Mzee aliyeshiriki Mapinduzi ya Zanzibar (1964) asimulia mambo yalivyokuwa
Msikie Mzee Bakari Juma aliyeshiriki Mapinduzi ya Zanzibar mwaka 1964 asimulia mambo yalivyokuwa na kipi kilipelekea mapinduzi hayo matukufu ya Zanzibar.
Жүктеу.....
Пікірлер: 19
@AbdulNassir-jk1jf2 ай бұрын
Bakora ya mungu iyoo ilokupata
@alimohammedomar3412 Жыл бұрын
Muongo mkubwa we mzee, tunajua mapinduzi yalifanywa na mamluki kutoka tanganyika waliosafirishwa kwa majahazi wakitokea tanga na bagamoyo.
@moxasaidi33985 ай бұрын
Karume mwenyewe anasema hajui chochote kuhusu mapinduzi 😂mzee vichekesho si angelikaa kimya tuu au angewambia wana mapinduzi wenzake wamtie meno kwanza 😊
@husseinkarim6745 Жыл бұрын
Mzee ameua watu wangapi? Watu wasio na hatia walionewa hasa wasio waswahili.
@seifbattawy94556 ай бұрын
Mzee kicheko nimekipenda 😂😂😂
@othmanmohamed1975 Жыл бұрын
kazi nzr sana
@mubinsumra62574 ай бұрын
Huyu mzee Jana tu nimepishana nae anaendesha v8 tena namsalimia akanikaushia
@jarsjam8894 Жыл бұрын
Moto unakungojeeni
@nassorally-xi6zh8 ай бұрын
Lione hata aibu hana allhal akbaru
@pandungozi10727 ай бұрын
wazee kama hawa musiwahoji kitu wala musiwatie kwenye mambo ya siasa hawajijui wala hawajitambui. wapeni zawadi za misala.tasbihi na misahafu watubie na kurudi kwa mola wa mbingu na ardhi. wahojiwe watu wenye akili zao timamu sio wazee kama hao wasiojielewa wala hawajijui wanasema nini. maneno ya kutunga yasioingia akilini yasio kichwa wala miguu hayo yote aloongea maskini🙈🙏
@ahmedabry293 Жыл бұрын
Kila mmoja na malipo yake kutokana na amali yake.. We chekaaa lakini kama umeua basi utaenda kulia
@1964AliK Жыл бұрын
Maneno hayaingii akilini
@ahmedissa78827 ай бұрын
Kwa hivyo mzee wangu umewauwa wangapi?
@abdallasheha41739 ай бұрын
Utakwenda jibu kwa mola wako
@zainulahmed8206 Жыл бұрын
Mh
@user-gw4jj5nn2n2 ай бұрын
Muongo mkubwa wewe umeuwa wangapi
@SuleimanChief2 ай бұрын
Kila cku mapinduzi nani hajui kama hili lilitokea
@eddynaeem6708
Ай бұрын
subiri mzee wezako bado wanakusubiri yako malipo mumeekewa huko
Пікірлер: 19
Bakora ya mungu iyoo ilokupata
Muongo mkubwa we mzee, tunajua mapinduzi yalifanywa na mamluki kutoka tanganyika waliosafirishwa kwa majahazi wakitokea tanga na bagamoyo.
Karume mwenyewe anasema hajui chochote kuhusu mapinduzi 😂mzee vichekesho si angelikaa kimya tuu au angewambia wana mapinduzi wenzake wamtie meno kwanza 😊
Mzee ameua watu wangapi? Watu wasio na hatia walionewa hasa wasio waswahili.
Mzee kicheko nimekipenda 😂😂😂
kazi nzr sana
Huyu mzee Jana tu nimepishana nae anaendesha v8 tena namsalimia akanikaushia
Moto unakungojeeni
Lione hata aibu hana allhal akbaru
wazee kama hawa musiwahoji kitu wala musiwatie kwenye mambo ya siasa hawajijui wala hawajitambui. wapeni zawadi za misala.tasbihi na misahafu watubie na kurudi kwa mola wa mbingu na ardhi. wahojiwe watu wenye akili zao timamu sio wazee kama hao wasiojielewa wala hawajijui wanasema nini. maneno ya kutunga yasioingia akilini yasio kichwa wala miguu hayo yote aloongea maskini🙈🙏
Kila mmoja na malipo yake kutokana na amali yake.. We chekaaa lakini kama umeua basi utaenda kulia
Maneno hayaingii akilini
Kwa hivyo mzee wangu umewauwa wangapi?
Utakwenda jibu kwa mola wako
Mh
Muongo mkubwa wewe umeuwa wangapi
Kila cku mapinduzi nani hajui kama hili lilitokea
@eddynaeem6708
Ай бұрын
subiri mzee wezako bado wanakusubiri yako malipo mumeekewa huko