Dah nimecheka sanaa haswa huku mwishoni aisee tamaa mbaya 😂😂😂😂😂😂 Yani kila mtu na njia yake hakuna kuulizana imekuaje 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂Daah awa jamaaa wanajuaaaa mpaka wanakeraa Yan💛💛💛💛💚💚💚💚💚💚
Anytime naona Ringo na tin white najua patamu hapa 👏👏👏😅😅
Woyoooooo 💃💃💃 wakwanza
Tin and ringo nina wakubali saaana kabisa 🇨🇩🇨🇩
"Sijui umenielewaa?" Masantula voice😂😂😂😂
Ringo na tin jamani Nawapendaa 🥰😘
Yaani Ringo na tin hawakoseagi aisee
Mashallah tabarakallah yavuja mbavu dhamaa yamaliza kweli
Kiukwl hii combination ya tiny na ringo ni noumaa sanaaa
Saana
Yani wasitengane tena ki uigizaji maana huwa inafaa sana hasa wakiigiza pamoja
Mnajua sana mpk mnakerraaaa Ringo unachomekea. Kanzu isee ww noma
White films is the best in town watashindana lakin hawataweza kumuangusha uyu mwamba wa bongo😇😘
😅😅😅😅 daaah shukran sana kwa funzo kweli si kila king'aacho ni dhahabu🤝🙏
Mzigo kweli umekuwa mzigo😂😂
Ivi we lingo na tini mnaelewa mnachozungumza🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nimeupenda huo uondokaj wenu kiukwel nimefrah sana hongeren sana kwa kutufrahish
Mashallah unaongea kifipa 🤩🤩🤩🤩
Mwisho kabsa mumeupga msingi👏👏
Baki voco hizo Eti kariakoo mzee Unainunua #AVATASTAR255
Nice movie 🥰🥳❣️congratulations 🎊 👏
Ha ha ha ha ha ha mbn mgao nyie kina tiniiii loooooh🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Aladini ingeendelea, from Burundi bujumbura 🇧🇮
Munfyetukana Nyote Mulipo Amka😂🔥
Kama umesikia ya soda gonga like twende sawa
Natamani iendelee ila imeisha.. Big up team White. It's a very interesting movie
🤣🤣🤣
Hahaha imeisha fresh kinoma
nimeipenda iyo lugha . mwana wa chinto wataizya kalesa mwene
Hii filamu nzuri ase jamani, mmejitahidi⭐⭐⭐⭐⭐
Mambo ni bam bam... Nice movieee
Keep up the good work Tin na ringo 💪
*WA KWANZA TOKA KENYA* 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Duuh hatar hongereni sana 💕
Much love from saudi Arabia
Tujuane wewe wa saudia pande gani mm pia Niko Saudi 🤣🤣
Masantula umeua sanaaa😂😂😂
Mnajua san✌🏾 tupo pamoja💪🏾
😁😁😁😁😁hapo mwisho patamu kila mtu nakaondokee kakee🤣🤣🤣🤣🤣
Hesabu hatua 15 ukizidisha shauri yako ukipungiza shauri yako
Nyinyi jamaa ni noma sana tinwhte na Ringo nawakubali 100/
Wa tu mko na Tama mmelala kweli hahaha 😂😂😂😂😂
Kaka kazi yenu naikubali san sijui nielezee vipi 2
mmetisha sana mzigoooo
Thank you white films group..tuko pamoja
hahahaaaaaaa ila nyie bhana mnachekesha sana pia hongereni kaz nzr
tin white bhn yupo vzr kwenye story making au script writing tofaut na mkojan story inakuwa sio ya makadirio itaenda iv na vile good idea
Hapo kweny kabila LA kifipa nimependa San kusikia lugha yang Leo big up
Uyu mke wa kilangaso ajui na ajui tena bora mngemueka jojo yan kipande kidgo lkn ameigiza vbya.
Dah tin nakukubali yani nipo South Africa mda wote nakuangalia wewe mmetisha
Nmpnda ringo kashasilimu nini maan kila muvi kanzu alf akosi kutaja jina la mwenyezi...
Kila mtu anaenda hakuna kuongeleshama😂😂😂😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wawoooo thanks Tin
Wewe ringo mwisho waaaaa mbona umetisha
Oya toeni story nyingine mmetisha sana
Very interesting movie
Duuuh wenge ni noma mpaka kanzu imechomekewa kweli ringo
Wacha weeee kazi iendeleee
Nice 👍
lngeendelea ingekuwa poa sana
Nawapenda jmn❤️❤️❤️
ww unajua nakubali had nakubali tena
Nyii mkiwa pamoja mnafanya kazi vizuri
Awesome job 👌
Hii nyimbo hatujaielewa rudisheni ile ile
Masantura hapo ulipo ongea kifupa hadi raha sana
It's really nice movie
Mwendelezo kaka tin
Nakuongeza na mnyamani .😃😃😃
Fire 🔥final mzigo
Kazi nzuri sanaa
Masantura umetisha Mzee hauna hata wenge wenzio wanahangaika na Mali we upo tuli
Wangapi walicheka kama mim 👌😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hahaha tin na ringo wanakimbia,na mwenye mzigo yeye analala🤣😂😂😂😂🤣🤣😂😂😂nakufa mie.🤣🤣😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Masatula lugha gani ten iyo 😀😀😀😀🙌
Nimefurahi sana leo nimeuwona hadi pt ya 3 Iko sw sn inaelimisha sn
Kifipa broken😂😂
Daa watu tujifunze kutokana na mzingo
Tamaa mbaya, asanteni sana
Kazi nzuri
Tamaa mbaya tamaa mbele mauti nyuma
Leo nmewai wa kwanza white oyeeeeeee
😂😂😂😂tamaa mbay nyieee
Nzuri sana 😂😂😂😂😂
sijui mmenielewa
Ni🔥🔥🔥🔥
Cool broh
Congratulations 👏
😂😂😂😂 nawpendaga sana
Kikubwa vijana wengi wanepotea kwajil ya ujuaji na mjini wengi wamepotea kwajil ya ujana na tamaa Kikubwa tuwe na subira natuache shotikati
Tamaa sio pw
Ringo na mkeka wake bila maneno kabsa kiroho saaf
Tin n lingo mkikutanaga Sina waswas 🤣🤣🤣🤣🤣
This was Lit!
Movie kalii sana
nimechaka sana mmeua sana
🔥❤️🔥
Nakubali hhhh😁😀
Masantula njowangu.mimi
Mambo gani sasa mbon fupi 😭😭😭😭
Broo bonge la movie
Mmejua kunifurahisha
nakubali tiny
Mbona fupi jmn tiny haujatutendea haki kabisa 😂
Пікірлер: 184
Dah nimecheka sanaa haswa huku mwishoni aisee tamaa mbaya 😂😂😂😂😂😂 Yani kila mtu na njia yake hakuna kuulizana imekuaje 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂Daah awa jamaaa wanajuaaaa mpaka wanakeraa Yan💛💛💛💛💚💚💚💚💚💚
Anytime naona Ringo na tin white najua patamu hapa 👏👏👏😅😅
Woyoooooo 💃💃💃 wakwanza
Tin and ringo nina wakubali saaana kabisa 🇨🇩🇨🇩
"Sijui umenielewaa?" Masantula voice😂😂😂😂
Ringo na tin jamani Nawapendaa 🥰😘
@jamesfanuel4595
2 жыл бұрын
Yaani Ringo na tin hawakoseagi aisee
Mashallah tabarakallah yavuja mbavu dhamaa yamaliza kweli
Kiukwl hii combination ya tiny na ringo ni noumaa sanaaa
@sarahmwanjis2472
2 жыл бұрын
Saana
@johnbernad3990
2 жыл бұрын
Yani wasitengane tena ki uigizaji maana huwa inafaa sana hasa wakiigiza pamoja
Mnajua sana mpk mnakerraaaa Ringo unachomekea. Kanzu isee ww noma
White films is the best in town watashindana lakin hawataweza kumuangusha uyu mwamba wa bongo😇😘
😅😅😅😅 daaah shukran sana kwa funzo kweli si kila king'aacho ni dhahabu🤝🙏
Mzigo kweli umekuwa mzigo😂😂
Ivi we lingo na tini mnaelewa mnachozungumza🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nimeupenda huo uondokaj wenu kiukwel nimefrah sana hongeren sana kwa kutufrahish
Mashallah unaongea kifipa 🤩🤩🤩🤩
Mwisho kabsa mumeupga msingi👏👏
Baki voco hizo Eti kariakoo mzee Unainunua #AVATASTAR255
Nice movie 🥰🥳❣️congratulations 🎊 👏
Ha ha ha ha ha ha mbn mgao nyie kina tiniiii loooooh🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Aladini ingeendelea, from Burundi bujumbura 🇧🇮
Munfyetukana Nyote Mulipo Amka😂🔥
Kama umesikia ya soda gonga like twende sawa
Natamani iendelee ila imeisha.. Big up team White. It's a very interesting movie
@dianepilipili3450
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
Hahaha imeisha fresh kinoma
nimeipenda iyo lugha . mwana wa chinto wataizya kalesa mwene
Hii filamu nzuri ase jamani, mmejitahidi⭐⭐⭐⭐⭐
Mambo ni bam bam... Nice movieee
Keep up the good work Tin na ringo 💪
*WA KWANZA TOKA KENYA* 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Duuh hatar hongereni sana 💕
Much love from saudi Arabia
@rehmahamishamismkande4348
2 жыл бұрын
Tujuane wewe wa saudia pande gani mm pia Niko Saudi 🤣🤣
Masantula umeua sanaaa😂😂😂
Mnajua san✌🏾 tupo pamoja💪🏾
😁😁😁😁😁hapo mwisho patamu kila mtu nakaondokee kakee🤣🤣🤣🤣🤣
Hesabu hatua 15 ukizidisha shauri yako ukipungiza shauri yako
Nyinyi jamaa ni noma sana tinwhte na Ringo nawakubali 100/
Wa tu mko na Tama mmelala kweli hahaha 😂😂😂😂😂
Kaka kazi yenu naikubali san sijui nielezee vipi 2
mmetisha sana mzigoooo
Thank you white films group..tuko pamoja
hahahaaaaaaa ila nyie bhana mnachekesha sana pia hongereni kaz nzr
tin white bhn yupo vzr kwenye story making au script writing tofaut na mkojan story inakuwa sio ya makadirio itaenda iv na vile good idea
Hapo kweny kabila LA kifipa nimependa San kusikia lugha yang Leo big up
Uyu mke wa kilangaso ajui na ajui tena bora mngemueka jojo yan kipande kidgo lkn ameigiza vbya.
Dah tin nakukubali yani nipo South Africa mda wote nakuangalia wewe mmetisha
Nmpnda ringo kashasilimu nini maan kila muvi kanzu alf akosi kutaja jina la mwenyezi...
Kila mtu anaenda hakuna kuongeleshama😂😂😂😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wawoooo thanks Tin
Wewe ringo mwisho waaaaa mbona umetisha
Oya toeni story nyingine mmetisha sana
Very interesting movie
Duuuh wenge ni noma mpaka kanzu imechomekewa kweli ringo
Wacha weeee kazi iendeleee
Nice 👍
lngeendelea ingekuwa poa sana
Nawapenda jmn❤️❤️❤️
ww unajua nakubali had nakubali tena
Nyii mkiwa pamoja mnafanya kazi vizuri
Awesome job 👌
Hii nyimbo hatujaielewa rudisheni ile ile
Masantura hapo ulipo ongea kifupa hadi raha sana
It's really nice movie
Mwendelezo kaka tin
Nakuongeza na mnyamani .😃😃😃
Fire 🔥final mzigo
Kazi nzuri sanaa
Masantura umetisha Mzee hauna hata wenge wenzio wanahangaika na Mali we upo tuli
Wangapi walicheka kama mim 👌😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hahaha tin na ringo wanakimbia,na mwenye mzigo yeye analala🤣😂😂😂😂🤣🤣😂😂😂nakufa mie.🤣🤣😂😂😂
@abelfrancis8437
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Masatula lugha gani ten iyo 😀😀😀😀🙌
Nimefurahi sana leo nimeuwona hadi pt ya 3 Iko sw sn inaelimisha sn
Kifipa broken😂😂
Daa watu tujifunze kutokana na mzingo
Tamaa mbaya, asanteni sana
Kazi nzuri
Tamaa mbaya tamaa mbele mauti nyuma
Leo nmewai wa kwanza white oyeeeeeee
😂😂😂😂tamaa mbay nyieee
Nzuri sana 😂😂😂😂😂
sijui mmenielewa
Ni🔥🔥🔥🔥
Cool broh
Congratulations 👏
😂😂😂😂 nawpendaga sana
Kikubwa vijana wengi wanepotea kwajil ya ujuaji na mjini wengi wamepotea kwajil ya ujana na tamaa Kikubwa tuwe na subira natuache shotikati
Tamaa sio pw
Ringo na mkeka wake bila maneno kabsa kiroho saaf
Tin n lingo mkikutanaga Sina waswas 🤣🤣🤣🤣🤣
This was Lit!
Movie kalii sana
nimechaka sana mmeua sana
🔥❤️🔥
Nakubali hhhh😁😀
Masantula njowangu.mimi
Mambo gani sasa mbon fupi 😭😭😭😭
Broo bonge la movie
Mmejua kunifurahisha
nakubali tiny
Mbona fupi jmn tiny haujatutendea haki kabisa 😂