NASWAHA KWA TIKTOKERS NA WANA MITANDAO KWA JUMLA 9 July 2024

Ойын-сауық

Пікірлер: 30

  • @eshasalim1471
    @eshasalim147112 күн бұрын

    MashaLLAH sheikh Yusuf umesema ukweli jaza yako iko Kwa Allah

  • @wardasaid9083
    @wardasaid908315 күн бұрын

    Jazakallah kheir kwa nasaha yko nzuri Allah ajaalie iwe ktk mizaan hasanaat zko

  • @user-hv4um1rc5e
    @user-hv4um1rc5e14 күн бұрын

    MASHA ALLAH Sheikh yusuf

  • @eshasalim1471
    @eshasalim147112 күн бұрын

    Tuwaombeeni Sana Dua hawa ndugu zetu Kwa kutojua kwao Allah awatiye tanabuh waone makosa yao

  • @eshasalim1471
    @eshasalim147112 күн бұрын

    Maskini ndugu zetu wamekhafilika na Dunia Allah awaidishe wote

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8l13 күн бұрын

    Ukweli sheikh wangu nakupenda saaaana kw ajili y Allah

  • @mohamedabu3268
    @mohamedabu326815 күн бұрын

    Maneno mazuri sheikh wangu nakupenda kwa ukweli wako ALLAH akuzidishie umri wa qeri na baraka AMEEN ALLAHUMA AMEEN

  • @ummusalim1991
    @ummusalim199115 күн бұрын

    SubhanaAllah 😢 Kweli yaliyofanyika sio Sawa kabsaa... Mungu atuongozee atuswameh SubhanaAllah 😢

  • @harithjamila7371
    @harithjamila737115 күн бұрын

    Jazakallah kheir kweli kabisa.

  • @abubashir3475
    @abubashir347515 күн бұрын

    Allah akuhifadhi ndg yangu sheikh Yusuf akujazi Kila kila lakheri Kwa naswaha Yako nawenye kufanya mambo hayo Allah awaongoze

  • @ummusalim1991
    @ummusalim199115 күн бұрын

    Kabisaaaaa sanaaaa Sheikh Yussuf Abdi😢 👍

  • @wahidahamid4773
    @wahidahamid477314 күн бұрын

    Well done sheikh Yusuf 👏👏 100/ true

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rv15 күн бұрын

    Jazakallahu sheikh YUSSUF ABDII

  • @alkhayraatv
    @alkhayraatv15 күн бұрын

    Shukran shekh yusuf Hao ni watu ambao mtumi alisena kuna watu watakuja kuuza dini yao kwa ajili ya dunia yao

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8l13 күн бұрын

    Allah atuepushie balaa

  • @saidhmuhammad5567
    @saidhmuhammad556714 күн бұрын

    Assallam Aleykum Warahmatullahi Wabarakatuh..Masha Allah Baraka-Allahu Fiik...na pia ukiwafuata hko hko kwenye mitandao wanakujibu vibaya..mfano mtu akiwa ameweka video ama amejiweke yy mwnywe awe mume ama mke ukijarbu kumueleza wanasema usilete ushekhe hku kwenye tiktok ama social media yyte ile..Allah atuongoze sote na majanga hya

  • @MahmoudMohamed-yc6fr
    @MahmoudMohamed-yc6fr15 күн бұрын

    Masha Allah Mungu akuhifadhi Sheikh wetu

  • @khalidmansur4284
    @khalidmansur428415 күн бұрын

    Hao wamevaliwa na tiktok hawaambiliki. Ukizungumza utapigwa vita na unyamazishwe.

  • @nelson-cd7fr
    @nelson-cd7fr15 күн бұрын

    Jazakallah kheir

  • @andallaathman3856
    @andallaathman385615 күн бұрын

    Shukran sheikh Yusuf mm nimefurahi wallah tena sijui nijui wanywa soda gani Hilo jambo liliniudhi shekhe wacha tuu mungu akubariki in

  • @salimsalim-ut4jk
    @salimsalim-ut4jk14 күн бұрын

    Jaman Sasa hivi dini imebaki kwa wachache na nyie mashekhe mumechangia kwa mizozo yenu kila wakati Sasa pambambaneni na hilo janga maana huenda asilimia kubwa ya vijana hawajui hii dini kabisaaaa

  • @alimansur9554
    @alimansur955415 күн бұрын

    Swadakta 💯 ushatowa jukumu lako mbele ya mungu.

  • @ArnoldSalim
    @ArnoldSalim15 күн бұрын

    Shukran kwa ukumbusho

  • @asyaluay5174
    @asyaluay517415 күн бұрын

    Waridhika hao waume hawajali sheikh, ndio kizazi cha tiktok toka waoane ahlul tiktok wajipost mpk wakapata waume huko huko😅 Wakiambiwa wasema "don't judge me" But ndio km maharuc yetu mambo ni hayo bwanaharuc akiingia na best men wanawake parwanja Mungu atuongoze sote Sheikh Yusuf Mungu akueke ukweli cku zote unauma Madayuth wameenea akher zamaan hz msiba

  • @hassanaboud8442
    @hassanaboud844215 күн бұрын

    Subhana wallah

  • @user-uf6uu8cv3g
    @user-uf6uu8cv3g13 күн бұрын

    حاتا تتبعا ملتهم

  • @babinhoelninho5416
    @babinhoelninho541615 күн бұрын

    Ikiwa wewe husband ndii hurecord video mke apost sasa hapo tasema nini

  • @babinhoelninho5416
    @babinhoelninho541615 күн бұрын

    Tatizo ni viewers na hizoo pesa za mitandao ndii umeharibu mujtamaa wetuu

Келесі