MWILI ULIOZUIWA MOCHWARI KWA MILIONI 10 DKT JANABI AFUNGUKA "WAANDIKE BARUA WAKACHUKUE MWILI"
Жүктеу.....
Пікірлер: 115
@jeremiahsanare8754 Жыл бұрын
Sawa doctor umejieleza vizur
@stanleymartin2943 Жыл бұрын
Ila kaongea vyema jamaa km mmemuelewa Ila bado sisi masikini
@zainabumbondei8635 Жыл бұрын
Jamani hii nchi kwakweli kwasisi maskini tukiugua bora tunywe mizugwa nyumbani tukifa tuwe nyumbani ili tusiwape shida famili zetu
@amriyalibent5900
Жыл бұрын
Wallah tufe nyumban tuzikwe basi
@kawtharalbarwani1337
Жыл бұрын
Nikweli kabisa
@azizamohamed7692 Жыл бұрын
Doctor Jabili kaongea vizuri ila sisi maskini atuelewagi kwasababu ya ufukara wetu tunaonekana tunaonewa
@ednajeremiah928 Жыл бұрын
Yaani mimi nawaachia serekali wazike kwani Kodi tunanzotoa ni za nini
@Prishnakdrama Жыл бұрын
😂😂😂😂 doctor nakubali sana… watu wanakimbia social medial wanahisi madaktari watapata pressure😅….
@colletatesha5265 Жыл бұрын
Well spoken Dr but daa !
@user-ck6lf9gg6v17 күн бұрын
Janabi Yuko vizuri Kila kitu kinafuata utaratibu hata wao wanafanyiwa auditing shida sisi Kila kitu ni kulalamika kaeleza vizuri
@SKY-fk3fz Жыл бұрын
Nchi gani hii, kwaninitunalipa kodi, milioni kumi watu wenyewe elfu kumi mtihani
@myunaniniahmad6463 Жыл бұрын
Milioni 10, hivi mwiimbili ni ya serikali au ni ya mtu binafsi?
@amriyalibent5900
Жыл бұрын
Najiuliza ivyo ivyo hii ni hospital ya serikali au praivet
@sophiapatson2990 Жыл бұрын
Waache wazike ila tu wawaambie wanazika wapi Mkashiriki mazishi kwisha.
@husseinmaula4965 Жыл бұрын
Professor mnahitajika kutoa elimu kwa wananchi juu ya masuala hayo pia malipo na misamaha kuwekwa wazi ili pande zote 3 kujirizisha kwa kilichofanyika.
@shijamarco2662
Жыл бұрын
Sio kila polofesa anataluma ya kifo haya maswala ya ubinadamu unauwezo kuwa imesoma kweli unashelia ila huna ubinadamu. Maana nivitu viwili tofauti .
@happinessmwanguo8200 Жыл бұрын
Suluhisho tutafute bima za afya wajameni tuache kupenda miteremko
@paschalkusolota877 Жыл бұрын
Acheni maiti wazike wenyewe..
@manjaruu1575
Жыл бұрын
Kama ni mali wakae nayo basi kaaah😁😁😁
@mercypeter162 Жыл бұрын
Sio kosa la madaktari Ni utaratibu. Japo Ni kumtesa marehem Na amesha teseka akiwa hai
@sudymgeni701 Жыл бұрын
UYU MZEE JAMANI UWAGA NAMAJIBU MAZURI SANA SANA.PIA ROHO YA IMANI
@rashid1860 Жыл бұрын
hi nchi wanaofaid n viongoz tu m nishajichokea n vile tu sijapata namna yakusafir wallah ningekuwa raia wa nchi ingine
@kilamegroup2968
Жыл бұрын
Kabisa tena hawana huruma
@joanesasalavaleriano9980 Жыл бұрын
Uyu Dkt ni muungwana sana
@neema_mollel Жыл бұрын
Daah ,Bora tuu jmn .wamsitiri ndugu yao
@charzykazimilymajahasy703 Жыл бұрын
Huyu Dr Si ndiyo yule mpuuz wa kikwete, Dr JPM alilikataa hili la kuuzuiazuia
@amanimusa5744 Жыл бұрын
Yani serikali daaaah bongo sirudi
@charzykazimilymajahasy703 Жыл бұрын
Yaani hospitali ni ya selikali ikimanisha hata aliefariki ni yake, alikatwa Kodi kibao, anandugu wengine nao wanalipa Kodi, makato ya selikali, na bajeti ya madawa na vifaa tiba vinatoka selikalini, hao madakitar wanalipwa na Kodi za wananchi, asa kwanini wasimwache? Mipango mibovu, uongoz mbovu, viongoz wa selikali hakili hamna, kazi ni kujipendelea wao tu.
@magigesabai8674
Жыл бұрын
Kwan daktari ndie anapanga gharama za matibabu au ni serikali Hela ikusanywa inaenda Bank Lakin kuna gharama za kumlipa specialist bila kumlipa hutawaona hapa nchini wanatafutwa na mataifa mengi tena yenye uchumi mzur
@florencemlay9333 Жыл бұрын
Hv na kodi mnazokata huwa zinaenda wapi? Kama mtu ni maskini kwa ninj asisaidiwe?Serikali lazima mbadilike, hv mnataka wajikomiti hiyo pesa watatoa wapi? Mnaboa saana kwakweli. Kweli aliyeshiba hamjui mwenye njaa, maana Prof anaongea kwa madaha haswaaa
@paulibrahim1499 Жыл бұрын
Nchi ya wajanja😅
@FRANSKALITUSI4937 Жыл бұрын
Vzr sana
@peterrulagora7403 Жыл бұрын
Umeongea vzr sn
@papadimayo1chanel.747 Жыл бұрын
Watanzania tunataka Kila kitu kiwe kama tunavyotaka kuwa Kila mmoja badala ya kufuata sheria zilizotungwa na mabunge na mabaraza yetu. Na wale waliopo bungeni tuliwachagua. Tukibalianeni na matatizo hyo. Laiti tungekuwa tunajitawala tungekuwa tunatibiwa bure. Na kama tungekuwa tunalipa tungekuwa na pesa.
@hanifamziray277 Жыл бұрын
Kipona ni.pesa kufariki pia ni pesa tuombeane
@zainabwage4658
Жыл бұрын
Sana
@kennethbenjamin275 Жыл бұрын
Pesa pesa pesa bila pesa no huduma no nini
@fatmakhanii1676 Жыл бұрын
Sasa jamani kiasi chote hicho cha pesa kwa maisha haya jamani mtu anatoa wapi kwa nini wasisamehewe lakini heee jamani wanyonge wanateseka na hii dunia awe Allah tufanyie wepesi waja wako😭😭😭😭
@hisanmwakijungu10 Жыл бұрын
Daaaaaah yaani kuchukua tu mwili mpaka upaze sauti 😭😭😭😭
@magigesabai8674
Жыл бұрын
Sasa unategemea nani akulipie ujui kutunza mwili ni gharama pia ujue hapo anadaiwa hela ya matibabu
Yaani hii nchi ya ajabu sana.... Mgonjwa kafa ... Halafu ... Unamdai pesa....!!!!!. Anapokufa mbona hatuwalaumu Wala kuwadai hospital/madaktari. Hapa ndo utajua Kuna wenye nchi na wananchi. Hebu waachieni mwili wa marehemu tuone kama hawatauzika wenyewe.... Muhimu kujua kaburi lilipo tu. Sheria za namba hii ni za ovyo kabisa.
@frankmayige2950
Жыл бұрын
Ndugu usiongee hivi kwakuwa hujaumwa wala kuuguza, kumbuka duniani kote hakuna kitu chenye gharama kama matibabu, kumbuka maekaa hospitali muda gani ametumia gharama kiasi gani, lazima kuchangia iliwengine nao wakija wapate dawa, pamoja huduma zingine , Mkurugenzi kaongea very clear, kuna kitengo cha social ambacho kina sikiliza makundi mbali mbali ambayo hawajiwezi, kwahyo ukisema kila mtu msamaha inakuwaje, tuache ushabiki tuu , ukiumwa ndo utajua au ukiuguliwa utajua ,
@elizabethswai7777 Жыл бұрын
Serikali hii ni comedy
@mwana4599 Жыл бұрын
Milioni 10 ni nyingi mno jamani.
@shaameshaame9721 Жыл бұрын
Kwan hii Hospital ya mubimbili ni serikali au binafsi? duuuh shida halafu tunaambiwa huduma Bure!!!
@kefajoseph158 Жыл бұрын
Huyu Janabi ndo wanasema alimchoma MAGUFULI sindano ya sumu
@rehemashabhay8946 Жыл бұрын
Watu wanazaa kwa kujifurahisha, watoto hao wanasomeshwa na serikali,wagonjwa wanaugua bila kukusudia na kufa kwa lazima ni mipango ya Mungu..mmmh hapa mtihani.mtu azae kwa sitarehe zake,asomeshewe watoto...mtu afe ,argue bila kupenda asisaidiwe..Wabunge wetu hebu litazameni kwa jicho la huruma....
@edsonnelson4464
Жыл бұрын
Rehema nakusapoti kwa hiyo
@edsonnelson4464
Жыл бұрын
Rehema nakusapoti kwa hiyo
@magigesabai8674
Жыл бұрын
Hata nchi zenye uchumi matibabu wanalipia Namna ya kuepukana ni kukata bima ya afya
@hamadsuleiman5177 Жыл бұрын
Alhamdulillah kwa kuzaliwa Zanzibar🤭🤭🤭
@fatmakhanii1676
Жыл бұрын
Sasa unahakika utakufa wapi mwenzetu🤔
@kennethbenjamin275 Жыл бұрын
Mpaka marehemu anadaiwa Hii ndyo dunia ya leo pesa ndiyo kila kitu
@florencemeza6540 Жыл бұрын
Nakumbuka kuna mwili ulizuiwa enzi za magufuli yule mama alilia na akaruhusiwa kuchukua mwili wa mama yake, ifike mahali tuwasaidie wasiojiweza
@samsonkatigiri2344
Жыл бұрын
hukumbuki vizuri magufuli alisema atamlipia yeye,
@florencemeza6540
Жыл бұрын
@@samsonkatigiri2344 samia kasemaje??
@samsonkatigiri2344
Жыл бұрын
@@florencemeza6540 mimi sishutum mtu nashtum mfumo,kama nchi yenye rasilimali za kutosha,chama makini kinachounda serikali lazima kichague huduma moja ya msingi kama afya iwe bure kwa wote,sio Rais anasema atamlipia m.5 mtu mmoja kati ya milion 1 wenye matatizo huo ni ubaguzi bora hata mama Samia akae kimya tu,au aruhusu wote iwe bure
@florencemeza6540
Жыл бұрын
Hayo ni yako hayanihusu mbona walipuka kama moto wa kifuu JPM forever
@samsonkatigiri2344
Жыл бұрын
@@florencemeza6540 mama foreveraaaaaaaaaaaa hahahahahahahaaaaa
@gilbertkalanda9354 Жыл бұрын
Jamaa anajibu kwa dharau sanaa
@abuumuhammad7133
Жыл бұрын
Kawaida yake huyo jamaa anajiona km hafi vile anajuwa kujikinga na maradhi ila nauhakika ipo siku tutaona maajabu
@gilbertkalanda9354
Жыл бұрын
@@abuumuhammad7133 Atakufa wakati wake ukifika, ila kiburi cha uhai nj kitu kibaya. We all think of money, utu hakuna kabisa aisee.
@abdulla4344 Жыл бұрын
Na huko mortuary Bill yake ngapi
@manjaruu1575 Жыл бұрын
Hivi kodi za wananchi huwaga huwaga zinafanya kazi gani?
@humphreymwihambi4330
Жыл бұрын
Kujenga barabara, mahospitali, mashule, mishahara ya wafanyakazi, kuhudumia polisi na majeshi, kununua bidhaa mbalimbali nk
@magigesabai8674
Жыл бұрын
Tafuta hela kata bima hata nchi zenye uchumi mkubwa wanalipia matibabu
@jannethlyimo3937 Жыл бұрын
Yani mgonjwa amekufa unaniambia nitoe million 8 jamani mungu anawaona Mimi Mimi Wacha nizikwe na manispaa
@magigesabai8674
Жыл бұрын
Matibabu ya dawa ulizotumia nani amlipie nikwel amekufa lkn katumia dawa utaratibu uko hivyo
@lucymussaabinego1753 Жыл бұрын
Kumbe kweli serikali inazuia maiti ili kupata pesa...umeshindwa kumtibu amekufa sasa unadai nini?
@merinankullua5874
Жыл бұрын
Kifo kinapangwa na Mungu na sio binadamu ,hata angepelekwa nchi za nje kama siku zimefika angefariki tu
@ramadhanimbulu4941
Жыл бұрын
@@merinankullua5874 nimepeleka gari gereji fundi katengeneza,baadaye anasema gari lako limekufa kabisa.nataka kuchukua gari langu analizuia gereji anataka nimlipe million kumi ndiyo nilichukue.Hii ni sawa kweli?
@ngwatujonas2266
Жыл бұрын
Mambo ya ajabu sana! Hawana huruma hawa watu! Unadai hadi marehemu.....? 10 ml
@asteriashios1852
Жыл бұрын
Duh milioni kumi maskini mtanzania anazipata wapi? Ajira hamna Hana biashara yoyote alafu ni maiti tayari Tanzania yetu hii mtihani mungu tusaidie
@kabwelasutiviraka4765
Жыл бұрын
@@ramadhanimbulu4941 mfano miwili tofauti kabisa una kiwango gani cha elimu mkuu ?
@kabwelasutiviraka4765 Жыл бұрын
Tatizo ni kukosa uwazi management ya hospital , kama haya maelezo yangekuwa yako wazi wamewekwa sehemu sidhani kama kuna wafiwa wangekuja kwenye social media kulalamika
@magigesabai8674
Жыл бұрын
Wew ujasikia kwamba wengi wao wanaogopa kujicomment Tatizo wengi wetu sio waaminifu nimeona wengi wanatibiwa hawana ila kulipa wanakwepa mpaka watafutwe na polisi
@samsonkatigiri2344
Жыл бұрын
@@magigesabai8674 sasa wewe ndugu yangu utajicoment kwa milion kumi tena ulishapoteza na ndugu yako,hivi milion kumi unaijua au unaisikia?suluhisho ni kwamba maiti isidaiwe hata mia,mimi siwezi lipia maiti milioni kumi,hizo m.10 bora tukawalipie watoto wa marehem ada ya shule?
@johnrimoy1613 Жыл бұрын
Ile sera ya wazee zaidi ya miaka 60 wasio jiweza ni bure bado ipo ???
@linnamlay3643
Жыл бұрын
Si kila mzee anatibiwa bure, kuna vigezo vinavyotakiwa 😂😂
@magigesabai8674
Жыл бұрын
Mochari haina msamaha Pia sio kila ngaz ya hospital hio sera kuna aina matibabu ina kikomo
@daudimichael7338 Жыл бұрын
Marehemu ana miaka 74, kwani si inasemekana wazee huwa wanatibiwa bure? Au nimekurupuka?
@mugishalaurian3311
Жыл бұрын
Nikwelii ndugu japo kwa ngazi ya zahanati,vituo vya afya,hospitali za wilaya na mkoa..hospitali za rufaa wanachangia sababu ya gharama kubwa ya matibabu
@margarethpolepole7438 Жыл бұрын
Ameshakufa sasa walipe nini tena wamchukue tu marehemu wao
@magigesabai8674
Жыл бұрын
Bili yake ya matibabu alipe daktari au?
@sayunimkongwa9830 Жыл бұрын
Mpaka na mkumbuka Magufuli jamani hivi ninani atakae kuwa Kama Magufuli atusaidie maskini mweee😭😭😭😭
@magigesabai8674
Жыл бұрын
Kipindi chake matibabu yalikua bure? Acha hayo mambo
@shijamarco2662 Жыл бұрын
Simnajinadi tiba bule nahayo je? Kiongozi duniani alikua Gadaffi tu wengine hao wanalenga masilahi kuliko ubinadamu ata hao wanaotaka katiba mpya ndo hatali wao wenyewe wajawajanja kweli.
@jennytugara9470 Жыл бұрын
Lakini jamani hospital zinaendeshwa na fedha Wafanyakazi walipwe mishahara. Kila Marehemu wakisamehewa wasilipe hasara itakuwa kiasi gani. Asante Mwandishi kupiga simu kuwasaidia familia
@manjaruu1575
Жыл бұрын
Sio milioni 10 sasa si bora mbaki na maiti
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
Milionin. 10 ww. Unayo na maisha haya ya Tz wasameetu selikali wanazopesa
@jennytugara9470
Жыл бұрын
@@hanifatanzania7258 Kusamehewa pia inawezekana Lakini inabidi tuheshimu biashara. Kama wangelipa kidogo kidogo isingefika deni kubwa hivi. Hata kama Serikali ina hela lakini kama mwendo ni huu taasisi zitabaki tupu
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
@@jennytugara9470 hawana ndiyo maana imefiki hapo
@manjaruu1575
Жыл бұрын
@@hanifatanzania7258 🤣🤣🤣🤣🤣eti ye anayo?? Oya sikieni kaeni nao mwili
@abdulla4344 Жыл бұрын
Wajinga ndio waliwawo
@titosanga9602 Жыл бұрын
Cha msingi wapelekeeni sanda jeneza na msalaba wenye taarifa za malehemu hapo kazi kwisha msubili kutambua kaburi 🙄🙄🙄🙄🙄🙄.
@hamadsuleiman5177 Жыл бұрын
Alhamdulillah kwa kuzaliwa Zanzibar🤭🤭🤭
@magigesabai8674
Жыл бұрын
Kwan huko matibabu ni bure? Acha kupotosha watu
@hamadsuleiman5177
Жыл бұрын
@@magigesabai8674 Yeah ni bure matibabu Zanzibar kwa kweli...Usiongeleee usichokijua...Au njoo leo Zanzibar uumwe uone kama utadaiwa hata cent 1 Hospital za Government unless iwe kuna dawa flani hamna ndio utatakiwa kununua....Wacha kupotosha watu...Alaaa
Пікірлер: 115
Sawa doctor umejieleza vizur
Ila kaongea vyema jamaa km mmemuelewa Ila bado sisi masikini
Jamani hii nchi kwakweli kwasisi maskini tukiugua bora tunywe mizugwa nyumbani tukifa tuwe nyumbani ili tusiwape shida famili zetu
@amriyalibent5900
Жыл бұрын
Wallah tufe nyumban tuzikwe basi
@kawtharalbarwani1337
Жыл бұрын
Nikweli kabisa
Doctor Jabili kaongea vizuri ila sisi maskini atuelewagi kwasababu ya ufukara wetu tunaonekana tunaonewa
Yaani mimi nawaachia serekali wazike kwani Kodi tunanzotoa ni za nini
😂😂😂😂 doctor nakubali sana… watu wanakimbia social medial wanahisi madaktari watapata pressure😅….
Well spoken Dr but daa !
Janabi Yuko vizuri Kila kitu kinafuata utaratibu hata wao wanafanyiwa auditing shida sisi Kila kitu ni kulalamika kaeleza vizuri
Nchi gani hii, kwaninitunalipa kodi, milioni kumi watu wenyewe elfu kumi mtihani
Milioni 10, hivi mwiimbili ni ya serikali au ni ya mtu binafsi?
@amriyalibent5900
Жыл бұрын
Najiuliza ivyo ivyo hii ni hospital ya serikali au praivet
Waache wazike ila tu wawaambie wanazika wapi Mkashiriki mazishi kwisha.
Professor mnahitajika kutoa elimu kwa wananchi juu ya masuala hayo pia malipo na misamaha kuwekwa wazi ili pande zote 3 kujirizisha kwa kilichofanyika.
@shijamarco2662
Жыл бұрын
Sio kila polofesa anataluma ya kifo haya maswala ya ubinadamu unauwezo kuwa imesoma kweli unashelia ila huna ubinadamu. Maana nivitu viwili tofauti .
Suluhisho tutafute bima za afya wajameni tuache kupenda miteremko
Acheni maiti wazike wenyewe..
@manjaruu1575
Жыл бұрын
Kama ni mali wakae nayo basi kaaah😁😁😁
Sio kosa la madaktari Ni utaratibu. Japo Ni kumtesa marehem Na amesha teseka akiwa hai
UYU MZEE JAMANI UWAGA NAMAJIBU MAZURI SANA SANA.PIA ROHO YA IMANI
hi nchi wanaofaid n viongoz tu m nishajichokea n vile tu sijapata namna yakusafir wallah ningekuwa raia wa nchi ingine
@kilamegroup2968
Жыл бұрын
Kabisa tena hawana huruma
Uyu Dkt ni muungwana sana
Daah ,Bora tuu jmn .wamsitiri ndugu yao
Huyu Dr Si ndiyo yule mpuuz wa kikwete, Dr JPM alilikataa hili la kuuzuiazuia
Yani serikali daaaah bongo sirudi
Yaani hospitali ni ya selikali ikimanisha hata aliefariki ni yake, alikatwa Kodi kibao, anandugu wengine nao wanalipa Kodi, makato ya selikali, na bajeti ya madawa na vifaa tiba vinatoka selikalini, hao madakitar wanalipwa na Kodi za wananchi, asa kwanini wasimwache? Mipango mibovu, uongoz mbovu, viongoz wa selikali hakili hamna, kazi ni kujipendelea wao tu.
@magigesabai8674
Жыл бұрын
Kwan daktari ndie anapanga gharama za matibabu au ni serikali Hela ikusanywa inaenda Bank Lakin kuna gharama za kumlipa specialist bila kumlipa hutawaona hapa nchini wanatafutwa na mataifa mengi tena yenye uchumi mzur
Hv na kodi mnazokata huwa zinaenda wapi? Kama mtu ni maskini kwa ninj asisaidiwe?Serikali lazima mbadilike, hv mnataka wajikomiti hiyo pesa watatoa wapi? Mnaboa saana kwakweli. Kweli aliyeshiba hamjui mwenye njaa, maana Prof anaongea kwa madaha haswaaa
Nchi ya wajanja😅
Vzr sana
Umeongea vzr sn
Watanzania tunataka Kila kitu kiwe kama tunavyotaka kuwa Kila mmoja badala ya kufuata sheria zilizotungwa na mabunge na mabaraza yetu. Na wale waliopo bungeni tuliwachagua. Tukibalianeni na matatizo hyo. Laiti tungekuwa tunajitawala tungekuwa tunatibiwa bure. Na kama tungekuwa tunalipa tungekuwa na pesa.
Kipona ni.pesa kufariki pia ni pesa tuombeane
@zainabwage4658
Жыл бұрын
Sana
Pesa pesa pesa bila pesa no huduma no nini
Sasa jamani kiasi chote hicho cha pesa kwa maisha haya jamani mtu anatoa wapi kwa nini wasisamehewe lakini heee jamani wanyonge wanateseka na hii dunia awe Allah tufanyie wepesi waja wako😭😭😭😭
Daaaaaah yaani kuchukua tu mwili mpaka upaze sauti 😭😭😭😭
@magigesabai8674
Жыл бұрын
Sasa unategemea nani akulipie ujui kutunza mwili ni gharama pia ujue hapo anadaiwa hela ya matibabu
@hisanmwakijungu10
Жыл бұрын
@@magigesabai8674 tukifa watuache buanaa wanadije maiti ,,,,
Wamuache huko huko
@adkajisi4536
Жыл бұрын
Marehem hasusiwi
Ccm daimaa
Yaani hii nchi ya ajabu sana.... Mgonjwa kafa ... Halafu ... Unamdai pesa....!!!!!. Anapokufa mbona hatuwalaumu Wala kuwadai hospital/madaktari. Hapa ndo utajua Kuna wenye nchi na wananchi. Hebu waachieni mwili wa marehemu tuone kama hawatauzika wenyewe.... Muhimu kujua kaburi lilipo tu. Sheria za namba hii ni za ovyo kabisa.
@frankmayige2950
Жыл бұрын
Ndugu usiongee hivi kwakuwa hujaumwa wala kuuguza, kumbuka duniani kote hakuna kitu chenye gharama kama matibabu, kumbuka maekaa hospitali muda gani ametumia gharama kiasi gani, lazima kuchangia iliwengine nao wakija wapate dawa, pamoja huduma zingine , Mkurugenzi kaongea very clear, kuna kitengo cha social ambacho kina sikiliza makundi mbali mbali ambayo hawajiwezi, kwahyo ukisema kila mtu msamaha inakuwaje, tuache ushabiki tuu , ukiumwa ndo utajua au ukiuguliwa utajua ,
Serikali hii ni comedy
Milioni 10 ni nyingi mno jamani.
Kwan hii Hospital ya mubimbili ni serikali au binafsi? duuuh shida halafu tunaambiwa huduma Bure!!!
Huyu Janabi ndo wanasema alimchoma MAGUFULI sindano ya sumu
Watu wanazaa kwa kujifurahisha, watoto hao wanasomeshwa na serikali,wagonjwa wanaugua bila kukusudia na kufa kwa lazima ni mipango ya Mungu..mmmh hapa mtihani.mtu azae kwa sitarehe zake,asomeshewe watoto...mtu afe ,argue bila kupenda asisaidiwe..Wabunge wetu hebu litazameni kwa jicho la huruma....
@edsonnelson4464
Жыл бұрын
Rehema nakusapoti kwa hiyo
@edsonnelson4464
Жыл бұрын
Rehema nakusapoti kwa hiyo
@magigesabai8674
Жыл бұрын
Hata nchi zenye uchumi matibabu wanalipia Namna ya kuepukana ni kukata bima ya afya
Alhamdulillah kwa kuzaliwa Zanzibar🤭🤭🤭
@fatmakhanii1676
Жыл бұрын
Sasa unahakika utakufa wapi mwenzetu🤔
Mpaka marehemu anadaiwa Hii ndyo dunia ya leo pesa ndiyo kila kitu
Nakumbuka kuna mwili ulizuiwa enzi za magufuli yule mama alilia na akaruhusiwa kuchukua mwili wa mama yake, ifike mahali tuwasaidie wasiojiweza
@samsonkatigiri2344
Жыл бұрын
hukumbuki vizuri magufuli alisema atamlipia yeye,
@florencemeza6540
Жыл бұрын
@@samsonkatigiri2344 samia kasemaje??
@samsonkatigiri2344
Жыл бұрын
@@florencemeza6540 mimi sishutum mtu nashtum mfumo,kama nchi yenye rasilimali za kutosha,chama makini kinachounda serikali lazima kichague huduma moja ya msingi kama afya iwe bure kwa wote,sio Rais anasema atamlipia m.5 mtu mmoja kati ya milion 1 wenye matatizo huo ni ubaguzi bora hata mama Samia akae kimya tu,au aruhusu wote iwe bure
@florencemeza6540
Жыл бұрын
Hayo ni yako hayanihusu mbona walipuka kama moto wa kifuu JPM forever
@samsonkatigiri2344
Жыл бұрын
@@florencemeza6540 mama foreveraaaaaaaaaaaa hahahahahahahaaaaa
Jamaa anajibu kwa dharau sanaa
@abuumuhammad7133
Жыл бұрын
Kawaida yake huyo jamaa anajiona km hafi vile anajuwa kujikinga na maradhi ila nauhakika ipo siku tutaona maajabu
@gilbertkalanda9354
Жыл бұрын
@@abuumuhammad7133 Atakufa wakati wake ukifika, ila kiburi cha uhai nj kitu kibaya. We all think of money, utu hakuna kabisa aisee.
Na huko mortuary Bill yake ngapi
Hivi kodi za wananchi huwaga huwaga zinafanya kazi gani?
@humphreymwihambi4330
Жыл бұрын
Kujenga barabara, mahospitali, mashule, mishahara ya wafanyakazi, kuhudumia polisi na majeshi, kununua bidhaa mbalimbali nk
@magigesabai8674
Жыл бұрын
Tafuta hela kata bima hata nchi zenye uchumi mkubwa wanalipia matibabu
Yani mgonjwa amekufa unaniambia nitoe million 8 jamani mungu anawaona Mimi Mimi Wacha nizikwe na manispaa
@magigesabai8674
Жыл бұрын
Matibabu ya dawa ulizotumia nani amlipie nikwel amekufa lkn katumia dawa utaratibu uko hivyo
Kumbe kweli serikali inazuia maiti ili kupata pesa...umeshindwa kumtibu amekufa sasa unadai nini?
@merinankullua5874
Жыл бұрын
Kifo kinapangwa na Mungu na sio binadamu ,hata angepelekwa nchi za nje kama siku zimefika angefariki tu
@ramadhanimbulu4941
Жыл бұрын
@@merinankullua5874 nimepeleka gari gereji fundi katengeneza,baadaye anasema gari lako limekufa kabisa.nataka kuchukua gari langu analizuia gereji anataka nimlipe million kumi ndiyo nilichukue.Hii ni sawa kweli?
@ngwatujonas2266
Жыл бұрын
Mambo ya ajabu sana! Hawana huruma hawa watu! Unadai hadi marehemu.....? 10 ml
@asteriashios1852
Жыл бұрын
Duh milioni kumi maskini mtanzania anazipata wapi? Ajira hamna Hana biashara yoyote alafu ni maiti tayari Tanzania yetu hii mtihani mungu tusaidie
@kabwelasutiviraka4765
Жыл бұрын
@@ramadhanimbulu4941 mfano miwili tofauti kabisa una kiwango gani cha elimu mkuu ?
Tatizo ni kukosa uwazi management ya hospital , kama haya maelezo yangekuwa yako wazi wamewekwa sehemu sidhani kama kuna wafiwa wangekuja kwenye social media kulalamika
@magigesabai8674
Жыл бұрын
Wew ujasikia kwamba wengi wao wanaogopa kujicomment Tatizo wengi wetu sio waaminifu nimeona wengi wanatibiwa hawana ila kulipa wanakwepa mpaka watafutwe na polisi
@samsonkatigiri2344
Жыл бұрын
@@magigesabai8674 sasa wewe ndugu yangu utajicoment kwa milion kumi tena ulishapoteza na ndugu yako,hivi milion kumi unaijua au unaisikia?suluhisho ni kwamba maiti isidaiwe hata mia,mimi siwezi lipia maiti milioni kumi,hizo m.10 bora tukawalipie watoto wa marehem ada ya shule?
Ile sera ya wazee zaidi ya miaka 60 wasio jiweza ni bure bado ipo ???
@linnamlay3643
Жыл бұрын
Si kila mzee anatibiwa bure, kuna vigezo vinavyotakiwa 😂😂
@magigesabai8674
Жыл бұрын
Mochari haina msamaha Pia sio kila ngaz ya hospital hio sera kuna aina matibabu ina kikomo
Marehemu ana miaka 74, kwani si inasemekana wazee huwa wanatibiwa bure? Au nimekurupuka?
@mugishalaurian3311
Жыл бұрын
Nikwelii ndugu japo kwa ngazi ya zahanati,vituo vya afya,hospitali za wilaya na mkoa..hospitali za rufaa wanachangia sababu ya gharama kubwa ya matibabu
Ameshakufa sasa walipe nini tena wamchukue tu marehemu wao
@magigesabai8674
Жыл бұрын
Bili yake ya matibabu alipe daktari au?
Mpaka na mkumbuka Magufuli jamani hivi ninani atakae kuwa Kama Magufuli atusaidie maskini mweee😭😭😭😭
@magigesabai8674
Жыл бұрын
Kipindi chake matibabu yalikua bure? Acha hayo mambo
Simnajinadi tiba bule nahayo je? Kiongozi duniani alikua Gadaffi tu wengine hao wanalenga masilahi kuliko ubinadamu ata hao wanaotaka katiba mpya ndo hatali wao wenyewe wajawajanja kweli.
Lakini jamani hospital zinaendeshwa na fedha Wafanyakazi walipwe mishahara. Kila Marehemu wakisamehewa wasilipe hasara itakuwa kiasi gani. Asante Mwandishi kupiga simu kuwasaidia familia
@manjaruu1575
Жыл бұрын
Sio milioni 10 sasa si bora mbaki na maiti
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
Milionin. 10 ww. Unayo na maisha haya ya Tz wasameetu selikali wanazopesa
@jennytugara9470
Жыл бұрын
@@hanifatanzania7258 Kusamehewa pia inawezekana Lakini inabidi tuheshimu biashara. Kama wangelipa kidogo kidogo isingefika deni kubwa hivi. Hata kama Serikali ina hela lakini kama mwendo ni huu taasisi zitabaki tupu
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
@@jennytugara9470 hawana ndiyo maana imefiki hapo
@manjaruu1575
Жыл бұрын
@@hanifatanzania7258 🤣🤣🤣🤣🤣eti ye anayo?? Oya sikieni kaeni nao mwili
Wajinga ndio waliwawo
Cha msingi wapelekeeni sanda jeneza na msalaba wenye taarifa za malehemu hapo kazi kwisha msubili kutambua kaburi 🙄🙄🙄🙄🙄🙄.
Alhamdulillah kwa kuzaliwa Zanzibar🤭🤭🤭
@magigesabai8674
Жыл бұрын
Kwan huko matibabu ni bure? Acha kupotosha watu
@hamadsuleiman5177
Жыл бұрын
@@magigesabai8674 Yeah ni bure matibabu Zanzibar kwa kweli...Usiongeleee usichokijua...Au njoo leo Zanzibar uumwe uone kama utadaiwa hata cent 1 Hospital za Government unless iwe kuna dawa flani hamna ndio utatakiwa kununua....Wacha kupotosha watu...Alaaa