NASIB FONABO APIGA KIBAO CHA KIMATAIFA ZAIDI : SOBER

Ойын-сауық

Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 13 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz

Пікірлер: 163

  • @ruthgaldahlupenza3227
    @ruthgaldahlupenza3227 Жыл бұрын

    Ifike Wakati master J ajifunze kujua namna ya kuadress mambo kwa washiriki, awe na utu akijua hata yeye anamapungufu sio mkamlifu, sio kila siku washiriki wanakua sawa,Ajitahidi asiwaibishe washiriki mtu mzima kama huyo ana mtoto ana mke, Na siyo sifa kuaibisha watu we mwenyewe unaonekana hujitambui leo umsifie kesho unamuona hafai inaonesha ni namna gani sio Judge mzuri,mtu ni performer siku zote na tunajua Wote yupo vizuri ,kaanguka mara moja ushasahau mambo mazuri, unaongea bila hisia kabisa 😢😢 sio sifa aisee

  • @sourp9991
    @sourp9991 Жыл бұрын

    MADAM RITA JUDGED VERY BEAUTIFULLY! She Reminded Master Jay he once told that young man he is the MAN and Bigger than BURNA BOY ! Leo hii anamugeuka eti GO HOME 😑😑 Master Jay hana MOYO ! Madam Rita God bless your soul !❤❤❤ FONABO YOU ARE AMAZING! DO NOT LOSE HOPE !

  • @fazeelshomary2704
    @fazeelshomary2704 Жыл бұрын

    Sauti yake ni kama ya marehemu Mowzey Radio aliyekuwa ktk kundi la Radio & Weasel, huyu akijikita kwenye Riddim atafanya vizuri sana

  • @DIANAPHENNY-Kenya
    @DIANAPHENNY-Kenya Жыл бұрын

    Madam rita nakupenda bure... Life deserve second chances bana wee😍😍😍love you

  • @SKYPROMAX
    @SKYPROMAX Жыл бұрын

    Ngoma ni kali sana sana yaan

  • @mariajohn8294
    @mariajohn8294 Жыл бұрын

    Duuh kweli bongo uchaw upo yaan nasib ashinde kuimba!!

  • @SwahiliAmbasador954
    @SwahiliAmbasador954 Жыл бұрын

    Ifike wakati watanzania tusiwe mashabiki fuata upepo ukiangalia kunamashindano makubwa yanaendeshwa mataifa yawenzetu watu wanaonyesha hisia za kweli kwenye performance lakin et bongo et mtu ka feli ujinga huu na upuuzi binafsi jamaa nimkali sana na hiyo moment niyakawaida na hiyo ndio tunaita mziki wa kweli unaogusa maisha ya watu nasio kutu actia mjitathmin mnao judge jamaa yuko sawa tu sometime muwe mnajifunza kwa watu wengine its real pain kwa udhaifu huo kwa master jay it was salama now ni wewe binafsi kama mdau wa muziki jamaa yuko sawa na anakipaji na hiyo production ya yogo iko fire sanaa

  • @RichMotherr

    @RichMotherr

    Жыл бұрын

    True ❤

  • @solomonnkohozi607

    @solomonnkohozi607

    Жыл бұрын

    Umeongea point sana, naomba team ya bongo star search yote wafuate ujumbe wako.

  • @ayrunyjtayruny279

    @ayrunyjtayruny279

    Жыл бұрын

    Nimependa sana umeongea point

  • @rachelsilvester8082

    @rachelsilvester8082

    Жыл бұрын

    Uko sahih hatujapenda yan kiufup

  • @jn_mustonez7842

    @jn_mustonez7842

    Жыл бұрын

    Congratulations 🎈🎈🎈 brother

  • @paulinaswalehe5298
    @paulinaswalehe5298 Жыл бұрын

    Madam Rita salute kwako

  • @gracetatu9639
    @gracetatu9639 Жыл бұрын

    Nmependa Sanaa hii ngoma brooo🔥🔥

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 Жыл бұрын

    Huyu jamaa nimkali sana tena, sana

  • @abuhemedisogadari
    @abuhemedisogadari Жыл бұрын

    Nakubali sana njeya na nafasi ndio izo nafatiliya nikiwa Southa Africa 🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 Жыл бұрын

    Where can I get this song??? I'm addicted to it 👌🔥 Niko sober manze

  • @johnsaid5146
    @johnsaid5146 Жыл бұрын

    Mungu azidi kumubariki sana madam Ritha🙏🙏🙏🙏 napenda sana anavyotia moyo vijana kupambania kombeee🙏🙏🙏🙏

  • @ayrunyjtayruny279
    @ayrunyjtayruny279 Жыл бұрын

    Talent kubwa sana adi rahaaaaa 🇲🇿

  • @TICODELA
    @TICODELA Жыл бұрын

    Namkubali sanaaa Fonaboo🇰🇪🔥🔥♥️♥️♥️

  • @arkamibrahim6641

    @arkamibrahim6641

    Жыл бұрын

    huyu andoke, mpaka leo sijiw anasubiri nn,

  • @neemabenard3993

    @neemabenard3993

    Жыл бұрын

    Akosei uyo

  • @koroboi
    @koroboi Жыл бұрын

    Kakaaaaaa hiiii ngomaaaaa nomaaaaaaa broooooooooooo umeuwaaaaaaaaa mi nimeikubaliiiiiiiii

  • @SwahiliAmbasador954
    @SwahiliAmbasador954 Жыл бұрын

    1: Tgan toz 2:Reonard 3:Nasibu fonabo 4: asagwile

  • @SwahiliAmbasador954
    @SwahiliAmbasador954 Жыл бұрын

    Kuanzia kwenye 1: uandishi 2:beat Mastering Iko faya sana ifike wakati tuapriciate kazi za watu yogo umeua mwanangu master acha izo mambo Jamaaa kauwa sana kwenye hii kitu

  • @uwasevalantine9206
    @uwasevalantine9206 Жыл бұрын

    Fonabo wewe ni moto nakwambia 🙏🙏🙏🙏

  • @rosemaryludovick3609
    @rosemaryludovick3609 Жыл бұрын

    You good broo!! Usikate tamaa kwa kilichotokea ww ni mkali na unajua sana😘😘

  • @msakamaboga5712
    @msakamaboga5712 Жыл бұрын

    Mm sijapenda aiseee 😄😄😄 performance mbaya 🙏

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 Жыл бұрын

    Ngoma Kali sanaaaaaa 🔥 ila hajajua namna sahihi ya kuuperfom

  • @doreenkiwale6701
    @doreenkiwale6701 Жыл бұрын

    Nassib walimbania sanaa ila ndo mshind wa siku zooteeeeeee🙌🏻🙌🏻🙌🏻😍😍nampenda sanaaa

  • @neemajoseph7470

    @neemajoseph7470

    Жыл бұрын

    Sema weee mwenzangu

  • @nurumbongo889
    @nurumbongo889 Жыл бұрын

    Madam Rita uko poa Sana mungu akupe hekima zaidi miaka Ming yenye afya telee

  • @kakajose5670
    @kakajose5670 Жыл бұрын

    Jamaa leo kazingua, hajui ku perfom nyuma ya mziki kazoe live band

  • @laurentzacharia1563

    @laurentzacharia1563

    Жыл бұрын

    Kweli kazoea live band

  • @druumarley2159

    @druumarley2159

    Жыл бұрын

    Sasa msanii mzur ni yupi anae tumia cd au band?

  • @minaelsamson5352
    @minaelsamson5352 Жыл бұрын

    I falling love like I'm in sobber❤️♥️♥️ I love the song🔥🔥

  • @TICODELA
    @TICODELA Жыл бұрын

    Tanzanian Meddy🔥♥️ Mkalii sanaaaaa

  • @holapeace6171
    @holapeace6171 Жыл бұрын

    Yes ❤❤❤❤❤❤❤

  • @rachelsilvester8082
    @rachelsilvester8082 Жыл бұрын

    Mina ali hakujiskia vzur check uso wakat anaulza tufanyeje nmempenda alivyolibeba tatzo

  • @dorisfabian4776
    @dorisfabian4776 Жыл бұрын

    Nice song Fonabo ...

  • @rjb31
    @rjb31 Жыл бұрын

    This Man is Music 🎵🎵

  • @sarahgaula2220

    @sarahgaula2220

    Жыл бұрын

    Musician

  • @princemtotomzuri281
    @princemtotomzuri281 Жыл бұрын

    Nimekufatilia uko vizuri nasib nakupendaa

  • @dorisfabian4776
    @dorisfabian4776 Жыл бұрын

    Namkubali sana Fonabo...

  • @MrBravo309
    @MrBravo309 Жыл бұрын

    Alicho kiongea masta sawa na kumpiga chura teke/ anamuongezea hatua mbele Fonabo. Ila jamaa yupo moto. Mastar j kwendraaaaa. Jamaa mkali siku hazifanani ndio maana kuna juma tatu hadi juma pili. Adam mchovu,madam retar muko sawa. Mastar j kalale

  • @luckyonek5336
    @luckyonek5336 Жыл бұрын

    Polle sana brother

  • @Maya_arsenal
    @Maya_arsenal Жыл бұрын

    Usife moyo bro, continue

  • @rachaeltz.music.health
    @rachaeltz.music.health Жыл бұрын

    Wowwwww nice song very lovely

  • @mashoo6781
    @mashoo6781 Жыл бұрын

    Fonabo Ma G 🙌🏾

  • @neemabenard3993

    @neemabenard3993

    Жыл бұрын

    Namkubar Sana najua sana

  • @koroboi
    @koroboi Жыл бұрын

    Acha tusikilizeeeeee broooo nomaaaaa

  • @asmanjastoni1514
    @asmanjastoni1514 Жыл бұрын

    Lazima Kuna kitu kimetokea kabla ya performance sio Bure

  • @ntihaboseadonis8746
    @ntihaboseadonis8746 Жыл бұрын

    Fonabo you are 👍👍👍👍👍👍👍👍❤️❤️❤️❤️

  • @mwanaidhassan229
    @mwanaidhassan229 Жыл бұрын

    Huyu master j anaga utu kabsa ajui kuweka bnadam wenzake sawa uwez jua amepatwa nn ana u team fulan hv uwez mwambia mtu vbaya namn hii kuna kaul za kuzungumza na mtu ajihs saw ata km sio saw bs tu hli li baba waltoe

  • @rushirushishikala7778
    @rushirushishikala7778 Жыл бұрын

    Mmmmmh jaaah bless

  • @hansthaniar4747
    @hansthaniar4747 Жыл бұрын

    Jamaa sijuini ni nini kilichomsibu ila yogo kafanya bonge ya production

  • @jn_mustonez7842
    @jn_mustonez7842 Жыл бұрын

    Hisia,Sana HIYO ngoma

  • @officialpangaboymtotowamam8014
    @officialpangaboymtotowamam8014 Жыл бұрын

    Jamaa anajua sana

  • @jacquesmulalirya1704
    @jacquesmulalirya1704 Жыл бұрын

    Nguvu ma iko sawa kabisa from congo 🇨🇩 ni kama iko na shida

  • @michaelgermany173
    @michaelgermany173 Жыл бұрын

    Fonabo always your better

  • @naomimavura2239
    @naomimavura2239 Жыл бұрын

    Yaaan wimbo wake mwenyew hajaukariri na unajua n mashindano sindo pakukesha nao😢😢

  • @masanjaabasi8970

    @masanjaabasi8970

    Жыл бұрын

    We sijui ata kama unaelewa kitu 🤣🤣🤣🤣

  • @elizabethsamweli687

    @elizabethsamweli687

    Жыл бұрын

    Amekwambia alokua anaumwa nasibuuu mkaliii atalii

  • @nancyg8664

    @nancyg8664

    Жыл бұрын

    Sasa kama hujaukariri unaweza ukawa wimbo wako kwel,

  • @morisefoundation3524
    @morisefoundation3524 Жыл бұрын

    Fonabo🙌🙌

  • @habibubinmoss72
    @habibubinmoss72 Жыл бұрын

    Nyimbo kali ila leo performance ipo chini😊

  • @BigDreamsWorldwide
    @BigDreamsWorldwide Жыл бұрын

    Master Jay unaujua sana music but jaribu kujua kuna kitu kinaitwa hisia watu hulia then wanaendelea pia kuna washirikana kwenye mashindano huwez jua nn kimetokea dady

  • @lilyngonyani2312
    @lilyngonyani2312 Жыл бұрын

    Nimependa wimbo

  • @brunomelody1174
    @brunomelody1174 Жыл бұрын

    Huyu jamaa hayupo serious sasa kweny mashindano kama haya unaanza kujidekeza unapunguza point mzeee

  • @Young-FMS
    @Young-FMS Жыл бұрын

    Fonabo my #Crush for this banger

  • @mariamsaidi1681
    @mariamsaidi1681 Жыл бұрын

    Uyu fonabo anajua sana

  • @paulshayo541
    @paulshayo541 Жыл бұрын

    ngoma kalii

  • @bilalisalim360
    @bilalisalim360 Жыл бұрын

    FONABO....🇰🇪🇰🇪🇰🇪♥️♥️❤️♥️♥️❤️🔥💰

  • @johnsaid5146
    @johnsaid5146 Жыл бұрын

    Master J asijikute yeye mambo yote kayawezeaaa mtu huyu ana roho mbaya sanaaaaaa

  • @ethangtz3033
    @ethangtz3033 Жыл бұрын

    Yaani nakupenda fonabo Acha kabisa... Coz unajuaa

  • @anethteodos6208
    @anethteodos6208 Жыл бұрын

    Master Jay nafasi uliyonayo usiitumie kama fimbo kuadhibu watu

  • @bettymalisa7919
    @bettymalisa7919 Жыл бұрын

    Go go

  • @joeledson3862
    @joeledson3862 Жыл бұрын

    Kweli mwenye mzikiwake ameondoka nao wamebaki wa tumbuizaji 😢😢hakuna kama nasibu

  • @bilha_nyawera
    @bilha_nyawera Жыл бұрын

    Leo sijamuelewa kabisaa

  • @JaFrom255
    @JaFrom255 Жыл бұрын

    🔥🔥🔥

  • @magrethmalobola5470
    @magrethmalobola5470 Жыл бұрын

    Duuuuuh!! Uchawi upo hat hyo second chance sijaelewa

  • @elizabethjustine9915

    @elizabethjustine9915

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @RichMotherr

    @RichMotherr

    Жыл бұрын

    Kwa kwel aliyemroga fonabo leo aisee m nmejckia vbaya

  • @tranqyiltranqyil7822
    @tranqyiltranqyil7822 Жыл бұрын

    BIGMAN

  • @Tanzawood
    @Tanzawood Жыл бұрын

    Uwo wimbo ni wa zouk na jamaa kaimba vizuri tu shida ni producer katia ayo mabass ya amapiano ni lazima yamchanganye producer kamfelisha fonabo 100% zouk inaitaji beat yenye hisia na sio makelele iyo ni kataalam zaidi

  • @alphablondponera2367
    @alphablondponera2367 Жыл бұрын

    Ndio watajua kwann Platinum ni jini kwenye hizi kazi

  • @RichMotherr
    @RichMotherr Жыл бұрын

    Hv master jay hz hasira 😢

  • @mahirhassan4207
    @mahirhassan4207 Жыл бұрын

    Its true alikuwa mkali first time alivoshiriki... ila this season huyu jamaa kabadilika na kashuka kiwango sio kama. Hata comment zake baada show sio as strong contester. Anaonekana ana stress sana, na ana sura ya mtu anaetumia kilevi flani. Ni vile mtu aliewahi kuwa mkali na memory ikabaki kichwani inafanya majaji kumvusha. Wanahisi labda atafanya maajabu show inayofata. To help him send him sober house or to see psychologist for counseling.

  • @adventureswithjemmy

    @adventureswithjemmy

    Жыл бұрын

    I conquer with you.

  • @michaellagwen8198

    @michaellagwen8198

    Жыл бұрын

    Kwani ni teja huyu

  • @kawanga0073

    @kawanga0073

    Жыл бұрын

    Umeongea kitu sense ndugu, wantakiwa wachunguze vzur kuna kitu behind aisee wafanye kumsaidia mapema bila hivyo, watampoteza kbsa, plz BSS help this Guy 🙏🙏🙏

  • @raphaelkaswahili323

    @raphaelkaswahili323

    Жыл бұрын

    Bro uneonge pumba saana alipokua akifanya vizuri hukusema haya leo kaharibu mala moja unajifanya Dr .....Bro haya ni mashindano hata huko AGT Inatokeaga Mshiriki anashindwa kufanya vizuri kisa Kiatu mpaka anaambiwa avue aimbe pekupeku.......inashangaza kuona mnamshambulia kwa kosa moja.......MPENI MOYO KUYAFIKIA MAFANIKIO SIO JAMBO DOGO KAMA MNAVOFIKILI .....FONABO IS THE BEST

  • @salumujuta80

    @salumujuta80

    Жыл бұрын

    P

  • @adamhakizimana5919
    @adamhakizimana5919 Жыл бұрын

    Kubwa Lao huyo Baba Fonabo 🦁🦁🦁

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 Жыл бұрын

    Adam kumbe unahekima kuliko master j

  • @dryna9512
    @dryna9512 Жыл бұрын

    Fonabo fund he made dat song

  • @Coutinho_112
    @Coutinho_112 Жыл бұрын

    Utagandaje kwenye Wimbo wako mzee, Leo umefeli mzee😂

  • @RichMotherr

    @RichMotherr

    Жыл бұрын

    alkuw na shida jaman anaonekana tu hayuko sawa

  • @double7788
    @double7788 Жыл бұрын

    Uyo judge anaemkataa mwana aondolewe kwwnye list y majudges ..Yaani hawezi kufeel maumivu anayopitia mwwnzie..Judges wanao jua kujudge siku zote hawaangalii tuh mamalaka ya kuongea waliyonayo lakini utu lazima uwepo sisis sote ni watanzania,,jamaa kanikera sana haiwezekan mtu anajua kabisa msanii yuko vizuri siku tuh ya leo hayuko vizuri kiafya unataka kukatisha ndoto zake...Hapana angalia majudge kwenye stage kubwa duniani kama AMERICAN GOT TALENT vitu kama hivyo hutokea na msanii anatiwa moyo ,,madame chief judge huna baya mshikilie sana jamaa naamini hata siju akitoboa utakua mmoja wa watu walio behind the scene ya mafanikio yake...Yanatoka moyoni@shedrack abron chengula

  • @michaellagwen8198
    @michaellagwen8198 Жыл бұрын

    Tulijua ataua kinoma noma according to jugges huu mzigo mashabiki hatutaki excuse kwa kweli remember hii season is All stars sasa mtu kuleta umama hatutaelewa kwa kweli ujue wametolewa wasanii wakali sana kwenye hii mashindano unajikuta nani unaleta mambo yako mwenyewe sijui kama utauhimili heka heka za mitandao wewe umetu let down sana on this kaka aah sijapenda

  • @raphaelkaswahili323
    @raphaelkaswahili323 Жыл бұрын

    Naona mwenye mziki wake kaondoka wamebaki watumbizaji game over

  • @roddyfawaz8167
    @roddyfawaz8167 Жыл бұрын

    Kho kho kho yao yao

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 Жыл бұрын

    Madam Rita hilo Sonyo 😆

  • @kamigwasfamily1178
    @kamigwasfamily1178 Жыл бұрын

    Duuuuh shetani yupo kazini kukatisha ndogo za watu.....dis is not normal condition.

  • @magrethmalobola5470
    @magrethmalobola5470 Жыл бұрын

    Hawa majaji unaweza sema hawataongea tena 😀

  • @nancyg8664

    @nancyg8664

    Жыл бұрын

    Unaeza sema watapigana

  • @godfreyjulius7377
    @godfreyjulius7377 Жыл бұрын

    Wmeshafunyana hao

  • @mwajumayahaya7046
    @mwajumayahaya7046 Жыл бұрын

    Ni mkalii

  • @madolaclassic117
    @madolaclassic117 Жыл бұрын

    Alitungia studio na ajaishika nahis tu lakin

  • @thepenatech5102
    @thepenatech5102 Жыл бұрын

    Sound system inashida hii

  • @jeanntunzwenimana765
    @jeanntunzwenimana765 Жыл бұрын

    Uchawi upo jameni

  • @charlesrongo3615
    @charlesrongo3615 Жыл бұрын

    hakuna second chance angekuwa mwengine hapo

  • @silvergold5855
    @silvergold5855 Жыл бұрын

    Sidhani kama ilistahili kutolewa

  • @Gtwice
    @Gtwice Жыл бұрын

    Fornabo msanii mzuri lakini performance kafail

  • @pfantafanta7161
    @pfantafanta7161 Жыл бұрын

    Kiukweli jamaa kazingua katika kupafamu kama anatusikirizisha wakati anatakiwa atuimbie

  • @aronboy1
    @aronboy1 Жыл бұрын

    Wacheni nikwambie k2 hakuna kitu kigum kama umezoea kuimba live band ,, kufata saut ya nyimb inqkuwaga mtihani unajikuta unazifata backing badala ya ves ndoilivy kuwa Kwa Fonab na pia unakuta pengene ni time ya kukalili nyimb maan mwingine kukalili ki2 chake nkaz hujawahi kuskia m2 kasahau ves

  • @blackpromise9816
    @blackpromise9816 Жыл бұрын

    Ngoma yako itafika mbali

  • @isamaxisaacmax2905
    @isamaxisaacmax2905 Жыл бұрын

    Kasahau lyrics?

  • @crissblaiton7436
    @crissblaiton7436 Жыл бұрын

    Hawo viongoz wote hakili hawana, kilicho tokoa hapo ni ushamba mtu, yan tunaonesha jins gani taifa letu lilivyo la kishamba sana na hatuna tunacho jua kuhusu mzik, ebu ifikie wakati tuache unafki na unafik 😡 na ndiomana mpaka leo Harmonize ana waumbua Mpka leo

  • @chesterbrand6723
    @chesterbrand6723 Жыл бұрын

    Today it's worse kwa fonabo....

  • @allymanoma982
    @allymanoma982 Жыл бұрын

    Tunaemjua fonabo sio miondoko yake wametaka kufnya wanavyofnya wao wangeacha afanye chaguo lake

  • @TonnyCaesar
    @TonnyCaesar Жыл бұрын

    Jamaa mbona wanatudisappoint mwishoni hawa wasanii hee

  • @RichMotherr
    @RichMotherr Жыл бұрын

    Wew kaka utanfanya nmuache shemeji yako na hii saut

  • @bahatiagrey6807

    @bahatiagrey6807

    Жыл бұрын

    haha

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 Жыл бұрын

    Máster j out!

Келесі