MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE: KIBIBLIA TUMBO LA UZAZI LA MWANAMKE NI NINI? [1]
KONGAMANO LA WANAWAKE WAOMBAJI ARUSHA [TAREHE 3 MEI 2022]
Жүктеу.....
Пікірлер: 45
@neemasaidisaid17912 жыл бұрын
Asante bwana yesu kwa ujumbeee huuu Asante pia kwajili ya mtumishi wako. Mlinde na mfunikee kwa bawa zako.badotunajaaa tunahitajikula kupitia kinywaa chake.
@vickydan2869
2 жыл бұрын
Amina
@rowenalilie993
Жыл бұрын
Amina
@joyceyohana8800 Жыл бұрын
Mafundisho Haya yamenifungua sanaaa Mungu akubariki sanaaa mtumishi Wa Mungu
@epifaniamilinga28482 жыл бұрын
Nashukuru Sana mwalimu wa kiroho.jambo jipya uliloniongezea.ni kuombea choo na bafu.(lango la uchafu).Aleluya!
@evamwinga9212 жыл бұрын
Mungu akubariki Mwl Mwakasege kwa mafundisho.
@marytabu49042 жыл бұрын
Amina. Natuzwa sana na haya mafundisho yako mwalimu. Yanafika kwangu kwa wakati. Neema ya Mungu izidi kwako mtumishi.
@hosianalazaro13892 жыл бұрын
asante Mwalimu kwa neno zuri mno ..sasa ni mepata picha kwa nini unakuta mtoto anashida mama akiombewa tumbo la uzazi mtoto anafunguka ... kwa kweli Damu ya Yesu itutakase matumbo ya uzazi ...
@vickydan28692 жыл бұрын
Mungu akubariki sana mwalimu Amina
@jacklinekayombo4682 жыл бұрын
Namshukuru Mungu sana kwa kukutumia ili tupone Asante baba
@happyallan5082 жыл бұрын
Powerful Thank you Jesus kwa maarifa na ufunuo huu
@magdalenajohn65642 жыл бұрын
Somo ni zuri sana. Swali langu hapo mwl umesema kama Mungu a anataka Jeremia aje wewe ukataka mariam aje utaleta confusion. Sasa naomba unisaidie.kama Mungu kanipa watoto wa kike sasa nikatamani anipe wakiume nafanyaje?natamani kujua sana
@jescaedwardkurumela4333
2 жыл бұрын
Nilinavyo elewa mie: baada ya Kuomba uitaji wako, omba shauri la Bwana litawale na litimie juu uzao wako haijalishi wewe wataka jinsia gani ya mtoto
@vickydan2869
2 жыл бұрын
Nafikiri hapo labda lango lako nikwajili watoto wakike tu
@christinewomanoffaith5479
Жыл бұрын
Simple Unarudi kwake unamuomba akupe wa kiume tu
@MaryEsya9 ай бұрын
God bless you man of God
@upendokiwanga95382 жыл бұрын
Thankyou thankyou so much asanteni saaana tunashukiru mno kwa somo hili
@juliethernest4550
2 жыл бұрын
Somo Hili limenigusa Sana natamani kuuliza maswali mengi sana
@joycejacob96152 жыл бұрын
Ameeen ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
@upendoeliudi51962 жыл бұрын
Ameeen barikiwa sana kwa maarifa haya
@neemamachangemachange88742 жыл бұрын
Kwa kweli hata mimi siombeagi choo
@jescaedwardkurumela43332 жыл бұрын
🙏Man of God
@danielkivuyo20522 жыл бұрын
Amina mtumishi wa Mungu
@gloria59902 жыл бұрын
AMEN!!!!!! Hallelujah!!
@neemamachangemachange88742 жыл бұрын
Yes hapa nasikia vizuri sasa
@juliethernest45502 жыл бұрын
Asante Yesu
@christinewomanoffaith54792 жыл бұрын
asante Yesu
@neemamachangemachange88742 жыл бұрын
Amen Amen Amen
@christinewomanoffaith54792 жыл бұрын
aisee kuna mila ngumu humu duniani,uzini na maiti?🤔,looh shetani muongo jmn! asante Yesu.
@petterjosephat5686 Жыл бұрын
Amen
@neemamachangemachange88742 жыл бұрын
Amen Amen
@neemamachangemachange88742 жыл бұрын
Tumbo la uzazi la Mwanamke ni lango la kiroho!!!
@neemamachangemachange88742 жыл бұрын
Haleluya
@pendompingwa33952 жыл бұрын
Amen🙏
@agnesnyakota29372 жыл бұрын
Agness,amen,
@agnesnyakota29372 жыл бұрын
Agness.6days ago. Amen
@neemamachangemachange88742 жыл бұрын
1Korintho 5:7
@cartasmaganga80992 жыл бұрын
Asante Yesu kwa somo hili hakika neno limeponya mapito yangu🙏🙏😭.. Nitasema na tumbo langu this time🙏🙏🙏
@joycesamweli12192 жыл бұрын
Utajuaje Sasa mwalimu Mimi nina watoto watatu wa kiume lakini niliomba mtoto wa kike utajuaje sasa
@magdalenajohn65642 жыл бұрын
Mwl Mwakasege tusaidie hapo .nitajuaje kama Mungu anamtaka jeremiah wakati mimi na muomba mariam?natamani kujua kwani wengi wetu kama tuna watoto wa kiume tunaomba wa kike .kama ni wakike tunaomba tupate wakiume. Hapo inakuwaje Mwakasege?nahitaji kujua ili tusilete huo mkanganyiko.
@jescaemmanuel100
2 жыл бұрын
Ukiwa unaomba usiombe mapenzi yako,,,tamka mapenz ya Mungu yatimizwe sawa sawa na kusudi lake KWAKO,,, kwasabbu yeye anajua kipi kikufaacho my dear. MKABIDHI BWANA MOYO WAKO NA MAWAZO YAKO TAYATHIBITIKA 🧎🧘🙏
Пікірлер: 45
Asante bwana yesu kwa ujumbeee huuu Asante pia kwajili ya mtumishi wako. Mlinde na mfunikee kwa bawa zako.badotunajaaa tunahitajikula kupitia kinywaa chake.
@vickydan2869
2 жыл бұрын
Amina
@rowenalilie993
Жыл бұрын
Amina
Mafundisho Haya yamenifungua sanaaa Mungu akubariki sanaaa mtumishi Wa Mungu
Nashukuru Sana mwalimu wa kiroho.jambo jipya uliloniongezea.ni kuombea choo na bafu.(lango la uchafu).Aleluya!
Mungu akubariki Mwl Mwakasege kwa mafundisho.
Amina. Natuzwa sana na haya mafundisho yako mwalimu. Yanafika kwangu kwa wakati. Neema ya Mungu izidi kwako mtumishi.
asante Mwalimu kwa neno zuri mno ..sasa ni mepata picha kwa nini unakuta mtoto anashida mama akiombewa tumbo la uzazi mtoto anafunguka ... kwa kweli Damu ya Yesu itutakase matumbo ya uzazi ...
Mungu akubariki sana mwalimu Amina
Namshukuru Mungu sana kwa kukutumia ili tupone Asante baba
Powerful Thank you Jesus kwa maarifa na ufunuo huu
Somo ni zuri sana. Swali langu hapo mwl umesema kama Mungu a anataka Jeremia aje wewe ukataka mariam aje utaleta confusion. Sasa naomba unisaidie.kama Mungu kanipa watoto wa kike sasa nikatamani anipe wakiume nafanyaje?natamani kujua sana
@jescaedwardkurumela4333
2 жыл бұрын
Nilinavyo elewa mie: baada ya Kuomba uitaji wako, omba shauri la Bwana litawale na litimie juu uzao wako haijalishi wewe wataka jinsia gani ya mtoto
@vickydan2869
2 жыл бұрын
Nafikiri hapo labda lango lako nikwajili watoto wakike tu
@christinewomanoffaith5479
Жыл бұрын
Simple Unarudi kwake unamuomba akupe wa kiume tu
God bless you man of God
Thankyou thankyou so much asanteni saaana tunashukiru mno kwa somo hili
@juliethernest4550
2 жыл бұрын
Somo Hili limenigusa Sana natamani kuuliza maswali mengi sana
Ameeen ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Ameeen barikiwa sana kwa maarifa haya
Kwa kweli hata mimi siombeagi choo
🙏Man of God
Amina mtumishi wa Mungu
AMEN!!!!!! Hallelujah!!
Yes hapa nasikia vizuri sasa
Asante Yesu
asante Yesu
Amen Amen Amen
aisee kuna mila ngumu humu duniani,uzini na maiti?🤔,looh shetani muongo jmn! asante Yesu.
Amen
Amen Amen
Tumbo la uzazi la Mwanamke ni lango la kiroho!!!
Haleluya
Amen🙏
Agness,amen,
Agness.6days ago. Amen
1Korintho 5:7
Asante Yesu kwa somo hili hakika neno limeponya mapito yangu🙏🙏😭.. Nitasema na tumbo langu this time🙏🙏🙏
Utajuaje Sasa mwalimu Mimi nina watoto watatu wa kiume lakini niliomba mtoto wa kike utajuaje sasa
Mwl Mwakasege tusaidie hapo .nitajuaje kama Mungu anamtaka jeremiah wakati mimi na muomba mariam?natamani kujua kwani wengi wetu kama tuna watoto wa kiume tunaomba wa kike .kama ni wakike tunaomba tupate wakiume. Hapo inakuwaje Mwakasege?nahitaji kujua ili tusilete huo mkanganyiko.
@jescaemmanuel100
2 жыл бұрын
Ukiwa unaomba usiombe mapenzi yako,,,tamka mapenz ya Mungu yatimizwe sawa sawa na kusudi lake KWAKO,,, kwasabbu yeye anajua kipi kikufaacho my dear. MKABIDHI BWANA MOYO WAKO NA MAWAZO YAKO TAYATHIBITIKA 🧎🧘🙏
Amen
Amen
Amen
@shukurumremiachawapigwewaw4296
2 жыл бұрын
Amina