NANDY NA BILLNASS WAINGIA UKUMBINI KWA MAHABA/MC AMMYGALAWARUDISHA NJE
Ойын-сауық
Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
#Bonatv #Exclusive
#diamondplatinumz #harmonize #nandy #marioo #zuchu #alikiba #rayvanny
#yangasc #simbasc #ligikuunbc #mayele #alikamwe #ahmedyally #hashimuibwe #wasafitv #live #millardayo #ayotv #entertainment #soundcloud #spotify #podcast #vlog #music #newmusic #1ontrending
Пікірлер: 105
Daa nandy mrembo mumependezana ❤❤❤❤Mungu awazidishie masikilizano mema🙏🙏
Iyo couple naipenda sana❤❤
Umetixha dd yang ♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥♥
Nawapenda sana nyie watu❤
Natani mje muwe wasimamizi wa ndoa yangu mungu awatangulie nawapendeni sana ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Achaa awe nakiherehere kuolewa rahaaa hasa umpate akupendaeee❤❤😂😂😂
❤️❤️❤️❤️❤️❤️ nawapenda bure mmependeza sanaa❤️❤️❤️❤️
2lio Cheka tujuane 😂😂 Alfu kilicho tuchekesha hatukijuwi 🤭
@gracejulius6913
Жыл бұрын
Me siwaelew naona kila siku new life style 😆
@victoriakessy6830
5 ай бұрын
Kaka lyimo kawakilisha vyema wanaume wa kichaga🤣🤣🤣🙌
Wao mko poa sana much love for you ppl
Achen masihara nandi anapendeza haswa akivaaaa sifa yke apewe
Nandi mzuri jmn🤩 Kapendeza Mashallah
Billinass punguza aibu jamaniiiii unatuanguashaaa 😍🥰🤣🤣
@nyotawauniquem7462
Жыл бұрын
Yaniii na amejikazaaaa🤣🤣
@dorisfabian4776
Жыл бұрын
Yani ana aibu huyoo anaonekana hapendi kabisa visherehe sherehe
@MaaneML
Жыл бұрын
Yaani Billinass alisema kabisa siku Moja akiwa live kuwa tatizo lake kubwa ni aibu Ila atajitajidi kupambana nayo. Na Leo nimemsifu amejitahidi hajavaa sun glasses. Ila he has real love to his Wife Nandy. He spoils her big time
@priscajube4239
Жыл бұрын
Aibu kazidi. Anatoa simu anarudisha mara khaa🤣🤣
Mme pendezeana sana mmenoga❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Rah kwel ameolew n'a furaha ya Moy kwake❤❤❤
wamependeza sana
Jaman maua yenu wapendanao❤🌹🌹🤗
Jaman nandy ametisha❤
Nandy umenoga❤❤🎉🎉🎉
Achen wiv nyiee ndoa yao inapendeza sanaaaa
Nandi nakupenda xana hexhimu tu ndoa yako
WAmependa jaman
uko sawa jamn nandi umekuwa mrembo md mrefu san kikazi kwamba kila mwanaume hapa injin amekutaman san jamn
Nenga hapendi mbwembwe kabisa
Ni wakat wake nandy😅🎉
Nanady uko vizuri Sana mdogo wangu anampenda sana. Mume wako
Mapo Mandy naomba niwe làiki yako nakuomba
Najivunia kwelikweli hii familia na Mungu akaendelee kuwaongoza jamani
❤❤❤
mmmh
❤❤❤❤❤
Pacha ake msonda mpende mkeo nibonge la pisi
Jamani mwacheni ainjoi maana amempata anaempenda hiyo. Ndo fulaha yao
🎉
ooooooooooooooooo
🎉🎉🎉🎉🎉
nandy tangu aolewe. amekua kihere here😂😂😂😂😂😂😂
@zuwenasalim2794
Жыл бұрын
🤣🤣🤣shoga kuolewa raha haswa upate anayekupenda
@m.mmarckus6298
Жыл бұрын
@@zuwenasalim2794 umeona watu hatujui tu
@zuwenasalim2794
Жыл бұрын
@@m.mmarckus6298 umeona eee
@amanimapenzi571
Жыл бұрын
Kweli na bill nikama hapendi hizi mbwembwe
@copycopy2729
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
Kwani kuna nin
Nenga🤣❤️❤️❤️❤️🔥🇰🇪
Nowma sana
Leo nandy anashepuuu😂😂😂
@johnsanga5178
Жыл бұрын
Kavaa kigodoro uyo
Ndo wapar tulivyoo
Niatar wameingia kama msibani
Nkpnda nandy
Nenga eti anaona aibu
@priscajube4239
Жыл бұрын
🤣🤣
Mambo nandy naomba niwe làfiki yako
nandi acha mamaneno yawatuu tuzandoa yako
MBNA kma biilllnas anazeeka haraka
@lindambilinyi6253
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
Nandy mrembo
Nenga kachukue tuzo yako huko
Aki bilnass anakuanga mshy
Xx
yani bilnas anyone kana hampendi Nandy. sijui alilazimishwa kumuoa?
@mariamlucas3441
Жыл бұрын
Kabisa
@faudhiaamerii6692
Жыл бұрын
No nenga ni M2 wa haya
@catherine4514
Жыл бұрын
Anampenda sana tu! Jamani binadam bhn!!!
@hadijaabdallah8614
Жыл бұрын
Yaani wanaume wengi Haya mambo hawayapendi. Sasa unakuta hapo Ana mchepuko na ukute upo humo humo ndani 😢 wanaume dah!!! Ni mtazamo tu lakini
@kalssambaboo9932
Жыл бұрын
@@catherine4514 shangaa watu wanasema hampendi hampendi mbona hawaachani ataishi namtu asompenda yani sii binadam khaaa
❤❤❤
@shukuraniamos5031
Жыл бұрын
Mandy amedamshi so pouwa
@floramhanga8676
Жыл бұрын
Hehe amependeza sana