#EXCLUSSIVE: MZEE ENZI TALIB AIBUA MAZITO MUUNGANO WA TANGANYIKA na ZANZIBAR...
#EXCLUSSIVE: MZEE ENZI TALIB AIBUA MAZITO MUUNGANO WA TANGANYIKA na ZANZIBAR...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: wasafitv || wasafifm
TWITTER: wasafitv || wasafifm/
FACEBOOK: wasafitv/
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 52
I like Mzee Enzi. He is open minded and Heartly outspoken person..
@user-vd6fu6rv9r
2 ай бұрын
He is a critical thinker and open minded regardless his ideology..and such type of open politics is so relevant in contemporary politics
@user-vd6fu6rv9r
2 ай бұрын
But all in all preserving the union is important as far as national security is concerned
Nyerere mnafiki
VIONGOZI WA CCM ZANZIBAR WAKIWA WANAKULA BATA NDANI YA UONGOZI HAWASEMI HAYO MPAKA WASTAFU NA WASAHAULIWE NDO WATAONGEA ,wapowengi hao niunafiki wanataka waishi vizuri na jamii ya walala hoi iliyo wazunguka.
@eddynaeem6708
Ай бұрын
wewe ulikuwa kwenye kamati ya vutu
Huyo ni kumila kuwili or mnafiki alifurahia kuwekwa kizuizini kiongozi wetu idrissa abdul wakil alipotaka kwa hati za mandishi mamlaka ya Zanzibar na huo mungano ulipendekezwa na makafiri wa kizungu US na wangereza kisha akapewa nyerere kututawala wazanzibar,
Mzee mashaallah anaongea kwa kujiamini na kwa kujua kabsa hongera yako mzee
The best historical narrative . Well done.
@amenuhu9268
9 ай бұрын
Safi sana mzee tumekuelewa
Zanzibar ni SEHEMU ya Tanganyika maane yake ni Zanzibar ni KOLONI ya Tanganyika. Zanzibar ni nchi peke yake Afrika ambayo ni Koloni. MKATAA YA MUSSA HUPATA YA FIRAUNA
mambo ni fire
Msumari huu utawachoma wengi wanaojali matumbo yao wakati watu wengine maisha magumu hali mbaya znz
Upande mmoja wa muungano unaitwa Zanzibar na upande mwingine unaitwa Tanzania Bara, hii tu ni shida kubwa. Pande mbili za muungano zijulikane tu kama Zanzibar na Tanganyika.
Hakuna cha kisingiziya ukoministi .msubiri kesho ya kiama. Mutajuwa kama mapinduzi au NYERERE. .yoote yanayoelimishwa kuhusu ZANZIBAR ni uwongo mtu. Wazanzibar tumebanwa na MUNGANO. .ZANZIBAR sas imekuwa ni kisiwa cha mfano ya wasenge.
@khatibal-zinjibari6956
Жыл бұрын
Mauwaji ya Waislam wa Zanzibar ni Usalama wa Ukiristo na Tanganyika.
@khatibal-zinjibari6956
Жыл бұрын
Kwa nini Ujamaa wa Zanzibar ni Adui lakini Ujamaa wa Tanganyika sio Adui?
Muungano ukoloni.
Kinachounganisha ni Treaty baina ya nchi mbili huru. Katiba ni mtoto WA treaty
Mm kama mzanzibar muungano sitaki bora uvunjike
Jee bwana Hussein anayajua hayo b
Kwa maelezo yako mzee Sheikh abedi karume aliuza nchi kwa watanganyika kwa woga wake tuu nchi ameipoteza kwa wavamizi wa tanganyika saiv wanatutukana na kutuona madhaifu wa kila kitu
Wewe mzee kitu ni ndumi la kuwili, Lengo la muungano sio kweli kwamba ni kuitawala zanzibar, muungano huu ni nchi kubwa Tanganyika kuitawala zanzibar tu
Na Tanganyika ni SEHEMU ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Zanzibar tuitetee hd tamati
Huyo mwandishi ni jiwe hahaha must or woga tuu
Mzee enzi umesema ukweli lakini ma fisiemu hawataki wanajali matumbo yao na nikukaa na kujadili kwa ajili ya maslahi ya nchi kama ulisema vyama vinapita lakini nchi haipiti
Watu km hawa wataturejesha nyuma
Ammy😂
Mzee enzi umeongea ukweli
naona kama sauti ya mboe
Acheni unafiki Zanzibar mngekuwa na KATIBA? Anaongea labda ni CCM kwa sababu Waccm huwa wanafiki wakubwa sana wanacho ongea siyo yale ya kwaeli.
Mzee kuwa na akili na kuwa aibu Nyerere lengo lake ni kuitawala Zanzibar sio kuisadia Zanzibar, nyerere lengo lake na watanganyika wenzake mpka leo ni kutawala Zanzibar tuu sio kupenda Zanzibar
Ukabila
Mbona mkiwa ndani ya serekali hamyasemi haya
@eddynaeem6708
Ай бұрын
Jamani hili koti lina kunguni sifaradhi wala suna
@eddynaeem6708
Ай бұрын
Jamani hili koti lina kunguni sifaradhi wala suna
@eddynaeem6708
Ай бұрын
Jamani hili koti lina kunguni sifaradhi wala suna
@eddynaeem6708
Ай бұрын
Jamani hili koti lina kunguni sifaradhi wala suna
@eddynaeem6708
Ай бұрын
Jamani hili koti lina kunguni sifaradhi wala suna
Kwani huyu mzee si mwana ccm
@user-vd6fu6rv9r
2 ай бұрын
Cha Kuangalia si Uana CCM bali kuangalia hoja anazozitoa mie nahisi that man is a very good critical thinker especially being open minded....Penye Ukweli Mtu mpe haki yake pasi na kujalisha anatokea mrengo upi....Tatizo letu inaonekana Wazanzibari ni Double Standard...Tunasura mbili mbili...
@user-vd6fu6rv9r
2 ай бұрын
Pia tumeathirika na historia za kisiasa za nyuma kwa vyama vyetu vikuu tulivyonavyo....
nyerer mjanja san kwakwel
@jumamohamed3168
2 ай бұрын
Alikuwa anautapeli ndani yake.
Mnafik!!,hatumtambui!!delete!!!,futa huyu kabisa!!