Nay Wa Mitego - Sauti Ya Watu (Official Music Video)
Музыка
Stream/Download:linktr.ee/naywamitego
Listen to Nay Wa Mitego on Digital Streaming:
Audiomack:audiomack.com/naywamitego
Apple Music: / nay-wa-mitego
Boomplay:www.boomplay.com/share/artist...
KZread: / @naywamiteg
Spotify:open.spotify.com/artist/3P97o...
Connect Nay Wa Mitego on Social Media:
Instagram: / naytrueboytz
Facebook: / naywamitego
Twitter: / naythetrueboy
©2022 Free Nation.All rights reserved.
#NayWamitego #SautiYaWatu
Пікірлер: 7 100
Tuambieane ukweli tulio irudia hii ngoma Zaid ya Mara mbili tujuane kwa like apa than wote tumuunge mkono nay kwa hii sauti ya watu/wanyonge
@richardsabanja1031
Жыл бұрын
Nimerudia x4
@NGOSHA
Жыл бұрын
❤❤❤❤
@josiahamos6970
Жыл бұрын
Salute RAIS wakitaa🔥🔥🔥🔥
@wanatangawaja6397
Жыл бұрын
Mimi naona nimeirudia zaid ya mara 1000
@wanatangawaja6397
Жыл бұрын
Wanaharakati ninao wakubali ni nay na roma
Kama umeipenda hii ngoma dondosha like yako tujuane 🇶🇦✌
@orickonesmo7195
Жыл бұрын
nisaw Ney wamitengo unacho kusema very nice mahana wanatudangany jiajiri wakati meajiriwa sol tufanyanje
@orickonesmo7195
Жыл бұрын
nisaw Ney wamitengo unacho kusema very nice mahana wanatudangany jiajiri wakati meajiriwa sol tufanyanje
@DonMooSTUDIO_Express
Жыл бұрын
Bonyeza 👇 kzread.info/dash/bejne/loNss7ppc5iThpM.html
@harrisonkweka4092
Жыл бұрын
Jamaa anaongea ukweli sana,namkubali
@dongochura8514
Жыл бұрын
Nimependa ujumbe umefika
Kwanini usiache kuimba nyimbo zinginee zotee.. Ukaendelea kufkishaa sauti zetu mbelee… Mungu akulindee tupo pamoja na wewee kama ume mrudia mwamba zaid ya mara moja 2juanee apaa
Hongera Kaka Ney kwa kupigania wanyonge, wewe ni Mwanaume kweli unatuma ujumbe bila kuogopa hatari inayoweza kukupata, Binafsi umenigusa sana, Mungu akupe maisha marefu ipo siku sauti yako itafungua macho ya wanyonge wengi wanaoteseka katika haya maisha
Let's unite to support this Man... He's a true people's voice.
@Kingtiger98
Жыл бұрын
Hehe kzread.info/dash/bejne/eoCl2MquaNnQaZs.html
@officialrayboy2256
Жыл бұрын
Kama umeipenda ngoma hi kama mmi like yako tafathali
@ajeysafaris4735
Жыл бұрын
yes yes..hii ndio maana halisi ya sauti ya wnyonge
@shabanmwambogoja6512
Жыл бұрын
Hujawahi tuangusha mashabiki wako kweli ww ndio rais wa kitaa. Wapo wengi kama wewe na wenye sauti kama wewe ila wengi wao wamechagua kusifia watawala na kuimba ngono na pombe tu. God bless you nay wa mitego
@enockcharles9972
Жыл бұрын
Uhakika
This lyrics '' Hivi mnaakili nyinyi, amnatushauri tujiajiri wakati nyinyi wenyewe mmeajiriwa, acheni hizo ajira mje mjiajiri ndio tuone nyinyi wahauri wazuri" walopenda this line tujuane
@johnrichardj9604
Жыл бұрын
👆🏽
@giddykaveli9700
Жыл бұрын
Kweli hauogopi
@Wamoyothenumberone
Жыл бұрын
Sindiiooosasa
@zuzuutv8782
Жыл бұрын
Sasa tuogope nn, nay ameongea Fact, huwez nishauri kitu ambacho wewe mwenyewe hauwez kifanya
@bidabidatz
Жыл бұрын
Ifikie hatua tuwe Kama wakenya Kama kufa tuta kufa tu na mtoa hukumu nae Ata kufa Yanini kuogopa, ujumbe mzuri Ney wamitego🥰🥰✊+🇸🇪
"Ukiona mtoto haliii njaa na nyumbani hakuna chakula, wee mchunguze vizuri kuna sehemu anakula" - Ney wa Mitego. Love from 🇰🇪
@mdmahammad3278
11 ай бұрын
❤
@bukasakabwe3609
10 ай бұрын
Kabisa
Sema hii ngoma hadi nasikia ganzi moyoni.. maumivu makali dah.. mungu ibariki tanzania
Nay Wa Mitego Always Delivers The Message Straight To The Victim...Love From Kenya🇰🇪👏❤️
@mozespatnam7469
Жыл бұрын
Facts sanaaa
@geoffreykalee4663
Жыл бұрын
bythaa hii wimbo yaguza wakenyan nikiwa mmoja wao
@sanchostylist...9719
Жыл бұрын
@@mozespatnam7469 This Man is so talented and full of confidence...
@sanchostylist...9719
Жыл бұрын
@@geoffreykalee4663 Yeah Bro si Tanzania Tu ata apa Kenya izi Vitu zinafanyika like the most corrupted people are the one ruling us...
@geoffreykalee4663
Жыл бұрын
@@sanchostylist...9719 true wangekuwa waimbaji kumi to Mia wangefikisha ujumbe ak
Moja kati ya vitu vilivyoisaidia South Africa kupata Uhuru wake ni kazi za wasanii, kazi ya sanaa ina nguvu kubwa sana katika kuhamasisha jamii kudai haki zao..hongera Ney
@ernestlaiza1176
Жыл бұрын
lakini sio wasani wotee wanaimba nyimba sakunguza maisha ya watu,,, Kama diamond sasa nyimbo zake ni Za kikahabaa tu
@jeremiawilliam9281
Жыл бұрын
Kweli kak
@kesslycompanyltd
Жыл бұрын
Ila ukidai tu jiandae
@rajabubaseloma3356
Жыл бұрын
Unavyomuongelea ndio unampa utajili mond atar
@munirimkwayu1692
Жыл бұрын
Bongo nizam zawoga zimetawala
Kilio cha kila mtu pesa hakuna, pesa mmeficha wapi, nay u a true son of Africa
"Mnatushauri tujiajiri wakati nyie mmeajiriwa,achenu kazi mwanzo mmjiajiri." That line is powerful!
@amisi7796
Жыл бұрын
achana naoo
True boy- zingatia hapa. Kama ulimependa baba, Huwezi muelewa mama Kama hukupenda baba, bado utamchukia mama. Yani kumpenda mama, na kumchukia baba. Nisawa na kuipenda nyama na hupendi mchuzi wake. One love
@Kingtiger98
Жыл бұрын
Yeye kzread.info/dash/bejne/eoCl2MquaNnQaZs.html
@saidesanto1120
Жыл бұрын
Nkbl
@barack.A-Mtulo
Жыл бұрын
Nakubali
@KHALNICETZ
Жыл бұрын
Dah kaua
This man is iconic. Ni mtu anaimba everything inahusu maisha ya wanyoge. You are the King
@rosemarymbeneka5102
Жыл бұрын
True
@amaniramadhan8572
Жыл бұрын
Mwananguu umepigaa mwingiiiiiii
@richardgeorge2196
Жыл бұрын
Nay Nay makini but always life iko hivyo bro tunakukubali carefull bro We pray for our Tanzania
@maulidimuba387
Жыл бұрын
uwo nevi uwo
@maulidimuba387
Жыл бұрын
sawa neyi uwoukweri kk
Hajawahi Kukosea. Mwambaa huyu hapaaa. Ney to the world 🌎!! Mola azidi kutunza na kukuongeza nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi.
Bwana yesu asifiwe, Imani yangu hainiruhusu kusikiliza mziki wa kidunia ila maneno ya nyimbo hii imeniingia hadi nikashindwa kujizuwiya kuto isikiliza Yesu ni rehemu
Tuna siku chache sana kabla wazee wa kulamba asali hawajaufungia huu wimbo. True definition of hip-hop and Big Brain!💯
@ReactorsWatcher
Жыл бұрын
Very true, Hahahahah Eti wazee wa Kulamba Asali
@denisimsana5286
Жыл бұрын
Naawata acha
@anakudeka6287
Жыл бұрын
hamsemwi vbaya lkn pia hamcngiziw🙏
@Wamoyothenumberone
Жыл бұрын
Hawawez
@maguzushiggy1242
Жыл бұрын
Umeona ina saa ngap on.air
Kama Umeikubali hyo nyimbo gonga like kama zote twende na Wakat , True boy is in the Building 🏢 ,# Free Nation#
@mzeekidevu9688
Жыл бұрын
Jembe la sisi baba unatisha tupo pamoja
@barbilon_ommy6650
Жыл бұрын
Aucio
@Kingtiger98
Жыл бұрын
Heue kzread.info/dash/bejne/eoCl2MquaNnQaZs.html
@msafirikalunga7589
Жыл бұрын
Nay ni hatar sana huogopi tena ni jasili sana Big up sana kwa nyimbo zako umetisha sanaaaaaaa sauti ya watu
@felixmwinami396
Жыл бұрын
Ujumbe mzuri
Tuliorudia huu wimbo mara tatu mkono ✋, Aiseee Ney the true boy 👌❤❤
Le seul révolutioniste qui parle pour toute une nation. Bravos Ney Wamitego
Hizi ndo nyimbo tunataka,,, wasanii mjiongeze, mnaona kabisa hali ya nchi si shwari alafu mnaimba mapenzi, kama sina raha naanzaje kuwaza mapenzi. Big up Ney
@berryvannesto3990
Жыл бұрын
uchawaaaa
@G-maketz
Жыл бұрын
kwel
@feddyfeddy2597
Жыл бұрын
Kweli
@edithakimuna8701
Жыл бұрын
Kabsa
@allyswaleh4495
Жыл бұрын
Hakitekwa unamsaidia mateso atayopata huko
sema nay wamitengo ngoma zako sio kama hawazisikii ila wanajikuta kuziba skio ila nipo na ww mpaka mwisho Mimi kama jemedar kwel nimekuapish ww ni Rais sio wa kitaa tu 🇹🇿🔥🔥🔥
@astonchiba5037
Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥😍🔥
@barakadanieli1440
Жыл бұрын
Ngoja waisikie wataifungia Kwan wataona kama anahamasisha kuipiga serikari mwishowe waandamane
@mwanahalakati6534
Жыл бұрын
Nikweli ney kazungimza ukweri
Asante Sana Nay wa mitego kwa kua baadhi ya wanamziki wachache wenye wamebakia kuufanya mziki kua kioo Cha jamii,,usichoke baba kuelimisha jamii na kuwasuta wambea👊👊👊
Eeeh bana ninasababu ya kuwapenda wabongo yaani taarifa kali na mashairi nina hamu sana ya kuja tanzania sababu ya ney wa mitego ,Roma, Stamina pamoja na Rostam hawa ni umeme mvuke...much love from kenya ...ney wa mitego ni champion
Muungwana yeyote anayetumia madaraka kama inavyostahili hawezi kuogopa na kukusulubu, atakushukuru kwa kumtonya kuhusu hali halisi ya mtanzania huku uraiani hili atekeleze wajibu wake kwa mujibu wa sheria inayompa hayo madaraka. Binafsi sio shabiki wa hizi nyimbo, lakini ujumbe umewasilishwa kwa ubunifu mkubwa sana, Mungu akubariki sana Ney. Anayelaaniwa ni asiyekubali kukosolewa hili ajirekebishe alipokosea. Mungu ibariki Tanzania Mungu ilinde Africa.
"acheni nafasi zenu nanyi mkajiajiri" what a punch line!! Salute Sana
@fatumamkingie3867
Жыл бұрын
Ney...achaaa...aongeee😭😭😭
@ajmagowaajetha
Жыл бұрын
Hii punch line ya atuambiaga tuamie Burundi 😡
Ney wa mitego ur the best hipohop singer unastahili tuzo hayo ndo maisha ya watanzania ujumbe umefika tunaelekea wapi watanzania tutaishi vp💔
I Love my country Tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 and R.I.P wanaharakat wote waliokufa kwa kusema ukweli maana ukweli huwa unapigwa vita. Lisu usichoke kupambana Roma mkatoliki pia usichoke kupambana. Ney true boy usichoke kusema ukweli tunakusikiliza na tunaelewa na tunakuamin Ila CCM mmetengeneza umaskini mkubwa sana kwenye hii nchi Mungu anawaona mtayalipa haya one day and Kaeni mkijua siku zaja
My true boy nay hakuna siku nimechukia nyimbo zako nakupenda Sana sababu unasimama kusemea wanyonge wa Tanzania pasipokuwa na uwoga wowote we 💜 u so much wa kuelewa wameshaelewa na watajirekebisha ila wasioelewa acha waendelee kutoelewa
Revolutionary Ney ,You are a True Son Of Africa. Much Love from Kenya 🇰🇪
@misapinamiswi5751
Жыл бұрын
One love 254 pia ssi we need revolution hustler nation inatuuwa
@barakasamueli6022
Жыл бұрын
Nakubali mwamba
@aloyskamalamo1675
Жыл бұрын
Vr
@kasmirilamiye4888
Жыл бұрын
Nisaut ta watuu iwafikie najua mama ataiskilizaaaaa
@Kingtiger98
Жыл бұрын
Hehe kzread.info/dash/bejne/eoCl2MquaNnQaZs.html
Hongera sana kwa wimbo wa kuelimisha na wenye mafunzo mungu akupe afya uendelee kuelimisha jamiin
Nakuombea Kwa mungu inaonekana una ujumbe mzito zaidi ya hu mungu mlinde mtumishi wako huyu
Huu wimbo ni mzuri sana na una ujumbe mzito sana, lakini mimi nina changamoto kubwa sana napozidi kuwaona wasioaminika na wanashikilia sehemu nyeti (wizara) za hela, MUNGU saidia Tanzania 🇹🇿, inaumiza kwa kweli.
Wimbo kama hizi ndio hua masikio yngu hupenda kusikiza big up true nation from Kenya 🇰🇪🇹🇿 we ❤️ u
Hawa ndo wasaniiii sasa ,,,,,sio nitongoze na nyengineo ,,,,,,, mtetezi wa nchi forever I love it
Mataifa yaliyoendelea tayari we ndo ungekuwa dereva but kwa mataifa yanayoendelea we hufai ohoo God tuone
Sina la kusema,MUNGU aibariki siku yako uliyotungwa mimba na kuja duniani. Your a real artist.
@imanuelsimon2117
Жыл бұрын
Kabisa
@sayijoseph1825
Жыл бұрын
Mungu amlinde Nay wa mitego
@petrusmakupe2093
Жыл бұрын
Heri tumbo lililokubeba na maziwa uliyonyonya
@blasiusmagembe7061
Жыл бұрын
Hakika
@samboy5033
Жыл бұрын
Kabsa
Ney wewe si Raisi wa kitaa wewe ni Raisi wa Africa nzima. I wish all the African rappers would learn from Mr.Ney's writing skills. Guys let hit 100M views
@tomtomboyjackson6055
Жыл бұрын
Kweli kabisa tunamwomba agombee urais hakika atashinda kwa kishindo Nay 🔥🔥🔥🔥
Mambo ya ufisadi, udhalimu, rushwa nk hayatakoma kwa jitihada zet coz yalishatabiliw na manabii, yatakoma wakati ule ambapo Bwana Yesu atarudi kuangamiza uovu, tunaish nyakat za mwisho. Jipange sawa sawa!
Yaaani daaa jamani kuna kitu nimejifunza kutokana ba wimho huuu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Nakupenda Ney! Hauogopi kufa hata ufe kiharakati, wewe ni sauti ya wasiosikika na haukubali kutuacha tulilie mioyoni unayasema hadharani. True boy❤️👊🤝
@edwardkongo410
Жыл бұрын
Haogopi nini ????? 😂 😆 😂 😆 😂 muoga mzuriii tu huyo
@isdorchuvu6280
Жыл бұрын
@@edwardkongo410 😁😂🤣we kweli kavu.
@Kingtiger98
Жыл бұрын
Hehe kzread.info/dash/bejne/eoCl2MquaNnQaZs.html
@violethtingo7703
Жыл бұрын
@@edwardkongo410 humjui ney
@imansamwel4757
Жыл бұрын
Da! Penda xana kaka
Nay unashangaza dunia nzima kwa kweli. This song is 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥.Wanyonge mko wapi tumsapoti kaka Nay. Big up to yuo Nay.😇
Ney hongela naomba samia asikie na aelewe kuwa uongozi si sifa ya kuvaa vizuli kutembeya nje ya nchi kuliko nchi yako mama jitoe mhanga kama magufuli
Huu wimbo ukijalibu kuusikiliza kwa kina zaidi, unaweza jikuta na msongo wa mawazo juu ya taifa letu, kiukweli nay ameimba mambo ambayo yapo ktk nchi yetu hii juu ya viongozi wetu, kwa wale waliofanikisha kuusikiliza huu wimbo na kuuelewa tuweze kuwa na mabadiliko juu ya nchi yetu pamoja na viongozi hawa tulio nao, asante nay wa mitego 🥀🥀🥀
"Kama ulimpenda BABA huwezi mwelewa MAMA na kama humkupenda BABA utaendelea kumchukia MAMA" UJEMBE MKUBWA SANA HUU.... inshort kote hakueleweki na hakuna uhafadhali......
@sharifuamuri4638
Жыл бұрын
Kabisa
@sharmilaoman6389
Жыл бұрын
Kabisaa tokeni nyie kwenye ajira na nyie mkajiri asee so painful
@JaneDaimon
2 ай бұрын
Hakika NY ❤❤❤
🇹🇿🇹🇿🇹🇿 I love my country I love my artist Nay wa mitego Viva Nay Viva Nay 🇹🇿🇹🇿💯💯💯
Merci beaucoup nay mon idole. ile ngoma ina tuhusu sisi wa congomani🇨🇩 kwani tuna pitiya mateso. > Tuli wa ambia wa chakuwe musa, wa djinga waka chagua myaka 5 ya mateso na 1 haiya isha. Mungu fungula macho wa congomani.
ACHENI KAZI ZENU NDOOO NITAAMIN NYIE WASHAULI WAZUL. ....... aise kaka yetu hicho kipengele kaua sana big puuu💯💯💯💯💯💯
Respect to Nay Wa Mitego, He is the true LEGEND... Mungu akupe maisha marefu brother🙏 Kenya tunakutambua🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@henrykuzenza3061
Жыл бұрын
Hii ni Mara 7 nairudia hii ngoma, amani Sana ney
@calebrioba5350
Жыл бұрын
True bro in Kenya we also need such an artist who does not fear and speaks on behalf of the voiceless.......Nay wa mitego may God protect you as you speak the truth
@Kingtiger98
Жыл бұрын
Heye kzread.info/dash/bejne/eoCl2MquaNnQaZs.html
@samniza1763
Жыл бұрын
@@calebrioba5350 Amen to that.
@teddytaura1819
Жыл бұрын
@@calebrioba5350 He's always real,,, The voice of all Africans 💪
Nimegundua wakenya ndio qanaosapot Sana muziki wetu watz,lakn cc ni wanafiki kweli tunajifanya Kama vile hatujaelewa idea,always I love Kenyans❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nani kama nay wamitego na heshima Kwa kuanza kuomba samahani kabla kuwapa kweli na kuchana heshima Sana hii iko juu Sana na lazima nchhi ibadiliii wapi like za wakenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪👍
GOD be with wazalendo kama Hawa one day tutafika nchi ya ahadi 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 🤝🤝🤝 NEY 🤝🤝🤝
Maneno ya kwel kabisa hakika ni sauti ya watu nimelielewa hili song ❤😢💪🙏🏿🤲🏻🌹🇹🇿🤝
@mansourjogi6909
Жыл бұрын
mpumbavu wewe
@mansourjogi6909
Жыл бұрын
wewe mwanamke halafu unasapoti huu roho mbaya tu serikali inajitahidi na we wakukamatwa nitakuja hapo unapoishi kukamata fakyu sauti ya Mrusi mweusi komando tz
@vincenthussein1311
Жыл бұрын
Sanaa
@fakiimussa
Жыл бұрын
@@mansourjogi6909 Saut ya watu
Kama umeielewa kama Mimi gonga like nyingi apa✌
@madzodida6391
Жыл бұрын
Goma kalii penda sana ney
@Kingtiger98
Жыл бұрын
Ehye kzread.info/dash/bejne/eoCl2MquaNnQaZs.html
@peemsafi6068
Жыл бұрын
Irudiwe
@dominicknondo7681
Жыл бұрын
Hii itaishi sana bro ASante Mungu akutie nguvu huendelee kutupigania Sisi wanyonge Pia tujifunze kupitia wewe 🤝
@masikitikomwakyonde1259
Жыл бұрын
GOD BLES U my brother
Maji hayatoki bil znatoka, Kuna wanaume afu kuna ney the true definition ov freedom fighters
Nay is the KING of the kings nakukubali sana, from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿.
Jaman big up kwa msanii wetu tumuunge mkono kwa “sauti ya watu” kwan hakun msaniii mwingne aliefikiria hili kwa undani labda tuseme maisha yao hayabuguziw nakitu ila kwa sisi wanyonge tunaopitia nadhani niwashahid tosha katika hili tumuunge mkono MR nay kwa sauti ya watu. Nategemea like nyingi kwa tulipitia magum mpak kufik tulipo sasa.. God bless you my brother 🙏🙏
🔥🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 nakubali lais wa kitaa sisi tutaongea vip tinaogopa kupotea tunakutegemea
Much love from kenya❤❤ Kama unakubali ujumbe huu ufikie viongozi wa nchi zote mbili gonga like… Tanzania/Kenya... OneLove❤️💯
Nay yupo vizuri sana tena sana mi hua namkubali sana, sana, tena sana ❤love nay songs
NAY RAISI WA KITAA KAONGEA KWA AJIRI YETU ❤️❤️❤️🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@elinarutagara9327
Жыл бұрын
💪🔥
Tujiajiri wakati nynyi wenyewe mmeajiriwa.Ney pamoja sana💪
Tanzania 🇹🇿 is a such peaceful nation for real, there are some countries on the continent where a such song would cost his life. So you guys should be proud of yourself, for having the freedom of openly speak what you feel. I’m proud of you guys ( Tanzanians)
@mariamuathumani4098
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 coming in then you will realize the shit
@abdalahgunda1319
11 ай бұрын
You don't know how tanzanian people pass through when people are outside of tanzanian think Tanzania is ok but not Tanzania population smoll business safering on tax ever seen in Africa such tax we don't talk about single tax on one pasonol can be more than 6 different names of tax in one single pasonol wich we don't experience on ather national clouse boder who use seem pot getting the cargo saprys us is this seem national getting cargo seem pat outside think Tanzania can be advantage of pot thing to be a bet cheeper but get saprys neburing country cheeper than Tanzania population smoll scale businesses is that far no adier maybe you can do reach see and get answer
@DavidWachira521
9 ай бұрын
But his song aren't played on 📺 and on 📻 coz of his music style he said it on bbc
@NicksMwiti-nj4wt
9 ай бұрын
If ni Kenya Angekuwa saa hii amesaulika,,,God rescue my land please 🇰🇪🇰🇪
Mr nay hii ngoma ulkaa ukafikiria na ina ujumbe mzito sana kwa jamii na kiukweli hapa ndo tunaona msanii kama kioo cha jamii yaliosemwa Tz hta Kenya yapo ila ss wanyonge tufanyeje zaidi ya kuishi kwa kuzoea 2 ila kwa kupitia hii ujumbe wanao wahusika
This is what we call maturity. We are tired of sensational songs za wabana pua. Tunataka vitu Kama hivi. Vitu vinavyosisimua ubongo. Nyimbo zako za kiuharakati zitadumu kuliko za Hawa wa mahaba na wasichana kucheza uchi. Big up bro. Much love from Kenya
@emmanuelpastory4896
Жыл бұрын
Dah, nimeirudia zaidi ya mara kumi na zaidi, ukiona mtoto alii njaa ujue chakula amna, gonga like twenzetu
@bajunfm5764
Жыл бұрын
SAWA UNAMPONGEZA ILA HIO HAITOSHI… HEBU NIJIULIZE MM NA WW JE TUTASIMAMA PALE WATAPO MSIMAMISHA MAHAKAMANI ? ?? JE TUNAELEZWA NINI HAPA? JE WALENGWA WATATAFAKARI? JE WATAPO MUELEWA NAY SAUTI YA MASIKINI ITASKIZWA ????????
@justusmkubwa
Жыл бұрын
True
@musamnene4790
Жыл бұрын
mara nyingi san
@samwelimsafiri5883
Жыл бұрын
Hii nchi mwanaume ni mm na nay tu wengine jinsia 2
Tanzanian artists are a different breed. Truly talented. A gift!
@justinasaimoni2755
Жыл бұрын
Unafa kua raisi wawanyonge kweri🇹🇿
@ToxicAfricanKing
Жыл бұрын
Acha iendele kunyesha tuone panapo vuja
@shakilasaidi8029
Жыл бұрын
Mmmmh
@Elton94
Жыл бұрын
Video mpya ya diamond ishatoka m.kzread.info/dash/bejne/qqeVqcmmY9Sueag.html
@Elton94
Жыл бұрын
Video mpya ya diamond ishatoka m.kzread.info/dash/bejne/qqeVqcmmY9Sueag.html
Nay nakukubali Sana sauti hii kweli n yawatu walalahoi ,,,,kila mtari kwa hii ngoma ina uzito wake
Hiki kichwa makini Sana maneno yk yanawachoma wale mazarim ukiwa unamjua Mungu huwezi kuchukia kukosorewa
sauti ya watu, tutahakikisha tumefika more than 1M views. Rais wa kita💪
I'm not Tanzania but I'm a east African and I understand much than I can talk... Same happening in Kenya and far worldwide,, love your songs
@josephmmbaga7050
Жыл бұрын
Huwa nakukubali sana huogopi kututetea
@ulaweboy9826
Жыл бұрын
Karibu tanzania
@barakaemmanuel9047
Жыл бұрын
Rutoo ajee asikeee hiii
@juliem1674
Жыл бұрын
Any tips anyone can share to help those of us who can underhand Kiswahili but struggle to speak fluently....kuongea ni shida sana😄
@nadearsmile
Жыл бұрын
@@juliem1674 your welcome to Kenya for a stay of at least 3 months,, and it will be a bit good 😅
Mungu akutunze Nay uishi miaka mingi usidhurike kwa lolote lile kwa kusema ukweli
Iko vizuri na hajaema vibaya sema ukweli kaka na mungu akupe uzima wa milele na nguvu tele na ubunifu wa kweli
"Hacheni nafasi zenu na nyinyi mukajiajiliiii....."🔥🤕🤕😔
@leokamil6284
Жыл бұрын
Thubutu walivyo na uchu wa madaraka,hata wakitakiwa kujiuzulu hawathubutu wengine mpaka wanazeekea madarakani
dah huyu mja mungu amueke sana ukweli uongelewe na siku zote ukweli unauma unguja askari magerza mpaka majumbani saiv njaa tupu uko serekalini wanasema hakuna pesa wanaweka kitega uchumi kw raiya ila hawajui tu wananchi mwisho watachoka badala yavita vya akili litakuja kuwa vurugu apo bdae tuelewe ilo maisha haya yanachosha bana ukweli uongelewe..
Wakati magufuri yupo hukuerewa kaz anayo ifanya siku nyingi niliomba mungu akuoneshe njia kuwa yeye Ni mungu akuoneshe toka magufuri amelala umebdilika mungu akupe maisha malefu uzidi kusema ukwli
Huu siyo wimbo hii ni IBADA TAKATIFU. Ikiwapendeza ndugu zangu huu wimbo utumike kufungua na kufunga ibada kwenye maeneo yote ya ibada. HALI NI MBAYAA! Thanks Ney for this. 🙏🙏🙏
@daudiidi7429
Жыл бұрын
Umerong kufungua ibada tena
@erastomwakalukwa3946
Жыл бұрын
Say it loud 🙋🙋
@leonardmartine6189
Жыл бұрын
Umekosea kusema ibada ndugu yangu Palipo na Mungu panasitahil sifa zake ili kumwabudu na kumsifu, nyimbo za ibada ni zile sinazokiri ukuu wake.
@afidbillmusic8461
Жыл бұрын
@@leonardmartine6189 sahihi, kwani huu wimbo unakosesha utukufu? Au ni vile unamtafsiri Mungu vile unavyoamini wewe. Neno la Mungu ni KWELI. Ishi hapo kwanza usikariri mtumishi. 👏
@isayabuyoya7128
Жыл бұрын
@@leonardmartine6189 Kwani Mungu hahusiki kwenye kutetea walioonewa? Au we unazungumzia Mungu gani
Kama upo pamoja na Yey True boy dondosha like zakutosha
@hawamohammed4978
Жыл бұрын
Nik pamoj n uyu mwamb love nay
@Kingtiger98
Жыл бұрын
Yeye kzread.info/dash/bejne/eoCl2MquaNnQaZs.html
Maji hayatoki ila bili zinatoka!!!! Big up sana bro kwakutusemea wanyonge!! Nawaenjoy kweli kuliko walipa cod aiseee!!! Nchi imeingia kwenye laana hiii!!! Acha ivumeeee!!!💪💪💪💪💪
Msanii ni kioo cha jamaii anacho sema nay wa mitego kwa aslimia kinamantiki Hali mbayaa mtaani .. we never get ✋
Huu wimbo unaujumbe tosha kabisa kwa viongozi wa taifa letu la Tanzanian 🇹🇿🇹🇿🤝
hii ndo maana ya nyimbo...mashairi mazuri,ujumbe mzuri na elimu nzuri
Jina Raisi wa Kitaa lime relate vyema na unachokifanyaa May God be on your side
Sawa kabisa ney wamitego umewa choma sehem pal✌️✌️✌️✌️💖💖💖
Daah ni muda kidogo sijaifata ngoma youtube kuisikiliza...ngoma kali, ina maudhui mazur sana, haya tuliyategemea sana kwa Roma but now Roma nae yupo zake ughaibuni, nikadhan ngoma za aina ile zimepotea, kumbe Mr Ney, he is here standing for us again, well done bhana....
Hii ngoma asiye ikubali aumbe dunia yake
Mwamba anasema kweli... True, this is the voice of peoples.
Hakika rais wa kitaa Mungu akupe maisha marefu wew ndio shujaa wetu
Touching song,kumbe si Kenya peke yake mbaka Tanzania mambo ni Yale.Mungu wa reha njoo.......🇰🇪
Natamani vijana wote tungekuwa na courage hii, safi Nay, this is powerful...🔥
@lucasmanyama2892
Жыл бұрын
Vijana wengi wanawaza mayele kuliko mambo yanayoguza maisha yetu Moja Kwa moja
Daima umeimba vema, ndugu japo sio mshabiki wa mziki, lakin ukiimba kukemea UOVU Mungu akubariki kwa kazi hiyo
Apo sawa ney tulikusubir sana tukajuwa na wewe umekuwa yuda kumbe bado uko nasisi wanyinge nakubali rais tusemehe💥
Musicians of Tanzania and Africa in general let's change our vision . Not always about love!! We have a lot of topics to discuss like Ney what he did. Congrats to you mzee live long and your voice ifike hukooooo waliko
Wimbo una hisia kali sana, kuna kitu kina nisukuma kufanya jambo kubwa kwa ajili ya taifa langu. Nay umecheza nafasi yako..much love 🇹🇿
@malakiayo4719
Жыл бұрын
Mama amefeli ney kwanafasi yako umefikisha ujumbe ila najua povu litawatoka
@psychicthedony_tz6603
Жыл бұрын
Ney natamani watanzania wote tungekua kama ww hii nchi ingekua haina ujanjajanja mwingi
@abdallahhamad9884
Жыл бұрын
Dah so emotional
@lucasmanyama2892
Жыл бұрын
Ameimba kihisia sana
@michaelemanuel3132
Жыл бұрын
Kinachotakiwa na wengine waseme km Ney na sio kukaa kimya2 bila yakuongea watajuaje madudu yao ht mimi nipo tayari kusema ht kwakuongea mana sio lazima sote tuimbe nikipata nafasi nitasema hadharani tumechoka.
Nc brother tunakubal mcana ukwl wew ndoo unae tutea bilakujal kitacakutokea mungu 💪💪💪💪💪
Siku izi adi vigenge vya nyanya TRA wanadai kodi.....hyo line ya ukwel kabisa mungu atusaidie tz......
I'm a Burundian but really this guy is my fav. His songs are facts
@tusajigwejackson3149
Жыл бұрын
Yeah he tried to potray what happens in the nation
@jerrycapable32
Жыл бұрын
Nay mzee baba Hapo kongole kwa nyimbo ya ujumbe mzitoo🤝🤝
@vianneyniyonsaba7316
Жыл бұрын
🇧🇮🇧🇮😍😍✌✌One love
@skullcrush3r437
Жыл бұрын
So u speak swahili in Burundi??
@alexisnimubona3801
Жыл бұрын
@@skullcrush3r437 Yes swahili is second language spoken in Burundi
Wapi likes za Huyu Super 🌟 star.....He is on Top. WILLY BLESSING 254 Representing KENYA
Jamani.kaimba.ney.uwalisia.mkubwa.uyo. mtetea.wanyonge.💪💪💪🙏🙏🙏❤️❤️
Magufuli mlisema mbaya samia mbaya mara Mungu mbaya mmebeba mabaya ndo mnaelimisha watu ila mtakuwa dhahiri wasanii mnaochanganya habari siwapendi mm siwapendi
Rais wa Kitaa, mwana na msela flaan anayoisemea Mtaa..Ngoma nzuri, message ndo balaaa🙌🙌🙌