Abu Shuraim

Abu Shuraim

8 July 2024

8 July 2024

BADO TWAHITAJI MADESKI 8 July 2024

BADO TWAHITAJI MADESKI 8 July 2024

HALI YA MOMBASA LEO 8 July 2024

HALI YA MOMBASA LEO 8 July 2024

Kumbukumbu ya saba saba

Kumbukumbu ya saba saba

FERI YA MOMBASA 7 July 2024

FERI YA MOMBASA 7 July 2024

NI KOBE AMA NI KASA 7 July 2024

NI KOBE AMA NI KASA 7 July 2024

NAOMBA MSAADA WENU 6 July 2024

NAOMBA MSAADA WENU 6 July 2024

AMANI AMANI AMANI 6 July 2024

AMANI AMANI AMANI 6 July 2024

twaomba amani 5 July 2024

twaomba amani 5 July 2024

Пікірлер

  • @khalidmansur4284
    @khalidmansur42842 сағат бұрын

    Hao wamevaliwa na tiktok hawaambiliki. Ukizungumza utapigwa vita na unyamazishwe.

  • @amenamaashaallahyasheikh3457
    @amenamaashaallahyasheikh34573 сағат бұрын

    lnnallillah wa lnnailayh Rajiuun

  • @asyaluay5174
    @asyaluay51744 сағат бұрын

    Waridhika hao waume hawajali sheikh, ndio kizazi cha tiktok toka waoane ahlul tiktok wajipost mpk wakapata waume huko huko😅 Wakiambiwa wasema "don't judge me" But ndio km maharuc yetu mambo ni hayo bwanaharuc akiingia na best men wanawake parwanja Mungu atuongoze sote Sheikh Yusuf Mungu akueke ukweli cku zote unauma Madayuth wameenea akher zamaan hz msiba

  • @MahmoudMohamed-yc6fr
    @MahmoudMohamed-yc6fr4 сағат бұрын

    Masha Allah Mungu akuhifadhi Sheikh wetu

  • @ramadhanabdulaziz1650
    @ramadhanabdulaziz16505 сағат бұрын

    Wote wamoja... Non of the above should be re elected. If Kenya wants REAL CHANGE

  • @ramadhanabdulaziz1650
    @ramadhanabdulaziz16505 сағат бұрын

    Wamejipanga wenyewe kwa wenyewe...

  • @nelson-cd7fr
    @nelson-cd7fr5 сағат бұрын

    Jazakallah kheir

  • @alichenene8339
    @alichenene83396 сағат бұрын

    Huo niukweli but sio wote wanaelewa

  • @SalmaAli-i1v
    @SalmaAli-i1v6 сағат бұрын

    Innalillah wainna ileyhi rajiuun

  • @cliffordjuma9392
    @cliffordjuma93928 сағат бұрын

    Guok

  • @babinhoelninho5416
    @babinhoelninho54169 сағат бұрын

    Ikiwa wewe husband ndii hurecord video mke apost sasa hapo tasema nini

  • @babinhoelninho5416
    @babinhoelninho54169 сағат бұрын

    Tatizo ni viewers na hizoo pesa za mitandao ndii umeharibu mujtamaa wetuu

  • @alimansur9554
    @alimansur95549 сағат бұрын

    Swadakta 💯 ushatowa jukumu lako mbele ya mungu.

  • @andallaathman3856
    @andallaathman385611 сағат бұрын

    Shukran sheikh Yusuf mm nimefurahi wallah tena sijui nijui wanywa soda gani Hilo jambo liliniudhi shekhe wacha tuu mungu akubariki in

  • @ummusalim1991
    @ummusalim199111 сағат бұрын

    Kabisaaaaa sanaaaa Sheikh Yussuf Abdi😢 👍

  • @ummusalim1991
    @ummusalim199112 сағат бұрын

    SubhanaAllah 😢 Kweli yaliyofanyika sio Sawa kabsaa... Mungu atuongozee atuswameh SubhanaAllah 😢

  • @ArnoldSalim
    @ArnoldSalim12 сағат бұрын

    Shukran kwa ukumbusho

  • @harithjamila7371
    @harithjamila737112 сағат бұрын

    Jazakallah kheir kweli kabisa.

  • @mohamednurmohamed8812
    @mohamednurmohamed881213 сағат бұрын

    Swadaqta wallahi hi ni Jihadi tushikane before its too late .

  • @hassanaboud8442
    @hassanaboud844213 сағат бұрын

    Subhana wallah

  • @wardasaid9083
    @wardasaid908313 сағат бұрын

    Jazakallah kheir kwa nasaha yko nzuri Allah ajaalie iwe ktk mizaan hasanaat zko

  • @FrancispaloniNtrangs
    @FrancispaloniNtrangs17 сағат бұрын

    Siku hizi ni jicho mtaka kitu

  • @zahidaghani8064
    @zahidaghani8064Күн бұрын

    Assalamualeikum. Please shika njia ya moons, kilifi, Kaloleni , Tudor , kibokoni , Asante for your video.

  • @jamalsaid7475
    @jamalsaid7475Күн бұрын

    Ameen JazakaAllaahu'khayran

  • @GhefeneGhethuther
    @GhefeneGhethutherКүн бұрын

    Yu

  • @user-eh6ss4xn8n
    @user-eh6ss4xn8nКүн бұрын

    Wale wali umia kokoro kwa mtaka hivyio

  • @mohamedbare5036
    @mohamedbare5036Күн бұрын

    🎉❤

  • @Auf-uh3jq
    @Auf-uh3jqКүн бұрын

    Sahau hichi kiti boss

  • @eshasaid3258
    @eshasaid3258Күн бұрын

    Mwezimungu alinde kenya nashari zote na mombasa❤❤❤❤😅😅😅😅❤❤❤😅😅😅❤❤

  • @DanielBaya-fn1uo
    @DanielBaya-fn1uoКүн бұрын

    Jicho pevu stop your nonsense

  • @user-yv1rp1ln3p
    @user-yv1rp1ln3pКүн бұрын

    Mungo ahifadhi mombasa ameen

  • @djbushmeatfans9825
    @djbushmeatfans9825Күн бұрын

    JIcho pevu liliacha kuona

  • @user-pn1dp2ee9x
    @user-pn1dp2ee9xКүн бұрын

    Mama pongezi sana kwa kazi nzuri unayoifanya,ikiwa kezi iko courtini mbona munaongea saaana?Hiyo ni biashara ya watu wawili,mbona munaleta ya dini ndani?Ningeomba mutulie kidogo ikiwa kezi iko courtini,lakini nina imani kuna mambo mengine hauyajui kiundani kuhusu hiyo kezi.Afadhali mwachie wakili hiyo kezi mwenyewe kuliko kuingilia jambo hamulijui mwanzo wake.

  • @jasminmohamed6145
    @jasminmohamed6145Күн бұрын

    SUBHANALLAH LAILAHA ILLALLAH WAHDAHU LASHARIKALAHU LAHULMULKU WALA HULHAMDU WAHUWA ALA KULLISHAIIN KADER WAANNA SAIDINA MUHAMMADAN RASULULLAHI SWALLAAHU ALAIHI WASALLIM WA BARIK ALAIHI ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MUHAMMADIN WAALI SAIDINA MUHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM Barakallahu Feek

  • @ummusalim1991
    @ummusalim1991Күн бұрын

    Ni kobe huyo Abu Shuraim 😅

  • @TopgangCulture
    @TopgangCultureКүн бұрын

    Siezi amini pesa hubadilisha roho ya patriot

  • @faisalyunus4283
    @faisalyunus4283Күн бұрын

    Ulikuwa jicho pevu sasa umekuwa tumbo pevu mkono mrefu😂😂😂😂

  • @faisalyunus4283
    @faisalyunus4283Күн бұрын

    Tumbo pevu mnafk

  • @bongasasa3895
    @bongasasa38952 күн бұрын

    Shenzi when did you go Somalia hehe

  • @bongasasa3895
    @bongasasa38952 күн бұрын

    Just listen to this confused garamgaram! Kwenda huko!

  • @salimgamal
    @salimgamal2 күн бұрын

    MashaAllah Tabarakallah... Allah Awahifadhi, Ustadh Jamal na Abu Shureim na jami'il muslimin...Amiin🤲

  • @zahraomar6172
    @zahraomar61722 күн бұрын

    Ya Raab tusahilishie ummah wa Rasul saw...leo waislamu tungeshikana na kuwa na battle maal tusingekuwa wahitaji wakuchangishiwa...tuinukeni ummah wa Rasul saw

  • @emmanuelkazungu8500
    @emmanuelkazungu85002 күн бұрын

    Pia wewe wafaa kuenda kuma mayo you are corrupt too

  • @Juma-rt2kd
    @Juma-rt2kd2 күн бұрын

    SPANNER BOY WA ZAKAYO TUNAKUSUBIRI 2027 JICHO PESA MSALITI UGAVANA MOMBASA UTAUONEA VIEW SASA........

  • @hassanaboud8442
    @hassanaboud84422 күн бұрын

    Mash ❤ allah

  • @abdulhakimhasan7673
    @abdulhakimhasan76732 күн бұрын

    Livingstone na speke walikuwa askari waingereza , na kuingia kimabavu huko Rabai , Giriama.

  • @abdulhakimhasan7673
    @abdulhakimhasan76732 күн бұрын

    Huyu Ismaili alikuwa mtoto mchanga ameuzwa huko mozambique akapelekwa Goa , India. Missionari walimlea kuwa padre.

  • @mohamednurmohamed8812
    @mohamednurmohamed88122 күн бұрын

    Swadaqta ❤

  • @abujamilamuhammadabdulhali3537
    @abujamilamuhammadabdulhali35372 күн бұрын

    afuan akhil habib hapo kwa shaaban naona ni rajab ama

  • @abdulhakimhasan7673
    @abdulhakimhasan76732 күн бұрын

    Rebman kuona ameshindwa , akatumiwa Ismaili , mswahili kutoka mombasa anayezungumza kiarabu , kuwa amekubali ukristo na kuacha uislamu.