#EXCLUSSIVE: MZEE ENZI TALIB AIBUA MAZITO MUUNGANO WA TANGANYIKA na ZANZIBAR...

#EXCLUSSIVE: MZEE ENZI TALIB AIBUA MAZITO MUUNGANO WA TANGANYIKA na ZANZIBAR...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: wasafitv || wasafifm
TWITTER: wasafitv || wasafifm/
FACEBOOK: wasafitv/
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 52

  • @aaahadventures4214
    @aaahadventures4214 Жыл бұрын

    I like Mzee Enzi. He is open minded and Heartly outspoken person..

  • @user-vd6fu6rv9r

    @user-vd6fu6rv9r

    2 ай бұрын

    He is a critical thinker and open minded regardless his ideology..and such type of open politics is so relevant in contemporary politics

  • @user-vd6fu6rv9r

    @user-vd6fu6rv9r

    2 ай бұрын

    But all in all preserving the union is important as far as national security is concerned

  • @w4058
    @w40589 ай бұрын

    Nyerere mnafiki

  • @mbingwaali7791
    @mbingwaali7791 Жыл бұрын

    VIONGOZI WA CCM ZANZIBAR WAKIWA WANAKULA BATA NDANI YA UONGOZI HAWASEMI HAYO MPAKA WASTAFU NA WASAHAULIWE NDO WATAONGEA ,wapowengi hao niunafiki wanataka waishi vizuri na jamii ya walala hoi iliyo wazunguka.

  • @eddynaeem6708

    @eddynaeem6708

    Ай бұрын

    wewe ulikuwa kwenye kamati ya vutu

  • @sayidabdillah8505
    @sayidabdillah85052 ай бұрын

    Huyo ni kumila kuwili or mnafiki alifurahia kuwekwa kizuizini kiongozi wetu idrissa abdul wakil alipotaka kwa hati za mandishi mamlaka ya Zanzibar na huo mungano ulipendekezwa na makafiri wa kizungu US na wangereza kisha akapewa nyerere kututawala wazanzibar,

  • @idrisaaliy9847
    @idrisaaliy9847 Жыл бұрын

    Mzee mashaallah anaongea kwa kujiamini na kwa kujua kabsa hongera yako mzee

  • @rwekazamugasha6448
    @rwekazamugasha6448 Жыл бұрын

    The best historical narrative . Well done.

  • @amenuhu9268

    @amenuhu9268

    9 ай бұрын

    Safi sana mzee tumekuelewa

  • @khatibal-zinjibari6956
    @khatibal-zinjibari6956 Жыл бұрын

    Zanzibar ni SEHEMU ya Tanganyika maane yake ni Zanzibar ni KOLONI ya Tanganyika. Zanzibar ni nchi peke yake Afrika ambayo ni Koloni. MKATAA YA MUSSA HUPATA YA FIRAUNA

  • @fredmpemba3705
    @fredmpemba3705 Жыл бұрын

    mambo ni fire

  • @salahkassim9729
    @salahkassim9729 Жыл бұрын

    Msumari huu utawachoma wengi wanaojali matumbo yao wakati watu wengine maisha magumu hali mbaya znz

  • @simonnjovu586
    @simonnjovu5862 ай бұрын

    Upande mmoja wa muungano unaitwa Zanzibar na upande mwingine unaitwa Tanzania Bara, hii tu ni shida kubwa. Pande mbili za muungano zijulikane tu kama Zanzibar na Tanganyika.

  • @saidabdala4980
    @saidabdala4980 Жыл бұрын

    Hakuna cha kisingiziya ukoministi .msubiri kesho ya kiama. Mutajuwa kama mapinduzi au NYERERE. .yoote yanayoelimishwa kuhusu ZANZIBAR ni uwongo mtu. Wazanzibar tumebanwa na MUNGANO. .ZANZIBAR sas imekuwa ni kisiwa cha mfano ya wasenge.

  • @khatibal-zinjibari6956

    @khatibal-zinjibari6956

    Жыл бұрын

    Mauwaji ya Waislam wa Zanzibar ni Usalama wa Ukiristo na Tanganyika.

  • @khatibal-zinjibari6956

    @khatibal-zinjibari6956

    Жыл бұрын

    Kwa nini Ujamaa wa Zanzibar ni Adui lakini Ujamaa wa Tanganyika sio Adui?

  • @user-yy6vy4xu2s
    @user-yy6vy4xu2s3 ай бұрын

    Muungano ukoloni.

  • @user-mp9nk7vu4d
    @user-mp9nk7vu4d9 ай бұрын

    Kinachounganisha ni Treaty baina ya nchi mbili huru. Katiba ni mtoto WA treaty

  • @fahadomar5809
    @fahadomar58092 ай бұрын

    Mm kama mzanzibar muungano sitaki bora uvunjike

  • @alinassor-zt5rg
    @alinassor-zt5rg Жыл бұрын

    Jee bwana Hussein anayajua hayo b

  • @sayidabdillah8505
    @sayidabdillah85052 ай бұрын

    Kwa maelezo yako mzee Sheikh abedi karume aliuza nchi kwa watanganyika kwa woga wake tuu nchi ameipoteza kwa wavamizi wa tanganyika saiv wanatutukana na kutuona madhaifu wa kila kitu

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah2 ай бұрын

    Wewe mzee kitu ni ndumi la kuwili, Lengo la muungano sio kweli kwamba ni kuitawala zanzibar, muungano huu ni nchi kubwa Tanganyika kuitawala zanzibar tu

  • @user-lp1gh7im3f
    @user-lp1gh7im3f2 ай бұрын

    Na Tanganyika ni SEHEMU ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

  • @MumusuSuley-iv5mi
    @MumusuSuley-iv5mi2 ай бұрын

    Zanzibar tuitetee hd tamati

  • @sayidabdillah8505
    @sayidabdillah85052 ай бұрын

    Huyo mwandishi ni jiwe hahaha must or woga tuu

  • @rafaelmarquez9396
    @rafaelmarquez9396 Жыл бұрын

    Mzee enzi umesema ukweli lakini ma fisiemu hawataki wanajali matumbo yao na nikukaa na kujadili kwa ajili ya maslahi ya nchi kama ulisema vyama vinapita lakini nchi haipiti

  • @MumusuSuley-iv5mi
    @MumusuSuley-iv5mi2 ай бұрын

    Watu km hawa wataturejesha nyuma

  • @fatmahamdoun74
    @fatmahamdoun74 Жыл бұрын

    Ammy😂

  • @koffilove2796
    @koffilove2796 Жыл бұрын

    Mzee enzi umeongea ukweli

  • @salehhassankhamis6834
    @salehhassankhamis6834 Жыл бұрын

    naona kama sauti ya mboe

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662Ай бұрын

    Acheni unafiki Zanzibar mngekuwa na KATIBA? Anaongea labda ni CCM kwa sababu Waccm huwa wanafiki wakubwa sana wanacho ongea siyo yale ya kwaeli.

  • @sayidabdillah8505
    @sayidabdillah85052 ай бұрын

    Mzee kuwa na akili na kuwa aibu Nyerere lengo lake ni kuitawala Zanzibar sio kuisadia Zanzibar, nyerere lengo lake na watanganyika wenzake mpka leo ni kutawala Zanzibar tuu sio kupenda Zanzibar

  • @user-od6wn9qt7d
    @user-od6wn9qt7d2 ай бұрын

    Ukabila

  • @Shafiijuma-ly7ep
    @Shafiijuma-ly7ep10 ай бұрын

    Mbona mkiwa ndani ya serekali hamyasemi haya

  • @eddynaeem6708

    @eddynaeem6708

    Ай бұрын

    Jamani hili koti lina kunguni sifaradhi wala suna

  • @eddynaeem6708

    @eddynaeem6708

    Ай бұрын

    Jamani hili koti lina kunguni sifaradhi wala suna

  • @eddynaeem6708

    @eddynaeem6708

    Ай бұрын

    Jamani hili koti lina kunguni sifaradhi wala suna

  • @eddynaeem6708

    @eddynaeem6708

    Ай бұрын

    Jamani hili koti lina kunguni sifaradhi wala suna

  • @eddynaeem6708

    @eddynaeem6708

    Ай бұрын

    Jamani hili koti lina kunguni sifaradhi wala suna

  • @salma0000
    @salma0000 Жыл бұрын

    Kwani huyu mzee si mwana ccm

  • @user-vd6fu6rv9r

    @user-vd6fu6rv9r

    2 ай бұрын

    Cha Kuangalia si Uana CCM bali kuangalia hoja anazozitoa mie nahisi that man is a very good critical thinker especially being open minded....Penye Ukweli Mtu mpe haki yake pasi na kujalisha anatokea mrengo upi....Tatizo letu inaonekana Wazanzibari ni Double Standard...Tunasura mbili mbili...

  • @user-vd6fu6rv9r

    @user-vd6fu6rv9r

    2 ай бұрын

    Pia tumeathirika na historia za kisiasa za nyuma kwa vyama vyetu vikuu tulivyonavyo....

  • @salehbyussuf9249
    @salehbyussuf924911 ай бұрын

    nyerer mjanja san kwakwel

  • @jumamohamed3168

    @jumamohamed3168

    2 ай бұрын

    Alikuwa anautapeli ndani yake.

  • @MumusuSuley-iv5mi
    @MumusuSuley-iv5mi2 ай бұрын

    Mnafik!!,hatumtambui!!delete!!!,futa huyu kabisa!!

Келесі