MWIJAKU AGALAGALA CHINI BAADA YAKUONA JUMBA HILI JIPYA LA ALIKIBA/ TAZAMA HAPA AMUOMBA MUNGU NAE..

Спорт

JISAJILI NA KUSHIRIKI PROMOSHENI ZA ROYAL SPORTS NA ROYAL WIN KUPITIA LINK HII 👉 pmbet.co.tz NA USHINDE ZAWADI MBALIMBALI IKIWEMO GARI AINA YA IST NA NISSAN DUALIS
.
TAFADHALI USISAHAU KU SUBSCRIBE KZread CHANNEL YETU NA KUBONYEZA ALAMA YA KENGELE ILI UWE WAKWANZA KUPATA HABARI ZOTE AMBAZO TUTAKUWA TUKIKUSOGEZEA KARIBU
INSTAGRAM @pmtv___
TWITTER @Pmtvtz
TIKTOK @Pmtvtz

Пікірлер: 144

  • @baysadam235
    @baysadam23511 ай бұрын

    Jumba la big boss King tajiri✊✊🔥🔥🔥🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @rmbwitu1994
    @rmbwitu199411 ай бұрын

    Watu wengi wanafikili Ally hana pesa shida jamaa atangazi lkn ule mgorofa wa tabata pale daaaa jamaa analima mpunga maeka kibao

  • @godfreymwaipasi6539

    @godfreymwaipasi6539

    11 ай бұрын

    Tatizo la wabongo wanabebwa na upepo mfalme mwenye ufalme wake toka kitambo kazi za maana maneno kidogo

  • @kwisa4899

    @kwisa4899

    11 ай бұрын

    unamjua mwijaku kwa uongo?mumesahau tayari ya Hamissa kuhusu lile gari?

  • @Nims643

    @Nims643

    11 ай бұрын

    ​@@kwisa4899tafta pesa mwanaume uwache Kua na wivu

  • @rehemathoya8754

    @rehemathoya8754

    11 ай бұрын

    Ni mkimya sana, hana tattoo, hatukanani nyimbo zake swafi

  • @philippemukandama2960
    @philippemukandama296011 ай бұрын

    Nice property 👌. Alikiba is very humble, he doesn't like to show off like other artists.

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud298311 ай бұрын

    Ali hanaga mbamba, Mwenyezi Mungu amfanyie wepesi. 🤲

  • @saudashani5981
    @saudashani598111 ай бұрын

    Mungu akuweke king 👑 Kiba na Kalibu sana msimbazi

  • @Kwazulu1

    @Kwazulu1

    4 ай бұрын

    Ali Kiba doesn’t show off kama wale wezetu. Congratulations Allikiba. Location gani???

  • @mariamjuma1670
    @mariamjuma167011 ай бұрын

    Kwaninj wasanii wa danse awanamaisha mazuri nafikili wanapenda Sana kuongwa😅

  • @agnesnjeleka4898
    @agnesnjeleka489811 ай бұрын

    Safi alikiba Huna mbambamba wewe safi sana

  • @mdta8161
    @mdta816111 ай бұрын

    Hongera sana king kiba

  • @user-zh5ho6vo6w
    @user-zh5ho6vo6w11 ай бұрын

    Very nice King kiba

  • @naimahhussein8430
    @naimahhussein843011 ай бұрын

    Mashaa ALLAH

  • @miguelcasimiro2542
    @miguelcasimiro254211 ай бұрын

    Ukisikia ubora njo huu! Mwenye hela asemi 🎉

  • @aishatest4451
    @aishatest445111 ай бұрын

    hongera sana

  • @Xavierdecristo
    @Xavierdecristo11 ай бұрын

    King 👑👑👑👑

  • @mesaidikazungu4299
    @mesaidikazungu429911 ай бұрын

    Mashallah Allah 🥰🥰🥰

  • @HakizimanaFiston
    @HakizimanaFiston11 ай бұрын

    Mwijaku iyo ninyumba yakawaida kwamtuu kama Alikiba mbona niyakawaida sana hiyo 😊

  • @antonywilliama2868

    @antonywilliama2868

    11 ай бұрын

    njaa i itakuwa ww sio kwa ujinga huu

  • @mohamedsuleiman2785

    @mohamedsuleiman2785

    11 ай бұрын

    Boss ingekuwa nyumba ya kawaida tanzania tungepewa passport ya daraja la kwanz Dunia kwenda tunako taka bila kuhitaji visa ila watanzania wengi hizo nyumba nsmna hii hatumiliki

  • @malikmasoud3190
    @malikmasoud319011 ай бұрын

    Njaa noma sn

  • @yakoubayoub8958

    @yakoubayoub8958

    11 ай бұрын

    😂😂

  • @mshuamsuya9201
    @mshuamsuya920111 ай бұрын

    Sema mwijakaa kashindikanaaa

  • @oscaroscar2555

    @oscaroscar2555

    11 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @HAMIDURAMADHANI-ev5od
    @HAMIDURAMADHANI-ev5od11 ай бұрын

    Njaa mbaya sanaaa😂😂😂

  • @ibnayub2374
    @ibnayub237411 ай бұрын

    Mwijaku fala sana 😂😂😂

  • @henryachila5448
    @henryachila544811 ай бұрын

    Kuwa chawa ni kazi aise

  • @mudywaya328
    @mudywaya32811 ай бұрын

    mwijaku namkubalisana👍

  • @sixberttindwa9622
    @sixberttindwa962211 ай бұрын

    Chawa chawa

  • @albertmalenge-cs6zy
    @albertmalenge-cs6zy11 ай бұрын

    Ila mwijaku daaah

  • @ramakinjoi4063
    @ramakinjoi406311 ай бұрын

    Mwijaku atafika mbinguni akiwa amechoka sanaaa aseeeh😂😂😂😂😂😂😂.

  • @hanafiSaidi-ji9ms

    @hanafiSaidi-ji9ms

    11 ай бұрын

    😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅 siopoa

  • @lavimusic_

    @lavimusic_

    11 ай бұрын

    Si mpaka afike huko mbinguni

  • @Lea-iz8fd
    @Lea-iz8fd11 ай бұрын

    ❤❤❤❤❤

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka11 ай бұрын

    🤴 👑 🤴 👑

  • @stanleyoreri6447
    @stanleyoreri644711 ай бұрын

    Huyo ndio the only one king 😂😂 hatari sana .kitu nampendea hapendi kujionyesha onyesha kama wasanii wengine

  • @patrickkambi423
    @patrickkambi42311 ай бұрын

    This man make me smile 🤣🇷🇼🇷🇼🇷🇼

  • @zaudatmakula3454

    @zaudatmakula3454

    11 ай бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @easternyerembe7271

    @easternyerembe7271

    11 ай бұрын

    Bado kdg anene kwa lugha😂😂😂

  • @salumuseif3324
    @salumuseif332411 ай бұрын

    Mwijaku akilala hoi

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana289611 ай бұрын

    😂😂😂dah inaitaji wehu kumudu maisha mjini

  • @rizikirobert4596
    @rizikirobert459611 ай бұрын

    Ninjaaa tuu inakusumbuaa mwijaku

  • @KichuyaMaja-qq5zn
    @KichuyaMaja-qq5zn11 ай бұрын

    Kweli uchawa hatariii

  • @godwinmwakibibi274
    @godwinmwakibibi27411 ай бұрын

    Hizo heka 8 zipo wapii hyo nyumba ya kawaida wanamiliki mpka wauza nyanya mm kiukweli bado cjaona msanii mjanja wote mnakaa mjini tafuta heka kumi Jenga humo kila kitu unafuga unalima kila kitu na hamshindwi mnabak kupost mijumba ya Raman za zamanii

  • @angelfalleh-wb9rg

    @angelfalleh-wb9rg

    11 ай бұрын

    Ila watu mna roho mbayaaaa imagine unaumia na mafanikio wa wanaume wenzio c htr hii😁

  • @user-fm8ll7ln9i
    @user-fm8ll7ln9i11 ай бұрын

    😂😂uyu jamaa atafika mbinguni kachoka sana

  • @munamuna4621
    @munamuna462111 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂chawa asieleweka😂😂

  • @Makavelithedon2086
    @Makavelithedon208611 ай бұрын

    *Wanaume tunaendelea kupungua halafu utaskia huyu nae eti Most influencer in Tanzania WTF*

  • @habibumasenga6213
    @habibumasenga621311 ай бұрын

    Mbona gari yenyewe hana nembo was jina mwijaku unazingua 😊

  • @user-zr7cj9tx4i
    @user-zr7cj9tx4i11 ай бұрын

    King kiba kwanza yupo jilani Sana na mungu wake arfu ana sifa za kijinga arafu ni mtu mmoja pis Sana na mkurima mzur tu wa mpunga ,sio kama wasanii WENGINE kaz Yao skendo tu arafu hawana chochote piga kaz king kina swar swara tano mungu hatakuongoza kwenye MAKOSA omba msamaha Kwa mungu

  • @aishachambo8663
    @aishachambo866311 ай бұрын

    Mwijaku jamani😂😂😂😂😂😂

  • @petersynto2043
    @petersynto204311 ай бұрын

    Njaa bhana😂😂

  • @majidseyyid9485
    @majidseyyid948511 ай бұрын

    😂😂😂😂 uyu jamaa asee anatabu sana

  • @malcomg1004
    @malcomg100411 ай бұрын

    Mwijaku wanao wanakuona unavyojiaibisha sababu ya Njaa😂

  • @KaumbyaTibenda

    @KaumbyaTibenda

    10 ай бұрын

    😂😂😂😂eti jamani

  • @salimbilali5174
    @salimbilali517411 ай бұрын

    Mwijaku tutakupelek portrieltz 😅😅😅

  • @vitrahbongz9420
    @vitrahbongz942011 ай бұрын

    Hakun nyumb ya Billion tano hapo tumepigwa 😂😂

  • @iddymtitiko

    @iddymtitiko

    11 ай бұрын

    Hujapigwa manzeee bali maisha nayo yanapanda kila siku sion kama kuna shida kwa hiyo pesa sisi tunaojenga vibanda vya mguu mmoja lkn vinatutoa jasho

  • @ernestjulius3209

    @ernestjulius3209

    11 ай бұрын

    Nyumba mikocheni gharama

  • @fathiyahmuzney7367

    @fathiyahmuzney7367

    11 ай бұрын

    ​@@iddymtitikoEt kibanda cha mguu mmoja😂😂😂😂😂

  • @ahmedsdk6736
    @ahmedsdk673611 ай бұрын

    Huyu Jamaa Alisha Mkufuru Mungu Muda Mrefu Sanaa Ila Tu Hajui...!!

  • @skbgosple7766

    @skbgosple7766

    11 ай бұрын

    Hahahah haya bana

  • @edwinlazaro1368
    @edwinlazaro136811 ай бұрын

    Daah sijui tutahadithia nn wajukuu zetu sisi chawa

  • @user-jz4ff4pg5f
    @user-jz4ff4pg5f11 ай бұрын

    Huyu mwijaku kama sio uchizi ni ushoga maana kama niuchawa umepitiliza

  • @dullayomwinyi3359
    @dullayomwinyi335911 ай бұрын

    Kweli ww ndo chawa wa kweli

  • @user-xk3cq2hr8k
    @user-xk3cq2hr8k11 ай бұрын

    Naweww Yako Iko wapi

  • @ahammedmahruki8708
    @ahammedmahruki870811 ай бұрын

    Yaani huyu alali wala asinzii😅😅

  • @yakoubayoub8958

    @yakoubayoub8958

    11 ай бұрын

    😂😂

  • @jumannerajabu8259
    @jumannerajabu825911 ай бұрын

    duh uchawa nao kazi

  • @lutenganolukali2122
    @lutenganolukali212211 ай бұрын

    Hapo Heka 8 ??

  • @sarahjagadi4884
    @sarahjagadi488411 ай бұрын

    mbona lakizamani jamani(kuukuu)

  • @kwisa4899
    @kwisa489911 ай бұрын

    mwijaku muongo jamani 😂😂😂

  • @emmanuelbernard9552
    @emmanuelbernard955211 ай бұрын

    Hv jumba la billion 5 unalikujuwa kweli? Au bilion 5 unazani nimatako

  • @bjzee1981
    @bjzee198111 ай бұрын

    Duh umbea kazi jamani

  • @apolinemalungano9155
    @apolinemalungano915510 ай бұрын

    Huyu jamaa uchawa utamuuwa 😂😂😂😂

  • @alouisejohn7752
    @alouisejohn775211 ай бұрын

    Mwijaku kumbe mbumbumbu

  • @Domplex-uf7ih
    @Domplex-uf7ih11 ай бұрын

    Huyu jamaa atakuja kufirwa aseee

  • @bjzee1981
    @bjzee198111 ай бұрын

    Mbona ya kawaida tu.

  • @vickybrit87
    @vickybrit8711 ай бұрын

    😂😂😂mwijaku hunifurahisha akirusha Cheche.

  • @happylynguya3464
    @happylynguya346411 ай бұрын

    Heka ngapi? 😰😰 nahisi sijasikia vizuri jamani..

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs11 ай бұрын

    Chawa anataka maokoto😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @flinchclassic1531
    @flinchclassic153111 ай бұрын

    Huyu atachizi😂

  • @KaumbyaTibenda

    @KaumbyaTibenda

    10 ай бұрын

    Afu kweli😂😂😂😂😂

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange775811 ай бұрын

    Ila mwijaku na tafuta ela kwa shida

  • @hawagondwe2056
    @hawagondwe205611 ай бұрын

    Mwijaku anatako c mchezo 😅😅

  • @godymaster8727
    @godymaster872711 ай бұрын

    Anajua bilion kweli

  • @BabaBalingasi-hp6gd
    @BabaBalingasi-hp6gd11 ай бұрын

    Hahaha anaishi kwenye nyumba au anishi kwenye Expesive life? hahaha mwijaku noma

  • @Arnoldpriscuss
    @Arnoldpriscuss11 ай бұрын

    uchizi

  • @sixberttindwa9622
    @sixberttindwa962211 ай бұрын

    Unaijua nyumba yab5.3 unaijuwa ww chawa

  • @naswiruzubair7436
    @naswiruzubair743611 ай бұрын

    This is ridiculous- this house can’t be worth of 5BTsh …

  • @wiseboy_znz4719

    @wiseboy_znz4719

    11 ай бұрын

    Build urs then give us statement

  • @naswiruzubair7436

    @naswiruzubair7436

    11 ай бұрын

    @@wiseboy_znz4719 to me this reply sounds to be below average to comment on.

  • @lvanyDaniel_pw7kk
    @lvanyDaniel_pw7kk11 ай бұрын

    IPO siku huyu mwijaku ata kuja kujikwaa adondokee kwenye mboo ya kiba

  • @elinamilyatuu7337
    @elinamilyatuu733711 ай бұрын

    Unatoka povu sana kijana kwani ukiongea taratibu hutasikika?

  • @venturejackson6357
    @venturejackson635711 ай бұрын

    Afu hyu mwana wakampime rinda mtakuja nishukuru badae hyu mwana anavielelezo vyte vya ushoga yaan

  • @bbcwrld
    @bbcwrld11 ай бұрын

    Baba yake na mtu uyo hapo 😂😂

  • @stevensiwity944
    @stevensiwity94411 ай бұрын

    Unaijua nyumba ya Billion 5.3 ww bwege,cjui shule ulienda kusoma nn ww,na wengine mnasema eti Kiba apendi kujionyesha,sasa kwa akili ya kawaida hapo mnaona hawakupanga kwamba twende tukakurekodi huku ukipiga porojo

  • @charlesjackson-zx5zg
    @charlesjackson-zx5zg11 ай бұрын

    Mwijaku wewe ni Mwislam bila shaka,je,waisilamu mnaamini kuwa Mungu ni BABA!, naomba jibu.

  • @JumaSeleman-mi2zx

    @JumaSeleman-mi2zx

    11 ай бұрын

    😂😂😂 sema pastor nkusikie porojo zako

  • @HakizimanaFiston
    @HakizimanaFiston11 ай бұрын

    Nyumba nipana kabissa nikubwa ila haimanishi kwamba ninyumba ya ki star haaa wewe tafuta chochote 😊

  • @gracelee565
    @gracelee5657 ай бұрын

    Guy is OTT 😂😂😂😂😂😂

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry524111 ай бұрын

    Nyumba ina srutch tele

  • @dignakanje4508
    @dignakanje450811 ай бұрын

    Kamuuhubirie yule tajiri wako wamadale Anaejitangaza kilasiku anahela

  • @salmaalimusa6809
    @salmaalimusa680911 ай бұрын

    😂😂😂😂hv mke wa mwijaku akimuangalia mumewe hv anajisikiaje??doooo

  • @user-zj4yx1yu2r
    @user-zj4yx1yu2r11 ай бұрын

    😅😂😂😂mwijaku

  • @daudimasawa7684
    @daudimasawa768411 ай бұрын

    mwijaku inakaa hadi mke wake ako na IQ KUBWA KUMLIKO

  • @gulusabiti9177
    @gulusabiti917711 ай бұрын

    Huyu atakuja kufiii

  • @shukranisalvatory6101
    @shukranisalvatory610111 ай бұрын

    Billion 5.3 anaijua kweli huyu, Eka 8 mbona hazionekani apo

  • @Am-vo5cu
    @Am-vo5cu11 ай бұрын

    Kuna maana iliyofichika na kile mwijaku hukifanya

  • @Am-vo5cu

    @Am-vo5cu

    3 ай бұрын

    Kweli kabisa. Ni kama hutumwa kutoka kigoma maneno yake sio tuu ya kejeli bali huyo ni mchawi wa mwisho

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris963811 ай бұрын

    Kama unafamilia utakuw uliwah kwa sasa tyr umeshakuwa shoga

  • @methewbuzuruga-eg8oz
    @methewbuzuruga-eg8oz11 ай бұрын

    Huyo ndiyo mwenye degree sasa sijui hapo ameshawapiga shilingi ngapi maana hapo yuko kazini ndiyo masomo aliyosomea mwenzetu ikiwemo kushika matiti ya bodgurd sijui hicho chuo Kiko wapi hapa tanzazania

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris963811 ай бұрын

    Usipojituma katika kutafta ujue utafanywa bwege ona huyuuuu mwanaume anavyodhalilisha ulimwengu

  • @mwantumkombo3014
    @mwantumkombo301411 ай бұрын

    Billion 5 unaijua ww au unaropoka tu

  • @user-iu9je5xl3y
    @user-iu9je5xl3y11 ай бұрын

    Huyu jamaa ni chawa. Mala Kwa diamond jamani kuna watu Bila uchawa hawaishi

  • @margaretnyamwilahila292
    @margaretnyamwilahila29211 ай бұрын

    What's wrong with this Mwijaku?? Is he okay or ??

  • @gracelee565

    @gracelee565

    7 ай бұрын

    He's lost it in a good way!!!!😅😅😅

  • @hamisahillary8615
    @hamisahillary861510 ай бұрын

    😂😂😂😂❤❤❤

  • @rambostalon2888
    @rambostalon288811 ай бұрын

    Acha kusifia wanaume wenzio na ww pambana choko ww

  • @user-nz6rs9vn3t
    @user-nz6rs9vn3t11 ай бұрын

    Kuna muda linasema ukwel kuna mud anazngua dah

  • @aishatest4451
    @aishatest445111 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @user-uk6pt5so3q
    @user-uk6pt5so3q11 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-uo9tq8cc7q
    @user-uo9tq8cc7q11 ай бұрын

    Mwijaku inawezekana kwa matendo yako wewe ni shoga haiwezekani kumsifia. Mwanaume mwenzio mkeo anakusikia laaa kazi kwelikweriiiiii

  • @eskalade486
    @eskalade48611 ай бұрын

    Nyumban gan sasa apo angalia konde jumba alalo ish

  • @edithajonh2970

    @edithajonh2970

    11 ай бұрын

    Kuma la mama yako Sasa huyo konde wako anaishi nyumba ya kupanga na diamond wako Kama Wana pesa wajenge nyumba zao waishi kwenye nyumba zao Kama alikiba

  • @BijouxMunezero

    @BijouxMunezero

    11 ай бұрын

    Wanawake utawajua tu kwaiyo lile chicha alilopanga harmonize nayo nyumba ile

  • @billiamwilliamtv6505

    @billiamwilliamtv6505

    11 ай бұрын

    Ali kiba ana gorofa mbili za kwake sio kupanga

Келесі