NASIB FONABO APIGA KIBAO CHA KIMATAIFA ZAIDI : SOBER
Ойын-сауық
Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 13 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz
Пікірлер: 163
Ifike Wakati master J ajifunze kujua namna ya kuadress mambo kwa washiriki, awe na utu akijua hata yeye anamapungufu sio mkamlifu, sio kila siku washiriki wanakua sawa,Ajitahidi asiwaibishe washiriki mtu mzima kama huyo ana mtoto ana mke, Na siyo sifa kuaibisha watu we mwenyewe unaonekana hujitambui leo umsifie kesho unamuona hafai inaonesha ni namna gani sio Judge mzuri,mtu ni performer siku zote na tunajua Wote yupo vizuri ,kaanguka mara moja ushasahau mambo mazuri, unaongea bila hisia kabisa 😢😢 sio sifa aisee
MADAM RITA JUDGED VERY BEAUTIFULLY! She Reminded Master Jay he once told that young man he is the MAN and Bigger than BURNA BOY ! Leo hii anamugeuka eti GO HOME 😑😑 Master Jay hana MOYO ! Madam Rita God bless your soul !❤❤❤ FONABO YOU ARE AMAZING! DO NOT LOSE HOPE !
Sauti yake ni kama ya marehemu Mowzey Radio aliyekuwa ktk kundi la Radio & Weasel, huyu akijikita kwenye Riddim atafanya vizuri sana
Madam rita nakupenda bure... Life deserve second chances bana wee😍😍😍love you
Ngoma ni kali sana sana yaan
Duuh kweli bongo uchaw upo yaan nasib ashinde kuimba!!
Ifike wakati watanzania tusiwe mashabiki fuata upepo ukiangalia kunamashindano makubwa yanaendeshwa mataifa yawenzetu watu wanaonyesha hisia za kweli kwenye performance lakin et bongo et mtu ka feli ujinga huu na upuuzi binafsi jamaa nimkali sana na hiyo moment niyakawaida na hiyo ndio tunaita mziki wa kweli unaogusa maisha ya watu nasio kutu actia mjitathmin mnao judge jamaa yuko sawa tu sometime muwe mnajifunza kwa watu wengine its real pain kwa udhaifu huo kwa master jay it was salama now ni wewe binafsi kama mdau wa muziki jamaa yuko sawa na anakipaji na hiyo production ya yogo iko fire sanaa
@RichMotherr
Жыл бұрын
True ❤
@solomonnkohozi607
Жыл бұрын
Umeongea point sana, naomba team ya bongo star search yote wafuate ujumbe wako.
@ayrunyjtayruny279
Жыл бұрын
Nimependa sana umeongea point
@rachelsilvester8082
Жыл бұрын
Uko sahih hatujapenda yan kiufup
@jn_mustonez7842
Жыл бұрын
Congratulations 🎈🎈🎈 brother
Madam Rita salute kwako
Nmependa Sanaa hii ngoma brooo🔥🔥
Huyu jamaa nimkali sana tena, sana
Nakubali sana njeya na nafasi ndio izo nafatiliya nikiwa Southa Africa 🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦
Where can I get this song??? I'm addicted to it 👌🔥 Niko sober manze
Mungu azidi kumubariki sana madam Ritha🙏🙏🙏🙏 napenda sana anavyotia moyo vijana kupambania kombeee🙏🙏🙏🙏
Talent kubwa sana adi rahaaaaa 🇲🇿
Namkubali sanaaa Fonaboo🇰🇪🔥🔥♥️♥️♥️
@arkamibrahim6641
Жыл бұрын
huyu andoke, mpaka leo sijiw anasubiri nn,
@neemabenard3993
Жыл бұрын
Akosei uyo
Kakaaaaaa hiiii ngomaaaaa nomaaaaaaa broooooooooooo umeuwaaaaaaaaa mi nimeikubaliiiiiiiii
1: Tgan toz 2:Reonard 3:Nasibu fonabo 4: asagwile
Kuanzia kwenye 1: uandishi 2:beat Mastering Iko faya sana ifike wakati tuapriciate kazi za watu yogo umeua mwanangu master acha izo mambo Jamaaa kauwa sana kwenye hii kitu
Fonabo wewe ni moto nakwambia 🙏🙏🙏🙏
You good broo!! Usikate tamaa kwa kilichotokea ww ni mkali na unajua sana😘😘
Mm sijapenda aiseee 😄😄😄 performance mbaya 🙏
Ngoma Kali sanaaaaaa 🔥 ila hajajua namna sahihi ya kuuperfom
Nassib walimbania sanaa ila ndo mshind wa siku zooteeeeeee🙌🏻🙌🏻🙌🏻😍😍nampenda sanaaa
@neemajoseph7470
Жыл бұрын
Sema weee mwenzangu
Madam Rita uko poa Sana mungu akupe hekima zaidi miaka Ming yenye afya telee
Jamaa leo kazingua, hajui ku perfom nyuma ya mziki kazoe live band
@laurentzacharia1563
Жыл бұрын
Kweli kazoea live band
@druumarley2159
Жыл бұрын
Sasa msanii mzur ni yupi anae tumia cd au band?
I falling love like I'm in sobber❤️♥️♥️ I love the song🔥🔥
Tanzanian Meddy🔥♥️ Mkalii sanaaaaa
Yes ❤❤❤❤❤❤❤
Mina ali hakujiskia vzur check uso wakat anaulza tufanyeje nmempenda alivyolibeba tatzo
Nice song Fonabo ...
This Man is Music 🎵🎵
@sarahgaula2220
Жыл бұрын
Musician
Nimekufatilia uko vizuri nasib nakupendaa
Namkubali sana Fonabo...
Alicho kiongea masta sawa na kumpiga chura teke/ anamuongezea hatua mbele Fonabo. Ila jamaa yupo moto. Mastar j kwendraaaaa. Jamaa mkali siku hazifanani ndio maana kuna juma tatu hadi juma pili. Adam mchovu,madam retar muko sawa. Mastar j kalale
Polle sana brother
Usife moyo bro, continue
Wowwwww nice song very lovely
Fonabo Ma G 🙌🏾
@neemabenard3993
Жыл бұрын
Namkubar Sana najua sana
Acha tusikilizeeeeee broooo nomaaaaa
Lazima Kuna kitu kimetokea kabla ya performance sio Bure
Fonabo you are 👍👍👍👍👍👍👍👍❤️❤️❤️❤️
Huyu master j anaga utu kabsa ajui kuweka bnadam wenzake sawa uwez jua amepatwa nn ana u team fulan hv uwez mwambia mtu vbaya namn hii kuna kaul za kuzungumza na mtu ajihs saw ata km sio saw bs tu hli li baba waltoe
Mmmmmh jaaah bless
Jamaa sijuini ni nini kilichomsibu ila yogo kafanya bonge ya production
Hisia,Sana HIYO ngoma
Jamaa anajua sana
Nguvu ma iko sawa kabisa from congo 🇨🇩 ni kama iko na shida
Fonabo always your better
Yaaan wimbo wake mwenyew hajaukariri na unajua n mashindano sindo pakukesha nao😢😢
@masanjaabasi8970
Жыл бұрын
We sijui ata kama unaelewa kitu 🤣🤣🤣🤣
@elizabethsamweli687
Жыл бұрын
Amekwambia alokua anaumwa nasibuuu mkaliii atalii
@nancyg8664
Жыл бұрын
Sasa kama hujaukariri unaweza ukawa wimbo wako kwel,
Fonabo🙌🙌
Nyimbo kali ila leo performance ipo chini😊
Master Jay unaujua sana music but jaribu kujua kuna kitu kinaitwa hisia watu hulia then wanaendelea pia kuna washirikana kwenye mashindano huwez jua nn kimetokea dady
Nimependa wimbo
Huyu jamaa hayupo serious sasa kweny mashindano kama haya unaanza kujidekeza unapunguza point mzeee
Fonabo my #Crush for this banger
Uyu fonabo anajua sana
ngoma kalii
FONABO....🇰🇪🇰🇪🇰🇪♥️♥️❤️♥️♥️❤️🔥💰
Master J asijikute yeye mambo yote kayawezeaaa mtu huyu ana roho mbaya sanaaaaaa
Yaani nakupenda fonabo Acha kabisa... Coz unajuaa
Master Jay nafasi uliyonayo usiitumie kama fimbo kuadhibu watu
Go go
Kweli mwenye mzikiwake ameondoka nao wamebaki wa tumbuizaji 😢😢hakuna kama nasibu
Leo sijamuelewa kabisaa
🔥🔥🔥
Duuuuuh!! Uchawi upo hat hyo second chance sijaelewa
@elizabethjustine9915
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@RichMotherr
Жыл бұрын
Kwa kwel aliyemroga fonabo leo aisee m nmejckia vbaya
BIGMAN
Uwo wimbo ni wa zouk na jamaa kaimba vizuri tu shida ni producer katia ayo mabass ya amapiano ni lazima yamchanganye producer kamfelisha fonabo 100% zouk inaitaji beat yenye hisia na sio makelele iyo ni kataalam zaidi
Ndio watajua kwann Platinum ni jini kwenye hizi kazi
Hv master jay hz hasira 😢
Its true alikuwa mkali first time alivoshiriki... ila this season huyu jamaa kabadilika na kashuka kiwango sio kama. Hata comment zake baada show sio as strong contester. Anaonekana ana stress sana, na ana sura ya mtu anaetumia kilevi flani. Ni vile mtu aliewahi kuwa mkali na memory ikabaki kichwani inafanya majaji kumvusha. Wanahisi labda atafanya maajabu show inayofata. To help him send him sober house or to see psychologist for counseling.
@adventureswithjemmy
Жыл бұрын
I conquer with you.
@michaellagwen8198
Жыл бұрын
Kwani ni teja huyu
@kawanga0073
Жыл бұрын
Umeongea kitu sense ndugu, wantakiwa wachunguze vzur kuna kitu behind aisee wafanye kumsaidia mapema bila hivyo, watampoteza kbsa, plz BSS help this Guy 🙏🙏🙏
@raphaelkaswahili323
Жыл бұрын
Bro uneonge pumba saana alipokua akifanya vizuri hukusema haya leo kaharibu mala moja unajifanya Dr .....Bro haya ni mashindano hata huko AGT Inatokeaga Mshiriki anashindwa kufanya vizuri kisa Kiatu mpaka anaambiwa avue aimbe pekupeku.......inashangaza kuona mnamshambulia kwa kosa moja.......MPENI MOYO KUYAFIKIA MAFANIKIO SIO JAMBO DOGO KAMA MNAVOFIKILI .....FONABO IS THE BEST
@salumujuta80
Жыл бұрын
P
Kubwa Lao huyo Baba Fonabo 🦁🦁🦁
Adam kumbe unahekima kuliko master j
Fonabo fund he made dat song
Utagandaje kwenye Wimbo wako mzee, Leo umefeli mzee😂
@RichMotherr
Жыл бұрын
alkuw na shida jaman anaonekana tu hayuko sawa
Uyo judge anaemkataa mwana aondolewe kwwnye list y majudges ..Yaani hawezi kufeel maumivu anayopitia mwwnzie..Judges wanao jua kujudge siku zote hawaangalii tuh mamalaka ya kuongea waliyonayo lakini utu lazima uwepo sisis sote ni watanzania,,jamaa kanikera sana haiwezekan mtu anajua kabisa msanii yuko vizuri siku tuh ya leo hayuko vizuri kiafya unataka kukatisha ndoto zake...Hapana angalia majudge kwenye stage kubwa duniani kama AMERICAN GOT TALENT vitu kama hivyo hutokea na msanii anatiwa moyo ,,madame chief judge huna baya mshikilie sana jamaa naamini hata siju akitoboa utakua mmoja wa watu walio behind the scene ya mafanikio yake...Yanatoka moyoni@shedrack abron chengula
Tulijua ataua kinoma noma according to jugges huu mzigo mashabiki hatutaki excuse kwa kweli remember hii season is All stars sasa mtu kuleta umama hatutaelewa kwa kweli ujue wametolewa wasanii wakali sana kwenye hii mashindano unajikuta nani unaleta mambo yako mwenyewe sijui kama utauhimili heka heka za mitandao wewe umetu let down sana on this kaka aah sijapenda
Naona mwenye mziki wake kaondoka wamebaki watumbizaji game over
Kho kho kho yao yao
Madam Rita hilo Sonyo 😆
Duuuuh shetani yupo kazini kukatisha ndogo za watu.....dis is not normal condition.
Hawa majaji unaweza sema hawataongea tena 😀
@nancyg8664
Жыл бұрын
Unaeza sema watapigana
Wmeshafunyana hao
Ni mkalii
Alitungia studio na ajaishika nahis tu lakin
Sound system inashida hii
Uchawi upo jameni
hakuna second chance angekuwa mwengine hapo
Sidhani kama ilistahili kutolewa
Fornabo msanii mzuri lakini performance kafail
Kiukweli jamaa kazingua katika kupafamu kama anatusikirizisha wakati anatakiwa atuimbie
Wacheni nikwambie k2 hakuna kitu kigum kama umezoea kuimba live band ,, kufata saut ya nyimb inqkuwaga mtihani unajikuta unazifata backing badala ya ves ndoilivy kuwa Kwa Fonab na pia unakuta pengene ni time ya kukalili nyimb maan mwingine kukalili ki2 chake nkaz hujawahi kuskia m2 kasahau ves
Ngoma yako itafika mbali
Kasahau lyrics?
Hawo viongoz wote hakili hawana, kilicho tokoa hapo ni ushamba mtu, yan tunaonesha jins gani taifa letu lilivyo la kishamba sana na hatuna tunacho jua kuhusu mzik, ebu ifikie wakati tuache unafki na unafik 😡 na ndiomana mpaka leo Harmonize ana waumbua Mpka leo
Today it's worse kwa fonabo....
Tunaemjua fonabo sio miondoko yake wametaka kufnya wanavyofnya wao wangeacha afanye chaguo lake
Jamaa mbona wanatudisappoint mwishoni hawa wasanii hee
Wew kaka utanfanya nmuache shemeji yako na hii saut
@bahatiagrey6807
Жыл бұрын
haha
Máster j out!