Nay Wa Mitego - Sauti Ya Watu (Official Music Video)

Музыка

Stream/Download:linktr.ee/naywamitego
Listen to Nay Wa Mitego on Digital Streaming:
Audiomack:audiomack.com/naywamitego
Apple Music: / nay-wa-mitego
Boomplay:www.boomplay.com/share/artist...
KZread: / @naywamiteg
Spotify:open.spotify.com/artist/3P97o...
Connect Nay Wa Mitego on Social Media:
Instagram: / naytrueboytz
Facebook: / naywamitego
Twitter: / naythetrueboy
©2022 Free Nation.All rights reserved.
#NayWamitego #SautiYaWatu

Пікірлер: 7 100

  • @judgeman5085
    @judgeman5085 Жыл бұрын

    Tuambieane ukweli tulio irudia hii ngoma Zaid ya Mara mbili tujuane kwa like apa than wote tumuunge mkono nay kwa hii sauti ya watu/wanyonge

  • @richardsabanja1031

    @richardsabanja1031

    Жыл бұрын

    Nimerudia x4

  • @NGOSHA

    @NGOSHA

    Жыл бұрын

    ❤❤❤❤

  • @josiahamos6970

    @josiahamos6970

    Жыл бұрын

    Salute RAIS wakitaa🔥🔥🔥🔥

  • @wanatangawaja6397

    @wanatangawaja6397

    Жыл бұрын

    Mimi naona nimeirudia zaid ya mara 1000

  • @wanatangawaja6397

    @wanatangawaja6397

    Жыл бұрын

    Wanaharakati ninao wakubali ni nay na roma

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 Жыл бұрын

    Kama umeipenda hii ngoma dondosha like yako tujuane 🇶🇦✌

  • @orickonesmo7195

    @orickonesmo7195

    Жыл бұрын

    nisaw Ney wamitengo unacho kusema very nice mahana wanatudangany jiajiri wakati meajiriwa sol tufanyanje

  • @orickonesmo7195

    @orickonesmo7195

    Жыл бұрын

    nisaw Ney wamitengo unacho kusema very nice mahana wanatudangany jiajiri wakati meajiriwa sol tufanyanje

  • @DonMooSTUDIO_Express

    @DonMooSTUDIO_Express

    Жыл бұрын

    Bonyeza 👇 kzread.info/dash/bejne/loNss7ppc5iThpM.html

  • @harrisonkweka4092

    @harrisonkweka4092

    Жыл бұрын

    Jamaa anaongea ukweli sana,namkubali

  • @dongochura8514

    @dongochura8514

    Жыл бұрын

    Nimependa ujumbe umefika

  • @bakariibrahim8971
    @bakariibrahim8971 Жыл бұрын

    Kwanini usiache kuimba nyimbo zinginee zotee.. Ukaendelea kufkishaa sauti zetu mbelee… Mungu akulindee tupo pamoja na wewee kama ume mrudia mwamba zaid ya mara moja 2juanee apaa

  • @thadeompulila192
    @thadeompulila19211 ай бұрын

    Hongera Kaka Ney kwa kupigania wanyonge, wewe ni Mwanaume kweli unatuma ujumbe bila kuogopa hatari inayoweza kukupata, Binafsi umenigusa sana, Mungu akupe maisha marefu ipo siku sauti yako itafungua macho ya wanyonge wengi wanaoteseka katika haya maisha

  • @samomnanka2779
    @samomnanka2779 Жыл бұрын

    Let's unite to support this Man... He's a true people's voice.

  • @Kingtiger98

    @Kingtiger98

    Жыл бұрын

    Hehe kzread.info/dash/bejne/eoCl2MquaNnQaZs.html

  • @officialrayboy2256

    @officialrayboy2256

    Жыл бұрын

    Kama umeipenda ngoma hi kama mmi like yako tafathali

  • @ajeysafaris4735

    @ajeysafaris4735

    Жыл бұрын

    yes yes..hii ndio maana halisi ya sauti ya wnyonge

  • @shabanmwambogoja6512

    @shabanmwambogoja6512

    Жыл бұрын

    Hujawahi tuangusha mashabiki wako kweli ww ndio rais wa kitaa. Wapo wengi kama wewe na wenye sauti kama wewe ila wengi wao wamechagua kusifia watawala na kuimba ngono na pombe tu. God bless you nay wa mitego

  • @enockcharles9972

    @enockcharles9972

    Жыл бұрын

    Uhakika

  • @zuzuutv8782
    @zuzuutv8782 Жыл бұрын

    This lyrics '' Hivi mnaakili nyinyi, amnatushauri tujiajiri wakati nyinyi wenyewe mmeajiriwa, acheni hizo ajira mje mjiajiri ndio tuone nyinyi wahauri wazuri" walopenda this line tujuane

  • @johnrichardj9604

    @johnrichardj9604

    Жыл бұрын

    👆🏽

  • @giddykaveli9700

    @giddykaveli9700

    Жыл бұрын

    Kweli hauogopi

  • @Wamoyothenumberone

    @Wamoyothenumberone

    Жыл бұрын

    Sindiiooosasa

  • @zuzuutv8782

    @zuzuutv8782

    Жыл бұрын

    Sasa tuogope nn, nay ameongea Fact, huwez nishauri kitu ambacho wewe mwenyewe hauwez kifanya

  • @bidabidatz

    @bidabidatz

    Жыл бұрын

    Ifikie hatua tuwe Kama wakenya Kama kufa tuta kufa tu na mtoa hukumu nae Ata kufa Yanini kuogopa, ujumbe mzuri Ney wamitego🥰🥰✊+🇸🇪

  • @kimush
    @kimush Жыл бұрын

    "Ukiona mtoto haliii njaa na nyumbani hakuna chakula, wee mchunguze vizuri kuna sehemu anakula" - Ney wa Mitego. Love from 🇰🇪

  • @mdmahammad3278

    @mdmahammad3278

    11 ай бұрын

  • @bukasakabwe3609

    @bukasakabwe3609

    10 ай бұрын

    Kabisa

  • @ShasterTV
    @ShasterTV Жыл бұрын

    Sema hii ngoma hadi nasikia ganzi moyoni.. maumivu makali dah.. mungu ibariki tanzania

  • @sanchostylist...9719
    @sanchostylist...9719 Жыл бұрын

    Nay Wa Mitego Always Delivers The Message Straight To The Victim...Love From Kenya🇰🇪👏❤️

  • @mozespatnam7469

    @mozespatnam7469

    Жыл бұрын

    Facts sanaaa

  • @geoffreykalee4663

    @geoffreykalee4663

    Жыл бұрын

    bythaa hii wimbo yaguza wakenyan nikiwa mmoja wao

  • @sanchostylist...9719

    @sanchostylist...9719

    Жыл бұрын

    @@mozespatnam7469 This Man is so talented and full of confidence...

  • @sanchostylist...9719

    @sanchostylist...9719

    Жыл бұрын

    @@geoffreykalee4663 Yeah Bro si Tanzania Tu ata apa Kenya izi Vitu zinafanyika like the most corrupted people are the one ruling us...

  • @geoffreykalee4663

    @geoffreykalee4663

    Жыл бұрын

    @@sanchostylist...9719 true wangekuwa waimbaji kumi to Mia wangefikisha ujumbe ak

  • @isaiahdanieltz7405
    @isaiahdanieltz7405 Жыл бұрын

    Moja kati ya vitu vilivyoisaidia South Africa kupata Uhuru wake ni kazi za wasanii, kazi ya sanaa ina nguvu kubwa sana katika kuhamasisha jamii kudai haki zao..hongera Ney

  • @ernestlaiza1176

    @ernestlaiza1176

    Жыл бұрын

    lakini sio wasani wotee wanaimba nyimba sakunguza maisha ya watu,,, Kama diamond sasa nyimbo zake ni Za kikahabaa tu

  • @jeremiawilliam9281

    @jeremiawilliam9281

    Жыл бұрын

    Kweli kak

  • @kesslycompanyltd

    @kesslycompanyltd

    Жыл бұрын

    Ila ukidai tu jiandae

  • @rajabubaseloma3356

    @rajabubaseloma3356

    Жыл бұрын

    Unavyomuongelea ndio unampa utajili mond atar

  • @munirimkwayu1692

    @munirimkwayu1692

    Жыл бұрын

    Bongo nizam zawoga zimetawala

  • @jacklinepeter2995
    @jacklinepeter2995 Жыл бұрын

    Kilio cha kila mtu pesa hakuna, pesa mmeficha wapi, nay u a true son of Africa

  • @vincentonyango3839
    @vincentonyango3839 Жыл бұрын

    "Mnatushauri tujiajiri wakati nyie mmeajiriwa,achenu kazi mwanzo mmjiajiri." That line is powerful!

  • @amisi7796

    @amisi7796

    Жыл бұрын

    achana naoo

  • @hamisishaame1458
    @hamisishaame1458 Жыл бұрын

    True boy- zingatia hapa. Kama ulimependa baba, Huwezi muelewa mama Kama hukupenda baba, bado utamchukia mama. Yani kumpenda mama, na kumchukia baba. Nisawa na kuipenda nyama na hupendi mchuzi wake. One love

  • @Kingtiger98

    @Kingtiger98

    Жыл бұрын

    Yeye kzread.info/dash/bejne/eoCl2MquaNnQaZs.html

  • @saidesanto1120

    @saidesanto1120

    Жыл бұрын

    Nkbl

  • @barack.A-Mtulo

    @barack.A-Mtulo

    Жыл бұрын

    Nakubali

  • @KHALNICETZ

    @KHALNICETZ

    Жыл бұрын

    Dah kaua

  • @unkown2429
    @unkown2429 Жыл бұрын

    This man is iconic. Ni mtu anaimba everything inahusu maisha ya wanyoge. You are the King

  • @rosemarymbeneka5102

    @rosemarymbeneka5102

    Жыл бұрын

    True

  • @amaniramadhan8572

    @amaniramadhan8572

    Жыл бұрын

    Mwananguu umepigaa mwingiiiiiii

  • @richardgeorge2196

    @richardgeorge2196

    Жыл бұрын

    Nay Nay makini but always life iko hivyo bro tunakukubali carefull bro We pray for our Tanzania

  • @maulidimuba387

    @maulidimuba387

    Жыл бұрын

    uwo nevi uwo

  • @maulidimuba387

    @maulidimuba387

    Жыл бұрын

    sawa neyi uwoukweri kk

  • @brianogollah2166
    @brianogollah2166 Жыл бұрын

    Hajawahi Kukosea. Mwambaa huyu hapaaa. Ney to the world 🌎!! Mola azidi kutunza na kukuongeza nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi.

  • @bonheurtoketoke
    @bonheurtoketokeАй бұрын

    Bwana yesu asifiwe, Imani yangu hainiruhusu kusikiliza mziki wa kidunia ila maneno ya nyimbo hii imeniingia hadi nikashindwa kujizuwiya kuto isikiliza Yesu ni rehemu

  • @octaviantito
    @octaviantito Жыл бұрын

    Tuna siku chache sana kabla wazee wa kulamba asali hawajaufungia huu wimbo. True definition of hip-hop and Big Brain!💯

  • @ReactorsWatcher

    @ReactorsWatcher

    Жыл бұрын

    Very true, Hahahahah Eti wazee wa Kulamba Asali

  • @denisimsana5286

    @denisimsana5286

    Жыл бұрын

    Naawata acha

  • @anakudeka6287

    @anakudeka6287

    Жыл бұрын

    hamsemwi vbaya lkn pia hamcngiziw🙏

  • @Wamoyothenumberone

    @Wamoyothenumberone

    Жыл бұрын

    Hawawez

  • @maguzushiggy1242

    @maguzushiggy1242

    Жыл бұрын

    Umeona ina saa ngap on.air

  • @alphaxadgrishon7184
    @alphaxadgrishon7184 Жыл бұрын

    Kama Umeikubali hyo nyimbo gonga like kama zote twende na Wakat , True boy is in the Building 🏢 ,# Free Nation#

  • @mzeekidevu9688

    @mzeekidevu9688

    Жыл бұрын

    Jembe la sisi baba unatisha tupo pamoja

  • @barbilon_ommy6650

    @barbilon_ommy6650

    Жыл бұрын

    Aucio

  • @Kingtiger98

    @Kingtiger98

    Жыл бұрын

    Heue kzread.info/dash/bejne/eoCl2MquaNnQaZs.html

  • @msafirikalunga7589

    @msafirikalunga7589

    Жыл бұрын

    Nay ni hatar sana huogopi tena ni jasili sana Big up sana kwa nyimbo zako umetisha sanaaaaaaa sauti ya watu

  • @felixmwinami396

    @felixmwinami396

    Жыл бұрын

    Ujumbe mzuri

  • @kingdonald3312
    @kingdonald3312 Жыл бұрын

    Tuliorudia huu wimbo mara tatu mkono ✋, Aiseee Ney the true boy 👌❤❤

  • @jean-paulmauridi5167
    @jean-paulmauridi5167 Жыл бұрын

    Le seul révolutioniste qui parle pour toute une nation. Bravos Ney Wamitego

  • @merymosha3478
    @merymosha3478 Жыл бұрын

    Hizi ndo nyimbo tunataka,,, wasanii mjiongeze, mnaona kabisa hali ya nchi si shwari alafu mnaimba mapenzi, kama sina raha naanzaje kuwaza mapenzi. Big up Ney

  • @berryvannesto3990

    @berryvannesto3990

    Жыл бұрын

    uchawaaaa

  • @G-maketz

    @G-maketz

    Жыл бұрын

    kwel

  • @feddyfeddy2597

    @feddyfeddy2597

    Жыл бұрын

    Kweli

  • @edithakimuna8701

    @edithakimuna8701

    Жыл бұрын

    Kabsa

  • @allyswaleh4495

    @allyswaleh4495

    Жыл бұрын

    Hakitekwa unamsaidia mateso atayopata huko

  • @youngvilzy1698
    @youngvilzy1698 Жыл бұрын

    sema nay wamitengo ngoma zako sio kama hawazisikii ila wanajikuta kuziba skio ila nipo na ww mpaka mwisho Mimi kama jemedar kwel nimekuapish ww ni Rais sio wa kitaa tu 🇹🇿🔥🔥🔥

  • @astonchiba5037

    @astonchiba5037

    Жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥😍🔥

  • @barakadanieli1440

    @barakadanieli1440

    Жыл бұрын

    Ngoja waisikie wataifungia Kwan wataona kama anahamasisha kuipiga serikari mwishowe waandamane

  • @mwanahalakati6534

    @mwanahalakati6534

    Жыл бұрын

    Nikweli ney kazungimza ukweri

  • @kisasasam4947
    @kisasasam494710 ай бұрын

    Asante Sana Nay wa mitego kwa kua baadhi ya wanamziki wachache wenye wamebakia kuufanya mziki kua kioo Cha jamii,,usichoke baba kuelimisha jamii na kuwasuta wambea👊👊👊

  • @benardmasinya7006
    @benardmasinya700611 ай бұрын

    Eeeh bana ninasababu ya kuwapenda wabongo yaani taarifa kali na mashairi nina hamu sana ya kuja tanzania sababu ya ney wa mitego ,Roma, Stamina pamoja na Rostam hawa ni umeme mvuke...much love from kenya ...ney wa mitego ni champion

  • @milkamusa5837
    @milkamusa5837 Жыл бұрын

    Muungwana yeyote anayetumia madaraka kama inavyostahili hawezi kuogopa na kukusulubu, atakushukuru kwa kumtonya kuhusu hali halisi ya mtanzania huku uraiani hili atekeleze wajibu wake kwa mujibu wa sheria inayompa hayo madaraka. Binafsi sio shabiki wa hizi nyimbo, lakini ujumbe umewasilishwa kwa ubunifu mkubwa sana, Mungu akubariki sana Ney. Anayelaaniwa ni asiyekubali kukosolewa hili ajirekebishe alipokosea. Mungu ibariki Tanzania Mungu ilinde Africa.

  • @rashidomary4074
    @rashidomary4074 Жыл бұрын

    "acheni nafasi zenu nanyi mkajiajiri" what a punch line!! Salute Sana

  • @fatumamkingie3867

    @fatumamkingie3867

    Жыл бұрын

    Ney...achaaa...aongeee😭😭😭

  • @ajmagowaajetha

    @ajmagowaajetha

    Жыл бұрын

    Hii punch line ya atuambiaga tuamie Burundi 😡

  • @japhetmwangwa2145
    @japhetmwangwa2145 Жыл бұрын

    Ney wa mitego ur the best hipohop singer unastahili tuzo hayo ndo maisha ya watanzania ujumbe umefika tunaelekea wapi watanzania tutaishi vp💔

  • @alexfrank5342
    @alexfrank5342 Жыл бұрын

    I Love my country Tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 and R.I.P wanaharakat wote waliokufa kwa kusema ukweli maana ukweli huwa unapigwa vita. Lisu usichoke kupambana Roma mkatoliki pia usichoke kupambana. Ney true boy usichoke kusema ukweli tunakusikiliza na tunaelewa na tunakuamin Ila CCM mmetengeneza umaskini mkubwa sana kwenye hii nchi Mungu anawaona mtayalipa haya one day and Kaeni mkijua siku zaja

  • @rachelkihaka9204
    @rachelkihaka9204 Жыл бұрын

    My true boy nay hakuna siku nimechukia nyimbo zako nakupenda Sana sababu unasimama kusemea wanyonge wa Tanzania pasipokuwa na uwoga wowote we 💜 u so much wa kuelewa wameshaelewa na watajirekebisha ila wasioelewa acha waendelee kutoelewa

  • @elbursewoi2902
    @elbursewoi2902 Жыл бұрын

    Revolutionary Ney ,You are a True Son Of Africa. Much Love from Kenya 🇰🇪

  • @misapinamiswi5751

    @misapinamiswi5751

    Жыл бұрын

    One love 254 pia ssi we need revolution hustler nation inatuuwa

  • @barakasamueli6022

    @barakasamueli6022

    Жыл бұрын

    Nakubali mwamba

  • @aloyskamalamo1675

    @aloyskamalamo1675

    Жыл бұрын

    Vr

  • @kasmirilamiye4888

    @kasmirilamiye4888

    Жыл бұрын

    Nisaut ta watuu iwafikie najua mama ataiskilizaaaaa

  • @Kingtiger98

    @Kingtiger98

    Жыл бұрын

    Hehe kzread.info/dash/bejne/eoCl2MquaNnQaZs.html

  • @salmasaid1521
    @salmasaid1521 Жыл бұрын

    Hongera sana kwa wimbo wa kuelimisha na wenye mafunzo mungu akupe afya uendelee kuelimisha jamiin

  • @charleskingimwakasagule5752
    @charleskingimwakasagule5752 Жыл бұрын

    Nakuombea Kwa mungu inaonekana una ujumbe mzito zaidi ya hu mungu mlinde mtumishi wako huyu

  • @ajuayelubano9595
    @ajuayelubano9595 Жыл бұрын

    Huu wimbo ni mzuri sana na una ujumbe mzito sana, lakini mimi nina changamoto kubwa sana napozidi kuwaona wasioaminika na wanashikilia sehemu nyeti (wizara) za hela, MUNGU saidia Tanzania 🇹🇿, inaumiza kwa kweli.

  • @issrahayattv1356
    @issrahayattv1356 Жыл бұрын

    Wimbo kama hizi ndio hua masikio yngu hupenda kusikiza big up true nation from Kenya 🇰🇪🇹🇿 we ❤️ u

  • @ayubumzadinimzadini6438
    @ayubumzadinimzadini6438 Жыл бұрын

    Hawa ndo wasaniiii sasa ,,,,,sio nitongoze na nyengineo ,,,,,,, mtetezi wa nchi forever I love it

  • @rozinapilula3456
    @rozinapilula3456 Жыл бұрын

    Mataifa yaliyoendelea tayari we ndo ungekuwa dereva but kwa mataifa yanayoendelea we hufai ohoo God tuone

  • @kilelechaimani.8956
    @kilelechaimani.8956 Жыл бұрын

    Sina la kusema,MUNGU aibariki siku yako uliyotungwa mimba na kuja duniani. Your a real artist.

  • @imanuelsimon2117

    @imanuelsimon2117

    Жыл бұрын

    Kabisa

  • @sayijoseph1825

    @sayijoseph1825

    Жыл бұрын

    Mungu amlinde Nay wa mitego

  • @petrusmakupe2093

    @petrusmakupe2093

    Жыл бұрын

    Heri tumbo lililokubeba na maziwa uliyonyonya

  • @blasiusmagembe7061

    @blasiusmagembe7061

    Жыл бұрын

    Hakika

  • @samboy5033

    @samboy5033

    Жыл бұрын

    Kabsa

  • @mbarakali9405
    @mbarakali9405 Жыл бұрын

    Ney wewe si Raisi wa kitaa wewe ni Raisi wa Africa nzima. I wish all the African rappers would learn from Mr.Ney's writing skills. Guys let hit 100M views

  • @tomtomboyjackson6055

    @tomtomboyjackson6055

    Жыл бұрын

    Kweli kabisa tunamwomba agombee urais hakika atashinda kwa kishindo Nay 🔥🔥🔥🔥

  • @dionysiusjustus4221
    @dionysiusjustus4221 Жыл бұрын

    Mambo ya ufisadi, udhalimu, rushwa nk hayatakoma kwa jitihada zet coz yalishatabiliw na manabii, yatakoma wakati ule ambapo Bwana Yesu atarudi kuangamiza uovu, tunaish nyakat za mwisho. Jipange sawa sawa!

  • @conradkapama9140
    @conradkapama9140 Жыл бұрын

    Yaaani daaa jamani kuna kitu nimejifunza kutokana ba wimho huuu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @manrasiel8054
    @manrasiel8054 Жыл бұрын

    Nakupenda Ney! Hauogopi kufa hata ufe kiharakati, wewe ni sauti ya wasiosikika na haukubali kutuacha tulilie mioyoni unayasema hadharani. True boy❤️👊🤝

  • @edwardkongo410

    @edwardkongo410

    Жыл бұрын

    Haogopi nini ????? 😂 😆 😂 😆 😂 muoga mzuriii tu huyo

  • @isdorchuvu6280

    @isdorchuvu6280

    Жыл бұрын

    @@edwardkongo410 😁😂🤣we kweli kavu.

  • @Kingtiger98

    @Kingtiger98

    Жыл бұрын

    Hehe kzread.info/dash/bejne/eoCl2MquaNnQaZs.html

  • @violethtingo7703

    @violethtingo7703

    Жыл бұрын

    @@edwardkongo410 humjui ney

  • @imansamwel4757

    @imansamwel4757

    Жыл бұрын

    Da! Penda xana kaka

  • @eppiemodest
    @eppiemodest Жыл бұрын

    Nay unashangaza dunia nzima kwa kweli. This song is 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥.Wanyonge mko wapi tumsapoti kaka Nay. Big up to yuo Nay.😇

  • @jihelyagwilasa1920
    @jihelyagwilasa1920 Жыл бұрын

    Ney hongela naomba samia asikie na aelewe kuwa uongozi si sifa ya kuvaa vizuli kutembeya nje ya nchi kuliko nchi yako mama jitoe mhanga kama magufuli

  • @romamichael
    @romamichael Жыл бұрын

    Huu wimbo ukijalibu kuusikiliza kwa kina zaidi, unaweza jikuta na msongo wa mawazo juu ya taifa letu, kiukweli nay ameimba mambo ambayo yapo ktk nchi yetu hii juu ya viongozi wetu, kwa wale waliofanikisha kuusikiliza huu wimbo na kuuelewa tuweze kuwa na mabadiliko juu ya nchi yetu pamoja na viongozi hawa tulio nao, asante nay wa mitego 🥀🥀🥀

  • @giftmalema5032
    @giftmalema5032 Жыл бұрын

    "Kama ulimpenda BABA huwezi mwelewa MAMA na kama humkupenda BABA utaendelea kumchukia MAMA" UJEMBE MKUBWA SANA HUU.... inshort kote hakueleweki na hakuna uhafadhali......

  • @sharifuamuri4638

    @sharifuamuri4638

    Жыл бұрын

    Kabisa

  • @sharmilaoman6389

    @sharmilaoman6389

    Жыл бұрын

    Kabisaa tokeni nyie kwenye ajira na nyie mkajiri asee so painful

  • @JaneDaimon

    @JaneDaimon

    2 ай бұрын

    Hakika NY ❤❤❤

  • @emanuelernest8710
    @emanuelernest8710 Жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿 I love my country I love my artist Nay wa mitego Viva Nay Viva Nay 🇹🇿🇹🇿💯💯💯

  • @PrinceBairemundu
    @PrinceBairemundu2 ай бұрын

    Merci beaucoup nay mon idole. ile ngoma ina tuhusu sisi wa congomani🇨🇩 kwani tuna pitiya mateso. > Tuli wa ambia wa chakuwe musa, wa djinga waka chagua myaka 5 ya mateso na 1 haiya isha. Mungu fungula macho wa congomani.

  • @rajaburuhiye6998
    @rajaburuhiye6998 Жыл бұрын

    ACHENI KAZI ZENU NDOOO NITAAMIN NYIE WASHAULI WAZUL. ....... aise kaka yetu hicho kipengele kaua sana big puuu💯💯💯💯💯💯

  • @teddytaura1819
    @teddytaura1819 Жыл бұрын

    Respect to Nay Wa Mitego, He is the true LEGEND... Mungu akupe maisha marefu brother🙏 Kenya tunakutambua🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @henrykuzenza3061

    @henrykuzenza3061

    Жыл бұрын

    Hii ni Mara 7 nairudia hii ngoma, amani Sana ney

  • @calebrioba5350

    @calebrioba5350

    Жыл бұрын

    True bro in Kenya we also need such an artist who does not fear and speaks on behalf of the voiceless.......Nay wa mitego may God protect you as you speak the truth

  • @Kingtiger98

    @Kingtiger98

    Жыл бұрын

    Heye kzread.info/dash/bejne/eoCl2MquaNnQaZs.html

  • @samniza1763

    @samniza1763

    Жыл бұрын

    @@calebrioba5350 Amen to that.

  • @teddytaura1819

    @teddytaura1819

    Жыл бұрын

    @@calebrioba5350 He's always real,,, The voice of all Africans 💪

  • @lichstudio2024
    @lichstudio2024 Жыл бұрын

    Nimegundua wakenya ndio qanaosapot Sana muziki wetu watz,lakn cc ni wanafiki kweli tunajifanya Kama vile hatujaelewa idea,always I love Kenyans❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @rogerdoger138
    @rogerdoger138 Жыл бұрын

    Nani kama nay wamitego na heshima Kwa kuanza kuomba samahani kabla kuwapa kweli na kuchana heshima Sana hii iko juu Sana na lazima nchhi ibadiliii wapi like za wakenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪👍

  • @EmanuelDanielIrro-ee5eh
    @EmanuelDanielIrro-ee5eh Жыл бұрын

    GOD be with wazalendo kama Hawa one day tutafika nchi ya ahadi 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 🤝🤝🤝 NEY 🤝🤝🤝

  • @mariarogath8743
    @mariarogath8743 Жыл бұрын

    Maneno ya kwel kabisa hakika ni sauti ya watu nimelielewa hili song ❤😢💪🙏🏿🤲🏻🌹🇹🇿🤝

  • @mansourjogi6909

    @mansourjogi6909

    Жыл бұрын

    mpumbavu wewe

  • @mansourjogi6909

    @mansourjogi6909

    Жыл бұрын

    wewe mwanamke halafu unasapoti huu roho mbaya tu serikali inajitahidi na we wakukamatwa nitakuja hapo unapoishi kukamata fakyu sauti ya Mrusi mweusi komando tz

  • @vincenthussein1311

    @vincenthussein1311

    Жыл бұрын

    Sanaa

  • @fakiimussa

    @fakiimussa

    Жыл бұрын

    @@mansourjogi6909 Saut ya watu

  • @BagBoe
    @BagBoe Жыл бұрын

    Kama umeielewa kama Mimi gonga like nyingi apa✌

  • @madzodida6391

    @madzodida6391

    Жыл бұрын

    Goma kalii penda sana ney

  • @Kingtiger98

    @Kingtiger98

    Жыл бұрын

    Ehye kzread.info/dash/bejne/eoCl2MquaNnQaZs.html

  • @peemsafi6068

    @peemsafi6068

    Жыл бұрын

    Irudiwe

  • @dominicknondo7681

    @dominicknondo7681

    Жыл бұрын

    Hii itaishi sana bro ASante Mungu akutie nguvu huendelee kutupigania Sisi wanyonge Pia tujifunze kupitia wewe 🤝

  • @masikitikomwakyonde1259

    @masikitikomwakyonde1259

    Жыл бұрын

    GOD BLES U my brother

  • @aliciamwalimu582
    @aliciamwalimu582 Жыл бұрын

    Maji hayatoki bil znatoka, Kuna wanaume afu kuna ney the true definition ov freedom fighters

  • @basiliomiguelmateus3494
    @basiliomiguelmateus3494 Жыл бұрын

    Nay is the KING of the kings nakukubali sana, from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿.

  • @itscanvoice
    @itscanvoice Жыл бұрын

    Jaman big up kwa msanii wetu tumuunge mkono kwa “sauti ya watu” kwan hakun msaniii mwingne aliefikiria hili kwa undani labda tuseme maisha yao hayabuguziw nakitu ila kwa sisi wanyonge tunaopitia nadhani niwashahid tosha katika hili tumuunge mkono MR nay kwa sauti ya watu. Nategemea like nyingi kwa tulipitia magum mpak kufik tulipo sasa.. God bless you my brother 🙏🙏

  • @Dbravotz
    @Dbravotz Жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 nakubali lais wa kitaa sisi tutaongea vip tinaogopa kupotea tunakutegemea

  • @officialsydney5268
    @officialsydney5268 Жыл бұрын

    Much love from kenya❤❤ Kama unakubali ujumbe huu ufikie viongozi wa nchi zote mbili gonga like… Tanzania/Kenya... OneLove❤️💯

  • @allyamri5028
    @allyamri502810 ай бұрын

    Nay yupo vizuri sana tena sana mi hua namkubali sana, sana, tena sana ❤love nay songs

  • @K_S_FUNNY
    @K_S_FUNNY Жыл бұрын

    NAY RAISI WA KITAA KAONGEA KWA AJIRI YETU ❤️❤️❤️🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @elinarutagara9327

    @elinarutagara9327

    Жыл бұрын

    💪🔥

  • @hassanjadu7150
    @hassanjadu7150 Жыл бұрын

    Tujiajiri wakati nynyi wenyewe mmeajiriwa.Ney pamoja sana💪

  • @mementomori6569
    @mementomori6569 Жыл бұрын

    Tanzania 🇹🇿 is a such peaceful nation for real, there are some countries on the continent where a such song would cost his life. So you guys should be proud of yourself, for having the freedom of openly speak what you feel. I’m proud of you guys ( Tanzanians)

  • @mariamuathumani4098

    @mariamuathumani4098

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 coming in then you will realize the shit

  • @abdalahgunda1319

    @abdalahgunda1319

    11 ай бұрын

    You don't know how tanzanian people pass through when people are outside of tanzanian think Tanzania is ok but not Tanzania population smoll business safering on tax ever seen in Africa such tax we don't talk about single tax on one pasonol can be more than 6 different names of tax in one single pasonol wich we don't experience on ather national clouse boder who use seem pot getting the cargo saprys us is this seem national getting cargo seem pat outside think Tanzania can be advantage of pot thing to be a bet cheeper but get saprys neburing country cheeper than Tanzania population smoll scale businesses is that far no adier maybe you can do reach see and get answer

  • @DavidWachira521

    @DavidWachira521

    9 ай бұрын

    But his song aren't played on 📺 and on 📻 coz of his music style he said it on bbc

  • @NicksMwiti-nj4wt

    @NicksMwiti-nj4wt

    9 ай бұрын

    If ni Kenya Angekuwa saa hii amesaulika,,,God rescue my land please 🇰🇪🇰🇪

  • @michaelgarama1206
    @michaelgarama1206 Жыл бұрын

    Mr nay hii ngoma ulkaa ukafikiria na ina ujumbe mzito sana kwa jamii na kiukweli hapa ndo tunaona msanii kama kioo cha jamii yaliosemwa Tz hta Kenya yapo ila ss wanyonge tufanyeje zaidi ya kuishi kwa kuzoea 2 ila kwa kupitia hii ujumbe wanao wahusika

  • @theb-factor
    @theb-factor Жыл бұрын

    This is what we call maturity. We are tired of sensational songs za wabana pua. Tunataka vitu Kama hivi. Vitu vinavyosisimua ubongo. Nyimbo zako za kiuharakati zitadumu kuliko za Hawa wa mahaba na wasichana kucheza uchi. Big up bro. Much love from Kenya

  • @emmanuelpastory4896

    @emmanuelpastory4896

    Жыл бұрын

    Dah, nimeirudia zaidi ya mara kumi na zaidi, ukiona mtoto alii njaa ujue chakula amna, gonga like twenzetu

  • @bajunfm5764

    @bajunfm5764

    Жыл бұрын

    SAWA UNAMPONGEZA ILA HIO HAITOSHI… HEBU NIJIULIZE MM NA WW JE TUTASIMAMA PALE WATAPO MSIMAMISHA MAHAKAMANI ? ?? JE TUNAELEZWA NINI HAPA? JE WALENGWA WATATAFAKARI? JE WATAPO MUELEWA NAY SAUTI YA MASIKINI ITASKIZWA ????????

  • @justusmkubwa

    @justusmkubwa

    Жыл бұрын

    True

  • @musamnene4790

    @musamnene4790

    Жыл бұрын

    mara nyingi san

  • @samwelimsafiri5883

    @samwelimsafiri5883

    Жыл бұрын

    Hii nchi mwanaume ni mm na nay tu wengine jinsia 2

  • @ToxicAfricanKing
    @ToxicAfricanKing Жыл бұрын

    Tanzanian artists are a different breed. Truly talented. A gift!

  • @justinasaimoni2755

    @justinasaimoni2755

    Жыл бұрын

    Unafa kua raisi wawanyonge kweri🇹🇿

  • @ToxicAfricanKing

    @ToxicAfricanKing

    Жыл бұрын

    Acha iendele kunyesha tuone panapo vuja

  • @shakilasaidi8029

    @shakilasaidi8029

    Жыл бұрын

    Mmmmh

  • @Elton94

    @Elton94

    Жыл бұрын

    Video mpya ya diamond ishatoka m.kzread.info/dash/bejne/qqeVqcmmY9Sueag.html

  • @Elton94

    @Elton94

    Жыл бұрын

    Video mpya ya diamond ishatoka m.kzread.info/dash/bejne/qqeVqcmmY9Sueag.html

  • @mercymwanisa8334
    @mercymwanisa8334 Жыл бұрын

    Nay nakukubali Sana sauti hii kweli n yawatu walalahoi ,,,,kila mtari kwa hii ngoma ina uzito wake

  • @mrsmumewangu4907
    @mrsmumewangu490711 ай бұрын

    Hiki kichwa makini Sana maneno yk yanawachoma wale mazarim ukiwa unamjua Mungu huwezi kuchukia kukosorewa

  • @mysteryboy2134
    @mysteryboy2134 Жыл бұрын

    sauti ya watu, tutahakikisha tumefika more than 1M views. Rais wa kita💪

  • @nadearsmile
    @nadearsmile Жыл бұрын

    I'm not Tanzania but I'm a east African and I understand much than I can talk... Same happening in Kenya and far worldwide,, love your songs

  • @josephmmbaga7050

    @josephmmbaga7050

    Жыл бұрын

    Huwa nakukubali sana huogopi kututetea

  • @ulaweboy9826

    @ulaweboy9826

    Жыл бұрын

    Karibu tanzania

  • @barakaemmanuel9047

    @barakaemmanuel9047

    Жыл бұрын

    Rutoo ajee asikeee hiii

  • @juliem1674

    @juliem1674

    Жыл бұрын

    Any tips anyone can share to help those of us who can underhand Kiswahili but struggle to speak fluently....kuongea ni shida sana😄

  • @nadearsmile

    @nadearsmile

    Жыл бұрын

    @@juliem1674 your welcome to Kenya for a stay of at least 3 months,, and it will be a bit good 😅

  • @yunicmathayo9399
    @yunicmathayo9399 Жыл бұрын

    Mungu akutunze Nay uishi miaka mingi usidhurike kwa lolote lile kwa kusema ukweli

  • @user-bp4bu6by4w
    @user-bp4bu6by4w11 ай бұрын

    Iko vizuri na hajaema vibaya sema ukweli kaka na mungu akupe uzima wa milele na nguvu tele na ubunifu wa kweli

  • @gboyrapper2896
    @gboyrapper2896 Жыл бұрын

    "Hacheni nafasi zenu na nyinyi mukajiajiliiii....."🔥🤕🤕😔

  • @leokamil6284

    @leokamil6284

    Жыл бұрын

    Thubutu walivyo na uchu wa madaraka,hata wakitakiwa kujiuzulu hawathubutu wengine mpaka wanazeekea madarakani

  • @miaizz1614
    @miaizz1614 Жыл бұрын

    dah huyu mja mungu amueke sana ukweli uongelewe na siku zote ukweli unauma unguja askari magerza mpaka majumbani saiv njaa tupu uko serekalini wanasema hakuna pesa wanaweka kitega uchumi kw raiya ila hawajui tu wananchi mwisho watachoka badala yavita vya akili litakuja kuwa vurugu apo bdae tuelewe ilo maisha haya yanachosha bana ukweli uongelewe..

  • @vellonicamartin721
    @vellonicamartin721 Жыл бұрын

    Wakati magufuri yupo hukuerewa kaz anayo ifanya siku nyingi niliomba mungu akuoneshe njia kuwa yeye Ni mungu akuoneshe toka magufuri amelala umebdilika mungu akupe maisha malefu uzidi kusema ukwli

  • @afidbillmusic8461
    @afidbillmusic8461 Жыл бұрын

    Huu siyo wimbo hii ni IBADA TAKATIFU. Ikiwapendeza ndugu zangu huu wimbo utumike kufungua na kufunga ibada kwenye maeneo yote ya ibada. HALI NI MBAYAA! Thanks Ney for this. 🙏🙏🙏

  • @daudiidi7429

    @daudiidi7429

    Жыл бұрын

    Umerong kufungua ibada tena

  • @erastomwakalukwa3946

    @erastomwakalukwa3946

    Жыл бұрын

    Say it loud 🙋🙋

  • @leonardmartine6189

    @leonardmartine6189

    Жыл бұрын

    Umekosea kusema ibada ndugu yangu Palipo na Mungu panasitahil sifa zake ili kumwabudu na kumsifu, nyimbo za ibada ni zile sinazokiri ukuu wake.

  • @afidbillmusic8461

    @afidbillmusic8461

    Жыл бұрын

    @@leonardmartine6189 sahihi, kwani huu wimbo unakosesha utukufu? Au ni vile unamtafsiri Mungu vile unavyoamini wewe. Neno la Mungu ni KWELI. Ishi hapo kwanza usikariri mtumishi. 👏

  • @isayabuyoya7128

    @isayabuyoya7128

    Жыл бұрын

    @@leonardmartine6189 Kwani Mungu hahusiki kwenye kutetea walioonewa? Au we unazungumzia Mungu gani

  • @shabanially8022
    @shabanially8022 Жыл бұрын

    Kama upo pamoja na Yey True boy dondosha like zakutosha

  • @hawamohammed4978

    @hawamohammed4978

    Жыл бұрын

    Nik pamoj n uyu mwamb love nay

  • @Kingtiger98

    @Kingtiger98

    Жыл бұрын

    Yeye kzread.info/dash/bejne/eoCl2MquaNnQaZs.html

  • @shedrackmmary9724
    @shedrackmmary9724 Жыл бұрын

    Maji hayatoki ila bili zinatoka!!!! Big up sana bro kwakutusemea wanyonge!! Nawaenjoy kweli kuliko walipa cod aiseee!!! Nchi imeingia kwenye laana hiii!!! Acha ivumeeee!!!💪💪💪💪💪

  • @juniorofficial5016
    @juniorofficial5016 Жыл бұрын

    Msanii ni kioo cha jamaii anacho sema nay wa mitego kwa aslimia kinamantiki Hali mbayaa mtaani .. we never get ✋

  • @isaacngulubi2058
    @isaacngulubi2058 Жыл бұрын

    Huu wimbo unaujumbe tosha kabisa kwa viongozi wa taifa letu la Tanzanian 🇹🇿🇹🇿🤝

  • @rahmagunda7535
    @rahmagunda7535 Жыл бұрын

    hii ndo maana ya nyimbo...mashairi mazuri,ujumbe mzuri na elimu nzuri

  • @petermollel58
    @petermollel5810 ай бұрын

    Jina Raisi wa Kitaa lime relate vyema na unachokifanyaa May God be on your side

  • @husseinyusuph9392
    @husseinyusuph9392 Жыл бұрын

    Sawa kabisa ney wamitego umewa choma sehem pal✌️✌️✌️✌️💖💖💖

  • @mshangapeter6566
    @mshangapeter6566 Жыл бұрын

    Daah ni muda kidogo sijaifata ngoma youtube kuisikiliza...ngoma kali, ina maudhui mazur sana, haya tuliyategemea sana kwa Roma but now Roma nae yupo zake ughaibuni, nikadhan ngoma za aina ile zimepotea, kumbe Mr Ney, he is here standing for us again, well done bhana....

  • @tembokidtv5267
    @tembokidtv5267 Жыл бұрын

    Hii ngoma asiye ikubali aumbe dunia yake

  • @user-dc9vl6qu2d
    @user-dc9vl6qu2d Жыл бұрын

    Mwamba anasema kweli... True, this is the voice of peoples.

  • @mwangangimutisya8651
    @mwangangimutisya8651 Жыл бұрын

    Hakika rais wa kitaa Mungu akupe maisha marefu wew ndio shujaa wetu

  • @richlive4299
    @richlive4299 Жыл бұрын

    Touching song,kumbe si Kenya peke yake mbaka Tanzania mambo ni Yale.Mungu wa reha njoo.......🇰🇪

  • @nelsonkolukwi
    @nelsonkolukwi Жыл бұрын

    Natamani vijana wote tungekuwa na courage hii, safi Nay, this is powerful...🔥

  • @lucasmanyama2892

    @lucasmanyama2892

    Жыл бұрын

    Vijana wengi wanawaza mayele kuliko mambo yanayoguza maisha yetu Moja Kwa moja

  • @eliyakitundu5267
    @eliyakitundu526711 ай бұрын

    Daima umeimba vema, ndugu japo sio mshabiki wa mziki, lakin ukiimba kukemea UOVU Mungu akubariki kwa kazi hiyo

  • @zaujiaalli362
    @zaujiaalli362Ай бұрын

    Apo sawa ney tulikusubir sana tukajuwa na wewe umekuwa yuda kumbe bado uko nasisi wanyinge nakubali rais tusemehe💥

  • @essaujulius1874
    @essaujulius1874 Жыл бұрын

    Musicians of Tanzania and Africa in general let's change our vision . Not always about love!! We have a lot of topics to discuss like Ney what he did. Congrats to you mzee live long and your voice ifike hukooooo waliko

  • @igayo_tv
    @igayo_tv Жыл бұрын

    Wimbo una hisia kali sana, kuna kitu kina nisukuma kufanya jambo kubwa kwa ajili ya taifa langu. Nay umecheza nafasi yako..much love 🇹🇿

  • @malakiayo4719

    @malakiayo4719

    Жыл бұрын

    Mama amefeli ney kwanafasi yako umefikisha ujumbe ila najua povu litawatoka

  • @psychicthedony_tz6603

    @psychicthedony_tz6603

    Жыл бұрын

    Ney natamani watanzania wote tungekua kama ww hii nchi ingekua haina ujanjajanja mwingi

  • @abdallahhamad9884

    @abdallahhamad9884

    Жыл бұрын

    Dah so emotional

  • @lucasmanyama2892

    @lucasmanyama2892

    Жыл бұрын

    Ameimba kihisia sana

  • @michaelemanuel3132

    @michaelemanuel3132

    Жыл бұрын

    Kinachotakiwa na wengine waseme km Ney na sio kukaa kimya2 bila yakuongea watajuaje madudu yao ht mimi nipo tayari kusema ht kwakuongea mana sio lazima sote tuimbe nikipata nafasi nitasema hadharani tumechoka.

  • @idrissajux5197
    @idrissajux5197 Жыл бұрын

    Nc brother tunakubal mcana ukwl wew ndoo unae tutea bilakujal kitacakutokea mungu 💪💪💪💪💪

  • @marrysilverius9996
    @marrysilverius9996 Жыл бұрын

    Siku izi adi vigenge vya nyanya TRA wanadai kodi.....hyo line ya ukwel kabisa mungu atusaidie tz......

  • @edouardngabonziza1441
    @edouardngabonziza1441 Жыл бұрын

    I'm a Burundian but really this guy is my fav. His songs are facts

  • @tusajigwejackson3149

    @tusajigwejackson3149

    Жыл бұрын

    Yeah he tried to potray what happens in the nation

  • @jerrycapable32

    @jerrycapable32

    Жыл бұрын

    Nay mzee baba Hapo kongole kwa nyimbo ya ujumbe mzitoo🤝🤝

  • @vianneyniyonsaba7316

    @vianneyniyonsaba7316

    Жыл бұрын

    🇧🇮🇧🇮😍😍✌✌One love

  • @skullcrush3r437

    @skullcrush3r437

    Жыл бұрын

    So u speak swahili in Burundi??

  • @alexisnimubona3801

    @alexisnimubona3801

    Жыл бұрын

    @@skullcrush3r437 Yes swahili is second language spoken in Burundi

  • @Willyblessing254
    @Willyblessing254 Жыл бұрын

    Wapi likes za Huyu Super 🌟 star.....He is on Top. WILLY BLESSING 254 Representing KENYA

  • @mziwandaak-4743
    @mziwandaak-4743 Жыл бұрын

    Jamani.kaimba.ney.uwalisia.mkubwa.uyo. mtetea.wanyonge.💪💪💪🙏🙏🙏❤️❤️

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 Жыл бұрын

    Magufuli mlisema mbaya samia mbaya mara Mungu mbaya mmebeba mabaya ndo mnaelimisha watu ila mtakuwa dhahiri wasanii mnaochanganya habari siwapendi mm siwapendi

  • @innocentjonh1732
    @innocentjonh1732 Жыл бұрын

    Rais wa Kitaa, mwana na msela flaan anayoisemea Mtaa..Ngoma nzuri, message ndo balaaa🙌🙌🙌

Келесі