sawa na mna nia nzuri na sisi eeeh 😌mbona vyuma vimekaza alafu mama anaificha grisi? Mara mkapandisha tozo kampeni mkaona hatuwaungi si tulihoji mkajibu kwa dharau tuhamie burundi Tatizo mkiapishwa tu mnawaza uchaguzi ujao,hamuwazi njia mbadala kumlinda mkulima na mazao Yani bongo kikubwa uzima tu 😣 Sasa mnatuambia tujiajiri mbona nyinyi hamkujiajiri ok nikupe bodaboda yangu kisha wee unipe uwaziri?Nikukabidhi vyeti vyangu hangaika navyo mwezi mmoja niko pale nakungoja uje tuongee lugha moja! Mimi sio CCM sio Chadema,hili niliweke wazi ila ukieka CCM na Andazi nitachagua Andazi,simwamini mtawala na mpinzani simsadiki maana wanaendelea kukatika huku Dj kauzima muziki Na inaiuma kuona msomi wa degree tatu mnashindwa kumpa ajira sasa anauza nyanya Karatu,Sasa sijui mtaniua nikimshikia mama shiringi maana hata inyeshe mvua mnasema naupiga mwingi 🤔 Na namkubali na nitamng'ata sikio kama hajui wanaomkosoa ndo wanampenda wanaomsifia ndo maadui,ili wapate teuzi ndo wanamlamba miguu wakimpamba hawamsaidii amri jeshi mkuu Hivi hamjasikia tetesi kuwa rimoti iko msoga?Sukuma geni imedoda,magogoni imenoga Tatu ndani ya track moja,wamekalia kigoda Ngolo kante anampa Mbappe cross anafunga Pogba😁 Hii nchi ina wenye nchi ,wala nchi na wananchi,na kuendelea kuwachagua ni kuenda na mchanga kwenye beach,kuwajaribu na wapinzani na watawala si wameshapata? Ugoro umewaingia puani sasa ona wanapiga chafya! Wanatumia dollar kubaki kongo za Dollar watawafunga watapora wataua watahonga vijora Karatasi tunaibiwa za kura kwenye sanduku,kwa hiyo mnatuonyesha ziwa huku mmeziziba chuchu??? Dini gani mchungaji akitaka gari twamchangia,muumini akitaka gari twamuombea twamsalia,mchungaji tusimpe pesa tumuombee na yeye pia,tukae pale tusubiri miujiza ya wagalatia😂 Wabunge wengi mlishinda kwa hisani ya mwendazake,mkipatacho muende chato mkumbuke hata ndugu zake,,,, jimbo hili haliendelei coz mmemchagua mpinzani,haya sasa mmeshinda kote fauluni huo mtihani Wa Basata msikie hili msije fungia huu wimbo , Kichwa kisicho na akili ni mzigo kwa shingo Ushauliza kwa nini bega liko karibu na kwapa?Usiondoke baki hapa usikie vesi inayofuata!!!!!! Yanga na Simba ni wapinzani ila sio kwamba hawapatani,maji yanayotoka mto msimbazi ndo yanayojaza jangwani!!! Na sio utani msipojifunza hapa ndo basi tena aliyesema aongezewe muda bungeni ameaga mapema,wakamlisha asali kwa kisu akalamba akamwaga wino,tangulia na dereva barua utaikuta chamwino

  • @zulayfasalumu701

    @zulayfasalumu701

    Жыл бұрын

    Hii inchii ina wala nchi na wenyee nchii 👂 noma saanaa 🤔

  • @ayubujnnko6157

    @ayubujnnko6157

    Жыл бұрын

    ​@@zulayfasalumu701 😂nnchi ina wananchi wenye nnchi na walannchi

  • @sharifumuya1979

    @sharifumuya1979

    Жыл бұрын

    anarudia kiremba

  • @ambroseomae4377
    @ambroseomae4377 Жыл бұрын

    Wish my fellow Kenyans can listen to this great message🇰🇪🇰🇪 💯💯

  • @williamouma8263
    @williamouma82636 ай бұрын

    Roma ni Mwamba ajab ,East and Central Africa ajawai tokea mwanamuziki kama Roma.Pokea flowers Bingwa

  • @ManagerMsomi
    @ManagerMsomi Жыл бұрын

    Huyu ndio Roma tunae mjua sisi

  • @GemaShayo-hf6wf
    @GemaShayo-hf6wf Жыл бұрын

    To my daughter listening to this song when you grow up, know that your father gave Roma his flowers when he was alive.

  • @brunokimaro1053

    @brunokimaro1053

    8 ай бұрын

    kzread.info/dash/bejne/hGtso9iYpcyoqMo.html

  • @eldersimonproduction
    @eldersimonproduction Жыл бұрын

    “We all face difficult times. It is only the grace of God that gives strength to endure.”

  • @noelynjelekela5406
    @noelynjelekela5406 Жыл бұрын

    Roma kaka unajua sana tunakutegemea bila ww hatuwezi toboa

  • @Enemy_19
    @Enemy_19 Жыл бұрын

    #nape "nikupe boda yangu unipe uwaziri wako" oya nipeni emoji za moto 🔥🔥

  • @kakadabby4017
    @kakadabby4017 Жыл бұрын

    Hii ifike 1M views within one week itakuwa unyama sana,,,,Wapi likes za Roma basi🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @HamadizoMadizo
    @HamadizoMadizo Жыл бұрын

    Nice song

  • @user-jo1ww9sn1d
    @user-jo1ww9sn1d2 ай бұрын

    Mimi namupa mauw yake mapema🎉 weweje

  • @ananiasimon7992
    @ananiasimon7992 Жыл бұрын

    Haya watu igongeni like hii comment mpaka Samia aione ikulu maana hii ngoma lazima aisikilize

  • @ibrackibrahim6909
    @ibrackibrahim6909 Жыл бұрын

    Roma Bwana 😂😁😁😁😁 Mungu akuhongezee miaka yakuishi🔥🔥🔥🔥🔥🌟🌟🌟🌟🌟

  • @BenedictSulle-ju9if
    @BenedictSulle-ju9if Жыл бұрын

    Big up Roma the pride of Tanzania ngoma imesheheni mistari mizuri sana ambayo inamgusha kila Mtanzania Mzalendo note Ngolo Kante anampa Mbabe cross anafunga Pogba mm nataka niimbe verse tunakumissss mwana rudi njoo utusemee

  • @user-xv6un5wx1w
    @user-xv6un5wx1w Жыл бұрын

    Waliorudia huu wimbo zaidi ya mara mbili.. tujuane.

  • @jamesmelkiadesmpinika6337
    @jamesmelkiadesmpinika6337 Жыл бұрын

    Yaan nikisikiliza Hii nyimbo..... Nakuvuta picha Hali ilivyo Tz basi TU Roma Umri mrefu ViVa....!!! Mungu akujalie Afya njema Mwanaharakati✅

  • @mkechiivo5332
    @mkechiivo5332 Жыл бұрын

    Kwa wimbo huu nina imani kabisa huwezi rudi bongo leo wala kesho big up roma viva romaa

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 Жыл бұрын

    Kila nikifungua u tube lazima nikusikilize Roma Mungu akuhifadhi milele na milele nakukubali sana binafsi mimi nimeshakupa maua yako kabla ya kwenda kaburini ❤❤u so much wangapi tumerudia huu wimbo mara kwa mara kila tukiingia u tube

  • @santiagokenya6294
    @santiagokenya6294 Жыл бұрын

    You're great man mr roma,,you will be forever remembered,,we celebrate you.when you're still alive,,here in Kenya 🇰🇪 we love you,,you're real ,lyrics ✅️, message ✅️,,the song is complete what a common mwananchi needs to hear

  • @lungoznyamaume5802
    @lungoznyamaume5802 Жыл бұрын

    Wanatumia guvu kubwa kwenye mambo madogo💥💥👊namkubali mia mia kaka Roma💪from Mombsa 🇰🇪

  • @MtiliPyson-wd5mp
    @MtiliPyson-wd5mp Жыл бұрын

    Nyimbo umeuwa sana hii kaka na umeiyongelea hali alisi ya maisha tunayoyaishi watanzania wotee yan🙏🏿🙏🏿🙏🏿 VIVA ROMA

  • @danielworshiper6002
    @danielworshiper6002 Жыл бұрын

    Leo ni mwana hiphop kesho wewe ni kiongoz wa taifa hili .......Beo viva.................tunao amin hayo gonga like hapa chini

  • @karenjujulius364
    @karenjujulius3649 ай бұрын

    If you have a voice you've got the obligation to project it for humanity. Thank you Roma for being the voice of the voiceless🙏🏿.

  • @djnickzie9743
    @djnickzie9743 Жыл бұрын

    Maneno makubwa yamo kwenye track huu,Wimbo huu umekubalika nchini Kenya 🇰🇪

  • @harrydinouser3080
    @harrydinouser3080 Жыл бұрын

    Kama umesikiliza wimbo wa taifa Mara tatu gong like twende sawa

  • @DubaiShop-ch8yd
    @DubaiShop-ch8yd28 күн бұрын

    Roma na ney mazee nawaona mbali Sana tuwaombeeeni wazid kututetea kwa uongoz wa kiafrika kupitia mziki wao

  • @user-ke2gy6nx1i
    @user-ke2gy6nx1i10 ай бұрын

    😭😭😭😭😭😭nalia kwa uchingu wa maneno mazuri ya huu wimbo jamani hiki kichwa hapana ngoja tu nikupe may Yako🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹

  • @biaishaallybiaishaally4784
    @biaishaallybiaishaally4784 Жыл бұрын

    Tanzania kuna watu wana akili sanaaaaa Roma popote ulipo drink soda nakuja kulipa❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @nehzreal7445
    @nehzreal7445 Жыл бұрын

    +254 here listening show some love for roma 🇰🇪

  • @user-tr2kq2dg2p
    @user-tr2kq2dg2p6 ай бұрын

    From Kenya Malindi ((kilifi county) umekubalika kaka

  • @user-rk3wj8ol5k
    @user-rk3wj8ol5k Жыл бұрын

    Daah huu ni binge la wimbo Maua yako chukua

  • @thadeusmahendeka4466
    @thadeusmahendeka4466 Жыл бұрын

    Namshukuru Mungu kupata nafasi ya kusikiliza majestic writings of ROMA. Huyu mwamba ni pure talented hipHop artist..Kazi yake itaishi milele Daima, vizazi na vizazi. Tanzania yangu Mwenyezi Mungu atusaidie, tuna mtihani mkubwa sana kuijenga nchi yetu.

  • @hassanhussein5749

    @hassanhussein5749

    Жыл бұрын

    respect man👍👍👍👍😥😥😥😱 big up best rapper of TZ

  • @ibrahimsalim8368

    @ibrahimsalim8368

    Жыл бұрын

    viva roma

  • @hamisomaryrajabu4129

    @hamisomaryrajabu4129

    Жыл бұрын

    Ujyuuwu

  • @hamisomaryrajabu4129

    @hamisomaryrajabu4129

    Жыл бұрын

    Hhehuwu

  • @hamisomaryrajabu4129

    @hamisomaryrajabu4129

    Жыл бұрын

    @@hassanhussein5749 huuyyrdy

  • @Trend_TV_
    @Trend_TV_ Жыл бұрын

    Bonyeza picha kisha SUBSCRIBE usipitwe na Habari zote zakijanja hapa town

  • @sossyforreal814
    @sossyforreal814 Жыл бұрын

    Hii ngoma imeandikwa kwa kipindi cha miaka 8, yaani tangu mwaka 2015. Dah Tanzania mwanamuziki ni mmoja tu. Long Live Roma. Mtanzania mzalendo mwenye kuipenda nchi yake.

  • @iwishtv7907

    @iwishtv7907

    Жыл бұрын

    Dizasta vina

  • @RechoAhule-qb8zr

    @RechoAhule-qb8zr

    Жыл бұрын

    @@iwishtv7907 hamnakitu

  • @barakaephraim5481

    @barakaephraim5481

    Жыл бұрын

    Mungu akulinde daimaaa mr Roma

  • @davidngenda924

    @davidngenda924

    Жыл бұрын

    Na true boy, one nation🤝🏼😃😃😃

  • @Oldskulgemini9991

    @Oldskulgemini9991

    Жыл бұрын

    @@iwishtv7907 Hana ushawishi kwa jamii anaushawishi kwa masela tu😂

  • @AliSalehe-gd7ji
    @AliSalehe-gd7ji Жыл бұрын

    this song so creative music all the best brother

  • @Tsarjc112
    @Tsarjc112 Жыл бұрын

    Roma Kwa Nini bega Lipo karibu na kwapa Alieelewa aje anielewesheee

  • @soudyruge9858
    @soudyruge9858 Жыл бұрын

    Kwakweli tulimiss hizi kazi ahsante Mr Roma tulikuwa tushachoka na habari za JEJE 😁😁 Respect bro 🙌🙌🙌🙌

  • @dumabagame3901
    @dumabagame3901 Жыл бұрын

    Nimerudia hii nyimbo Mara 104 gonga like twende Sawa VIVA ROMA

  • @bakarihassani-ss3qx

    @bakarihassani-ss3qx

    Жыл бұрын

    Goma Kali Sana brooo..nitajie mstari gani umeondoka nao Kama funzo broo?

  • @peteruzia8313
    @peteruzia8313 Жыл бұрын

    Na kiongozi bola atoka Kwa Mungu.🙏

  • @barakamarigirya1905
    @barakamarigirya1905 Жыл бұрын

    Jamani tumpe maua yake🎄🎉🎉

  • @danielpeter7921
    @danielpeter7921 Жыл бұрын

    This guy is phenomenal,..very different from other artists,..mtetezi wa wanyonge. Big love from Kenya 🇰🇪

  • @danielpeter7921

    @danielpeter7921

    Жыл бұрын

  • @frankbundi7713

    @frankbundi7713

    Жыл бұрын

    So much love from 254 ❤

  • @bowattanga

    @bowattanga

    11 ай бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @furahahappe1641
    @furahahappe1641 Жыл бұрын

    Roma 🔥🔥🔥 vitu vya kweli vyote ulivyosema! Anayechelewesha msafara 😢😢! Chukua maua yako Roma 🌹💐🌺🍁🪸🥀🪷🌹🌷🌺🌺🌸🌸🍁🍁🪷🪷🌺🌺🌸🌸

  • @PaiGrande5902
    @PaiGrande5902 Жыл бұрын

    Safi sana konga like apa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @geraldnjiku559
    @geraldnjiku559 Жыл бұрын

    Sio poa sio poa legends ❤❤...bonyeza like hapo

  • @innocentfocus9217
    @innocentfocus9217 Жыл бұрын

    Hii nchi ina wananchi, wenye nchi na wala nchi🙌🙌

  • @KibakiKibaki-jm2ni
    @KibakiKibaki-jm2ni Жыл бұрын

    Huu ndiyo wimbo wa taifa sasa achana na ule wa Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote

  • @patricksoko1279

    @patricksoko1279

    Жыл бұрын

    😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄

  • @nuruelymmary9683

    @nuruelymmary9683

    Жыл бұрын

    🤣🤣 hiii imeenda

  • @zuleyvendor6577

    @zuleyvendor6577

    Жыл бұрын

    Kwa kweli sio uongo 😂😂😂😂

  • @CardealInacioMuaquia-rt6kn

    @CardealInacioMuaquia-rt6kn

    Жыл бұрын

    Kabisaaaaaaa

  • @GeorgeMtei

    @GeorgeMtei

    Жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @bernardmacharia1872
    @bernardmacharia18726 ай бұрын

    ❤❤❤Roma I wish you were a Kenyan, voice for voiceless. VivaRoma

  • @godblexxgyunda6060
    @godblexxgyunda606028 күн бұрын

    2024 wimbo utaishi milele

  • @williamnyenyembe8968
    @williamnyenyembe8968 Жыл бұрын

    Tukimpoteza huyu msanii bac ❤❤❤

  • @ngamanyajoshua839

    @ngamanyajoshua839

    Жыл бұрын

    True

  • @allyzegele1373
    @allyzegele1373 Жыл бұрын

    Nakuamini ROMA kwa kujilipua auogopagi.🔥🔥🇿🇦

  • @MartinCizazihalirwa
    @MartinCizazihalirwa10 ай бұрын

    wanangu nipo Congo Ila ii ngoma kabisa ni no1 walahi Roma,stamina n'a Nay wa mitego Hao ni ma rappers wa kweli Sio hawa wengine wasani wa bongo ambao wanaanza towa ngoma ambazo haziezi hata tazamwa n'a jamii mzima.ila hawa watatu tanzania ni viboko i Say🕺🕺🕺

  • @husseinmakame12
    @husseinmakame1211 ай бұрын

    mwanangu umetisha

  • @eraschata5996
    @eraschata5996 Жыл бұрын

    May God keep this MAN for our next generation 🙏

  • @willinjowritter206
    @willinjowritter206 Жыл бұрын

    LONG LIVE ROMA, MUCH LOVE AND BLESSINGS FROM KENYA 💯 🙏 💓 💐💐💐💐💐💐

  • @athumanijuma1374

    @athumanijuma1374

    Жыл бұрын

    Sawa kabisa

  • @samirymwita7162

    @samirymwita7162

    Жыл бұрын

    Ameruuuuuudi😁😁😁😁😁😁

  • @GeorgeMtei

    @GeorgeMtei

    Жыл бұрын

    ❤🎉🎉🎉

  • @mtei_clemency
    @mtei_clemency Жыл бұрын

    To my son success and my daughter Charity huu wimbo uwakumbushe Tz y 2023

  • @ShaqueeBlackrapper
    @ShaqueeBlackrapper Жыл бұрын

    Nimeipenda hii ngoma ROMA ametumia vina vya Rap hajaimba Ngonjera kama nilivyomzoea 👏🏿

  • @abdulabubakar1247
    @abdulabubakar1247 Жыл бұрын

    Huu wimbo nimeurudia mara 8 ngoma hatareeee big up my brother umeumiza kichwa sana #nipeni maua yangu.

  • @jacksonmwangi5305
    @jacksonmwangi5305 Жыл бұрын

    "Jimbo hili haliendelei coz limemchangua mpizani" Listening from Kenya 🇰🇪 and what Roma is talking about is also happening here. Anyway have your flowers;🌹 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹

  • @foodbasiccourt2028

    @foodbasiccourt2028

    Жыл бұрын

    Whole afroca myfriend

  • @sashaman3862

    @sashaman3862

    Жыл бұрын

    🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹

  • @jacksonmwangi5305

    @jacksonmwangi5305

    Жыл бұрын

    @@foodbasiccourt2028 True 100%

  • @BiggyBoss-kf8sj
    @BiggyBoss-kf8sj Жыл бұрын

    Roma unatakiwa ugombee uraisi

  • @stephanocornely130
    @stephanocornely130 Жыл бұрын

    Am speechless, itoshe kuwa unaupiga mwingi Roma na tumekumis kweli sio uongo

  • @patricknamangoa6468
    @patricknamangoa6468 Жыл бұрын

    This is what is called immortal music. It's full of social, economic and political contents. VIVA ROMA THE KING OF TANZANIAN HIP HOP!

  • @xadygenious414

    @xadygenious414

    Жыл бұрын

    Plus military aspects

  • @WitnessMaruru-oi7xq
    @WitnessMaruru-oi7xq Жыл бұрын

    Nakupa maua Yako🎉Roma,umeelimisha,umekosoa,umeburudisha hakika wewe ni mwanafasihi mwenye sifa zote,unaijua kazi yako

  • @nancymongi9910
    @nancymongi991010 ай бұрын

    Nasikiliza nyimbo hii nalia...

  • @mchimchimbishi743
    @mchimchimbishi743 Жыл бұрын

    Roma Roma Roma tz tunataka watu jasir kama Roma maana hatujui tutakufa kwa kifo Gani Cha muhimu ukweli utabaki palepale uliyoyaongea humu nimeilipit ngoma zaid ya mala 10 nimepata Asilimia 98 kwenye wimbo huu ukweli hauchagui mtu nakuombe Roma mwenyezi mungu awe nawe kila everyday BY THE MCHIMCHI MBISHI

  • @phanymusic9900
    @phanymusic9900 Жыл бұрын

    HII NDIO MAANA YA MSANII ACHANA NA HAWA WAIMBA MAPIANO PUMBAFU SANA, Ishi sana brother, we na Ney ndo sauti ya Tanzania ilio baki 🇹🇿

  • @felisterwilson9259

    @felisterwilson9259

    Жыл бұрын

    na Ney wa Mitego

  • @japhetsahani7121
    @japhetsahani7121 Жыл бұрын

    Wimbo mzuri sana wenye ujumbe mzito wenye mpangilio wa mashairi hongera sanah unastairi tunzo ya usanii Bora Tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @AminiMsisi
    @AminiMsisi Жыл бұрын

    Hii ngoma inaweza kuandikwa na watu wenye level ya juu kabisa ya kifikra ROMA I salute you bro🕴

  • @alfredfrance8355
    @alfredfrance83552 ай бұрын

    Mm nimetoka jera kumbe maisha yako ivi

  • @Tesovibez
    @Tesovibez Жыл бұрын

    Roma doesn't Disappoint....Much love from Uganda

  • @rahimkimaro2929

    @rahimkimaro2929

    Жыл бұрын

    Omwana omuwuludde. Ebu muimbie nahuyu Kaguta😅

  • @emmanuelboniphace958

    @emmanuelboniphace958

    Жыл бұрын

    Rimoti ipo msoga

  • @NiyonzimaYvettetupnbipya-ku6xt

    @NiyonzimaYvettetupnbipya-ku6xt

    Жыл бұрын

    Kbs🥰🥰🥰 big up San

Келесі