MWILI ULIOZUIWA MOCHWARI KWA MILIONI 10 DKT JANABI AFUNGUKA "WAANDIKE BARUA WAKACHUKUE MWILI"

Пікірлер: 115

  • @jeremiahsanare8754
    @jeremiahsanare8754 Жыл бұрын

    Sawa doctor umejieleza vizur

  • @stanleymartin2943
    @stanleymartin2943 Жыл бұрын

    Ila kaongea vyema jamaa km mmemuelewa Ila bado sisi masikini

  • @zainabumbondei8635
    @zainabumbondei8635 Жыл бұрын

    Jamani hii nchi kwakweli kwasisi maskini tukiugua bora tunywe mizugwa nyumbani tukifa tuwe nyumbani ili tusiwape shida famili zetu

  • @amriyalibent5900

    @amriyalibent5900

    Жыл бұрын

    Wallah tufe nyumban tuzikwe basi

  • @kawtharalbarwani1337

    @kawtharalbarwani1337

    Жыл бұрын

    Nikweli kabisa

  • @azizamohamed7692
    @azizamohamed7692 Жыл бұрын

    Doctor Jabili kaongea vizuri ila sisi maskini atuelewagi kwasababu ya ufukara wetu tunaonekana tunaonewa

  • @ednajeremiah928
    @ednajeremiah928 Жыл бұрын

    Yaani mimi nawaachia serekali wazike kwani Kodi tunanzotoa ni za nini

  • @Prishnakdrama
    @Prishnakdrama Жыл бұрын

    😂😂😂😂 doctor nakubali sana… watu wanakimbia social medial wanahisi madaktari watapata pressure😅….

  • @colletatesha5265
    @colletatesha5265 Жыл бұрын

    Well spoken Dr but daa !

  • @user-ck6lf9gg6v
    @user-ck6lf9gg6v17 күн бұрын

    Janabi Yuko vizuri Kila kitu kinafuata utaratibu hata wao wanafanyiwa auditing shida sisi Kila kitu ni kulalamika kaeleza vizuri

  • @SKY-fk3fz
    @SKY-fk3fz Жыл бұрын

    Nchi gani hii, kwaninitunalipa kodi, milioni kumi watu wenyewe elfu kumi mtihani

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 Жыл бұрын

    Milioni 10, hivi mwiimbili ni ya serikali au ni ya mtu binafsi?

  • @amriyalibent5900

    @amriyalibent5900

    Жыл бұрын

    Najiuliza ivyo ivyo hii ni hospital ya serikali au praivet

  • @sophiapatson2990
    @sophiapatson2990 Жыл бұрын

    Waache wazike ila tu wawaambie wanazika wapi Mkashiriki mazishi kwisha.

  • @husseinmaula4965
    @husseinmaula4965 Жыл бұрын

    Professor mnahitajika kutoa elimu kwa wananchi juu ya masuala hayo pia malipo na misamaha kuwekwa wazi ili pande zote 3 kujirizisha kwa kilichofanyika.

  • @shijamarco2662

    @shijamarco2662

    Жыл бұрын

    Sio kila polofesa anataluma ya kifo haya maswala ya ubinadamu unauwezo kuwa imesoma kweli unashelia ila huna ubinadamu. Maana nivitu viwili tofauti .

  • @happinessmwanguo8200
    @happinessmwanguo8200 Жыл бұрын

    Suluhisho tutafute bima za afya wajameni tuache kupenda miteremko

  • @paschalkusolota877
    @paschalkusolota877 Жыл бұрын

    Acheni maiti wazike wenyewe..

  • @manjaruu1575

    @manjaruu1575

    Жыл бұрын

    Kama ni mali wakae nayo basi kaaah😁😁😁

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 Жыл бұрын

    Sio kosa la madaktari Ni utaratibu. Japo Ni kumtesa marehem Na amesha teseka akiwa hai

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 Жыл бұрын

    UYU MZEE JAMANI UWAGA NAMAJIBU MAZURI SANA SANA.PIA ROHO YA IMANI

  • @rashid1860
    @rashid1860 Жыл бұрын

    hi nchi wanaofaid n viongoz tu m nishajichokea n vile tu sijapata namna yakusafir wallah ningekuwa raia wa nchi ingine

  • @kilamegroup2968

    @kilamegroup2968

    Жыл бұрын

    Kabisa tena hawana huruma

  • @joanesasalavaleriano9980
    @joanesasalavaleriano9980 Жыл бұрын

    Uyu Dkt ni muungwana sana

  • @neema_mollel
    @neema_mollel Жыл бұрын

    Daah ,Bora tuu jmn .wamsitiri ndugu yao

  • @charzykazimilymajahasy703
    @charzykazimilymajahasy703 Жыл бұрын

    Huyu Dr Si ndiyo yule mpuuz wa kikwete, Dr JPM alilikataa hili la kuuzuiazuia

  • @amanimusa5744
    @amanimusa5744 Жыл бұрын

    Yani serikali daaaah bongo sirudi

  • @charzykazimilymajahasy703
    @charzykazimilymajahasy703 Жыл бұрын

    Yaani hospitali ni ya selikali ikimanisha hata aliefariki ni yake, alikatwa Kodi kibao, anandugu wengine nao wanalipa Kodi, makato ya selikali, na bajeti ya madawa na vifaa tiba vinatoka selikalini, hao madakitar wanalipwa na Kodi za wananchi, asa kwanini wasimwache? Mipango mibovu, uongoz mbovu, viongoz wa selikali hakili hamna, kazi ni kujipendelea wao tu.

  • @magigesabai8674

    @magigesabai8674

    Жыл бұрын

    Kwan daktari ndie anapanga gharama za matibabu au ni serikali Hela ikusanywa inaenda Bank Lakin kuna gharama za kumlipa specialist bila kumlipa hutawaona hapa nchini wanatafutwa na mataifa mengi tena yenye uchumi mzur

  • @florencemlay9333
    @florencemlay9333 Жыл бұрын

    Hv na kodi mnazokata huwa zinaenda wapi? Kama mtu ni maskini kwa ninj asisaidiwe?Serikali lazima mbadilike, hv mnataka wajikomiti hiyo pesa watatoa wapi? Mnaboa saana kwakweli. Kweli aliyeshiba hamjui mwenye njaa, maana Prof anaongea kwa madaha haswaaa

  • @paulibrahim1499
    @paulibrahim1499 Жыл бұрын

    Nchi ya wajanja😅

  • @FRANSKALITUSI4937
    @FRANSKALITUSI4937 Жыл бұрын

    Vzr sana

  • @peterrulagora7403
    @peterrulagora7403 Жыл бұрын

    Umeongea vzr sn

  • @papadimayo1chanel.747
    @papadimayo1chanel.747 Жыл бұрын

    Watanzania tunataka Kila kitu kiwe kama tunavyotaka kuwa Kila mmoja badala ya kufuata sheria zilizotungwa na mabunge na mabaraza yetu. Na wale waliopo bungeni tuliwachagua. Tukibalianeni na matatizo hyo. Laiti tungekuwa tunajitawala tungekuwa tunatibiwa bure. Na kama tungekuwa tunalipa tungekuwa na pesa.

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 Жыл бұрын

    Kipona ni.pesa kufariki pia ni pesa tuombeane

  • @zainabwage4658

    @zainabwage4658

    Жыл бұрын

    Sana

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Жыл бұрын

    Pesa pesa pesa bila pesa no huduma no nini

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 Жыл бұрын

    Sasa jamani kiasi chote hicho cha pesa kwa maisha haya jamani mtu anatoa wapi kwa nini wasisamehewe lakini heee jamani wanyonge wanateseka na hii dunia awe Allah tufanyie wepesi waja wako😭😭😭😭

  • @hisanmwakijungu10
    @hisanmwakijungu10 Жыл бұрын

    Daaaaaah yaani kuchukua tu mwili mpaka upaze sauti 😭😭😭😭

  • @magigesabai8674

    @magigesabai8674

    Жыл бұрын

    Sasa unategemea nani akulipie ujui kutunza mwili ni gharama pia ujue hapo anadaiwa hela ya matibabu

  • @hisanmwakijungu10

    @hisanmwakijungu10

    Жыл бұрын

    @@magigesabai8674 tukifa watuache buanaa wanadije maiti ,,,,

  • @getrudalufega9770
    @getrudalufega9770 Жыл бұрын

    Wamuache huko huko

  • @adkajisi4536

    @adkajisi4536

    Жыл бұрын

    Marehem hasusiwi

  • @mbwanahasan2971
    @mbwanahasan2971 Жыл бұрын

    Ccm daimaa

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Жыл бұрын

    Yaani hii nchi ya ajabu sana.... Mgonjwa kafa ... Halafu ... Unamdai pesa....!!!!!. Anapokufa mbona hatuwalaumu Wala kuwadai hospital/madaktari. Hapa ndo utajua Kuna wenye nchi na wananchi. Hebu waachieni mwili wa marehemu tuone kama hawatauzika wenyewe.... Muhimu kujua kaburi lilipo tu. Sheria za namba hii ni za ovyo kabisa.

  • @frankmayige2950

    @frankmayige2950

    Жыл бұрын

    Ndugu usiongee hivi kwakuwa hujaumwa wala kuuguza, kumbuka duniani kote hakuna kitu chenye gharama kama matibabu, kumbuka maekaa hospitali muda gani ametumia gharama kiasi gani, lazima kuchangia iliwengine nao wakija wapate dawa, pamoja huduma zingine , Mkurugenzi kaongea very clear, kuna kitengo cha social ambacho kina sikiliza makundi mbali mbali ambayo hawajiwezi, kwahyo ukisema kila mtu msamaha inakuwaje, tuache ushabiki tuu , ukiumwa ndo utajua au ukiuguliwa utajua ,

  • @elizabethswai7777
    @elizabethswai7777 Жыл бұрын

    Serikali hii ni comedy

  • @mwana4599
    @mwana4599 Жыл бұрын

    Milioni 10 ni nyingi mno jamani.

  • @shaameshaame9721
    @shaameshaame9721 Жыл бұрын

    Kwan hii Hospital ya mubimbili ni serikali au binafsi? duuuh shida halafu tunaambiwa huduma Bure!!!

  • @kefajoseph158
    @kefajoseph158 Жыл бұрын

    Huyu Janabi ndo wanasema alimchoma MAGUFULI sindano ya sumu

  • @rehemashabhay8946
    @rehemashabhay8946 Жыл бұрын

    Watu wanazaa kwa kujifurahisha, watoto hao wanasomeshwa na serikali,wagonjwa wanaugua bila kukusudia na kufa kwa lazima ni mipango ya Mungu..mmmh hapa mtihani.mtu azae kwa sitarehe zake,asomeshewe watoto...mtu afe ,argue bila kupenda asisaidiwe..Wabunge wetu hebu litazameni kwa jicho la huruma....

  • @edsonnelson4464

    @edsonnelson4464

    Жыл бұрын

    Rehema nakusapoti kwa hiyo

  • @edsonnelson4464

    @edsonnelson4464

    Жыл бұрын

    Rehema nakusapoti kwa hiyo

  • @magigesabai8674

    @magigesabai8674

    Жыл бұрын

    Hata nchi zenye uchumi matibabu wanalipia Namna ya kuepukana ni kukata bima ya afya

  • @hamadsuleiman5177
    @hamadsuleiman5177 Жыл бұрын

    Alhamdulillah kwa kuzaliwa Zanzibar🤭🤭🤭

  • @fatmakhanii1676

    @fatmakhanii1676

    Жыл бұрын

    Sasa unahakika utakufa wapi mwenzetu🤔

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Жыл бұрын

    Mpaka marehemu anadaiwa Hii ndyo dunia ya leo pesa ndiyo kila kitu

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 Жыл бұрын

    Nakumbuka kuna mwili ulizuiwa enzi za magufuli yule mama alilia na akaruhusiwa kuchukua mwili wa mama yake, ifike mahali tuwasaidie wasiojiweza

  • @samsonkatigiri2344

    @samsonkatigiri2344

    Жыл бұрын

    hukumbuki vizuri magufuli alisema atamlipia yeye,

  • @florencemeza6540

    @florencemeza6540

    Жыл бұрын

    @@samsonkatigiri2344 samia kasemaje??

  • @samsonkatigiri2344

    @samsonkatigiri2344

    Жыл бұрын

    @@florencemeza6540 mimi sishutum mtu nashtum mfumo,kama nchi yenye rasilimali za kutosha,chama makini kinachounda serikali lazima kichague huduma moja ya msingi kama afya iwe bure kwa wote,sio Rais anasema atamlipia m.5 mtu mmoja kati ya milion 1 wenye matatizo huo ni ubaguzi bora hata mama Samia akae kimya tu,au aruhusu wote iwe bure

  • @florencemeza6540

    @florencemeza6540

    Жыл бұрын

    Hayo ni yako hayanihusu mbona walipuka kama moto wa kifuu JPM forever

  • @samsonkatigiri2344

    @samsonkatigiri2344

    Жыл бұрын

    @@florencemeza6540 mama foreveraaaaaaaaaaaa hahahahahahahaaaaa

  • @gilbertkalanda9354
    @gilbertkalanda9354 Жыл бұрын

    Jamaa anajibu kwa dharau sanaa

  • @abuumuhammad7133

    @abuumuhammad7133

    Жыл бұрын

    Kawaida yake huyo jamaa anajiona km hafi vile anajuwa kujikinga na maradhi ila nauhakika ipo siku tutaona maajabu

  • @gilbertkalanda9354

    @gilbertkalanda9354

    Жыл бұрын

    @@abuumuhammad7133 Atakufa wakati wake ukifika, ila kiburi cha uhai nj kitu kibaya. We all think of money, utu hakuna kabisa aisee.

  • @abdulla4344
    @abdulla4344 Жыл бұрын

    Na huko mortuary Bill yake ngapi

  • @manjaruu1575
    @manjaruu1575 Жыл бұрын

    Hivi kodi za wananchi huwaga huwaga zinafanya kazi gani?

  • @humphreymwihambi4330

    @humphreymwihambi4330

    Жыл бұрын

    Kujenga barabara, mahospitali, mashule, mishahara ya wafanyakazi, kuhudumia polisi na majeshi, kununua bidhaa mbalimbali nk

  • @magigesabai8674

    @magigesabai8674

    Жыл бұрын

    Tafuta hela kata bima hata nchi zenye uchumi mkubwa wanalipia matibabu

  • @jannethlyimo3937
    @jannethlyimo3937 Жыл бұрын

    Yani mgonjwa amekufa unaniambia nitoe million 8 jamani mungu anawaona Mimi Mimi Wacha nizikwe na manispaa

  • @magigesabai8674

    @magigesabai8674

    Жыл бұрын

    Matibabu ya dawa ulizotumia nani amlipie nikwel amekufa lkn katumia dawa utaratibu uko hivyo

  • @lucymussaabinego1753
    @lucymussaabinego1753 Жыл бұрын

    Kumbe kweli serikali inazuia maiti ili kupata pesa...umeshindwa kumtibu amekufa sasa unadai nini?

  • @merinankullua5874

    @merinankullua5874

    Жыл бұрын

    Kifo kinapangwa na Mungu na sio binadamu ,hata angepelekwa nchi za nje kama siku zimefika angefariki tu

  • @ramadhanimbulu4941

    @ramadhanimbulu4941

    Жыл бұрын

    @@merinankullua5874 nimepeleka gari gereji fundi katengeneza,baadaye anasema gari lako limekufa kabisa.nataka kuchukua gari langu analizuia gereji anataka nimlipe million kumi ndiyo nilichukue.Hii ni sawa kweli?

  • @ngwatujonas2266

    @ngwatujonas2266

    Жыл бұрын

    Mambo ya ajabu sana! Hawana huruma hawa watu! Unadai hadi marehemu.....? 10 ml

  • @asteriashios1852

    @asteriashios1852

    Жыл бұрын

    Duh milioni kumi maskini mtanzania anazipata wapi? Ajira hamna Hana biashara yoyote alafu ni maiti tayari Tanzania yetu hii mtihani mungu tusaidie

  • @kabwelasutiviraka4765

    @kabwelasutiviraka4765

    Жыл бұрын

    @@ramadhanimbulu4941 mfano miwili tofauti kabisa una kiwango gani cha elimu mkuu ?

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 Жыл бұрын

    Tatizo ni kukosa uwazi management ya hospital , kama haya maelezo yangekuwa yako wazi wamewekwa sehemu sidhani kama kuna wafiwa wangekuja kwenye social media kulalamika

  • @magigesabai8674

    @magigesabai8674

    Жыл бұрын

    Wew ujasikia kwamba wengi wao wanaogopa kujicomment Tatizo wengi wetu sio waaminifu nimeona wengi wanatibiwa hawana ila kulipa wanakwepa mpaka watafutwe na polisi

  • @samsonkatigiri2344

    @samsonkatigiri2344

    Жыл бұрын

    @@magigesabai8674 sasa wewe ndugu yangu utajicoment kwa milion kumi tena ulishapoteza na ndugu yako,hivi milion kumi unaijua au unaisikia?suluhisho ni kwamba maiti isidaiwe hata mia,mimi siwezi lipia maiti milioni kumi,hizo m.10 bora tukawalipie watoto wa marehem ada ya shule?

  • @johnrimoy1613
    @johnrimoy1613 Жыл бұрын

    Ile sera ya wazee zaidi ya miaka 60 wasio jiweza ni bure bado ipo ???

  • @linnamlay3643

    @linnamlay3643

    Жыл бұрын

    Si kila mzee anatibiwa bure, kuna vigezo vinavyotakiwa 😂😂

  • @magigesabai8674

    @magigesabai8674

    Жыл бұрын

    Mochari haina msamaha Pia sio kila ngaz ya hospital hio sera kuna aina matibabu ina kikomo

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Жыл бұрын

    Marehemu ana miaka 74, kwani si inasemekana wazee huwa wanatibiwa bure? Au nimekurupuka?

  • @mugishalaurian3311

    @mugishalaurian3311

    Жыл бұрын

    Nikwelii ndugu japo kwa ngazi ya zahanati,vituo vya afya,hospitali za wilaya na mkoa..hospitali za rufaa wanachangia sababu ya gharama kubwa ya matibabu

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Жыл бұрын

    Ameshakufa sasa walipe nini tena wamchukue tu marehemu wao

  • @magigesabai8674

    @magigesabai8674

    Жыл бұрын

    Bili yake ya matibabu alipe daktari au?

  • @sayunimkongwa9830
    @sayunimkongwa9830 Жыл бұрын

    Mpaka na mkumbuka Magufuli jamani hivi ninani atakae kuwa Kama Magufuli atusaidie maskini mweee😭😭😭😭

  • @magigesabai8674

    @magigesabai8674

    Жыл бұрын

    Kipindi chake matibabu yalikua bure? Acha hayo mambo

  • @shijamarco2662
    @shijamarco2662 Жыл бұрын

    Simnajinadi tiba bule nahayo je? Kiongozi duniani alikua Gadaffi tu wengine hao wanalenga masilahi kuliko ubinadamu ata hao wanaotaka katiba mpya ndo hatali wao wenyewe wajawajanja kweli.

  • @jennytugara9470
    @jennytugara9470 Жыл бұрын

    Lakini jamani hospital zinaendeshwa na fedha Wafanyakazi walipwe mishahara. Kila Marehemu wakisamehewa wasilipe hasara itakuwa kiasi gani. Asante Mwandishi kupiga simu kuwasaidia familia

  • @manjaruu1575

    @manjaruu1575

    Жыл бұрын

    Sio milioni 10 sasa si bora mbaki na maiti

  • @hanifatanzania7258

    @hanifatanzania7258

    Жыл бұрын

    Milionin. 10 ww. Unayo na maisha haya ya Tz wasameetu selikali wanazopesa

  • @jennytugara9470

    @jennytugara9470

    Жыл бұрын

    @@hanifatanzania7258 Kusamehewa pia inawezekana Lakini inabidi tuheshimu biashara. Kama wangelipa kidogo kidogo isingefika deni kubwa hivi. Hata kama Serikali ina hela lakini kama mwendo ni huu taasisi zitabaki tupu

  • @hanifatanzania7258

    @hanifatanzania7258

    Жыл бұрын

    @@jennytugara9470 hawana ndiyo maana imefiki hapo

  • @manjaruu1575

    @manjaruu1575

    Жыл бұрын

    @@hanifatanzania7258 🤣🤣🤣🤣🤣eti ye anayo?? Oya sikieni kaeni nao mwili

  • @abdulla4344
    @abdulla4344 Жыл бұрын

    Wajinga ndio waliwawo

  • @titosanga9602
    @titosanga9602 Жыл бұрын

    Cha msingi wapelekeeni sanda jeneza na msalaba wenye taarifa za malehemu hapo kazi kwisha msubili kutambua kaburi 🙄🙄🙄🙄🙄🙄.

  • @hamadsuleiman5177
    @hamadsuleiman5177 Жыл бұрын

    Alhamdulillah kwa kuzaliwa Zanzibar🤭🤭🤭

  • @magigesabai8674

    @magigesabai8674

    Жыл бұрын

    Kwan huko matibabu ni bure? Acha kupotosha watu

  • @hamadsuleiman5177

    @hamadsuleiman5177

    Жыл бұрын

    @@magigesabai8674 Yeah ni bure matibabu Zanzibar kwa kweli...Usiongeleee usichokijua...Au njoo leo Zanzibar uumwe uone kama utadaiwa hata cent 1 Hospital za Government unless iwe kuna dawa flani hamna ndio utatakiwa kununua....Wacha kupotosha watu...Alaaa

Келесі